Jamani! Igizo nimetazama,msisimuko tosha,hata sina la kusema,ila tu kuwaombeeni msiishie katika kuigiza nguvu za Mungu,ila nguvu zake zidhihirike maishani mwenu na zaidi ya yote,murithi ufalme wa mbinguni. Kutoka Burundi,nawaenzi sana.
Movie nzuri Ila hamukuinesha vizuri namna Mtumishi alikuwa anataabika Kwa kuomba pia namna Mungu alivyo muongoza kuona mahali mke alipo Tena kuwe sehemu ya pili yake
Jamani 😢nauzunika sana nikimuona jinsi huyu mkaka anavomkumbuka mkewe na kuwa na kilio cha uzuni sana. 😢ila mungu kweli ni mwanaume 🥺 Tena mola hamuachi mja wake ❤. ASANTE 😫
Mungu awabariki sana kwa movie nzur ya kutukumbusha kuwa na iman❤nakupenda Yesu
Amen 🙏🙏🙏
Jamani! Igizo nimetazama,msisimuko tosha,hata sina la kusema,ila tu kuwaombeeni msiishie katika kuigiza nguvu za Mungu,ila nguvu zake zidhihirike maishani mwenu na zaidi ya yote,murithi ufalme wa mbinguni. Kutoka Burundi,nawaenzi sana.
I'll p
Yaaan hii ninzuli mno Mungu awabarikie kwakuafanya kazi hiii najua thawabu yenu ipo Mbingu kwakuwaelimisha watu
Mbarikiwe sna
❤❤ , Mungu baba ndiye mweza wa yote daima tukiwa upande wake akuna lakutokea lililo baya ju yetu ,kazi nzuri.
Mbarikiwe Kwa kazi nzuri
Yesu Kristo anaokoa
#JesusForLife
Aky kazi yko n nzuri sana baba joan.more ❤❤❤ guys
Hakuna linaloweza kuwa ngumu mbele za Mungu🙏🙏🙏pongezi sana kwa kazi nzuri❤❤❤
Yesu ni wangu leo kesho hata jana ntamkimbilia yeye tu katika maisha yang nashukur pia kwa movie nzur iliyo ambata na imani ya mungu
Kwakweli mungu ndo Kila kitu mungu awabariki kwa kazi nzur
Asante sana baba Joan kwa movie ii ya imani
Safi sana 👏👏 baba joan
Ii series wamecheza vizuri sana aisee tuwape sifa zao
Mungu was mbinguni Ni mwaminifu hajawahi mwacha mja wake shetani ha mamraka kwa maisha ya mtuamtumainiaye bwana
Aksante kwamchezo tumefurayi me tu mungu Ndiaye muweza wayote
Glory be to GOD. Endeleeni kumtukuza MUNGU
Kazi nzuri sana baba karobo😂
❤❤mungu ni muweza yote ,Bora uwe imani.
Maombi ni silaha kubwa sana asante mungu
Wow glory to God hakuna linaloshindikana kwa Mungu
Hongera sanakaka movie zako ninzuri
❤❤❤❤❤kizuri Kila na mwenzako me fine matokeo
Congratulations ❤❤❤ more god is greater
I like that movie so much
Wawoooo very nic from Burundi i like so muche ❤❤❤❤ nipe like zangu please
Nimesimamisha kazi zote kuitazam mov hii hakika nimeipenda
Mungu ni mwemaaa siku zote❤❤
Tamaa mbaya San nyumba gani hyoo njoo Omni Kwa warabu 🇴🇲 Kuna magorofaa yakwenda sio yakurudi utakufaa ww n tamaa yako
Movie nzuri Ila hamukuinesha vizuri namna Mtumishi alikuwa anataabika Kwa kuomba pia namna Mungu alivyo muongoza kuona mahali mke alipo Tena kuwe sehemu ya pili yake
Keep it up i love your work it teaches
Aki mungu ndiyo mweza wa yote waaaah very painful movie
Aamin Barikiwa baba karobo
Amen hakuna mtu ako na nguvu zaidi ya mwenyezi mungu 🙏🙏🙏
Nauliza Yesu ndie Mungu ama Mwenyezi Mungu ni mwengine.
