AICT Chang'ombe Choir - Nafsi (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 сер 2020
  • AICT Chang'ombe Choir Official

КОМЕНТАРІ • 464

  • @selemanrobert7914
    @selemanrobert7914 4 роки тому +37

    nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...

  • @benngideon9317
    @benngideon9317 4 роки тому +11

    Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.

  • @danierjohn1375
    @danierjohn1375 4 роки тому +17

    Dada uliyeanzshaa kuimbishaa nakupendaa bureee😘😘

    • @davisntuba4742
      @davisntuba4742 3 роки тому

      Hunizidi mimi natamani siku moja nikasali pale kanisani kwao

    • @justineelirehemaayo8255
      @justineelirehemaayo8255 3 роки тому +1

      Daaaah kweli mungu amewatumia vzr hasa Hawa wanaombia daaaah mungu awainue zaidi jamani

  • @ZoelleChelangat
    @ZoelleChelangat 3 місяці тому +3

    Mbarikiwe sana nyimbo zeu zinanibariki sana

  • @user-kq5yf2sx8p
    @user-kq5yf2sx8p 4 місяці тому +3

    Nabarikiwa sana. Na huu wimbo

  • @JudyChelangat-w6d
    @JudyChelangat-w6d 19 днів тому

    I love this...Inanifunza niombe Kila siku nimwambie mungu usinihukumu makosa nionyesha sababu yangu

  • @aminamsalege792
    @aminamsalege792 4 роки тому +18

    Naupenda sana huu wimbo,, Dada Diana Mungu akupe maisha marefu. 😍mbarikiwe wote

  • @user-jl1ct8be4o
    @user-jl1ct8be4o Місяць тому

    Kwakwli huu wimbo ukiusikiliza unaujumbe sana ibarikiwe hii kwaya pamoja na mtunzi

  • @JaneChissawilo-dr7nn
    @JaneChissawilo-dr7nn 18 годин тому

    Yaani hapa ndiyo mliimba hapa!!

  • @ConfusedDarts-yv4pr
    @ConfusedDarts-yv4pr 6 місяців тому +3

    Mko sawa! Ila muwe macho Adui hana mchezo! Mkishangaa shangaa .................!!!

  • @rebecasanya8910
    @rebecasanya8910 3 роки тому +3

    hii kwaya inamfanya mtu atamani kuimba kwaya kwakweli mbarikiwe sana jamani🙏🙏🙏🙏

  • @mariummwaipe1650
    @mariummwaipe1650 3 роки тому +33

    Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.

  • @TaCKyGe
    @TaCKyGe 3 роки тому +10

    Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.

  • @bombagakibona9037
    @bombagakibona9037 3 роки тому +2

    Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema

  • @MmMm-tt1wi
    @MmMm-tt1wi 4 місяці тому +2

    Mungu isamehe nafisi yangu 😢😢😢😢

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 4 роки тому +29

    Hawa masololists nashimdwa kuwasemea,, zaid nasema mungu aendeleee kuwabariki sana na sana tens,,

    • @marymyonga3808
      @marymyonga3808 4 роки тому +4

      Nawatamani Sana Hawa masoro na me Ni solorist lkn kila nikiwaona Hawa najiona siwezi kabisa

    • @eunicehakamba7446
      @eunicehakamba7446 3 роки тому +1

      May God bless you all

  • @raphaelntambi6404
    @raphaelntambi6404 4 роки тому +16

    Dada aliyeanza nafsi yanguhuwa naguswa na kubarikiwa Sana na huduma yako Mungu aendelee kukutumia

  • @normankiprono9538
    @normankiprono9538 2 роки тому +13

    Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word.
    God bless you CVC. We Love you. 🙏

  • @user-ss8ol3gy9m
    @user-ss8ol3gy9m Рік тому

    Florence ombwara Amen Amen nice song glory to God be blessed all singer's for give me God

  • @evelynmalims
    @evelynmalims 3 роки тому +2

    Nimeupenda huu wimbo umekuwa faraja kwangu, natamani niimbe kama wewe soro wa kwanza Mungu aendelee kukutunza na kukutumia

  • @faithmusyoki5998
    @faithmusyoki5998 4 роки тому +5

    Tamu sana.....Diz time round mko chonjo.....kuna taji baada ya kazi..Glory b to God...sauti nazo?You r really blessed...

