nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...
Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.
Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.
Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.
Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema
Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word. God bless you CVC. We Love you. 🙏
Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana
What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!
Mungu wetu mwenye nguvu awabariki sana katika huduma hii ya uimbaji kwani watu wenye kweli rohoni wanafarijika na wengine wengi wanaokolewa kwa huduma hii.
Hakika huu Wimbo ni wimbo bora kwa kipindi hiki cha miaka miwili,kuna sk nilikuwa na wakati mgumu nikauweka nikaweka ear phones masikioni mpaka unaisha aiseee sikuamini nilikuwa huru
Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.
Niwa shukuru wenzangu wana muziki wote wa kwaya kuu hii kwa utaratibu na ufundi mukubwa mulivyo utunga kwa wimbo huu na nyimbo zingine nime wasikiliza na ku wafurahia. Mimi pia ni mwana muziki kutoka mashariki drc butembo
all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu
Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.
Kuna jambo la kipekee nimekuja kuelewa,Mama Diana anaposolo wimbo uwa na mnato sana tena uwepo mwingi wa Mungu. Itoshe kusema ni mwombaji japo simjui ki roho lkn ninahisi n Mwana Mama mwenye unyenyekevu mno na msikivu...Mungu azidi kumpa miaka mingi azidi kutumika hekalauni mwake. 🙏🙏
nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...
AMINA mtumishi na mteule wa MUNGU
@@thaimouraaloyce9515
Hakika!
Kabisa, Mungu awatunze
@@chibudeh543 u
Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.
Dada uliyeanzshaa kuimbishaa nakupendaa bureee😘😘
Hunizidi mimi natamani siku moja nikasali pale kanisani kwao
Daaaah kweli mungu amewatumia vzr hasa Hawa wanaombia daaaah mungu awainue zaidi jamani
Mbarikiwe sana nyimbo zeu zinanibariki sana
Nabarikiwa sana. Na huu wimbo
I love this...Inanifunza niombe Kila siku nimwambie mungu usinihukumu makosa nionyesha sababu yangu
Naupenda sana huu wimbo,, Dada Diana Mungu akupe maisha marefu. 😍mbarikiwe wote
Kwakwli huu wimbo ukiusikiliza unaujumbe sana ibarikiwe hii kwaya pamoja na mtunzi
Yaani hapa ndiyo mliimba hapa!!
Mko sawa! Ila muwe macho Adui hana mchezo! Mkishangaa shangaa .................!!!
hii kwaya inamfanya mtu atamani kuimba kwaya kwakweli mbarikiwe sana jamani🙏🙏🙏🙏
Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.
Mungu azidi kuwainua
🙏🙏🙏
Amen
Mnaimba vizuri mnavutia sana
@@rhodapyuza7465 a as
Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.
Diana na mpenda
Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema
Mungu isamehe nafisi yangu 😢😢😢😢
Hawa masololists nashimdwa kuwasemea,, zaid nasema mungu aendeleee kuwabariki sana na sana tens,,
Nawatamani Sana Hawa masoro na me Ni solorist lkn kila nikiwaona Hawa najiona siwezi kabisa
May God bless you all
Dada aliyeanza nafsi yanguhuwa naguswa na kubarikiwa Sana na huduma yako Mungu aendelee kukutumia
E
Mbarikiwa sana
Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word.
God bless you CVC. We Love you. 🙏
Florence ombwara Amen Amen nice song glory to God be blessed all singer's for give me God
Nimeupenda huu wimbo umekuwa faraja kwangu, natamani niimbe kama wewe soro wa kwanza Mungu aendelee kukutunza na kukutumia
Tamu sana.....Diz time round mko chonjo.....kuna taji baada ya kazi..Glory b to God...sauti nazo?You r really blessed...
Mungu nisamehe kwa nafisi yangu❤
Cvc nawapenda sana huu wimbo umegusa mioyo za watu na kubarikiwa amen mungu awe nanyi siku zote nafsi yangu ....huchoki kusikiliza
Nyimbo tamu mavazi nadhifu yaani bwana anapendezwa nanyi,mbarikiwe sana.
Nawapenda Sana nahudumahii yauwimbaji.kwakweli napowasikiliza pindi mkitowasautizenu kumtukuzamungu huwanatamani kuwakiumbe kipya
Wimbo Mzuri sana Solo sauti yako ni Tamu sana
Jamani sijui niseme nini juu yenu!! Zaidi ya kusema mbarikiwe zaidi na zaidi hakika nyimbo zinakuweka katika utukufu wa Mungu kabisa kabisa.
Yaaaaan sister Diana uishiiii miaaka bukuuu
The song leader is young all times since I knew her at my 7 years old,Grace is always at your life,I love your ministration.
