NJIA RAHISI YA KUTENGENEZA BAJETI NA KUISHI KWA KUFUATA BAJETI | Victor Mwambene.
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- Baada ya kutazama somo hili utajifunza njia rahisi sana ya kutengeneza bajeti na kuhakikisha unaifuata.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Somo zuri sana my brother 🙏
Umenibariki sana victor,Mungu akubariki sana sana, yaani umeniongezea vitu vingi Sana.
Bro ahsante sana yaani nilikua sijui kabisa kuweka bajeti,
tha is good broo
Asante sana kaka darasa zuri sana !binafsi umenifungua akili sana kuhusu kutumia pesa yangu. Mungu azdii kukubarki kaka
Ok
Thank you
Powerful 💪💪❤️
SoMo zuri
Nakubal sana mwl
Hii nimetumia kwa miezi 3.
Nikaona matokeo.
50/20/20/10.
Kaka mimi nakuombea uendelee tu kutupatia asali asilia
much respect kaka
SoMo zuri sana kaka barikiwa sana
Bro naitaji ww uwe mtu wa kuniwajibisha
What when orher factors do not remains constant ?
Kaka nakukubali mnoo
Asante sana Rafiki, Tuwasiliane What'sapp 0744126640.
Oky Ahsante sana
Ahsante uko vzuri
Brother 🤝
Fungu la Kumi ni ASILIMIA Kumi na sadaka 10
Vp kwasisi ambao kipato chetu n kidogo maan unazungumzia qatu Wenye vipato vikubwa zaid y million moja...??
Kitabu kimoja shilingi ngapi
Elfu 20 Mpendwa, Kupata Vitabu Piga 0744126640.
Kaka naweza pata kitabu chako Kwa njia ya pdf
Kitabu tunauza Hardcopy Mpendwa, Namba 0744126640.
Mr nataka kujua asa kwa sisi ambao ndo tunaanza biashara kipato chetu kwa mwezi haizidi 300k sasa nataka nijue napangaje bajeti kwenye ilyo laki 3 nijilipe mshara shingapi, niwekeze shingapi,ni tumie shingapi kwenye matumizi ya razima naomba ushauri mtalaam
Ikiwezekana usijilipe mwanzoni
Bro number yako please
Asante sana kaka darasa zuri sana !binafsi umenifungua akili sana kuhusu kutumia pesa yangu. Mungu azdii kukubarki kaka