RICH DAD POOR DAD | Mambo 12

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024
  • RICH DAD POOR DAD | Mambo 12
    Jifunze mambo 12 unayoweza kuyapata katika kitabu cha Rich Dad Poor Dad kilichoandikwa na Robert Kiyosaki. Mambo haya yanaweza sana kubadili maisha yako kama ukiyaelewa na kuyafanyia kazi katika maisha yako.
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #Rich #Dad #Poor #Dad

КОМЕНТАРІ • 83

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 4 роки тому +6

    Nice indeed itakuwa Vizuri Kama mtatafsiri na kuchabua Vitabu vya kingereza kwa kiswahili ili Watu wengi wapate kufahamu🙏

  • @demarcusideka1506
    @demarcusideka1506 4 роки тому +7

    Sema Nimeipenda sana Team work yenu... Mnatupa Mambo moto

  • @twaybachellah914
    @twaybachellah914 4 роки тому +14

    Asante sana nilitaman nikipate kitabu hicho rich dad poor dad kwa Lugha ya kiswahili 😑

  • @johnmaganga44
    @johnmaganga44 3 роки тому +3

    Super explanations,,,,Kitabu kizuri Sana, kwa Mara ya kwanza kukukisoma sikutaman kuacha kukisoma

  • @zephaniahmock6022
    @zephaniahmock6022 4 роки тому +5

    ukweliii unauma,,, RICH DAD POOR DAD,,, talk the reality

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 роки тому +2

    I want to read them books all and I'll make it i love new ideas ineed more skills in my life to confront the challenges and obstacle on my success journey, Be Blessed My Brother Victor and all Success Path Team 🙏🙏🙏🙏

  • @jamesnyibe5656
    @jamesnyibe5656 Рік тому +1

    NI ujumbe mzur Sana kwa maisha yetu❤️

  • @zackmagoma.
    @zackmagoma. 4 роки тому +2

    Hongera kaka mwambene,binafsi Naomba pia utoe lecture ya cash flow Quadrants, na A students work for C students and B for the government)

  • @zawadikassimu4051
    @zawadikassimu4051 2 роки тому +1

    Asante kwa elimu go on brother

  • @GOnlinepositivity
    @GOnlinepositivity 4 роки тому +1

    Ni moja Kati ya kitabu ninachokipenda sana. Point kuu kwangu ni hiyo ya shule haikufanyi kuwa tajiri.

  • @lucasmwalongo7725
    @lucasmwalongo7725 2 місяці тому

    Naomba orodha ya vitabu vitano muhimu kwa maswala yanayohusu kufanikiwa kifedha

  • @LailaKibonge
    @LailaKibonge 7 місяців тому

    Ubarikiwe sana kakaa nimenuku uyasemayo hakika yataniangazia katik safari yangu

  • @thania822
    @thania822 Рік тому +1

    Asante sn nimejifunza mengi sn kupitia wew

  • @tumsifufrances5897
    @tumsifufrances5897 4 роки тому +1

    ahsante kwa ushaur wako br

  • @bountytzchannel6429
    @bountytzchannel6429 4 роки тому

    shukurnan sana kaka naomba kupatiwa majina ya hivyo vitabu vitano vikubwa juu ya mafanikio. binafsi nimekisoma na naamini kila kilicjoandikwa. Tatizo kubwa tupo kifungoni kifikra . Tunahitaji kujikomboa.

  • @abuuharuna3949
    @abuuharuna3949 4 роки тому +1

    Kizuli Sana blaza nimekipenda ila lugha ni tatizo kwangu

  • @joyousmakata4502
    @joyousmakata4502 2 роки тому +4

    Respect 🙏

  • @josephinekahangwa2992
    @josephinekahangwa2992 4 роки тому +1

    Nimekuelewa ndugu ahsante.

  • @barantebirahi6165
    @barantebirahi6165 4 роки тому

    Broo Victor nmekupata vizuri ni kweli kuna nguvu katika kujua endeleen kutujuza vijana ili tuamke tufanye mabadiliko

  • @rachelchelango941
    @rachelchelango941 4 роки тому +1

    Daah asnt kaka mwambene umenifungua ufahmu sasa

  • @calisttarimo4588
    @calisttarimo4588 4 роки тому

    Thanks very much Mkuu nimejifunza sana Be blessed 🙏

  • @flaviakennedylwiza1131
    @flaviakennedylwiza1131 3 роки тому

    Nimejifunza sana be blessed

  • @ANNAKAPUNGU-c3l
    @ANNAKAPUNGU-c3l Місяць тому

    🎖️💡💪

  • @owlbig
    @owlbig 4 роки тому +1

    Asnte sanaaa 🇧🇮🇧🇮

  • @binammtemi6884
    @binammtemi6884 4 роки тому +1

    Ni vizuri xana

  • @israelandrew8851
    @israelandrew8851 3 роки тому

    Asante kwa Somo

  • @brobabuu3973
    @brobabuu3973 4 роки тому

    Safi kazi nzuri sana hii kaka. unazidi kunitia moyo wa kusonga mbele. Mungu awe nawe!

