HOUSE GIRL EP 33 || love story💞💕

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 948

  • @busatitv
    @busatitv  22 дні тому +134

    House Girl fans WhatsApp 👇👇
    chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g 22 дні тому +126

    Mnaomba cendy aumbuke mgonge like ata 2 tu

  • @user-rb1bm2fd6h
    @user-rb1bm2fd6h 22 дні тому +184

    Nan amegundua ukigusa like mara tatu inajicopy🙌🙌

    • @mamume710
      @mamume710 22 дні тому +4

      Unataka likes tu mxyu 😒

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 22 дні тому +4

      ​@@mamume710😂😂😂 alakini Kweli 😂

    • @fatmaubwa-z8s
      @fatmaubwa-z8s 22 дні тому +3

      ​@@mamume710😂😂😂😂😂

    • @fatmaubwa-z8s
      @fatmaubwa-z8s 22 дні тому +3

      tumewastukizia😂😂

    • @prezgal8869
      @prezgal8869 22 дні тому +2

      Naijua hiyo

  • @user-uq7cj9vs7x
    @user-uq7cj9vs7x 22 дні тому +141

    Kama unaamini zuu atapona wapi like...za zuuu

  • @DelphinaJeremiah-ii1rv
    @DelphinaJeremiah-ii1rv 22 дні тому +41

    Leo candy kayakanyaga bibi zuu kaamua kuonyesha makucha yake🙌🙌🙌
    Kama una mkubali bibi gonga like hapa

    • @reginaDevid
      @reginaDevid День тому

      Km uyo Bibi ni mchwa kwa Nini asimtafute mchukuu wKe😊

  • @FatmaSalim-dc6zp
    @FatmaSalim-dc6zp 22 дні тому +38

    Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo

  • @JacksonNgari-fs2qt
    @JacksonNgari-fs2qt 22 дні тому +99

    Jaman wakwa leo tuone mwisho wakend walio pamoja na bibi yake zuu nawaomba like zenu

  • @user-tw6gb7xz5i
    @user-tw6gb7xz5i 22 дні тому +45

    Zuuuh lazma apatkne kam unaamini hilo nnipe like❤❤

  • @richardchristopher7141
    @richardchristopher7141 22 дні тому +104

    Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea.
    Kama tuko pamoja like hapa 🙏

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k 22 дні тому +40

    Wakwanzaaaaaaaaa wapi daa zuuuuuu❤❤❤❤❤naonbeni likes zangu from 🇰🇪

  • @user-qz5yg5vv9k
    @user-qz5yg5vv9k 22 дні тому +25

    Timu zuu wapi likes jamani❤❤

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w 22 дні тому +11

    Cardy ameyakanyanga yaani bibi kiboko 😂😂😂team zuu tuko na matumaini 💪💪💪

  • @StellaKimaro-no6mv
    @StellaKimaro-no6mv 22 дні тому +20

    Jaman bora nikose kula ila bando liwepo co kwa hii movie.....🥰🥰🥰

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 22 дні тому +10

    Nasubiri episode 34 kwa hamu sana, Nataka kuona candy atafanyiwa nini na shoshi, hongera sana leo imekua 🔥🔥🔥❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-fq6vh5ks9z
    @user-fq6vh5ks9z 22 дні тому +33

    Nimechelea jamani warundi muko wap munipe like ❤❤❤

  • @marymnandi9924
    @marymnandi9924 22 дні тому +19

    Nyie mnaoomba like acheni upuuzi ni utoto Kuomba omba tu kulike kukoment na kushare haaah😂😂

    • @carlynemgonja-2004
      @carlynemgonja-2004 22 дні тому

      😂😂Nimecheka kwa sauti

    • @rexe9651
      @rexe9651 22 дні тому

      Hahaha 🤣🤣🤣 jamani wakuige ww tu ju hujaomba lakini umepewa

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c 22 дні тому +18

    Wow nimekua wa kwanza leo kaka kai naomba like hata moja tu jaman 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-wb2wp5pe9p
    @user-wb2wp5pe9p 22 дні тому +19

