Sasa hapa ndio nimemuelewa Raisi Magufuli daaa kumbe haya ndio yanafanyika Tanzania wacha na mimi niumize kichwa ya kufunguwa kiwanda safi sanaa kaka kwa hii Elimu
Kila mafanikio yanaanza na wazo zuri la biashara.. nimekuwekea video nzuri ya kujifunza jinsi gani unaweza kupata wazo zuri zaidi la biashara na wewe. karibu katika channel yangu tujifunze kwa pamoja.
Mm naitwa sadani nakaa dar nataka nianzishe kiwanda namimi kidogo cha kutengeneza viatu dar nilikuwa nawaza sana nitapata wapi material sasa kaka sam umenifungua soon nitaanza kuchukua ngozi hapo kiwandani god blees you
Sometimes tunajitoa ufaham na ku criticise jitihada za mzee, lakn ukweli ni kwamba, viwanda pasipo umeme wa uhakika ni sawa na kutwanga maji kweny kinu....fanya kazi JPM
Hivi kwamfano wanafunzi wote wakaambiwa wavae viatu vya tz. Uchum utapanda sana maana ajira zitapatikana.kunasababu gan yakuagiza viatu nje wakati ngozi zinaoza ?
Nakupongeza Sana Mr big Sam kwa kazinzuli uifanyayo mzee msomaji bingwa magazeti tz ila baba mbona karibia viwanda vi5 vyote ulivyotembelea buti nililelie ha ha ha ha nimelibatiza butilako naliita buti la sam
Hapo Raia wa kawaida wananunua? au mpaka tusubiri vije sokoni tuuziwe kwa laki na kitu, maana kwa bei hizo mbona si kubwa sana kuna kiatu nimeona hapo nilinunua laki na ishirini mie
Kila mafanikio yanaanza na wazo zuri la biashara.. nimekuwekea video nzuri ya kujifunza jinsi gani unaweza kupata wazo zuri zaidi la biashara na wewe. karibu katika channel yangu tujifunze kwa pamoja.
Tanzania tuko juu. Nataka kujua hiki kiwanda cha bidhaa za ngozi, kinapatikana wapi? ili niende shoping. Namba yangu ni 0767150005. Tunaomba Made in Tanzania Campaign muwe mnaweka na mawasiliano yenu ili tuweze kuwafutilia.
Sasa hapa ndio nimemuelewa Raisi Magufuli daaa kumbe haya ndio yanafanyika Tanzania wacha na mimi niumize kichwa ya kufunguwa kiwanda safi sanaa kaka kwa hii Elimu
Kila mafanikio yanaanza na wazo zuri la biashara.. nimekuwekea video nzuri ya kujifunza jinsi gani unaweza kupata wazo zuri zaidi la biashara na wewe. karibu katika channel yangu tujifunze kwa pamoja.
0&
Mm naitwa sadani nakaa dar nataka nianzishe kiwanda namimi kidogo cha kutengeneza viatu dar nilikuwa nawaza sana nitapata wapi material sasa kaka sam umenifungua soon nitaanza kuchukua ngozi hapo kiwandani god blees you
Unafanya kazi nzuri sana kutujuza yaliyomo hapa Tanzania. Tujivunie na vyakwetu, huo ndio uzalendo!!
UA-cam Channel ya kipekee kutoka kwa Mtanzania, good job ndugu 👏👏
Sometimes tunajitoa ufaham na ku criticise jitihada za mzee, lakn ukweli ni kwamba, viwanda pasipo umeme wa uhakika ni sawa na kutwanga maji kweny kinu....fanya kazi JPM
Love from Burundi nashuka kuchkuwa mzigo
You are welcome
Asante ntawapataje
@@Africa.Athuman njoo Dar es salaam utapata bidhaa
Nawataka hao hao
Tanzania is moving very fast at development of many aspects we are very proud
Hivi kwamfano wanafunzi wote wakaambiwa wavae viatu vya tz. Uchum utapanda sana maana ajira zitapatikana.kunasababu gan yakuagiza viatu nje wakati ngozi zinaoza ?
Wazo zuri sana
Wazo lenye rutuba hili...
Wazo lenye mbolea ya samadi bro. Safi sana. Tanzania tunasonga
Hongera sana kwa rutuba ya ubongo wako.
@@sekiondowarema1786 je makombo ya mabeberu yaende wapi?
Napendakutumia bidhaazanyumbani tz nimeonasafari but zakweli made in tz safisana
Nakwambia mimi niko burundi huwa ninafuraji sana ninapoona made in Tanzania ni vitu vingi vinatengenezwa tz, nakupenda sana Tanzania ❤❤❤
Safi sana, maendeleo yanawezekana keep it up
kaz mzur magufur 🤩❤❤❤
Asante kaka, nazani nimepata wazo la biashara
Hongera sana natamani kupafika hapo.
Nikipata trep yakilimanjaro nitafikahapo nijionee vyanyumbani tz og
nimependa sana ...ila sasa wazalishe kwa wingi ili vienee Tanzania nzima
Vipo vya kutosha tembelea branch zetu zilizopo, mbea solo kuku,dodoma, morogoro, singida,mwanza, arusha, dar es salaam Mtwara
@@eliasswai3137 Arusha mpo sehemu gani?
@@eliasswai3137 arusha mpo wap??
@@eliasswai3137 Hamjatangaza vizur, sijawah hata kuviskia
Mwanza mpo wapi?
Jamani hizi bidhaa zetu Ni nzuri Sana. Sasa tukizihitaji tunazipitia wapi?
