Yaani hii interview, muonekano wa geto na anavyoongea inanikumbusha mbali sana. Kiufupi vijana wengi wanaojielewa na wanatoka familia za kimaskini lazima upitie maisha haya. Safi sana Hamusi utadhani geto langu ila sasa naishi kwangu na mke na watoto 3. Nakuombea kwa Mungu akufungulue mlango.
Nilikuwa namchkulia poa sana huyu mshkaji ila kupitia hii interview ameniprove wrong, jamaa ni fighter na bado inaonekana anajitafuta na anahitaji support za watanzania kumfkisha pale anapotaka, naanza kukusaport, Na kuanzia sasaa mimi ni shabiki yako mpya, sitaacha kuangalia kudownload na kustream platform zako zotee Big Up Brother Keep It On And Never Ever Give Up
Mim mwana na mwelewa!!! sio kwamba anaigiza watu kazi!! Mungu akusimamie mwanang!! sanaa ina mambo mengiii sema Panga getto vizur,kak hata hauna ela lakin kuwa SMART MY BROTHER!
@@bwakahamisi9607 Amin kaka,,utafika mbali sana Kwa uwezo wa mungu ila kikubwa tu usifek life be really mtumainie mungu na pambana Sana utatoboa innshaala kaka
Ananikumbusha room yangu ya kwaza kupanga kwa mwezi elf 20 Kuna siku inapita bila Kula ila adi sasa nilipofikia nimejipata kidogo, Mungu atufanyie wepesi vijana watafutaji
Tulipia hapo hata ss wengine infact tuliaza kwa box la fridge kulalia but mungu mkubwa sana 🙏🏽, sahii tunamiliki majumba na magari but tumetoka mbali sana. Keep your dreams alive faith siku moja utafanikiwa
Kumchangia sio dhambi kutoa ni moyo pia na MUNGU anakupa zaidi unapoamua kujitoa.. Sio vibaya tukamchangia hata apate gase jaman .. Tunampenda ndomn tunamfuatilia hapa.
Wasanii wote wangekua kama hamisi bac wangefika mbali maana n rahis kusaidiwa Ila waliowengi uwongo2 nakupenda Mali zawa2 kufanya zao hongera hamis taratibu ndo mwendo utafika unapohitaji mungu yupo nawewe ❤❤
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉 💯 Kaka mshukuru mungu kwa hayo maisha uliyo nayo kwani wengine tunatamani sana ila tunaishia kuishi kwa wazazi. Sio kwamba hatuwezi kupanga ila HALI SIO HALI😢
Kwa kweli Hamisi wewe ni mtu wa ukweli mungu atakusimamia ndugu yangu zidi kusali nasi tunakuombea utakuja kuishi pazuri hayo ni maisha ya kupita usiwache kuomba mungu🤲🤲🤲🤲🤲🤲
DAH THIS LIFE IS NOT FEAR , NATAMANI WASANII WENZAKO AU WALIOFANIKIWA WAKUPE HATA SHOW ZA WEEKEND UPATE KIASI FLANI BRO CHA KUJIKIMU 😢 ILA BIG UP 🆙 HAMISI WA BSS TUPO PAMOJA NAWE
HAMISI FANYA MOVIE MZIKI HAUKUTAKI PIA AUNA MUONEKANO WA MUSIC MZEE MAANA DUH UMEKUWA KAMA MTU WA BONGO MOVIE DOGO FANYA MOVIE Mzee kwa uwezo wa allah UNAWEZA KUPITA KABISA UKAPATA MAFANIKIO
Huyu dogo mkweli sana wekeni utaratibu hata wakuchangiwa asaidiwe ila huyu ndio kielelezo cha wasanii wengi unadhifu unawafichia mengi ila hawana maisha
Mzungu aliyachoka hayo maisha!! Na alicho kiona kwa Hamisi hana muelkeo mwengine Badala ya mziki na kagunduwa kuwa mziki kwa bongo ni mgumu!!lakini pambana na uwache kufuru aliongea vitu vingi vya ovyo
Dah inasikitisha sana jamani msaidieni uyu kija sio kuojiwa tu dada zamaradi msaidie uyu kijana walau kwa kazi iweze kumpatia kipato jamani mimi namfatilia sana salehe na nina mpenda sana na mara ya mwisho nilikuatana nae pale kwa Jessica salon magomeni please naombeni mumsaiidie jamani uyu kijana naangaliaga watu wengi anaowatembelea salehe lakini uyu kanigusa sana
Wazungu ni watu wa kujiachia sana na ni wa janja wakija nchi kama zetu za Africa huwa wanatafutaga marafiki hata kuwafanya wawe wapenzi wao ili tu waweze kujua na kufahamu zaidi tamaduni na kuto sumbuliwa katika vibali na katika harakati zao
Hayo ndo maisha ya vijana wengi hapa dar nashangaa sana mnavyoshangaa alaf wasanii kibao sana wanaish hayo maisha sema tu wakiambiwaga interview wanatafuta nyumba wanampooza kidogo mwenye nyumba wanaiweka vtu vyao viwili vitatu wanakuja kufanyiwa interview ni kama vile tu waigizaji wanavyoazimaga nyumba za kushootia hata interview nyingi za wasanii nyumba wanaomba
Da! Imeniuma anavyoishi. Ila nampongeza kwa kutofeki maisha. Japo anahitaji kusaidiwa si kupatiwa ela bali apate kibarua sehemu ili akajitafutie maisha yenye unafuu.
