COMMON CAKE MISTAKES/USIFANYE MAKOSA HAYA KWENYE UPISHI WA CAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 жов 2024
  • COMMON CAKE MISTAKES
    -YOUR LOOKS LIKE A PANCAKE?
    -YOUR CAKE IS TOO DRY?
    -DOES YOUR YOUR SANKEN AT THE MIDDLE?
    ALL THESE ANSWERS ARE IN THE VIDEO
    JE ,KEKI YAKO INAPASUKA?
    JE,KEKI YAKO HAIUMUKI?
    NDANI YA VIDEO HII UTAPATA MWANGA WA MASWALI YAKO
    KARIBU SANA MZIWANDA BAKERS
    ‪@mziwandabakers8297‬

КОМЕНТАРІ • 130

  • @LilianMwasese
    @LilianMwasese 20 днів тому +1

    Asante sana Mungu akuinue

  • @HusnaShabani-o5w
    @HusnaShabani-o5w 7 місяців тому +1

    Asante yani najarubu tena nione matokeo sikati tamaa hadi nijue

  • @SalamaAbdillahi
    @SalamaAbdillahi 7 місяців тому +1

    Asante kwa darasa

  • @donathabikombo1399
    @donathabikombo1399 2 роки тому +7

    Asantee dada,
    Ili cake ichambuke vzrii unafanyaje. Tunaombaa darasa la uchambukaji wa keki

  • @leahgeorge7444
    @leahgeorge7444 2 роки тому +4

    Asante kwa darasa zuri sana,bado kwenye swala la kupasuka juu.

  • @HappyMsembule-yp5ir
    @HappyMsembule-yp5ir 10 місяців тому

    Shukrani dada.... nimeipenda ovena yako ni kampuni gani

  • @marthahaule8661
    @marthahaule8661 11 місяців тому

    Asante kwa darasa zuri nimejua kasoro yangu!

  • @AngelMutalemwa
    @AngelMutalemwa 7 місяців тому

    Mwalimu makini sana dada

  • @fatumasaidi1806
    @fatumasaidi1806 Рік тому +1

    Asante dada keki yangu inakua na mlima nainapasuka dalasa nizuli

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 2 роки тому +2

    Asante sana kwa elimu yako.Mungu akuinue zaidi

  • @immaculatajeremiah308
    @immaculatajeremiah308 Рік тому

    Asante sana umenisaidia sana.

  • @geofreymahatane943
    @geofreymahatane943 6 місяців тому

    Asante sana nimeongeza kitu dada.

  • @sheraamussa485
    @sheraamussa485 Рік тому

    Asante sana kwa tips nzuri. Ningependa kufahamu unapo bake cake una anza na moto wa chini na juu au una anza na moto wa chini halafu unaweka wa juu. Shukran

    • @nsiandekweka8373
      @nsiandekweka8373 8 місяців тому

      Lazima temperature iwe both sides, juu na chini.

  • @NajmaHaji-k4b
    @NajmaHaji-k4b Рік тому

    Shukran kwa elimu

  • @hajraadam4301
    @hajraadam4301 2 роки тому +3

    Asante sana love kwa mafunzo yako ,mimi shida yangu nikipika keki ya mchanganyiko wa nusu huwa natoaga maugali ila nikipika vipimo vya robo natoa keki nzuri sijui na feli wapi 🙏

  • @MwasitiKingali
    @MwasitiKingali 9 днів тому

    Kipimo Cha robo kinatumia kiasi gani baking powder?

  • @colethakepha6852
    @colethakepha6852 2 роки тому +2

    Asante sana dada mziwanda kwa darasa zuri, ubarikiwe sana. Je ni baking powder ipi inafaa kwenye keki? @mziwanda bakery

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Hello karibu, baking Powder zote nzuri kikubwa ujue unaitumia kwa kiwango kipi na ubora wake pia na rangi yake ni muhimu

  • @angelbuhaga4130
    @angelbuhaga4130 Рік тому

    Thanks

  • @Keylorsadams
    @Keylorsadams 2 роки тому

    Naomba unijuze handier ipi ni nzuri

  • @halimajuma9069
    @halimajuma9069 2 роки тому +7

    Mm naweka baking powder kwakiac, cfunui mpk dakika dakika 40 lkn cake inaumuka mpk inadumbukia ndan yenyew, hii inanikosesha sana amn

  • @benadethakitomary8175
    @benadethakitomary8175 Рік тому +1

    Kwann keki inachambuka sana mpaka inashindwa kuchomeka kwenye kijiti

  • @joycefrancis8646
    @joycefrancis8646 Рік тому

    Habari
    Nataka kujifunza Kwa vitendo...

