MBUZI WAMEPANGIWA CHUMBA NYUMBANI ANAPOISHI ZAI WA KIJIWE NONGWA | WANALIPIWA NA KODI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" UA-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

КОМЕНТАРІ • 310

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama 9 місяців тому +27

    Na amejua usafi kwa nyumba👌 , ukitazama nje ya nyumba na ndani utadhani nyumba mbili tofauti

  • @user-cl9hg3uc8e
    @user-cl9hg3uc8e 10 місяців тому +56

    Nakupenda da zai af unayakubali maisha yako napenda unatueshimisha wauswailini❤❤❤❤

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l 8 місяців тому +7

    Ndani kwako kusafi Mashallah❤, maana kuna wadada wanapenda kujipodoa Ila ukiona anapoka, nyumba chafu😢.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 10 місяців тому +31

    Mash Allah Zai umejitahidi Kuzuri nyumbani kwako.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 10 місяців тому +19

    Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤

  • @btylove1870
    @btylove1870 10 місяців тому +28

    Zai ngozi inaglow, nywele umependeza sana. Nakupenda sana❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 місяців тому +4

    Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 10 місяців тому +14

    Hongera Zai unaishi maisha halisi..

  • @user-qc9xt4dp1i
    @user-qc9xt4dp1i 10 місяців тому +17

    uyu kweli anakaa kijiwe nongwa mana nyumba mbaya arafu chafu ila ndani kama upo masaki vile hii inaitwa mchngnye adui yko😂

  • @user-lt3iz5kb8v
    @user-lt3iz5kb8v 10 місяців тому +9

    Aisee...unajitahidi sana hongera,ndo maana nakupenda utafika mbali

  • @sashah_ace8598
    @sashah_ace8598 10 місяців тому +12

    ni mkweli sana hana baya mashallah ALLAH AKUZIDISHIDIE

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 9 місяців тому +13

    Hongera dada maisha yako ndo hayo na huna haja ya kuficha ficha 😍

  • @aishachuma9
    @aishachuma9 10 місяців тому +12

    Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 10 місяців тому +7

    Me sidondoki ndo nshafiwa nna uchungu wangu naomba mniache mm uuuwwiii mbavu zangu 😂😂😂😂

  • @vero57
    @vero57 10 місяців тому +22

    KWELI KABISA DADA ZAI , MAPEZI YAKO TOKA EZI , SOMESHA WATOTO WAKO MWANYA, NYUMBA SAFI SANA, HONGERA SANA DADA ZAI.

  • @aminasalim8708
    @aminasalim8708 10 місяців тому +60

    Nyumba mbaya ndani munzuriii🎉🎉❤iyo ndo vzr kuish na wanga😂

    • @hawasaid7151
      @hawasaid7151 10 місяців тому +1

      Kabisaaa yan😂😂

    • @aminasalim8708
      @aminasalim8708 10 місяців тому +3

      @@hawasaid7151 na mtangazaji mbea mmmh anauliza adi ndani ya friji kunanini😂

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 10 місяців тому +4

      Kama huku UK ndugu yangu majumba nje mabaya nyengine hata plaster hazijapigwa lakini ndani kuzuri na mimi nyumba yangu nimejenga hivo hivo nje kubaya ndani ndo kuzuri😂

    • @aminasalim8708
      @aminasalim8708 10 місяців тому

      @@FatimaAli-of4gh umefany vzr wachaw apo awaji😅😅😅adi marafik zako wataishia nje chuki zitakua kiasi t ila wakiingia ndani umekwisha

    • @fauziasultanikilewa7602
      @fauziasultanikilewa7602 10 місяців тому

      ​@@aminasalim8708😂😂😂😂😂😂😂

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 10 місяців тому +5

    Dada. Zai Una mimba 😊🙄 au umenenpa jamani nakupenda you’re so real ❤😊

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 10 місяців тому

      Alishazaa kwenye pazia alikuanayo

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 9 місяців тому +4

    Eeeh Zaii, mambo siyo mabaya. Hongera sanaa. Nyumba inawakaa , heee. Kwa kwekili hongera.

