SASHA MAKOYE: AMFUMANIA BOFYFRIEND WAKE/KIREDIO ATOBOA MCHONGO/NIMEMBLOCK KIREDIO KUTRENDISHA VIDEO.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024
  • Nyie😂😂😂 Kumbe Kuna Wadada Bado Wanalipa Kodi? Wanakununulia Usafiri Na Mipango Ya Biashara Wanakunyooshea??? TEAM STRONG MKO VIZURI
    Usisahau ku subscribe UA-cam channel ili kuwa mwanafamilia wa Bongo Fm.
    #simbafans #nbcsports #timuyawananchi
    #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #simbasc

КОМЕНТАРІ • 477

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd Місяць тому +133

    😮waliogundua ni kiki like hapa

    • @shuwehaharuna6309
      @shuwehaharuna6309 Місяць тому

      Mimi nilijua kuona bagi Tu nikajua hii ni Kiki 😂

    • @DfhhffDryy
      @DfhhffDryy Місяць тому

      Kwanza kwa hella gani jmn mshahara wenyewe umeshuka

    • @HawaJumanne-uy4eu
      @HawaJumanne-uy4eu Місяць тому +1

      Kwa kweli nimechoka huyu dada katufanya sisi watoto kumbe katengeneza muvi😢😅😂

    • @UpendoLema-bx9ji
      @UpendoLema-bx9ji Місяць тому +1

      Duuuh

    • @Marry-k5p
      @Marry-k5p Місяць тому +1

      Huyu sio wa ramata badala ya lamata na ruru badala ya lulu😂😂😂ili igizo hili

  • @NaahJr
    @NaahJr Місяць тому +15

    Sasha alitaka kutrend tuu 😂😂 atajuju aliyataka mwenyew kiredio asingeweza kumfata Sasha kwanza hamjui watu wanaopenda mambo ya mitandaoni ndo wanamtafta kiredio wenyewe 🤣😂😂😂

    • @RhobinaDaudi-iz4ju
      @RhobinaDaudi-iz4ju Місяць тому

      Alisema alimtafta kiredio mwenyew, sio kiredio aliemtafta huy dada

  • @Amayrah-fe6ec
    @Amayrah-fe6ec Місяць тому +7

    Usimlaumu kiredio wakati ww mwenyewe na kihere here chako ndio ulimtafuta kiredio sasa kwa nn umlaumu kiredio😢

  • @RayOmar-vk2nn
    @RayOmar-vk2nn Місяць тому +13

    Umeigiza juzi tubumetoka oman juzi tu wewe ni mfanyabiashara wewe ni housegirl omzn wewe ni muigizaji mashallah

  • @buyegintambi3867
    @buyegintambi3867 Місяць тому +8

    Hahahaaaa.........kama ilikua ni private Kiredio umemtafuta wanini😊.

  • @EstellaMagara-zk2qx
    @EstellaMagara-zk2qx Місяць тому +63

    Kwa wale tumemujuwa kupitiya @kiredio like zenyu

  • @MoureenPresiours
    @MoureenPresiours 22 дні тому +1

    Mh kweli wambea tupo wengi jamani😂

  • @miriammseke
    @miriammseke Місяць тому +11

    Oman mchezo tuulize tuliyoko oman uku wee kwa ile mikucha na zile nywele we umetoka oman ipi dada😂😂 na kale kabegi😂 mashallah waarabu kwa nguo lazima na ww uwe na nguo za kutosha uku tumefungusha na nguo zao zilivyo kwa kile kibegi na izi hekaheka za oman eti mkalee na mwanaume😂😂dada pesa oman tunapata nyingi kweli lakini cyo kirahisi ivyo eti ukaongee na kulea mtoto wa mtu weeeeee

    • @Mariamyotube-p2e
      @Mariamyotube-p2e Місяць тому +1

      Kwnza alikuwa analipwa kiasi gn omani hii ya joto la jiwe au

    • @AlaikaHassan
      @AlaikaHassan Місяць тому

      Kwa kucha na nywele shost ni inawezekana kabsaaaaaa, labda hayo mangne ndo tumjudge maana hvo sjui kucha na wigi una order online na unajibandika vizuri sana sku unayoondoka hakuna wakukuzuia

