Kaka sauti yako km y kk Zahir!, lkn kk Zahir mungu ambariki alipambana n uyo mama adi nyumba kufikia apo, msitaje kiwango cha pesa jmn, maana kunawatu wanauchu mkali adi roho za kishetwani
Kwa kweli mimi naona mwanae wa kiume ana nguvu afanye kazi ili waendelee na maishakwani wamesaidiwa mpaka kufikia hapo napia aende kwa mzazi mwenzie ampeleke Mbele ili atoe matumizi
Mliosoma cuba mnanielewa, kwanza amesaidiwa pa kutosha pili ana kijana mwenye afya akafanye kazi wamalizie nyumba yao. Yaani ingekuwa ni mmoja wetu uko Pakistani kwao 😢😢wangesha tuuwa wanamanyanyaso hawa. Alafu hawa ni wale ambao mabwana walisha kufa alafu wanaongopea aliolewa na mtanzania 😂😂😂😂. Alafu tamaa imemponza, pesa ya sadaka ameenda kujenga nyumba kuubwa
Mama usimuachie mtu yyte mtto ukaenda kutafuta kazi hata mm sikushauri hilo mana mtto hapo alipo anakuhitaji ww na anahitaji mapenzi yako na care! Lkn wanao wakubwa wanaweza kujihangaisha, km hawajihangaishi wahimize!
Mtihani walah yangu imefikiya hapo hapo kama yako nashukuru mungu alhadulilah nipofika afadhali wengine hawana kabisa nipo natafuta nishatapeliwa pesa nyingi tu lakini mungu ni mwema alhafulilah
Utamaliza tu usisononeke. Mm nilimaliza hadi palasta waizi wakaja wakavunja wakaiba milango madirisha na, nyaya zote za, umeme nilikua nishafanya ilibak tu tiles. Lakin kwa sasa namalizia nyumba. Usikate tamaa dada
Mimi nakuamini kabisaa kuwa ulitapeliwa maana hata mama angu alitapeliwa Kwa style kama waliyokutapeli wewe hivyo Mtu kama hawajawahi kukutwa na Hilo tukio hawezi kuelewa
Mtu unapotoa toa tu kwaajili yamungu sio kuanza maneno kama hayo mana ukitoa kitu mtu akatumia mpaka akafa basi unafungu kubwa sasa maneno yanini jamani tuache kujizima data
Wanaosema karibu na wote hawakutoa walijionea upuuzi tangu mwanzo. Mtu unahitaji msaada halafu unataka makubwa? Hata waliomuahidi wameingia mitini. Kuona walivyotumainia sivyo alivyofanya yy na Zahir wake.
Ukitaka kujua km watanzania wana roho chafu ndo namna hio...yaani mtu hata kusaidia hasaidii kisha anakuja kucoment ujinga yaani anataka mwenziwe asisaidiwe .watz bana mmh
@@shamsahaji6202. Nyie wenye roho nzuri makwenu mnasaidia??? Au waafrika wenzenu mnawasaidia au basi tu kwa kua muhindi ndio akili za kitumwa zimekujaeni???
@@shamsahaji6202. Hao wanaosema sio kwamba hawasaidii watu au walikua Hawana nią ya kumsaidia lkn roho yake mbaya ya ubinafs ndio iliofanya warudi nyuma. Kwani muhitaji peke ake??!
@@shamsahaji6202. Ww ulokua na roho nzuri msaidie hujakatazwa. Na sisi acha tuseme kwa sbbu lengo na madhumuni ni kukumbushana kusaidia wanyonge waliowengi wanaohitaji msaada wetu na sio kujengea watu vila wajifakharishe.
