TUNDU LISSU AKABIDHIWA GARI LAKE NA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA, NAMBA ZA GARI YAKE ZATUMIKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 221

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 20 днів тому +52

    Mheshimiwa hiyo gari ungeiweka makumbusho .kizazi na kizazi kikumbuke maovu ya ccm

    • @OstakiaCornely
      @OstakiaCornely 20 днів тому +3

      Kabisa

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 20 днів тому

      Umeongea maneno mazuri Sana(Sahihi kabisa )

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 20 днів тому

      CCM ndio waliotoa msaada wa kwanza kutoa ndege kwenda Nairobi. Ubaya ipo ulaaniwe kila unapotokea.

    • @Benj722
      @Benj722 20 днів тому +2

      Unakichaa wewe. Chadema walikodisha ndege hakukuwa na ndege ya bure mpuuzi wewe

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 20 днів тому

      ​@@hajihassan5433auna akili wew

  • @gregoryogweyo4598
    @gregoryogweyo4598 20 днів тому +18

    Hatari sana, Mungu akujalie maisha marefu Mheshimiwa, uisha hadi waliotenda na kufadhili unyama huu wote wapukutike

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 20 днів тому +10

    Tunaomba mlifanyie uchunguzi zaidi kama waliweza kuchukua Plat namba msitumie bila kulifanyia uchunguzi na kifaa chakugundua mabom sumu nk.jitahidini sana Mh Tundu Lisu pamoja na viongozi pole sana Lisu watesi wako watapokea malipo yao hapa hapa duniani yote kwa yote tunamshkuru Mungu🙏🤲

    • @user-xi2mf4xh7r
      @user-xi2mf4xh7r 20 днів тому +2

      Mh Tundu antphas Lisu Mungu ni mwema atazidi kukubaridi na utafika kaburini kama mganda wa ngano ulivyo kwa wakati wake,siku za maisha yako zitazidishwa na miaka ya maisha yako itaongezwa ktk jina la Yesu.kristo.

    • @zebedayodiganyeck2046
      @zebedayodiganyeck2046 20 днів тому

      Amina.

    • @simonchristian6319
      @simonchristian6319 20 днів тому +1

      Na atashuhudia mateso yao

  • @NimrodLeken
    @NimrodLeken 20 днів тому +12

    Legends Never Die..just like in the movies..Long live Daktari

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 20 днів тому +13

    Mungu ni mwema

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba 20 днів тому +18

    Tundu lissu mungu anamakusudi na wewe,,,mwenye haki hafanyiwi hila.

  • @nelsonngemera9832
    @nelsonngemera9832 20 днів тому +11

    Mungu ni mwema..

  • @songombingo108
    @songombingo108 20 днів тому +30

    Mheshimiwa weka gari hii kule Makumbusho.

  • @sarahjames2287
    @sarahjames2287 20 днів тому +15

    Vizuri kabisa Raisi wetu mtarajiwa

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194 20 днів тому +5

    Mungu akubari Tanganyika ukiwa na akili hawamtaki mtu ila tupo pamoja

  • @ozld4864
    @ozld4864 20 днів тому +10

    Mungu akulinde daima @Mh Tindu Lissu

  • @issayaamon5230
    @issayaamon5230 20 днів тому +7

    Hongera sana kamanda Lisu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 20 днів тому +16

    Mungu mwaminifu maana walitaka kutoa uhai lakini wamekupa tena

  • @user-uz2ze7xn1c
    @user-uz2ze7xn1c 20 днів тому +10

    Acha mungu aitwe mungu

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4p 20 днів тому +10

    Mheshimiwa tengeza hii gari ili uweze kuitumia, ila usizibe hayo matundu na uitumie hii gari katika safari zako zote za kifamilia na za kisiasa ili watu wote tuone, wajue na tukumbuke ukatili ya hao jamaa. Pole sana

    • @mzarendo.com9624
      @mzarendo.com9624 20 днів тому

      Hiyo point
      👍👍✌✌

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 20 днів тому +1

      Ni maoni mazuri sana ,,kwamba yasizibwe yawachwe hivyo hivyo ikiwezekana Gari liwekwe makumbusho,,,HUO NI UNYAMA WA MA CCM

  • @NimrodLeken
    @NimrodLeken 20 днів тому +6

    Legends never die, just like in the movies,. long live mheshimiwa may
    God keep you safe and well for eternity to come. Amen

    • @SAMWELKATIGIZU
      @SAMWELKATIGIZU 20 днів тому

      Mungu akutie nguvu baba mtetezi wa wanyonge

  • @MichaelNyhasi
    @MichaelNyhasi 20 днів тому +3

    Tuko pamoja kiongozi wetu, mungu akupe uzima.