    Jaman wa mwisho Leo naombeni like zangu😂😂😂

  • @ZuhuraMusa-hl3wp
    @ZuhuraMusa-hl3wp 22 дні тому +18

    Leo mumeweza at least mumetoa mapema naomba like zenu

  • @HPZAYOZA
    @HPZAYOZA 22 дні тому +30

    Wakwanza leo naomba like zenu please and please wale wapezi wa zuu na kai na bibi kai , malaika lets go like sasa naitaji ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MagrethYohana-ry5fk
    @MagrethYohana-ry5fk 22 дні тому +60

    jamn wa kwanz naomb like zangu

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 22 дні тому +33

    Mwenye atakuja nyuma anipe like jamani 🎉🎉❤🇧🇮🇧🇮

  • @user-cy2rb4pf7e
    @user-cy2rb4pf7e 22 дні тому +15

    Nipe like zenu jamani, kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @NiyoFrancine
    @NiyoFrancine 22 дні тому +23

    Wa1 ila kama unamkubali kayi like hapa

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 22 дні тому +9

    Nyie mbona nipo Hapa Hapa Mmenipiga 😂daaa Ila hya nipeni bas japo moja😂 from Oman 🇴🇲

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 22 дні тому +40

    Wakwanza tunae mkubali chiko gonga like ata tano apa

  • @daazuu4608
    @daazuu4608 22 дні тому +6

    Mnaboa bana vipande vyenyewe vidg afu mnarudia sehemu ambazo tushaangalia😏😏😏

  • @salumhamad
    @salumhamad 22 дні тому +19

    wakwanz nipen like zng😅

  • @MagrethYohana-ry5fk
    @MagrethYohana-ry5fk 22 дні тому +10

    zuuuu atapatikana tyu

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 22 дні тому +28

    Sasa kama kila mmoja ni wakwazda,wa pili niyupi tumupe like😂

  • @husnahusna1544
    @husnahusna1544 22 дні тому +6

    Waooo mnatuletea Kwa wakati shukran
    Ila zuu utapona tu mungu yupo ❤❤❤

  • @celinamboga581
    @celinamboga581 22 дні тому +5

    Aaah mm ata sijafurahi natakakumuona zuu😂😂😂mm na babake kai tumechoka kungoja😢😢😢

  • @Lily-rn6xc
    @Lily-rn6xc 22 дні тому +9

    Ngoja niangalie ntarud kucoment

  • @MudyAlly-jt5xc
    @MudyAlly-jt5xc 22 дні тому +8

    Haya jamani wapenzj wote wa busati usipite.bure hapa bila kulike🥰🥰

  • @user-if6yx3ix4r
    @user-if6yx3ix4r 22 дні тому +4

    Sijawai kukoment ila leo naona mwanga waja candy raundi hii huwezi toboa lazima useme tu kula chuma hicho bibi zuu 🎉🎉🎉🎉

  • @StellaKimaro-no6mv
    @StellaKimaro-no6mv 22 дні тому +11

    Funs wa zuuh tujuane hapa....😍😍😍❤️❤️❤️💞💞💞💞

  • @AnyesiKonga
    @AnyesiKonga 22 дні тому +6

    Sekunde watu washafka selathini

  • @user-ze4fq5qz9q
    @user-ze4fq5qz9q 22 дні тому +9

    Hata nami jaman like hata mbili

  • @user-mu4xm4fd5s
    @user-mu4xm4fd5s 22 дні тому +2

    ❤🎉❤ jamani nawapenda mimi humja wai nipa like hata moja 😢 naomba mwee moja to

  • @Nailah736
    @Nailah736 22 дні тому +6

    Mzigo tayari wacha tukae mwanzo tujue yafuatayo😂😂

  • @JoyAisha-og4hs
    @JoyAisha-og4hs 22 дні тому +3

    Yani sichafurahia movie poa yenye mafunzo kama hii mubarikiwe sana waigizaji hapa mumejitahidi Sanaa's Yani

  • @user-rz7kv9pn8m
    @user-rz7kv9pn8m 22 дні тому +5

    🎉🎉🎉acha tuone candy atatoboa kweli,njooni tutizame pamoja

  • @TinahDavid
    @TinahDavid 22 дні тому +5

    Jaman leo nmekuwa wa kwanza daaah tng nmeanza ndo leo like zenu bx

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 22 дні тому +4

    Wangapi wanaenjoy wimbo wa house girl 😊😂👍

  • @AshaNzara
    @AshaNzara 22 дні тому +4

    Jaman 😂😂😂raha kuwai wako wap wakuomba like bla kuangalia movie 🎉🎉🎉🎉❤

  • @DiamondMatandala-o7l
    @DiamondMatandala-o7l 22 дні тому +7

    Me wakwanza leo jaman like Zang mnipe

  • @user-bv2pn1ep8p
    @user-bv2pn1ep8p 22 дні тому +2

    Jamani naombeni like za wanachuo wanaofatilia House girl 😂

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 22 дні тому +2

    Naamini kabisa kwa uweza wa Mungu zuu atapatikana na kupona pia huyo candy ataumbuka

