#MadeinTanzania

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 чер 2020
  • Hapa hapa katika Tanzania yetu, kuna kiwanda kinachotoa suluhisho la kuondoa ugumu wa kujenga na kutumia rasilimali nyingi katika ujenzi. Teknolojia ya Mega Panel, inayotumia Maboya kutengeneza nyumba kama hizi na unaambiwa kuta zake hudumu kwa miaka 85-100.
    ⠀⠀
    Usikose kufuatilia Made in Tz Show katika Clouds TV
    Kila Jumatano saa 2:30 Usiku:
    Kila Jumapili saa 9:30 Alasiri (Marudio)
    SUBSCRIBE CHANNEL HII KUPATA INFOS ZAIDI!!!
  • Наука та технологія

КОМЕНТАРІ • 474

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 роки тому +11

    Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 4 роки тому +11

    Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu.
    Kazi nzuri

  • @montanaprime
    @montanaprime 4 роки тому +5

    Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 4 роки тому +7

    We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more

  • @dewaweshawakening9977
    @dewaweshawakening9977 4 роки тому +6

    Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work

  • @JK-bi2jl
    @JK-bi2jl 4 роки тому +5

    Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 4 роки тому +1

      This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.

    • @rumeyswairshad8308
      @rumeyswairshad8308 4 роки тому

      Mashaa Allah
      Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni

  • @harounali9057
    @harounali9057 4 роки тому +4

    Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi.
    Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l Рік тому

      Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge

  • @muritujamlick5534
    @muritujamlick5534 2 роки тому

    Thank you so much for this show. An eye opener

  • @officialyohanamalisa1873
    @officialyohanamalisa1873 7 місяців тому +1

    Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌

  • @iammarwa
    @iammarwa 4 роки тому +10

    i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.

  • @nalotayecamara5423
    @nalotayecamara5423 4 роки тому

    I really appreciate your video thanks u 😘 brother

  • @ramazaniekenya8312
    @ramazaniekenya8312 3 роки тому

    Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka

  • @Moses_Mash
    @Moses_Mash 4 роки тому +6

    Great editing $ narration, thumbs up mister

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 роки тому +1

    Masha Allah kazi nzuri sana nimeipenda ❤

  • @yusufhassan5
    @yusufhassan5 4 роки тому +6

    Old is gold ! Matofali is the best......
    haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !

    • @jacksonmawole4029
      @jacksonmawole4029 4 роки тому +2

      Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga

    • @khalidgugu4964
      @khalidgugu4964 4 роки тому

      @@jacksonmawole4029 haaaaa

    • @yusufhassan5
      @yusufhassan5 4 роки тому

      @@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 4 роки тому

      @@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hallin9561
      @hallin9561 4 роки тому

      Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh

  • @rickkariuki4523
    @rickkariuki4523 4 роки тому +9

    from Kenya proud of Tanzania

  • @davidmagundu2285
    @davidmagundu2285 4 роки тому +2

    Interesting!

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 роки тому +3

    Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji

    • @aminapazi3694
      @aminapazi3694 4 роки тому

      kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je

    • @mansooralmahruqi885
      @mansooralmahruqi885 4 роки тому +1

      USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 10 місяців тому

      Haujui sababu unalabwajika tu

    • @kamanda007
      @kamanda007 10 місяців тому

      @@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie

  • @mariamayenga5867
    @mariamayenga5867 4 роки тому

    Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu

    • @gmstv2043
      @gmstv2043 4 роки тому

      That's an old technology innovated by Chinese

  • @HustlaDY
    @HustlaDY 4 роки тому

    Beautiful design

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 3 роки тому

    Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7

  • @gideon_maina
    @gideon_maina 4 роки тому +6

    Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 4 роки тому +1

      These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!

    • @robertmuiga5255
      @robertmuiga5255 4 роки тому +1

      Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology

    • @djumoja
      @djumoja 4 роки тому

      Build an earth home instead

    • @eliasnavytanga
      @eliasnavytanga 2 роки тому

      @@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.

  • @jeanboscomunyarurembo3490
    @jeanboscomunyarurembo3490 4 роки тому

    Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania

  • @upendoirenmattoke9860
    @upendoirenmattoke9860 4 роки тому +16

    Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 4 роки тому +8

    Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako

  • @Diana-cn6cf
    @Diana-cn6cf 4 роки тому

    Kazi nzuri... Tanzania inaweza

  • @geoffreymwangi6627
    @geoffreymwangi6627 4 роки тому +3

    Hapo sawa mko Wa-Tz.

