#MadeinTanzania

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 483

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 роки тому +11

    Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje

  • @officialyohanamalisa1873
    @officialyohanamalisa1873 9 місяців тому +2

    Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 4 роки тому +11

    Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu.
    Kazi nzuri

  • @harounali9057
    @harounali9057 4 роки тому +4

    Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi.
    Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍

    • @حسن-ح7م1ق
      @حسن-ح7م1ق Рік тому

      Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 роки тому +3

    Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji

    • @aminapazi3694
      @aminapazi3694 4 роки тому

      kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je

    • @mansooralmahruqi885
      @mansooralmahruqi885 4 роки тому +1

      USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Рік тому

      Haujui sababu unalabwajika tu

    • @kamanda007
      @kamanda007 Рік тому

      @@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie

  • @montanaprime
    @montanaprime 4 роки тому +5

    Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.

  • @yusufhassan5
    @yusufhassan5 4 роки тому +7

    Old is gold ! Matofali is the best......
    haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !

    • @jacksonmawole4029
      @jacksonmawole4029 4 роки тому +3

      Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga

    • @khalidgugu4964
      @khalidgugu4964 4 роки тому

      @@jacksonmawole4029 haaaaa

    • @yusufhassan5
      @yusufhassan5 4 роки тому

      @@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 4 роки тому

      @@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hallin9561
      @hallin9561 4 роки тому

      Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 4 роки тому +7

    We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more

  • @dewaweshawakening9977
    @dewaweshawakening9977 4 роки тому +6

    Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work

  • @upendoirenmattoke9860
    @upendoirenmattoke9860 4 роки тому +16

    Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽

  • @ManusuraBwanamoya
    @ManusuraBwanamoya 25 днів тому

    I save this video for the future ❤ kwa sasa i have reason to travel to Tanzania 🇹🇿

  • @JK-bi2jl
    @JK-bi2jl 4 роки тому +5

    Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 4 роки тому +1

      This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.

    • @rumeyswairshad8308
      @rumeyswairshad8308 4 роки тому

      Mashaa Allah
      Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni

  • @iammarwa
    @iammarwa 4 роки тому +10

    i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.

  • @ramazaniekenya8312
    @ramazaniekenya8312 3 роки тому

    Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka

  • @gideon_maina
    @gideon_maina 4 роки тому +6

    Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 4 роки тому +1

      These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!

    • @robertmuiga5255
      @robertmuiga5255 4 роки тому +1

      Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology

    • @djumoja
      @djumoja 4 роки тому

      Build an earth home instead

    • @eliasnavytanga
      @eliasnavytanga 2 роки тому

      @@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 4 роки тому

    Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 4 роки тому +11

    Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣

  • @jeanboscomunyarurembo3490
    @jeanboscomunyarurembo3490 4 роки тому

    Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 3 роки тому

    Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 4 роки тому +7

    Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako

  • @muritujamlick5534
    @muritujamlick5534 2 роки тому

    Thank you so much for this show. An eye opener

  • @rickkariuki4523
    @rickkariuki4523 4 роки тому +9

    from Kenya proud of Tanzania

  • @Watema23
    @Watema23 4 роки тому +3

    Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 3 роки тому +2

    Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 4 роки тому

    Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.

  • @mamahustru
    @mamahustru 4 роки тому +16

    Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?

    • @samkariuki9424
      @samkariuki9424 4 роки тому

      Mfinyanzi hulia gaeni

    • @mukra44
      @mukra44 4 роки тому +2

      Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda

    • @gilbertcfc2959
      @gilbertcfc2959 3 роки тому

      mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 3 роки тому

      Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 роки тому +1

    Masha Allah kazi nzuri sana nimeipenda ❤

  • @samniza1763
    @samniza1763 3 роки тому +1

    Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.

  • @mariamayenga5867
    @mariamayenga5867 4 роки тому

    Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu

    • @gmstv2043
      @gmstv2043 4 роки тому

      That's an old technology innovated by Chinese

  • @noelmgulusi6707
    @noelmgulusi6707 4 роки тому +10

    Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi

    • @crissxavery2887
      @crissxavery2887 4 роки тому +2

      Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.

    • @crissxavery2887
      @crissxavery2887 4 роки тому

      @simply pash ...

    • @merymichael5513
      @merymichael5513 4 роки тому +1

      Cjaelewa

  • @hhabusinesspro
    @hhabusinesspro 4 роки тому +4

    Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 2 місяці тому

    Well done.... ! Maelezo ya Meneja yamejitosheleza

  • @abellmawio8694
    @abellmawio8694 2 роки тому

    Na je interloçk zinawez3kana nà kupàtikàna?