Ndugu yangu zahir endelea na sadaka ulioanza kwa huyo mama kwa ajili ya mungu mungu ndio atakae kulipa amini maneno yangu mshike mkono ili umalize kazi ulioanza tuwache yaliopita tugange ya jayo
Kusema ukwel namuonea huruma sana uyu mama lkn acha nisiongee vby bado siamini unategemea mchango ndo hekalu lote hilo badala angejenga chumba chake cha batuli wanae wa kiume n chumba cha wageni na jiko na seble 😢😢kuna mtoto nmeona anahojiwa kwa zahir ana kansa anahitaji msaada leo mtu badala ashukuru kwa kidogo angejenga vyumba vichache.hawa wenzetu wahindi warabu wanapenda kujitofautisha na waswahili sana wanapenda kuishi kifahari sana huo ndo ukwel.wengi wanahitaji michango ya watanzania mama zabibu alijengewa nyumba simple chap tu haya ile familia fahadi aliwasaidia walijengewa nyumba simple tu ikamalizika basi hata huyu mngemjengea ya simple sa hii labda angekua anasaidiwa hela ya mtaji tu.ni mawazo yangu tu pia sijakamilika kama kuna sehem ntakua nmekosea mnisamehe na kuelekezana🙏Mungu amfanyie wepesi amalize iyo nyumba
Aisha Oman uyu mpakistan hana akili pesa za msaada unaenda kujengewa mjengo kama mfanya biashara nyumba ya msaada jenga nyumba ya wastani imalizike ukae kila siku utasaidia wewe tuu wapo wenzio wana shida kama wewe
@@hawakiza6067 ndugu yangu achana na story za huyu mama,wanajuwana na zahiri wake kwa kuporomosha jingo kubwa kwa misaada ya maskini sisi.story zao ni ndefu na hazieleweki.fanya mambo yako,huyu mpakstani,Achana naye,story zake ngumu.
Ndugu mtangazaji huko bank walifika ,hakuna hata Moja muhusika , alionekana na camera haiwezekani .na polisi ni kweli hawafanyi kazi bila ya hongo , lkn Kuna idara ya usimamizi wa polisi , inatakikana kuwe na mwanahabari na ushahidi muweze kuonesha .
Mm nakuomba zahir please please km uliyvoanza na huyu maam basi changisha na umalizane lakin huo huo pesa kaa nazo wew na maliza kujeng cz huyu mama sijui ilikuwaje mpk hiz pesa zote kutapeliw nivyema ukae nazo wew na wakt mwengine punguza nyumba km unasaindia juu nyumb kubwa hiyv na ni wa 3 tu kuna wengin pia wanatak huo msaand na hawapat
Asa mbona kaweka mjengo mkubwa kiasi hicho ,,, pesa zilizotumika angejenga nyumba ndogo na ikatosha na sasa angekua kwake,,, hana uwezo anataka mjumba wa kitajiri ,,, kuna watu wenye uhitaji wengi jaribuni kujitafakari kabla ya kufanya jambo hilo. , pia kuna masharifu walitaka kumsadia ilikuaje ,,, mnazingua sometimes 😢😢😢
Hawa wanaochangisha hua hawaji km wanaosaidia na wao wanawatu wao wa kuwasaidia. Na sadaka ya Kumsaidia mtu wako ndio sadaka bora zaidi kuliko ya mtu mbali, Ila huruma za watu huona na wasiowajua wawasaidie. Wanaona labda watu wanazo wamepanda miti wanatoka nje wakachuma tu na ndio mana wanapowajia wahitaji hua hawatumii akili wakajenga nyumba za kiasi ili na wengine wapate kusaidiwa.
Mwanawe kweli mgonjwa na namuhurumia sana. Mana kuuguza au kuugua ni mtihani mkubwa sana duniani, Allah amsaidie. Lkn ilikua yy na zahir wakumbuke kua muhitaji si peke yake. Watu wanaswafa yy atakua anataka nyumba km anajengewa na raisi??? Wkt wanaochangia ni watu wa kawaida na tena wana na majukumu yao na wengine wanabeba na ya watu wao.
Mbinafs utadhani Tnz nzima muhitaji peke ako? Kuna wenzio wanawtto wagonjwa na wenyewe wagonjwa na vibanda wanavyoishi vibovu na hawana hata wtto wakubwa wa kuwasaidia. Ilikua ujenge nyumba saiz na wenzio wapate. Ulitaka Dhahir akutangaze ww kila siku na anawahitaji wengine? Watu wengine hawajui kula kipofu, mtihani!
