Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo
Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea. Kama tuko pamoja like hapa 🙏
Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
House Girl fans WhatsApp 👇👇
chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
Candy usimzarau usiemjua
Candy kitamramba mwaka huu haaahha nasubir ya mchana jmn
Candy kitamrudi mwenyewe
@@busatitv kwangu mimi mbona hili group la wasp halifunguki?
Au likoje?
Huko kunanini kai
Mnaomba cendy aumbuke mgonge like ata 2 tu
😂😂😂😂😂
go nishagonga hiyo like😂😂😂😂
@@lucyrif-np8ik hauogopi 😂😂😂
Nan amegundua ukigusa like mara tatu inajicopy🙌🙌
Unataka likes tu mxyu 😒
@@mamume710😂😂😂 alakini Kweli 😂
@@mamume710😂😂😂😂😂
tumewastukizia😂😂
Naijua hiyo
Kama unaamini zuu atapona wapi like...za zuuu
Leo candy kayakanyaga bibi zuu kaamua kuonyesha makucha yake🙌🙌🙌
Kama una mkubali bibi gonga like hapa
Km uyo Bibi ni mchwa kwa Nini asimtafute mchukuu wKe😊
Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo
Jaman wakwa leo tuone mwisho wakend walio pamoja na bibi yake zuu nawaomba like zenu
😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
utamu umakuja sasa😂😂kesho naona haifiki
😂😂😂
Zuuuh lazma apatkne kam unaamini hilo nnipe like❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤😂😂
Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea.
Kama tuko pamoja like hapa 🙏
Kbs
Safi nahongera kwakuona elimu iliyopo ndani ya house girl
Asant sana
Uhakikaaa
Wakwanzaaaaaaaaa wapi daa zuuuuuu❤❤❤❤❤naonbeni likes zangu from 🇰🇪
Timu zuu wapi likes jamani❤❤
Cardy ameyakanyanga yaani bibi kiboko 😂😂😂team zuu tuko na matumaini 💪💪💪
Jaman bora nikose kula ila bando liwepo co kwa hii movie.....🥰🥰🥰
Nasubiri episode 34 kwa hamu sana, Nataka kuona candy atafanyiwa nini na shoshi, hongera sana leo imekua 🔥🔥🔥❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimechelea jamani warundi muko wap munipe like ❤❤❤
tuko hapa
❤❤❤ tupo pamoja
Nipo lakini sikupi
Tupo
Nyie mnaoomba like acheni upuuzi ni utoto Kuomba omba tu kulike kukoment na kushare haaah😂😂
😂😂Nimecheka kwa sauti
Hahaha 🤣🤣🤣 jamani wakuige ww tu ju hujaomba lakini umepewa
Wow nimekua wa kwanza leo kaka kai naomba like hata moja tu jaman 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Yes ok
Ivi.kila.mtu
Jaman wa mwisho Leo naombeni like zangu😂😂😂
😂😂😂
Leo mumeweza at least mumetoa mapema naomba like zenu
Wakwanza leo naomba like zenu please and please wale wapezi wa zuu na kai na bibi kai , malaika lets go like sasa naitaji ❤❤❤❤❤❤❤❤
jamn wa kwanz naomb like zangu
Uzipeleke wapi😂😂❤🎉
❤❤❤
Unakul iyo like au mbn husifiii kaz Yao achen kutumia kaz za watu km fursa kwenu mnaboa yaan tumewachok like like t heeeee
@@sifamaureen2792 nazipeleka kw zuu
We zann
Mwenye atakuja nyuma anipe like jamani 🎉🎉❤🇧🇮🇧🇮
mimi hapa team gulf
🎉@@SalmaKenyatta-cn8tg
@@SalmaKenyatta-cn8tg Thank you
Nipe like zenu jamani, kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wa1 ila kama unamkubali kayi like hapa
Nyie mbona nipo Hapa Hapa Mmenipiga 😂daaa Ila hya nipeni bas japo moja😂 from Oman 🇴🇲
Wakwanza tunae mkubali chiko gonga like ata tano apa
Mnaboa bana vipande vyenyewe vidg afu mnarudia sehemu ambazo tushaangalia😏😏😏
wakwanz nipen like zng😅
zuuuu atapatikana tyu
Sasa kama kila mmoja ni wakwazda,wa pili niyupi tumupe like😂
Mimi apa😊
Nibora munipe mm wamwisho😂😂😂😂
Mimi
😂😂😂😂😂😂
Waooo mnatuletea Kwa wakati shukran
Ila zuu utapona tu mungu yupo ❤❤❤
Aaah mm ata sijafurahi natakakumuona zuu😂😂😂mm na babake kai tumechoka kungoja😢😢😢
Ngoja niangalie ntarud kucoment
Haya jamani wapenzj wote wa busati usipite.bure hapa bila kulike🥰🥰
Sijawai kukoment ila leo naona mwanga waja candy raundi hii huwezi toboa lazima useme tu kula chuma hicho bibi zuu 🎉🎉🎉🎉
🤣🥰🥰🥰
Funs wa zuuh tujuane hapa....😍😍😍❤️❤️❤️💞💞💞💞
Hi
@@OfficialZuli-ve5kh mamb
@@StellaKimaro-no6mv poa vip
@@StellaKimaro-no6mv poa mzm
@@OfficialZuli-ve5kh nipo pouw cjui ww jmn
Sekunde watu washafka selathini
Hata nami jaman like hata mbili
❤🎉❤ jamani nawapenda mimi humja wai nipa like hata moja 😢 naomba mwee moja to
