GETO ANALOISHI HAMIS WA BSS UTALIPENDA/AFUNGUKA KUACHWA NA MZUNGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" UA-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

КОМЕНТАРІ • 614

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 8 місяців тому +11

    Yaani hii interview, muonekano wa geto na anavyoongea inanikumbusha mbali sana. Kiufupi vijana wengi wanaojielewa na wanatoka familia za kimaskini lazima upitie maisha haya. Safi sana Hamusi utadhani geto langu ila sasa naishi kwangu na mke na watoto 3. Nakuombea kwa Mungu akufungulue mlango.

  • @ChristianJustin-jn9pt
    @ChristianJustin-jn9pt 8 місяців тому +20

    Hamis ana heshima sanaa anakukarubisha ingia tuu na viatu mi si nitafagiaa 😭😭😭 jamanii

  • @noelajulius7726
    @noelajulius7726 9 місяців тому +25

    NAOMBA MNISAIDIE NATAKA KUMNUNULIA GESI HAMISI

  • @johnraphaelbocco2260
    @johnraphaelbocco2260 9 місяців тому +61

    Nilikuwa namchkulia poa sana huyu mshkaji ila kupitia hii interview ameniprove wrong, jamaa ni fighter na bado inaonekana anajitafuta na anahitaji support za watanzania kumfkisha pale anapotaka, naanza kukusaport, Na kuanzia sasaa mimi ni shabiki yako mpya, sitaacha kuangalia kudownload na kustream platform zako zotee Big Up Brother Keep It On And Never Ever Give Up

  • @gazzatz9564
    @gazzatz9564 9 місяців тому +32

    Mim mwana na mwelewa!!! sio kwamba anaigiza watu kazi!! Mungu akusimamie mwanang!! sanaa ina mambo mengiii sema Panga getto vizur,kak hata hauna ela lakin kuwa SMART MY BROTHER!

    • @JumaJuma-fu7ji
      @JumaJuma-fu7ji 8 місяців тому +1

      Sasa pesa anaitoa wapi yakuapanga geto nakuwa smati

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 9 місяців тому +93

    Nimependa hamisi anasema ukwer hafeki safi,,mungu atakubaliki kaka usikate tamaa

    • @bwakahamisi9607
      @bwakahamisi9607 9 місяців тому +3

      Ahsante ubarikiwe sana ndugu yangu

    • @nurukiwia93
      @nurukiwia93 9 місяців тому +1

      Allah azidi kumpigania. Ni mkweli kabisa

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 9 місяців тому +3

      @@bwakahamisi9607 Amin kaka,,utafika mbali sana Kwa uwezo wa mungu ila kikubwa tu usifek life be really mtumainie mungu na pambana Sana utatoboa innshaala kaka

    • @matridasambali6432
      @matridasambali6432 9 місяців тому +2

      Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana

    • @matridasambali6432
      @matridasambali6432 9 місяців тому +2

      Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana

  • @emmanuelibrahim4556
    @emmanuelibrahim4556 9 місяців тому +34

    Usanii ni kazi ngum sana,,, unaanza kupata umaaru afu maisha bado

  • @MrSamaki
    @MrSamaki 9 місяців тому +13

    Ananikumbusha room yangu ya kwaza kupanga kwa mwezi elf 20 Kuna siku inapita bila Kula ila adi sasa nilipofikia nimejipata kidogo, Mungu atufanyie wepesi vijana watafutaji

    • @abdallahsimba3516
      @abdallahsimba3516 8 місяців тому

      Acha tu mwanangu hayo yalikuwa maisha yanguu

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 9 місяців тому +11

    Tulipia hapo hata ss wengine infact tuliaza kwa box la fridge kulalia but mungu mkubwa sana 🙏🏽, sahii tunamiliki majumba na magari but tumetoka mbali sana. Keep your dreams alive faith siku moja utafanikiwa