@@Muslim-gs6rn. Kweli ndugu yangu tena wa damu kabisa ambao Allah na Mtume s.a.w anasisitiza zaidi kuwasaidia wao kwanza kuliko wa mbali. Na ndio mana Mtume s.a.w alipokwenda Miraj alikuta kisima kinarusha maji but kinakiuka kisima cha pembeni mwake na kurusha chengine, alipouliza akaambiwa hawa ni baadhi ya watu ktk umma wako, ambao watakua wanasaidia wa mbali na kuacha wa karibu.
@@Muslim-gs6rn. Ckm kumsaidia wa mbali hupati kitu…unapata lkn zaidi wa karibu. Lkn siku hzi wambali wakisaidiwa huona watu km hawana wakaribu wakuwasaidia au huona km wenye shida na mttzo ni peke yao wanajisahau. Na wkt kila familia siku hzi haikosi masikini, wagonjwa, walemavu, mafukara, wenye shida, mttzo. Na usije kukuta na huyo msaidizi na yy anasaidia tu kueka kiakiba anapokwenda/akhera lkn si km na yy anazo au hana shida na mttzo.
@@janifajani8875 heee, achana na Dar esalam ndugu yangu. Ukisikiliza alivyo ibiwa utadhani alitekwa akili. Alikuwa anaenda kariakoo kununua vitu vya Batuli. Alipokuwa stand ana ngoja gari, ndiyo hapo, walipo mdaka wakaanza kumtapeli mpaka akaingia kwenye 18 zao. 😭
Kwanini hapati tena kwani wewe ndio mgawaji wa Riziki acha Roho mbaya aliyefikisha nyumba hiyo hapo ndio atamuwezesha huyu mama nyumba kukamilika Pesa na Watu vyoote ni Mali ya Bwana Mungu wetu atainua watu wake kwani wewe ushampa shs ngapi
Siku hizi kuna watu wameona kuna fursa kubwa ya kuwaombea watu dhaifu misaada mitandaoni ili na wao wanufaike nayo , badala ya wao kwenda kufanya kazi na kula kwa jasho lao, lakini wameona ni bora kuwatafuta watu masikini, wagonjwa, walemavu na mayatima ili wawaombee misaada ili na wao wapatiamo maslahi yao hapo, Kwakweli hakuna mtu atafanya kazi ya kuwaombea watu dhaifu misaada mitandaoni bure kama hapati maslahi nayo hapo, kwasababu ukiangalia muda wake, petrol yake, chakula chake n.k nani analipia hapo? Jamani tuweni makini sana na hawa watu wanaowaombea watu wenye kuhitaji misaada mitandaoni. Ni bora kupeleka misaada kwa walengwa direct.
Ni jeri wawaombee kwa sababu wasipowaombea nani atasimama kuwaombea si hero wapate msaada tu hat anaewaombea afanya kazi njema nae akila apo kidogo ni sawa tu
Mashallah mdogo wangu Mama Batuli Tumshukuru mungu kwa kila jambo hatua uliofikia si haba
Kaka sauti yako km y kk Zahir!, lkn kk Zahir mungu ambariki alipambana n uyo mama adi nyumba kufikia apo, msitaje kiwango cha pesa jmn, maana kunawatu wanauchu mkali adi roho za kishetwani
Mtu na kakake yaani ni ndugu
Kwa hiyo saivi mna Chanel 2 na kwa nini siku zote usiende mpk muda mrefu umepita mwambie mwanao atafute kazi mmalizie nyumba yenu
Kwa kweli mimi naona mwanae wa kiume ana nguvu afanye kazi ili waendelee na maishakwani wamesaidiwa mpaka kufikia hapo napia aende kwa mzazi mwenzie ampeleke Mbele ili atoe matumizi
Uyo mama tama njo nzirimponza yani mpenda tu wili kamoja kamemuponyoka?husaidiwe harafu uwende kununuwa ma dhahabu?
