Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤
Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤
Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤
Kama huku UK ndugu yangu majumba nje mabaya nyengine hata plaster hazijapigwa lakini ndani kuzuri na mimi nyumba yangu nimejenga hivo hivo nje kubaya ndani ndo kuzuri😂
😂😂😂😂😂😂😂😂zai katika ubora wake.. Jamani siku ukianza kukaa uswahili huwezi hama kirahisi sababu Kuna raha yake uko.. kila nyumba kinapikwa kitu asubuhi 😂wengine jioni😂😂hekaheka kibao,sasa unahama vipi??
Zai nakupenda sana mdogo wangu maana huna majivuno wala kujikweza unajieleza ulivyo huongezi hupunguzi. Halafu nakushauri kitu. Nyumba ni choo urembo wako wote unaangaliwa chooni. Changeni mkitengeneze vizuri. Choo raha sio karaha
@@nasraniko-mr2lv kunywa Pepsi nakuja kulipa mwaya yani akarabati choo kwenye nyumba ya kupanga badala ya kumshauri ajenge ahamie kwake ndo apaweke vizuri
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY SISTER FROM TZ I A. PROUD OF YOU MY DUA ALWAYS WITH YOU MY ALLAH .MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE TRUE 👍 I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ U MY SISTER U ARE HARD WORKER I AM PROUD OF YOU REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Na amejua usafi kwa nyumba👌 , ukitazama nje ya nyumba na ndani utadhani nyumba mbili tofauti
Nakupenda da zai af unayakubali maisha yako napenda unatueshimisha wauswailini❤❤❤❤
Ndani kwako kusafi Mashallah❤, maana kuna wadada wanapenda kujipodoa Ila ukiona anapoka, nyumba chafu😢.
Mash Allah Zai umejitahidi Kuzuri nyumbani kwako.
Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤
Zai ngozi inaglow, nywele umependeza sana. Nakupenda sana❤
Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤
Hongera Zai unaishi maisha halisi..
uyu kweli anakaa kijiwe nongwa mana nyumba mbaya arafu chafu ila ndani kama upo masaki vile hii inaitwa mchngnye adui yko😂
Aisee...unajitahidi sana hongera,ndo maana nakupenda utafika mbali
ni mkweli sana hana baya mashallah ALLAH AKUZIDISHIDIE
Hongera dada maisha yako ndo hayo na huna haja ya kuficha ficha 😍
Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤
Me sidondoki ndo nshafiwa nna uchungu wangu naomba mniache mm uuuwwiii mbavu zangu 😂😂😂😂
KWELI KABISA DADA ZAI , MAPEZI YAKO TOKA EZI , SOMESHA WATOTO WAKO MWANYA, NYUMBA SAFI SANA, HONGERA SANA DADA ZAI.
Nyumba mbaya ndani munzuriii🎉🎉❤iyo ndo vzr kuish na wanga😂
Kabisaaa yan😂😂
@@hawasaid7151 na mtangazaji mbea mmmh anauliza adi ndani ya friji kunanini😂
Kama huku UK ndugu yangu majumba nje mabaya nyengine hata plaster hazijapigwa lakini ndani kuzuri na mimi nyumba yangu nimejenga hivo hivo nje kubaya ndani ndo kuzuri😂
@@FatimaAli-of4gh umefany vzr wachaw apo awaji😅😅😅adi marafik zako wataishia nje chuki zitakua kiasi t ila wakiingia ndani umekwisha
@@aminasalim8708😂😂😂😂😂😂😂
Dada. Zai Una mimba 😊🙄 au umenenpa jamani nakupenda you’re so real ❤😊
Alishazaa kwenye pazia alikuanayo
Eeeh Zaii, mambo siyo mabaya. Hongera sanaa. Nyumba inawakaa , heee. Kwa kwekili hongera.
