'HABARI NZITO'! VITUKO VYA HUJAJI ALIYEPOTEA KWA SIKU TATU MAKKA, ATOA SOMO ZITO KWA WENGINE
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- HILI NI SOMO ZITO KUTOKA KWA MZEE WA KIGOMA JUMA KAMOLI, HUJAJI WA TAWHEED MWAKA 2024/1445H BAADA YA KUPOTEZANA NA MAHUJAJI WENZAKE KWA SIKU TATU NA KUJIKUTA AKIISHI MAISHA ASIYOYATEGEMEA KATIKA MJI WA MAKKA, JE ALIKUWA ANAKULA NINI? ALIKUWA ANALALA WAPI? NINI KIMEMKUTA? ILIKUWAJE AKAPOTEA?....GUSA LINK HAPO JUU KUTAZAMA MKASA WOTE...
MASHAALLAH MM MKENYA LAKINI MWAKANI KWA UWEZO WA ALLAH NITAWAUNGA IN SHAA ALLAH
Allahumma aamiin
Lakini wanatoka hawana namba za simu jina la hotel namba za hotel wasimamizi wanafanya sio ivo watu wanatakiwa wapewe full information na watebee nazo kadi zao wakipotea wanapigiawa simu marjent au wanajina na namba ya hotel wanafikishwa hotel ingekuwa kazi rahisi sana
Allah amkubalie ibada yake na wengine,Mzee wetu huyu tuliagana Masjdi kabla safsri kwa kweli amefurahi sana kwa hilo.ukitaka ujue mengi muulize ilikuaje mpaka umefanikiwa hijja utacheka kwa mazingatio!.
Hahaha mie sitaki kucheka et ningesem ni wazanziba ningesemeshwa kiarabu duuh
Jaman wakat wa hajj hakuna ujuzi wala lugha mtu yoyote anaweza kupotea ukijua kiarab au english au lugha yoyote
Kawaida.... Si ajabu
Nikweli usemacho
Allah akufanyie wepesi Mzee wangu juma kalamtana uwe HIJA njema
Mashaallah.. Allah mkubwa inshaallah hajj yako iwe kubul..
Hakika uislam ndio dining ya haki isiyo na ubaguzi na ni msingi wa mfumo mzuri wa maisha ya binadamu..
Pole sana baby yangu
Allah akutakabalie hijja yako. Ammin
Mashaallah ila babu yetu mjanja sanaa nimependa alivyo jielezea Allah awatakabalie HIJJAH nasi tuombeeni dua siku moja tuende makka ❤❤🎉
Mwenyezi.mungu.atufuungulie.rizk.nasi.tùkahiji
Amiin
Amiin
Mzee wapo wanaongea kingereza na kiarabu pia tunajuw
Alhamdulillah .Allah akupe hajji mabroor. Viongozi ni lazima kuwaelekeza mahujjaji namna ya kujisaidia wanavopotea. Kwa mfano no ya mlango munaoutumia sana kuingia msikitini. Au hata vyoo vya msikitini pia vina no basi mukawa munanakuwa munawafatilia kwa humo.
Kila mahala polisi wapo... Kusaidiya... Wahujaji... Wapo tayari
Maskin. Babu. Nakuomba uniombee sababu umeongea nimecheka nanisiku sichek
Namumba mola wangu wahaki ajotole tajiri Alie ruzukiwa namola na Mimi nikahiji mwaka 2025 kwani riziki anatowa mola nitakacho jaliwa
Allahumma Ameena . Mola akupokelee maombi yako.
Yalio nikuta mimi yasiwakute wajukuu hi nimeipenda 😂😂😂 Allaah azidi kutuongoza kwakweli
Baba angu wa kigoma nimecheka sana 😂😂😂halafu kuhusu watz hajui kingereza sio wote babu bhn 😂😂😂😂ht cha kuombea maji baadhi yetu twakijua 😂😂😂
Sasa kama hotel ilikua karibu na mskiti kwann ulipotea?
Pole sana Na Allihamdulilah umeonekana
Mashaa Allah tabaraka Allah Alhamdulillah, Allah akubaliye dua zako Aamiin yaaarrab 🤲
😂😂😂😂😂chai nilikunywa.
Alhamdulilah umeweza kutekeleza ibada yako hukubabaika..
Umati Muhammad umejaa siyo rahisi
Pole sana babu ila ungesema hiyo zanjibar angekuelewa mapema Allah aifanye hija yako iwe niyenye kujibiwa
Pole Sana mweyezi mungu akupe ukitaka cho Amini yarambi 🤲
Huyu Mzee nampenda sana anastori sana tuko naye hapa Kigoma.
Muhimu kusoma jamani tunakwama baadhi ya mambo mengine kutofahamu faida yakusoma
Babu yangu umenichekesha sana,
Hotel ipo karibu lkn hukujua kurudi, unaisifu hatua mbali tu na msikiti.
Allah akulipe kila l kheri n hija mabruur
Pole mzee wangu lakini umeshahiji
Pole saaaana Babu kikubwa umefanya ibada yako tumuombe Allah apokee salaa na duwa zako wewe na Mahujaji wengine woooooote Ameeeeeen
Amiin 🤲🤲
Masha Allah hahahahaaaa
Babu mtihani umemkuta kutofahamu kusoma alama zasehemu
Hakuna hilo bus wala halija undwa
Basi la watu 260 duuhh
MASHAAALLAH ❤❤❤❤😅
Pole sn babu
Amina yaayaab
Zanzibar warabu😂😂😂😂
❤❤❤❤
Mashaallah
Mashalaaa
Pole saaana mzeee
Wazembe wasimamiz
HAPAN MAMY KILA SIKU WATU HUPOTEA NI KAWAIDA MADAM WANGU NAE ALIPOTEAGA KUANZIA ASUBH MPAKA JION NA SIO MZEE
Kupotea kawaida tu kwa hijja
Bc wazembe wacmamiz
❤❤😂😂
Mzee Kalamtana utavunja watu mbavu ukirudi Rwama
Hijja Mambroour.