Yaani hii interview, muonekano wa geto na anavyoongea inanikumbusha mbali sana. Kiufupi vijana wengi wanaojielewa na wanatoka familia za kimaskini lazima upitie maisha haya. Safi sana Hamusi utadhani geto langu ila sasa naishi kwangu na mke na watoto 3. Nakuombea kwa Mungu akufungulue mlango.
Hamis ana heshima sanaa anakukarubisha ingia tuu na viatu mi si nitafagiaa 😭😭😭 jamanii
NAOMBA MNISAIDIE NATAKA KUMNUNULIA GESI HAMISI
Nilikuwa namchkulia poa sana huyu mshkaji ila kupitia hii interview ameniprove wrong, jamaa ni fighter na bado inaonekana anajitafuta na anahitaji support za watanzania kumfkisha pale anapotaka, naanza kukusaport, Na kuanzia sasaa mimi ni shabiki yako mpya, sitaacha kuangalia kudownload na kustream platform zako zotee Big Up Brother Keep It On And Never Ever Give Up
Ahsante kaka ubarikiwe
Mim mwana na mwelewa!!! sio kwamba anaigiza watu kazi!! Mungu akusimamie mwanang!! sanaa ina mambo mengiii sema Panga getto vizur,kak hata hauna ela lakin kuwa SMART MY BROTHER!
Sasa pesa anaitoa wapi yakuapanga geto nakuwa smati
Nimependa hamisi anasema ukwer hafeki safi,,mungu atakubaliki kaka usikate tamaa
Ahsante ubarikiwe sana ndugu yangu
Allah azidi kumpigania. Ni mkweli kabisa
@@bwakahamisi9607 Amin kaka,,utafika mbali sana Kwa uwezo wa mungu ila kikubwa tu usifek life be really mtumainie mungu na pambana Sana utatoboa innshaala kaka
Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana
Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana
Usanii ni kazi ngum sana,,, unaanza kupata umaaru afu maisha bado
😂😂
Jina kubwaaa 😂😂😂😂😂
BSS alipata mzigo au alikuwa mshiriki tu?
Ananikumbusha room yangu ya kwaza kupanga kwa mwezi elf 20 Kuna siku inapita bila Kula ila adi sasa nilipofikia nimejipata kidogo, Mungu atufanyie wepesi vijana watafutaji
Acha tu mwanangu hayo yalikuwa maisha yanguu
Tulipia hapo hata ss wengine infact tuliaza kwa box la fridge kulalia but mungu mkubwa sana 🙏🏽, sahii tunamiliki majumba na magari but tumetoka mbali sana. Keep your dreams alive faith siku moja utafanikiwa
You don't show fake life like other people big up may Almighty Allah bless you all
Wabongo mnapend sana mtu awe chini but uyu hapa siyo kwake ila kajitahidi sana kuigiza yuko vzr big up
Ata mimi nazani
Mwenyez mungu ndo anaejua uhalisia we2 kiukweli mungu akujalie my friend maana sote bado tupo kwenye utaftaji😢
Kaka nimekuelewa kikubwa pambana na ukweli umuweka mtu hulu kuliko udanganye afu uje ufeli kabisa maisha afuukakosa musada
Kumchangia sio dhambi kutoa ni moyo pia na MUNGU anakupa zaidi unapoamua kujitoa.. Sio vibaya tukamchangia hata apate gase jaman .. Tunampenda ndomn tunamfuatilia hapa.
