Brilliant! Uncomprising patriotism...quality leadership..showing dedication, passion and commitment to public service! Definitely Presidential material!
Nilikuwa nimesusa kusikiliza nakuangalia clouds kutokana na kipindi cha maandamano ya kwañza ya dar ilifafanua vitu visivyo eleweka, ila kwakuwa John anaongea imebidi nisikilize tu lkn clouds msiwe mnafafanua matukio ya upinzani kwa kuponda sio vizur.
Heche Akili Zake Hata Wabunge Wote Wa Ccm Hawana Watu Kama Hawa Ni Hazina Kwa Taifa Siyo Kujipendekeza Pendekeza Kwa Rais Wakati Mambo Yanaharibika Ukweli Usemwe Kama Ulivyo Namna Hii.
Katika top 5 ya wanasiasa bora na wazalendo nchini Heche yumo na yupo vzr sanaa na mwenye misimamo mikali haswaaa kwa kile anachokiamini hasa katika misimamo ya haki za wananchi
Nawasikiza kutoka Kilimanjaro. Clouds mko vizuri kwenye vyombo na ofisi maudhui ya kuhojiana. Sio wale wameweka viti vya plastic na mic ni moja! Huwa haipendezi. Hebu wasaidieni na waandishi wengine mawazo ya jinsi ya kuimarika kwenye mahojiano.
very smart person supposed to be in the parliament as the representative of people..ila chaajabu bungeni tunawatu ambao hawapaswi kuwa ata mabalozi wa nyumba kumi
Samahan hivi mfano mbunge msukuma hajasoma sana kua na Elimu kubwa ila Kuna wale kina luge malalira ambao walikua wamesema sana, hivi ikitokea umeambiwa kati Yao mchukue mtu akawakilishe wananchi utamchukua Nan!? Kiongoz na uwakilishi mwema wa wananchi ni karama Toka kwa Mwenyezi Mungu na hofu ya Mungu sio Elimu peke ake,.
Hawa ni aina ya viongozi tunaowahitaji kuongoza taifa letu. Uwaziri hata uraisi sio ubunge tu. Akili kubwa sana! Chadema ndio chimbo pekee utakutana na vichwa vya uhakika kama hivi!
Akili kubwa huyu mtu tatizo tz kama nchi na siasa zao siyo ccm wala vyama vingine hakuna akili ya kujitambua nchi yetu ijengwe vipi iache kuomba,misaada mikopo na umaskini.maadui aliowataja nyerere ujinga,maradhi na umaskini bado wapo.
Kwanini wanasheria waandishi wa habari na wanainchi tuungane kudai Katiba ili wasione wahusika ni wanasiasa tu sisi wanainchi ndiyo tunaumizwa na Katiba hii ya sasa. Watu wote katika kila sehemu waliko wanaumizwa na hii Katiba. Ni vile wsmefugwa kitumwa kwa hiyo wengi hatujielewi. Lakini wanaojielewa wanajua kabisa kuwa wanaumizwa sana na katiba.
Kwa maana ya anavyosema Mhe. Heche bunge la sasa hivi linaloongozwa na Tulia (sijui nitulie nifanywe nini..😂) siyo smart, halina uwezo wa kujadiliana kwa kina hadi kuibuka na hoja mujarabu kwa maslahi ya wananchi bali linasimamia maslahi yao wenyewe, wamegeuzwa vibogoyo upeo wao wa kuona mbali umevizwa kwa kulazimishwa kuongea sawa na anavyotaka Tulia
Bongo ukiwa na akili nyingi unawekwa pembeni then wanareplace aliye na akili ndogo see in iringa yule jamaa mchungaji ..cheki akina Humphreys polepole wamefichwa cuba huko ..its disgusting sometimes
Chadema mbona wanapenda kuitolea mfano Kenya wakat Kenya yenyew matatzo Yao yanafanana Tanzania na kama hawajui mbaka baadh ya nembo za kwenye fedha znafanana
Una Akili Mingi Sana John Heche Hongera Kwa Mh Mbowe Kwa Mapishi Mazuri Ya Hawa Viongozi Hakika Chadema Ni Zaidi Ya Chuo.
Kichwa kikubwa sana. Mungu akulinde brother Heche
Big up Heche J... you are the best opposition leader god blessing
Heche!!Wewe ni kiongozi tunae kuhitaji,Unangalia mbali sana!!Mungu akulinde.
Heche ni mmoja tu, hakunaga mwingine💯💯🔥🔥
Huyu jamaa namkubali sana kwenye wanasiasa wa nchi hii,he is very stricty🎉🎉🎉
Namkubali heche
Salute sn MHE. HECHE
Anaitwa John Heche; lkn Mimi namuita A MAN OF THE PEOPLE
Brilliant!
Uncomprising patriotism...quality leadership..showing dedication, passion and commitment to public service! Definitely Presidential material!