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 3 роки тому +2

    Wow. Nice

  • @nathanjunior7694
    @nathanjunior7694 4 роки тому

    Good video presentation

  • @owlbig
    @owlbig 3 роки тому +1

    Nice interview ❤️🇧🇮

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 4 роки тому

    Tecnologia nzuri

  • @jj4chizel
    @jj4chizel 4 роки тому

    From 🇺🇬🇺🇬🇺🇬... Nice

  • @yohanahbyzehomba1352
    @yohanahbyzehomba1352 3 роки тому

    Amaizing

  • @hhabusinesspro
    @hhabusinesspro 3 роки тому +4

    Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?

  • @danielmuchi8196
    @danielmuchi8196 4 роки тому

    Impressive

  • @Watema23
    @Watema23 4 роки тому +3

    Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya9276 4 роки тому

    Goood job

  • @maddproff
    @maddproff 4 роки тому

    Wow !

  • @gracenestory9384
    @gracenestory9384 4 роки тому

    Nice or a nice 💙💙💙💙

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 4 роки тому

    Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 4 роки тому

    Mko vizuri et

  • @napendamuzikiilovemusic5840
    @napendamuzikiilovemusic5840 4 роки тому +1

    Nice one

  • @abdulpeter7460
    @abdulpeter7460 4 роки тому

    God bless Tanzania

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 3 роки тому

    Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 4 роки тому

    Yaaa nimekubali

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 3 роки тому +1

    Mmm Amen Tanzania.

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 4 роки тому

    Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 Місяць тому

    Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?

  • @noelmgulusi6707
    @noelmgulusi6707 4 роки тому +10

    Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi

    • @crissxavery2887
      @crissxavery2887 4 роки тому +2

      Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.

    • @crissxavery2887
      @crissxavery2887 4 роки тому

      @simply pash ...

    • @merymichael5513
      @merymichael5513 4 роки тому +1

      Cjaelewa

  • @samniza1763
    @samniza1763 3 роки тому +1

    Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.

  • @mamahustru
    @mamahustru 4 роки тому +16

    Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?

    • @samkariuki9424
      @samkariuki9424 4 роки тому

      Mfinyanzi hulia gaeni

    • @mukra44
      @mukra44 4 роки тому +2

      Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda

    • @gilbertcfc2959
      @gilbertcfc2959 3 роки тому

      mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 3 роки тому

      Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 3 роки тому +2

    Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 4 роки тому +5

    Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi

  • @kimstvonline6411
    @kimstvonline6411 4 роки тому +2

    Nilikuwa nasubiri sana hii technology

  • @dulabori9922
    @dulabori9922 4 роки тому

    Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja

    • @rehemaothuman3764
      @rehemaothuman3764 18 днів тому

      Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi

  • @yohanaernest8552
    @yohanaernest8552 3 роки тому +1

    Inapendeza

  • @josephshayo5493
    @josephshayo5493 2 місяці тому

    Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.

  • @jayaron218
    @jayaron218 4 роки тому +1

    Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150

  • @bunukhalifa7074
    @bunukhalifa7074 4 роки тому +1

    Do you have a branch in Kenya

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce432 4 роки тому

    Information zao inakuwaje

  • @victoriamabele7671
    @victoriamabele7671 4 роки тому +2

    Naomba na. ya simu kwa mawasiliano na mlipo.

  • @peterdarlington6599
    @peterdarlington6599 6 місяців тому

    In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 роки тому +2

    Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 3 роки тому

    Nimekubalii wazeeubunifu mzuri

  • @bsrabbitfarm
    @bsrabbitfarm 4 роки тому +2

    Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?

  • @movieindustry9253
    @movieindustry9253 3 роки тому

    Hata jamaaa wanapatikanaje boss

    • @xtreme-media
      @xtreme-media  3 роки тому +1

      Asante kwa kufuatilia Made in Tanzania, mawasiliano Mr. Jonathan 0653 592322. Endelea kufuatilia fursa mbali mbali kwenye #MadeinTanzani.

  • @noelkaaya2433
    @noelkaaya2433 4 роки тому +1

    tofali bado ni bora zaidi

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 4 роки тому +10

    Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣

  • @afyayangutv6015
    @afyayangutv6015 4 роки тому

    Bei gan nyumba

  • @jumakaswelele3143
    @jumakaswelele3143 4 роки тому +2

    Unafanya kazi kubwa Sana kutujuza vitu ambavyo tunavuona ila hatujuwi niwapi vyapatikana ila mzee big Sam ivyo viatuvyako mzee baba nimaalum kwaajili ya viwandani maana kila maali uwendako nikiatu ichoicho ha ha ha ha

  • @kingj9606
    @kingj9606 4 роки тому +1

    Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?

