Mahojiano kamili na Balozi Masilingi na Mbunge Tundu Lissu
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2019
- Mbunge wa upinzani Tundu Lissu na Balozi Wilson Masilingi wa Tanzania nchini Marekani katika mahojiano na Sauti ya Amerika mjini Washington
Originally published at - www.voaswahili.com/a/4777565....
Kama umeelewa tofauti ya serikali na taifa katika mjadala huu gonga like tujuane
tatizo analelewa ndo maana anashindwaa kuongea
Sema usikike
Barikiwa sana Mh. Lissu
Kama umemuona balozi anataka kushika glass ya maji lakini imemshinda kuichukua,,kwakumuogopa lissu gonga like
Lisu iko visuri
Eti wapinzani wanaogea wanapo taka kila sehemu duuuuuuh....! Gonga like km umeskia
Napenda sana Lissu anavyopanga hoja.
Lissu is genious
Hahahaha ukiwa unampenda tundu lissu...unapata raha sana...
Sasa wewe kama shoga unaachaje kumpenda Tundu Lissu na ngojea wazungu waje watawalamba kweli
big up...lissu... #viva lissu#
Halafu humu inayomwona Tundu Lisu ni mjinga ni mitoto ya mifisadi"ukute mitoto ya mawaziri au mibunge ya ccm!'"Mungu amempa Tundu lisu nafasi nyingine ya kuishi mwacheni ashuhudie makuu Mungu aliyomtendea:'",,THE LIVING MIRACLE!!!!
it sounds
Balozi Hugo ni choko anataka dereva arudi kiholela wamuuwe
Tundu Lissu Mungu akubariki achana na hao wasaka tonge hata kuongea hawawezi wanatetea matumbo yao tuu.
Tunaendelea kukuweka kwenye maombi yetu Comrade.
Mi nadhani bora baraza la mitihani, NECTA waandae majibu sahihi juu ya swala hili (marking scheme) la sivyo mtu anaweza akarusha ngumi hivi hivi.
Kama umeona balozi alitaka kunywa maji akaona kikombe cha moto acha like yako hapa tujuane
Pale akili ndogo inapokutuna na akili kubwa. God bless you hon. Lissu.
Kila hatuwa duwa tundu lisu one love
sijui Kama balozi n Baba kwny familia yake... ajielewi
When you speak the truth you become so confident and when you speak the lies you become so emotional
Mmoja kati ya hao amekasirika na mmoja anaongea kwa kujiamini, mwenye akili timamu ameshajua nnachomaanisha.
You very intelligent Tundu Lissu than huyo Mashilingi. Mashilingi anatetea ugali wake huyo.Ningekuwepo balozi ningempa ngumi moja ya pua.
Masilingi anazungumza hoja kama mtu wa mtaani eti watoto bure hajui watu wanachangishwa kwa nguvu 60,000/= kila darasa
Kikojozi tu huyo jamaa bure ya wapi tunasoma bure elimu haitukomboi
60 tu,,,hela zakulipa walimu je
Huyu hana Sifa ya kuwa balozi mbn anabishana kienyeji tena anamkatisha Lisu duuuh ,,kweli ushabiki mbaya
0
Nenda ukawe Balozi wewe
bata wewee
Hunda mania Mania tatizo kutetea tonge ivi kweli kama angekufa uchunguzi ucngefanyika? jibu la balozi ndani kuja jambo kiukweli lisu amemfafanulia vizuri sn balozi ameelewa ila anahofia kuwa kunamtu anaangalia lazima ajibu kihuni
Hata kama niwewe unadhani unaweza kuungana na tundu lisu,uharibu ugali mbele ya magufuri,
Valentina Mussa ndio maana hajitambui eti kama ngekufa kufa basi balozi hajui hata kumjibu mtu balozi akiongea lisu ananyamaza lisu akiongea yeye anamzuia alafu anajiita mwana sheria ndio maana lisu kamuuliza ww mwanasheria gani kwasababu haongei pwenti
Huyu jamaa amuwezi lissu watafute mtu mwengne apambane na lissu huyo kashindwa
Lisu unahistahili kuwa raisi wa TANZANIA;jamaa analinda kibaruwa.dr Congo tumupate mtu kama mheshimiwa Lisu ni raha sana ila nabii hana heshima kwao.
