MKE AGUNDUA MUME WAKE ANA WATOTO NJE KISA CHALLENGE Part1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 207

  • @christinanyamtema6516
    @christinanyamtema6516 11 місяців тому +40

    Mnafanya Mambo ya ajabu Sana,maana mwanaume anakuwa hakuamin Tena Wala amuamini mtoto pia challenge za ovyo hizo

    • @RoseJohn-js7kb
      @RoseJohn-js7kb 10 місяців тому +1

      Mfano mumewe presha zishuke apate mshtuko afe atamlaumu nani?Mimi siwezi ujinga wa hivyo

  • @sulaiyahassam-jy9os
    @sulaiyahassam-jy9os 11 місяців тому +34

    kiredio atak peace 😂😂 anataka problem always

  • @edamatonya7887
    @edamatonya7887 11 місяців тому +88

    Hiki kipindi sio kizuri hawa watu wanao ambiwa mwambie mume wako maneno kama haya hawana akili mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe

    • @SwazilineNihingiko
      @SwazilineNihingiko 11 місяців тому +7

      Na mume ujunja nini 😂😂😂 towa usenge

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 11 місяців тому +4

      Kabisa baba wa watu akifa huko mwanamke mjinga kabisa

    • @lizyonce7414
      @lizyonce7414 11 місяців тому +9

      Kabisa ndug yang mwanamke mwenye kujitambua na kujielewa awezi kufanya hivi

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 11 місяців тому +1

      Kwer kbs

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 11 місяців тому +4

      😂😂unamtengenezea chuki Baba kwa mtoto

  • @richardkwayson7202
    @richardkwayson7202 7 місяців тому +9

    😂😂ila hii kitu huyu mwanamke ana tatizo la akili

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 11 місяців тому +35

    HAHAHA...ULIYATAFUTA SASA UMEAYAPATA....NASEMAJEEE HII IMEENDA HII IMEENDA.. NIPENI LIKE ZANGU APA....🤣🤣😂😂..💔📌☑️

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 11 місяців тому +15

    Baba Juniour ana kina Sinia pia😊😊😂😂😂😂😂 haya mambo hayaaa🤭🤭🤭🤭🤗😊

  • @faustaemmanuel1390
    @faustaemmanuel1390 2 місяці тому +2

    Baba junior atakufa jmn wanawake kwan lazima ufanye hu ujinga😅😅

  • @lizyonce7414
    @lizyonce7414 11 місяців тому +18

    Mwanamke mwenye kujitambua na kujielewa awezi kufanya ujinga huu.
    Dada kapime akili yako vizur wewe mwenyewe😢

    • @janenyemba5080
      @janenyemba5080 11 місяців тому +1

      Kati yako na yeye wakupimwa Akili Nani maan ingekutokea wew ungeonekana kama yeye unavyomwona alfu kuwekana ukweli Ni vizr au akishakufa ndio ajue kuwa anawatoto njee

    • @jostamzxkaole3113
      @jostamzxkaole3113 10 місяців тому +1

      KUNA famiria zingine mtu na mpenziwake wanataniana ko aiez leta shida:: au utakuta mwanaume kawekwa hapaaa🤲🏼🤌::ko akiambiwa ilikua utani haez sumbua

    • @DenisMawala
      @DenisMawala 10 місяців тому +1

      Kbsa

  • @temuaidan
    @temuaidan 8 днів тому

    Kiredio tupo na wewe mpaka wakuuwe😂😂😂😂

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627 11 місяців тому +9

    Wakenya wanaweza huku wabongo tutauana bure jamn😂

  • @rajabumlaluko2897
    @rajabumlaluko2897 10 місяців тому +5

    Huyu mwanamke ni mjinga sana tena sana

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr 11 місяців тому +5

    😅😅😅dada utani mwingine wakijinga unaweza kuuwa mtu

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 11 місяців тому +4

    😂😂😂😂😂😂hii imeendaaaaaaaaa

  • @josephkalwani
    @josephkalwani 10 місяців тому +9

    Achana na challenge za aina hii unajua kua zinagusa maisha ya familia acheni kuweka challenge kwenye familia

