#MadeinTanzania
Вставка
- Опубліковано 16 чер 2020
- Hapa hapa katika Tanzania yetu, kuna kiwanda kinachotoa suluhisho la kuondoa ugumu wa kujenga na kutumia rasilimali nyingi katika ujenzi. Teknolojia ya Mega Panel, inayotumia Maboya kutengeneza nyumba kama hizi na unaambiwa kuta zake hudumu kwa miaka 85-100.
⠀⠀
Usikose kufuatilia Made in Tz Show katika Clouds TV
Kila Jumatano saa 2:30 Usiku:
Kila Jumapili saa 9:30 Alasiri (Marudio)
SUBSCRIBE CHANNEL HII KUPATA INFOS ZAIDI!!! - Наука та технологія
Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje
Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu.
Kazi nzuri
Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.
We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more
Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work
Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.
This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.
Mashaa Allah
Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni
Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi.
Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍
Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge
Thank you so much for this show. An eye opener
Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌
i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.
I really appreciate your video thanks u 😘 brother
Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka
Great editing $ narration, thumbs up mister
Masha Allah kazi nzuri sana nimeipenda ❤
Old is gold ! Matofali is the best......
haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !
Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga
@@jacksonmawole4029 haaaaa
@@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.
@@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣
Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh
from Kenya proud of Tanzania
Ziko kenya kirio project ilianza 7yrs ago in kenya
@@sarahwamboko2041 alie kuuliza nan
@@sarahwamboko2041 umeulizwa
@@mannabu9333 ha ha ha...
Interesting!
Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji
kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je
USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.
Haujui sababu unalabwajika tu
@@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie
Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu
That's an old technology innovated by Chinese
Beautiful design
Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7
Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.
These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!
Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology
Build an earth home instead
@@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.
Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania
Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽
Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako
Kazi nzuri... Tanzania inaweza
Hapo sawa mko Wa-Tz.
Tafadhali mtupe namba ya simu Nyinyi Megapanel.
Wow. Nice
Thank you! Cheers!
Good video presentation
Nice interview ❤️🇧🇮
Tecnologia nzuri
From 🇺🇬🇺🇬🇺🇬... Nice
Amaizing
Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?
Impressive
Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.
Goood job
Wow !
Nice or a nice 💙💙💙💙
Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.
Mko vizuri et
Nice one
Arusha tunakuhitaji raja namba ya simu
God bless Tanzania
Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah
Yaaa nimekubali
Mmm Amen Tanzania.
Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza
Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?
Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi
Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.
@simply pash ...
Cjaelewa
Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.
Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?
Mfinyanzi hulia gaeni
Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda
mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.
Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.
Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question
Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi
hahahaaas
🤣🤣🤣
😄
🤣🤣🤣🤣
Nilikuwa nasubiri sana hii technology
Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja
Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi
Inapendeza
Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.
Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150
Do you have a branch in Kenya
Information zao inakuwaje
Naomba na. ya simu kwa mawasiliano na mlipo.
In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.
Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you
Nimekubalii wazeeubunifu mzuri
Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?
Hata jamaaa wanapatikanaje boss
Asante kwa kufuatilia Made in Tanzania, mawasiliano Mr. Jonathan 0653 592322. Endelea kufuatilia fursa mbali mbali kwenye #MadeinTanzani.
tofali bado ni bora zaidi
Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
🤣🤣
Bei gan nyumba
Unafanya kazi kubwa Sana kutujuza vitu ambavyo tunavuona ila hatujuwi niwapi vyapatikana ila mzee big Sam ivyo viatuvyako mzee baba nimaalum kwaajili ya viwandani maana kila maali uwendako nikiatu ichoicho ha ha ha ha
Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?
Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo
Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea
🤔🤗😄😄
Hakuna nilichoelewa hapa kama comedian tuu 🙃🙃🙇🏿
Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?
Yea bro upo sahihi kabisa wangesema na ghalama au amakadirio ni kiasi gani
Rahisi lakni hamujaongelea bei
Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa
Je imara kweli
Naomba no ya simu.
Je nikiasi gani hutumika kukamilisha nyumba nzima...na material yao wanauzaje?
Gharama za chini ni kiasi gani kwa ujenzi wa hzo nyumba?
Naona yanfaa kwenye partitioning
Naitaji kujua zaidi kuhusu I program
Namba zenu
Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka
Kazi mzuri,lakini watanzania badilisheni viongozi na mjikinge corona
Viongozi wazuri na corona iko huko uliko mjinga wewe
hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone
Mmh baada ya miaka Mia itakuwaje..weeee tupangee 🤗🤔
Safi sana iyo imekaa vzur ila wale wanaohtaji designs za ndani na urembo wa nyumba bac to follow instagram mydreamhouse11 kwa kazi zetu au whatsapp no 0683357507 karibun sana
wanaotafuta contact hizi hapa......Mobile No. +255 785 676 207
Email: mega@mega.co.tz
Me nataka kujenga nyumba kama hii
Ilala
Hizi nyumba kwa watu maskini au wenye uwezo tu? Anyway, kazi nzuri na zinapendeza kusema kweli. Hongera sana
Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante
How about columns?!
tunaomba jua kwanza cost plan yake ipo na upatikanaji wa mafundi wenye uwezo wakujenga tumia hayo material nao upoje.
Alafu wao wamejenga kiwanda kwa tofari za block hahaha
Nafahamu hayo maboya yana gharama sana kuliko uwazavyo ujenzi huu mtanzania wa kawaida hawezi,,,,
🙊🙉🙈😂😂😂
Usiombe Moto ushike hapo
Nyumba moja inagharama sh. ngapi tz money??
Kiwanda yenyewe haijajengwa na maboya yenyewe mumetumia matofali
Habari zenu naitaji namba ya simu tafadhali