Mliosoma cuba mnanielewa, kwanza amesaidiwa pa kutosha pili ana kijana mwenye afya akafanye kazi wamalizie nyumba yao. Yaani ingekuwa ni mmoja wetu uko Pakistani kwao 😢😢wangesha tuuwa wanamanyanyaso hawa. Alafu hawa ni wale ambao mabwana walisha kufa alafu wanaongopea aliolewa na mtanzania 😂😂😂😂. Alafu tamaa imemponza, pesa ya sadaka ameenda kujenga nyumba kuubwa
Romania ya mjengo asilaumiwe mpakistani, yeye amefanyiwa tu, kaka zahir ndiye ameona hiyo ramani inafaa
10:40 Ndugu yangu mtangazaji musitaje ngapi zimetumiwa msaidieni Allah atawalipa
Kwa uwezo wake
MASHALLAH.Mungu akulinde na mahasidi.Kaka zahir Mungu akulinde popote pale ulipo.Ulipambana nahuyu mama xana.
Kwa kweli imekuaje akaachana na zahir kwa kua ndie alianza nae
Pole sana Mama batuli Zahir endelea kumsimamia Mama batuli umeanza nae mbali kwanini humtangazi tena huyu Mama batuli
Siku hizi alikua afanyi kazi
Mama usimuachie mtu yyte mtto ukaenda kutafuta kazi hata mm sikushauri hilo mana mtto hapo alipo anakuhitaji ww na anahitaji mapenzi yako na care! Lkn wanao wakubwa wanaweza kujihangaisha, km hawajihangaishi wahimize!
Jaman huyu mama nilimmic sana❤
maa shaa Allah tumsaidieni jamani amalizie nyumba yake
in shaa Allah
Mtihani walah yangu imefikiya hapo hapo kama yako nashukuru mungu alhadulilah nipofika afadhali wengine hawana kabisa nipo natafuta nishatapeliwa pesa nyingi tu lakini mungu ni mwema alhafulilah
Utamaliza tu usisononeke. Mm nilimaliza hadi palasta waizi wakaja wakavunja wakaiba milango madirisha na, nyaya zote za, umeme nilikua nishafanya ilibak tu tiles. Lakin kwa sasa namalizia nyumba. Usikate tamaa dada
Saut kama Zahir mashallah ❤
Mungu anisamehe.. Huyu mama nahisi kwenye upotevu wa pesa ana kauongo flan
Mimi pia nimegundua hivyo maana Zahir hashindwi kitu Kila siku kulalamika
Pole sana mung yupo utamaliza
Aibu kwa polisi kilalaia analalamika kwenu😢😢
Yaani
Inshaallah kheri utamaliza
kwani zairi yukowapiiiiiiiiii mm batuli tunamtaka kk zairi
Mama usiogope kaza moyo Zidi kumtegemea Mungu
Mimi nakuamini kabisaa kuwa ulitapeliwa maana hata mama angu alitapeliwa Kwa style kama waliyokutapeli wewe hivyo Mtu kama hawajawahi kukutwa na Hilo tukio hawezi kuelewa
Lkn mashaa llah imefika lkn pia mama batuli unaweza kufanya biashara yeyo ikakuingizia kipsto na ukamalizia kujenga hata kama pia hujapata mchango
jamani tumsaidie huyu mama jamani
Mtu unapotoa toa tu kwaajili yamungu sio kuanza maneno kama hayo mana ukitoa kitu mtu akatumia mpaka akafa basi unafungu kubwa sasa maneno yanini jamani tuache kujizima data
Wanaosema karibu na wote hawakutoa walijionea upuuzi tangu mwanzo. Mtu unahitaji msaada halafu unataka makubwa? Hata waliomuahidi wameingia mitini. Kuona walivyotumainia sivyo alivyofanya yy na Zahir wake.