Wawooo chumba kizuri hongera zai
nimecheka ety wkija wnakaa chni mweny nyumba nd nakaa juu hhhh..Kweny friji umekua mpole mbna😂
Nampenda sana daazai anachekesha sana
Nimecheka hiyo mwenye nyumba nakaa kwenye kochi wanaokuja katazama tamthilia watakaa chini🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Jaman zai umetisha dada Huna shda hongera kwa kuendelea kuwa maarufu Mungu akujalie mafanikio zaidi
😂😂😂😂😂😂😂😂zai katika ubora wake..
Jamani siku ukianza kukaa uswahili huwezi hama kirahisi sababu Kuna raha yake uko.. kila nyumba kinapikwa kitu asubuhi 😂wengine jioni😂😂hekaheka kibao,sasa unahama vipi??
Alafu dazai awezi hama kirais maana Kilaeo yuwapata matukio yakutuletes ss
Mashaalah zai anaishi uhalisia
Maisha ya uswahilini raha sana nje ni tofauti na ndani
Zai nakupenda sana mdogo wangu maana huna majivuno wala kujikweza unajieleza ulivyo huongezi hupunguzi. Halafu nakushauri kitu. Nyumba ni choo urembo wako wote unaangaliwa chooni. Changeni mkitengeneze vizuri. Choo raha sio karaha
Sasa ww unavyosema nyumba ni choo hiyo ya wapangaji au ya mwenye nyumba huo ushauri dada angu ungempa mama mwenye nyumba sio zai
😂😂😂😂
@@nasraniko-mr2lv kunywa Pepsi nakuja kulipa mwaya yani akarabati choo kwenye nyumba ya kupanga badala ya kumshauri ajenge ahamie kwake ndo apaweke vizuri
Anajiamini mbon mastaa hawaonyeshi vyumba
Zai umesaau kumkalibisha mgeni ata ka sodaaa
Basi ataa maji
Nyumba ndani na nje tofauti 😂😂😂kiboko kqbisa
😅😂maisha yaliyochachuka😁😁❤❤❤
Hafake jamani nimpenda wajina😂😂😂😂😂
Maashaallah , da zai , Allah akuzidishiye kwjuhudizako .
Zai nakupenda ndiyo story zishaanza hivyo kijiwe nongwa❤️❤️🇰🇪🇰🇪
MAISHA HALISI YA USWAHILIN NI HAYA NAKUPENDA DADA YANGU ZAI NIMEKAA SANA BUGULUN KWA MNYAMAN MAANA UKO FULL USWAHILIN
Nakupenda sana zai unajua kutufuraisha
❤❤❤nimependa dazai kwako pazuri mungu akujalie update njumbayako inshaallah
Eti Mwanakhamis Miziwa akikulazia maziwa anaweza kukuua... 😂😂😂
Zai nakupenda lnshaallah nikilaliwa kulud oman takutafut kpz unazawad yako❤
Sana kabisa abaya mhimu arafu anaishi vingunguti karibu na kwetu tabata
Da zai buaana hyo stori et angepigwa mwanamke WA sinza ingekuwa shughul 😂😂😂
Zai very organise mashaallah
Mtangazaji konyo mpaka chumban mweee😅😅😅
Yani zai anaongea Kama anasutanaaa😅😅😅😅
Watu kama hawa ukute anamjengo unajengwa huko
she is so real i love her💌💌💌
Mie sikujua kumbe kijiwe nogwa ipo vingunguti😂😂😂
Duh mpka room😂😂hatari
Zai ww una visaa😂😂😂et godoro linatupwa kitu gan kile utasema meli😂😂😂😂
Dada yupo simple hanaga mbambamba!😂
Hahahahaaaa nimecheka Mpaka basi naangalia hapa kipindi Daa Shoga Bonge La Duka Nimekukubali Aisee Mpaka Mbuzi Wamepangiwa Chumba!!!
