KIREDIO AFUNGUKA A -Z DADA KUCHANGANYA JINA LA MPENZI WAKE NA KUKOSA GARI, NATISHIWA MAISHA SAHIVI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2023
  • #kiredio #mrmwanya #superleague
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 82

  • @adam_speech-languagepathol11
    @adam_speech-languagepathol11 5 місяців тому +5

    Nimeipenda Sana kazi yako mdogo'angu Kiredio na Mr. UK...Nilifikiri mnachekesha tu, kumbe mnaisaidia jamii pakubwa kiasi hiki...!! Be blessed, please keep it up..!

  • @prettymasha2430
    @prettymasha2430 9 місяців тому +8

    Uyo Ben pia hamtaki tena uyo mwanamke 😮😮😮kishamjua wakuruka ruka

  • @publicityzone9583
    @publicityzone9583 9 місяців тому +8

    Sema mie naungana na kiredio ✊✊✊✊ bora hujamsanua maana mademu wa jini wanaringa sana asee

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 9 місяців тому +7

    Wadada wa chuo tunawajua, wanapenda magari

  • @user-jd8lu1bk8k
    @user-jd8lu1bk8k 9 місяців тому +8

    Duh wanawake sis jamani😢tutuliage na mmoja sasa

  • @princemallya4085
    @princemallya4085 9 місяців тому +3

    Rekebishen sauti wakuu ipo chini sanaa

  • @YuliaPeter
    @YuliaPeter 4 місяці тому +2

    Jamaa inaonekena ilikua yuko kama hana hela na mwanamke alimchukulia poa,dharau sio nzur

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 9 місяців тому +4

    Duh ila uyo kaka anampenda sana mpaka kamnunulia gari.

  • @babitojnr4886
    @babitojnr4886 9 місяців тому +7

    Hawa mabinti wa University wachana nao kabisaa yani hadi ana graduate anakuwaga na mahusiano lukuki 😂😅😅

  • @sleyumngolo
    @sleyumngolo 9 місяців тому +18

    Kama unakubali huu uokovu wa huyu jamaa gonga like apo

  • @BikyeombeInnocent-vd3pg
    @BikyeombeInnocent-vd3pg 9 місяців тому +4

    Wanawake awajatulia nishida

  • @superkarimBenzema
    @superkarimBenzema 2 місяці тому

    Kiredio upo sawa sana watu wengi watajifunza kuptia hivi vitu mana mapenz yanauma sana..😢😢...kuna ishu umesema kua unaweza kumchek mtu kidizain kua kuna mchongo km iyo ishu ya gari kua afanikiwe mm nakushaur ucmpe mtu ukwel iyo ni kaz yko.

  • @zainab-yb7tt
    @zainab-yb7tt 19 днів тому

    We Kiredio nitafute

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 9 місяців тому +5

    Ukitaka presha ikumaluze..hawa wa 2000s na wanafunzi watafika Wamechoka Sana.

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 9 місяців тому +16

    Ahsante kiredio, ulifanya kazi nzuri kaka! Ben endelea na mke wako bhana! Kiredio shukrani gari liko yard right now!

