NIKKI MBISHI "ALBUM YANGU HAIPO DIGITAL PLATFORM YOYOTE,NAIUZA KWA WHATSAPP NA TELEGRAM,WANATUIBIA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 чер 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 81

  • @peteronlinetv5957
    @peteronlinetv5957 Рік тому +10

    Mtazamo wake nauelewa vizuri sana,incase you dont know jamaa anao mashabiki zake ambao wananunuaga kila album anayotoa na wanaongezeka kila siku
    Kitu kingine jamaa ni anasoma comments zote humu na anaweza akareply hii😅
    Personally nasupport hii mode yake ya distribution

    • @juniortza
      @juniortza Рік тому

      Mimi nadhani sio mbaya, but hio mode sio kibongo bongo! Ila guttconfidence yake kiume imekaa poa bora ujue hio laki tatu umeipata vipi siku kadhaa but sio ukae mwaka ukute laki tatu 😂

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Рік тому

      Jamaaa wengi hawaelewi anachokisema

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Рік тому

      Mimi kuna mshikaji wangu mmoja juzi nilishangaa aliniulizia album ya nikkimbishi nikamtumia namba jamaa akamalizana nae

    • @mafiaso_sakutula
      @mafiaso_sakutula Рік тому

      Hajui niki mziki umebadilika anachana old sana

  • @addamschamwande7734
    @addamschamwande7734 Рік тому +2

    Kopareti nimtu frani ivi akikopa areti naukizubaa ndio imetoka etty oyaweee Dr unjuuu💥💥💥💥💥

  • @fabiantanzania5795
    @fabiantanzania5795 Рік тому +1

    Niki mbishi
    Niki mbishi 🎉

  • @digolifetv4485
    @digolifetv4485 Рік тому +3

    Uyu jamaa sio wa century hii😅😅😅😅 WCB nunua album utupigie

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Рік тому +1

    Best rapper in tz

  • @erickselei3426
    @erickselei3426 Рік тому +1

    Hip hop iko mikono salama

  • @nsumbaboy3549
    @nsumbaboy3549 Рік тому

    Noma sana

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Рік тому +1

    UNJU BINI UNUC 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @konexenon5051
    @konexenon5051 Рік тому +2

    Anasahau kua dunia inabadilika saiv sio zaman
    Inabid ajue kua huu n msimu wa digital platform

    • @creature_official6853
      @creature_official6853 Рік тому

      Tatizo la distribution za bongo hawakupi hela ile uitakayo ww yy nikki anaweza akapata mtu ataenunua hyo album hta laki 5 zaid ya 6 kma support je akiweka kwenye platform atapata hyo hela ndyo hapo dustribution zinapozingua

    • @SaumuNinga-np5zb
      @SaumuNinga-np5zb Рік тому

      @@creature_official6853 ilo fala km wengne

  • @mchinathegreat9619
    @mchinathegreat9619 Рік тому +1

    Unju

  • @AdamsonWeez-sg5pq
    @AdamsonWeez-sg5pq Рік тому +4

    Unju Best rapper alive

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 10 місяців тому

    Mpuuzi sana

  • @omarshariff3210
    @omarshariff3210 Рік тому +1

    Fucken genius!!!!!

  • @luzigachunchu9244
    @luzigachunchu9244 Рік тому +1

    Frankly Speaking

  • @ibni_H2TL6r
    @ibni_H2TL6r Рік тому +6

    Hata ulaya wapo wasanii ambao hawapo kwny hizo platform zenu na wanafanya pow wanapiga pesa SIJASHANGAA KWA UNJU #LEGENDINTHEMAKING

  • @theeminent547
    @theeminent547 Рік тому

    Mkuu wa wilaya ya Rap, Dc wa milazo ☠️

  • @konexenon5051
    @konexenon5051 Рік тому

    Dah uyu jamaaa mtazamo wake bd cjamuelewa mtazamo wake

  • @ramanine4768
    @ramanine4768 Рік тому

    😅😅

  • @dicksoniaidani3822
    @dicksoniaidani3822 Рік тому

    Kama zipo zinyukwe tuu naona mguu umenyooka mwanangu Unju

  • @directorracker
    @directorracker Рік тому +6

    The world is changing so we should train our mind to accept these things and learn about them sio ku criticize tu kila jambo bila kujua jinsi gani linafanya kazi, Tatizo NIkki anaonekana hapendi kujifunza kwa waliompita au walio juu yake akiwaona wao ndio kama kikwazo cha mafanikio yake. " Whoever Bows his heads misses the sword"

    • @ericklenjima455
      @ericklenjima455 Рік тому +2

      Umetumia akili kubwa sana kujibu akili ndogo. Jamaa lazima akubali mabadiliko.