  • @silverlandconstruction
    @silverlandconstruction 2 роки тому

    Asante sana kwa mafunzo. Nafuatilia kutoka Kenya

  • @hawabofu6354
    @hawabofu6354 2 роки тому

    Asante sana my love 💕

  • @mamaflowin8015
    @mamaflowin8015 2 роки тому

    Thanks dear tunapona

  • @hamidamsofe4627
    @hamidamsofe4627 2 роки тому

    Asante sana mi nahitaji kujua kupamba cake je unawrza kunifundisha?

  • @farhatnassor3974
    @farhatnassor3974 2 роки тому

    Shukran sanaa

  • @marymathew6529
    @marymathew6529 10 місяців тому

    Oven nimeipenda,inauzwa bei gani?

  • @MIKAMICHAELI
    @MIKAMICHAELI 4 місяці тому

    M ntmn kupk cak ambay juu inapasuka kutokan n sok lang ndo lnatak hvyo je nfanyaje

  • @shenuabdallah196
    @shenuabdallah196 Рік тому

    Hello dear ni laziima kuweka hizo cooling racks?

  • @teddymartini5819
    @teddymartini5819 Рік тому

    Asantee

  • @theclaamos2144
    @theclaamos2144 Місяць тому

    Dada mimi nikipika keki inapusuka sana sana juu na katika unakuwa uji tu una mwagika plz msaada 🙏🙏

  • @wematony9792
    @wematony9792 2 роки тому

    Habari, Asante Sana dada, keki yangu inakuwa ngumu ndani aina unyevu unyevu ndani pia haiumuki ninavoweka inakuwa hvhv inaumuka katikat tu kidogo sana

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Umeangalia ubora wa baking Powder yako?
      - Umefuata sheria za upishi? Ipo video yake kaicheck
      -Unatumia recipe iliyokamili?
      Fuatilia vizuri na kwa umakini kisha niletee mrejesho wako hapa.

    • @andoisyemloge1510
      @andoisyemloge1510 27 днів тому

      Mziwanda nauliza kuhusu kusagika kwa sukar mana celew natumia sukar ya brown

  • @shenuabdallah196
    @shenuabdallah196 Рік тому +1

    Piano tunaomba visitors via cake kuanzia 250g make just yake

  • @hafsahassan1548
    @hafsahassan1548 2 роки тому +4

    naomba kujua custard powder inasaidia nn ktk cake

  • @noelamwita6058
    @noelamwita6058 2 роки тому

    Shukrani Dada. Naomba msaada naweza pata wap oven kubwa ambayo naweza kubake mikate na bei yake

  • @marysoniah1775
    @marysoniah1775 Рік тому

    Nikipika cake intokaa kama simaaaa

  • @azeezaazeeza4255
    @azeezaazeeza4255 2 роки тому +1

    Mi nikipika keki inanata ndan af kwa nje imeiva je naweza kuirudisha jikon????? Asante pia kwa som

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Angalia sheria za upishi wa keki Mziwanda Bakers utapata kitu

  • @ngukekadashi6608
    @ngukekadashi6608 Рік тому

    kwann nje iko sawa ila ndani haijaiva

  • @lucyhenry1062
    @lucyhenry1062 2 роки тому +1

    Me naswal mfano umekoroga mkorogo mwngn kuliko uwezo wa oven yako je ule mkorogo unaweza ifadh? Na je ni kwa muda gani? Na je nje ya frge au ndan ya frige
    Ahsante dia