Ndio ndio🙏🙏🤲🤲🤲Mungu ni mwema
Yes mungu nimushindi
Congratulations 🎊 baba joeli🎉🎉
😮wow so Good like amen amen 🙏 ❤❤❤❤
Kaz nzr big up❤
Ety unajua wakorintho sanaa aisee😂😂😂. Et nitajie miaka ya Yesu🙌🙌🙌
Aise mungu akuponye na akutangulie
Hongereni jaman kwa kumushirikisha Mungu
🎉congratulation baba joan
Umejia kazi au kuchukuw mume wa watu
Haleluya hatuna Kama mungu Daima, mbarikiwe sana
😂😂😂baba Joan kuigiza uhalisia uwezi. Hv kweli mfanyakazi anatoa mcheko huo nawewe upo karibu nae ndo kusema hujamsikia jmn
Yaani baba joan wewe ni hatari sana kwa mambo ya sanaa
Wamwaminio mungu nizaidi yawashindi ktka christo yesu
I like that faith indeed nothing impossible before our Lord and savior Jesus Christ 🙏
Jamani 😢nauzunika sana nikimuona jinsi huyu mkaka anavomkumbuka mkewe na kuwa na kilio cha uzuni sana. 😢ila mungu kweli ni mwanaume 🥺 Tena mola hamuachi mja wake ❤. ASANTE 😫
Vip
Mambo
Habar❤❤
Pole yak
Pole kaka lake
Mungu lazima aibize madui zetu
Aisee ni nzuri sana hii sana sana
analo azisha Mungu mwanadamu hawezi kutenganisha. Kamwe
Nia safi hairongwi lisaa achana na mume wa watu tamaa mbaya unamtesa mwenzio kwa tamaa na hautafanikiwa utakavyo.
Kweli mungu anaokoa ukimwamini na hata kuomba.
Baba Joan ni Mwalimu Wa maisha kwli
Mmmmh jmn..hii dunia Kwakweli inamambo 😢😢😢
Kutokea burundi tuna wapend muchungaji❤❤❤❤❤❤
Jaman mung atusaidie tuvuke mwaka salam ❤❤❤❤😂
Movie nzuri ❤❤
Lisa ujue mungu uko natamuokoa bibi ya boss😢😢
Mungu nimwema
Mungu ni mwaminifu
Lsilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Mwamini MUNGU leo
Unalilia mali ya mwenzio,ukapoteza yile ulikua nayo dada.alakini cunga sana
MUNGU ni mweza wa yote.yeremia 33:3
Mungu ni mwema siku zote
Mungu ndiye mweza yote
Kazi nzuri sana
🙏 🙏 amen 🙏 hakuna silaha yeyote itakayotumwa kinyume chetu itakayofaulu
Hongelen kwakazi nzur
Pepo wameshidwa kwa jina l mungu ❤❤❤❤❤❤❤
Wenao penda kufanyiwa kila kitu mjifunze
Mungu no mwema san
Niatari ukimpenda boss wako kikubwa nimkutesa mkewe niatari kwakweli 😢
Cm 😂😂😂nitaisha vocha lkn utafanikiwa hata kidogo Lisa ww mbay San b karobo nakuja Hila mwisho wa ubaya aibu lkn Lisa
Shetani awezi shindana na nguvu ya mungu
Mchawi na muhuni wanashirikiana😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu Ni Mukubwa🙏🙏🙏🙏 Amen. Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Watu wanao jifanya wapole ni hatari but yesu ni kila kitu!
Nimeipenda San hii
Mfanyakazi hafai mbna
Hapa kenya tunakupenda sana
Ee bwana wape watu Hawa kipwa zaidi kwa damu ya yesu kupitia movie hii
Hakuna jambo lisiwezekane kwa mungu
Mungu mwema Kila wakat❤❤❤❤
God is the final say amen
Glory be to God 🙏🙏🙏🙏❤❤🇰🇪🇰🇪
Mwalimu mgeni iendelee please 🥺 from kenya sehemu ya kumi na tatu
Amen shetani umeshindwa
Mungu anaweza yote
Hiyo moving iko namadundizo zuri sana, I like it's ❤❤❤❤
Kaing'ang'ania hy wakorinto!!!😁
A nice of actually ❤❤❤from kenyaaaa
Nguvu za Gizazitashindwa kwajina LA yesu.
Mikc yakutosha chumvi y dukan n chumvi chini utamu Kam wote 😂😂😂 b kaobo
Shetani hana mamlaka yoyot 🙏🙏🙏
Mabinti wa kaz shkamoo ila Mungu anaweza yote
😂😂 mungu ninani haaa
Glory be to God always. Nice movie baba Joan
well acted part2 plse
Waa nashangaa na huyu dada
Mungu ni mwema sana Hakuna wakumzidi Mungu
Hakika Mungu wetu ni muweza wa yote
God is everything