  • @martharmichael7221
    @martharmichael7221 2 місяці тому

    Mungu nisamehe kwa nafisi yangu❤

  • @jackobnzalia697
    @jackobnzalia697 3 роки тому +3

    Cvc nawapenda sana huu wimbo umegusa mioyo za watu na kubarikiwa amen mungu awe nanyi siku zote nafsi yangu ....huchoki kusikiliza

  • @benardbagwasiofficial5409
    @benardbagwasiofficial5409 4 роки тому +5

    Nyimbo tamu mavazi nadhifu yaani bwana anapendezwa nanyi,mbarikiwe sana.

  • @user-fy2uv5rv5d
    @user-fy2uv5rv5d 8 місяців тому +1

    Nawapenda Sana nahudumahii yauwimbaji.kwakweli napowasikiliza pindi mkitowasautizenu kumtukuzamungu huwanatamani kuwakiumbe kipya

  • @georgejosephmiringay2325
    @georgejosephmiringay2325 3 роки тому +4

    Wimbo Mzuri sana Solo sauti yako ni Tamu sana

  • @neemaezekiel4856
    @neemaezekiel4856 4 роки тому +3

    Jamani sijui niseme nini juu yenu!! Zaidi ya kusema mbarikiwe zaidi na zaidi hakika nyimbo zinakuweka katika utukufu wa Mungu kabisa kabisa.

  • @jefredyfrednandy5880
    @jefredyfrednandy5880 3 роки тому +2

    Yaaaaan sister Diana uishiiii miaaka bukuuu

  • @danielkiporlochongo7791
    @danielkiporlochongo7791 2 роки тому +8

    The song leader is young all times since I knew her at my 7 years old,Grace is always at your life,I love your ministration.

    • @thaimouraaloyce9515
      @thaimouraaloyce9515 Рік тому

      Mubarikiwe xana kwa uinjilishaji wa neno la MUNGU,,nyimbo zetu Zina nibariki Xana xana ,,Mungu avitunze vipaji vyenu muendelee kumtukuza MUNGU,,,,

  • @oliviaa1106
    @oliviaa1106 4 роки тому +2

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri sana zinabariki

  • @shilikale
    @shilikale 4 роки тому +3

    Cvc mbarikiwe sana na hii song tangu nilipoisikia mpaka leo naibariki sana

  • @user-he5nd4hm7l
    @user-he5nd4hm7l 9 місяців тому +1

    Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu ,msaada utakaoonekana wakati wa mateso .Glory be to God

  • @sundaysamson3159
    @sundaysamson3159 3 роки тому +2

    Huyu Mama (Diana) .... Amekua Baraka Kwangu Mungu amuinue katika viwango vya juu kabisa....

    • @davisntuba4742
      @davisntuba4742 3 роки тому

      Mama Diana ni huyu mweusi au maana mie nampenda sana uimbaji wake

    • @sheddy2417
      @sheddy2417 3 роки тому

      Ndiye huyo ss...mama asiye na makuu.Mungu kambariki kweli na sauti

    • @ashukuriwembasha6629
      @ashukuriwembasha6629 Рік тому

      Mungu awabaroki sana .Mr.A mbasha.toka Moshi Kilimanjaro

  • @paulsamsonkishindo1030
    @paulsamsonkishindo1030 3 роки тому +3

    Hakika wimbo una mafundisho makubwa. Hongerani sana.

  • @user-mf4bj9vw8k
    @user-mf4bj9vw8k Рік тому

    Changombe inanibariki Sana mbarikiweni pia

  • @phiniasshadrackl9601
    @phiniasshadrackl9601 4 роки тому +3

    Daaaah safi sana.

  • @erickbravo8903
    @erickbravo8903 2 роки тому

    Huu wimboo ni Historia tosha ya huyo kijana kwenye huo wimbo ni mkoja wa classmate wangu and now nj mchungaji am so happy

  • @francokinyunyu2619
    @francokinyunyu2619 3 місяці тому

    Nimeanza kuwasikiliza nikiwa Bado mdogo nawapenda mno

  • @eliasadrian5026
    @eliasadrian5026 3 роки тому +2

    Amen sitachoka kutenda mema ee Mungu anitetee barikiweni wapendwa kwetu ni Mbinguni tulazen mwendo

  • @juliethjustus5424
    @juliethjustus5424 Рік тому

    Nawapenda sana fanyeni kazi yamungu

  • @abelpaul5235
    @abelpaul5235 3 роки тому +2

    Ole ole wake yule ashindanae na Mungu alie juu mwenye kuponya.