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому +3

      Uweke kwenye chombo chake tayari kwa kubake,ulizoweka zikiiva ingiza hiyo ingine, usiweke kwenye fridge acha tu kawaida

  • @rosembaga2658
    @rosembaga2658 2 роки тому +1

    Mpaka nimesusa kupikaa keki na jiko nikauzaaa

  • @hadijamsuya6450
    @hadijamsuya6450 2 роки тому

    Dah leo nimepata kutatua tatizo langu.ubarikiwe mnoooo.nilikuwa nateseka sana cake inakuwa sponge vizur ila inadumbukia kati.ntafanyia kazi

    • @Alafasydau
      @Alafasydau 6 місяців тому

      Hii nitaifanyia kaz dada

  • @victoriamoshi675
    @victoriamoshi675 2 роки тому

    Asante kwa mafunzo ila mimi nina shida jiko langu ni la gas na halina taa walahalionyeshi kiasi gan kwel sijalielewa

  • @hafsahassan1548
    @hafsahassan1548 2 роки тому +1

    shukran sana mziwanda bakers lkn swali lang ni kuwa niliwahi kupika cake nikaweka maji instead ya maziwa lakn cha ajab cake ilikuwa inachemka maji jikon kanakwamba nmeweka maji kwenye cake.. naomba kujua hapo tatz nn

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Sijaelewa swali maji umeweka au umeweka maziwa yakawa kama umeweka maji??

    • @hafsahassan1548
      @hafsahassan1548 2 роки тому

      niliweka maji ktk mchanganyko wa cakee

    • @eneswaggy1835
      @eneswaggy1835 Рік тому

      Jmn keki yang vaiv ndani inakuwa kam ugali naju inakuwa ngumu yn inakauka je shd nn dad

  • @RachelMwakitalu-db2vj
    @RachelMwakitalu-db2vj Рік тому

    Hili jiko sh ngapi?

  • @zawadijonas7459
    @zawadijonas7459 2 роки тому

    Dada mziwanda. Samahan uzito wa mchanganyiko hauwez kufanya keki kuwa ngumu? Na je mchanganyiko wa 500gm barking powder n kiasi gan?

  • @mbonistanley6540
    @mbonistanley6540 2 роки тому

    Asante Sana dada kwa madarasa haya unatubariki Sana umekuwa msaada mkubwa

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому +2

      Ameen

    • @mbonistanley6540
      @mbonistanley6540 2 роки тому

      Kwa unga robo Ni tini gani sahihi kutumia? (Yenye ukubwa gani ?)maana natamani kupata cake isiyokuwa na kilima _dome.evweytime I bake lazime kilima kitikee nisaidie tafadhari

  • @HAPINESSMLAY-zw7wy
    @HAPINESSMLAY-zw7wy Рік тому

    Teach me hole at middle

  • @PhinahJojo-mt2fz
    @PhinahJojo-mt2fz Рік тому

    Meh najifunz kpika keki kw mkaa ila haichambuk

  • @neemambanus3990
    @neemambanus3990 2 роки тому

    Asante dada Mungu akubariki nauliza kama unagroup la watsup la kufundihia

  • @hollyben1053
    @hollyben1053 Рік тому +2

    Asante, lakini mimi keki yangu haidumbukii huku juu. Huku pembeni inaingia katikati inaleta shape ya kinu. Shida ni nini?

  • @zaharamwaruka3138
    @zaharamwaruka3138 3 місяці тому

    Mm naomba uzito wa kila tin inakua kg ngapi km tin ya inch 7 kg nhpi inch 4 kg ngpi na darasa la vitendo lini uko wapi

  • @mwanapiliali8504
    @mwanapiliali8504 6 місяців тому

    Me naomba kujua kwann sometimes cake yng ikiwa ndani ya jiko inavimba vizuriiii ni ya kupendeza na wala haipasuki mpk inaiva naitoa iko vzr lkn sasa nikishaitoa pale naiwacha ipoe bac nikenda isharudi japo c sana lkn c km ilivokuwa?