    • @novatusrichard9375
      @novatusrichard9375 Рік тому +1

      @@ericklenjima455 Sio lazima

    • @chuchufplatnumz4888
      @chuchufplatnumz4888 Рік тому +3

      You misunderstood Nikki man. Easy Maths, Sales 1000 Tu 25,000,000. Twende Digital, ln unaipata hii hela.

    • @chuchufplatnumz4888
      @chuchufplatnumz4888 Рік тому +2

      Hz Digital Platforms n long term investments mzeeee.

    • @moneythemes
      @moneythemes Рік тому +2

      @@chuchufplatnumz4888 Long term investment katika mazingira yapi? Jay Z almost 70% ya muziki wake aliondoa huko baada ya kuweza kuwa na miundo mbinu, mara mia mngesema jamaa auze digital lakini kwa platform yake mwenyewe, si ajabu kaka haununui music unapita na free downloads za boomplay n.k ambazo payments zake ni ndogo, usifananishe wasanii wote na wasanii wenye mashabiki wengi na maandalizi kama Harmonize,Diamond n.k.
      Nikki atapandisha digital akishaweka sawa hesabu zake sawa

  • @adinasii
    @adinasii Рік тому

    Wazo Zuri shda ukimuuzia mmja ikaruhusu kurushiana hapo ndo changmto

  • @alphoncemnyambwa9720
    @alphoncemnyambwa9720 Рік тому

    Jamaa alisoma,lakini ni mjinga..

    • @GamechangerTz
      @GamechangerTz Рік тому +1

      Miongoni mwa artist wako smart sana kichwani bhas ni Uyo Jamaa km Umemfatilia Aisee Trust Me labda km Humjui vizuri

  • @SaumuNinga-np5zb
    @SaumuNinga-np5zb Рік тому +1

    Uyu jamaa kichwa sana ndo faida ya kusoma

  • @aboubakarothman
    @aboubakarothman Рік тому +1

    Duh!hakuna hizo mambo za mshabiki wa damu,mfumo huo watatumiana saana

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 Рік тому +3

    Ajatumia akili. Watu watu 25 watachanga buku buku watampatia mmoja ili anunue album yake then wao watatumiana amna alichoescape

    • @nikkimbishiunju2402
      @nikkimbishiunju2402 Рік тому +4

      Sasa nani hajatumia akili kati yangu na mafala 25 waliokosa kazi wakachanga buku buku yote kutaka bure?Wenzako wananunua album mpaka mara 10 ya Bei... Endelea kupenda bure UTAUPONZA!

    • @georgemagori1268
      @georgemagori1268 Рік тому +1

      Hiyo siyo kweli bro shabiki wa UNJU ni makini sana sivyo unavyodhani bro,,,,Nash Mcee anauza hivyo hvyo kama Unju ulishawai sikia analalamika bro nakuomba nunua album ya katiba Mpya iko vizuri bro,. Izo patiform kama mdundo Nikki alikuwepo alijitoa kwa sababu maslahi hamuna

    • @silvergold5855
      @silvergold5855 Рік тому +1

      @@nikkimbishiunju2402 nia yako kuescape wezi wa kazi zako so nimejaribu kuonesha ata kwa utaratibu unaodhani utailinda biashara yako ungeufikiria mala mbili zaid kwani isijekuwa umemruka kikwete ukamkanyaga samia

    • @silvergold5855
      @silvergold5855 Рік тому +1

      @@nikkimbishiunju2402 yote kwa yote biashara ni yako mzee endelea kufanya kilicho bora kwako. Nisamehe bure sitorudia kuandika kwenye mambo yako🙏

    • @SaumuNinga-np5zb
      @SaumuNinga-np5zb Рік тому

      @@nikkimbishiunju2402 akili nyingi unjuu I'm ur fan lady

  • @Ezekiakawogo-zn9ix
    @Ezekiakawogo-zn9ix Рік тому

    😂🤣😂😂😂😂😂😂

  • @tnftz1461
    @tnftz1461 Рік тому +1

    Nikki sometimes anazngua sijui mshaur wake ni nan hapa ndo anapofel ukongwe bila akil utakula njugu dunia ikp speed na haitosimama hata ukigoma kutembea nayo

    • @richardmandia-ni1rp
      @richardmandia-ni1rp Рік тому +1

      Mnazingua mtu ana Hussle zake za life ashawahi kukuomba mia yako, na ww unaeongea hivi unapesa ya kumpita Nikki mbishi

    • @ambroceharouna1612
      @ambroceharouna1612 11 місяців тому

      Kuma la mamako ww upeo wako unaingia mara mia Moja kwake

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 10 місяців тому

    Unju

  • @AndrewPaul-wy6qq
    @AndrewPaul-wy6qq Рік тому

    Unju

    • @ikokijuma-zv7wd
      @ikokijuma-zv7wd Рік тому

      Unju ur my model(teacher of full time) since before brodah, keep focusing en press more effortz