  • @lilianrichard9572
    @lilianrichard9572 4 місяці тому +1

    Wahoo nimefurahii sana kumuona rafk yangu naomi from Tpsc singida

  • @brebasheki9088
    @brebasheki9088 Рік тому +1

    Hii kwaya nimeijua juzi 2020, lakini ule wimbo wa gusa niliujua muda murefu nikiwa kijijini Katavi. Jamani tunatoka mbali. Kula hakuna radio kabisa.

  • @evelenev2877
    @evelenev2877 4 роки тому +2

    Watch from Saudi Arabia like this song💋💋💋💋🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-uh7vj2wt9v
    @user-uh7vj2wt9v 9 місяців тому

    Mungu awape kudumu ktk kuimba kwenu

  • @georgearewa2377
    @georgearewa2377 3 роки тому +2

    hawa ni kipenzi changu. napenda sana nyimbo za vikundi. mungu awabariki

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 4 роки тому +6

    hamjawahi kuniangusha hata kidg,,, being blessed,,

  • @judithpendo4121
    @judithpendo4121 4 роки тому +3

    Jamani barikiweni kwa uimbaji wenu mzuri tena mko smart mtu hachoki kusiliza ujumbe wenu

  • @Siamanda51
    @Siamanda51 3 роки тому +1

    Mungu aibariki kwaya hii nyinyi ni chombo mliyotumwa na mkakubali kutumika kutangaza injili ya yesu

  • @princedejezeluuchannel5789
    @princedejezeluuchannel5789 3 роки тому +1

    Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana

  • @nehemiahelisha6947
    @nehemiahelisha6947 4 роки тому +3

    Yaani CVC ni Shida watu wa Mungu Mbarikiwe Sana nyote
    Nawapenda Sana wimbo mzuri Sana katika maisha yetu ya kiroho

  • @samuelokoyaro1888
    @samuelokoyaro1888 9 місяців тому +1

    Mtunzi wa huu wimbo...nakuombea baraka tele jumla na waimbaji wote wa AIC Changombe,,,,,,Bibilia nayo mmeisoma

    • @isaiahkandie4968
      @isaiahkandie4968 8 місяців тому

      God bless you cha'ngombe choir for serving God and mankind, it always quite edifying the souls of the listeners.

  • @pendokaviha9275
    @pendokaviha9275 3 роки тому +11

    From Kenya, aki mnanibariki Sanaa this is my favorite choir ever, my God bless you so much

    • @joynerbarasa5916
      @joynerbarasa5916 3 роки тому

      From Kenya always ....i love this choir.

    • @tommuthiani5042
      @tommuthiani5042 3 роки тому

      Good work mm napedezwa na uimbaji wenu kwanza ile vol ya nenda na uzima wako inanibamba sana mungu azidi kuwabariki

  • @masenyengefuraha9095
    @masenyengefuraha9095 3 роки тому +1

    Hakika mungu ameweka kitu kwa watumish hawa muendelee kuitenda kaz ya bwana wenu john furaha kotoka kilimahewa ushirombo geita

  • @jacksonfulano6015
    @jacksonfulano6015 4 роки тому +1

    NAWAPENDAAAAAAAAA SANAAAAA AICT CVC NABARIKIWA NA UIMBAJI WENU ,NILISUBILI KWA HAMU ALBAM YENU ,MUNGU AWABARIKI HAKIKA AMINAAA

  • @charlesbuka9774
    @charlesbuka9774 3 роки тому +1

    Jamani jamani dada huyu ananifanya nijihisi Niko mbinguni! Ubarikiwe sana dada nakupenda mnooooo!!!!!!!

    • @ayubukibona997
      @ayubukibona997 2 роки тому

      Jaman huyu dada kweli anaupako wa kipekee barikiwa sana cvc Mungu amewainua tunawapenda tunamuona Mungu kwenu

  • @prettywizard5374
    @prettywizard5374 2 роки тому +5

    What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!

  • @marymyonga3808
    @marymyonga3808 4 роки тому +1

    Wimbo nauangalia Kila Mara hapo mwanzo vyombo vimetulia mziki umetulia Sana Mungu. Awabariki

  • @franksamike174
    @franksamike174 4 роки тому +1

    Mungu wetu mwenye nguvu awabariki sana katika huduma hii ya uimbaji kwani watu wenye kweli rohoni wanafarijika na wengine wengi wanaokolewa kwa huduma hii.