  • @NaigagaUganda-hl6xx
    @NaigagaUganda-hl6xx 9 місяців тому +36

    You don't show fake life like other people big up may Almighty Allah bless you all

  • @Jerryatz
    @Jerryatz 8 місяців тому +9

    Wabongo mnapend sana mtu awe chini but uyu hapa siyo kwake ila kajitahidi sana kuigiza yuko vzr big up

  • @_Prince2023
    @_Prince2023 9 місяців тому +21

    Mwenyez mungu ndo anaejua uhalisia we2 kiukweli mungu akujalie my friend maana sote bado tupo kwenye utaftaji😢

  • @user-fj2ob2ey7j
    @user-fj2ob2ey7j 9 місяців тому +32

    Kaka nimekuelewa kikubwa pambana na ukweli umuweka mtu hulu kuliko udanganye afu uje ufeli kabisa maisha afuukakosa musada

  • @kimmaayah303
    @kimmaayah303 8 місяців тому +14

    Kumchangia sio dhambi kutoa ni moyo pia na MUNGU anakupa zaidi unapoamua kujitoa.. Sio vibaya tukamchangia hata apate gase jaman .. Tunampenda ndomn tunamfuatilia hapa.

    • @jacklinegorden2897
      @jacklinegorden2897 8 місяців тому

      Nikwel tupate hta namb yake ili mweny chochote kitu ambarik jmn nimeumia japokuwa wote maisha magumu ila tunazidiana

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 9 місяців тому +17

    Hongera kwakuishi maisha yk harisi amini IPO siku utafanikiwa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 9 місяців тому +34

    Ila anapambana pambana mungu atakubaliki usikate tamaa maisha sio Lele mama

  • @mercykamau4360
    @mercykamau4360 9 місяців тому +9

    Mimi kama mkenya I propose tutafute paybill tuchangie Hamisi❤❤

  • @user-cl9hg3uc8e
    @user-cl9hg3uc8e 8 місяців тому +6

    Wasanii wote wangekua kama hamisi bac wangefika mbali maana n rahis kusaidiwa Ila waliowengi uwongo2 nakupenda Mali zawa2 kufanya zao hongera hamis taratibu ndo mwendo utafika unapohitaji mungu yupo nawewe ❤❤

  • @salma_6j975
    @salma_6j975 9 місяців тому +11

    Mtangazaji yupo vizur sana...creativity

  • @user-xu6fg7sg6s
    @user-xu6fg7sg6s 9 місяців тому +11

    Bless dogo hsmiss ndio maisha yetu

  • @norahprotas1769
    @norahprotas1769 9 місяців тому +10

    Safi sana Bro umekuwa real Mungu aendelee kukusogeza sote tunatokeaga huko ayo ndo maisha yetu

  • @user-bv4dk8bj6x
    @user-bv4dk8bj6x 9 місяців тому +53

    Hakuna kitu gharama duniani kama uhuru na amani ata ukilala chini,

  • @Atb300
    @Atb300 9 місяців тому +5

    ❤❤❤Nimempenda mkweli sana hafeki life big up mdogo wngu

  • @raymondmallosa-df9hm
    @raymondmallosa-df9hm 8 місяців тому +5

    Mungu akubariki Hamis hufek maisha,mdogomdogo maisha taratibu

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 8 місяців тому +3

    Naomba watanzania mlio ona interview hii tuanze kumsaport huyu kijana kwanza anaeleza uhalisia wa maisha yake anahitaji saport pili ana hekima

  • @shagarbycash9549
    @shagarbycash9549 9 місяців тому +4

    Real and gud
    ...salute bro

  • @Issa_negro
    @Issa_negro 9 місяців тому +14

    Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉💯

  • @ruu6592
    @ruu6592 9 місяців тому +12

    Kuna watu ata ayo maisha ya hamisi hana

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 9 місяців тому +19

    Leo umekutana na chuma cha afrika 😂😂Safi saana khamis wengi wetu tunaanzia huko

  • @nuubaby
    @nuubaby 8 місяців тому +4

    Mtanganzaj alijua anakaa nyumba hyo yenye mlango mzuri😂😂😂🙌

  • @queendollie8792
    @queendollie8792 9 місяців тому +65

    Jamani tumchangie hamis nime mpenda he is honest with his life

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 9 місяців тому +14

    Diamond platinumz mpe show uyo kaka ,,ikiwezekana achangiwe au apewe show Bado anajitafuta atajipata tu

