Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 січ 2015
  • Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.

КОМЕНТАРІ • 290

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 5 місяців тому +44

    Tulioiona 2024 gonga like

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 5 місяців тому +16

    Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 Рік тому +4

    Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 3 роки тому +59

    Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 3 роки тому

      Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 2 роки тому

      @@kpetres2872 kilaza wew

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Рік тому

      Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm

    • @ismailyusuf3543
      @ismailyusuf3543 Рік тому

      2023 still watching him 🤣

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Рік тому

      Zaidi ya 1,000

  • @ken-ul2jg
    @ken-ul2jg 7 місяців тому +5

    Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.

  • @chiefkaitaba8293
    @chiefkaitaba8293 Рік тому +8

    I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii.
    #Lissu Baba Laooo

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 4 роки тому +7

    Sheria imezidiwa na tundu lissu
    Jamaa hatar uy7

  • @makimbiliotvtv2644
    @makimbiliotvtv2644 7 років тому +48

    Big Up lisu mungu akupe afya njema

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 років тому +56

    Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 років тому +22

    Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,

  • @sadikisalumu5253
    @sadikisalumu5253 5 років тому +23

    kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe

  • @yohanaswalo4716
    @yohanaswalo4716 5 місяців тому +4

    Nimemkumbuka Kwa kweli

  • @MadeliTV
    @MadeliTV 4 місяці тому +2

    Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa

  • @eliamkamba6899
    @eliamkamba6899 3 роки тому +13

    Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa

  • @frankkabombo8439
    @frankkabombo8439 8 років тому +21

    fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe9520 8 років тому +37

    lisu uko vizuri baba

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 7 років тому +45

    Lisu ana material mengi sana kichwani kwake

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Рік тому +4

    Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 років тому +43

    Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 3 роки тому +9

    he was too good for bunge la tanzania

  • @shimmysima1311
    @shimmysima1311 8 років тому +42

    lissu heshima yako.

  • @danielsinkamba3719
    @danielsinkamba3719 5 років тому +9

    Lisu mungu akubarik akupe nguvu

  • @ernestmatimba9964
    @ernestmatimba9964 2 роки тому +7

    Mungu akulinde Mwamba. We love you brother

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 2 роки тому +1

    ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 роки тому +4

    Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa

  • @kelvinmbena4562
    @kelvinmbena4562 7 років тому +29

    my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Рік тому

      Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Рік тому

      Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Рік тому +3

    Mwamba wangu.
    MH.Lissu Rais wng wa Moyo.

  • @ashirafubesta1018
    @ashirafubesta1018 Рік тому +10

    Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu

  • @xaveryngonyani-nb1nx
    @xaveryngonyani-nb1nx Рік тому +1

    Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete

  • @sharifunchimbi785
    @sharifunchimbi785 4 роки тому +6

    Hivi tumbuatumbua lisu alishauli

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Рік тому +3

    Mwamba wangu lissu nakukubali saana

  • @petermwasipu1778
    @petermwasipu1778 8 років тому +20

    Safi Sana Lisu

  • @user-ws6dq3vq7t
    @user-ws6dq3vq7t 11 місяців тому +2

    😅😅 nakuelewa xana mze bb

  • @isaali9630
    @isaali9630 7 років тому +23

    hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .

  • @betramkapinga795
    @betramkapinga795 8 років тому +15

    Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm8270 7 років тому +13

    KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 4 роки тому +12

    "Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.

  • @festussichula8866
    @festussichula8866 5 років тому +17

    katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu

  • @mragahpallangyo6261
    @mragahpallangyo6261 4 роки тому +7

    Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa

  • @markomoter3190
    @markomoter3190 9 років тому +11

    mrithi wa fedrick wa walema

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki1273 2 роки тому +2

    Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri7726 3 роки тому +8

    Lisu wew ni mtu muhim sana

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 роки тому +33

    Lissu ever brave, competent, not lying

  • @datiusgabriel8277
    @datiusgabriel8277 8 років тому +24

    Lisu kiboko Yao

  • @htmmusic9240
    @htmmusic9240 7 років тому +18

    safi brother.

  • @issaibuni5747
    @issaibuni5747 7 років тому +13

    good lisu

  • @mooking7913
    @mooking7913 6 років тому +9

    Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 5 років тому +4

    Tundulisu anafaa kuwa Rais

  • @greenmedia002
    @greenmedia002 2 роки тому +4

    Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 роки тому

    Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema

  • @olendumbekiseya4583
    @olendumbekiseya4583 Рік тому +1

    Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 років тому +3

    Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.

  • @othumanmassanja1472
    @othumanmassanja1472 8 років тому +12

    Lissu we nisheeeda

  • @FrankFrankmapanacom-eh1xy
    @FrankFrankmapanacom-eh1xy Рік тому

    mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰

  • @mosesmpeta3241
    @mosesmpeta3241 8 років тому +14

    kichwa

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 років тому +2

    Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,

  • @paulothomas7270
    @paulothomas7270 8 років тому +19

    ukawa oyeeeeeeee power

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 3 роки тому +8

    Lissu for life

  • @hajinyange4522
    @hajinyange4522 7 років тому +7

    safi lisu

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Рік тому

    Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge

  • @sadickgugud2556
    @sadickgugud2556 7 років тому +10

    saf sana

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe9520 8 років тому +5

    maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha

    • @emmanuelyusto6240
      @emmanuelyusto6240 7 років тому

      kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 роки тому +5

    Lisu forever ♥

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Рік тому

    Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi

  • @francissalamba8112
    @francissalamba8112 7 років тому +22

    sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana

  • @innocentnkya2770
    @innocentnkya2770 8 років тому +14

    lisu safi sana,..

