RICH DAD POOR DAD | Mambo 12
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- RICH DAD POOR DAD | Mambo 12
Jifunze mambo 12 unayoweza kuyapata katika kitabu cha Rich Dad Poor Dad kilichoandikwa na Robert Kiyosaki. Mambo haya yanaweza sana kubadili maisha yako kama ukiyaelewa na kuyafanyia kazi katika maisha yako.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Rich #Dad #Poor #Dad
Nice indeed itakuwa Vizuri Kama mtatafsiri na kuchabua Vitabu vya kingereza kwa kiswahili ili Watu wengi wapate kufahamu🙏
Sema Nimeipenda sana Team work yenu... Mnatupa Mambo moto
Asante sana nilitaman nikipate kitabu hicho rich dad poor dad kwa Lugha ya kiswahili 😑
Kweli
Kipo km unakitaka nitafute mm ninacho
Musa matumla unapatikana wapi
Super explanations,,,,Kitabu kizuri Sana, kwa Mara ya kwanza kukukisoma sikutaman kuacha kukisoma
ukweliii unauma,,, RICH DAD POOR DAD,,, talk the reality
I want to read them books all and I'll make it i love new ideas ineed more skills in my life to confront the challenges and obstacle on my success journey, Be Blessed My Brother Victor and all Success Path Team 🙏🙏🙏🙏
NI ujumbe mzur Sana kwa maisha yetu❤️
Hongera kaka mwambene,binafsi Naomba pia utoe lecture ya cash flow Quadrants, na A students work for C students and B for the government)
Asante kwa elimu go on brother
Ni moja Kati ya kitabu ninachokipenda sana. Point kuu kwangu ni hiyo ya shule haikufanyi kuwa tajiri.
Naomba orodha ya vitabu vitano muhimu kwa maswala yanayohusu kufanikiwa kifedha
Ubarikiwe sana kakaa nimenuku uyasemayo hakika yataniangazia katik safari yangu
Asante sn nimejifunza mengi sn kupitia wew
Karibu sana... Nashukuru sana kwa mrejesho Thania
ahsante kwa ushaur wako br
shukurnan sana kaka naomba kupatiwa majina ya hivyo vitabu vitano vikubwa juu ya mafanikio. binafsi nimekisoma na naamini kila kilicjoandikwa. Tatizo kubwa tupo kifungoni kifikra . Tunahitaji kujikomboa.
Nitafute nikutumie vyote 0756212774
Kizuli Sana blaza nimekipenda ila lugha ni tatizo kwangu
Respect 🙏
Nimekuelewa ndugu ahsante.
Broo Victor nmekupata vizuri ni kweli kuna nguvu katika kujua endeleen kutujuza vijana ili tuamke tufanye mabadiliko
Daah asnt kaka mwambene umenifungua ufahmu sasa
Thanks very much Mkuu nimejifunza sana Be blessed 🙏
Nimejifunza sana be blessed
🎖️💡💪
Asnte sanaaa 🇧🇮🇧🇮
Ni vizuri xana
Asante kwa Somo
Safi kazi nzuri sana hii kaka. unazidi kunitia moyo wa kusonga mbele. Mungu awe nawe!
Asante sana 😢
Nimekuelewa kaka shukrani Sana
Nímependa kazi yake
Vizuri sana
Asante Sana broo were together as one
Thanksgiving, bless u
Sante Sana kaka victory nimekuelewa
Asante 🙏
Asante kaka,kitabu kizuri sana
Heshima kwako mkuu hicho kitabu naweza kukipata cha lugha ya kiswahili
This is my first desire book
Good and it sounds
True bro!
Always!
Nimejifunza mambo mengi sana na ya msingi
Kila mmoja asikilize kwa makini hapo kwenye maarifa na taarifa utajiri wote uko hapo hapo
Nimejifunza kitu
Naitaji hicho kitabu nakipataje nitumie namba yako
ELIM🌍 NI KAMA MABAHARI 🏖
MUNGU AKULINDE🤲 NA ELIM🌍 YAKO HUNAYO KUBWA ASANTE SANA🙏
Shukrani sana kaka
Safi kaka
Blessed ✋🏽
Kaka mimi naitaji vitaku vyaki swalihi
Njoo What'sApp andika neno vitabu 0759191076
Nitakipata kile cha kiswahili
Somo zuri Sana kaka
punguza sauti ya background music ni distruction
Naitaji vitabu Niko kenya
Tangunimefuatilia clps zako hiiyaleo imekonga moyowangu tuliowengi tunakosamaalifa kutoka kwenye vitabu vya kiingereza kwakutokuifaham hiyo lugha tutofasilie Vingi mno
Hicho kitabu kinauzwaje?
Tunaomba content ya kufanya matangazo Instagram
Karibu tuwasiliane hapa through whatsapp: 0759191076
🙏🙏🙏
Ntaitafuta hiyo kitabu kaka 🙏🙏 ubarikiwe sana brother.
Vizuri nakueleewa
Tatizo la hivyo vitabu ni English tupu .
👍👍👍👍👍👍
Tunapataje vitabu kama tunata kununua
sorry bro nataka nikinunue vp unauuza au
Some hili litan adilisha
Nahitaji kitabu nipe namba
siendii tenaaa shuleee duhhh
We we utawambia nini walipa ada😅😅😅😅😅😅
Kitabu nitakipata aje???,nitaweza kukipata
nimekuelewa vizul kaka
maarifa ndo chachu ya kufanikiwa
Ahsante
Kaka nimependa sana some lako
Sowing and reaping
Habari, naweza kupata clps zako katika whatsap yangu
Some hili litan adilisha