Jamani! Igizo nimetazama,msisimuko tosha,hata sina la kusema,ila tu kuwaombeeni msiishie katika kuigiza nguvu za Mungu,ila nguvu zake zidhihirike maishani mwenu na zaidi ya yote,murithi ufalme wa mbinguni. Kutoka Burundi,nawaenzi sana.
Jamani 😢nauzunika sana nikimuona jinsi huyu mkaka anavomkumbuka mkewe na kuwa na kilio cha uzuni sana. 😢ila mungu kweli ni mwanaume 🥺 Tena mola hamuachi mja wake ❤. ASANTE 😫
❤❤ , Mungu baba ndiye mweza wa yote daima tukiwa upande wake akuna lakutokea lililo baya ju yetu ,kazi nzuri.
Mungu awabariki sana kwa movie nzur ya kutukumbusha kuwa na iman❤nakupenda Yesu
Amen 🙏🙏🙏
Jamani! Igizo nimetazama,msisimuko tosha,hata sina la kusema,ila tu kuwaombeeni msiishie katika kuigiza nguvu za Mungu,ila nguvu zake zidhihirike maishani mwenu na zaidi ya yote,murithi ufalme wa mbinguni. Kutoka Burundi,nawaenzi sana.
I'll p
Mbarikiwe Kwa kazi nzuri
Yesu Kristo anaokoa
#JesusForLife
Yaaan hii ninzuli mno Mungu awabarikie kwakuafanya kazi hiii najua thawabu yenu ipo Mbingu kwakuwaelimisha watu
Mbarikiwe sna
Aky kazi yko n nzuri sana baba joan.more ❤❤❤ guys
Amen hakuna mtu ako na nguvu zaidi ya mwenyezi mungu 🙏🙏🙏
Nauliza Yesu ndie Mungu ama Mwenyezi Mungu ni mwengine.
I like that faith indeed nothing impossible before our Lord and savior Jesus Christ 🙏
Wawoooo very nic from Burundi i like so muche ❤❤❤❤ nipe like zangu please
Jamani 😢nauzunika sana nikimuona jinsi huyu mkaka anavomkumbuka mkewe na kuwa na kilio cha uzuni sana. 😢ila mungu kweli ni mwanaume 🥺 Tena mola hamuachi mja wake ❤. ASANTE 😫
Vip
Mambo
Habar❤❤
Pole yak
Pole kaka lake
Hakuna linaloweza kuwa ngumu mbele za Mungu🙏🙏🙏pongezi sana kwa kazi nzuri❤❤❤
Maombi ni silaha kubwa sana asante mungu
Yesu ni wangu leo kesho hata jana ntamkimbilia yeye tu katika maisha yang nashukur pia kwa movie nzur iliyo ambata na imani ya mungu
Mungu was mbinguni Ni mwaminifu hajawahi mwacha mja wake shetani ha mamraka kwa maisha ya mtuamtumainiaye bwana
Pepo wameshidwa kwa jina l mungu ❤❤❤❤❤❤❤
Kwakweli mungu ndo Kila kitu mungu awabariki kwa kazi nzur
Asante sana baba Joan kwa movie ii ya imani
Congratulations ❤❤❤ more god is greater
Hongereni jaman kwa kumushirikisha Mungu
Glory be to GOD. Endeleeni kumtukuza MUNGU
Tamaa mbaya San nyumba gani hyoo njoo Omni Kwa warabu 🇴🇲 Kuna magorofaa yakwenda sio yakurudi utakufaa ww n tamaa yako
Mwalimu mgeni iendelee please 🥺 from kenya sehemu ya kumi na tatu
Safi sana 👏👏 baba joan
🎉congratulation baba joan
Mungu Ni Mukubwa🙏🙏🙏🙏 Amen. Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Watu wanao jifanya wapole ni hatari but yesu ni kila kitu!
Wow glory to God hakuna linaloshindikana kwa Mungu
Mungu lazima aibize madui zetu
❤❤❤❤❤kizuri Kila na mwenzako me fine matokeo
Kazi nzuri sana baba karobo😂
Haleluya hatuna Kama mungu Daima, mbarikiwe sana
🙏 🙏 amen 🙏 hakuna silaha yeyote itakayotumwa kinyume chetu itakayofaulu
Aksante kwamchezo tumefurayi me tu mungu Ndiaye muweza wayote
Nia safi hairongwi lisaa achana na mume wa watu tamaa mbaya unamtesa mwenzio kwa tamaa na hautafanikiwa utakavyo.
Lsilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Mwamini MUNGU leo
MUNGU ni mweza wa yote.yeremia 33:3
Aki mungu ndiyo mweza wa yote waaaah very painful movie
Ee bwana wape watu Hawa kipwa zaidi kwa damu ya yesu kupitia movie hii
Mungu ni mwema sana Hakuna wakumzidi Mungu
Mungu ni mwaminifu
God is the final say amen
Nimesimamisha kazi zote kuitazam mov hii hakika nimeipenda
Ety unajua wakorintho sanaa aisee😂😂😂. Et nitajie miaka ya Yesu🙌🙌🙌
Umejia kazi au kuchukuw mume wa watu
Lisa ujue mungu uko natamuokoa bibi ya boss😢😢
Hongera sanakaka movie zako ninzuri
Hiyo moving iko namadundizo zuri sana, I like it's ❤❤❤❤
Yes mungu nimushindi
Kazi nzuri sana
Aise mungu akuponye na akutangulie
Glory be to God always. Nice movie baba Joan
Keep it up i love your work it teaches
Wamwaminio mungu nizaidi yawashindi ktka christo yesu
😂😂😂baba Joan kuigiza uhalisia uwezi. Hv kweli mfanyakazi anatoa mcheko huo nawewe upo karibu nae ndo kusema hujamsikia jmn
Mabinti wa kaz shkamoo ila Mungu anaweza yote
Kweli mungu anaokoa ukimwamini na hata kuomba.
Baba Joan ni Mwalimu Wa maisha kwli
God is everything
😮wow so Good like amen amen 🙏 ❤❤❤❤
analo azisha Mungu mwanadamu hawezi kutenganisha. Kamwe
Yaani baba joan wewe ni hatari sana kwa mambo ya sanaa
Aisee ni nzuri sana hii sana sana
Congratulations 🎊 baba joeli🎉🎉
Glory be to God 🙏🙏🙏🙏❤❤🇰🇪🇰🇪
Mikc yakutosha chumvi y dukan n chumvi chini utamu Kam wote 😂😂😂 b kaobo
A nice of actually ❤❤❤from kenyaaaa
Only pray God He will help you
Shetani hana mamlaka yoyot 🙏🙏🙏
Mungu ndiye mweza yote
Cm 😂😂😂nitaisha vocha lkn utafanikiwa hata kidogo Lisa ww mbay San b karobo nakuja Hila mwisho wa ubaya aibu lkn Lisa
Nguvu za Gizazitashindwa kwajina LA yesu.
Mungu nimwema
Kaing'ang'ania hy wakorinto!!!😁
Jamani igizoninzuri mmetudanganya mdada wakazi atapata wapi mirion 15
Duh, utukufu kwa Mungu
Amen 🙏🙏🙏🙌
Movie nzuri ya fundisha
Bado kabisa hamna uhalisia ila kazen kwenye kujifua ili mfane kitu kzr na mkiwa sirias
Duu kazi zuri
Thanks for the watch
Mbn wamefny kz nzr jmn hebu tuwapen sif zao
Niatari ukimpenda boss wako kikubwa nimkutesa mkewe niatari kwakweli 😢
Mmmmh jmn..hii dunia Kwakweli inamambo 😢😢😢
Amen shetani umeshindwa
Jamani hongereniiiii
Movie nzuri ❤❤
Nimeipenda San hii
Mfanyakazi hafai mbna
Mungu mwema Kila wakat❤❤❤❤
God is above everything
well acted part2 plse
AMEEEEN 🙏 hakuna linalomshinda MUNGU
Hapa kenya tunakupenda sana
Mungu ni mwema great lesson
God is great
Mungu awabariki
Attendant tu❤
Glory to ALMIGHTY FATHER
Good job
Hakika Mungu wetu ni muweza wa yote
Nimeipenda sana
Tamaa mbaya
Mungu anawesa
Mungu anaweza yote
Keep it up ❤❤❤❤❤🙏🙏