Ukitaka kujua km watanzania wana roho chafu ndo namna hio...yaani mtu hata kusaidia hasaidii kisha anakuja kucoment ujinga yaani anataka mwenziwe asisaidiwe .watz bana mmh
@@shamsahaji6202. Nyie wenye roho nzuri makwenu mnasaidia??? Au waafrika wenzenu mnawasaidia au basi tu kwa kua muhindi ndio akili za kitumwa zimekujaeni???
@@shamsahaji6202. Hao wanaosema sio kwamba hawasaidii watu au walikua Hawana nią ya kumsaidia lkn roho yake mbaya ya ubinafs ndio iliofanya warudi nyuma. Kwani muhitaji peke ake??!
@@shamsahaji6202. Ww ulokua na roho nzuri msaidie hujakatazwa. Na sisi acha tuseme kwa sbbu lengo na madhumuni ni kukumbushana kusaidia wanyonge waliowengi wanaohitaji msaada wetu na sio kujengea watu vila wajifakharishe.
Mrejesho wa mama batuli jamani
Kwani maximum Zahir c ndio alikuwa anasimamia, huyu tena katokea wap
Huyu jamaa atakua ni mdogo wake Zahir
Ndugu yangu zahir endelea na sadaka ulioanza kwa huyo mama kwa ajili ya mungu mungu ndio atakae kulipa amini maneno yangu mshike mkono ili umalize kazi ulioanza tuwache yaliopita tugange ya jayo
Kwani huyu zahiri yuko wapi
Kwani Kuna tatizo lolote lilitokea baina yake na Zahir au. Naona kahama kwa Zahir.??
Hawana tatizo lolote na zahir ila zahir ana majukumu yake kutangaza amestop kidogo
@@teedullah5708 Na shaangaaa
@@homemediatanzania Nmekuelewa ndugu yangu🤝🤝
Dunia hii nimejifunza kitu kumsema mtu nisiyemjua au kuongea kitu nisicho kijua ni mwiko kwangu
kwa kudra za allah yatatimia
Angejenga vyumba viwili na sebule balance inayobaki aanzishe biashara angefanikiwa.
Huyu mama ni Mzembee na tamaa yako ndo iliyo kudhalilisha tafuta kazi ufanye sasa ujitegeme umesaidiwa yakutosha
Mmmh
Kijana wako atafute kazi ili akusaidie mama huo ujenzi na mengineo
Watanzania Kama huyo mama kweli mliamua kumsaidia tumsaidie huyo ni mgeni
Kwanini home media munamuingilia Zahir katika kazi yake hapo kwa mama batul yy ndio kaanza toka mwanzo leo iweje muwepo kwenye mahojiano nae
Why home media,
Zahir Yuko wapi jamani
Mbona huyo sio kk zahir,
Kusema ukwel namuonea huruma sana uyu mama lkn acha nisiongee vby bado siamini unategemea mchango ndo hekalu lote hilo badala angejenga chumba chake cha batuli wanae wa kiume n chumba cha wageni na jiko na seble 😢😢kuna mtoto nmeona anahojiwa kwa zahir ana kansa anahitaji msaada leo mtu badala ashukuru kwa kidogo angejenga vyumba vichache.hawa wenzetu wahindi warabu wanapenda kujitofautisha na waswahili sana wanapenda kuishi kifahari sana huo ndo ukwel.wengi wanahitaji michango ya watanzania mama zabibu alijengewa nyumba simple chap tu haya ile familia fahadi aliwasaidia walijengewa nyumba simple tu ikamalizika basi hata huyu mngemjengea ya simple sa hii labda angekua anasaidiwa hela ya mtaji tu.ni mawazo yangu tu pia sijakamilika kama kuna sehem ntakua nmekosea mnisamehe na kuelekezana🙏Mungu amfanyie wepesi amalize iyo nyumba
Nakuunga mkono nyumba kubw mno jmn angejenga ndogo ya kumtosha yeye na wanawe. Jumba kubwa kama la tajiri flani
Mimi nilisemaga toka yupo kwenye msingi kwamba kwann anajenga lijumba likubwa kwakutegemea michango
Zahir popote ulipo tunaomba uwe bega kwa bega na Mama batul kwani umetoka naembali
Aisha Oman uyu mpakistan hana akili pesa za msaada unaenda kujengewa mjengo kama mfanya biashara nyumba ya msaada jenga nyumba ya wastani imalizike ukae kila siku utasaidia wewe tuu wapo wenzio wana shida kama wewe
Zahir yuko wapi?