Nikwel tupate hta namb yake ili mweny chochote kitu ambarik jmn nimeumia japokuwa wote maisha magumu ila tunazidiana
Hongera kwakuishi maisha yk harisi amini IPO siku utafanikiwa
Ila anapambana pambana mungu atakubaliki usikate tamaa maisha sio Lele mama
Mimi kama mkenya I propose tutafute paybill tuchangie Hamisi❤❤
Wasanii wote wangekua kama hamisi bac wangefika mbali maana n rahis kusaidiwa Ila waliowengi uwongo2 nakupenda Mali zawa2 kufanya zao hongera hamis taratibu ndo mwendo utafika unapohitaji mungu yupo nawewe ❤❤
Mtangazaji yupo vizur sana...creativity
Bless dogo hsmiss ndio maisha yetu
Safi sana Bro umekuwa real Mungu aendelee kukusogeza sote tunatokeaga huko ayo ndo maisha yetu
Hakuna kitu gharama duniani kama uhuru na amani ata ukilala chini,
👏👏👏🙌
❤❤❤Nimempenda mkweli sana hafeki life big up mdogo wngu
Mungu akubariki Hamis hufek maisha,mdogomdogo maisha taratibu
Naomba watanzania mlio ona interview hii tuanze kumsaport huyu kijana kwanza anaeleza uhalisia wa maisha yake anahitaji saport pili ana hekima
Real and gud
...salute bro
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉💯
Kuna watu ata ayo maisha ya hamisi hana
Leo umekutana na chuma cha afrika 😂😂Safi saana khamis wengi wetu tunaanzia huko
Ahsante ndugu yangu Kwa baraka zako
Nimependa sana khamis ubarikiwe
@@bwakahamisi9607 usijali tuko pamoja
Mtanganzaj alijua anakaa nyumba hyo yenye mlango mzuri😂😂😂🙌
Jamani tumchangie hamis nime mpenda he is honest with his life
Sana. Nimkweli
Angeweka namba
Nani atatuwekea number jamani? Number yake direct tuweke ata kidogo.....
Nichangie me ,nipo vibaya zaidi yake Hamisi
p
Diamond platinumz mpe show uyo kaka ,,ikiwezekana achangiwe au apewe show Bado anajitafuta atajipata tu
😂😂😂😂😂
Nakushukuru sana endelea kunisapot mdogo wako Hamis Bss ubarikiwe sana
Dah uyo diamond tena😂😂😂jmn mtu yyt atae wez amsaidie sio mpk diamond
Huyu jamaa anajua kushukuru sana Mungu akujalie ufanikiwe
Ana hekma sana na ukarimu pia, Allah akupe hitaji la moyo wako inshaAllah ❤🙏🙏
Inshallah
Daaaah mwanangu ayoo ndoo maisha pambana
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉 💯
Kaka mshukuru mungu kwa hayo maisha uliyo nayo kwani wengine tunatamani sana ila tunaishia kuishi kwa wazazi. Sio kwamba hatuwezi kupanga ila HALI SIO HALI😢
Kweli
Kitendo tu cha kumiliki funguo ya chumba chako umeshajipata hongera sana mdogo wangu
Nimependa comment yako
Haya maishaa wanaishi watu wengi tu tnaotamani kua kama wao lakn n vile hatujui undani wa maisha yao