Mubarikiwe xana kwa uinjilishaji wa neno la MUNGU,,nyimbo zetu Zina nibariki Xana xana ,,Mungu avitunze vipaji vyenu muendelee kumtukuza MUNGU,,,,
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri sana zinabariki
Cvc mbarikiwe sana na hii song tangu nilipoisikia mpaka leo naibariki sana
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu ,msaada utakaoonekana wakati wa mateso .Glory be to God
Huyu Mama (Diana) .... Amekua Baraka Kwangu Mungu amuinue katika viwango vya juu kabisa....
Mama Diana ni huyu mweusi au maana mie nampenda sana uimbaji wake
Ndiye huyo ss...mama asiye na makuu.Mungu kambariki kweli na sauti
Mungu awabaroki sana .Mr.A mbasha.toka Moshi Kilimanjaro
Hakika wimbo una mafundisho makubwa. Hongerani sana.
Changombe inanibariki Sana mbarikiweni pia
Daaaah safi sana.
Huu wimboo ni Historia tosha ya huyo kijana kwenye huo wimbo ni mkoja wa classmate wangu and now nj mchungaji am so happy
Nimeanza kuwasikiliza nikiwa Bado mdogo nawapenda mno
Amen sitachoka kutenda mema ee Mungu anitetee barikiweni wapendwa kwetu ni Mbinguni tulazen mwendo
Nawapenda sana fanyeni kazi yamungu
Ole ole wake yule ashindanae na Mungu alie juu mwenye kuponya.
Wahoo nimefurahii sana kumuona rafk yangu naomi from Tpsc singida
Hii kwaya nimeijua juzi 2020, lakini ule wimbo wa gusa niliujua muda murefu nikiwa kijijini Katavi. Jamani tunatoka mbali. Kula hakuna radio kabisa.
Watch from Saudi Arabia like this song💋💋💋💋🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu awape kudumu ktk kuimba kwenu
hawa ni kipenzi changu. napenda sana nyimbo za vikundi. mungu awabariki
hamjawahi kuniangusha hata kidg,,, being blessed,,
Jamani barikiweni kwa uimbaji wenu mzuri tena mko smart mtu hachoki kusiliza ujumbe wenu
Mungu aibariki kwaya hii nyinyi ni chombo mliyotumwa na mkakubali kutumika kutangaza injili ya yesu
Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana
Yaani CVC ni Shida watu wa Mungu Mbarikiwe Sana nyote
Nawapenda Sana wimbo mzuri Sana katika maisha yetu ya kiroho
Mtunzi wa huu wimbo...nakuombea baraka tele jumla na waimbaji wote wa AIC Changombe,,,,,,Bibilia nayo mmeisoma
God bless you cha'ngombe choir for serving God and mankind, it always quite edifying the souls of the listeners.
From Kenya, aki mnanibariki Sanaa this is my favorite choir ever, my God bless you so much
From Kenya always ....i love this choir.
Good work mm napedezwa na uimbaji wenu kwanza ile vol ya nenda na uzima wako inanibamba sana mungu azidi kuwabariki
Hakika mungu ameweka kitu kwa watumish hawa muendelee kuitenda kaz ya bwana wenu john furaha kotoka kilimahewa ushirombo geita
NAWAPENDAAAAAAAAA SANAAAAA AICT CVC NABARIKIWA NA UIMBAJI WENU ,NILISUBILI KWA HAMU ALBAM YENU ,MUNGU AWABARIKI HAKIKA AMINAAA
Jamani jamani dada huyu ananifanya nijihisi Niko mbinguni! Ubarikiwe sana dada nakupenda mnooooo!!!!!!!
Jaman huyu dada kweli anaupako wa kipekee barikiwa sana cvc Mungu amewainua tunawapenda tunamuona Mungu kwenu
What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!
Wimbo nauangalia Kila Mara hapo mwanzo vyombo vimetulia mziki umetulia Sana Mungu. Awabariki
Mungu wetu mwenye nguvu awabariki sana katika huduma hii ya uimbaji kwani watu wenye kweli rohoni wanafarijika na wengine wengi wanaokolewa kwa huduma hii.