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Місяць тому

    Ktk Maisha yako yoote huwezi Kumfurahisha Mwanamke....
    Haaaya Saasa Challenge Accepted

  • @AkxaEdwin
    @AkxaEdwin 13 днів тому

    Pressure hiyo!! 🙌

  • @emmatryphone6921
    @emmatryphone6921 Місяць тому +2

    Unakurupuka tu. Mnaweza kuua mtu.

  • @user-ik8zb6wc3m
    @user-ik8zb6wc3m 11 місяців тому +8

    Huyu ndo kiredio bhana

    • @Mwarobaini
      @Mwarobaini 11 місяців тому

      Mmoja kati ya hao watoto ni Wangu. Mwambieni anitafute huyo Dada

  • @shufaamushil8886
    @shufaamushil8886 3 місяці тому

    😂😂😂 et wanawake cji mpoje kumbe Naye ana makandokando yake . Bora kuish tu, Hz chalange hapana🙌

  • @NeemahChristopher-pq3kc
    @NeemahChristopher-pq3kc 4 місяці тому +3

    Huyu mwanamke ni dishi kweli yani ivi ww hyo ni challenge ya kumfanyia mumeo kabsa😢😢😢

  • @swaibahhassan5056
    @swaibahhassan5056 11 місяців тому +2

    Kiredio jmn alivyoshangaa kinafki khaaah😂😂😂

  • @MerryLaini-wk1ut
    @MerryLaini-wk1ut 11 місяців тому

    🤣😀🤣 mwana kulifaindi mwana kuliget. Iv unaweza ww mwanamke. Kuongea na mmeo mbele ya watu hayo maneno. Sasa haya. Huyo kiledio kakuachia ungomvi yeye kaondoka kama ifuatavyo mwenzio anaenda kwa mkewe anampepea ww huna wa kukupepea

  • @shancyskitchen3044
    @shancyskitchen3044 11 місяців тому +7

    Siwezi Fanya Huu Ujinga Kwa Mume Wangu 🥺🥺🥺

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 7 місяців тому

    😂😂😂hii hata ukimwambia ilikua challenge mumeo atakataa atajua kweli mtoto sio wake. Ohoo ulijaribu wew kumbe mwenzio ana wanne nje sasa😂😂😂presha juuu

  • @ZawadiNambari
    @ZawadiNambari 2 місяці тому

    Wanatanianaga hawa nyumbn mm wangu umfanyie hivi uwiiiiii 😅😅😅

  • @user-xh4yh8tq7m
    @user-xh4yh8tq7m 10 місяців тому +1

    Mwanamke ni mtu ambae akilii hanaa uyuu dada ni mpumbavu sanaa

  • @debbylitina3480
    @debbylitina3480 11 місяців тому +6

    Hiii challenge sio Vizuri, Inaweza Ikavunja Unyumba wawatu😢

  • @josphatmkuvaja6219
    @josphatmkuvaja6219 2 місяці тому

    daaa Mambo mengine yakijinga sana

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 3 місяці тому

    Nimejikuta bacheka tu ingawa hili jambo sio zur

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 10 місяців тому +1

    Nimecheka huku nashangaaa Mapenzi jamaniii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💔💔💔💔💔

  • @mohamedrajabu9055
    @mohamedrajabu9055 3 місяці тому

    Wanawake sijui mwalimu mwenu alikuwa nani anaazaje kumpigia cm mumeo kuongea upumbavu km huyo huoni km unajiharibia ukiachwa huyo alokupa challenge humuoni tena

  • @user-lr7dc7ru1w
    @user-lr7dc7ru1w 10 місяців тому

    Daaa masikini pole dada wanaume punguzeni michepoko jamani

  • @PaulinaErnesto-te7ou
    @PaulinaErnesto-te7ou Місяць тому

    Kiredio ❤❤❤❤🎉🎉

  • @atrashabubakarmohamed
    @atrashabubakarmohamed 3 місяці тому

    Nyie hamjui hii Ni content

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 9 місяців тому +1

    Na yeye akikwambia ilikuwa ni chalenge😂😂😂 je?