    • @LucyKulaya-bj5ow
      @LucyKulaya-bj5ow 9 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂

    • @bwakahamisi9607
      @bwakahamisi9607 9 місяців тому +3

      Nakushukuru sana endelea kunisapot mdogo wako Hamis Bss ubarikiwe sana

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 9 місяців тому +5

      Dah uyo diamond tena😂😂😂jmn mtu yyt atae wez amsaidie sio mpk diamond

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 9 місяців тому +12

    Huyu jamaa anajua kushukuru sana Mungu akujalie ufanikiwe

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 9 місяців тому +9

    Ana hekma sana na ukarimu pia, Allah akupe hitaji la moyo wako inshaAllah ❤🙏🙏

  • @majigeelieza5180
    @majigeelieza5180 9 місяців тому +7

    Daaaah mwanangu ayoo ndoo maisha pambana

  • @Issa_negro
    @Issa_negro 9 місяців тому +8

    Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉 💯
    Kaka mshukuru mungu kwa hayo maisha uliyo nayo kwani wengine tunatamani sana ila tunaishia kuishi kwa wazazi. Sio kwamba hatuwezi kupanga ila HALI SIO HALI😢

  • @mwanakitenge
    @mwanakitenge 9 місяців тому +7

    Kitendo tu cha kumiliki funguo ya chumba chako umeshajipata hongera sana mdogo wangu

  • @musason1680
    @musason1680 9 місяців тому +5

    Haya maishaa wanaishi watu wengi tu tnaotamani kua kama wao lakn n vile hatujui undani wa maisha yao

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 9 місяців тому +4

    Mi nakuombea Mungu akutoe hapo na ukipata riziki usiache kumshukuru Mungu!nakuombea

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl 8 місяців тому +3

    Ungeliweka namba ya sim
    Tungelikuchangia ununue gas
    Na kitanda kabisa pmj
    Na tv na king'amuz

  • @gazzatz9564
    @gazzatz9564 9 місяців тому +4

    Uyu mtangazaji nae.miyeyusho etii wash room...unaleta mambo ya kishua uswahilin😂😂😂

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 9 місяців тому +17

    Kwa kweli Hamisi wewe ni mtu wa ukweli mungu atakusimamia ndugu yangu zidi kusali nasi tunakuombea utakuja kuishi pazuri hayo ni maisha ya kupita usiwache kuomba mungu🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @issamanyota
    @issamanyota 8 місяців тому +2

    DAH THIS LIFE IS NOT FEAR , NATAMANI WASANII WENZAKO AU WALIOFANIKIWA WAKUPE HATA SHOW ZA WEEKEND UPATE KIASI FLANI BRO CHA KUJIKIMU 😢 ILA BIG UP 🆙 HAMISI WA BSS TUPO PAMOJA NAWE

  • @strong8534
    @strong8534 9 місяців тому +5

    Fame before success, it's very hard. Usani ni mtihani

  • @user-ll7np8td7x
    @user-ll7np8td7x 21 день тому

    Mungu atakuvusha kaka hamids

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 9 місяців тому +3

    Afanye kazi bhana

  • @BenMugaka
    @BenMugaka 8 місяців тому +1

    The guy is so honest with his life

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 8 місяців тому +1

    Wow nimependa alivyo sema code inaisha Mungu akufanyie wepesi

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 9 місяців тому +5

    Wanaume pia wanadanga😂 daah haya hongera Hamis unapambn sema mdogo mdogo ndio mwendo utatoboa tu