Dhambi ya kumwaga damu inawamaliza kwakweli!
wote mnaemuombe tundu lisu katka opereshen yake ya 23 like hapa twende sawa
Huyu balozi gani hana weledinwa kujibu maswali kama ndio hivi unafikiri kuna usalama gani kwa mwenendo huu hafai huyu kengele jibu swali acha hasira za kiyaya
Kwakweli kama balozi unatakiwa kuwa na hekima unapojibu hoja,
Ni kweli kila mmoja ana mapungufu yake lakin kwa hili hapana mmezidi na inaonekana wewe kama balozi unashindwa hata kumvumilia mtu ejieleze kwa uhuru, mpe uhuru jenga hoja na jibu hoja ya kujibuu
Mbona balozi umepaniki!?!ukweli huwa unauma jamiii
mungu akulinde lisu..hakika hutokufa utadumi milele
Masilingi wakati wote ambao kikwete amekuwa raisi tukumbushe lini kuliwahi kutokea wabunge kupigwa risasi
Na watu kunyanyaswa kiasi kama cha leo
Mabalozi wengine bana
si bora mnipatie hata mimi huo ubalozi
Usijadharau kiasi hicho bro! Time yako itafika na utakula Kwenye sahani yako iliyosafi. Mkosee tuu mtu ila kiwango chako kama raia mwema wa nchi yetu huwezi linganishwa na mabongo Lala!
Watu wa chama cha mapinduzi nguvu tu
Wanao msifia mashilingi wote akili zao zikapimwe...kwataarifa yenu mashilingi kakutana na moto chuma ety anamladhimisha lissu arudi nyumban kwel hawajamaa wanatetea matumbo yao ameulizwa jeshi la polisi limemhoji nan anaanza kumumunya maneno....na subirini Tundu lisu aupate uraisi ndio tutaelewana manake watu wasisiemu mmezidi sana uonevu
Anataka Arudi wakammalize tu hawa huyu ambassy analilia kula yake
Geofrey Emanuel mmm
Geofrey Emanuel we nae ni nyumbu kweli kweli
Wewe huna akili ndio maana huoni kitu fall wewe na nahisi wewe ni shogaaa kataaa Mungu anakuona jinga wewe
wewe utakua mwebdawazimu sio bure
Duuh unajua nini tunaumbuka daah inatia huruma sana lissu wasamehe hawa watu huwenda wakajirekebisha wakiumbuka wao kilio chao ni aibu kwa taifa
Inatakiwa waumbuke wajutie makosa yao
Said Shoka amsamehe nani we nyau mwenye utindio wa ubongo?
Said Shoka haaa haaa duh umeliona hilo mkuu
Huyu baloz kilaza kweli anongea mpaka anataka kulia
Kaona kitumbua kinatiwa mchanga, keshazoea unyamwezini tena akitumbuliwa....?!
Duuh kumbe hata wewe umemuona aiseee balozi katia aibu swali la kwanza tu alitetemeka mpaka akawa hajui kama anywe maji au ajibu swali kabaki anapepesa macho
Huyo balozi akili nyepesi mtetea tumbo
Hii tz mabalozi wetu ndio wajing kiasi hiki ... Kweli ndio maana wazungu wametuonea muda wote
Huyu balozi nae kichwa maji kabisaaa ,kateuliwa na ccm kwa hiyo hata huyu balozi ni kichwa maji
Nusu
Nusu
Hujioni kuwa kichwa maji ni wewe?
Long long life tundu lisu .
Balozi mjinga kweli eti anamwambia Tundu lisu kufa sasa wauwaji wakubwa nyie.