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 7 місяців тому +2

    Wawooo chumba kizuri hongera zai

  • @nayfatsalim7828
    @nayfatsalim7828 9 місяців тому +3

    nimecheka ety wkija wnakaa chni mweny nyumba nd nakaa juu hhhh..Kweny friji umekua mpole mbna😂

  • @user-tm5ns8hu6q
    @user-tm5ns8hu6q 10 місяців тому +8

    Nampenda sana daazai anachekesha sana

  • @RahmaAwadh-ul9yu
    @RahmaAwadh-ul9yu 10 місяців тому +4

    Nimecheka hiyo mwenye nyumba nakaa kwenye kochi wanaokuja katazama tamthilia watakaa chini🤣🤣🤣

  • @annamwanyilu7020
    @annamwanyilu7020 10 місяців тому +8

    Jaman zai umetisha dada Huna shda hongera kwa kuendelea kuwa maarufu Mungu akujalie mafanikio zaidi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 10 місяців тому +11

    😂😂😂😂😂😂😂😂zai katika ubora wake..
    Jamani siku ukianza kukaa uswahili huwezi hama kirahisi sababu Kuna raha yake uko.. kila nyumba kinapikwa kitu asubuhi 😂wengine jioni😂😂hekaheka kibao,sasa unahama vipi??

    • @user-bg9cr4pn2p
      @user-bg9cr4pn2p 10 місяців тому

      Alafu dazai awezi hama kirais maana Kilaeo yuwapata matukio yakutuletes ss

  • @nenengopoos5476
    @nenengopoos5476 10 місяців тому +8

    Mashaalah zai anaishi uhalisia

  • @rosemaryrwabibi5908
    @rosemaryrwabibi5908 10 місяців тому +8

    Maisha ya uswahilini raha sana nje ni tofauti na ndani

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 10 місяців тому +37

    Zai nakupenda sana mdogo wangu maana huna majivuno wala kujikweza unajieleza ulivyo huongezi hupunguzi. Halafu nakushauri kitu. Nyumba ni choo urembo wako wote unaangaliwa chooni. Changeni mkitengeneze vizuri. Choo raha sio karaha

    • @nasraniko-mr2lv
      @nasraniko-mr2lv 10 місяців тому +2

      Sasa ww unavyosema nyumba ni choo hiyo ya wapangaji au ya mwenye nyumba huo ushauri dada angu ungempa mama mwenye nyumba sio zai

    • @NaseebMgono-wl3bu
      @NaseebMgono-wl3bu 10 місяців тому

      😂😂😂😂

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 10 місяців тому +1

      @@nasraniko-mr2lv kunywa Pepsi nakuja kulipa mwaya yani akarabati choo kwenye nyumba ya kupanga badala ya kumshauri ajenge ahamie kwake ndo apaweke vizuri

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 9 місяців тому +2

      Anajiamini mbon mastaa hawaonyeshi vyumba

    • @fatumahashimmcheni9610
      @fatumahashimmcheni9610 9 місяців тому

      Zai umesaau kumkalibisha mgeni ata ka sodaaa
      Basi ataa maji

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 10 місяців тому +5

    Nyumba ndani na nje tofauti 😂😂😂kiboko kqbisa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 місяців тому +2

    😅😂maisha yaliyochachuka😁😁❤❤❤

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 10 місяців тому +10

    Hafake jamani nimpenda wajina😂😂😂😂😂

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 9 місяців тому +1

    Maashaallah , da zai , Allah akuzidishiye kwjuhudizako .