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 2 роки тому +1

    Mashaallah

  • @colethakepha6852
    @colethakepha6852 2 роки тому

    Pia na mm huwa nizitengeneze keki haipandi inabaki vilevile zaidi inavimba katikati

  • @yasintamtui8609
    @yasintamtui8609 2 роки тому

    Asante

  • @gracemapunda9229
    @gracemapunda9229 Рік тому

    Kwa jiko Hilo unaloonesha settings zake zinatakiwa ziweje?

  • @dianagodfrey8654
    @dianagodfrey8654 2 роки тому +2

    Mi natak kujua je ni mayai gn mazury kupikia keki

  • @theresiasafiely1701
    @theresiasafiely1701 2 роки тому

    Naomba kujua kwa nn keki yangu haichambuki na kuwa sponji vzr

  • @hadijamohammedy8070
    @hadijamohammedy8070 2 роки тому

    Inapendeza

  • @Zuleykha-b5z
    @Zuleykha-b5z 8 місяців тому

    Nini kinafanya cake iwe nyeupo ndani

  • @christinamwibuka5440
    @christinamwibuka5440 Рік тому

    Panaposumbua ni vipimo mfano unga 250 baking powder kiasi gani.......

  • @nooromary
    @nooromary Рік тому

    Keki hazipandi sanaa shida nn??

  • @khadijachuto9239
    @khadijachuto9239 2 роки тому

    Yangu haichambuki mbna

  • @gracebenjaminnapokeakatika9565
    @gracebenjaminnapokeakatika9565 2 роки тому

    Hongera dada kwa ukufunzi nimependa sana! Na je izo oven napata kwa sh. Ngapi?

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Hizi deck moja zinasimamia 1.4milioni nakuendelea inategemea na kampuni

  • @danielsesinga3298
    @danielsesinga3298 Рік тому +1

    Kwanini keki inakuwa kama ina maji ndani na sijaweka maji?

  • @angelamvaa2229
    @angelamvaa2229 Рік тому

    Kama natumia raising flour inakuwaje?

  • @latifajuma7972
    @latifajuma7972 Рік тому

    Ambao hatuna vipimo maalum ni changamoto na Mimi mara nyingi ndani inakua kama ugali

  • @lucykakamba293
    @lucykakamba293 4 місяці тому

    Kipikia sufuria dogo

  • @aminamollel5725
    @aminamollel5725 2 роки тому

    Elimu konkiiiiiiiiiii

  • @sayarihajj502
    @sayarihajj502 2 роки тому

    Jaman m hzo mixer znakufa sana yaan unakuta inalia 2 ila ivo vchuma havizunguki nakosea wap alaf n mda. mfupi 2 nanunua ten inginee

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому +2

      Usiizungushe muda mrefu ikachemka sana huwa zinakosa uimara ikipata moto mkubwa

    • @sayarihajj502
      @sayarihajj502 2 роки тому

      Shukran dada

  • @zamdamahmoud2176
    @zamdamahmoud2176 Рік тому

    Mama haitham takuja kujifunza

  • @maureensamweli9101
    @maureensamweli9101 2 роки тому

    Bless you dr

  • @mwanaludanga5215
    @mwanaludanga5215 2 роки тому

    Asant sana kipenzi mimi sijawah toa keki isio na kichuguu yani

  • @hadijamkwazu7154
    @hadijamkwazu7154 2 роки тому

    Samahani, sukari ya kawaida inachelewa Sana kuyeyuka wakati wa ku cream cake, je naweza kuweka mayai bila sukari kuyeyuka kabisa kwenye mchanganyiko?

    • @hannahhassan8881
      @hannahhassan8881 Рік тому

      Blend sukari itakua unga na itakupa matokeo mazr😌

  • @zainabukimaro9805
    @zainabukimaro9805 2 роки тому

    vipimo sijaelwa na kupima moto

  • @mwanaharusingaluma4861
    @mwanaharusingaluma4861 Рік тому

    Keki yangu nikipika inakua na uchungu shida nn

  • @HayatKarimbaksh
    @HayatKarimbaksh 4 місяці тому

    Na cake ikiwa mbichi katikati shida inakua nini

  • @assalynursuleiman1175
    @assalynursuleiman1175 2 роки тому

    Pia kek inadumbukia Kati sababu ya kukosea vipmo vya unga mm mara ya kwanza ilkuwa inantokea nlivoenda Sawa na vpmo haikuwah nsumbua tena

  • @tiffahofficial2715
    @tiffahofficial2715 2 роки тому

    Me naomba uelekeze kwann margine inakatika nikiwa naweka mayai

  • @vestinafmuyinga4347
    @vestinafmuyinga4347 Рік тому

    Nilioka keki ikawa mbichi katikati shida itakuwa nn?