  • @aminamohammed-rq7ew
    @aminamohammed-rq7ew 7 місяців тому

    Ukweli ni kwamba huy hafeck maisha yupo really….Masha Allah Allah akusimamie

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 9 місяців тому +3

    Ndgu yngu umechzea snaa maisha alfu tatzo ulianza kujitapa snaaa wenzio hawanzi hvyo

  • @PanduOfficialTz
    @PanduOfficialTz 4 місяці тому

    Kaka Nakubali, Mwanzo mgumu ila naimani mda unakuja Utabarikiwa Sana 🙏

  • @alhajiFashions7563
    @alhajiFashions7563 6 місяців тому

    Juzi kati December nimekua mitaa hio daaaaah sema wewe ni Fighter brother!!!

  • @HarunaJuma-cg9ie
    @HarunaJuma-cg9ie 8 місяців тому +1

    Big up hamisi, Allah akufanyie wepesi

  • @aminamohammed-rq7ew
    @aminamohammed-rq7ew 7 місяців тому

    Ila nyie nimempenda huyu kaka anaishi kwenye uhalisia yaan nafurahia sana kuona maanii anaishi kiuhalisia 😊keep going bro

  • @MultiKenyana
    @MultiKenyana 8 місяців тому +10

    Humble guy and realest I’ve ever seen ✊🏽✊🏽

    • @baloz8974
      @baloz8974 8 місяців тому

      Most of the hamisi names are humbles

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 8 місяців тому +2

    congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl 8 місяців тому +2

    HAMISI FANYA MOVIE
    MZIKI HAUKUTAKI PIA
    AUNA MUONEKANO
    WA MUSIC MZEE MAANA DUH
    UMEKUWA KAMA MTU WA
    BONGO MOVIE DOGO FANYA MOVIE Mzee kwa uwezo
    wa allah UNAWEZA KUPITA KABISA UKAPATA MAFANIKIO

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 9 місяців тому +8

    Pole mdogo next time tafuta mzungu mkubwa sio hicho kitoto hanakuwa account zao hazina pesa ya kutosha wajerumani wabaili mno

    • @raymondclaud6026
      @raymondclaud6026 9 місяців тому

      Kabisa ila sio wabahili Sema wana nidhamu ya kutumia pesa😅

    • @user-iq3qs2fl3c
      @user-iq3qs2fl3c 9 місяців тому

      😅😅😅 nyie wajerumani waacheni😂😂🙌🙌

  • @hamischilinga6706
    @hamischilinga6706 9 місяців тому +4

    Ujue hayo ni mambo ya muda sio mpaka unataka kubadili dini kwa sababu ya mwanamke

  • @user-wv9zr2zm2h
    @user-wv9zr2zm2h 8 місяців тому

    Sawa mi sijaona baya... maisha yetu n aya aya..lkn dogo usafi n muimu...upangilie room yako vzr.. mbona fresh sana

  • @Chembika
    @Chembika 9 місяців тому +5

    Huyu dogo mkweli sana wekeni utaratibu hata wakuchangiwa asaidiwe ila huyu ndio kielelezo cha wasanii wengi unadhifu unawafichia mengi ila hawana maisha

  • @mikamwamba3554
    @mikamwamba3554 9 місяців тому +4

    Mungu amuongezee kijana uyu

  • @achalamila
    @achalamila 8 місяців тому +1

    Mtu safi kabisa huyu , vizuri sana. Lakini kuonyesha unacho au huna vyote ni makosa.