    • @ashahassan7414
      @ashahassan7414 Місяць тому

      Mimi nilijua tu huyu dada anataka umarufu kwa jinsi nilivyomuona ck ile anakuja kibegi kimoja kidogo chepesiii mwanamke huna hata kipochi kidogo tu hebu fikiria half makucha sasa huyu muongo xn kwa kiredio alisema frenk walikuwa wanaishi wote ile nyumba kabla ya kuondoka akamuacha pale na alivyorudi yeye ndo alienda moja kwa moja pale kwa frank kwasababu alisema anapajua yeye ndo alipanga kabla hajaenda omani halfu hapa tena anasema alimtumia pesa apange nyumba ndo kaenda kutafuta nyumba uswahilini ambayo haiendani na pesa aliyokuwa anamtumia huyu dada ni muongo xn alitaka umarufu tu hana lolote mbwa huyu mm nilijua toka ck ile ya kwanza kwa kitedio 😏😏

    • @rogatienmathari1838
      @rogatienmathari1838 Місяць тому

      Hello

  • @Shadia544
    @Shadia544 Місяць тому +110

    Hicho ndiyo alichokitaka yaani sijui Kwanini kutaka umaarufu ndiyo alioutaka jamaniii tuliokuwa Oman tujuane hapa LIKE 10 😂

  • @millahboo
    @millahboo Місяць тому +3

    Ety private na camera,? Na microphone na kiredio juu😂😂😂😂 kenge wa kijaniii

  • @msalice4451
    @msalice4451 Місяць тому +17

    ❤❤❤❤❤ mm Niko omani nataka nijue ALIKUWA anafanya kazi sehemi gani omani kama kweli ALIKUWA omani

  • @ClaraSudi
    @ClaraSudi Місяць тому +3

    Hata mm niliona jaman like beg halikuwa naki2 chchote mana co kwaubebaj uleee😂😂😂😂😂

  • @user-gb3sf9fy2u
    @user-gb3sf9fy2u Місяць тому +6

    Huyu dada kweli ni muongo yan mwanaume anatumia pesa zako za Oman, hlf unasimulia unarelax kbisa yan, na pesa ya muarabu inavyouma ivi

  • @jesckamolel5693
    @jesckamolel5693 Місяць тому +7

    Huyu dada ni mwongo jmn yeye si alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kasema ndiyo nilikomwacha huyu dada mwongo sana

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 Місяць тому +13

    1:Bag dogo kwa aliyefanya kazi oman halafu halikua na details za msafiri aliyepita airport .
    2:Maelezo ya nyumba mwanzo alisema alimuacha pale that's why alipafahamu wakati wa kurudi halafu leo hii anajifanya eti nyumba cheap na midomo anabinua kwa dharau😂.
    3:Kiredio alimuita mwenyewe leo anamtupia lawama.
    4:Oman amekaa miaka 2 mara ni mwigizaji kaigiza miaka 4 mashabiki wanamkubali😂
    Dada kajua kucheza na akili za watanzania.
    KIKI tu kuwa na akili za kuona unajidhalilisha Aaahh!😂😂

    • @Namtumbo
      @Namtumbo Місяць тому

      Wasanii

    • @momsash9210
      @momsash9210 Місяць тому +2

      Kumbe ndo yule alomkosoa lamata kumueka lulu baada ya maria😂 asa mbona ile ni current ishu na yy alikua oman for two yrs?hii no 2 ina mantiki sana win,kwann ashangae ile nyumba wakat anaijua ndomana katoka airport direct mpk mikocheni alikompangia?

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Місяць тому +24

    😂😂 kumbe muigizaji basi hii imeenda

  • @user-kg2tm2eq7q
    @user-kg2tm2eq7q Місяць тому +3

    miaka miwili upo oman...Okkk haya hiyo tamthilia ya koneksheni Sinema zetu uli igiza lini dadaaa 😂

  • @bdvc7107
    @bdvc7107 Місяць тому +15

    Naisi apo kuna kik akitoka oman kweli miaka 2 uwez kumtumia milion 10 kwa mshahara bei gan yan