  • @adiminpeter5142
    @adiminpeter5142 3 роки тому +1

    Nabarikiwa sana na wimbo huu, tunamuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuwatumia kiwango hadi kiwango

  • @elizabetjmillel3351
    @elizabetjmillel3351 4 роки тому +6

    Huyu mama sololist huwa anajua sana Mungu akuinue zaid kwenye uimbaji be blessed

    • @happinesfesto9171
      @happinesfesto9171 3 роки тому

      Hakika huwa nabarikiwa sana jamani na hii kwaya barikiwa sn

  • @humphreymidambo3827
    @humphreymidambo3827 3 роки тому +1

    Kipawa kwenye Hilo kanisa.msifuni MUNGU sana.ni njia ya kusema asante

  • @vedamusa8033
    @vedamusa8033 Рік тому +3

    Hakika huu Wimbo ni wimbo bora kwa kipindi hiki cha miaka miwili,kuna sk nilikuwa na wakati mgumu nikauweka nikaweka ear phones masikioni mpaka unaisha aiseee sikuamini nilikuwa huru

  • @joycebii5225
    @joycebii5225 3 роки тому +5

    My favourite song. Your songs are unique and amazing. Be blessed AIC Chang'ombe.sichoki kuweka nyimbo zenu kila siku. Joyce from Kenya

  • @cecyjoel3039
    @cecyjoel3039 Рік тому

    Mubarikiwe mungu azidi kuwainua

  • @SinaiDavid-zc4hy
    @SinaiDavid-zc4hy 3 місяці тому

    Mbalikiwe sana watumishi

  • @agnesgervas8070
    @agnesgervas8070 4 роки тому +1

    Mm huw mnanikoshatu na nyimbo zenu nzur zinaujumbe mzur sana mungu awabariki nyote

  • @shidamasau8686
    @shidamasau8686 Рік тому +2

    Ee Mungu saidia ponya kuugua kwangu Mimi

  • @rosemarykisuke7223
    @rosemarykisuke7223 2 роки тому

    Nawapenda mno yaani sijawahi kuchoka kuwasikiliza

  • @gracelyimojoseph7236
    @gracelyimojoseph7236 3 роки тому +1

    jaman uyu solist wa kwanza aimba vizuri jaman kila wimbo mam mungu akubarik san mungu atakutetea kwel

  • @dangatihi5429
    @dangatihi5429 3 роки тому +1

    Haki napendezwa na sauti zenu wapendwa. Huwa mnanifanya nitamani kuwa mmoja wenu twendelee kumtukuza bwana.

  • @simbawayuda1627
    @simbawayuda1627 2 роки тому +1

    Mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU kwa huduma nzuri

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 3 роки тому

    Jamani huyu mwimbaji anaitwa nani huwa naukubali sana uwezo wake na kujiamini na anavyofikisha ujumbe

  • @boazkitela6960
    @boazkitela6960 3 роки тому +2

    Be blessed mmekuwa wasomi wa bibilia that's why mnaimba vizuri,pongezi

  • @daisyenock7670
    @daisyenock7670 3 роки тому +2

    Hakika kila wakati nawiwa kuusikiliza tuu huu wimba unanibariki sana,hongereni wote.

  • @Jorge_safaris
    @Jorge_safaris 3 роки тому +10

    Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.

  • @alphoncegambuna440
    @alphoncegambuna440 3 роки тому

    Mnajua kuimba hongereni sana

  • @warrenhenrick5565
    @warrenhenrick5565 4 роки тому +1

    Hongereni kwa kudumu hata Leo hii bado tunawasikia mkitubariki ni neema ya Mungu

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 3 роки тому

    AIC chang'ombe ni Moto wa kuotea Mbali mungu azidi kuwainua zaidi na zaid

  • @user-zi5sh1qd2r
    @user-zi5sh1qd2r 5 місяців тому

    Mbarikiwe sana kwa uimbaji

  • @rojasnyakapala2222
    @rojasnyakapala2222 2 роки тому

    Mungu awabaliki awape maisha malefu huwanajisikia Aman nikisikia nyimbo zenu

  • @mukokokambale7420
    @mukokokambale7420 2 роки тому

    Niwa shukuru wenzangu wana muziki wote wa kwaya kuu hii kwa utaratibu na ufundi mukubwa mulivyo utunga kwa wimbo huu na nyimbo zingine nime wasikiliza na ku wafurahia. Mimi pia ni mwana muziki kutoka mashariki drc butembo

  • @kristinekateassy7135
    @kristinekateassy7135 3 роки тому +7

    I just love the soloists of Chang'ombe choir you have awesome voices huwa mnanibariki way since the Gusa in the 2000s