  • @rosegeraldlyimo1269
    @rosegeraldlyimo1269 20 днів тому +7

    Ushauri wangu ni huu.
    Hiyo gari iwekwe makumbusho kama ilivyo halafu ufanyike utaratibu wa michango ununue nyingine.

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 20 днів тому

      Wazo zuri

    • @gangan4618
      @gangan4618 20 днів тому

      AMINA

    • @gangan4618
      @gangan4618 20 днів тому +1

      Watanzania tunaweza kumchangia mh Lissu, ili linunuliwe gari lingine; hilo likae makumbusho huenda wameliwekea SUMU MAANA CCM NA DOLA YAKE HAWAAMINIKI.

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 20 днів тому +2

    Naam! Nakubaliana na idea ya Lissu

  • @JohnMnzava-du2we
    @JohnMnzava-du2we 20 днів тому +7

    Lisu husingeisema hiyo gari muikamate hiseme wametoa wapi

  • @user-kj6yc5bv8c
    @user-kj6yc5bv8c 20 днів тому +1

    Mungu wetu ana makusudi na Tundu Lissu wetu hakika

  • @thomsonmwakyanjala7536
    @thomsonmwakyanjala7536 20 днів тому +2

    Tafadhali weka hilo gari bila matengenezo yoyote! Nikumbukumbu ya historia ya Taifa.

  • @josiahjosiah-MPs
    @josiahjosiah-MPs 20 днів тому +2

    GOD BLESS LISU GOD BLESS TANZANIAN

  • @PeterWilliam-mn5bh
    @PeterWilliam-mn5bh 20 днів тому +2

    Polesana kiongozi wetu mtarajiwa.badotuna imanikubwa nawewe.na mungu aliekukoa na katika mikno waomajambazi bado yukonawe tena kwa wivu mkubwa.kaza buti twende mbele.wanana haibu hata kukuangalia. usoni

  • @Ezekiel-xz8dl
    @Ezekiel-xz8dl 20 днів тому +3

    Mung akujalie afya njema tund

  • @conniesivaly8501
    @conniesivaly8501 20 днів тому +1

    Our God is very faithful! You are a living miracle Tundu Lissu! Long live

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 20 днів тому +5

    Mungu ana manguvu yake

  • @user-gd1yp1tu6g
    @user-gd1yp1tu6g 20 днів тому +2

    Hakika Mungu ni mwema sana sana sana

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 20 днів тому +5

    Hakika mungu mkubwaaa

  • @alltanzania
    @alltanzania 20 днів тому +1

    Ukuu na nguvu za Mungu vimedhihirika kupitia hili tukio. Hakuna binadamu anayeweza kuharibu mipango ya Mungu.

  • @zebedayodiganyeck2046
    @zebedayodiganyeck2046 20 днів тому +2

    MUNGU anabaki kuwa MUNGU na ataendelea kuwa pamoja nawe hata utimilifu wa dhahari. Mwenye utu,busara,hekima na ubinadamu hawezi furahia kitendo alichofanyiwa Lissu

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 20 днів тому +1

    Ipo Haja Yakumchangia Mh Lissu Gari Anastahili Gari Jipya

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 20 днів тому +4

    Ili Neno litimie🙏🏿

  • @AmiriNkungu-po7dy
    @AmiriNkungu-po7dy 15 днів тому

    Mungu akulinde san mh tundu lisu

  • @petermkumbo5094
    @petermkumbo5094 20 днів тому +2

    Ungepitishwa mchango tu ipatikane mpya,hii ikawekwe makumbusho .Wazo langu.

  • @deborahlagila6351
    @deborahlagila6351 20 днів тому +1

    Tutachangia mweshimiwa Lisu

  • @AnordMgisha-on2mh
    @AnordMgisha-on2mh 19 годин тому

    Saf San baba 🎉

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 20 днів тому +1

    Usibadili kitu, zunguka nayo kwenye mikutano tuione please.

  • @HappyMountainGoat-wh8ko
    @HappyMountainGoat-wh8ko 20 днів тому +3

    Gari imetoka, je! Uchunguzi wa lile tukio umefikia wapi?