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 2 місяці тому

    😂😂😂sasa unpanik nini weye mbona umkua unasema siyewak

  • @evaqueenchris-mb6wg
    @evaqueenchris-mb6wg 10 місяців тому +1

    Dada utakuta mtoto amechinjwa😅😅😅sababu ya challenge

  • @marymabula1525
    @marymabula1525 24 дні тому

    Mchezo kwangu siutaki hata kidogo

  • @user-ie2og5kr2b
    @user-ie2og5kr2b Місяць тому

    Naitaji pia na mm namb Ako n paje

  • @mr.content266
    @mr.content266 11 місяців тому +1

    Ishu ndogo tu namimi sikua serious mke wangu

    • @shufaamushil8886
      @shufaamushil8886 3 місяці тому

      😂😂😂 nilijua unanitania na mm nikakutania

  • @RahmaMusa-fi2ft
    @RahmaMusa-fi2ft 25 днів тому

    Ama kweli kakipata alichokua anakitaka uuuuwi

    • @MethKamata
      @MethKamata День тому

      Sema hapo mwishoni sijasikia mwanaume amesemaje,ana mtoto nje!?

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 11 місяців тому +1

    Mimi mume wangu humwambii hvyo' atakuua hao naona wanapangwa

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 4 місяці тому

    ni hatar kwa afya aisee 😂😂

  • @SaphiaShayo
    @SaphiaShayo Місяць тому +1

    Sifanyi ujinga huo kwa mume wangu

  • @winnieseba2257
    @winnieseba2257 10 місяців тому

    😂😂😂khaa jamanii

  • @jacqueli18
    @jacqueli18 8 місяців тому

    Mwanamke mjingaaaa yaani halina akili

  • @gamingpointApk
    @gamingpointApk 10 місяців тому

    Aina hii ya challenge sio broh..

  • @charlottempangala3881
    @charlottempangala3881 8 місяців тому

    Baba junior alishasoma mchezo alikuwa anamlia timing ili amvuruge haswaaaaaaa

  • @jaffaryhamiddy8939
    @jaffaryhamiddy8939 10 місяців тому

    mwannng unaharb ndoa z wat hp😂😂

  • @user-lq4eu8lt7o
    @user-lq4eu8lt7o 8 місяців тому

    Kipindi kiliandaliwa hiki bhna😂😂😂😂

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034 9 місяців тому

    Kwishaaaa mshaaribu dah

  • @apostlemussaonlinetv
    @apostlemussaonlinetv 3 місяці тому

    Mtu anaejiheshim mama wa watt\mme wa watt hawezi kushiriki upuzi huu haya mambo niya vijana

  • @sheny4120
    @sheny4120 10 місяців тому

    Kimekuramba😂😂😂 challenge accepted

  • @user-ty1tp8ly8q
    @user-ty1tp8ly8q 2 місяці тому

    Mtakuja kuwawa jmn 😢😢

  • @rojatv167
    @rojatv167 10 місяців тому

    Hii kitu ya kipuuuzi sana

  • @bensonwissa5777
    @bensonwissa5777 7 місяців тому

    Hizi ni kazi msichukulie siliaz

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 11 місяців тому +1

    Duuuh makubwa 🇶🇦🙌

  • @barakakhemedi1250
    @barakakhemedi1250 10 місяців тому

    Yaan hujui hta mumeo yupo wap ana fanya nn unaeza muingiza majangani bila sababu alaf ukute kajunior alikuwa anakapenda kweli