😅😅😅😅Yaan jamani mbuzi walivyokuwa na halufu😅😅
Uko vizuri Zai , hongera
Nimeabza kicheka ata sijasikuliza😂😂😂😂
Nakupenda sana allah azidi kujufungulia milango ya rizki kipenzi
MashaAllah dazai umejipanga
😂😂😂Zay eti napenda maisha yaliyochachuka
Huyu dada hatar 😂😂
Ila zai😂😂😂 me nakupenda tu bure❤❤
Chumba kimepangishwa mbuzi hiii kali kweli kijiwe nongwa
Mashaallh zai ndani kwako pazuri 🥰
Good interview. But SALEH jitahidi kusema pole mtu kama ivo kasema jambo inafaa ungesema ata “aiseee polee”
Kwa zai pasafi ongera zake ila uswahli kwengine kuchfu adi mazingira duuh
Nimependa Ila for me jamani huwa sipendi mivitu mingi ndani sasa hapa anadekiije ndani Yaan usafi anafanyaje jamani
Nakupenda sana dada zaii mungu akubariki sanaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY SISTER FROM TZ I A. PROUD OF YOU MY DUA ALWAYS WITH YOU MY ALLAH .MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE TRUE 👍 I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ U MY SISTER U ARE HARD WORKER I AM PROUD OF YOU REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwahiyo mbuzi ni wapangaji wenzio zai😊😊😊
😂😂😂😂🎉
Zai nimegundua mzuka unapanda ukiwa kijiweni 😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂kweli alivoinuka kijiwe nongwa alivoingia dukan na mzuka umepotea
@@ashurasaid7204 hata nyumbani haikuwa hivyo 😁😁
😂😂😂😂😂 dah.!
Hichokipgo kwakweli
Hongera
My wangu zai ❤️❤️❤️🥰hufeki life dadaangu mzuri
Msafi mashaalh hadi Raha 🎉🎉🎉❤
Hahahah mwenye nyumba ndio anakalia kiti
Mbona raha napenda maisha hayo ningeishi nawewe ningenenepa
Mashallah zai mm sina ata kitanda
😀😀😀😀😀😀nimefurahi sana
Mwambie mwenye nyumba akuwekeee vizingiti ili maji yasiiingie ndani iyo nyumba iko chini sana kiasi maji yaingie. Ndani
😅😅😅..Ila dada zai nakupenda sana
Waangalia TV mje na viti vyenu😂😂😂
Midundo imeanikwa njee inakauka😂😂🤣🤣
Huwezi kumsikiliza zai usicheke😂😂😂
Mob lov from Kenya ❤❤
Nimependa maisha ya zai hana majigambo penda sn zai
Ni kwel
Maishs ya simple sana lsmata among uyu dada tumuone mjua kali
Hahaha hawez kukosaa lazima atakuwepo
Gigy money njoo uone watu wanaishi maisha wanayo yaweza
Zai anasema kweli kunawatu awapendi nyumba zilizopooza kuna mpangaji alipanga kwetu akaondoka akasema hapa pamepooza nahama
😂😂😂😂🎉
Nakupenda tu
😂😂😂 salehe jamani mmbea❤❤ unamuhijikila kitu dazai
MASHALLAH PAZURI 📌
Alaa saleh nawee mmbeaa sanaa ivo unavo ulizaa 😂😂😂 hatariiiii
Kweny kupka majran wanangu watakula me hoi🤣🤣
😂😂😂😂
Hadi choon katisha Saleh mbeaaaa
Zai nakupenda sana nakuangalia kutoka Norway natamani nikija dar nikutembelee kijiwe nongwa
😂😂😂zai nimecheka sana nakupenda bure
Msafi mashaalah❤❤
ILA SALEH MMBEA UWIIIIIII
Nimependaa uhalisia wamaisha yakee watuwengi hawana hichoo kituuu,
Mzee wavibwato zai unajitaidi kujipambania
Kiduka kimejaa sabuni na pipi😆😆😆😅😅zaii we kiboko
❤❤❤zai Nakupenda bure tu Dadangu
😂😂😂😂et wamemchota nyayo
Umeme mia tano😂😂😂😂
Wanaume wasio na kazi kindu chaliiii wanazimia ikifika jioni daah 😂😂😂
Ila maisha ya uswahilini mazuri ila yana ugumu wake aaaiisee😅
Kwako pazuri
Pazuri sana unajitahidi zai