Nabarikiwa sana na wimbo huu, tunamuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuwatumia kiwango hadi kiwango
Huyu mama sololist huwa anajua sana Mungu akuinue zaid kwenye uimbaji be blessed
Hakika huwa nabarikiwa sana jamani na hii kwaya barikiwa sn
Kipawa kwenye Hilo kanisa.msifuni MUNGU sana.ni njia ya kusema asante
Hakika huu Wimbo ni wimbo bora kwa kipindi hiki cha miaka miwili,kuna sk nilikuwa na wakati mgumu nikauweka nikaweka ear phones masikioni mpaka unaisha aiseee sikuamini nilikuwa huru
My favourite song. Your songs are unique and amazing. Be blessed AIC Chang'ombe.sichoki kuweka nyimbo zenu kila siku. Joyce from Kenya
Mubarikiwe mungu azidi kuwainua
Mbalikiwe sana watumishi
Mm huw mnanikoshatu na nyimbo zenu nzur zinaujumbe mzur sana mungu awabariki nyote
Ee Mungu saidia ponya kuugua kwangu Mimi
Nawapenda mno yaani sijawahi kuchoka kuwasikiliza
jaman uyu solist wa kwanza aimba vizuri jaman kila wimbo mam mungu akubarik san mungu atakutetea kwel
Haki napendezwa na sauti zenu wapendwa. Huwa mnanifanya nitamani kuwa mmoja wenu twendelee kumtukuza bwana.
Mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU kwa huduma nzuri
Jamani huyu mwimbaji anaitwa nani huwa naukubali sana uwezo wake na kujiamini na anavyofikisha ujumbe
Be blessed mmekuwa wasomi wa bibilia that's why mnaimba vizuri,pongezi
Hakika kila wakati nawiwa kuusikiliza tuu huu wimba unanibariki sana,hongereni wote.
Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.
Amen 🙏
Mnajua kuimba hongereni sana
Hongereni kwa kudumu hata Leo hii bado tunawasikia mkitubariki ni neema ya Mungu
AIC chang'ombe ni Moto wa kuotea Mbali mungu azidi kuwainua zaidi na zaid
Mungu awatie nguvu huu wimbo hunifariji sana
Mbarikiwe sana kwa uimbaji
Mungu awabaliki awape maisha malefu huwanajisikia Aman nikisikia nyimbo zenu
Niwa shukuru wenzangu wana muziki wote wa kwaya kuu hii kwa utaratibu na ufundi mukubwa mulivyo utunga kwa wimbo huu na nyimbo zingine nime wasikiliza na ku wafurahia. Mimi pia ni mwana muziki kutoka mashariki drc butembo
I just love the soloists of Chang'ombe choir you have awesome voices huwa mnanibariki way since the Gusa in the 2000s
Mama yangu umri wako unakwenda sana lakini, sauti yako inayomtukuza Mungu ni kama ndo kwanza inaanza. Ubarikiwe sana
Kwa mungu hakuna umri ote watoto ty
@@agnesgervas8070 Nabarikiwa nawe sana kwa uimbaji wako mama yangu
@@sonjoprimaryschool8186 Amina mungu azdi kukupa moyo wakusliza ili ubarikiw zaid
@@agnesgervas8070 Amina mama.. Performance ya wimbo JINSI ZILIVYO super sana kwangu
@@sonjoprimaryschool8186 amina God bless you
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzito
all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu
Pamoja sana. My fellow Kenyan. In my heart...I have a dream to invite them to Kenya for a concert. May God help me.
@@favouropande1065 they were suppose to have a meeting in nakuru Last April but COVID 19 , its possible with good planning
Huu wimbo unanibariki Sana na unanijenga
Kwaya hii naipenda saaàana inanibariki Sana .mungu na awazidishie
Nyimbo nzuri sana ,mungu amibariki....un cantique merveilleux, puisse Dieu vous bênir !!!
Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.
Ll
Huu ndyo wimbo wangu ninao uangalia kila cku. Mungu awabariki sana.
Ubarikiwe sana
Nice nimependa sn kwa ujumbe mungu awabariki
Ni moja kati ya kanda zenu nzuri sana. mungu awabariki sana wanachoir wenzangu
Kazi yenu ni njema Mungu azidi kuwatia nguvu.
Yaaaaaaaaaaan sina neno
Kuna jambo la kipekee nimekuja kuelewa,Mama Diana anaposolo wimbo uwa na mnato sana tena uwepo mwingi wa Mungu. Itoshe kusema ni mwombaji japo simjui ki roho lkn ninahisi n Mwana Mama mwenye unyenyekevu mno na msikivu...Mungu azidi kumpa miaka mingi azidi kutumika hekalauni mwake. 🙏🙏
Nisalimieni sana aliyetunga huu wimbo.
😲😂😂😂
Mpom vizuri sana mbarikiwe na uimbaji,tangu enzi hizo za Gusa,usiku wa manane na zingine zote sasa mmenipa Jiwe kuu la Pembeni ,tunawapenda sana
My favorite choir.Mungu azidi kuwabariki
Nakubali a.i.c changombe
My favourite soloist; I could listen to her sing the whole day and not get tired. God bless you mama!
Mungu awabarki
Nampenda sana❤
@@rizikilukumay6807 qm