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk Місяць тому

      Anaweza mana sikuiz Oman watu Kila mwez ijumaa wanatoka wengine wanajiuza

    • @gladsmwageni9049
      @gladsmwageni9049 Місяць тому +2

      Mishahara ni mizuri oman rial 100 hadi 120 yaani laki saba naa hadi laki 8 nachenji so inaweza ikawa ni kweli

    • @gladsmwageni9049
      @gladsmwageni9049 Місяць тому

      Harafu huyu ukimsikiliza ni kiki hajatoka oman wala nini 😅

    • @user-xw8om1qd1g
      @user-xw8om1qd1g Місяць тому +1

      Kuna ambao wanalipwa rial 200,dadaangu analipwa rial 200 ,sema nyiee mmeshakariri ubeki tatu tuu,kazi zipo nyingi,Kuna supermakert, saloon,shule kazi kibao

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh Місяць тому

      Alikuw anatak kuja mjin tu

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Місяць тому

    Miss. Sasha your so beautiful mummy. Bout jama hana mana nimeumia sana mummy

  • @user-ui4ve7jc6s
    @user-ui4ve7jc6s Місяць тому +4

    mwanamme duka languo mwanamke duka la vifaa vya pikipiki😂😂

  • @hamedatanzani6
    @hamedatanzani6 Місяць тому +4

    Ila huyo dada nimuongo 😂😂😂

    • @AminaOmary-sm4wl
      @AminaOmary-sm4wl Місяць тому

      Hakuna mkataba wa miaka mitatu hahahahhaah jaman

  • @neemamboya99
    @neemamboya99 Місяць тому +5

    Lile bag halikuwa na zile stickers za airport zinazobanwa kwenye bag kuonyesha details za mtu. Pia halkuwa na kitu. Ni kiki

    • @user-pm5zi2cs7d
      @user-pm5zi2cs7d Місяць тому

      😂😂😂 Jamani Tanzania sihami nimecheka kwa sauti

    • @athumaniKazua
      @athumaniKazua Місяць тому

      Na pia milango aliotokea sio sahh😂😂mbwa huyu kingine wakati wanataka kuweka begi mbn anasema hili buti linafunguka alijuaje na ndo kwanzaaa gari kapanda diku ile

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Місяць тому +3

    Kwaio Omani karudi lin😂😂😂maana kafanyiwa interview na carry mastory baada ya mimi Mars kubadilishwa😂😂😂mpuuzi m1.....

  • @DevothaTheonas
    @DevothaTheonas Місяць тому +7

    Mbona kama kiki.
    siku zinavyoendelea nazidi kuamini hii kiki 😂

    • @soniahassan6769
      @soniahassan6769 Місяць тому +4

      Hii kiki mahi mtu anatoka nje na kibegi kama kile afu ajabu begi Haina hata sticker za mizigo

    • @DevothaTheonas
      @DevothaTheonas Місяць тому

      @@soniahassan6769 kabisa yani

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Місяць тому +1

      ​@@soniahassan6769Si ndo hapo mahi wangu😂😂😂 yaan kwaza mtu anae toka nnje tulivyo na mihemko mabag matatu mawili😅😅😅😅

    • @soniahassan6769
      @soniahassan6769 Місяць тому

      @@ashazuber6548 wasituzalilishe wapambanaji wa oman hakuna siku hizi bwege anaehonga mwanaume

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Місяць тому

      ​@@ashazuber6548mm mwenyewe nimeshangaa maana hpa kuna wang ana mipolo kma yote na bdo kuondoka yy kibegi kile chepesi.

  • @ghanimaalabri5783
    @ghanimaalabri5783 Місяць тому

    Kwanza alisema alimfumania na frenk yuko juu ya kitanda na nwanamke😂😂 ipo kazi kweli

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf Місяць тому +14

    Uyu dada nae muongo tu

    • @umaima1178
      @umaima1178 Місяць тому

      Sana tena mwanzo alisema walikaa wote hiyo nyumba sasa anasema alimpa pesa sio ya kukaa hapo

    • @edwardchilewa6289
      @edwardchilewa6289 Місяць тому

      😂😂😂

  • @Awaasha-cn6bx
    @Awaasha-cn6bx Місяць тому +3

    Kweli begi halikuwa na kitu hii. Ni Kiki wanatafuta follow follows. Huyo kiredio tushawajua uongo trend