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 4 роки тому +5

    Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi

  • @geoffreymwangi6627
    @geoffreymwangi6627 4 роки тому +3

    Hapo sawa mko Wa-Tz.

  • @joels.orinda6352
    @joels.orinda6352 Рік тому

    Eti kwa technology hii kujenga nyumba ya vyumba 4 ni cost how much hivi

  • @nk-computertraining
    @nk-computertraining 4 роки тому +1

    Jamani mnaoomba contact msije mkalia baadae, msije mkalia siku mmeamka mnakuta nyumba yenyewe ishabebwa na upepo mnaanza kushikana uchawii.
    Maboya ujengee nyumba.

  • @warialangandossi
    @warialangandossi Рік тому

    Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 4 місяці тому

    Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?

  • @ShafiiSoud-b3w
    @ShafiiSoud-b3w 2 місяці тому

    kwa Zanzibar je inakuaje kupata huduma?

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 роки тому +2

    Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 4 роки тому +7

    Hizi ndo za kwenye movie zile mtu akipiga ngumi ukuta unavunjika

    • @vinuthagangadharan4171
      @vinuthagangadharan4171 4 роки тому

      Uzuri mimi nimeshuhudia huo ujenzi ni mzuri sana wanasema pia hazina joto

    • @ritchiexanti9587
      @ritchiexanti9587 4 роки тому

      @@vinuthagangadharan4171 nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣

  • @bsrabbitfarm
    @bsrabbitfarm 4 роки тому +2

    Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?

  • @jayaron218
    @jayaron218 4 роки тому +1

    Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 3 роки тому +2

    Wow. Nice

  • @YussufAbebeCheliPeacockSafaris
    @YussufAbebeCheliPeacockSafaris Місяць тому

    Good idea lakini kikija kimbunga, mvua kali, radi itaweza kuhimili kama matofali?

  • @peterdarlington6599
    @peterdarlington6599 8 місяців тому

    In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.

  • @silasyadam8943
    @silasyadam8943 4 роки тому +2

    Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?

    • @erickmahujilo4643
      @erickmahujilo4643 4 роки тому

      Yea bro upo sahihi kabisa wangesema na ghalama au amakadirio ni kiasi gani

  • @omarysebastian3208
    @omarysebastian3208 4 роки тому +1

    Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому +1

    Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa

  • @Moses_Mash
    @Moses_Mash 4 роки тому +6

    Great editing $ narration, thumbs up mister

  • @mimifineliving2022
    @mimifineliving2022 4 роки тому +18

    Kama ni bora kuliko tofali mbona msingi ni was matofali?

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 4 роки тому +1

      Tofali ndiyo mpango, wangeweka maboya ingeruka hiyo😂😂😂

    • @francolocco
      @francolocco 4 роки тому

      Swali lako nmelikubali

    • @muciomi
      @muciomi 4 роки тому +1

      Maboya hayana ugumu wa kutosha kushikilia uzito wa nyumba (compressive strength) na unyevunyevu wa ardhi wakati wa mvua utadhoofisha msingi wa maboya. Maboya kwenye msingi yanatumika tu kama heat and sound insulator.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 роки тому +1

      Ndio ubora unapojia...... matofali ndo msingi na juu kunaboreshwa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 4 роки тому +1

      @@mrfix6596 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jumakaswelele3143
    @jumakaswelele3143 4 роки тому +2

    Unafanya kazi kubwa Sana kutujuza vitu ambavyo tunavuona ila hatujuwi niwapi vyapatikana ila mzee big Sam ivyo viatuvyako mzee baba nimaalum kwaajili ya viwandani maana kila maali uwendako nikiatu ichoicho ha ha ha ha

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 4 роки тому +1

    Mmm Amen Tanzania.

  • @dulabori9922
    @dulabori9922 4 роки тому

    Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja

    • @rehemaothuman3764
      @rehemaothuman3764 3 місяці тому

      Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 6 місяців тому

    sasa website yao ipo wapi

  • @nalotayecamara5423
    @nalotayecamara5423 4 роки тому

    I really appreciate your video thanks u 😘 brother

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 4 роки тому

    Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza

  • @bunukhalifa7074
    @bunukhalifa7074 4 роки тому +1

    Where can we find them in Kenya? Nimependa uvumbuzi wao pengine kuna nambari ya simu

  • @salmamohammedyahaya6098
    @salmamohammedyahaya6098 3 роки тому +1

    Mbona hamjaweka nambazasimuu ?