Sasa wewe hujaenda siku nyinyi hizo pic haziwexi kuwepo mpk leo wamama wenzio wanauza maandazi na wanajikimu na wanafanya maendeleo
Msameheni SANA ni hivyo keshakosea tusimlaumu
Please go to your phone service provider with the police report...your phone service provider should be able to track the thieves phone.
Kwenye kupauwa pauwa kawaida usipandishe ile mapaa marefuuu inaweza kusimama milion 4 tu
Mhh uyu mama bn kwaaiyo kahamia tena tv i uyu mama ni ujinga tu kaufanya ww utaeka vp oesa wkat unajuwa unajenga
U ndugu na Zahir kwani mwafanana kiasi na sauti vile vile
Yap
Mashallah ❤❤ nilijua tu black ❤❤
Tatizo nyumba ya msaada ingejegwa ndogo wamejenga kubwa
Acha roho mbaya ww ina ukumbwa gani hio mmh roho ya umasikini tu
Kwani zahir wa Maximum tv ameachana na huyu dada?
Alinikera kwa kujenga jumba kama hekalu kwa pesa za maskini sisi,na zahiri wake
Sasa hapa zahir ameingiaje wakat mkusanya pesa ndo yeye mwenyewe huyu mama
@@homemediatanzania. Zahir si ndo msimamizi na ndie mwenye tv? Alikua amshauri na kumfahamisha kua wahitaji si peke ake.
@@Fear_Allah394 sina nyongeza,umemjibu vyema sana
Mimi swali langu
Kwa nini aweke pesa bank
Siangemalizia mjengo wake?
Naomba wenye kuelewa wanieleweshe
@@hawakiza6067 ndugu yangu achana na story za huyu mama,wanajuwana na zahiri wake kwa kuporomosha jingo kubwa kwa misaada ya maskini sisi.story zao ni ndefu na hazieleweki.fanya mambo yako,huyu mpakstani,Achana naye,story zake ngumu.
Dada mwambie arudi kwenye dini yake ya haki
Atamlipa Allah kila aliemsaidia na mwanzilishi Zahir
Nilimis huyu mama
Zile pesa zilizo kua bank
Kwa nini zikae bank asiweke kwenye ujenzi
Wewe bongo haina msaada wala politics labda wananchi watakusaidia ila polis Hahawa kitu bila rushwa ndio kazi zao
Ndugu mtangazaji huko bank walifika ,hakuna hata Moja muhusika , alionekana na camera haiwezekani .na polisi ni kweli hawafanyi kazi bila ya hongo , lkn Kuna idara ya usimamizi wa polisi , inatakikana kuwe na mwanahabari na ushahidi muweze kuonesha .
Zahir Mwanangu uko wapi? Msaidie huyu mama umalizane naye au kulikoni
Kwani zahir yukp wapi jamani?
hujui kitu kaa kimya zahir ndio aliwatuma hao na alisema hii media ni yake pia
😂
Mm nakuomba zahir please please km uliyvoanza na huyu maam basi changisha na umalizane lakin huo huo pesa kaa nazo wew na maliza kujeng cz huyu mama sijui ilikuwaje mpk hiz pesa zote kutapeliw nivyema ukae nazo wew na wakt mwengine punguza nyumba km unasaindia juu nyumb kubwa hiyv na ni wa 3 tu kuna wengin pia wanatak huo msaand na hawapat
Zahiri ana damu ya kuongea na watu wakatoa,wakina happy karibia watahamia
hao waraabu ni watu hatari sana wana roho mbaya
Siyo wote. Hata wewe pia una roho mbaya
Safi sana kijana kwa jibu ulilompatia
Wewe ndio mwizi. Unachangiwa pesa unaalika ndg zako waje.kula.biriani. ulichezea.bahatintako mwenyewe.
