Nimeipenda Sana kazi yako mdogo'angu Kiredio na Mr. UK...Nilifikiri mnachekesha tu, kumbe mnaisaidia jamii pakubwa kiasi hiki...!! Be blessed, please keep it up..!
Kiredio upo sawa sana watu wengi watajifunza kuptia hivi vitu mana mapenz yanauma sana..😢😢...kuna ishu umesema kua unaweza kumchek mtu kidizain kua kuna mchongo km iyo ishu ya gari kua afanikiwe mm nakushaur ucmpe mtu ukwel iyo ni kaz yko.
Kuna ishu nashindwa Elewa,maelezo unasema ungemsanua ungejua kakosea,Sasa alipotaja Beni,s alikosea ungefany namn ya kumsaidia😂😂 maana yaonesha jina la mwamba ulikuwa walifaham ndo mana ukampigia na kusema" we jina lingne ni Beni" Anyway sio kwamb natetea sema ulivoeleza.... Japo Kiukwel keep it up bro unaokoa weng Amini Zen watu mdogomdgo watabadirik na kuwa waaminifu tuombe ziende Viral hizi video
Kwendra zenu ningesema sina xx ht kidogo nipo single, bdae ukijanicheki. Ntajitetea mahusiano yangu sio maonyesho bora nikose zawad kuliko nitaje ma x xx xxx
Duh sisi wanawake ni wajanja wa Mbinu imekueje wewe kulikosa Gari? Duh umeniangusha sana ila najua utalipata tu kwa huyu alieleta Zawadi😂 mbona wanaume kwetu Maboya tu😁
Nimeipenda Sana kazi yako mdogo'angu Kiredio na Mr. UK...Nilifikiri mnachekesha tu, kumbe mnaisaidia jamii pakubwa kiasi hiki...!! Be blessed, please keep it up..!
Uyo Ben pia hamtaki tena uyo mwanamke 😮😮😮kishamjua wakuruka ruka
Sema mie naungana na kiredio ✊✊✊✊ bora hujamsanua maana mademu wa jini wanaringa sana asee
Wadada wa chuo tunawajua, wanapenda magari
Duh wanawake sis jamani😢tutuliage na mmoja sasa
Rekebishen sauti wakuu ipo chini sanaa
Jamaa inaonekena ilikua yuko kama hana hela na mwanamke alimchukulia poa,dharau sio nzur
Duh ila uyo kaka anampenda sana mpaka kamnunulia gari.
Hawa mabinti wa University wachana nao kabisaa yani hadi ana graduate anakuwaga na mahusiano lukuki 😂😅😅
Kama unakubali huu uokovu wa huyu jamaa gonga like apo
Wanawake awajatulia nishida
Kiredio upo sawa sana watu wengi watajifunza kuptia hivi vitu mana mapenz yanauma sana..😢😢...kuna ishu umesema kua unaweza kumchek mtu kidizain kua kuna mchongo km iyo ishu ya gari kua afanikiwe mm nakushaur ucmpe mtu ukwel iyo ni kaz yko.
We Kiredio nitafute
Ukitaka presha ikumaluze..hawa wa 2000s na wanafunzi watafika Wamechoka Sana.
Ahsante kiredio, ulifanya kazi nzuri kaka! Ben endelea na mke wako bhana! Kiredio shukrani gari liko yard right now!
