КОМЕНТАРІ •

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 9 місяців тому +37

    Mwanaume anajua kulea watoto wake ata mwanamke aingii ndani am so proud of you Shetta yaani unajua kulea mshenzi wewe uko karibu sanaa na wanao yaani umeweza unajua unajua unajua mpaka unakera❤

    • @Dk.Shombo
      @Dk.Shombo 6 місяців тому +1

      mbona mshenzi

  • @husseinrashidi5828
    @husseinrashidi5828 6 місяців тому +12

    Huu jamaa ni msani ila watoto anawalea mazingira ya dini watoto wanajistiri mtoto anajua muda wa ibada MashaAllah nimefurahi kweli

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 10 місяців тому +31

    Mashaallah Kayra anajistiri jamani ALLAH Akulinde mtoto mzuri

  • @Official_Evara
    @Official_Evara 6 місяців тому +7

    Qaillah is very composed for her age.
    She's so mature for her age.
    Big up bro❤

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 4 місяці тому +2

    Napenda baba hanae penda watto wake na kulea kama we shetta wanaume wengi wanajua kumbwaga mbegu tu na jukum la kulea rinabaki kwa mma peke wanajifanya wao wanaume hawawezi kulea lkn sio kweri we umeweza hongera my brother,,na wanaume wengine wakuige aisee ❤❤❤❤

  • @rukyahassansuleiman5977
    @rukyahassansuleiman5977 7 місяців тому +6

    Ongera sn sheta wewe ni baba bora una mapenzi na wtt wk adi raha ❤👏👏🙏

  • @salimshamis7580
    @salimshamis7580 6 місяців тому +4

    Life kweli inachange Mzee shetta nikikumbuka enzi ya hakuna kulala pale Ilala dahh!!.. tunagonga story kiboya boya saizi Mzee life limenoga. Big up sana mzee.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 10 місяців тому +12

    Mashallah yaaan mbaka nimependa hii family ubarikiwe SNA shetta wewe ni baba wa kuigwa wallah

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 10 місяців тому +12

    Mashallah mungu ambariki shetaa na kizazi chake yni wakarimu balaa❤❤❤😍🙏

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 10 місяців тому +72

    Unajua kuna wasanii wana pesa ila wanaweza kucontroll hanasa tu hawawez kuorganize watoto wao japokuwa wana nguvu ya fame na money inabidi wajifunze kwako mwanangu nahis hao binti zako n mama tofauti lakin umetumia effort ya kiume kuonganisha binti zako na kulea vizur na kwa muonekano tu inaonyesha jinsi gani watoto walivyo na furaha kwa baba yao. Safi mzee unastahili kwel kurun izo ngo's za ukatili wa watoto. Big up men

    • @najmarsaid4435
      @najmarsaid4435 10 місяців тому +5

      Hao watoto ni mama mmoja na baba mmoja wala sio tofauti

    • @halimamvungi1
      @halimamvungi1 10 місяців тому +2

      Hili la Binti wa mama tofauti umelipata wapi, hao watoto ni wababa mmoja na mama mmoja

    • @momobakari9680
      @momobakari9680 10 місяців тому

      ​@@halimamvungi1😂😂😂

    • @officialbntrasool5223
      @officialbntrasool5223 10 місяців тому

      @@halimamvungi1 😂😂😂😂

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 9 місяців тому

      Ni nyumba yake mwenyewe au??😴😴😴 make daaaah..

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 6 місяців тому +6

    Qayla ni kiongozi haswa all the best toto❤

  • @VictoriaAidan-qe6qk
    @VictoriaAidan-qe6qk 8 місяців тому +6

    Nimependa maisha ya shetta big up broo

  • @daimavlog
    @daimavlog 10 місяців тому +11

    Nimependa malezi ya watoto jamani hadi raha

  • @user-km6mw8yz3q
    @user-km6mw8yz3q 10 місяців тому +14

    Daaah hiii family ♥️ Dua San aiseee

  • @hassanyunus4634
    @hassanyunus4634 6 місяців тому +5

    Mbona bro naona hapa hujatenda haki, wale wanyonge unawa enjoy sana but Kwa chetta ume shindwa kumtembeza Kwa nyumba yake, tunge penda kuona bedroom yake kama unavyo tuonyesha za wengine