  • @khamismasms6095
    @khamismasms6095 8 місяців тому +1

    Umeachiwa kiblauz 😂😂 umetufelisha beach boy😂😂😂

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 9 місяців тому +15

    Mzungu aliyachoka hayo maisha!! Na alicho kiona kwa Hamisi hana muelkeo mwengine Badala ya mziki na kagunduwa kuwa mziki kwa bongo ni mgumu!!lakini pambana na uwache kufuru aliongea vitu vingi vya ovyo

    • @bakaromar8135
      @bakaromar8135 9 місяців тому +2

      Kweli umesema kweli huyu dogo alikuwa amesha anza kufuru fla sana alikuwa amesha anza ushetan

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 9 місяців тому +21

    Huyu jamaa na Dotto magari WANAISHI maisha ya Ukweli

    • @zainabzwena3156
      @zainabzwena3156 9 місяців тому +1

      Hakika

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 9 місяців тому +2

      😂😂😂 mitihani

    • @farijalanyoni5685
      @farijalanyoni5685 8 місяців тому

      Dotto ni Fake, huyu chalii ni real Dude

    • @PrinceBonnyTz8
      @PrinceBonnyTz8 8 місяців тому

      @@farijalanyoni5685 Ahsee Doto nae LYFE yake sio poa 🤣

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 9 місяців тому +3

    Hahaha tulio soma cuba, huyu anatudanganya

    • @MomadeMohammed
      @MomadeMohammed 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏☝☝☝

  • @Gab217
    @Gab217 8 місяців тому +1

    Huyu jamaa ni comedy😂😂

  • @user-vf6on5dk4t
    @user-vf6on5dk4t 8 місяців тому

    Hamisi nimkweri hamisi mungu anakuona ipo ridhiki yako Walausikate tamaaa mungu anaona

  • @asnatabdallah
    @asnatabdallah 9 місяців тому +7

    Dah inasikitisha sana jamani msaidieni uyu kija sio kuojiwa tu dada zamaradi msaidie uyu kijana walau kwa kazi iweze kumpatia kipato jamani mimi namfatilia sana salehe na nina mpenda sana na mara ya mwisho nilikuatana nae pale kwa Jessica salon magomeni please naombeni mumsaiidie jamani uyu kijana naangaliaga watu wengi anaowatembelea salehe lakini uyu kanigusa sana

  • @giztony2009
    @giztony2009 9 місяців тому +27

    Aje kahama huku aimbe live band atapata hela sana kupitia live performances kwa kuimba cover za wasanii

  • @user-rn5ov9lr4v
    @user-rn5ov9lr4v 8 місяців тому

    Eeeh jamn mzung ajakuachia chocht duuh mungu kweli tumuache tu alikuwa anatk kubadrsha din

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 9 місяців тому +2

    Apige kazi aaache Uboya hapoa anazingua sanaa

    • @ValessKenny
      @ValessKenny 8 місяців тому

      We kumaunann unamkejer kijana mwenzio

    • @jumakhamis226
      @jumakhamis226 6 місяців тому

      😂😂😂😂Amisi bhnaaa

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl 8 місяців тому +2

    Nakuona upo na KILOBA CHA BASMART RICE ni mchele bomba kinomaa

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 9 місяців тому +20

    Wazungu ni watu wa kujiachia sana na ni wa janja wakija nchi kama zetu za Africa huwa wanatafutaga marafiki hata kuwafanya wawe wapenzi wao ili tu waweze kujua na kufahamu zaidi tamaduni na kuto sumbuliwa katika vibali na katika harakati zao

  • @furahaseth1215
    @furahaseth1215 8 місяців тому +1

    Umenimeki Happy,kwamba Ukiona Wingu fasta Home daaa!

  • @user-ne5pw7pp9g
    @user-ne5pw7pp9g 9 місяців тому

    Pole njoo ZANZIBAR
    Wapo kibao huku

  • @user-ud3jt6hx5y
    @user-ud3jt6hx5y 9 місяців тому +3

    Daah hamisi we ni wakipekee sana pamba mdogo angu ukija iringa nione

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 8 місяців тому +1

    Sasa kodi inakaribia kuixh si ulipe kodi naww😂😂😂

  • @boazkingdaffer5330
    @boazkingdaffer5330 9 місяців тому +4

    Asee akijalibu kufake life atateseka pongezi kwake mana anaishi maisha yake halisi