Asa mbona kaweka mjengo mkubwa kiasi hicho ,,, pesa zilizotumika angejenga nyumba ndogo na ikatosha na sasa angekua kwake,,, hana uwezo anataka mjumba wa kitajiri ,,, kuna watu wenye uhitaji wengi jaribuni kujitafakari kabla ya kufanya jambo hilo. , pia kuna masharifu walitaka kumsadia ilikuaje ,,, mnazingua sometimes 😢😢😢
Hawa wanaochangisha hua hawaji km wanaosaidia na wao wanawatu wao wa kuwasaidia. Na sadaka ya Kumsaidia mtu wako ndio sadaka bora zaidi kuliko ya mtu mbali, Ila huruma za watu huona na wasiowajua wawasaidie. Wanaona labda watu wanazo wamepanda miti wanatoka nje wakachuma tu na ndio mana wanapowajia wahitaji hua hawatumii akili wakajenga nyumba za kiasi ili na wengine wapate kusaidiwa.
Mwanawe kweli mgonjwa na namuhurumia sana. Mana kuuguza au kuugua ni mtihani mkubwa sana duniani, Allah amsaidie. Lkn ilikua yy na zahir wakumbuke kua muhitaji si peke yake. Watu wanaswafa yy atakua anataka nyumba km anajengewa na raisi??? Wkt wanaochangia ni watu wa kawaida na tena wana na majukumu yao na wengine wanabeba na ya watu wao.
Kawasomee albadiri mbwa hao waoze mwili mzima
KWANI KAIBIWAJE IBIWAJE
Hatua Iliyo baki Milioni 7? Mbao Aina 2 kubwa na Ndogo, Bati, misumari, kofia, pesa ya Fundi, Milioni 7 Haimalizi Hapo,.
Million 7 ni kubwa kwa ujenzi wa zahir ila huyu mama kakutana na wapigaji ndomana bei kubwa
Inawezekana huyo meneja anashirikiana na hao matapelu.
Mbinafs utadhani Tnz nzima muhitaji peke ako? Kuna wenzio wanawtto wagonjwa na wenyewe wagonjwa na vibanda wanavyoishi vibovu na hawana hata wtto wakubwa wa kuwasaidia. Ilikua ujenge nyumba saiz na wenzio wapate. Ulitaka Dhahir akutangaze ww kila siku na anawahitaji wengine? Watu wengine hawajui kula kipofu, mtihani!
Umeongea point huyu anataka kujenga kujifaharisha kwa wahindi wenzie ili badae naye aonekane tajiri
Yaaan tunawahitaji Weng sana
@@Muslim-gs6rn. Kweli ndugu yangu tena wa damu kabisa ambao Allah na Mtume s.a.w anasisitiza zaidi kuwasaidia wao kwanza kuliko wa mbali. Na ndio mana Mtume s.a.w alipokwenda Miraj alikuta kisima kinarusha maji but kinakiuka kisima cha pembeni mwake na kurusha chengine, alipouliza akaambiwa hawa ni baadhi ya watu ktk umma wako, ambao watakua wanasaidia wa mbali na kuacha wa karibu.
@@Muslim-gs6rn. Ckm kumsaidia wa mbali hupati kitu…unapata lkn zaidi wa karibu. Lkn siku hzi wambali wakisaidiwa huona watu km hawana wakaribu wakuwasaidia au huona km wenye shida na mttzo ni peke yao wanajisahau. Na wkt kila familia siku hzi haikosi masikini, wagonjwa, walemavu, mafukara, wenye shida, mttzo. Na usije kukuta na huyo msaidizi na yy anasaidia tu kueka kiakiba anapokwenda/akhera lkn si km na yy anazo au hana shida na mttzo.
