ORANGE CAKE RECIPE I KG FLOUR
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Orange Cake Recipe
Flour/Unga 10000g/1kg
Sugar/Sukari 500g/1/2kg
Margarine 600g
Eggs/Mayai 14
Baking Powder 2 tsp
Orange Zest 1 TBSP
Orange Juice 1 Cup
Milk/Maziwa 1 Cup
Baking Time According To Your Oven
Habari ya kazi dada mziwanda....naomba recipe ya unga nusu tafadhari🤗
🤝
@@mziwandabakers8297 dada nimejaribu kwa recipe ya unga robo imetoka bomba inachambuka vizuuri sana😋😋...nimeeka
✔ mayai 4
✔Sukari sijui gram ngapi maana sina mzani bado...ila nina kakibakuli changu kidogo special kwa kupima unga na sukari.
✔unga na baking powder kijiko cha chai kile size ndogo
✔machungwa mawili
✔ margarine gram 180
✔ vanilla essences 1tsp
😥sikuwa na maziwa ila imetoka tu vizuri mwalimu🤗...Mungu akubariki dada @mziwanda 🙏🙏🙏
@@mziwandabakers8297 ubarikiwe dada nmejifunza kupika keki kupitia wewe
Watching from Kenya,I love your channel mum.
Kindly advice hii recipe imetoa kilo ngapi ya keki please
Mlijaribu ya lemon jmn....was so sweet....Asante dada etu...Allah akulipe
Maziwa ya mgando yanaruhusiwa
Delicious 😋
Asante sana my dear
Asante dada ubarikiwe sana Yani nimejifunza kupika keki kupitia wewe
Asante sana
Umetumia tini nch ngapi
Dada samahan mimi nikipika cake juu ganda linakuwa gumu naomba nisaidie nahangaika sana kukutafuta nisaidie
Mimi nashida moja nikipika keki aivimbiyote nahomba unisaidiye nakoseya wapi
Dd ur recipe are really ❤ yaan nilikuwa cjui kupika redvelvet ila kupitia kwako nimejua
Madam tunaomba his orange cake kwa vipimo vya ungainly nusu lov❤
Mambo,ningeomba muwe munatuelekeza piya jinsi yakutiya moto,ni moto wa juu na chini ?na kiasi gani?
kazi nzuri dear najifunza mengi mno, naomba unisaidie siku hizi kila nipika keki inapanda juu vzr ila badae inakua kama mapovu na kushuka chini keki inakua imeshikana na mafuta mengi hadi naogopa nikipata oda
nimejaribu kupunguza kipimo cha prestige lkn bado pia kuiweka kwenye fridge kidogo ila bado nisaidie dear tatzo ni nn? maana niliambiwa itakua prestige laini sana sabbu ya joto, natumia handmixture
Asante Sana mwalimu wangu
Karibu
Kwa kutumia scale baking vijiko vwili n gram ngap??
Hellow,,,Dada naomba msaada keki yangu inapasuka pembeni tatizo ninini hala juu inaungua sana Tafadhali nisaidie nijue
Asante kpenz
Karibu
Jmni nkikumic mnoooo we dada nimefurahi kukuskia tena
Kama natumia maziwa ya unga nichanganye na maji au nitumieje sijaona video uliyotumia maziwa ya unga
Ndio weka maji
Jaman mbna sijibiwi
Dada barikiwa sana umenifundisha kupika vitu vingi sana bado nachemka kwenye kashata za karanga lkn kupitia wewe nimejua kupika keki, mkate, maandazi n.k
Ameen Mwenyezi Mungu azidi kukuimarisha Ujue vingi zaidi
Nahitaji darasa mumy
Dada samahan...nilikua nataka oven litre 70et kampuni gan hua ni nzuriii plz
Hii mashine beigan dada
Huna darasa la WHTSP?napenda sana kujua kupika keki nzr
Pizza mtu unatumia moto wa chini au chini na juu
Receipe ya unga gram 800
Asante kwa ujuz, kwakwel nafurahia
Dada samahan...nilikua nataka oven litre 70et kampuni gan hua ni nzuriii plz