Ila sisi wanawake dahhh
Anasema ben jina la baba ake . Au sio
Jina la baba ake wapi tumepigwa hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Sabrinamkandawile6017 kuna time mnazingua sana😂
@@user-vz4xv7lg3x kweli kabsa
We the daughters of eve😂😂😂😂😂😂😂😂weeeeeh
Mimi nacheka sana wakija kwa sisi madereva wa morori duh ndoa zitakufa
Mmekomesha kabisa sema Mr UK anacheko ya kinafiki Sana 😂😂😂
Kuna huyu mshika kifeni ameniua anavyokifanyia kaz
Hiv karibu nakupa kazi 😂😂😂😂😂
Mi napenda unachofanya
sio mbaya alipata ata maua na cake😂😂😂
Bro notification hizo zinakeraaa
Sjawahi kuona mtu mbea Kama Mr UK😂😂😂😂
😄😄😄😄
Dah nimeumia pole yake
Hiyo Gali ilikuwa imefungwa kwenye mkia wa chui😅😅😅😅
Aiseeeee so painfull wadada wa chuo siyo waaaminifuuu kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂 Hata ukiwa na mke wako anasoma chuo tambua umempotezaaaaaaa😂😂😂
Mmh Ila vyama vingi nooumaaaaa
💞💞💞💞
Dem mwenyewe badala ya kusema mwanaume anasema mwanyaume😅😅😅
❤❤
Wanawake mashauzi
Kakuma tu ako kwanza kanaitwa et mekap yangu itaalibika wanawake bhana
Dada si umpe nafasi ajielezee unamkatisha maneno
Huyo ben mwenyewe huenda hata ni mume wa mtu ni danga lake na ameshangaa kuskia katajwa😂😂😂
Ndio shida ya kutokua na mwanaume mmoja
Demu mashauzi kibao kumbe analist ya mabwana
Alf kanajitetea ety Ben baba akee nyoooo 😂😂😂 .. wanawake tuache kucheat 😅
Sasa uyo mikelele ya nn
Duuu uyoo jamaa tunaomba uwojiane nae alie nunua ilo gar 😂😂😂😂 akil mingi sana ilo bepari
Huyu dada mbona anamtumia kwenye video nyingi tu? Hayo ni maigizo tu
Alf mwamba ndio alikuwa analipa ghalama😂😂😂
Ivi ndojisi munavyo tuma video kwenye mtandao mbona bovu ivi
Kuna ishu nashindwa Elewa,maelezo unasema ungemsanua ungejua kakosea,Sasa alipotaja Beni,s alikosea ungefany namn ya kumsaidia😂😂 maana yaonesha jina la mwamba ulikuwa walifaham ndo mana ukampigia na kusema" we jina lingne ni Beni"
Anyway sio kwamb natetea sema ulivoeleza....
Japo Kiukwel keep it up bro unaokoa weng Amini Zen watu mdogomdgo watabadirik na kuwa waaminifu tuombe ziende Viral hizi video
Kunsaidia ninkuendeleza ujinga. Tujifunze kutulia
Ivi una akili wewe huyu kapewa kazi unazani huyo boss awezi kumuambia jina sababu anajua angemwambia ili demu asikose gari
Eti mim ninaitwa Beni kweli?????
Huyoooo jamaa lakin n mwamba duuuuuu
Hadi nimelia
Hakataki kutoka nje eti kuna jua kali
Kwendra zenu ningesema sina xx ht kidogo nipo single, bdae ukijanicheki. Ntajitetea mahusiano yangu sio maonyesho bora nikose zawad kuliko nitaje ma x xx xxx
Kwel cathy
Jamaa umekuja kutuokoa
😅😅😅😅😅😅😅
Dha!
Yaani ulimwambia kabisa mwenye hera lkn hajastuka
🤣🤣🤣huwenda jamaa alikuwa hajionyesh km anapesa😂😂
Aaah wap baba unamtajaje kifupi buyo mcgeluko ni ben
Eti babake! Kwa hiyo babake ni boyfriend wake. Makubwa haya
It's sad
😂😂🤣😂😂🤣😂🤣
If u don fear women bado hujajua dunia 😂
😂😂
Kachengana na gar la mshahar
Natamani kumuona huyo mwana (the car buyer) kwasabu Yule binti mdogo sana jamaa amewezaje kuinvest kwa mtoto Yule.
Kabisa umeongea kwel kbs
Umewaza km mimi
Duh sisi wanawake ni wajanja wa Mbinu imekueje wewe kulikosa Gari? Duh umeniangusha sana ila najua utalipata tu kwa huyu alieleta Zawadi😂 mbona wanaume kwetu Maboya tu😁
Ataenda kulichukua tu gari lake..mtu mpaka katoa gari..hachomoi hapo..wadada wajanja..atamwambia hakutaka kumuweka hadharani..hahaha..jamaa atatoa tu gari
Labda ukutane na boya
Eti atapewa tu gari unazani matako yako hayo..kashasema Beni akapewe na Beni wake sasa.
@@SelemanModestmmass-vk2xd hahahahahahahahahahahahahaha
@@SelemanModestmmass-vk2xd😂😂😂😂