    • @user-gb3sf9fy2u
      @user-gb3sf9fy2u Місяць тому

      Hata mm nimeshangaa mtu unatoka nje ya nchi na begi moja kweli

  • @RujaynaRashidi
    @RujaynaRashidi Місяць тому +1

    Milion moja na lak6 kwa nyumb gan?.. ebu kwenda huko

  • @mantoumm4448
    @mantoumm4448 Місяць тому +4

    Jamani dada muongo uyu ata Oman apajui

  • @HoitherJesse-fc9se
    @HoitherJesse-fc9se 18 днів тому

    Eti nyumba so ya hadhi ya laki moja na anashangaa sa kabla hajaondoka c aliiona mpaka anamleta kiredio 😂😂 n kwamba anapajua ase na mm nianze Kiki nijulikane niwe mwigizaji😂😂😂

  • @ednaallen3757
    @ednaallen3757 Місяць тому

    Kiredio wetu hana baya kabisa kabisa 😂😂

  • @soniahassan6769
    @soniahassan6769 Місяць тому +6

    Kiki tu kufanya maisha aaah

  • @Mwaguntobi-ip1yi
    @Mwaguntobi-ip1yi Місяць тому +2

    Alikuwa anaosha vyombo😂😂😂😂

  • @user-mo3wn6cc7h
    @user-mo3wn6cc7h 20 днів тому

    Ulivyomuita kiredio hukutaka apost mbna hukusema mapema asije na camera 📸😂😂😂😂

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 Місяць тому +1

    Dada hii michezo😂😂katafuta namna ya kujulikana2

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Місяць тому

      Kujulikan wap alikuw oman kweli jinga hili

  • @Mohamedrajab-p2j
    @Mohamedrajab-p2j 16 днів тому

    waongo hawa frank anasema duka LA nguo yeye demu anasema duka vifaa vya pikiki😂😂

  • @JulithaOliva
    @JulithaOliva Місяць тому +18

    Kiki tu kwanza begi halikuwa na kitu ila kinawatu wanapata majanga kama hayo

  • @JoyceLKisha
    @JoyceLKisha Місяць тому +1

    Mala Frank alipanga nyumba mbaya wakat yeye ndo alimpeleka kiredio na ukasema unapakumbuka

  • @AishaMshamu
    @AishaMshamu Місяць тому +4

    Hiyo mi 10 ndo mshahala wa miak 2 namaan uyo uku alikaa kumudumia bwana tu kwaiyo uyu dada kaludi patup😢

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Місяць тому

      Hajarud kap sai rial ipo juu mwaka mmoja una milion 10 na lako 2 na pesa kidog yy kakaa miaka 3 kwa hiyo huyu ni mjinga tuy tusem hajielew pengine hata kwao gajajenga

  • @ZulfatJalal
    @ZulfatJalal Місяць тому +1

    Mhhh jamn kiki hizi zitaua watu

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 21 день тому

    Yaani hwa wadada hawadada

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Місяць тому +3

    Mnafaa mnípe maua yangu nilikoment sikuileile kuwa hii ni kiki ,,mimi najua kumsoma mtu kiufupi tu nina mashale

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 28 днів тому

    Huyu fala mwongo kinouma ile nyumba ndo milioni mbili kweli wakati hata laki tatu haifikii

  • @Mwaguntobi-ip1yi
    @Mwaguntobi-ip1yi Місяць тому +1

    Heeeh, ujinga haununuriwi😂😂😂

  • @CossyKiria-fd6pq
    @CossyKiria-fd6pq Місяць тому +2

    Mbona kule kwa kiredio full mashungi huku ni hiv

  • @user-oy2fi5qz9n
    @user-oy2fi5qz9n Місяць тому +3

    Hivi ile begi ndo la kutoka Oman? Mara nyumba nilikuwa naifaham Mara nyumba sio ya hela niliyokuwa namtumia

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Місяць тому

      Na nnvojua wanaondoka na ndundu hzo mibegi tleee mitumba yote

  • @rohdaphilip2470
    @rohdaphilip2470 Місяць тому

    Jaman tulio oman tujuwane nataka kuuliz au ni mie jaman umekaa oman miaka 2 alfu ufike tu tz ety umpigie mtu cm jsmn huyu dada muongo kwanz rain inafungiwa alfu yy kafik na kupata vocha wapi?? alfu beg lake harin nembo jamn😂😂 Hata mkomba hana 😂😂