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh 9 місяців тому +6

    We the daughters of eve😂😂😂😂😂😂😂😂weeeeeh

  • @halima2286
    @halima2286 9 місяців тому +3

    Mimi nacheka sana wakija kwa sisi madereva wa morori duh ndoa zitakufa

  • @wilonderby
    @wilonderby 9 місяців тому +3

    Mmekomesha kabisa sema Mr UK anacheko ya kinafiki Sana 😂😂😂

  • @ClarabelleWilliams-uw5pm
    @ClarabelleWilliams-uw5pm 9 місяців тому +2

    Kuna huyu mshika kifeni ameniua anavyokifanyia kaz

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 8 місяців тому +1

    Hiv karibu nakupa kazi 😂😂😂😂😂

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 9 місяців тому +4

    Mi napenda unachofanya

  • @graceambrose8757
    @graceambrose8757 9 місяців тому +2

    sio mbaya alipata ata maua na cake😂😂😂

  • @akhaly5387
    @akhaly5387 9 місяців тому +6

    Bro notification hizo zinakeraaa

  • @LydiaStephano
    @LydiaStephano 9 місяців тому +11

    Sjawahi kuona mtu mbea Kama Mr UK😂😂😂😂

  • @neemaabdu1091
    @neemaabdu1091 9 місяців тому +3

    Dah nimeumia pole yake

  • @RamadhanRunyange-by6fx
    @RamadhanRunyange-by6fx 9 місяців тому +2

    Hiyo Gali ilikuwa imefungwa kwenye mkia wa chui😅😅😅😅

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 8 місяців тому

    Aiseeeee so painfull wadada wa chuo siyo waaaminifuuu kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂 Hata ukiwa na mke wako anasoma chuo tambua umempotezaaaaaaa😂😂😂

  • @user-gg3on2hh7s
    @user-gg3on2hh7s 9 місяців тому +2

    Mmh Ila vyama vingi nooumaaaaa

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 9 місяців тому +2

    💞💞💞💞

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 9 місяців тому +2

    Dem mwenyewe badala ya kusema mwanaume anasema mwanyaume😅😅😅

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 2 місяці тому

    ❤❤

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 9 місяців тому +1

    Wanawake mashauzi

  • @meshack3266
    @meshack3266 9 місяців тому +1

    Kakuma tu ako kwanza kanaitwa et mekap yangu itaalibika wanawake bhana

  • @yustakipenya6231
    @yustakipenya6231 8 місяців тому +1

    Dada si umpe nafasi ajielezee unamkatisha maneno

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 9 місяців тому +2

    Huyo ben mwenyewe huenda hata ni mume wa mtu ni danga lake na ameshangaa kuskia katajwa😂😂😂

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 9 місяців тому +4

    Ndio shida ya kutokua na mwanaume mmoja

  • @suleimansaid769
    @suleimansaid769 9 місяців тому +1

    Demu mashauzi kibao kumbe analist ya mabwana

  • @esterstaphord5184
    @esterstaphord5184 9 місяців тому +1

    Alf kanajitetea ety Ben baba akee nyoooo 😂😂😂 .. wanawake tuache kucheat 😅

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 9 місяців тому +4

    Sasa uyo mikelele ya nn

  • @hassanikombe9053
    @hassanikombe9053 9 місяців тому +1

    Duuu uyoo jamaa tunaomba uwojiane nae alie nunua ilo gar 😂😂😂😂 akil mingi sana ilo bepari

  • @foncetecelectricalandelect34
    @foncetecelectricalandelect34 9 місяців тому +1

    Huyu dada mbona anamtumia kwenye video nyingi tu? Hayo ni maigizo tu

  • @998said
    @998said 9 місяців тому +3

    Alf mwamba ndio alikuwa analipa ghalama😂😂😂

  • @BikyeombeInnocent-vd3pg
    @BikyeombeInnocent-vd3pg 9 місяців тому +3

    Ivi ndojisi munavyo tuma video kwenye mtandao mbona bovu ivi

  • @malilaebayoth5776
    @malilaebayoth5776 9 місяців тому +4

    Kuna ishu nashindwa Elewa,maelezo unasema ungemsanua ungejua kakosea,Sasa alipotaja Beni,s alikosea ungefany namn ya kumsaidia😂😂 maana yaonesha jina la mwamba ulikuwa walifaham ndo mana ukampigia na kusema" we jina lingne ni Beni"
    Anyway sio kwamb natetea sema ulivoeleza....
    Japo Kiukwel keep it up bro unaokoa weng Amini Zen watu mdogomdgo watabadirik na kuwa waaminifu tuombe ziende Viral hizi video

    • @julianagowele9163
      @julianagowele9163 9 місяців тому +4

      Kunsaidia ninkuendeleza ujinga. Tujifunze kutulia

    • @anjelmoses624
      @anjelmoses624 9 місяців тому +1

      Ivi una akili wewe huyu kapewa kazi unazani huyo boss awezi kumuambia jina sababu anajua angemwambia ili demu asikose gari

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 9 місяців тому +2

    Eti mim ninaitwa Beni kweli?????