Mi nakuombea Mungu akutoe hapo na ukipata riziki usiache kumshukuru Mungu!nakuombea
Ungeliweka namba ya sim
Tungelikuchangia ununue gas
Na kitanda kabisa pmj
Na tv na king'amuz
Uyu mtangazaji nae.miyeyusho etii wash room...unaleta mambo ya kishua uswahilin😂😂😂
Kwa kweli Hamisi wewe ni mtu wa ukweli mungu atakusimamia ndugu yangu zidi kusali nasi tunakuombea utakuja kuishi pazuri hayo ni maisha ya kupita usiwache kuomba mungu🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Ahsante sana
DAH THIS LIFE IS NOT FEAR , NATAMANI WASANII WENZAKO AU WALIOFANIKIWA WAKUPE HATA SHOW ZA WEEKEND UPATE KIASI FLANI BRO CHA KUJIKIMU 😢 ILA BIG UP 🆙 HAMISI WA BSS TUPO PAMOJA NAWE
Fame before success, it's very hard. Usani ni mtihani
Mungu atakuvusha kaka hamids
Afanye kazi bhana
The guy is so honest with his life
Wow nimependa alivyo sema code inaisha Mungu akufanyie wepesi
Wanaume pia wanadanga😂 daah haya hongera Hamis unapambn sema mdogo mdogo ndio mwendo utatoboa tu
Ukweli ni kwamba huy hafeck maisha yupo really….Masha Allah Allah akusimamie
Ndgu yngu umechzea snaa maisha alfu tatzo ulianza kujitapa snaaa wenzio hawanzi hvyo
Kaka Nakubali, Mwanzo mgumu ila naimani mda unakuja Utabarikiwa Sana 🙏
Juzi kati December nimekua mitaa hio daaaaah sema wewe ni Fighter brother!!!
Big up hamisi, Allah akufanyie wepesi
Ila nyie nimempenda huyu kaka anaishi kwenye uhalisia yaan nafurahia sana kuona maanii anaishi kiuhalisia 😊keep going bro
Humble guy and realest I’ve ever seen ✊🏽✊🏽
Most of the hamisi names are humbles
congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
HAMISI FANYA MOVIE
MZIKI HAUKUTAKI PIA
AUNA MUONEKANO
WA MUSIC MZEE MAANA DUH
UMEKUWA KAMA MTU WA
BONGO MOVIE DOGO FANYA MOVIE Mzee kwa uwezo
wa allah UNAWEZA KUPITA KABISA UKAPATA MAFANIKIO
Pole mdogo next time tafuta mzungu mkubwa sio hicho kitoto hanakuwa account zao hazina pesa ya kutosha wajerumani wabaili mno
Kabisa ila sio wabahili Sema wana nidhamu ya kutumia pesa😅
😅😅😅 nyie wajerumani waacheni😂😂🙌🙌
Ujue hayo ni mambo ya muda sio mpaka unataka kubadili dini kwa sababu ya mwanamke
Sawa mi sijaona baya... maisha yetu n aya aya..lkn dogo usafi n muimu...upangilie room yako vzr.. mbona fresh sana
Huyu dogo mkweli sana wekeni utaratibu hata wakuchangiwa asaidiwe ila huyu ndio kielelezo cha wasanii wengi unadhifu unawafichia mengi ila hawana maisha
mi sikubali sio kweli hiyo kiki
Mungu amuongezee kijana uyu
Mtu safi kabisa huyu , vizuri sana. Lakini kuonyesha unacho au huna vyote ni makosa.
