Huu jamaa ni msani ila watoto anawalea mazingira ya dini watoto wanajistiri mtoto anajua muda wa ibada MashaAllah nimefurahi kweli
Mashaallah Kayra anajistiri jamani ALLAH Akulinde mtoto mzuri
Qaillah is very composed for her age.
She's so mature for her age.
Big up bro❤
Napenda baba hanae penda watto wake na kulea kama we shetta wanaume wengi wanajua kumbwaga mbegu tu na jukum la kulea rinabaki kwa mma peke wanajifanya wao wanaume hawawezi kulea lkn sio kweri we umeweza hongera my brother,,na wanaume wengine wakuige aisee ❤❤❤❤
Ongera sn sheta wewe ni baba bora una mapenzi na wtt wk adi raha ❤👏👏🙏
Life kweli inachange Mzee shetta nikikumbuka enzi ya hakuna kulala pale Ilala dahh!!.. tunagonga story kiboya boya saizi Mzee life limenoga. Big up sana mzee.
Mashallah yaaan mbaka nimependa hii family ubarikiwe SNA shetta wewe ni baba wa kuigwa wallah
Mashallah mungu ambariki shetaa na kizazi chake yni wakarimu balaa❤❤❤😍🙏
Unajua kuna wasanii wana pesa ila wanaweza kucontroll hanasa tu hawawez kuorganize watoto wao japokuwa wana nguvu ya fame na money inabidi wajifunze kwako mwanangu nahis hao binti zako n mama tofauti lakin umetumia effort ya kiume kuonganisha binti zako na kulea vizur na kwa muonekano tu inaonyesha jinsi gani watoto walivyo na furaha kwa baba yao. Safi mzee unastahili kwel kurun izo ngo's za ukatili wa watoto. Big up men
Hili la Binti wa mama tofauti umelipata wapi, hao watoto ni wababa mmoja na mama mmoja
Qayla ni kiongozi haswa all the best toto❤
Nimependa maisha ya shetta big up broo
Nimependa malezi ya watoto jamani hadi raha
Daaah hiii family ♥️ Dua San aiseee
Mbona bro naona hapa hujatenda haki, wale wanyonge unawa enjoy sana but Kwa chetta ume shindwa kumtembeza Kwa nyumba yake, tunge penda kuona bedroom yake kama unavyo tuonyesha za wengine
Safi sana Shetta kwa hii organization yako! Hili tatizo linazidi kuwa kubwa! Awareness ni muhimu
MASHALLAH HONGERA SANA KAKA
Mashallah kaila ni mrembo
Mashaa allah❤❤❤❤🎉
Leo umekuwa mpole aupo kene geto la BAGA😂
Mashaallah jamanii nice family❤❤❤❤❤😍😍😍😍😍😍😍
Yani mie muda wote namuangalia huyo last born ananichekesha tu yani hatulii ☺☺☺
Mashalah,,sheta anampenda Sana wanae,,hususan kayra,,,ila karya karembo mashalah,, mungu akubariki Sana awabariki wote as family
Never give up sheta bro
Wonderful family
Be Blessed 🙏🏽
Nimependa. Malezi. Yako. Broo.
Mungu awabariki sana wew ni zaidi ya baba bora
Nice family
Maashaalah ❤❤🎉
Mpore ana akiri sana
Shettq Salute! Malezi 100%😊
Salehe niaje mtangazaji Hongera
Shetta hongera ila umepotea kwenye game
maisha on Camera tutazima Camera kawaida ytu
Hujatuonyesha nyumba😊
Nimeshangaa🙏🙏🏼🙏
Shetta namuwazia kushika ngazi ya juu ya uongozi serikalini, tena ngazi ya mkoa. Kama sio mkuu wa wilaya, basi atakua katibu au mkurugenzi serikalini.
Kwani Salehe umetoka bona tv?
Camera yenu haina quality ya kutosha
Upo vzr Sana mdogo wangu
Ila walimwengu mna maneno jamani😀
Baba mzuri kwa watoto kiukweli we ni mfano wa kuigwa
Good family ❤
Big up bro unaweza kulea watoto
😂😂nayy huy mdg watu wapo kwny story ya UA-cam yy ana anasema Monday yann ten
MASHALLAH
Very important person to know😂
Mependa alivyo walea wanae mbk raha wana adabu sana😘
❤
Hongera kwa malezi Bora
❤❤❤❤❤❤
Kay hongerakwakujistiri
Kingreza kizuri sana
Had rah
Siami ni nyumba inazidi ya kond boy harafu hanamaringo❤❤❤🙏🏼🙏🙏🏼
@@MwanahamisMussa wewe Kuma nikome Nina uwezo wakumutamka yeyote naye mtaka kwenye koment
🔥
Nakubali
Yn huyu kila anakoenda linataka kula 2 liroho km nn asa Apo mbn hujamkagua ad chumbani km Baga na b 🌟
Mama ao yupogi wapi
Qayra anaendesha gari waoo
❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
😅😅 nimeipenda ila hapo kwenye kulala mtoto ametoka super market anadriv hapna
Salehe anaonekana Anaheshima sana
Amin yan
Mama yao yuko wap?
Sana broo
Mbona hujatembenzwa apo kwa shetta
Shetta mwanao Kawa mzungu aisee watoto wetu tunawapoteza akienda Kijijini kwako uku kwamabibi zako ataongea nn nawao wanajua kilugha TU ebu tupunguze uu uzungu
uko sw kizazi
Eti camra ndio ameona km kamnong'oneza babaake eti naomba maji 😂😂😂utoto bwana raha sana
Nyumba zakupanga namin hii sio nyumba yake yotee upandee mwingine kuna mpangaji hapo😂😂 baba Qaillah
@@lifeinmiddleeast8179 yaani watu wana mawazo hasi sana...nashindwa kuwaelewa kabisa.
Sikutegemea🙏🏼🙏🙏🏼
Amelala na jeans
Yani for the first time kuona mwanaume kama sheta mpaka nimekupenda wallahy... Masha kaila amekuwa masha Allah na amevaa kistara wallahy
Qamrah km kawaida 😂😂😂😂😂
Salehe ukiingia ushuani unakuwa mpole huna mbwembwe za kuingia ingia na kutoka
Rudiana na mkeo mlee watoto hao
Mama wap
Hapo kwenye maji
Sheta akil nyingi
Kumbe ndo maana jamaa anamchukia #shetta. Sababu ana maendeleo na aliyapata kabla yake. Yeye ni mgonjwa wa maendeleo ya wengine! Anataka atajike yeye tu!
Swaleh sio kawaida yako kuhoji hivyo mbona apo kwa shetta kama una aibu flani sio kama ilivyokua kwa amissi bss na bi star kulikoni
saleh soolut
Mwanaume anajua kulea watoto wake ata mwanamke aingii ndani am so proud of you Shetta yaani unajua kulea mshenzi wewe uko karibu sanaa na wanao yaani umeweza unajua unajua unajua mpaka unakera❤
mbona mshenzi