    • @edwinmbelle4207
      @edwinmbelle4207 20 днів тому

      Uchunguzi unaendelea mlalamikaji alikataa kuhojiwa

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 20 днів тому

    Uncle Lisu wewe zaidi ya chuma 🛠️ mungu akutangulie rais wetu mtarajiwa malipo ni humu humu 🇹🇿 tz ✌️✌️✌️

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq 20 днів тому

    Mungu akulinde mheshimiwa lisu

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 17 днів тому

    Rais wetu

  • @user-dh4xn4qc2d
    @user-dh4xn4qc2d 17 днів тому

    Nadhani kama Kuna yaliyotumwa uuwawe na yule muovu kibaka bsi Mungu atakuwa alishaliondoa hapa make lilikuwa jinga sana lile lilikuwa halifai kabisa

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 19 днів тому

    Pole san baba angu

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 20 днів тому +1

    itumike kuzunguka nayo kwenye shughuli za kisiasa nchi nzima wananchi wajue uovu wa nchi hiii

  • @alexbitakwate
    @alexbitakwate 4 дні тому

    Kamanda rpc dodoma ama kweli nilikuelewa vilivyo kwa namna ulivyoshugulikia suala la gari la kamanda lissu,lakini chanzo cha dhahama hiyo ndo bado.

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c 19 днів тому

    Ipo cku mwenyez mungu atatenda kwako utuokoe

  • @FilbertFissoo-pe2xm
    @FilbertFissoo-pe2xm 19 днів тому

    Mwenyenzi mungu akupe afya njema mtetezi wa wanyonge na haki uishi miaka mingi

  • @ibrahimdavid6219
    @ibrahimdavid6219 20 днів тому

    Mwakatobe mtata huyo😂😂😂

  • @user-pw8pi1ev9u
    @user-pw8pi1ev9u 20 днів тому

    Mwenyezi MUNGU BABA MWINGI WA REHEMA NA NEEMA AKULINDE UWE NA AFYA NJEMA UZIDI KUFANYIKA BARAKA

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 20 днів тому +1

    Mmmh, pole sana

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 20 днів тому +1

    Nilichogundua hata polis wanampenda pia kwa Sababu Huwa anawatetea wakati mwingine Tanzania inatakiwa kuwa hivi

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g 20 днів тому +2

    Achani matus uzima haununuliwi ipo siku yagtageukia kwenye familiza zenu

  • @daviddsouza735
    @daviddsouza735 11 днів тому

    Gari naomba liwekwe makumbusho

  • @osodowilberforce
    @osodowilberforce 15 днів тому

    Congratulations Hon.Lissu.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 20 днів тому

    Pole sana Lisu, jamani Mungu ni mwema sana

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 14 днів тому

    Ipelekwe makumbusho na matundu ya lisasi hivi hivo

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 20 днів тому +1

    Nipo tayari kukuchangia kabisa

  • @enocepaulkumba9362
    @enocepaulkumba9362 20 днів тому

    Kamanda wa vita!.
    Mungu na akutunze.
    Katika nchi hii umefanyika baraka sana tena sana!
    Wewe ni wa pekee!
    Wenye nia ovu na maendeleo ya nchi hii walidhamilia kukuua lakini Mungu ni mwema akawaondoa wao!.
    Jina la Bwana lihimidiwe.

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 19 днів тому

    Mungu ndio anatoa uhai pole sana

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry 20 днів тому +1

    Siku ya kwenda kualishwa kuwa Rais wa hii nchi gari hii ndiyo uitumie, na Nembo/ Ngao ya ikulu ibandikwe, kisha ndio iende makumbusho.

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 20 днів тому

    Mungu akulinde mheshimiwa

  • @MahadhiHusseni
    @MahadhiHusseni 20 днів тому

    Mungu mwema

  • @lellodidass.6851
    @lellodidass.6851 20 днів тому +3

    Duuh binadamu hawajui Mungu ni fundi.

  • @user-uk3eg3uo7s
    @user-uk3eg3uo7s 20 днів тому

    Hukumu ya mungu aliye hai iwe juu ya wote waliohuska kutaka kumuua lisu amen.

  • @evermbano5396
    @evermbano5396 16 днів тому

    Hii gari asiitumie Tena tumchangie gar mpya ukakaae makumbusho

  • @FSanja
    @FSanja 20 днів тому

    Pole Sana Tundu Lisu

  • @jacksonbohbahck6307
    @jacksonbohbahck6307 20 днів тому +1

    Mungu fundi xn

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 20 днів тому

    It's really pathetic! Kuna binadam ni wabaya Sana! Kikubwa umepona Mheshimiwa. To God be the glory!