Umeachiwa kiblauz 😂😂 umetufelisha beach boy😂😂😂
Mzungu aliyachoka hayo maisha!! Na alicho kiona kwa Hamisi hana muelkeo mwengine Badala ya mziki na kagunduwa kuwa mziki kwa bongo ni mgumu!!lakini pambana na uwache kufuru aliongea vitu vingi vya ovyo
Kweli umesema kweli huyu dogo alikuwa amesha anza kufuru fla sana alikuwa amesha anza ushetan
Huyu jamaa na Dotto magari WANAISHI maisha ya Ukweli
Hakika
😂😂😂 mitihani
Dotto ni Fake, huyu chalii ni real Dude
@@farijalanyoni5685 Ahsee Doto nae LYFE yake sio poa 🤣
Hahaha tulio soma cuba, huyu anatudanganya
😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏☝☝☝
Huyu jamaa ni comedy😂😂
Hamisi nimkweri hamisi mungu anakuona ipo ridhiki yako Walausikate tamaaa mungu anaona
Dah inasikitisha sana jamani msaidieni uyu kija sio kuojiwa tu dada zamaradi msaidie uyu kijana walau kwa kazi iweze kumpatia kipato jamani mimi namfatilia sana salehe na nina mpenda sana na mara ya mwisho nilikuatana nae pale kwa Jessica salon magomeni please naombeni mumsaiidie jamani uyu kijana naangaliaga watu wengi anaowatembelea salehe lakini uyu kanigusa sana
Aje kahama huku aimbe live band atapata hela sana kupitia live performances kwa kuimba cover za wasanii
Ahsante kaka yangu ubarikiwe sana
@@bwakahamisi9607 yes
Eeeh jamn mzung ajakuachia chocht duuh mungu kweli tumuache tu alikuwa anatk kubadrsha din
Apige kazi aaache Uboya hapoa anazingua sanaa
We kumaunann unamkejer kijana mwenzio
😂😂😂😂Amisi bhnaaa
Nakuona upo na KILOBA CHA BASMART RICE ni mchele bomba kinomaa
Wazungu ni watu wa kujiachia sana na ni wa janja wakija nchi kama zetu za Africa huwa wanatafutaga marafiki hata kuwafanya wawe wapenzi wao ili tu waweze kujua na kufahamu zaidi tamaduni na kuto sumbuliwa katika vibali na katika harakati zao
Kabisa Yan💯💯
Umenimeki Happy,kwamba Ukiona Wingu fasta Home daaa!
Pole njoo ZANZIBAR
Wapo kibao huku
Daah hamisi we ni wakipekee sana pamba mdogo angu ukija iringa nione
Sawa kaka
Sasa kodi inakaribia kuixh si ulipe kodi naww😂😂😂
Asee akijalibu kufake life atateseka pongezi kwake mana anaishi maisha yake halisi
Hayo ndo maisha ya vijana wengi hapa dar nashangaa sana mnavyoshangaa alaf wasanii kibao sana wanaish hayo maisha sema tu wakiambiwaga interview wanatafuta nyumba wanampooza kidogo mwenye nyumba wanaiweka vtu vyao viwili vitatu wanakuja kufanyiwa interview ni kama vile tu waigizaji wanavyoazimaga nyumba za kushootia hata interview nyingi za wasanii nyumba wanaomba
hahahahahahaaa
Huyu jamaa nimependa sana. Tumchangie isee...
Eti mzungu hajanipa hela😂😂😂 pambana kaka fungu lako lipo tu mazal upo duniani riski yako hukosi
huyu kijana alisema yuko tayari kuwacha dini yake ya usilamu kwa ajili ya huyu mzungu mwitu, hahahahaaa. sasa imekuwaje?
Swaleh kila kitu anauliza 😂😂😂😂 et ule mfuko wanini had nimetamani kujua maisha yake so kwa maswali hayo😂😂😂
😂😂😂 hadi feni anauliza km zinafanya kazi
Nampenda hamis from uk 🇬🇧 anaitaji msaada
Nimecheka kwakweli et pensi yangu😂😂 Allah akubari🙏 inshallah
Bora umeonesha ukweli na watu i hope watakusaidia
unajua kitu,, Khamis upo true sana,, halafu pambana sana mungu atafungua milango,, . .
Aliweza atq kuomba ghetto Kwa washkaji wake ila kaonesha ualisia wake Allah akujaalie hamis ❤❤
wazungu kuishi nao kwa akili na kama akuwezeshi kufikia malengo achana naye
Inshaalah Soon You will win this Gme 💥💥💥 Ongera Sana ….
Ulisema hadi dini utabadlisha kisa mzungu sai unaona mambo yanavyobdlkaga ,shtuka mdogo wangu
Mwazo alikua ni mshamb wa wazung ila now nahis itakua kajifunz kajifunza, ila kit zur t ansem ukwel.
Hyu ni mimi kabsa 😂😂😂😂 yni kama sna naomba adi watu wnashanga safi tu
Kaka u still young and u got talent please tzt people u Cnt not support this young guy bss mnafanya nn
Apambane ndio maisha. Kizuri yupo real.
Da! Imeniuma anavyoishi. Ila nampongeza kwa kutofeki maisha. Japo anahitaji kusaidiwa si kupatiwa ela bali apate kibarua sehemu ili akajitafutie maisha yenye unafuu.
Umejitahid mwaya hongera sna
😂😂😂😂