Je kuna namna yoyote ya kutengeneza leather bila machine?
Kazi nzuri sana Bro
Nilikuwa Simiyu juzi aisee
Naipenda nchi yangu tanzania
Big Up made in Tz
Jamaa asikiki vizuri
An amazing channel ever!
Mtupe direction dr. Hio mi fursa
Dar products zao wanauza wapi Sam. Alafu ungeweza weka matangazo kwa viwanda unavyofanyia interviews alafu wanauza bidhaa hapa nchini.
Magufuli Huna mpinzani mzee
Mnafanya kazi nzuri ila tatizo linakuja katika upatikanaji wa hizo bidhaa umekuwa mgumu sana
I'm in AWE... my beautiful country and all it's riches and talents. asante na mbarikiwe kwa kutujuza zaidi na zaidi
On line vipi
@@madawavuai1352 asante ofisi na internet yake
From 🇺🇬🇺🇬🇺🇬.... Nice
God bless TANZANIA
Amen
TANZANIA NCHI YANGU #MUNGU IBARIKI#
Sikuyajuwa haya kabisaa
@Change Mindset Watanzania tunaweza kufanya mambo makubwa sema tuu tulikuwa tunadharaulina na kuabudu vitu vya nje.
Nakupongeza Sana Mr big Sam kwa kazinzuli uifanyayo mzee msomaji bingwa magazeti tz ila baba mbona karibia viwanda vi5 vyote ulivyotembelea buti nililelie ha ha ha ha nimelibatiza butilako naliita buti la sam
namba ya duka ya
Safiiiiii sana .
Jamani si muanze kuuza kwa online tuweze kununua na huku mikoani
adresse ya duka na namba ya sim ni mkowa ngani
Jani watoe namba
Kaka heshima kwako unafanya kazi nzuri tu, Hawa jamaa wanauza hio ngozi au mwishowe
Ndio
Fière de la Tanzanie
Duh! Yaani kwa weli nimeduwaa. Tunauziwa bei kubwa viatu vya mitumba wakati kuna viatu original made in Tanzania vya bei nafuu🤔
Naomba location ya hilo duka tafadhali
Duh tunapigwa sanaaaaa
Daaah! Hiki kipindi ni kitamuu laanaa!
Mbona havifiki Shinyanga hivi viatu vinaishia wapi?
Nilikua sijui lakini nimekufatilia najua kweli TANZANIA ya viwandaa nataka viatu kutoka uko nitapataje kuja dar
Tunapataje bidhaa?
Hiyo buti ya jesh mmefel puaan na upande wa kisigino ni lain sana.. Haitakiw but kubonyea au kujikunja sehemu hiyo.
Hapo Raia wa kawaida wananunua? au mpaka tusubiri vije sokoni tuuziwe kwa laki na kitu, maana kwa bei hizo mbona si kubwa sana kuna kiatu nimeona hapo nilinunua laki na ishirini mie
Unafanya kazi nzuri lakini unaweza ku translate kizungu for our other watchers
kweli kabisa
Hilo duka lipo wapi?
HIYO NI MOSHI KILIMANJARO
Tanzania
#watatusoma tu🤣
Sam tunaomba namba za simu
Media za Tanzania zingekuwa kama hii wazungu wangetu amkia shikamoo Tanzania
Good
Kila mafanikio yanaanza na wazo zuri la biashara.. nimekuwekea video nzuri ya kujifunza jinsi gani unaweza kupata wazo zuri zaidi la biashara na wewe. karibu katika channel yangu tujifunze kwa pamoja.
Mi ni mkenya naweza mpata order ya ngosi niwaletee ?
Yes lete tu
Me nahitaji ngozi ya kutengenezea viatu vya kimasai nitapataje
Haya vijana wa miaka ya 82 mnaokalia porojo za kina daimond na zuch mmeona wanaume wanavyopambana nimekuelewa samsasali endelea kutujuza mema ya nchi
Gd
Ina maana wa mikoani tukihitaji tuje Moshi au kuna mawakala?
UNAWEZA KUWA WAKALA
0756677037
Unaruhusiwa kuweka order kunzia viatu 20
Ndio
0756677037 woiso ORIGINAL PRODUCT
Musionyeshe wataturoga wenye wivu.
Alafu wewe mwananchi utajuaje kama haya mambo yapo nchini kwako si utasema ni siasa tu ......
@@dicksonaroka6961 Tutajua kikubwa ni kuweka rebal Made in Tanzania.
Tuvitangaze bc jmn mbona matangazo yamekua madogo san
anavaa mpaka anagraduate..lol
Halafu mjomba umetoka Ntwara nini?
fanyeni mpango wa showroom dar
Hiyo safari buti inayouzwa 40,000 ikifika Arusha huwa wanauza 160,000
Nilizivaaga kama hizi enzi za sekondari Arusha
We can hear music is to loud
We can’t hear the conversation music is to loud
Duka lenu arusha mpo wap?
Tanzania tuko juu. Nataka kujua hiki kiwanda cha bidhaa za ngozi, kinapatikana wapi? ili niende shoping. Namba yangu ni 0767150005. Tunaomba Made in Tanzania Campaign muwe mnaweka na mawasiliano yenu ili tuweze kuwafutilia.
🇵🇸
Kwa mawasiliano nawapataj mi nilikua naitaj bidhaa nipo Dodoma
Bidhaa gani kaka 0756677037 woiso ORIGINAL PRODUCT
@@eliasswai3137 kwa Arusha je?
Kuranguwa vip mutu atapata kivipi muzigo
Hongera sana naomba mawasiliano namba yangu 0757720512