  • @zaharahasan1912
    @zaharahasan1912 4 роки тому +1

    Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo

  • @omarysebastian3208
    @omarysebastian3208 4 роки тому +1

    Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea

  • @dionsangoa1428
    @dionsangoa1428 4 роки тому +1

    Hakuna nilichoelewa hapa kama comedian tuu 🙃🙃🙇🏿

  • @silasyadam8943
    @silasyadam8943 4 роки тому +2

    Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?

    • @erickmahujilo4643
      @erickmahujilo4643 4 роки тому

      Yea bro upo sahihi kabisa wangesema na ghalama au amakadirio ni kiasi gani

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 3 роки тому +1

    Rahisi lakni hamujaongelea bei

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому +1

    Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa

  • @priscalameck8700
    @priscalameck8700 4 роки тому

    Je imara kweli

  • @margarethjoseph1971
    @margarethjoseph1971 2 роки тому

    Naomba no ya simu.

  • @denisjrmgulambwa1866
    @denisjrmgulambwa1866 4 роки тому

    Je nikiasi gani hutumika kukamilisha nyumba nzima...na material yao wanauzaje?
    Gharama za chini ni kiasi gani kwa ujenzi wa hzo nyumba?

  • @BenCheck-jx9lo
    @BenCheck-jx9lo 4 роки тому +1

    Naona yanfaa kwenye partitioning

  • @dominicklema1835
    @dominicklema1835 Рік тому

    Naitaji kujua zaidi kuhusu I program

  • @rashid3175
    @rashid3175 4 роки тому

    Namba zenu

  • @wiljoe22
    @wiljoe22 3 роки тому +1

    Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka

  • @mwanetu1
    @mwanetu1 4 роки тому

    Kazi mzuri,lakini watanzania badilisheni viongozi na mjikinge corona

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 6 місяців тому

      Viongozi wazuri na corona iko huko uliko mjinga wewe

  • @confredsangija1796
    @confredsangija1796 7 місяців тому

    hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 4 роки тому +1

    Mmh baada ya miaka Mia itakuwaje..weeee tupangee 🤗🤔

    • @allymsalum7199
      @allymsalum7199 3 роки тому

      Safi sana iyo imekaa vzur ila wale wanaohtaji designs za ndani na urembo wa nyumba bac to follow instagram mydreamhouse11 kwa kazi zetu au whatsapp no 0683357507 karibun sana

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 4 роки тому +4

    wanaotafuta contact hizi hapa......Mobile No. +255 785 676 207
    Email: mega@mega.co.tz

  • @calvinjoseph
    @calvinjoseph 4 роки тому +1

    Me nataka kujenga nyumba kama hii

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 3 роки тому

    Ilala

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 роки тому +2

    Hizi nyumba kwa watu maskini au wenye uwezo tu? Anyway, kazi nzuri na zinapendeza kusema kweli. Hongera sana

  • @warialangandossi
    @warialangandossi 11 місяців тому

    Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante

  • @elibarikijustine4546
    @elibarikijustine4546 3 роки тому

    How about columns?!

  • @Youstechltd
    @Youstechltd 4 роки тому

    tunaomba jua kwanza cost plan yake ipo na upatikanaji wa mafundi wenye uwezo wakujenga tumia hayo material nao upoje.

  • @bahatimwangoka649
    @bahatimwangoka649 3 роки тому +1

    Alafu wao wamejenga kiwanda kwa tofari za block hahaha

  • @jumachilundajr4853
    @jumachilundajr4853 4 роки тому

    Nafahamu hayo maboya yana gharama sana kuliko uwazavyo ujenzi huu mtanzania wa kawaida hawezi,,,,

  • @sultanhamad4924
    @sultanhamad4924 4 роки тому

    Usiombe Moto ushike hapo

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 роки тому +1

    Nyumba moja inagharama sh. ngapi tz money??

  • @billysquad488
    @billysquad488 4 роки тому +1

    Kiwanda yenyewe haijajengwa na maboya yenyewe mumetumia matofali

  • @samiramohammed9758
    @samiramohammed9758 2 роки тому

    Habari zenu naitaji namba ya simu tafadhali