PB: John Heche Amwaga Mchele I Ataja Sifa za Viongozi I Awashangaa Wasengenyaji, Chawa na Wanafki

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 бер 2024
  • #CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya kipindi cha #PowerBreakfast na John Heche kutoka chama cha CHADEMA
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 105

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 4 місяці тому +10

    Una Akili Mingi Sana John Heche Hongera Kwa Mh Mbowe Kwa Mapishi Mazuri Ya Hawa Viongozi Hakika Chadema Ni Zaidi Ya Chuo.

  • @user-eb2el9kw6m
    @user-eb2el9kw6m 4 місяці тому +8

    Kichwa kikubwa sana. Mungu akulinde brother Heche

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 4 місяці тому +9

    Big up Heche J... you are the best opposition leader god blessing

  • @johnfrancis656
    @johnfrancis656 4 місяці тому +3

    Heche!!Wewe ni kiongozi tunae kuhitaji,Unangalia mbali sana!!Mungu akulinde.

  • @MrMwinyi
    @MrMwinyi 4 місяці тому +7

    Heche ni mmoja tu, hakunaga mwingine💯💯🔥🔥

  • @user-uw5oh5yy5m
    @user-uw5oh5yy5m 4 місяці тому +6

    Huyu jamaa namkubali sana kwenye wanasiasa wa nchi hii,he is very stricty🎉🎉🎉

  • @mussaomari8022
    @mussaomari8022 4 місяці тому +13

    Namkubali heche

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 4 місяці тому +7

    Salute sn MHE. HECHE

  • @user-xd7hs1ri5i
    @user-xd7hs1ri5i 4 місяці тому +3

    Anaitwa John Heche; lkn Mimi namuita A MAN OF THE PEOPLE

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 4 місяці тому +4

    Brilliant!
    Uncomprising patriotism...quality leadership..showing dedication, passion and commitment to public service! Definitely Presidential material!

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 4 місяці тому +7

    MH John heche akili kubwa sana ndani ya siasa za Taifa letu, Mungu amuongezeeee afya njema ktk Taifa letu

  • @RamaHRIzmaelov
    @RamaHRIzmaelov 4 місяці тому +10

    Big brain

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 4 місяці тому +12

    Huyu jamaa anaakili sana nipo Zanzibar ila namfatilia sana

  • @user-zm3rp8to7w
    @user-zm3rp8to7w 4 місяці тому +6

    Watu tunaendelea kupata elimu ya uraia na kujitambua hongera kamanda

  • @user-yy5oi9zp2h
    @user-yy5oi9zp2h 4 місяці тому +3

    Mweshimiwa Heche Mungu akulinde

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 4 місяці тому +13

    Nilikuwa nimesusa kusikiliza nakuangalia clouds kutokana na kipindi cha maandamano ya kwañza ya dar ilifafanua vitu visivyo eleweka, ila kwakuwa John anaongea imebidi nisikilize tu lkn clouds msiwe mnafafanua matukio ya upinzani kwa kuponda sio vizur.

  • @deogratiusmaila676
    @deogratiusmaila676 4 місяці тому +5

    Heche actually I want to see you , because you make me happy

  • @user-xf7tl8jq9v
    @user-xf7tl8jq9v 4 місяці тому +5

    Kamanda wangu huyo namkubali sana

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 4 місяці тому +1

    Asanteh sn heche kwa elimu ya uraia wengi wao hawaelew umuhimu wa mamlaka yao

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike556 4 місяці тому +12

    Napenda sana misimamo yako na uimara wako Heche, navutiwa na haiba yako.

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 4 місяці тому

      Heche Akili Zake Hata Wabunge Wote Wa Ccm Hawana Watu Kama Hawa Ni Hazina Kwa Taifa Siyo Kujipendekeza Pendekeza Kwa Rais Wakati Mambo Yanaharibika Ukweli Usemwe Kama Ulivyo Namna Hii.