  • @Flazodesigner2215
    @Flazodesigner2215 22 дні тому +6

    Nakubali bwana munipe like zangu zakutosha Kama unayuwa zuuu atapona

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 22 дні тому +5

    Jmn munanifulahisha watu wa busati TV munadupa kwa wakati maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shilashilajackson7879
    @shilashilajackson7879 22 дні тому +2

    Bibi kafanya vzur sana leo,nilikua natamani sana hio taimu ya kumusumbua kendal ifike leo imefika😂

  • @ShazzLizz
    @ShazzLizz 22 дні тому +1

    Jamani mbona mnanichukia ivyo mnipee like ata kumi tu

  • @bonifacekemboi8482
    @bonifacekemboi8482 22 дні тому +3

    Nyanya wa zuu ivyo sasa ndio nilikuwa nangojea sana wapi like kwangu

  • @user-uy1fr1lj4b
    @user-uy1fr1lj4b 22 дні тому +4

    Leo nimewahii jamnn mnipee ata likes moja

  • @FaridaMahami-zw1mv
    @FaridaMahami-zw1mv 22 дні тому +1

    Kaz nzuriiii sanaaa,hongereniii🎉❤

  • @user-lb9sl5nd9r
    @user-lb9sl5nd9r 22 дні тому +3

    Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @VillaviaChemutai-if2ry
    @VillaviaChemutai-if2ry 22 дні тому +6

    Wakenya hoye🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-wk5yv4um4m
    @user-wk5yv4um4m 22 дні тому +3

    😂😂😂😂 ep 34 wangapi tunaanimi kuwa itakuwa tamu😂😂😂😂

  • @MpashiKennedy
    @MpashiKennedy 22 дні тому +1

    ❤❤Nazipenda saana movie zenu nakizuri munatoa haraka haraka na enough time thank you good job

    • @busatitv
      @busatitv  22 дні тому

      🥰🥰🥰🙏🙏

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy 11 днів тому +1

    Mnaweza sna tunajifunza vingi sana kwa hii move❤❤❤❤❤❤

  • @Mwanamvua-ze5ls
    @Mwanamvua-ze5ls 22 дні тому +3

    Chengine saa sita usiku jamni nzur sana mungu jalia zuu aonekane

  • @MathayonkindaManela-fq4uo
    @MathayonkindaManela-fq4uo 22 дні тому +3

    Kiboko wa kendy bibi Kama bibi dadeki mwisho wa ufalme wa kendy 😅😅

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv 22 дні тому +1

    Ka2i nzuri sana bibi 2u 🎉🎉🎉🎉🎉 kendi sasa kimean2a kuku ramba

  • @user-fh5ko7he2z
    @user-fh5ko7he2z 22 дні тому +1

    Sijachelewa sana leo ila mbona kama kendi ataumbuka jamani😂😂😂😂 kama waona hivo kama mm basi like jamani team zuu hi

  • @EdwardLukanda
    @EdwardLukanda 22 дні тому +4

    Wa kwanza leo naomben like jaman

  • @manojira5469
    @manojira5469 22 дні тому +4

    Tem Zuu twendeni uku 🏃🏃

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 22 дні тому +1

    Yaani kai,,,,utakuja kulia kilio cha paka mwizi heeeee hujui tu kitu candy anakusukia

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 22 дні тому +1

    Zuu naomba Like yako nakufatilia hap plzzz mpenz ❤❤❤❤

  • @user-dw7su2nh9r
    @user-dw7su2nh9r 22 дні тому +4

    Nimechelewa kidogo hata3 😢 basi

  • @RehemaFuko-yy4yr
    @RehemaFuko-yy4yr 22 дні тому +4

    Jaman naomben like zangu kwa mar ya kwanza nmewah mapema

  • @user-uk4fd1rp3w
    @user-uk4fd1rp3w 22 дні тому

    Jaman hii move inausambaratisha moyo wang, mapenz yote ni Kwa zuu nani anampend zuu njooni tujuwan Kwa like dears

