Kuna busara fulani kubwa sana katika majibu yake.... He proves discipline and respect towards others japo wanamuongelea vibaya. Haya maisha tunapita, si sawa kujikweza, kujisikia, kujiona zaidi...natamani wote mnaosoma hii comment na kuangalia hii interview mjifunze from this, it has to be our wakeup call. Waongelee watu vizuri tu... Wenyewe wakikusema vibaya muachie Mungu. Mungu akulaze pema brother! We are coming that way too....!!!!
interview zako chache nilizoona umekuwa ukiongea kwa heshima na busara, hasa ukijua kuwa camera inakutazama. yaonyesha wazi ulipata malezi bora. Upumzike kwa amani wajina.
lakini huyu nikimtizama kiafya hakuwa sawa siku nyingi, nikiangalia muonekano wake, yeye mwenyewe na ndugu zake ndo wanajua kilicho muua ni zaidi ya maralia nionavyo
RIP bro. Kisukari ni ugonjwa ambao wengi tunauchukulia poa ila ndio unaongoza kwa kusababisha vifo vya ghafla kwa watu wengi haswa vijana. Tupende kuchunguza afya zetu
Dah..... "I need one minute Mungu baba show me which way to go!" Nitakukumbuka daima milele ila ipo siku Mimi nawewe tutaonana kwa maulana... R.I.P Hip Hop legendary #GODZILA
Cha kukisoma na mkikumbuke kuugua sio kifo hata asiyeumwa ana weza kufa cha kuzingatia nikila mara tumtangulize Mungu mbele tunapoulizwa mambo kadhaa tujibu tutafanya tukijaaliwa na Mungu tusijipe garantii kwa sababu mwenye garantii ni Mungu tuuu,sasa wengi wetu tunajisahau tunapo fanya mahojiano tunakua tunajiwekea malengo ya muda mrefu kumbe garantii yetu hata ya dakika mbili mbele hatuna . Tuwe makini ni mazingatio hayo mauti tunatembea nayo
Mi muislam haifai kulia ila tunalia sana tu ila mmm nimelia Allah akusamehe wakosa mareh zila daa naumia utazani mwanangu heee jamani KIFO kusikia kweli tu ila hatar
Kuna busara fulani kubwa sana katika majibu yake.... He proves discipline and respect towards others japo wanamuongelea vibaya. Haya maisha tunapita, si sawa kujikweza, kujisikia, kujiona zaidi...natamani wote mnaosoma hii comment na kuangalia hii interview mjifunze from this, it has to be our wakeup call. Waongelee watu vizuri tu... Wenyewe wakikusema vibaya muachie Mungu. Mungu akulaze pema brother! We are coming that way too....!!!!
Success Path kabisa
Success Path
Mungu ailaze mahali pema roho take..Ni kweli ndugu yangu
King Zilla ulifanya nikawa nadhani Salasala ni sehemu yenye fujo sana kutokana na ngoma yako ya Salasala. RIP bro, u have gone too early brother.
interview zako chache nilizoona umekuwa ukiongea kwa heshima na busara, hasa ukijua kuwa camera inakutazama. yaonyesha wazi ulipata malezi bora. Upumzike kwa amani wajina.
From Kenya:Rest in peace 👑
RIP I loved your Freestyles. From Malindi Kenya
King zila alikuwa anajua sana kaacha pengo bongo mungu amlaza mahali pema peponi
Hii interview sio ya muda ila ukimwangalia vizur km alikuwa anaumwa ndani kwa ndan au Mimi macho yangu
Rest in peace Zilla
angelina mhina ni kweli dada angu hata mm nmeona ivyo
angelina mhina ilikuwa fiesta kilele chake juzi tu apo posta
Kweli anaonekana km kavimba au alikua anasumbuliwa na mifupa vile
Kweli
mgonjwa anaweza akacheza kikapu we vipi wewe c ungecoment RIP tu kama ungekuw huna cha kuongea
Sukari ninhatari sana inatumaliza na Ngumu kugundua bila vipimo .dah R.I.P zilla sleep with peace bro
lakini huyu nikimtizama kiafya hakuwa sawa siku nyingi, nikiangalia muonekano wake, yeye mwenyewe na ndugu zake ndo wanajua kilicho muua ni zaidi ya maralia nionavyo
RIP bro. Kisukari ni ugonjwa ambao wengi tunauchukulia poa ila ndio unaongoza kwa kusababisha vifo vya ghafla kwa watu wengi haswa vijana. Tupende kuchunguza afya zetu
Mungu akulaze pema peponi zilla tuta kukumbuka daima
😢😢😢😢uyu kaka kasoma kinge km chote R.I.P brooo
Dah..... "I need one minute Mungu baba show me which way to go!" Nitakukumbuka daima milele ila ipo siku Mimi nawewe tutaonana kwa maulana... R.I.P Hip Hop legendary #GODZILA
napendaga mahojiano yake hadi kesho
Daaah brother alikua na plan nyingi na zilikua mzur tu... Ila ndio hvyo Tena. RIP
Wow Godzilla Legend hajui kununa hope ur in heaven
Cha kukisoma na mkikumbuke kuugua sio kifo hata asiyeumwa ana weza kufa cha kuzingatia nikila mara tumtangulize Mungu mbele tunapoulizwa mambo kadhaa tujibu tutafanya tukijaaliwa na Mungu tusijipe garantii kwa sababu mwenye garantii ni Mungu tuuu,sasa wengi wetu tunajisahau tunapo fanya mahojiano tunakua tunajiwekea malengo ya muda mrefu kumbe garantii yetu hata ya dakika mbili mbele hatuna . Tuwe makini ni mazingatio hayo mauti tunatembea nayo
dah r.i.p king zillah...bahati mbaya sana nimemjua zilla halisi baada ya kifo chake..ulikua mtu poa sana
kiukweli inauma sana kweli Duniani tuna pita tu niki tizama hiclipu na hisi bado upo hayi brodher Zilla R.l.p pumzika kwa amani 🕯🕯🕯🙏🙏🙏
pumzika kwa amani kakaetu! mwenywezi mungu umpunguzie mateso ya kaburi
Wenye Rap Zao Wote Wanaondoka
Rest In Peace King Zilla
forever u gonna be missed .