Suma Hunga kasema hukufa sasa hujamsikiliza vizur
Nimecheka kifala et kufa ssa uyu baloz amka ki2 apo
Suma Hunga masikio yako umepeleka wap? kasema NDO HUKUFA SASA yaani uko mzima
@@smarty1064 kusikiliza ni karama pia si kila mmoja anayo. Hawa vijana wameamua kusikia yale ambayo wameyajenga mawazoni mwao na si kinachozungumzwa. Wamepoteza ufahamu 😁😁
@@lizb2012 ni kweli, hapo ndo linakuja swala la namna ubongo unavyotafsiri, kuna slow learners, kuna intelligent people na wengine ni ma genius kwahiyo twende nao polepole
Baloziiiiiiiii, umeminywa😂😂😂😂
Hhhhhhhh hhhhhhhh tundu brother unawapa tabu watu alwayzzzzz mungu akulinde nakukubali sanaa ndgu
Kijana tulia baba aongee we vip nanataka arud tanzania hili mtume watu wasio julikana hiiii.aujui ata kuongea hiloooooo Chadema oyeeeeeee
Mungu Mkubwa Ongera sana Tundu Lisu Huyo Balozi siyo Revo ya Tundu Lisu labda Wangemleta mtu mwingine
Huyu balozi si level ya lissu kabisa
LAST GENERATION
Jasho lina kutoka Mashiringi
lissu wa Tanzania tunaimani nae hajawai kutuzalau watanzania wala hajatukana watanzania uyu balozi anatetea tumbo lake
Watanzania na nani
Huyu balozi anatumbuliwa muda si mwingi maana anaonekana hajui hata kujibu maswali
Balozi apimwe mkojo maana hiyo siyo akili ya mtu mzima
Utabili wako ulitimiaga alishatmbuliwaga kitambo sana
@@hchriss7930 kumbe??
Balozi wetu kwa tundulisu ni mwepesi sana tundu ni Level nyengine kabisa mpaka unamuona hapo kasha kwepa mishale mingi!
hahahha, nimecheka kwa kweli
Huyu Masilingi amepwaya kama chupi ya kuazima. Asante sana Lissu
Uyo balozi ni mzushi
Viva Lissu Viva ...Niko tayari kuingia msituni kupigana kwa ajili yako
Nmecheka sana et asante balozi
Nimemkubali lisu
"Wewe mwanasheria wa wa wapi!??" lissu
Mashilingi umeambiwa mambo mawili matatu... Hahahhh unataja mambo meeengiiiiiii.... Chaaaaa!!!! Taja ya muhimuuuu!!! Doooooh...
Huyo barozi walichelewa kumpa somo kachemsha kweli kaka .Tundu Lissu wasamehe tu .Huyo balozi hawezi hatakujibu swali just kutapatapa alivyo tumwa kujibu hawezi bora arudishe kulima kuliko Aibu .Duuuuu Jesus Bless Tundu Lissu Amen.
Mashiringi mbona una jazba ? Jicho lime kutoka, jibu hoja sio una payuka payuka
Hana uwezo wa kubishana Kwa hoja
Olivia Seth anayepayuka ni yule anayetukana, na akijibiwa ana anasemama mwanasheria Wa wapi , wakati mwenzake ana first class ya degree ya sheria isitoshe ana experience kubwa kuliko yeye na katka mahojiono ya kingereza alikili hilo,
Kwani first class ndo nini ?? Mitihani??
Masilingi tulia basi hiyo ngoma ni nzito
Mashiringi hawez bishana na lisu , lisu is too good for him
Hahaha wanang'ang'ania arudi Tanzania ili wamkamate. Ccm bwana wanajifanya wajanja, Mr Lissu usirudi tz ng'o
Sio kumkatama tu watamuuwa kabisa
Wanataka wakamuue kabisa lisu ama kweli ccm ni magaidi
Sasa wewe balozi una taka kuliya kwasababu ume hulizwa maswali magumu yenye kujaa ukweli ,wewe ni Mjinga kweli
Ushauri kwa Tundu Lissu.Uko mahiri sana ktk kujibu maswali kwa ufasaha ,hoja nzito na weledi wa sheria.Dosari ndogo kwako iko kwenye lugha ya mwili (body language).Jizuie kumnyooshea usoni kidole yule unayeongea naye.Vinginevyo Mungu amekujaalia umahiri wa kujieleza.Hongera kijana.