  • @hajrayusuph3282
    @hajrayusuph3282 2 роки тому

    Napataje oven kama hiyo kubwa

  • @lilianmwangonji7091
    @lilianmwangonji7091 2 роки тому

    Dada naomba namb ya madarasa watsp

  • @mariamsarim201
    @mariamsarim201 2 роки тому

    kipenz naomb namb yako maana nataka kujifundisha kupika kek

  • @jeniphamsofe3758
    @jeniphamsofe3758 2 роки тому

    Madame naomba namba Yako

  • @devinasalvatory7306
    @devinasalvatory7306 Рік тому

    jamani mi sijaelewa hapo ukitoa huo ute inamaana huu tumii tena

  • @kevinnyoni3976
    @kevinnyoni3976 2 роки тому

    Samahan dada, keki ya robo inatakiwa mayai mangap?

  • @mariamdenis91
    @mariamdenis91 Рік тому +1

    Naomba uniwekee saizi ya inch ya sufuria na kiasi Cha unga kinachoingia

  • @gloryjoshua1801
    @gloryjoshua1801 2 роки тому

    Nikipika keki yangu na sukari ya kawaida ile light brown (kama unayotumia) sio deep brown, keki yangu ndani inakuwa Brown haiwi nyeupe km za wengine shida nini?

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Angalia namna unavyopiga mchanganyiko wako pia njia unayotumia huenda inakuletea matokeo hayo

    • @gloryjoshua1801
      @gloryjoshua1801 2 роки тому

      @@mziwandabakers8297 huwa nablend sukari sababu sina mixer, Je hiyo ndo sababu? Na ukisema kupiga ule mchanganyo unamaanisha kuupiga sana ndo kunaweza pelekea keki kuwa ya Brown ndani?

    • @queenandchill91
      @queenandchill91 2 роки тому

      @@gloryjoshua1801 Piga sana sukari na blueband hapo kwenye matokeo ya keki nzuri...ukipiga sana inalainika kabisa na inakuwa kama ice cream hivi kama povu,halafu ndo uendelee na process nyingine, Sukari na blueband ndo itafanya cake yako iwe laini, nzuri...Sukari isage kwenye blender ya vitu vikavu.

  • @renathajames2540
    @renathajames2540 2 роки тому

    Nifanye nini ili keki yangu isipasuke na kuwa na mlima!

  • @stellamhillu8988
    @stellamhillu8988 2 роки тому

    Natamani nije kujifunza kabisa maana sometime napata changamoto ya keki kutochambuka

  • @haithamshein7726
    @haithamshein7726 2 роки тому

    Kipenz naomba msaada wako me nikipika keki inanionesha kama ishawiva nikiitia kijiti lkn nikiitoa na kuikata chini inafanyika haijawiva keki inajigawa cjui nn ttz

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Oven inapitisha moto vizuri?

    • @haithamshein7726
      @haithamshein7726 2 роки тому

      @@mziwandabakers8297 ndio lkn moto wake unawaka na kuzima

    • @theclaamos2144
      @theclaamos2144 Місяць тому

      @@haithamshein7726na mimi hilo tatizo linanichanganya inazima na kuwaka

  • @emilyaluoch1730
    @emilyaluoch1730 2 роки тому

    Asante

    • @davidmboya1618
      @davidmboya1618 Рік тому

      Kwann keli inakuwa kama ugali tafadhali dada tueleweshe plz

    • @sharifsaid1481
      @sharifsaid1481 6 місяців тому

      Unajiunga kwa sh ngapi