MH John heche akili kubwa sana ndani ya siasa za Taifa letu, Mungu amuongezeeee afya njema ktk Taifa letu
😮 I'm A on 47:20
Big brain
Huyu jamaa anaakili sana nipo Zanzibar ila namfatilia sana
Watu tunaendelea kupata elimu ya uraia na kujitambua hongera kamanda
Mweshimiwa Heche Mungu akulinde
Nilikuwa nimesusa kusikiliza nakuangalia clouds kutokana na kipindi cha maandamano ya kwañza ya dar ilifafanua vitu visivyo eleweka, ila kwakuwa John anaongea imebidi nisikilize tu lkn clouds msiwe mnafafanua matukio ya upinzani kwa kuponda sio vizur.
Waache Mambo Ya Hovyo Clouds.
Heche actually I want to see you , because you make me happy
Kamanda wangu huyo namkubali sana
Asanteh sn heche kwa elimu ya uraia wengi wao hawaelew umuhimu wa mamlaka yao
Napenda sana misimamo yako na uimara wako Heche, navutiwa na haiba yako.
Heche Akili Zake Hata Wabunge Wote Wa Ccm Hawana Watu Kama Hawa Ni Hazina Kwa Taifa Siyo Kujipendekeza Pendekeza Kwa Rais Wakati Mambo Yanaharibika Ukweli Usemwe Kama Ulivyo Namna Hii.
Big up sana kwa clouds media hii ni message moja kubwa sana kwetu sisi wananchi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Heche anakili mno, hekima ya hali ya juu. Ukimpa Uwaziri huyu ni faida kubwa mno
Uwaziri kwasheriazipi?? Ubaya wa taifa latz nimfumo ambao hata Malaika anabadrika kuwa shetani akipewa uongozi,
Safi sana tata heche,, mungu ni mwema utarudi mjengoni muda si mrefu.
heche akili kubwa sana nia hazina kubwa sana from Zanzibar nawakubali sana chadema
Katika top 5 ya wanasiasa bora na wazalendo nchini Heche yumo na yupo vzr sanaa na mwenye misimamo mikali haswaaa kwa kile anachokiamini hasa katika misimamo ya haki za wananchi
Kamanda Heche uko vzr kwa hoja
Safi sana kiongozi wangu natama sana humkahimu mbowe
Nakukubali mwamba wa tarime
KATIBA MPYA NI. SANA
Chadema Ina vichwa vyenye akili sana
Sana Kwakweli.
Nawasikiza kutoka Kilimanjaro.
Clouds mko vizuri kwenye vyombo na ofisi maudhui ya kuhojiana.
Sio wale wameweka viti vya plastic na mic ni moja! Huwa haipendezi.
Hebu wasaidieni na waandishi wengine mawazo ya jinsi ya kuimarika kwenye mahojiano.
Pamoja sana mkuu heche
Heche yuko vzuli sana kwenye kuchambua
Mb zangu hazijapotea bure❤❤
Stay blessed Mkuu John Heche
very smart person supposed to be in the parliament as the representative of people..ila chaajabu bungeni tunawatu ambao hawapaswi kuwa ata mabalozi wa nyumba kumi
KWANI INAKUWAJE VIGUUMU KUMWEELEWA MTU ANAEONGEA UKWELI KAMA MUHESHIMIWA HECHE
Kaka yangu hechee MUNGU wangu wa mbinguni akupe maisha marefuuuuu naomba hii sala kutoka moyoni mwangu kabisaaaa
Akili za huyu mwamba mmoja ni wote wa ccm akili kibwa
Nakupenda sana unatufungua vichwa
Heche mungu Akupe maisha malefu Unaipenda Tanzania
hakika anaipigia kwa sura ya dhati kabisa
Nawapongeza sana clouds
Mnafanya kazi nzuri,
Mnajua kutengeneza chemistry kwa watangazaji kwenye kipind
Heche nakukubali sana sema Leo nimeona mwarabu ambae ni Msukuma kutoka Shinyanga😂😂😂😂
BORA HATA WAKOLONI MAANA WALIHESHIMU SHERIA
Clouds you are the best. Chombo cha Habari makini kinatoa airtime kwa mtu yoyote hakibagui
Heche is best
Huyu jamaaaa heche akili nyingi saaaanaaa
Mtu wa maana kbsa huyu.
Nakubali sana
Samahan hivi mfano mbunge msukuma hajasoma sana kua na Elimu kubwa ila Kuna wale kina luge malalira ambao walikua wamesema sana, hivi ikitokea umeambiwa kati Yao mchukue mtu akawakilishe wananchi utamchukua Nan!? Kiongoz na uwakilishi mwema wa wananchi ni karama Toka kwa Mwenyezi Mungu na hofu ya Mungu sio Elimu peke ake,.