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 Місяць тому +2

    Kumuhudumia mwanamume lazima aje akupige tukio zito Kwa sababu mwanamke akuumbiwa kumuhudumia mwanamke

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 Місяць тому

    Acha upumbamvu Yani kiredio asipost akose Hela we ulimuita wanin kiredio ana ishu privet uyu demu mpuz kweli kweli 😅😅

  • @AgeCare-w2h
    @AgeCare-w2h Місяць тому

    Kiredio akianza kiki za hivi asitulaumu badae tukiacha kumfatilia,alianza vizuri anelekea kujiharibia

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 Місяць тому

    Wandishi wa habari wachochezi🤣😂😊

  • @RAHELIDARABE
    @RAHELIDARABE Місяць тому

    Ndo alichokuwa anataka unamlipia nwanau😢chumba, unanunua pikipiki afya unakaa Oman miaka yote hiyo yaani unatakakeje hizo hela ungewapa wazazi wako siyo hao mbwa mwitu kwani umefunga naye ndoa?ndo akili zikukae mwanaume anayeweza kumfanyia hayo yote ni mume wa ndoa tu.😊

  • @ireneevaristo5552
    @ireneevaristo5552 Місяць тому +3

    Kule alisema miaka 3 huku miaka 2 mfyuuuuu Oman ametoka na kibag kimoja na mikucha kama msungo
    Labda alikuja kujiuza maana mabellah wamejaa wabongo wanauza nyuchi zao

  • @omarabulbustsalim531
    @omarabulbustsalim531 23 дні тому

    Si rahis atume Milioni10 😊

  • @rukiammanyi-qm9iz
    @rukiammanyi-qm9iz Місяць тому +1

    Huyu muongo muongo et nimekuta kapanga nyumba isiyo na hadhi niliyomtumia hela huku alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kusema nilimuacha apa mara kule kadi ya pikipiki mlisema Frank hapo umesema kadi ina jina langu mfyuuuu kwenda

  • @abc-en3em
    @abc-en3em Місяць тому

    Mmh pale kodi ni million 😂😂😂

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 Місяць тому

    Pwagu na pwaguzi poli lao moja mchukuane maisha yaendele ila tu muowane kila mtu amueshimu mwenzake😂😂😂

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Місяць тому

    Dada muongo Sana. Pesa ya Omani mshahala wa kwanza ndohyo yote umetuma kwa hyo ulirudi hata mia huna😮😮

  • @aminaramdan3283
    @aminaramdan3283 Місяць тому +8

    Huyu ni Miongo Sio kwelii Hakwenda Oman wala nini.. Kama Mnakumbuka Ndio Yule Alosema Ruruuuuu Ramataa.. haya kaenda oman lini Mpk Akaa miaka 2... Walipanga hao Kwanza bag halikuwa na Stkaaa Bahna... Semaa Luluu na Sio Ruruuuu

    • @BerthaModest
      @BerthaModest Місяць тому

      Yani😂🙌

    • @CAPTAIN_GALAXY13
      @CAPTAIN_GALAXY13 Місяць тому +1

      ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁˢᴴᴱ ᴴᴱᴮᵁ ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁᴷᴱ ᴺᴬ ᴹᴵᴹᴵ

    • @user-rb5hs3lq6v
      @user-rb5hs3lq6v Місяць тому

      Daah
      Nilikuwa nasema hii sura mbona kama sio ngeni😅asante kwa kunikumbusha ndugu yangu😂😂

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 Місяць тому

      @@user-rb5hs3lq6v 🤣🤣🤣 Af'waan mpz Yaani wanatufanya Wajinga na watu Tunakumbukumbu...

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 Місяць тому

      @@CAPTAIN_GALAXY13 🤣🤣🤣 Umesahau kipindi Lulu Amewekwa Jua kali.. Nenda kwa karma Story Yule Aliyehojiwa Akawa Anasema Ramata Amemuweka Ruruuu Yaani Alikuwa Akitumia RRR Nyingi sana. Kwenye L anasema R..