  • @mwanashoogobo1785
    @mwanashoogobo1785 9 місяців тому +1

    Zai nakupenda ndiyo story zishaanza hivyo kijiwe nongwa❤️❤️🇰🇪🇰🇪

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 10 місяців тому +15

    MAISHA HALISI YA USWAHILIN NI HAYA NAKUPENDA DADA YANGU ZAI NIMEKAA SANA BUGULUN KWA MNYAMAN MAANA UKO FULL USWAHILIN

  • @alodiadiocless3546
    @alodiadiocless3546 10 місяців тому +7

    Nakupenda sana zai unajua kutufuraisha

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 9 місяців тому +3

    ❤❤❤nimependa dazai kwako pazuri mungu akujalie update njumbayako inshaallah

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 7 місяців тому +1

    Eti Mwanakhamis Miziwa akikulazia maziwa anaweza kukuua... 😂😂😂

  • @Kalthoom-ru3mq
    @Kalthoom-ru3mq 10 місяців тому +7

    Zai nakupenda lnshaallah nikilaliwa kulud oman takutafut kpz unazawad yako❤

  • @faidhacute
    @faidhacute 10 місяців тому +3

    Da zai buaana hyo stori et angepigwa mwanamke WA sinza ingekuwa shughul 😂😂😂

  • @ashaproudofyoubabahaji8523
    @ashaproudofyoubabahaji8523 18 днів тому

    Zai very organise mashaallah

  • @mwanjinzara8009
    @mwanjinzara8009 10 місяців тому +3

    Mtangazaji konyo mpaka chumban mweee😅😅😅

  • @user-dd6wr6bc5f
    @user-dd6wr6bc5f 10 місяців тому +3

    Yani zai anaongea Kama anasutanaaa😅😅😅😅

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 9 місяців тому +4

    Watu kama hawa ukute anamjengo unajengwa huko

  • @Lexerjoh
    @Lexerjoh 9 місяців тому +12

    she is so real i love her💌💌💌

  • @user-sb2sb8ri6t
    @user-sb2sb8ri6t 10 місяців тому +2

    Mie sikujua kumbe kijiwe nogwa ipo vingunguti😂😂😂

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m 10 місяців тому +1

    Duh mpka room😂😂hatari
    Zai ww una visaa😂😂😂et godoro linatupwa kitu gan kile utasema meli😂😂😂😂

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 10 місяців тому +4

    Dada yupo simple hanaga mbambamba!😂

  • @user-yy5tm4mx4o
    @user-yy5tm4mx4o 9 місяців тому +2

    Hahahahaaaa nimecheka Mpaka basi naangalia hapa kipindi Daa Shoga Bonge La Duka Nimekukubali Aisee Mpaka Mbuzi Wamepangiwa Chumba!!!

    • @rachelmasunga4989
      @rachelmasunga4989 6 місяців тому

      😅😅😅😅Yaan jamani mbuzi walivyokuwa na halufu😅😅

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 10 місяців тому +5

    Uko vizuri Zai , hongera

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 10 місяців тому +4

    Nimeabza kicheka ata sijasikuliza😂😂😂😂

  • @shanihussein7615
    @shanihussein7615 9 місяців тому +1

    Nakupenda sana allah azidi kujufungulia milango ya rizki kipenzi

  • @user-bg9cr4pn2p
    @user-bg9cr4pn2p 10 місяців тому +3

    MashaAllah dazai umejipanga

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 10 місяців тому +6

    😂😂😂Zay eti napenda maisha yaliyochachuka

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 10 місяців тому +5

    Huyu dada hatar 😂😂

  • @lovenessoscar4102
    @lovenessoscar4102 9 місяців тому +1

    Ila zai😂😂😂 me nakupenda tu bure❤❤

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x 7 місяців тому +1

    Chumba kimepangishwa mbuzi hiii kali kweli kijiwe nongwa

  • @dottohami
    @dottohami 10 місяців тому +6

    Mashaallh zai ndani kwako pazuri 🥰

  • @dijahmbinyo7301
    @dijahmbinyo7301 10 місяців тому +2

    Good interview. But SALEH jitahidi kusema pole mtu kama ivo kasema jambo inafaa ungesema ata “aiseee polee”

  • @user-vx1pw5dq7k
    @user-vx1pw5dq7k 10 місяців тому +5

    Kwa zai pasafi ongera zake ila uswahli kwengine kuchfu adi mazingira duuh

  • @rachelmasunga4989
    @rachelmasunga4989 6 місяців тому +1

    Nimependa Ila for me jamani huwa sipendi mivitu mingi ndani sasa hapa anadekiije ndani Yaan usafi anafanyaje jamani

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 9 місяців тому +1

    Nakupenda sana dada zaii mungu akubariki sanaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y 8 місяців тому

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY SISTER FROM TZ I A. PROUD OF YOU MY DUA ALWAYS WITH YOU MY ALLAH .MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE TRUE 👍 I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ U MY SISTER U ARE HARD WORKER I AM PROUD OF YOU REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 8 місяців тому +1

    Kwahiyo mbuzi ni wapangaji wenzio zai😊😊😊

    • @RakaPk
      @RakaPk 7 місяців тому

      😂😂😂😂🎉

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 10 місяців тому +4

    Zai nimegundua mzuka unapanda ukiwa kijiweni 😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @ashurasaid7204
      @ashurasaid7204 10 місяців тому +1

      😂😂😂kweli alivoinuka kijiwe nongwa alivoingia dukan na mzuka umepotea

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 10 місяців тому +1

      @@ashurasaid7204 hata nyumbani haikuwa hivyo 😁😁

  • @user-lq7kv7sx3t
    @user-lq7kv7sx3t 6 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂 dah.!
    Hichokipgo kwakweli