  • @itsrumi99
    @itsrumi99 4 місяці тому +1

    Big up sana kwa clouds media hii ni message moja kubwa sana kwetu sisi wananchi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 4 місяці тому +6

    Heche anakili mno, hekima ya hali ya juu. Ukimpa Uwaziri huyu ni faida kubwa mno

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 4 місяці тому

      Uwaziri kwasheriazipi?? Ubaya wa taifa latz nimfumo ambao hata Malaika anabadrika kuwa shetani akipewa uongozi,

  • @maniakihengu4941
    @maniakihengu4941 4 місяці тому

    Safi sana tata heche,, mungu ni mwema utarudi mjengoni muda si mrefu.

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 4 місяці тому

    heche akili kubwa sana nia hazina kubwa sana from Zanzibar nawakubali sana chadema

  • @ivanrobert3071
    @ivanrobert3071 4 місяці тому +1

    Katika top 5 ya wanasiasa bora na wazalendo nchini Heche yumo na yupo vzr sanaa na mwenye misimamo mikali haswaaa kwa kile anachokiamini hasa katika misimamo ya haki za wananchi

  • @WilliamMwangwa
    @WilliamMwangwa 4 місяці тому +2

    Kamanda Heche uko vzr kwa hoja

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f 4 місяці тому +1

    Safi sana kiongozi wangu natama sana humkahimu mbowe

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 4 місяці тому +1

    Nakukubali mwamba wa tarime

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 місяці тому +2

    KATIBA MPYA NI. SANA

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 4 місяці тому +6

    Chadema Ina vichwa vyenye akili sana

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 4 місяці тому +2

    Nawasikiza kutoka Kilimanjaro.
    Clouds mko vizuri kwenye vyombo na ofisi maudhui ya kuhojiana.
    Sio wale wameweka viti vya plastic na mic ni moja! Huwa haipendezi.
    Hebu wasaidieni na waandishi wengine mawazo ya jinsi ya kuimarika kwenye mahojiano.

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 4 місяці тому +1

    Pamoja sana mkuu heche

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 4 місяці тому +2

    Heche yuko vzuli sana kwenye kuchambua

  • @user-xh6cb8mp6c
    @user-xh6cb8mp6c 4 місяці тому +1

    Mb zangu hazijapotea bure❤❤

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j 4 місяці тому

    Stay blessed Mkuu John Heche

  • @user-bq5yi6mk5r
    @user-bq5yi6mk5r 4 місяці тому

    very smart person supposed to be in the parliament as the representative of people..ila chaajabu bungeni tunawatu ambao hawapaswi kuwa ata mabalozi wa nyumba kumi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 місяці тому +1

    KWANI INAKUWAJE VIGUUMU KUMWEELEWA MTU ANAEONGEA UKWELI KAMA MUHESHIMIWA HECHE

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 4 місяці тому

    Kaka yangu hechee MUNGU wangu wa mbinguni akupe maisha marefuuuuu naomba hii sala kutoka moyoni mwangu kabisaaaa

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 4 місяці тому +4

    Akili za huyu mwamba mmoja ni wote wa ccm akili kibwa

  • @user-pz2kp2ej5e
    @user-pz2kp2ej5e 4 місяці тому

    Nakupenda sana unatufungua vichwa

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o 4 місяці тому +3

    Heche mungu Akupe maisha malefu Unaipenda Tanzania

  • @easymapetv
    @easymapetv 4 місяці тому +1

    Nawapongeza sana clouds
    Mnafanya kazi nzuri,
    Mnajua kutengeneza chemistry kwa watangazaji kwenye kipind

  • @JoshuaGodifreyJoshua
    @JoshuaGodifreyJoshua 3 місяці тому

    Heche nakukubali sana sema Leo nimeona mwarabu ambae ni Msukuma kutoka Shinyanga😂😂😂😂

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 місяці тому +1

    BORA HATA WAKOLONI MAANA WALIHESHIMU SHERIA

  • @ibrahimkingfaith9283
    @ibrahimkingfaith9283 4 місяці тому

    Clouds you are the best. Chombo cha Habari makini kinatoa airtime kwa mtu yoyote hakibagui

  • @kakafadhili4472
    @kakafadhili4472 4 місяці тому +1

    Heche is best

  • @ObadiaNikodem
    @ObadiaNikodem 4 місяці тому

    Huyu jamaaaa heche akili nyingi saaaanaaa

  • @johmshana5665
    @johmshana5665 4 місяці тому +3

    Mtu wa maana kbsa huyu.