  • @Aziza..Shaban
    @Aziza..Shaban 22 дні тому +1

    Wooow❤❤❤kai weka hata dakika 30 bro. Filamu tamu sana😊Mungu awatie nguvu

  • @RehemaElendela
    @RehemaElendela 22 дні тому +3

    Mimi wa kwanza Naomba like ❤❤❤❤

  • @JobWabwoba
    @JobWabwoba 22 дні тому +3

    Tena nimechelewa kidogo lakini bado niko nyuma ya zuu nipeni likes watu zuu

  • @user-gq1ej7le2j
    @user-gq1ej7le2j 22 дні тому +2

    Bibi hataki mchezo kwa mjukuu wake like nyingi kwa bibi❤❤❤

  • @janetnasimiyu8646
    @janetnasimiyu8646 22 дні тому +1

    Hii imenifurahiaha kidogo imenpa matumaini kuwa zuu atapona good job guys much love from kenya

  • @EmanuelMnyonge
    @EmanuelMnyonge 22 дні тому +4

    ❤❤

  • @RatifaSekamba
    @RatifaSekamba 22 дні тому +3

    Naombeni likes mi wa kwanza leo asanteni kwa kuwahi

  • @PrincessPendo-mc4dm
    @PrincessPendo-mc4dm 22 дні тому +2

    ❤ kutoka 🇰🇪 wapi like zangu

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 22 дні тому +1

    Patamu hpo safii bib zuu nmeipenda hio hongereni nyote Kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉🎉 wee Kai mm nngekua best yko nngekuzaba Kofi ili akili zikkufunguka 😂😂😂😂

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 22 дні тому +4

    Wapi nduru nimewahi leo wa kwanzaaà🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣kujeni tuone zuuu akipona 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Amina-lz1ht
    @Amina-lz1ht 22 дні тому +6

    Wakwanza Leo like zangu

  • @ZayNish-en9dw
    @ZayNish-en9dw 22 дні тому +2

    😂 Leo me ndo kwanza😅

  • @japhethngui6139
    @japhethngui6139 22 дні тому +3

    First to view....nipeni likes .....team kai

  • @JastonnaruweniJaston-cu5rm
    @JastonnaruweniJaston-cu5rm 22 дні тому +3

    Leo mmewahisha sanaa nawakubali

  • @ShakilaShaban-yg7ix
    @ShakilaShaban-yg7ix 22 дні тому +2

    Me wa kwanza jamen 😂

  • @RahabuMwashilinde
    @RahabuMwashilinde 22 дні тому +1

    Sasa huku ndo kwenyew bibi kaamua Asante Busati kwa kitu kizuri ❤️❤️❤️ nawapenda

  • @janethkimath5275
    @janethkimath5275 22 дні тому +4

    Ila nyie mko na shida gan jamn?

  • @MariamSalim-vk6dw
    @MariamSalim-vk6dw 22 дні тому +10

    Kila mmoja n wa kwanza na anaomba like mbona msitoe maoni kulingana na move yenyewe

  • @ZainabuSaid-q1k
    @ZainabuSaid-q1k 22 дні тому +2

    First❤

  • @TumainiJaphary
    @TumainiJaphary 22 дні тому +1

    Yajayo yanafulaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ii tamthilia tam san cjui mwisho wa candy utakuwaj

  • @hanifahanifa7708
    @hanifahanifa7708 22 дні тому +3

    Leo nimekuwa wa kwanza jamani😂 napenda love story

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq 22 дні тому +2

    Leo nimewaacha makusudi muwahi no kwasababu nyote uwa ni wa kwanza 😂😂😂😂😂ukiwa wa 300 uwa uoni kwa au auelewi

  • @Marry0-ce6vu
    @Marry0-ce6vu 22 дні тому +1

    Leo nimechelewa wadau vipi wapi like🎉

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o 22 дні тому

    Huy Bibi Kwa uchawi namuaminia Maan kweny move ya boss mchawi wee namp ❤

    • @peterphilipo5103
      @peterphilipo5103 22 дні тому

      Alikua na cheo kikubwa Sema seson 2 Bado haijaanza

  • @user-du1tg6jm3n
    @user-du1tg6jm3n 22 дні тому +3

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉 number 3

  • @salmamakala4728
    @salmamakala4728 22 дні тому +3

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 22 дні тому

    Kai kai acha ushaga msikilize bwana mpago ww bibi mau yako 🌹💐🏵️🏵️ nimependa hyoo bibi

  • @BlessingsHalisi-im9zx
    @BlessingsHalisi-im9zx 22 дні тому +1

    Waooo pameanza kuchangamkaa

  • @wasule6253
    @wasule6253 22 дні тому +3

    Candy kula chuma hicho bibi zuu mkomeshe huyo maana hakujui vizuri