  • @EmmyJumanne-mf2nu
    @EmmyJumanne-mf2nu 4 місяці тому

    😂😂😂😂. jmn😢

  • @user-oh6ov3ob7p
    @user-oh6ov3ob7p 11 місяців тому

    Mwanakulitafuta ndo ukome😅

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py 11 місяців тому +1

    Mtu upo kweny ndoa unapat wapii ujasili wa kuongea hivyo huo ni ukosefu wa marifaa mamaangu

  • @user-ib1mt2zp9y
    @user-ib1mt2zp9y 11 місяців тому

    big up bro! kirediooooo🙌🙌🙌🙌

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 11 місяців тому

    Part 2 plz

  • @marthamvanga8028
    @marthamvanga8028 3 місяці тому

    Mkee wa mtu nae ajielewi

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 11 місяців тому

    Tunaombaaaa huu mwendelewlzooooooooo plz

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 10 місяців тому

    we mwanamke kumbe dishi lilishaanguka chini

  • @monalisadaniel-rp7xy
    @monalisadaniel-rp7xy 3 місяці тому

    Duuuuuuu yapili ipo wapi

  • @muna1165
    @muna1165 10 місяців тому +2

    Part 2 tafadhali

  • @santaperessanta7394
    @santaperessanta7394 10 місяців тому

    Umeyatimba😅😅

  • @user-gb3tk1wr9y
    @user-gb3tk1wr9y 2 місяці тому

    Kiredio fanya hizo challenge ziishie kwa sie ambao hatujaanza kuitwa mume na mke maan utaacha sie tupelekwe village😂😂😂😂

  • @oggyjonathan1376
    @oggyjonathan1376 11 місяців тому

    Kimeumanaaa😂

  • @ChachaNyabare
    @ChachaNyabare 3 місяці тому

    Kayatiba alafu anavyo ongea ni kweli mana kumbe kulikuwa na maneno ya watu alafu Leo kwamwambia ukweli kunanin Tena hapo

  • @naylahobra
    @naylahobra 4 місяці тому

    Huu we huu unajua anaweza chukua hatua gani kamuua ama kaja kukuwa wewe unapata faida gani si uchiz huu mh

  • @happymwashimaha5134
    @happymwashimaha5134 11 місяців тому

    Hii ni hatari sana.
    Acheni ujinga huo .
    Tuleteeni vitu vyenye tija

    • @emanuelidivine4941
      @emanuelidivine4941 10 місяців тому

      Ata ichi kina tija tuache si tupate raha wanaokubali kufanyiwa challenge ndio wajinga we umeolewa afu unasem mtt sio wa bwn mtot akianz kubaguliwa utamlaum kiredio ye anaingiza zake pesa koo uez sema anavovifny avina tija wakati ndio anapatia pesa

  • @rachelthomas1113
    @rachelthomas1113 9 днів тому

    wewe dada Ni mjinga muwe mnaangalia na Mambo ya kuambiwa na kujiongeza haya Sasa umelikoroga linywe sasa

  • @rukiasalum2248
    @rukiasalum2248 10 місяців тому

    Hi imefikaje bongo huko 254 watu kibao wameshavunjiwa mahusiano yako kwa mambo kama haya

  • @themk-sw9eh
    @themk-sw9eh 9 місяців тому

    Maskini kaka wa watu hadi kigugumizi

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 3 місяці тому

    Na ww dada unakubalije challenge kama hiyo hujuwa nihatali kwako?😢😢😢😢😊

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 7 місяців тому

    Kwa Mimi binafisi siwezi mwambia mume wangu ushuzi Kama huu unaweza kususiwa watoto