  • @abshirohassen5
    @abshirohassen5 2 роки тому

    Asante sana 😢

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 4 роки тому

    Nimekuelewa kaka shukrani Sana

  • @jofraydamian9020
    @jofraydamian9020 2 роки тому

    Nímependa kazi yake

  • @somaliavempire3067
    @somaliavempire3067 4 роки тому +1

    Vizuri sana

  • @mrboma4343
    @mrboma4343 4 роки тому +1

    Asante Sana broo were together as one

  • @annaantoni7333
    @annaantoni7333 4 роки тому

    Thanksgiving, bless u

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 4 роки тому

    Sante Sana kaka victory nimekuelewa

  • @mwanaidialiame318
    @mwanaidialiame318 Рік тому

    Asante 🙏

  • @fatumahussein9627
    @fatumahussein9627 4 роки тому

    Asante kaka,kitabu kizuri sana

  • @official_bk_melodytz2802
    @official_bk_melodytz2802 2 роки тому

    Heshima kwako mkuu hicho kitabu naweza kukipata cha lugha ya kiswahili

  • @jichofoundationtv6893
    @jichofoundationtv6893 4 роки тому +1

    This is my first desire book

  • @regnardedward4326
    @regnardedward4326 Рік тому

    Good and it sounds

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 3 роки тому +2

    True bro!

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 4 роки тому

    Nimejifunza mambo mengi sana na ya msingi

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 4 роки тому +1

    Kila mmoja asikilize kwa makini hapo kwenye maarifa na taarifa utajiri wote uko hapo hapo

  • @directorajmataaluma5400
    @directorajmataaluma5400 3 роки тому +1

    Nimejifunza kitu

  • @geofreymilinga1042
    @geofreymilinga1042 Місяць тому

    Naitaji hicho kitabu nakipataje nitumie namba yako

  • @radjabuselemani6863
    @radjabuselemani6863 Рік тому +1

    ELIM🌍 NI KAMA MABAHARI 🏖
    MUNGU AKULINDE🤲 NA ELIM🌍 YAKO HUNAYO KUBWA ASANTE SANA🙏

  • @hussenijuma7494
    @hussenijuma7494 4 роки тому +1

    Safi kaka

  • @Nature_adventure
    @Nature_adventure 4 роки тому

    Blessed ✋🏽

  • @OmaryChambila-dn8sj
    @OmaryChambila-dn8sj Рік тому +1

    Kaka mimi naitaji vitaku vyaki swalihi

  • @BOSCO_OFFICIAL
    @BOSCO_OFFICIAL 3 роки тому +1

    Nitakipata kile cha kiswahili

  • @mwanaharakatijuma6604
    @mwanaharakatijuma6604 4 роки тому

    Somo zuri Sana kaka

  • @blenderforadvertisements5656
    @blenderforadvertisements5656 2 роки тому

    punguza sauti ya background music ni distruction

  • @MouriceOduor
    @MouriceOduor 10 місяців тому

    Naitaji vitabu Niko kenya

  • @liberatussylvanus9952
    @liberatussylvanus9952 4 роки тому

    Tangunimefuatilia clps zako hiiyaleo imekonga moyowangu tuliowengi tunakosamaalifa kutoka kwenye vitabu vya kiingereza kwakutokuifaham hiyo lugha tutofasilie Vingi mno

  • @wiliamthobias6893
    @wiliamthobias6893 Рік тому

    Hicho kitabu kinauzwaje?

  • @banziMsimbe
    @banziMsimbe 4 роки тому +2

    Tunaomba content ya kufanya matangazo Instagram

  • @vituskabula4770
    @vituskabula4770 2 роки тому

    🙏🙏🙏

  • @josloitalal4774
    @josloitalal4774 4 роки тому

    Ntaitafuta hiyo kitabu kaka 🙏🙏 ubarikiwe sana brother.

  • @umojamedia4167
    @umojamedia4167 4 роки тому +2

    Tatizo la hivyo vitabu ni English tupu .

  • @btboepapas6902
    @btboepapas6902 3 роки тому

    👍👍👍👍👍👍

  • @briankimaro2342
    @briankimaro2342 4 роки тому +1

    Tunapataje vitabu kama tunata kununua

  • @jastinisengasu2046
    @jastinisengasu2046 2 роки тому +1

    sorry bro nataka nikinunue vp unauuza au

  • @petermathias785
    @petermathias785 4 роки тому

    Some hili litan adilisha

  • @Mepuko77
    @Mepuko77 3 роки тому

    Nahitaji kitabu nipe namba

  • @tanzaniaone581
    @tanzaniaone581 4 роки тому

    siendii tenaaa shuleee duhhh

    • @shsjjdjhd9624
      @shsjjdjhd9624 4 роки тому

      We we utawambia nini walipa ada😅😅😅😅😅😅

  • @BOSCO_OFFICIAL
    @BOSCO_OFFICIAL 3 роки тому +1

    Kitabu nitakipata aje???,nitaweza kukipata

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 4 роки тому

    nimekuelewa vizul kaka

  • @Nutritio-z8v
    @Nutritio-z8v 4 роки тому

    Ahsante

    • @ssm6363
      @ssm6363 4 роки тому +1

      Kaka nimependa sana some lako

  • @titodaudi8949
    @titodaudi8949 4 роки тому

    Sowing and reaping

  • @msafirimponda1719
    @msafirimponda1719 4 роки тому

    Habari, naweza kupata clps zako katika whatsap yangu

  • @petermathias785
    @petermathias785 4 роки тому

    Some hili litan adilisha