  • @user-or5hm7nl7q
    @user-or5hm7nl7q 4 місяці тому

    Nakubali sana

  • @user-ex7bh1np4t
    @user-ex7bh1np4t 4 місяці тому

    Samahan hivi mfano mbunge msukuma hajasoma sana kua na Elimu kubwa ila Kuna wale kina luge malalira ambao walikua wamesema sana, hivi ikitokea umeambiwa kati Yao mchukue mtu akawakilishe wananchi utamchukua Nan!? Kiongoz na uwakilishi mwema wa wananchi ni karama Toka kwa Mwenyezi Mungu na hofu ya Mungu sio Elimu peke ake,.

  • @carlosmsigwa9516
    @carlosmsigwa9516 4 місяці тому +1

    Ukisema Tanzania ni sawa na Keya utakuwa umekosea pakubwa sana

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 4 місяці тому +1

    HECHEEEEEE👍👍👍

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 4 місяці тому +3

    Nawapenda nawafuatilia nikiwa chanika dar jamaa yko sawa kbisa sikuhizi uchawa unanguvu zaidi nihatari By Nassib Doma

  • @sylivanusbernard3325
    @sylivanusbernard3325 4 місяці тому

    Tata Heche umeua Sana hii leo

  • @calvinlema6107
    @calvinlema6107 4 місяці тому

    Saaf sana wewe ni hazina chadema🎉🎉🎉

  • @naseebmussa2111
    @naseebmussa2111 4 місяці тому

    😊umetisha heche

  • @amosmangura
    @amosmangura 4 місяці тому +1

    Tunasikiliza hadi unawaza tuko wapi tunaenda wapi

  • @mkorinto7629
    @mkorinto7629 4 місяці тому

    Akili kubwa sana

  • @samsonpaschal5044
    @samsonpaschal5044 4 місяці тому

    Cloudsmedia, Nialikeni na mimi ....

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 3 місяці тому

    CHADEMA HAKUNA Kiongozi Mbovu Wanajua Kutuletea Viongozi Wazr Ndomaana Wakitoka Chadema Kwenda Ccm Nimoja Kwamoja Wanakuwa Viongozi Kama Vile Ccm Ilikuwa Haina Viongozi

  • @yisambimbomatanzaniadaress8531
    @yisambimbomatanzaniadaress8531 4 місяці тому

    Mungu tupe watu akili km hawa AKILI NA UPENDO mungu tusaidie tupate watu km hawa bungeni

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 4 місяці тому

    Duuu kumbe kuna vinyonga bungeni Mungu ingilia kati yanayofanyika TZ

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 4 місяці тому +1

    Hawa ni aina ya viongozi tunaowahitaji kuongoza taifa letu. Uwaziri hata uraisi sio ubunge tu. Akili kubwa sana! Chadema ndio chimbo pekee utakutana na vichwa vya uhakika kama hivi!

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 4 місяці тому +1

    Nyeupe nyeupe nyeusi nyeusi hajawahi pindisha mh heche

  • @user-br9ld8km8h
    @user-br9ld8km8h 4 місяці тому

    Kamanda

  • @hadijamkieti1751
    @hadijamkieti1751 4 місяці тому

    Mh.. heche ni bonge. La bright man. Na mzalendo yaani bila. Kumun'gunya maneno. Wewe ni good leader

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 4 місяці тому

      Akili kubwa huyu mtu tatizo tz kama nchi na siasa zao siyo ccm wala vyama vingine hakuna akili ya kujitambua nchi yetu ijengwe vipi iache kuomba,misaada mikopo na umaskini.maadui aliowataja nyerere ujinga,maradhi na umaskini bado wapo.

  • @inumbuboyinumbuboy2580
    @inumbuboyinumbuboy2580 4 місяці тому

    Heche anaongea kwa utulivu sana kwa kuelimisha
    Hivi ndivyo inavyotakiwa.