  • @sonjoprimaryschool8186
    @sonjoprimaryschool8186 4 роки тому +5

    Mama yangu umri wako unakwenda sana lakini, sauti yako inayomtukuza Mungu ni kama ndo kwanza inaanza. Ubarikiwe sana

    • @agnesgervas8070
      @agnesgervas8070 3 роки тому

      Kwa mungu hakuna umri ote watoto ty

    • @sonjoprimaryschool8186
      @sonjoprimaryschool8186 3 роки тому

      @@agnesgervas8070 Nabarikiwa nawe sana kwa uimbaji wako mama yangu

    • @agnesgervas8070
      @agnesgervas8070 3 роки тому

      @@sonjoprimaryschool8186 Amina mungu azdi kukupa moyo wakusliza ili ubarikiw zaid

    • @sonjoprimaryschool8186
      @sonjoprimaryschool8186 3 роки тому

      @@agnesgervas8070 Amina mama.. Performance ya wimbo JINSI ZILIVYO super sana kwangu

    • @agnesgervas8070
      @agnesgervas8070 3 роки тому

      @@sonjoprimaryschool8186 amina God bless you

  • @manuel8536
    @manuel8536 3 роки тому +1

    Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzito

  • @davidkisalimwala9458
    @davidkisalimwala9458 4 роки тому +12

    all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu

    • @favouropande1065
      @favouropande1065 4 роки тому +3

      Pamoja sana. My fellow Kenyan. In my heart...I have a dream to invite them to Kenya for a concert. May God help me.

    • @davidkisalimwala9458
      @davidkisalimwala9458 3 роки тому

      @@favouropande1065 they were suppose to have a meeting in nakuru Last April but COVID 19 , its possible with good planning

  • @rugutagnes221
    @rugutagnes221 Рік тому

    Huu wimbo unanibariki Sana na unanijenga

  • @janetmutiso9054
    @janetmutiso9054 4 роки тому +1

    Kwaya hii naipenda saaàana inanibariki Sana .mungu na awazidishie

  • @bushabubushamingadonatien6673
    @bushabubushamingadonatien6673 3 роки тому +4

    Nyimbo nzuri sana ,mungu amibariki....un cantique merveilleux, puisse Dieu vous bênir !!!

  • @samwelchotta1245
    @samwelchotta1245 3 роки тому +2

    Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.

  • @abelpaul5235
    @abelpaul5235 4 роки тому +5

    Huu ndyo wimbo wangu ninao uangalia kila cku. Mungu awabariki sana.

  • @kilonzimulandi2338
    @kilonzimulandi2338 4 роки тому +1

    Ni moja kati ya kanda zenu nzuri sana. mungu awabariki sana wanachoir wenzangu

  • @ayoubhezron4770
    @ayoubhezron4770 4 роки тому +2

    Kazi yenu ni njema Mungu azidi kuwatia nguvu.

  • @jefredyfrednandy5880
    @jefredyfrednandy5880 3 роки тому +2

    Yaaaaaaaaaaan sina neno

  • @shedrackmumo1739
    @shedrackmumo1739 2 роки тому

    Kuna jambo la kipekee nimekuja kuelewa,Mama Diana anaposolo wimbo uwa na mnato sana tena uwepo mwingi wa Mungu. Itoshe kusema ni mwombaji japo simjui ki roho lkn ninahisi n Mwana Mama mwenye unyenyekevu mno na msikivu...Mungu azidi kumpa miaka mingi azidi kutumika hekalauni mwake. 🙏🙏

  • @erastosengerema87
    @erastosengerema87 3 роки тому +5

    Nisalimieni sana aliyetunga huu wimbo.

  • @elyciajohn9019
    @elyciajohn9019 4 роки тому +1

    Mpom vizuri sana mbarikiwe na uimbaji,tangu enzi hizo za Gusa,usiku wa manane na zingine zote sasa mmenipa Jiwe kuu la Pembeni ,tunawapenda sana

  • @phiedismwende1436
    @phiedismwende1436 3 роки тому +1

    My favorite choir.Mungu azidi kuwabariki

  • @jeromendetaulwa3466
    @jeromendetaulwa3466 4 роки тому +1

    Nakubali a.i.c changombe

  • @elijahmwongela7168
    @elijahmwongela7168 3 роки тому +27

    My favourite soloist; I could listen to her sing the whole day and not get tired. God bless you mama!