  • @liontvonline951
    @liontvonline951 5 років тому +2

    ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 4 місяці тому

    Bona alikula mda wa mwezake bila sababu

  • @MelkizedekUrio-xl1jp
    @MelkizedekUrio-xl1jp Місяць тому

    Hili ndilo bunge

  • @abdillahichicha8035
    @abdillahichicha8035 6 років тому +5

    Big up Lisu

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 4 роки тому +5

    Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.

  • @tecnof1232
    @tecnof1232 5 років тому +2

    Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!

    • @raphaelsamwel2640
      @raphaelsamwel2640 5 років тому

      Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!

  • @GachumaMwita
    @GachumaMwita 6 місяців тому

    sasa hv ukianzia mwenyekit wa mtaa anatokea c.c.m diwani c.c.m mbunge c.c.m rais c.c.m nchi gani ya mfumo huo inskosa maana ya kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa rais nyerere alisema maendeleo ya nchi yasipoletwa chama yataletwa na mtu leo hii tunaikumbuka siku ya nyerere day kwakuongezeana mshahara mkulima kumuongeza bei ya pamba wala hamkumbuki huu ni ujinga

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 років тому +2

    Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano

  • @clementcharles5687
    @clementcharles5687 9 років тому +6

    tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni

  • @yusuphraphael6142
    @yusuphraphael6142 Рік тому

    Hakika Mungu alikuleta LISSU UTUKOMBOE JAPO MBWA SISI TUMESHUPAZA SHINGO NA KUKUONA UNAMANENO MENGI BILA KUJALI FACT ZAKO

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 3 роки тому +3

    Liiisuuuuuuuuuuuuu!

  • @emmanuelngadaya1412
    @emmanuelngadaya1412 8 років тому +6

    huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu

    • @Bruno-ed1ps
      @Bruno-ed1ps 2 роки тому

      😆😆😆

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Рік тому

      Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui

  • @emmanuelngollej6415
    @emmanuelngollej6415 6 років тому +1

    yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi

  • @godyemily-fx4md
    @godyemily-fx4md Рік тому

    tanzania aituhusu sisi raia wa kawaida ni tanzania ya viongozi tu

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri7726 3 роки тому +2

    Lisu oyeeee

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 Рік тому

    uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana

  • @daudichirstopher6173
    @daudichirstopher6173 Рік тому

    Ali kuwepo bungen wana nchi tuli ona uzur wa bunge Sasa bandali ime uzwa nasubili ikulu iuzwe ili nipate mgawo wangu

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 7 років тому +23

    hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?

  • @abisaiamos1245
    @abisaiamos1245 6 років тому +2

    Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri

  • @kassimnasseb4845
    @kassimnasseb4845 4 роки тому +4

    Genus!!!

  • @allyally6529
    @allyally6529 7 років тому +7

    lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa

  • @anoldstephano6301
    @anoldstephano6301 Рік тому +1

    God bless lisu for ever and never

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 5 місяців тому

    Wapigaji ni wengi katiba mbovu

  • @bakarimtange570
    @bakarimtange570 Рік тому

    Lisu uwezi pigiwa makofi hapo wote waoga

  • @ayendamethusela3310
    @ayendamethusela3310 Рік тому +5

    Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 3 роки тому

    Tundulisu Hata mukimchangia Wote Ccm Hamumuwezi Uyo ni Hatr

  • @deogratiousmchau8162
    @deogratiousmchau8162 7 років тому +4

    Lisu hatari

  • @nak3477
    @nak3477 3 роки тому +1

    Mwenyekiti akikuwa mtulivu

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa3959 2 роки тому +1

    Huyu Lisu ni msomi mzuri na hoja zake waga zina mashiko ila hana nidhamu Tangu zamani ana maneno ya shombo sana

    • @francissimwinga-gb2vd
      @francissimwinga-gb2vd Рік тому

      Nizamu ya kuibia hera maana ambao wanaonekana wako kimya ndio wanafuja pesa za nchi

  • @yustodonald9772
    @yustodonald9772 5 місяців тому

    Uyu mwamba kumbe mtata tangu kitambo

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp 6 місяців тому

    Mbona kipindi cha magufuli hamkufanya hayo hiyo kstiba kipindi cha magu au katiba ilikuwa likizo

  • @neybenson7881
    @neybenson7881 4 роки тому +2

    Lisu tunakusubiri urudi dah

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Рік тому

    Kama lisu angekuwa mzalendo kwa aina hii mpaka Leo hakika angeaminika na wananchi kwa asilimia Mia moja

  • @user-nd2ps3ik4z
    @user-nd2ps3ik4z Рік тому

    Uyu mukweli anafakuwa lais