  • @josephshayo5493
    @josephshayo5493 5 місяців тому

    Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 3 роки тому +1

    Rahisi lakni hamujaongelea bei

  • @kingj9606
    @kingj9606 4 роки тому +1

    Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?

  • @denisjrmgulambwa1866
    @denisjrmgulambwa1866 4 роки тому

    Je nikiasi gani hutumika kukamilisha nyumba nzima...na material yao wanauzaje?
    Gharama za chini ni kiasi gani kwa ujenzi wa hzo nyumba?

  • @confredsangija1796
    @confredsangija1796 9 місяців тому

    hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone

  • @loycemalima7490
    @loycemalima7490 4 місяці тому

    Gharama ya ujezi wanyumba kama iliyoonyeshwa hapo ni ngapi?

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 4 роки тому +1

    Kwa upeo wangu mdogo siwapingi wala sitaki mtu afate msimamo wangu, mie nadhani aina hii ya nyumba walianzisha wazungu au wachina sababu kubwa ni resources katika nchi zao changamoto mchanga mawe ila sababu sie kila kitu kitu mie naona ni vyema kutumia mawe na michanga yetu yunaweza kudhani ni utandawazi kumbe ndo tunajiumiza ndo yale mambo ya green house na broilers chicken

    • @ritchiexanti9587
      @ritchiexanti9587 4 роки тому

      nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣

  • @Diana-cn6cf
    @Diana-cn6cf 4 роки тому

    Kazi nzuri... Tanzania inaweza

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 4 роки тому

    Mko vizuri et

  • @kimstvonline6411
    @kimstvonline6411 4 роки тому +2

    Nilikuwa nasubiri sana hii technology

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 4 роки тому +3

    Kuweni macho na hii technologia.Hizi material utumika kugawa vyumba vya ndani, na siyo kujenga kuta za nje.Nimejihusisha sana na mambo ya ujenzi hapa Ulaya.Nyumba hujengwa kwa matofali hapa.China inafanya kila hali na mali kuangusha Afrika, ili tuwategemee wao.Hii ina maana, mkishakubali mambo yao, kila kitu kitatoka china na viwanda vyetu vya kutengeneza matofali vitakufa. Zaidi ya wajasilia mali 100 hawana kazi.Nyumba ni nyumba kama imejengwa kwa zege.
    GODS SAVE OUR PRESDENT.

    • @crissxavery2887
      @crissxavery2887 4 роки тому +1

      Kwaiyo icho kiwanda kipo china? Anza mfano kataa kutumia teknolojia zote za nje afu nione utanijibia nn hii swali langu, foolish!!!!??

    • @ritchiexanti9587
      @ritchiexanti9587 4 роки тому +1

      nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣

    • @srwshtrauf2044
      @srwshtrauf2044 2 роки тому

      Kama nahitaji nyumba ya vyumba 2na sebure itanigharimu million ngapi

    • @srwshtrauf2044
      @srwshtrauf2044 2 роки тому

      Nitumie namba ya WhatsApp

    • @leahmakuru4458
      @leahmakuru4458 Рік тому

      Wew sasa ndo umeongea point

  • @chosenfrank4286
    @chosenfrank4286 Рік тому

    Naomba namba ya mtalaam

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 4 роки тому

    Mngeweka kwenye discription box kujua tunawapata wapi

  • @samiramohammed9758
    @samiramohammed9758 2 роки тому

    Habari zenu naitaji namba ya simu tafadhali

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 4 роки тому

    Tecnologia nzuri

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 3 роки тому

    Dah simin kam kwel nasi tupo kwenye lever nzur ya kiwanda cha ujenz... ila chonde chondo jaman tusije tukakanyaga gorofa tukajikuta tumetumbukia chini... naomba tengenezen kwa ubora jaman

  • @wiljoe22
    @wiljoe22 3 роки тому +1

    Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 4 роки тому +2

    Hii inaitwa changanya na zako! Mimi siachi kujenga na tofauli kamwe!

  • @dominicklema1835
    @dominicklema1835 Рік тому

    Naitaji kujua zaidi kuhusu I program

  • @nestormsigwa8551
    @nestormsigwa8551 Рік тому

    Tupate contacts pls na namna ya kuwapata.

