Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi. Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍
Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji
@@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie
This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.
These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!
@@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.
Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.
Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.
Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.
Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante
@@vinuthagangadharan4171 nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.
Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?
Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa
Maboya hayana ugumu wa kutosha kushikilia uzito wa nyumba (compressive strength) na unyevunyevu wa ardhi wakati wa mvua utadhoofisha msingi wa maboya. Maboya kwenye msingi yanatumika tu kama heat and sound insulator.
Unafanya kazi kubwa Sana kutujuza vitu ambavyo tunavuona ila hatujuwi niwapi vyapatikana ila mzee big Sam ivyo viatuvyako mzee baba nimaalum kwaajili ya viwandani maana kila maali uwendako nikiatu ichoicho ha ha ha ha
Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi
Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.
hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone
Kwa upeo wangu mdogo siwapingi wala sitaki mtu afate msimamo wangu, mie nadhani aina hii ya nyumba walianzisha wazungu au wachina sababu kubwa ni resources katika nchi zao changamoto mchanga mawe ila sababu sie kila kitu kitu mie naona ni vyema kutumia mawe na michanga yetu yunaweza kudhani ni utandawazi kumbe ndo tunajiumiza ndo yale mambo ya green house na broilers chicken
nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
Kuweni macho na hii technologia.Hizi material utumika kugawa vyumba vya ndani, na siyo kujenga kuta za nje.Nimejihusisha sana na mambo ya ujenzi hapa Ulaya.Nyumba hujengwa kwa matofali hapa.China inafanya kila hali na mali kuangusha Afrika, ili tuwategemee wao.Hii ina maana, mkishakubali mambo yao, kila kitu kitatoka china na viwanda vyetu vya kutengeneza matofali vitakufa. Zaidi ya wajasilia mali 100 hawana kazi.Nyumba ni nyumba kama imejengwa kwa zege. GODS SAVE OUR PRESDENT.
nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
Dah simin kam kwel nasi tupo kwenye lever nzur ya kiwanda cha ujenz... ila chonde chondo jaman tusije tukakanyaga gorofa tukajikuta tumetumbukia chini... naomba tengenezen kwa ubora jaman
Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje
Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌
Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu.
Kazi nzuri
Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi.
Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍
Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge
Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji
kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je
USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.
Haujui sababu unalabwajika tu
@@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie
Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.
Old is gold ! Matofali is the best......
haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !
Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga
@@jacksonmawole4029 haaaaa
@@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.
@@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣
Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh
We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more
Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work
Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽
I save this video for the future ❤ kwa sasa i have reason to travel to Tanzania 🇹🇿
Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.
This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.
Mashaa Allah
Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni
i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.
Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka
Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.
These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!
Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology
Build an earth home instead
@@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.
Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7
Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
🤣🤣
Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania
Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah
Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako
Thank you so much for this show. An eye opener
from Kenya proud of Tanzania
Ziko kenya kirio project ilianza 7yrs ago in kenya
@@sarahwamboko2041 alie kuuliza nan
@@sarahwamboko2041 umeulizwa
@@mannabu9333 ha ha ha...
Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.
Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question
Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.
Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?
Mfinyanzi hulia gaeni
Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda
mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.
Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.
Masha Allah kazi nzuri sana nimeipenda ❤
Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.
Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu
That's an old technology innovated by Chinese
Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi
Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.
@simply pash ...
Cjaelewa
Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?
Well done.... ! Maelezo ya Meneja yamejitosheleza
Na je interloçk zinawez3kana nà kupàtikàna?
Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi
hahahaaas
🤣🤣🤣
😄
🤣🤣🤣🤣
Hapo sawa mko Wa-Tz.
Tafadhali mtupe namba ya simu Nyinyi Megapanel.
Eti kwa technology hii kujenga nyumba ya vyumba 4 ni cost how much hivi
Jamani mnaoomba contact msije mkalia baadae, msije mkalia siku mmeamka mnakuta nyumba yenyewe ishabebwa na upepo mnaanza kushikana uchawii.
Maboya ujengee nyumba.
Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante
Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?
kwa Zanzibar je inakuaje kupata huduma?
Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you
Hizi ndo za kwenye movie zile mtu akipiga ngumi ukuta unavunjika
Uzuri mimi nimeshuhudia huo ujenzi ni mzuri sana wanasema pia hazina joto
@@vinuthagangadharan4171 nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?
Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150
Wow. Nice
Thank you! Cheers!
Good idea lakini kikija kimbunga, mvua kali, radi itaweza kuhimili kama matofali?
In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.
Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?
Yea bro upo sahihi kabisa wangesema na ghalama au amakadirio ni kiasi gani
Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea
🤔🤗😄😄
Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa
Great editing $ narration, thumbs up mister
Kama ni bora kuliko tofali mbona msingi ni was matofali?
Tofali ndiyo mpango, wangeweka maboya ingeruka hiyo😂😂😂
Swali lako nmelikubali
Maboya hayana ugumu wa kutosha kushikilia uzito wa nyumba (compressive strength) na unyevunyevu wa ardhi wakati wa mvua utadhoofisha msingi wa maboya. Maboya kwenye msingi yanatumika tu kama heat and sound insulator.
Ndio ubora unapojia...... matofali ndo msingi na juu kunaboreshwa
@@mrfix6596 🤣🤣🤣🤣🤣
Unafanya kazi kubwa Sana kutujuza vitu ambavyo tunavuona ila hatujuwi niwapi vyapatikana ila mzee big Sam ivyo viatuvyako mzee baba nimaalum kwaajili ya viwandani maana kila maali uwendako nikiatu ichoicho ha ha ha ha
Mmm Amen Tanzania.
Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja
Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi
sasa website yao ipo wapi
I really appreciate your video thanks u 😘 brother
Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza
Where can we find them in Kenya? Nimependa uvumbuzi wao pengine kuna nambari ya simu
Njoo Tanzania mkoa wa dar es salaam wilaya ya ilala
Mbona hamjaweka nambazasimuu ?
Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.
Rahisi lakni hamujaongelea bei
Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?
Je nikiasi gani hutumika kukamilisha nyumba nzima...na material yao wanauzaje?
Gharama za chini ni kiasi gani kwa ujenzi wa hzo nyumba?
hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone
Gharama ya ujezi wanyumba kama iliyoonyeshwa hapo ni ngapi?
Kwa upeo wangu mdogo siwapingi wala sitaki mtu afate msimamo wangu, mie nadhani aina hii ya nyumba walianzisha wazungu au wachina sababu kubwa ni resources katika nchi zao changamoto mchanga mawe ila sababu sie kila kitu kitu mie naona ni vyema kutumia mawe na michanga yetu yunaweza kudhani ni utandawazi kumbe ndo tunajiumiza ndo yale mambo ya green house na broilers chicken
nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
Kazi nzuri... Tanzania inaweza
Mko vizuri et
Nilikuwa nasubiri sana hii technology
Kuweni macho na hii technologia.Hizi material utumika kugawa vyumba vya ndani, na siyo kujenga kuta za nje.Nimejihusisha sana na mambo ya ujenzi hapa Ulaya.Nyumba hujengwa kwa matofali hapa.China inafanya kila hali na mali kuangusha Afrika, ili tuwategemee wao.Hii ina maana, mkishakubali mambo yao, kila kitu kitatoka china na viwanda vyetu vya kutengeneza matofali vitakufa. Zaidi ya wajasilia mali 100 hawana kazi.Nyumba ni nyumba kama imejengwa kwa zege.
GODS SAVE OUR PRESDENT.
Kwaiyo icho kiwanda kipo china? Anza mfano kataa kutumia teknolojia zote za nje afu nione utanijibia nn hii swali langu, foolish!!!!??
nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
Kama nahitaji nyumba ya vyumba 2na sebure itanigharimu million ngapi
Nitumie namba ya WhatsApp
Wew sasa ndo umeongea point
Naomba namba ya mtalaam
Mngeweka kwenye discription box kujua tunawapata wapi
Habari zenu naitaji namba ya simu tafadhali
Tecnologia nzuri
Dah simin kam kwel nasi tupo kwenye lever nzur ya kiwanda cha ujenz... ila chonde chondo jaman tusije tukakanyaga gorofa tukajikuta tumetumbukia chini... naomba tengenezen kwa ubora jaman
Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka
Hii inaitwa changanya na zako! Mimi siachi kujenga na tofauli kamwe!
Naitaji kujua zaidi kuhusu I program
Tupate contacts pls na namna ya kuwapata.
Mbona ujatoa namba ya sm
Naitaji namba zao za simu mbona hamjaweka?
Interesting!
Do you have a branch in Kenya
Naomba namba za simu
Tutumie namba za simu
Inapendeza
Naona yanfaa kwenye partitioning
Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo
Tunawapataje jamani
Mbona hamna contact information
Kaka yangu alikua anataka nyumba
😊 tumeelewa. Lkn mbona ukuta wa kiwanda umejengwa kwa matofali ya kawaida?
Na wale wa mikoani wanaotaka hii huduma mnawasaidiaje?
ata mm nimeona. wangetakiwa kujenga na matofali yao
Ni lazima kungewekwa jengo kabla ya mashina ziwekwe
Kiwanda kilianza kabla ya mashine za pannel,kuku na yai kipi kilianza?
Hicho jengo lilianza ndo wakaanzisha kiwanda nahisi ata wamekodisha tu hilo jengo
Naomba na. ya simu kwa mawasiliano na mlipo.
Alafu wao wamejenga kiwanda kwa tofari za block hahaha
Tunezoea kutoboa kuta zetu za matofali tunaweka vitu mbali mbali hizi je huwezi shuka na ukuta?
Awa jamaa wakitanua huduma zao, biashara ya tofari kwiishaaaa!
wanaotafuta contact hizi hapa......Mobile No. +255 785 676 207
Email: mega@mega.co.tz
Hakuna nilichoelewa hapa kama comedian tuu 🙃🙃🙇🏿
Vp kuhusu ajali ya moto kwa nyumbaa hzoo ,hyoo materials mnayosema ni maboyaa hayawezi yakawa kuni kweli kwa kuteketeza nyumba yenyewe
Hapo kwenye janga la moto umewaza kama mimi na zima moto wenyewe wanavyokuja mwisho wa moto utakuta nyumba yako imebaki kiwanya..
Hazina joto na pia kwa ndani hazishiki moto material yake ni yale yanayotumika kutengeneza gypsum
Naomba contacts zenu
@@AbduRahman-os2vx huhuhu weachaaa tu mzazi
@@josephstephen2047 aaah saw ilaa mpk nifnye utafiti manana sio mmbo yakuuzianaa kondoo kwnye kirobaa hyaa
Beautiful design
How about columns?!