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 20 днів тому +1

    Wana nchi tunapendekeza hili gari liende makumbusho . Kama ni gari tutachanga upate nyingine

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 20 днів тому

    Watz ni mbumbumbu...bado hawaoni sababu ya kuyakataa ma-ccm

  • @assenganews9435
    @assenganews9435 20 днів тому +4

    Mungu anasababu za kutoa hai na tunaziona sababu

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 20 днів тому +2

    Pole sana ndugu yetu lisu mngu akulinde sana

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 20 днів тому

    inaonekana ulitakiwa uuwawe .dah pole sana

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t 19 днів тому

    Pole sana mheshimiwa wetu

  • @josephkajumulo1994
    @josephkajumulo1994 20 днів тому

    Dah Mungu mkubwa saan!amlinde Zaidi mh.Lissu

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 20 днів тому

    Mungu akakupee kila neema kwa ujasiri uliokuwa nao! Hii ikawe kumbukumbu katika Tanzania hii!
    Vyombo vya usalama mnajisikiaje kwa kutofuatlilia kikamilifu hili jambo.

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 20 днів тому

    Mungu ni mwema kwakweli
    Sema hili gari lijengewe liwe la makumbusho

  • @danielsighis9953
    @danielsighis9953 20 днів тому +1

    Hii sasa imekaa sawa

  • @assenganews9435
    @assenganews9435 20 днів тому +1

    Nice

  • @stevenfrancis9115
    @stevenfrancis9115 20 днів тому

    Wengine tunashindwa tuandike nn,enatisha

  • @sarahstopher6209
    @sarahstopher6209 20 днів тому

    Makumbusho inayotembea

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 20 днів тому

    Pole sana mzee wangu daaah kuna mda sijui niseme tulipitia Faida sijui hasara navuta picha tu mfano tundu ngekuwa baba yangu na akatendewa haya navuta picha familia yake ilipitia wakati gani haya mambo yangekoma kabisa si mambo ya kuomba yajirudie tena hii nchi ilifikia wakati ikaogopesha hata kujielezea tuu mtu unapata shaka

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 20 днів тому

    mkuu wa jeshi la polkisi dodoma hana kaz

  • @mputamputaa5347
    @mputamputaa5347 20 днів тому +1

    AllahuAkbaruuuuh

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 19 днів тому

    Gari mpya kwa Lisu ndo haki na hili likae hivyohivyo watu waje walione na kukiri ya kuwa yupo MUNGU ANAYETAWALA.

  • @matatamatatatours3237
    @matatamatatatours3237 20 днів тому

    Hilo like kama
    Makumbusho
    Liache ivoivo
    Na matundu yake ya risasi

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 20 днів тому

    I hope the car is safe
    Take care ka Lissu please ❤️🙏🏾

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 20 днів тому

    Ila viongozi wa serikali ya CCM 😢😢😢😢

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 20 днів тому

    Kwamaana iyo jeshi letu lapolisi limeshindwa kuwapata waalifu?

  • @erickpallangyo1325
    @erickpallangyo1325 20 днів тому

    Duh😢😢😢😢 MUNGU nimwema sana

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle4207 20 днів тому

    Tushukuru mungu kila wakati

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 19 днів тому

    Mkishinda uongozi hiyo gari ndo ukubebe kwenda kazini

  • @SemuAmini
    @SemuAmini 20 днів тому +3

    Hapo ndipo unapoiona nguvu ya MUNGU aliye hai .

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 20 днів тому

    Pole kamanda

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 20 днів тому

    Mheshimiwa Tindu Lissu , hilo gari tafadhali usitengeze wala kulitumia tena, ingekuua Tanzania ya mwalimu Nyerere , serikali ungekununulia gari jipya na hilo kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa, watoto wetu na wajukuu wana somo nzuri la Democracy na haki kuwa inapiganiwa haipatikana kirahisi ni kama mapambano ya kupiginia uhuru wetu.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 20 днів тому

    Anapendwza kuwa Rais wa nchi yetu ya tanganyika

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 20 днів тому

    Hata mimi nakubali,kuna kitu kinakuja

  • @feliciankavishe6792
    @feliciankavishe6792 20 днів тому

    Mmnaona hiyo gari machine nayo tumchangie amateur gari mpya yakisasa

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot 20 днів тому

    Kwakweli lisu Mshukuru MUNGU Kila unakokwenda Yani ndiyo maananampendaga MUNGU