  • @stamilihalifa2763
    @stamilihalifa2763 2 роки тому

    Mbona ujatoa namba ya sm

  • @asheracuteahmedi8700
    @asheracuteahmedi8700 3 роки тому

    Naitaji namba zao za simu mbona hamjaweka?

  • @davidmagundu2285
    @davidmagundu2285 4 роки тому +2

    Interesting!

  • @bunukhalifa7074
    @bunukhalifa7074 4 роки тому +1

    Do you have a branch in Kenya

  • @SalvataMrosso-yr7fm
    @SalvataMrosso-yr7fm Рік тому

    Naomba namba za simu

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman7216 2 роки тому

    Tutumie namba za simu

  • @yohanaernest8552
    @yohanaernest8552 3 роки тому +1

    Inapendeza

  • @BenCheck-jx9lo
    @BenCheck-jx9lo 4 роки тому +1

    Naona yanfaa kwenye partitioning

  • @zaharahasan1912
    @zaharahasan1912 4 роки тому +1

    Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo

  • @caseyjason-ws3fr
    @caseyjason-ws3fr 4 роки тому +1

    Tunawapataje jamani
    Mbona hamna contact information
    Kaka yangu alikua anataka nyumba

  • @lukekings4895
    @lukekings4895 4 роки тому +2

    😊 tumeelewa. Lkn mbona ukuta wa kiwanda umejengwa kwa matofali ya kawaida?
    Na wale wa mikoani wanaotaka hii huduma mnawasaidiaje?

    • @MrLatestTrailer
      @MrLatestTrailer 4 роки тому +1

      ata mm nimeona. wangetakiwa kujenga na matofali yao

    • @freddiejuma6245
      @freddiejuma6245 4 роки тому +2

      Ni lazima kungewekwa jengo kabla ya mashina ziwekwe

    • @mbarakbates733
      @mbarakbates733 4 роки тому +1

      Kiwanda kilianza kabla ya mashine za pannel,kuku na yai kipi kilianza?

    • @angasoketch8063
      @angasoketch8063 4 роки тому +2

      Hicho jengo lilianza ndo wakaanzisha kiwanda nahisi ata wamekodisha tu hilo jengo

  • @victoriamabele7671
    @victoriamabele7671 4 роки тому +2

    Naomba na. ya simu kwa mawasiliano na mlipo.

  • @bahatimwangoka649
    @bahatimwangoka649 3 роки тому +1

    Alafu wao wamejenga kiwanda kwa tofari za block hahaha

  • @emmanuelmkeba7901
    @emmanuelmkeba7901 4 роки тому +1

    Tunezoea kutoboa kuta zetu za matofali tunaweka vitu mbali mbali hizi je huwezi shuka na ukuta?

  • @jumajembe3570
    @jumajembe3570 4 роки тому +3

    Awa jamaa wakitanua huduma zao, biashara ya tofari kwiishaaaa!

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 4 роки тому +4

    wanaotafuta contact hizi hapa......Mobile No. +255 785 676 207
    Email: mega@mega.co.tz

  • @dionsangoa1428
    @dionsangoa1428 4 роки тому +1

    Hakuna nilichoelewa hapa kama comedian tuu 🙃🙃🙇🏿

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 4 роки тому +2

    Vp kuhusu ajali ya moto kwa nyumbaa hzoo ,hyoo materials mnayosema ni maboyaa hayawezi yakawa kuni kweli kwa kuteketeza nyumba yenyewe

    • @AbduRahman-os2vx
      @AbduRahman-os2vx 4 роки тому +1

      Hapo kwenye janga la moto umewaza kama mimi na zima moto wenyewe wanavyokuja mwisho wa moto utakuta nyumba yako imebaki kiwanya..

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 4 роки тому +1

      Hazina joto na pia kwa ndani hazishiki moto material yake ni yale yanayotumika kutengeneza gypsum

    • @franklineshikanda9820
      @franklineshikanda9820 4 роки тому +1

      Naomba contacts zenu

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 роки тому +1

      @@AbduRahman-os2vx huhuhu weachaaa tu mzazi

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 роки тому +1

      @@josephstephen2047 aaah saw ilaa mpk nifnye utafiti manana sio mmbo yakuuzianaa kondoo kwnye kirobaa hyaa

  • @HustlaDY
    @HustlaDY 4 роки тому

    Beautiful design

  • @elibarikijustine4546
    @elibarikijustine4546 3 роки тому

    How about columns?!