balozi hajui anachokiongea anakua Kama sio mwanasheria hajui kujielezea na hana ushaidi wakutosha anabishana kienyeji tu
Raymond Paulla Uncle Hakuna kazi ngumu Kama kuongea uongo ndo maana baloz amepata tabu, ukwel una tabia ya kujitetea wenyewe, Hata huyo baloz najua nafc inamsuta ila no way
Duh sio kwa ku Punic huko
Barozi anaweweseka Kweli Kapanic mbaya hana hoja za kumjibu Lissu zaidi ya kusema arudi nyumbani. Waswahili wanasema mchawi akikuroga akashindwa kukuua anapokuona unatembea huwa anumia sanaa.
Mbunge wa zamani wa Muleba kasikazini
Wana akili ndogo sana. Live long lissu!
Tundu lisu mmoja ni sawa na wabunge wote wa ccm.
Pole sana tundu lisu. Nashukuru mungu umepona.
Kama Tanzania yetu kuna wanasheria wa aina ya Masilingi, hawafai kuwa Watanzania kabisa, maana wanasheria wa aina hii mwisho wa siku ndio wanaotusainia mikataba mibovu, sasa mwanasheria gani anaulizwa swali kuwa mmefikia wapi kuhusu kesi ya Lissu? eti anajibu Lissu hajaonyesha ushirikiano, Lissu anamuuliza tena ningekuwa nimekufa msingefanya uchunguzi? mwanasheria Masilingi anamjibu haujakufa hupo, wakati wanajua kabisa huyu jamaa ndg Lissu yuko kitandani anaumwa zaidi ya mwaka sasa hakuna uchunguzi uliofanyika, kwa maana kwamba Lissu akipona aje afanye mwenyewe uchunguzi wa waliompiga lisasi, maana tumeanza kuona baadhi ya wabunge wa ccm wakitoa majibu ya namna hiyo ya kuwa Lissu anatakiwa aje afanye uchunguzi mwenyewe atawabaini waliompiga lisasi. Kwa majibu haya inaonyesha dhahiri shahiri wanawajua waliomshambulia Lissu na ndio maana uchunguzi hauwezi fanyika habadani. Ila wakae wakijua siku za mabadiliko ya kweli zaja na ndio itakuwa kuna kulia na kusaga meno,namaliza kwa kusema hivi hao wasiojulikana wangejulikana wangepewa kazi maalum ya kuwaondoa wanasheria wa aina ya Masilingi ambao wapo nhchi hii kwa masirahi yao binafsi.
Mkiza Kamuhungilao
Balozi anatetea ugali wa familia yake tu pumbavu
Masilingi humuwezi huyo...Kabudi ndo level zake!
Masilingi kafunikwa
Huyu Balozi alichaguliwa kwasababu ni NGOSHA. and Muhaya.
Umeonanee
Lisu yuko vizuri mno isipokua huyo balozi ni mpiga debe wa CCM
lissu upo vizuli sana umesema ukweli lissu
Huyu Baloziiii nimemshusha hadhi ya kuwa baloziiii kwa pressure hii!shida sana!
Huyu balozi ni mwanasheria wa wapi mbna hafati protocol
barozi hajibu maswali yanayostahili Na siyo mwanasheria huyo anatakiwa kutulia asikilize hoja halafu ajibu nasiyo kumkatisha maongezi yake siyo haki kabisa hiyo ndiyowatu husema ndiyo Wale wale
Huyu balozi kajaa upepo usio na sabubu mpaka anashindwa kujenga hoja ya msingi hii inaonyesha kuwa kinacho semwa na Mheshimwa Lisu ni kweli kabisa
Duuuh
hahahahaha 😂 6:12 Balozi "unajua kwanini TUNAUMBUKA...?"
kumbe unafahamu kuwa mnaumbuka eh?
