UJENZI KWA TEKNOLOJIA YA HYDRAFORM UNAVYOPUNGUZA GHARAMA
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- Ujenzi kwa kutumia matofali ya Hydrafom unapunguza matumizi ya saruji inayotumika kwenye ujenzi wa kuta za nyumba kwa sababu matofali hayo yanashikana yenyewe na kuondoa haja ya kuwepo saruji kati ya tofali na tofali.
Tofali moja bei gan
Sema kwa ghorofa sio nzuri Sanaa nahs Mana Kama znaleta Creek izo kwnye njia zake sema mwznon zinakua ngumu balaaa
Iko poa
Yes hii technology nzuri sana
Nice 👍 Nice 👍
Love it how do I buy one I'm ready to move there
Mmh sauz nyumba zao ziko ivyo karbu zote kwnye vijiji vyao
Habari! Je naweza kuipata wapi hiyo machine?
Quality ikoaje? Hamkutaja tofauti
Naipataje hiyo mashine
Samahan lkn jaman tujitahidini serikali yetu kwnye mfumo was kuwka nyaya za umeme Mana daah hatar Sanaa mikunguru na Mambo ya nguzo kuanguka no hatar
Nahitaji hiyo mashine ya Hydrofoam inauzwa Bei gani?
Tunawapataje?
Kwa hiyo nyumba za chini unatumia tofali ngapi?ni kiasi gani kwa tofali moja? Nyumba hizo zinaweza gharimu kiasi gani?
mnapatikana wapi?
Mahusa tofali
Hayo matofali yanauzwa wapi? cost per block?
Mimi nipo Dar es salaam
Abdallah Yahya Said nipo nayo na mm nipo na matofali ya size ya kawaida hata ukitaka michine nitakuuzia bt ni michine ya manual si automatic bt pia ukitaka nitakuletea
suleiman salim naweza kupata mawasiliano yako mimi Fadhili nipo Arusha 0746604038
Niko nchini Kenya nawezaje pata hiyo machine na nipesa ngapi?
Hizi mashine Shirika lilizinunua kutoka nchini Afrika Kusini kwenye kiwanda cha Hydroform kwa bei ya sasa nadhani unaweza kuwasiliana na kiwanda.
Looking for a brick laying machine for clay soil
Unaitaji kujuwa namba za sm tuweze kununu tofali
Please what country is this?
Tanzania
Tanzania
Mnapatikana wapi?
Hizi tofali upatikanaji wake upoje na gharama zake
Mahusa tofali jb
Nipo nayo mm kama wataka sema
Unauzaje kwa tofali moja?
Leyman Salim naomba namba yako tafadhali kama bado unafanya hii biashara
Kama unaitaji vipi nawataka
Hizo tofali naona maeneo ya uwongo ndio zinajengwa je hata kwenye kichanga inawezekana
Sasa hapa Congo tutafanyaje?
Sorry udongo
Sina Mohammed napataje hiyo machine na bei gaming?
Please which country is this?
Only in Tanzania
Tanzania