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 8 місяців тому

    Huyoooo jamaa lakin n mwamba duuuuuu

  • @ShizaAlly
    @ShizaAlly 2 місяці тому

    Hadi nimelia

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 9 місяців тому +1

    Hakataki kutoka nje eti kuna jua kali

  • @CathyMathias-bx4ft
    @CathyMathias-bx4ft 9 місяців тому +3

    Kwendra zenu ningesema sina xx ht kidogo nipo single, bdae ukijanicheki. Ntajitetea mahusiano yangu sio maonyesho bora nikose zawad kuliko nitaje ma x xx xxx

  • @amosmutasa3454
    @amosmutasa3454 9 місяців тому +3

    Jamaa umekuja kutuokoa

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 3 місяці тому

    Dha!

  • @hadijaissaally6858
    @hadijaissaally6858 9 місяців тому +4

    Yaani ulimwambia kabisa mwenye hera lkn hajastuka

    • @lulumasangwa9962
      @lulumasangwa9962 9 місяців тому +1

      🤣🤣🤣huwenda jamaa alikuwa hajionyesh km anapesa😂😂

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 9 місяців тому +3

    Aaah wap baba unamtajaje kifupi buyo mcgeluko ni ben

    • @julianagowele9163
      @julianagowele9163 9 місяців тому

      Eti babake! Kwa hiyo babake ni boyfriend wake. Makubwa haya

  • @Rosemaryhamisi
    @Rosemaryhamisi 9 місяців тому +3

    It's sad

  • @kendrickoffset981
    @kendrickoffset981 9 місяців тому +4

    😂😂🤣😂😂🤣😂🤣

  • @albamyucom
    @albamyucom 6 місяців тому

    If u don fear women bado hujajua dunia 😂

  • @shamirahassan8117
    @shamirahassan8117 9 місяців тому +1

    😂😂

  • @shijastephano1484
    @shijastephano1484 9 місяців тому +2

    Kachengana na gar la mshahar

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 9 місяців тому +2

    Natamani kumuona huyo mwana (the car buyer) kwasabu Yule binti mdogo sana jamaa amewezaje kuinvest kwa mtoto Yule.

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 9 місяців тому +3

    Duh sisi wanawake ni wajanja wa Mbinu imekueje wewe kulikosa Gari? Duh umeniangusha sana ila najua utalipata tu kwa huyu alieleta Zawadi😂 mbona wanaume kwetu Maboya tu😁

    • @nicholausmbilinyi3587
      @nicholausmbilinyi3587 9 місяців тому +2

      Ataenda kulichukua tu gari lake..mtu mpaka katoa gari..hachomoi hapo..wadada wajanja..atamwambia hakutaka kumuweka hadharani..hahaha..jamaa atatoa tu gari

    • @ChristopherDaniel-zk1lx
      @ChristopherDaniel-zk1lx 9 місяців тому +1

      Labda ukutane na boya

    • @SelemanModestmmass-vk2xd
      @SelemanModestmmass-vk2xd 9 місяців тому +1

      Eti atapewa tu gari unazani matako yako hayo..kashasema Beni akapewe na Beni wake sasa.

    • @nicholausmbilinyi3587
      @nicholausmbilinyi3587 9 місяців тому +1

      @@SelemanModestmmass-vk2xd hahahahahahahahahahahahahaha

    • @gladnesssanga1601
      @gladnesssanga1601 9 місяців тому +1

      ​@@SelemanModestmmass-vk2xd😂😂😂😂