Uyu balozi aliye na mapungufu ya akili na elimu , ndo anaye kuwakilisha marekani kweli !?
UJINGA SANA halafu hivi kuna watu wanaamini kuwa wabongo ni wajinga na wanaweza kuwadanganya watakavyo, Asa ivi watu ni werevu Sana ukitoa hoja ujipange ,Balozi kakurupuka hata uso unamsuta na dalili za kuzidiwa ni kupora muda wa mwenzio
Ndio chama chako iyo chukua chako mapema
@@ukweliunauma4570 Mjinga
@@victorkawinner126 mjinga wewe au mie umejuaje kama wewe sio mjinga pia
@@ukweliunauma4570 kwasababu naji elewa ,wew ahu jielewi
this is America Mr gambino
kwa kifupi balozi hamuwezi lissu
Power of knowledge vs power position
Balozi kilaza
Safi sana nchi yangu Tanzania Pimbi kama huyu inatakiwa kula nae sahani kama hivi
Kazi nzuri ya serikali gani wanafiki
Uyo hana sifa zakua boloz iv ingetokea kapigwa yy lisasi ingekuaj? Hana maana.
Huyu balosi ameekwa tu hajui llte sijui kama hata amefika form4
Ndezi boy sanga lisu ksvulugwa ,siurudi kwenu kwanza au kama hukutaki njoo uchukue family yako
Ndezi boy sanga Dah hili pank, kiduku?
moringa. devid
moringa. devid
Duh hawana sheria jaman duh
Afya ya kuzulula uko unayo yakurudi huku huna heeeh aya saw
Balozi masilingi kunywa mvinyo mi nipo kwenye dream liner nakuja kulipa bili hiyo nyambafu umepigilia misumali ya maana kweli.
Tundu lisu baba etu tunakusubi sana uludi pona halaka
TUNDU LISSU shikamooo
Ukitumwa ukajibu hoja za lissu duh kimbia LA sivyo utaaibika😂😂😂😂😂😂😂
Uwiiiii balozi acha uwongo unatuaibisha na unajiaibisha,,,,Shule zipi bure walimu hamna
duuh balozi hana uwezo wa kuongea wala kujenga hoja, walio koswa koswa kuuliwa wanajua thaman ya uhai,bravo lisu,, yan hapo shikilia nchi ni ya wananchi wa tanzania na si serikali
Balozi umepaniki sana
lisu1 sawa na mabalozi wote wa nje na wabunge wote wa ccm
Nimemuelewa balozi sana, hataki longo longo hataki maneno ya kusikia
Inamaana maisha yako yote balozi hukuwahi kusikiliza maneno ya watu, mpka ujionee mwenyewe?
Hahahaha... Balozi nimepata neno kwako..MZEE WA FURIIIII....
Huyu kweli ubaluzi duh
Umetufundisha vibaya sana utawala was makufuli
Tundu lissu ana akili nyingi Sana,muone barozi wetu alivyojing'ata ng'ata hahahaaaa
balozi una fact....pointless unatetea tumbo
Wanyeeeeee babaaaaa
Mwenyez múng. amulnde lsu
Viva lissu hili mashilingi jinga kabisa eti linasema "tangu mheshimiwa,raisi ,amiri jeshi mkuu,dokta, John pombe Joseph Magufuli" hivi kwenye viwango vya kujipendekeza lazima utaje mavyeo yake yoote hayo??
Huyu Balozi ni Aibu tupu kwa taifa!!!!! Brother Masilingi Katika mjadala mzito kama huo kupitia chombo kikubwa cha habari duniani ulitakiwa udhihirishe wazi nafasi yako kama mwakilish thabiti wa hao walio kuteua ktk kujenga na kutetea hoja, lakn imekuwa tofauti maana unaishia Kupaniki tu na huna la kujibu kutokana na Hoja za upande wa pili kujikita ktk uhalisia tupu!!!!!
THINK TWICE BROTHER!!!!!
Wewekweri