Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
Вставка
- Опубліковано 29 січ 2015
- Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.
Tulioiona 2024 gonga like
Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤
Mrith wa bwege je umemwona??
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje
@@kpetres2872 kilaza wew
Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm
2023 still watching him 🤣
Zaidi ya 1,000
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii.
#Lissu Baba Laooo
Sheria imezidiwa na tundu lissu
Jamaa hatar uy7
Big Up lisu mungu akupe afya njema
Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,
😆😆
CCM hamna kitu
Ni zaidi ya 2000
Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,
kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe
Nimemkumbuka Kwa kweli
Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa
Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa
fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu
lisu uko vizuri baba
Lisu ana material mengi sana kichwani kwake
laws of Succes
Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo
Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!
InstaBlaster.
😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE
Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu
he was too good for bunge la tanzania
lissu heshima yako.
Hio nihazina yataifa
Mungu akubariki risu ukoveeeem
Lisu mungu akubarik akupe nguvu
Mungu akulinde Mwamba. We love you brother
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
Mwamba wangu.
MH.Lissu Rais wng wa Moyo.
Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu
Hapindashagi
Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete
Hivi tumbuatumbua lisu alishauli
Mwamba wangu lissu nakukubali saana
Safi Sana Lisu
😅😅 nakuelewa xana mze bb
hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .
Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo
KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU
"Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.
Ulikuwa wapiiii ww
katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu
Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa
mrithi wa fedrick wa walema
Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.
Lisu wew ni mtu muhim sana
Lissu ever brave, competent, not lying
LISSU
Lisu kiboko Yao
safi brother.
good lisu
Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.
Tundulisu anafaa kuwa Rais
Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi
AMINA
Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema
Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania
Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.
Lissu we nisheeeda
Otuba za king msukuma
mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰
kichwa
Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,
ukawa oyeeeeeeee power
Lissu for life
safi lisu
Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge
saf sana
maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha
kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda
Lisu forever ♥
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana
Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm
lisu safi sana,..
ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana
Bona alikula mda wa mwezake bila sababu
Hili ndilo bunge
Big up Lisu
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!
Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!
sasa hv ukianzia mwenyekit wa mtaa anatokea c.c.m diwani c.c.m mbunge c.c.m rais c.c.m nchi gani ya mfumo huo inskosa maana ya kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa rais nyerere alisema maendeleo ya nchi yasipoletwa chama yataletwa na mtu leo hii tunaikumbuka siku ya nyerere day kwakuongezeana mshahara mkulima kumuongeza bei ya pamba wala hamkumbuki huu ni ujinga
Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano
tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni
Hakika Mungu alikuleta LISSU UTUKOMBOE JAPO MBWA SISI TUMESHUPAZA SHINGO NA KUKUONA UNAMANENO MENGI BILA KUJALI FACT ZAKO
Liiisuuuuuuuuuuuuu!
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
😆😆😆
Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui
yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi
tanzania aituhusu sisi raia wa kawaida ni tanzania ya viongozi tu
Lisu oyeeee
uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana
Ali kuwepo bungen wana nchi tuli ona uzur wa bunge Sasa bandali ime uzwa nasubili ikulu iuzwe ili nipate mgawo wangu
hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?
LASDOPLUS TOURS LIMITED BLOG links yametimia Sasa yeye ni raisi
duuuuuuuuuuuuuuh ww balaaaa
Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri
Genus!!!
lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa
God bless lisu for ever and never
Wapigaji ni wengi katiba mbovu
Lisu uwezi pigiwa makofi hapo wote waoga
Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!
Tundulisu Hata mukimchangia Wote Ccm Hamumuwezi Uyo ni Hatr
Lisu hatari
Mwenyekiti akikuwa mtulivu
Huyu Lisu ni msomi mzuri na hoja zake waga zina mashiko ila hana nidhamu Tangu zamani ana maneno ya shombo sana
Nizamu ya kuibia hera maana ambao wanaonekana wako kimya ndio wanafuja pesa za nchi
Uyu mwamba kumbe mtata tangu kitambo
Mbona kipindi cha magufuli hamkufanya hayo hiyo kstiba kipindi cha magu au katiba ilikuwa likizo
Lisu tunakusubiri urudi dah
Kama lisu angekuwa mzalendo kwa aina hii mpaka Leo hakika angeaminika na wananchi kwa asilimia Mia moja
Uyu mukweli anafakuwa lais