  • @rucyamon
    @rucyamon 21 день тому

    Hongera

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 9 місяців тому

    My wangu zai ❤️❤️❤️🥰hufeki life dadaangu mzuri

  • @user-dn5mq3fw5s
    @user-dn5mq3fw5s 9 місяців тому +1

    Msafi mashaalh hadi Raha 🎉🎉🎉❤

  • @HarunAyoub
    @HarunAyoub 6 місяців тому +1

    Hahahah mwenye nyumba ndio anakalia kiti

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv 10 місяців тому +4

    Mbona raha napenda maisha hayo ningeishi nawewe ningenenepa

  • @sikudhanimoshi6967
    @sikudhanimoshi6967 10 місяців тому +2

    Mashallah zai mm sina ata kitanda

  • @fridaminja7191
    @fridaminja7191 7 місяців тому +1

    😀😀😀😀😀😀nimefurahi sana

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x 7 місяців тому +1

    Mwambie mwenye nyumba akuwekeee vizingiti ili maji yasiiingie ndani iyo nyumba iko chini sana kiasi maji yaingie. Ndani

  • @yourthebest4544
    @yourthebest4544 10 місяців тому +2

    😅😅😅..Ila dada zai nakupenda sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 10 місяців тому +3

    Waangalia TV mje na viti vyenu😂😂😂

  • @fanuelmahenge2853
    @fanuelmahenge2853 7 місяців тому +1

    Midundo imeanikwa njee inakauka😂😂🤣🤣

    • @Nailaty564
      @Nailaty564 7 місяців тому

      Huwezi kumsikiliza zai usicheke😂😂😂

  • @user-ri4bm8ly3c
    @user-ri4bm8ly3c 9 місяців тому +2

    Mob lov from Kenya ❤❤

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z 10 місяців тому +14

    Nimependa maisha ya zai hana majigambo penda sn zai

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 10 місяців тому +3

    Maishs ya simple sana lsmata among uyu dada tumuone mjua kali

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 9 місяців тому +2

    Gigy money njoo uone watu wanaishi maisha wanayo yaweza

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 10 місяців тому +4

    Zai anasema kweli kunawatu awapendi nyumba zilizopooza kuna mpangaji alipanga kwetu akaondoka akasema hapa pamepooza nahama

    • @RakaPk
      @RakaPk 7 місяців тому

      😂😂😂😂🎉

  • @user-ix4tm1mx3z
    @user-ix4tm1mx3z 7 місяців тому +1

    Nakupenda tu

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 9 місяців тому

    😂😂😂 salehe jamani mmbea❤❤ unamuhijikila kitu dazai

  • @hadijahassan6467
    @hadijahassan6467 10 місяців тому +29

    MASHALLAH PAZURI 📌

  • @asyamohammed5091
    @asyamohammed5091 9 місяців тому

    Alaa saleh nawee mmbeaa sanaa ivo unavo ulizaa 😂😂😂 hatariiiii

  • @helenaegidy-vk4eu
    @helenaegidy-vk4eu 10 місяців тому +3

    Kweny kupka majran wanangu watakula me hoi🤣🤣

  • @masikasaidi8805
    @masikasaidi8805 9 місяців тому +1

    Hadi choon katisha Saleh mbeaaaa

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 9 місяців тому

    Zai nakupenda sana nakuangalia kutoka Norway natamani nikija dar nikutembelee kijiwe nongwa

  • @husnatmsangeni739
    @husnatmsangeni739 10 місяців тому +5

    😂😂😂zai nimecheka sana nakupenda bure

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 10 місяців тому +2

    Msafi mashaalah❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 10 місяців тому +6

    ILA SALEH MMBEA UWIIIIIII

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 10 днів тому

    Nimependaa uhalisia wamaisha yakee watuwengi hawana hichoo kituuu,

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 6 місяців тому +2

    Mzee wavibwato zai unajitaidi kujipambania

  • @QueenGabriel-ys7eh
    @QueenGabriel-ys7eh 10 місяців тому +1

    Kiduka kimejaa sabuni na pipi😆😆😆😅😅zaii we kiboko

  • @aminachappa8677
    @aminachappa8677 8 місяців тому

    ❤❤❤zai Nakupenda bure tu Dadangu

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 10 місяців тому +4

    😂😂😂😂et wamemchota nyayo

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 7 місяців тому +1

    Umeme mia tano😂😂😂😂

  • @Mtizii
    @Mtizii 9 місяців тому

    Wanaume wasio na kazi kindu chaliiii wanazimia ikifika jioni daah 😂😂😂

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 10 місяців тому +7

    Ila maisha ya uswahilini mazuri ila yana ugumu wake aaaiisee😅

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 10 місяців тому +6

    Kwako pazuri

  • @shilakodeni2853
    @shilakodeni2853 7 місяців тому +1

    Pazuri sana unajitahidi zai