  • @hawamafuru6791
    @hawamafuru6791 Місяць тому +1

    huyu anaigiza bwana sio kweli katoka omani😊

  • @britneyivy
    @britneyivy Місяць тому

    Million moja kwa nyumba ipi😂😂

  • @swaumuabdallah6886
    @swaumuabdallah6886 Місяць тому +1

    Jmn kigofu kile ndo milion 😅😅😅😅😅

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 Місяць тому +2

    dada muongo mpak kuelezea hawezi ovyoooo kabisaaa

  • @user-pi6lb6nx3m
    @user-pi6lb6nx3m Місяць тому +1

    Hii ni kiki mnafiki huyu harafu bado anatamka Ruru badala ya lulu mara business fwuuuu😊

    • @abdalahaby3658
      @abdalahaby3658 Місяць тому

      Wewe pia umeandika harafu badala ya halafu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv Місяць тому +1

    We tukome ww Kwanza ujui ata mkataba miezi mingapi una tafuta kk kupitia uongo wako ata Oman upajui😢😢

  • @missfetty4173
    @missfetty4173 Місяць тому

    Iki kidada kiongo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sharifahemed5253
    @sharifahemed5253 Місяць тому

    Kiki mbona😂😂😂😂😂

  • @batulialmass8914
    @batulialmass8914 Місяць тому +4

    Dada ni muongo uliku unalipwa bei gani Oman eti miliion 3 kwa miezi mitatu kwenda huko

    • @Mwanah-cg3ie
      @Mwanah-cg3ie Місяць тому

      Et jmn muongoo uyu

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Місяць тому

      Hyo uwongo kweli

    • @Mwanah-cg3ie
      @Mwanah-cg3ie Місяць тому

      @@user-dx6dm6lh1i et jmn ela iyo iyo Kodi boda Duka bd ipo bank bd amenunua car jmn 😂😂

    • @miriammseke
      @miriammseke Місяць тому

      😂😂😂😂muongo jmn tulioko oman tunamshangaaa😂😂😂😂khaaaaa dada acha uongo miaka miwili umtumie mwanaume alafu ww ukarudi na sh ngapi

  • @penuelmichael3374
    @penuelmichael3374 Місяць тому +1

    Hivi hawa wenzetu wanapata wapi hela zakuhonga wanaume😢

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 Місяць тому

    Hiii lakin japo ni kiki watu wanapigwa matukio 😂😂😂😂😂😂ila Haya namtafuta wa kumuhonga simuon😅😅😅😅😅😅

    • @modestajamada3496
      @modestajamada3496 Місяць тому +1

      😅😅😅😅😅 umu oni

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Місяць тому

      @@modestajamada3496 simuon kwakweli wanapatikana wapi

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia9018 Місяць тому +1

    Dada kasha upata umaarufu tayari naulikua unamulaumu kiredio kwanini kapost

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Місяць тому +1

    Uongo huo umesema ulimuacha kwenye Nyumba na unapajua sasa tena unasema alipanga Nyumba sio ya hazi yako utatudanganya sana

  • @adamapollo9859
    @adamapollo9859 Місяць тому

    Eti sasha ni mfanya biashara😂😂😂wai wakati wewe ni shagla ulukuwa unaosha hamu mama😂😂wacha uwongo

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Місяць тому +2

    Kiredio kakupeleka mjini dada

  • @hanifasaidi8395
    @hanifasaidi8395 Місяць тому

    Mm sijaelewa chochote leo😂

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Місяць тому +1

    Kwa sababu picha alivyotoka Oman na kisanduku kimoja tuu kidogo😢

  • @muddywatown
    @muddywatown Місяць тому

    Huyu anavyoongea2 unajua anautaka umaarufu sauti sio yake ebu rejea hapo kwenye bei ya kodi 😂😂😂

  • @nasrafarjallah6691
    @nasrafarjallah6691 Місяць тому

    Nyumba ya million 1.2 ni ip???😂😂😂😂

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Місяць тому +1

    Uongo sehemu nyingine umejikoroga!!