  • @nmasare9364
    @nmasare9364 9 місяців тому +4

    Hayo ndo maisha ya vijana wengi hapa dar nashangaa sana mnavyoshangaa alaf wasanii kibao sana wanaish hayo maisha sema tu wakiambiwaga interview wanatafuta nyumba wanampooza kidogo mwenye nyumba wanaiweka vtu vyao viwili vitatu wanakuja kufanyiwa interview ni kama vile tu waigizaji wanavyoazimaga nyumba za kushootia hata interview nyingi za wasanii nyumba wanaomba

  • @sugashTv
    @sugashTv 8 місяців тому +3

    Huyu jamaa nimependa sana. Tumchangie isee...

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 9 місяців тому +3

    Eti mzungu hajanipa hela😂😂😂 pambana kaka fungu lako lipo tu mazal upo duniani riski yako hukosi

  • @user-nn3is3hr8u
    @user-nn3is3hr8u 8 місяців тому

    huyu kijana alisema yuko tayari kuwacha dini yake ya usilamu kwa ajili ya huyu mzungu mwitu, hahahahaaa. sasa imekuwaje?

  • @MskMtm
    @MskMtm 9 місяців тому +6

    Swaleh kila kitu anauliza 😂😂😂😂 et ule mfuko wanini had nimetamani kujua maisha yake so kwa maswali hayo😂😂😂

    • @user-rf6ie5fx9o
      @user-rf6ie5fx9o 8 місяців тому

      😂😂😂 hadi feni anauliza km zinafanya kazi

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 8 місяців тому

    Nampenda hamis from uk 🇬🇧 anaitaji msaada

  • @mulhatkahamiss
    @mulhatkahamiss 9 місяців тому +2

    Nimecheka kwakweli et pensi yangu😂😂 Allah akubari🙏 inshallah

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 9 місяців тому +12

    Bora umeonesha ukweli na watu i hope watakusaidia

  • @raheemkhalfani7209
    @raheemkhalfani7209 8 місяців тому +1

    unajua kitu,, Khamis upo true sana,, halafu pambana sana mungu atafungua milango,, . .

  • @rehemamsengo2805
    @rehemamsengo2805 6 місяців тому

    Aliweza atq kuomba ghetto Kwa washkaji wake ila kaonesha ualisia wake Allah akujaalie hamis ❤❤

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck 9 місяців тому +5

    wazungu kuishi nao kwa akili na kama akuwezeshi kufikia malengo achana naye

  • @Bombom-ze1sj
    @Bombom-ze1sj 8 місяців тому

    Inshaalah Soon You will win this Gme 💥💥💥 Ongera Sana ….

  • @bobboris4859
    @bobboris4859 9 місяців тому +1

    Ulisema hadi dini utabadlisha kisa mzungu sai unaona mambo yanavyobdlkaga ,shtuka mdogo wangu

  • @Mahirwazanzibar
    @Mahirwazanzibar 9 місяців тому +2

    Mwazo alikua ni mshamb wa wazung ila now nahis itakua kajifunz kajifunza, ila kit zur t ansem ukwel.

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 9 місяців тому +2

    Hyu ni mimi kabsa 😂😂😂😂 yni kama sna naomba adi watu wnashanga safi tu

  • @bdreams2793
    @bdreams2793 8 місяців тому

    Kaka u still young and u got talent please tzt people u Cnt not support this young guy bss mnafanya nn

  • @Dogochao
    @Dogochao 8 місяців тому +3

    Apambane ndio maisha. Kizuri yupo real.

  • @hassanamtunzitv2368
    @hassanamtunzitv2368 8 місяців тому

    Da! Imeniuma anavyoishi. Ila nampongeza kwa kutofeki maisha. Japo anahitaji kusaidiwa si kupatiwa ela bali apate kibarua sehemu ili akajitafutie maisha yenye unafuu.

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 9 місяців тому +2

    Umejitahid mwaya hongera sna