  • @AbdallahMohamed-wz8lc
    @AbdallahMohamed-wz8lc 6 місяців тому +1

    Safi sana Shetta kwa hii organization yako! Hili tatizo linazidi kuwa kubwa! Awareness ni muhimu

  • @muna1165
    @muna1165 10 місяців тому +11

    MASHALLAH HONGERA SANA KAKA

  • @DijaMriri-wc4qd
    @DijaMriri-wc4qd 10 місяців тому +10

    Mashallah kaila ni mrembo

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 10 місяців тому +8

    Mashaa allah❤❤❤❤🎉

  • @alidyaya4512
    @alidyaya4512 9 місяців тому +6

    Leo umekuwa mpole aupo kene geto la BAGA😂

  • @khadijahamisi6558
    @khadijahamisi6558 9 місяців тому +5

    Mashaallah jamanii nice family❤❤❤❤❤😍😍😍😍😍😍😍

  • @Chakol682
    @Chakol682 10 місяців тому +13

    Yani mie muda wote namuangalia huyo last born ananichekesha tu yani hatulii ☺☺☺

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 10 місяців тому +10

    The little girl is Daddy’s. She is real sweet. Good family❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 10 місяців тому +7

    Mashalah,,sheta anampenda Sana wanae,,hususan kayra,,,ila karya karembo mashalah,, mungu akubariki Sana awabariki wote as family

  • @ledetourzanzibar1433
    @ledetourzanzibar1433 9 місяців тому +2

    Never give up sheta bro

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 7 місяців тому +6

    Salehe mbona hapo huchunguzi mpka chumbani Kama kwa wengine 🤣🤣🤣

    • @saidtembele3070
      @saidtembele3070 6 місяців тому

      Ye mwenyewe hana amani si kaingia ushuani 😂😂😂

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery1174 7 місяців тому +2

    Wonderful family

  • @boanerguebayisenge266
    @boanerguebayisenge266 6 місяців тому +2

    Be Blessed 🙏🏽

  • @husseinjuma8282
    @husseinjuma8282 6 місяців тому +4

    inamaana hamjaona kwamba qaila anadrive naumri wake na sio kesi😂

  • @user-br3si2jf4t
    @user-br3si2jf4t 9 місяців тому +4

    Nimependa. Malezi. Yako. Broo.

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 6 місяців тому

    Mungu awabariki sana wew ni zaidi ya baba bora

  • @filbertagrey4078
    @filbertagrey4078 10 місяців тому +3

    Nice family

  • @DijaMriri-wc4qd
    @DijaMriri-wc4qd 10 місяців тому +10

    Maisha ya wenzetu jamani😂😂😂😂😂

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 6 місяців тому +1

    Maashaalah ❤❤🎉

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 місяців тому +2

    Mpore ana akiri sana

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 6 місяців тому +2

    Shettq Salute! Malezi 100%😊

  • @EmJesho
    @EmJesho 9 місяців тому +1

    Salehe niaje mtangazaji Hongera

  • @EmJesho
    @EmJesho 9 місяців тому +4

    Shetta hongera ila umepotea kwenye game

  • @yamusahmasoud9107
    @yamusahmasoud9107 8 місяців тому +3

    maisha on Camera tutazima Camera kawaida ytu

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 6 місяців тому +3

    Hujatuonyesha nyumba😊

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 місяців тому +1

    Nimeshangaa🙏🙏🏼🙏

  • @adamsilumbe8356
    @adamsilumbe8356 10 місяців тому +19

    Shetta namuwazia kushika ngazi ya juu ya uongozi serikalini, tena ngazi ya mkoa. Kama sio mkuu wa wilaya, basi atakua katibu au mkurugenzi serikalini.

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 10 місяців тому +3

    Kwani Salehe umetoka bona tv?