Mzigo tayari wacha tukae mwanzo tujue yafuatayo😂😂
Yani sichafurahia movie poa yenye mafunzo kama hii mubarikiwe sana waigizaji hapa mumejitahidi Sanaa's Yani
Musichelewe na episode 34plz
🎉🎉🎉acha tuone candy atatoboa kweli,njooni tutizame pamoja
Jaman leo nmekuwa wa kwanza daaah tng nmeanza ndo leo like zenu bx
Wangapi wanaenjoy wimbo wa house girl 😊😂👍
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Jaman 😂😂😂raha kuwai wako wap wakuomba like bla kuangalia movie 🎉🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂😂
Me wakwanza leo jaman like Zang mnipe
Jamani naombeni like za wanachuo wanaofatilia House girl 😂
Naamini kabisa kwa uweza wa Mungu zuu atapatikana na kupona pia huyo candy ataumbuka
Nakubali bwana munipe like zangu zakutosha Kama unayuwa zuuu atapona
Jmn munanifulahisha watu wa busati TV munadupa kwa wakati maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bibi kafanya vzur sana leo,nilikua natamani sana hio taimu ya kumusumbua kendal ifike leo imefika😂
Jamani mbona mnanichukia ivyo mnipee like ata kumi tu
Nyanya wa zuu ivyo sasa ndio nilikuwa nangojea sana wapi like kwangu
Leo nimewahii jamnn mnipee ata likes moja
Kaz nzuriiii sanaaa,hongereniii🎉❤
Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wakenya hoye🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yoooh🎉
😂😂😂😂 ep 34 wangapi tunaanimi kuwa itakuwa tamu😂😂😂😂
❤❤Nazipenda saana movie zenu nakizuri munatoa haraka haraka na enough time thank you good job
🥰🥰🥰🙏🙏
Mnaweza sna tunajifunza vingi sana kwa hii move❤❤❤❤❤❤
Chengine saa sita usiku jamni nzur sana mungu jalia zuu aonekane
Kiboko wa kendy bibi Kama bibi dadeki mwisho wa ufalme wa kendy 😅😅
Ka2i nzuri sana bibi 2u 🎉🎉🎉🎉🎉 kendi sasa kimean2a kuku ramba
Sijachelewa sana leo ila mbona kama kendi ataumbuka jamani😂😂😂😂 kama waona hivo kama mm basi like jamani team zuu hi
Wa kwanza leo naomben like jaman
Tem Zuu twendeni uku 🏃🏃
Yaani kai,,,,utakuja kulia kilio cha paka mwizi heeeee hujui tu kitu candy anakusukia
Zuu naomba Like yako nakufatilia hap plzzz mpenz ❤❤❤❤
Nimechelewa kidogo hata3 😢 basi
Jaman naomben like zangu kwa mar ya kwanza nmewah mapema
Jaman hii move inausambaratisha moyo wang, mapenz yote ni Kwa zuu nani anampend zuu njooni tujuwan Kwa like dears
Wooow❤❤❤kai weka hata dakika 30 bro. Filamu tamu sana😊Mungu awatie nguvu
Mimi wa kwanza Naomba like ❤❤❤❤
Tena nimechelewa kidogo lakini bado niko nyuma ya zuu nipeni likes watu zuu
Bibi hataki mchezo kwa mjukuu wake like nyingi kwa bibi❤❤❤
Hii imenifurahiaha kidogo imenpa matumaini kuwa zuu atapona good job guys much love from kenya
❤❤
Naombeni likes mi wa kwanza leo asanteni kwa kuwahi
❤ kutoka 🇰🇪 wapi like zangu
Patamu hpo safii bib zuu nmeipenda hio hongereni nyote Kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉🎉 wee Kai mm nngekua best yko nngekuzaba Kofi ili akili zikkufunguka 😂😂😂😂
Wapi nduru nimewahi leo wa kwanzaaà🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣kujeni tuone zuuu akipona 😂😂😂😂😂😂😂
Wakwanza Leo like zangu
😂 Leo me ndo kwanza😅
First to view....nipeni likes .....team kai
Leo mmewahisha sanaa nawakubali
Me wa kwanza jamen 😂
Sasa huku ndo kwenyew bibi kaamua Asante Busati kwa kitu kizuri ❤️❤️❤️ nawapenda
Asante sana
Ila nyie mko na shida gan jamn?
Kila mmoja n wa kwanza na anaomba like mbona msitoe maoni kulingana na move yenyewe
Mimi😅
First❤
Yajayo yanafulaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ii tamthilia tam san cjui mwisho wa candy utakuwaj
Leo nimekuwa wa kwanza jamani😂 napenda love story
Leo nimewaacha makusudi muwahi no kwasababu nyote uwa ni wa kwanza 😂😂😂😂😂ukiwa wa 300 uwa uoni kwa au auelewi
Leo nimechelewa wadau vipi wapi like🎉
🙏🙏🙏
Huy Bibi Kwa uchawi namuaminia Maan kweny move ya boss mchawi wee namp ❤
Alikua na cheo kikubwa Sema seson 2 Bado haijaanza
❤❤❤❤🎉🎉🎉 number 3
❤
Kai kai acha ushaga msikilize bwana mpago ww bibi mau yako 🌹💐🏵️🏵️ nimependa hyoo bibi
Waooo pameanza kuchangamkaa
Candy kula chuma hicho bibi zuu mkomeshe huyo maana hakujui vizuri
M najua Kwa boss mchawi ni hatar sana