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 11 місяців тому

    sijui itakuwaje sasa mana bwana kataja na wakwake wa nje

  • @AyubuMtui
    @AyubuMtui 11 місяців тому +1

    Oyaà kirediooo unafufua vilivyokufa ni msala huoo mjomba anguu😢😢

    • @Mwarobaini
      @Mwarobaini 11 місяців тому +1

      Huyo Demu alinitoroka mpeni habari yake ninamtafuta

    • @levinaernest4364
      @levinaernest4364 11 місяців тому +1

      😀😀😀😀ni Atari Sana

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 11 місяців тому

    Angalieni Mambo Ya Kuiga Mfano Uyo Jamaa Akiwa Ndio Dereva Na Yuko Kwenye Amjui Kama Anaweza Kuleta Ajali Achia Apo Akiwa Karibu Na Nyumbani Na Akabeba Mtoto Na Kukata Panga Apo Vipi Ebu Serikali Zuieni Mambo Aya Kutawala Tanzania Yetu Mtu Kama Anapenda Aende Kuigiza Kwenye Taifa Uko Alikoona Iwe Kenya Au Wapi Aende Uko

  • @vero57
    @vero57 11 місяців тому

    Nyie Nyie munafanya mtu apate pressure bule !!!

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 10 місяців тому

    we lishangazi huna akili kabsa

  • @magiehanlon3534
    @magiehanlon3534 3 місяці тому

    Mwaga ugali namwaga mboga

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 10 місяців тому

    huu ujinga kbs mtasababisha watoto wa watu wauliwe bure

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 2 місяці тому

    Kuna utan mwingine wa kipumbavuu

  • @AminaMnungamo-ib4du
    @AminaMnungamo-ib4du 11 місяців тому +2

    Siku zote huwongo hunamwisho wake na wkt wa mungu ni sahihi

    • @Mwarobaini
      @Mwarobaini 11 місяців тому

      Mmoja kati ya hao watoto ni Wangu. Mwambieni anitafute huyo Dada

  • @fortunatajuma5822
    @fortunatajuma5822 7 місяців тому

    We dada hamnazooo

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 2 місяці тому

    We mwanamke mpumbavuu😢😢😢

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 11 місяців тому +1

    Ukome umejua na usiyoyajua

  • @EddaDaniel-we5um
    @EddaDaniel-we5um 3 місяці тому

    Niko na upumbavu mwingi ila upumbavu kama huu siwez kufanya

  • @AngelMwinyi
    @AngelMwinyi 3 місяці тому

    Me sijikufanya hii challenge

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 10 місяців тому

    Ushauri tu,, challenge dizaini hii achana nazo. We hujiulizi kwanini vipimo vya DNA havipo mtaani,, sio kwamba watu hawana pesa za kununua hizo interview utafanya watoto wa mtaani waongezeke. Ikiwezekana buni namna nyingne

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 2 місяці тому

    Mwenzio ansingiza hela,we unaharibu ndoa yako,kweli mwanamke mpumbavu anaivunja ndoa yake kwa mikono yake,

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 11 місяців тому +2

    Ndoa imeota mbawa 😢

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490 10 місяців тому

    Kwenye ndoa hayafai bwana labda kwa vijana tu

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 2 місяці тому

    MTU AKIFA. KWA. PRESSURE

  • @hanssrukwa1604
    @hanssrukwa1604 6 місяців тому

    nakushauri kiredio usiingilie ndoa za watu wakiachana utabeba msalaba wao siku zote kumbuka kua wewe pia umezariwa na wazazi na mama yako ndio anaejua ukweli wote kuhusu wewe
    USHAURI WA BURE
    Ukitaka kufanya challenge za mahusiano ukimuhoji mtu akikuambia ni mke wa mtu au ni mume wa mtu badilisha hiyo challenge kwani ndoa ni ibada, sio vyema kutingisha ndoa za watu. hizi viewers zipo tu ndugu yangu 🙏🙏🙏

  • @user-np1kb5cw2o
    @user-np1kb5cw2o 10 місяців тому

    Mara unaenda home unakuta mtoto kashapewa sum kwa ujinga kama huu