Hakika bwana kavuna ktk shamba lake. Mbele yake, nyuma yetu apumzike kwa amani 🙏🙏🙏
RIP mungu akupe kauli thabiti upumzike kwa amani
His legacy will ever live.. Rest easyyy KING!!
Daaah Godzilla amefariki dunia rip Mombasa tutakosa Sana
Pole sana familia ya godzilla R.I.p godzilla mungu amuweke mahala Pema peponu
daaah the living dead aixee km utani vile,tufanyien mambo tupate iyo documentary
rip inadvance my best rapper ever
Mwenyeezi mungu atujalie mwisho mwema yarrab.🙏
Amina hilo dio la kuomba
Daaa,,, REST IN PEACE my brother tangulia nasi tupo njian tunanjoo,,kwa wale wenzangu mloguswa weka like tumuombee kaka etu kipenzi
Mceshi kweli allah akupe kauli tabiti kaka wataifa amin
R.I.P Golden ,,,wajina wangu da!
Mwenyezi mungu akunusulu na Adhabu
Daah zilla bhana km Upo hivi? ulale pema bro
Rest in paradise Golden
Mi muislam haifai kulia ila tunalia sana tu ila mmm nimelia Allah akusamehe wakosa mareh zila daa naumia utazani mwanangu heee jamani KIFO kusikia kweli tu ila hatar
Rest In Paradise Brother.. Mchanga Unatumeza 😰😰😰
Jamaa alkuwa na vibe saaana,, then he was real always! Rip broh
Oh so sad..My condolences to the family
Miss Sana golden
Basketball na hip hop 🥰🥰
Rip kingi zilla
Jamn nimelia jmn mungu ni mwemam
RIP Zilla, at least ametuachia documentary. Hopefully familia yake itaitoa.
Lakunchumpa😘 duh.... Sawa langu laja..sitabaki kama nilivyo hakika.
Salehe Innocent
Was a very talented rapper.
Wapi documentary????
Golden alikuwa msomi,pia alikuwa na hekima,busara na nidhamu ya hali ya juu, r.I.p
Dah broo mapema hivi😭😭😭😭😭
Rest In Peace brother Godzilla
R.I.P brother Godzilla 🙏
RIP brother
RIP bro
Rip king zilla
Staaaaaaay king zilla
Rip zillah
rest easy bro
Jamaa amefariki kwa maumivu makali sana, R.I.P
anaonekana alikuwa anaumwa tena maradhi mazito ila ilijipa faraja sana maskini ila ukimtulizia vyema kumuangalia utagundua ana tatizo
Ummy Ameir really ummy
Nakubari, #ukitulia kumuangalia vizuri.
Ni sukari tu, sizani kama kuna zaidi. #machoyake.
@@abinarisy1080 umeona enh
@@abinarisy1080 anhaaa kweli
Rest in Peace Zizi!
Easy rest King🔱
rest easy king
R.I.p broo
rest in piece godzilla
man ni kma hupo my man rip godzl
Kwa macho tu hapo ukimuangalia tayari afya yake haikua nzuri
R.I.P. Godzilla
Istoria ya dada yake unagunduwa alikuwa na malaria ikachelewa tiba ila kifo isibabu lazima innaa lillaahi......
R.I.P My brother
Rest in peace bro.
R.I.P bro
RIP
I LOVE YOU
r.i.p King Zillah
r.i.p zila mbele yko nyuma yetu sisi
3 yrs still here
R I P zillah
Hata ukiona sura yake kalikuwa mgonjwa ivi
Rest in peace brother
RIP🙏🙏
R.I.P brother zilla
R I P jamani sikuoni tena kk yangu 😭😭😭😭😭😭
😢😭😭
@@Pomma-gu1qw 🙏🙏
duh mcheshi sana ata siamin
R. I .P KING ZILLA
R.I.p zilla
huyo jamaa alikuwa anaumwa kabisa maana hii style ya kuongea sio kawaida yake bhana
R. I. P Zilla
R.I.P brother
Pumzika kwa aman bro
Pumzika kwa amani zilla
Pumzika kwa Amani kaka 😢 😢 😢
Maskini zillah maradhi yamuanza mapema k2 kama alikua anadata Fulani ivi duh! Rest in peace broo wanasemaga tuliumbwa kwaudongo na 2 taludi kwaudongo kikubwa nimuombee mwanao akuwa awatunze bibi na mama ake.
Kadata kivipi
Mbona yuko kawaida kadata kivipi?
R. I. P zizi..
R.I.P KingZilla
Daah R.i.p ziz tutakumic 😭😭😭
Pumnzika kwa Aman
Daaah😭😭😭😭
afadhali mtangazaji umechekanaye mala ya mwisho
R. I. P Godzilla
R i p
R.I.P zila
R.I.P zizi
I R p pumzika kwa amani
R.I.P kk zizi