  • @user-ej5dk6wm2z
    @user-ej5dk6wm2z 4 місяці тому

    Kamanda nakubali hoja zako xana endelea kuximamia kwel na taifa letu lilipofikia halipendi ukwel kwao ni dhambi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 місяці тому

    👊👍✌.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 місяці тому

    Kwanini wanasheria waandishi wa habari na wanainchi tuungane kudai Katiba ili wasione wahusika ni wanasiasa tu sisi wanainchi ndiyo tunaumizwa na Katiba hii ya sasa. Watu wote katika kila sehemu waliko wanaumizwa na hii Katiba. Ni vile wsmefugwa kitumwa kwa hiyo wengi hatujielewi. Lakini wanaojielewa wanajua kabisa kuwa wanaumizwa sana na katiba.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 4 місяці тому

    Inasikitisha sana kuona headmasters eti wanamchukulia form rais

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 4 місяці тому +1

    Tuliisha maliza kwa jaji warioba,hivyo watu wanaelewa.

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 4 місяці тому

    Kwa maana ya anavyosema Mhe. Heche bunge la sasa hivi linaloongozwa na Tulia (sijui nitulie nifanywe nini..😂) siyo smart, halina uwezo wa kujadiliana kwa kina hadi kuibuka na hoja mujarabu kwa maslahi ya wananchi bali linasimamia maslahi yao wenyewe, wamegeuzwa vibogoyo upeo wao wa kuona mbali umevizwa kwa kulazimishwa kuongea sawa na anavyotaka Tulia

  • @jumayussuf6786
    @jumayussuf6786 4 місяці тому

    Philosophy heche

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 4 місяці тому

    uchaguzi ndo kila kitu ukikosea. uchaguzi utalia mpaka mwisho

  • @user-dg4ye6eu4g
    @user-dg4ye6eu4g 4 місяці тому

    craus fm mukojuu nawapendsa

  • @user-bg8zz5vw5v
    @user-bg8zz5vw5v 4 місяці тому +1

    Heche uko vzri

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 4 місяці тому

    Bongo ukiwa na akili nyingi unawekwa pembeni then wanareplace aliye na akili ndogo see in iringa yule jamaa mchungaji ..cheki akina Humphreys polepole wamefichwa cuba huko ..its disgusting sometimes

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 4 місяці тому

    Wachawi wanchihii niccm kwasabbu hakuna Chamachochote kilichowahi kutawala nchihii zaidi yawapuuzi mashetani wanchihii maccm,

  • @ramsomathew6668
    @ramsomathew6668 4 місяці тому

    Heche akili kubwa

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w 4 місяці тому

    Acha uongo wewe heche ,unaingilia hata taaluma usiyoijua,

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 4 місяці тому

    CDM ina majembe!

  • @user-jh3fd5yt9i
    @user-jh3fd5yt9i 4 місяці тому +1

    😂😂😂

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 4 місяці тому +1

    Hakuna clouds tena maana ameondoka nayo Ruge, pumzika kwa amani legend Ruge

    • @jeremiahngoka4980
      @jeremiahngoka4980 4 місяці тому

      Hujui kinachozungumzwa hapo wewe Bata.Ruge katoka wapi kwenye mahojiano hayo?.Acha kukurupuka

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp 4 місяці тому

    Chadema mbona wanapenda kuitolea mfano Kenya wakat Kenya yenyew matatzo Yao yanafanana Tanzania na kama hawajui mbaka baadh ya nembo za kwenye fedha znafanana

    • @Mwitabenson_tz
      @Mwitabenson_tz 4 місяці тому

      Wew Kenya wametuzidi mbali sana niulize Mimi nimelala miaka 15hujui kitu

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 4 місяці тому

      Kaangalie GDP ya Kenya, Export ya Kenya, income per Capita, currency, Then Uje hapa

    • @dismasmtui729
      @dismasmtui729 4 місяці тому

      Kenya is far better than Tz in terms of democracy and freedom of speech!

  • @user-yw5ix9gg4d
    @user-yw5ix9gg4d 4 місяці тому

    Q

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 4 місяці тому

    Lau kwamba chadema wasinge wapa mademu zao zile nafasi maalum za ubunge mwaka 2015 wangekuwa wako sawa.

  • @cypriannchangwe3884
    @cypriannchangwe3884 4 місяці тому

    Akili Kubwa.

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk 4 місяці тому

    Kamanda