  • @happymfiomy4673
    @happymfiomy4673 10 місяців тому +6

    Camera yenu haina quality ya kutosha

  • @user-yh9jx1kd6q
    @user-yh9jx1kd6q 6 місяців тому

    Upo vzr Sana mdogo wangu

  • @estermuganda9298
    @estermuganda9298 9 місяців тому +2

    Ila walimwengu mna maneno jamani😀

  • @NenosuccessEliya
    @NenosuccessEliya 6 місяців тому

    Baba mzuri kwa watoto kiukweli we ni mfano wa kuigwa

  • @halmashenyange3735
    @halmashenyange3735 6 місяців тому

    Good family ❤

  • @user-sw1yi3zw4b
    @user-sw1yi3zw4b 9 місяців тому +7

    Hivi vipindi vizuri huwaga havidumu 😢

  • @user-cr8iq8be5k
    @user-cr8iq8be5k 6 місяців тому

    Big up bro unaweza kulea watoto

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 6 місяців тому

    😂😂nayy huy mdg watu wapo kwny story ya UA-cam yy ana anasema Monday yann ten

  • @carlykyle887
    @carlykyle887 6 місяців тому +1

    Saleh kamuogopa shettah ...mbona hawaja zunguka nyumba 😂😂

  • @user-no1ow9ti1p
    @user-no1ow9ti1p 9 місяців тому +3

    MASHALLAH

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 9 місяців тому +2

    Very important person to know😂

  • @deboranicoraus4866
    @deboranicoraus4866 10 місяців тому +5

    Mependa alivyo walea wanae mbk raha wana adabu sana😘

  • @santielpascal9777
    @santielpascal9777 10 місяців тому +1

  • @user-eq9bw1oj3q
    @user-eq9bw1oj3q 2 місяці тому

    Hongera kwa malezi Bora

  • @user-lu3vl6vf4e
    @user-lu3vl6vf4e 9 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj 9 місяців тому

    Kay hongerakwakujistiri

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 місяців тому +2

    Kingreza kizuri sana

  • @starsketingclub257
    @starsketingclub257 10 місяців тому

    Had rah

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 місяців тому +3

    Siami ni nyumba inazidi ya kond boy harafu hanamaringo❤❤❤🙏🏼🙏🙏🏼

    • @SululuZungu-kx8ws
      @SululuZungu-kx8ws 6 місяців тому +1

      Umerogw ww na bibi yko mzaa mom sio bure jibu nikubaleze vzr😂😂

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 6 місяців тому +1

      @@SululuZungu-kx8ws nikome we Kuma😃😃

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 6 місяців тому +1


      KHADIJA
      MBONA MATUSI TENA?

    • @MwanahamisMussa
      @MwanahamisMussa 6 місяців тому +1

      Sasa konde hapa ameingiaje

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 6 місяців тому +1

      @@MwanahamisMussa wewe Kuma nikome Nina uwezo wakumutamka yeyote naye mtaka kwenye koment

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 10 місяців тому +9

    Dah bonge la jumba Masha Allah

  • @gracemabula418
    @gracemabula418 6 місяців тому

    🔥

  • @sf2tv
    @sf2tv 9 місяців тому +1

    Nakubali

  • @happinessjustine2521
    @happinessjustine2521 9 місяців тому

    Yn huyu kila anakoenda linataka kula 2 liroho km nn asa Apo mbn hujamkagua ad chumbani km Baga na b 🌟

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 6 місяців тому

    Mama ao yupogi wapi

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 місяців тому

    Qayra anaendesha gari waoo

  • @FreddyWamanya
    @FreddyWamanya Місяць тому

    ❤❤❤❤❤

  • @bravoh1705
    @bravoh1705 6 місяців тому

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @charlesgeorge2855
    @charlesgeorge2855 9 місяців тому +3

    Nimewaza tu hiv Shetta na Hashim Ibwe nan mrefu

    • @user-ml9yi5sd6o
      @user-ml9yi5sd6o 9 місяців тому

      Kwani shetta na Hashim Ibwe ni ndugu au

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 8 місяців тому +1

      Acha ushamba Fara wewe

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v 6 місяців тому +1

    😅😅 nimeipenda ila hapo kwenye kulala mtoto ametoka super market anadriv hapna

  • @Zuenatupa
    @Zuenatupa 3 місяці тому

    Salehe anaonekana Anaheshima sana

  • @SalehSaleh-dz8bn
    @SalehSaleh-dz8bn 9 місяців тому

    Amin yan

  • @KHAMIS_SHILINGI
    @KHAMIS_SHILINGI 9 місяців тому +6

    Mama yao yuko wapi jamn😢

  • @MarthaMakashi
    @MarthaMakashi 6 місяців тому +1

    I wish nipate baba bora kwa wanangu kama huyu😢

  • @RhodaLudigija
    @RhodaLudigija 9 місяців тому

    Mama yao yuko wap?