Ukisema Tanzania ni sawa na Keya utakuwa umekosea pakubwa sana
HECHEEEEEE👍👍👍
Nawapenda nawafuatilia nikiwa chanika dar jamaa yko sawa kbisa sikuhizi uchawa unanguvu zaidi nihatari By Nassib Doma
Tata Heche umeua Sana hii leo
Saaf sana wewe ni hazina chadema🎉🎉🎉
😊umetisha heche
Tunasikiliza hadi unawaza tuko wapi tunaenda wapi
Akili kubwa sana
Cloudsmedia, Nialikeni na mimi ....
CHADEMA HAKUNA Kiongozi Mbovu Wanajua Kutuletea Viongozi Wazr Ndomaana Wakitoka Chadema Kwenda Ccm Nimoja Kwamoja Wanakuwa Viongozi Kama Vile Ccm Ilikuwa Haina Viongozi
Mungu tupe watu akili km hawa AKILI NA UPENDO mungu tusaidie tupate watu km hawa bungeni
Duuu kumbe kuna vinyonga bungeni Mungu ingilia kati yanayofanyika TZ
Hawa ni aina ya viongozi tunaowahitaji kuongoza taifa letu. Uwaziri hata uraisi sio ubunge tu. Akili kubwa sana! Chadema ndio chimbo pekee utakutana na vichwa vya uhakika kama hivi!
Waoooooooo
Nyeupe nyeupe nyeusi nyeusi hajawahi pindisha mh heche
Kamanda
Mh.. heche ni bonge. La bright man. Na mzalendo yaani bila. Kumun'gunya maneno. Wewe ni good leader
Akili kubwa huyu mtu tatizo tz kama nchi na siasa zao siyo ccm wala vyama vingine hakuna akili ya kujitambua nchi yetu ijengwe vipi iache kuomba,misaada mikopo na umaskini.maadui aliowataja nyerere ujinga,maradhi na umaskini bado wapo.
Heche anaongea kwa utulivu sana kwa kuelimisha
Hivi ndivyo inavyotakiwa.
Kamanda nakubali hoja zako xana endelea kuximamia kwel na taifa letu lilipofikia halipendi ukwel kwao ni dhambi
👊👍✌.
Kwanini wanasheria waandishi wa habari na wanainchi tuungane kudai Katiba ili wasione wahusika ni wanasiasa tu sisi wanainchi ndiyo tunaumizwa na Katiba hii ya sasa. Watu wote katika kila sehemu waliko wanaumizwa na hii Katiba. Ni vile wsmefugwa kitumwa kwa hiyo wengi hatujielewi. Lakini wanaojielewa wanajua kabisa kuwa wanaumizwa sana na katiba.
Inasikitisha sana kuona headmasters eti wanamchukulia form rais
Tuliisha maliza kwa jaji warioba,hivyo watu wanaelewa.
Kwa maana ya anavyosema Mhe. Heche bunge la sasa hivi linaloongozwa na Tulia (sijui nitulie nifanywe nini..😂) siyo smart, halina uwezo wa kujadiliana kwa kina hadi kuibuka na hoja mujarabu kwa maslahi ya wananchi bali linasimamia maslahi yao wenyewe, wamegeuzwa vibogoyo upeo wao wa kuona mbali umevizwa kwa kulazimishwa kuongea sawa na anavyotaka Tulia
Philosophy heche
uchaguzi ndo kila kitu ukikosea. uchaguzi utalia mpaka mwisho
craus fm mukojuu nawapendsa
Heche uko vzri
Bongo ukiwa na akili nyingi unawekwa pembeni then wanareplace aliye na akili ndogo see in iringa yule jamaa mchungaji ..cheki akina Humphreys polepole wamefichwa cuba huko ..its disgusting sometimes
Wachawi wanchihii niccm kwasabbu hakuna Chamachochote kilichowahi kutawala nchihii zaidi yawapuuzi mashetani wanchihii maccm,
Heche akili kubwa
Acha uongo wewe heche ,unaingilia hata taaluma usiyoijua,
CDM ina majembe!
😂😂😂
Hakuna clouds tena maana ameondoka nayo Ruge, pumzika kwa amani legend Ruge
Hujui kinachozungumzwa hapo wewe Bata.Ruge katoka wapi kwenye mahojiano hayo?.Acha kukurupuka
Chadema mbona wanapenda kuitolea mfano Kenya wakat Kenya yenyew matatzo Yao yanafanana Tanzania na kama hawajui mbaka baadh ya nembo za kwenye fedha znafanana
Wew Kenya wametuzidi mbali sana niulize Mimi nimelala miaka 15hujui kitu
Kaangalie GDP ya Kenya, Export ya Kenya, income per Capita, currency, Then Uje hapa
Kenya is far better than Tz in terms of democracy and freedom of speech!
Q
Lau kwamba chadema wasinge wapa mademu zao zile nafasi maalum za ubunge mwaka 2015 wangekuwa wako sawa.
Akili Kubwa.
Kamanda
Waooooooooo
Sàwa kàkà