Uyu mama anamambo mengi
Kaka Zahir yuko wapi😢😢😢
Kwani huyu mama sialikuwa ana saidiwa na zahri
Baada yakutapeliwa ml 6, Zahir alijitoa jumla. Huyu anaye muhoji sasa ni mwingine
Sasa ilikuwa je akatapeliwa nanani
@@janifajani8875 heee, achana na Dar esalam ndugu yangu. Ukisikiliza alivyo ibiwa utadhani alitekwa akili. Alikuwa anaenda kariakoo kununua vitu vya Batuli. Alipokuwa stand ana ngoja gari, ndiyo hapo, walipo mdaka wakaanza kumtapeli mpaka akaingia kwenye 18 zao. 😭
Kwn kaka zahir ako wapi?
Majukum sio kila siku atangazwe yeye watu wapo tele wene shida
Nnafanana saut to much
Lakini mama ungejengewa nyumba ndogo saa hizi ushaamia kwako, umejenga nyumba kubwa inagarimu ela, na ela yenyewe ni za msaada.
Yote hayo ni majaliwa yake Mola
Anataka sifa waone ndugu huko kajenga mjengo taz😂😂
UNAJENGA NYUMBA KUBWA UTADHANI HELA UNATAFUTA WEWE BAADA YA KUJENGA VYUMBA VIWILI NA SEBULE NA JIKO BASI
Mhuuu uwo mmama iyo nyumba kajenga kubwa sas mama angu ungejenga ndog hel zenyew za mchango jamani
Hawa ndo watoa misaada acha kubishana na watu hovyo wana haki ya kuuliza kwasababu hawa ndo jamii
Baada ya miezi mingi nilijua yameisha
Mume wake muhindi pia
Mbona umemuacha zahir kunan
Nope zahir yupo
Mwenyezi Mungu msaidie huyu mama
Dada pesa hupati pesa tena shukuru mungu
Kwanini hapati tena kwani wewe ndio mgawaji wa Riziki acha Roho mbaya aliyefikisha nyumba hiyo hapo ndio atamuwezesha huyu mama nyumba kukamilika Pesa na Watu vyoote ni Mali ya Bwana Mungu wetu atainua watu wake kwani wewe ushampa shs ngapi
Sasa wewe mama umemuona zahir hana mchango mpka kufikia hapo
Muritaz mdogo wangu achana na kujibizana na watu wa mitandaoni uta zidi kuharibu cv yenu tazama tu usijibu chochote
Usisem hivyo huwezi juwa Zahir kamwambia Nini tangu aibiwe Ile pesa sioni Tena Zahir akimuhoji??😮
@@khadidjasuleiman8006kweli ila kila jambo huwenda kwa riski ila huyu mama zahir alimwambia hio pesa ya biashar lete tuweke kwenye ujenzi akakata
Siku hizi kuna watu wameona kuna fursa kubwa ya kuwaombea watu dhaifu misaada mitandaoni ili na wao wanufaike nayo , badala ya wao kwenda kufanya kazi na kula kwa jasho lao, lakini wameona ni bora kuwatafuta watu masikini, wagonjwa, walemavu na mayatima ili wawaombee misaada ili na wao wapatiamo maslahi yao hapo, Kwakweli hakuna mtu atafanya kazi ya kuwaombea watu dhaifu misaada mitandaoni bure kama hapati maslahi nayo hapo, kwasababu ukiangalia muda wake, petrol yake, chakula chake n.k nani analipia hapo? Jamani tuweni makini sana na hawa watu wanaowaombea watu wenye kuhitaji misaada mitandaoni. Ni bora kupeleka misaada kwa walengwa direct.
Upataji wao ni ss tunao angaliq iki kipindi lkn hawaingizi kwa njia ingine
Ni jeri wawaombee kwa sababu wasipowaombea nani atasimama kuwaombea si hero wapate msaada tu hat anaewaombea afanya kazi njema nae akila apo kidogo ni sawa tu
Zahir yuko wapi?
Zahir yupo
Kabisa Zairi yuko wapi kulikoni jamani?