  • @user-qs4sc7cp8q
    @user-qs4sc7cp8q Місяць тому +1

    Nimeisikiliza kwenye radio saloon kwangu mwanzo mwisho leo

  • @LizzyTarimo-b7n
    @LizzyTarimo-b7n Місяць тому

    Lakini wanaume waache tabia ya kupenda kulelewa. Fanyeni kazi maana hata maandiko yasema mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu. So mwanaume asimame kwa zamu yake na mwanamke kwa zamu yake. Nyie wanawake mnaowapoteza wanaume wadogo kwa kuwarubuni kwa hela na Mali na mahaba mazito muache hiyo tabia ili waweze kujitafutia na kuanzisha familia zao.

  • @noreen2654
    @noreen2654 Місяць тому

    Huyo mwongo mbona frenk anasema duka la nguo?

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga Місяць тому

    Kwa hiyo mnatuigizia sio asantee kwa kutumalizia mb zetu

  • @mariamhelen7808
    @mariamhelen7808 Місяць тому

    Aiseee huyu dada nimuongo sana hakua oman

  • @HeryethAleck
    @HeryethAleck Місяць тому

    Huyu dada anaigizaga msitupige na kitu Kizito😅

  • @user-qs9bw4kw4q
    @user-qs9bw4kw4q Місяць тому

    Nimuongo huyo 😂😂😂 Oman ipi hiyo

  • @user-ze3zw4dq4r
    @user-ze3zw4dq4r Місяць тому +1

    Wee wat tuk omn hatujasikia msharah wa million 3

  • @KeiOmaromar
    @KeiOmaromar Місяць тому

    Mwana kulitafuta mwana kulipata 😂😂😂wenzio tunamek ela zetu ww unahonga 😂😂😂😂make kwnz ncheke😅😅

  • @marjanmohamed5727
    @marjanmohamed5727 3 дні тому

    Asalaam aleikum Naomba number ya simu

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 28 днів тому

    Anasema alimtumia pesa ya kumpangia Sasa najiuliza alipajuaje wakati yeye alikuwa Oman

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Місяць тому +1

    Kiki tu ovyo sana huyu dada

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc Місяць тому

    Huyu hajawahi fanya kazi oman mimi ni mkaguzi hapa airpost Dar hajawahi kutoka wala kirud

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda Місяць тому

      😂😂😂😂😂

  • @SalmaRashida
    @SalmaRashida Місяць тому

    Mtu muongo utamjua tuh muone hicho kisura chake kilivyo😮

  • @FranklinHosea
    @FranklinHosea 12 днів тому

    Dada Kapata umaarufu uyu asaiv utashangaa anapost matangazo

  • @nassirabas
    @nassirabas Місяць тому

    😂ukiangalia kwa undan huyu dada huko oman alikuwa anajiuza mana hakuna msichana wa ndan akalipwa pesa nyingi oman na tena amekaa miaka 2 hakuna maendleo ya miaka 2 na pia skia alichosema mwanzo kabla hajaondoka amempangia nyumba na alipajuaje kwa frank pesa alipata wap wakat mitaji yote alimfungulia frank wakat yupo oman huyu dada anataka kupelekewa moto na wasanii hajapata kikiiiii 😅

  • @DfhhffDryy
    @DfhhffDryy Місяць тому +1

    Ila miaka miwli tu jmn na hella zote biashara boda nyumba kha we muogo 😊

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Місяць тому

      tena muongo wa hali yajuu alafu anasema kamfungulia duka la spea za pikipiki ivi anajua hata mtaji wa iyo biashara kweli uyu kweli bado mwanafunzi ndo anajifunza uongo

    • @farajaMezza-qn4be
      @farajaMezza-qn4be Місяць тому

      Usiseseme muongo hujuinmwenzako alikuwa anafanya biashara gani

    • @DfhhffDryy
      @DfhhffDryy Місяць тому

      @@farajaMezza-qn4be labda biashara nyingene ila kwa Oman bado sana jmn

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Місяць тому +1

    Huyu ni Muongooooooo

  • @charlesfundisha6376
    @charlesfundisha6376 24 дні тому

    Kuna majimbo yako wazi huku asiwaze sasha

  • @user-np6ti8lh7v
    @user-np6ti8lh7v Місяць тому

    Uyu dada nimuogo

  • @jamesnyaulingo673
    @jamesnyaulingo673 29 днів тому

    Dada msamee frank