  • @user-kr9so2em8c
    @user-kr9so2em8c 6 місяців тому +1

    Sana broo

  • @WlkmkeissBriana
    @WlkmkeissBriana 5 місяців тому

    Mbona hujatembenzwa apo kwa shetta

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 6 місяців тому +2

    Shetta mwanao Kawa mzungu aisee watoto wetu tunawapoteza akienda Kijijini kwako uku kwamabibi zako ataongea nn nawao wanajua kilugha TU ebu tupunguze uu uzungu

  • @user-zo9ti2xe1z
    @user-zo9ti2xe1z 10 місяців тому +2

    uko sw kizazi

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 10 місяців тому +6

    Eti camra ndio ameona km kamnong'oneza babaake eti naomba maji 😂😂😂utoto bwana raha sana

  • @AlinanusweMwanyangala-ir6hp
    @AlinanusweMwanyangala-ir6hp 10 місяців тому +1

    Mziki au madawa🧐

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py 10 місяців тому +6

    Nyumba zakupanga namin hii sio nyumba yake yotee upandee mwingine kuna mpangaji hapo😂😂 baba Qaillah

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 місяців тому +1

    Sikutegemea🙏🏼🙏🙏🏼

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 6 місяців тому

    Amelala na jeans

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 6 місяців тому

    Yani for the first time kuona mwanaume kama sheta mpaka nimekupenda wallahy... Masha kaila amekuwa masha Allah na amevaa kistara wallahy

  • @user-oc5fe9vx1p
    @user-oc5fe9vx1p 10 місяців тому +3

    Qamrah km kawaida 😂😂😂😂😂

  • @selinathindwa9754
    @selinathindwa9754 7 місяців тому +2

    Mbona haujatuonesha ndani kote, sijaenjoy 😢

  • @Bmsecret
    @Bmsecret 9 місяців тому +4

    Kiukweli jamaa kataka soda lkn haya tu ila kamaindi sana

  • @saidtembele3070
    @saidtembele3070 6 місяців тому

    Salehe ukiingia ushuani unakuwa mpole huna mbwembwe za kuingia ingia na kutoka

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 6 місяців тому

    Rudiana na mkeo mlee watoto hao

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 10 місяців тому +3

    HIYO DISIKAVARI ATAZEEKA NAYO

  • @user-lz8tw5pj8n
    @user-lz8tw5pj8n 2 місяці тому

    Mama wap

  • @fatumashebila910
    @fatumashebila910 10 місяців тому

    Maji au soda😅😅

    • @mahiyusuf5772
      @mahiyusuf5772 7 місяців тому

      Alitaka soda huyu lakini mwenye nyumba kasema leteni maji😅😅

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 4 місяці тому

      ​@@mahiyusuf5772😂😂😂 daah nimecheka kinoma

  • @user-mp3fb9gu8g
    @user-mp3fb9gu8g 4 місяці тому

    Hapo kwenye maji

  • @user-le5jz2xu1o
    @user-le5jz2xu1o 3 місяці тому

    Sheta akil nyingi

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q 9 місяців тому +3

    Kumbe ndo maana jamaa anamchukia #shetta. Sababu ana maendeleo na aliyapata kabla yake. Yeye ni mgonjwa wa maendeleo ya wengine! Anataka atajike yeye tu!

  • @husseinrashidi5828
    @husseinrashidi5828 6 місяців тому

    Swaleh sio kawaida yako kuhoji hivyo mbona apo kwa shetta kama una aibu flani sio kama ilivyokua kwa amissi bss na bi star kulikoni

  • @javaludizi1855
    @javaludizi1855 10 місяців тому +1

    saleh soolut