NIKKI MBISHI:WASANII NJAA WANAFIKI/WABOVU WENGI/JOHMAKINI/NIKI WA PILI/NEY WA MITEGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

КОМЕНТАРІ • 71

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman188 4 роки тому +12

    NIKI MBISHI MOJA KATI YA MC BORA WA MUDA WOTE TZ 🎤👑

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 4 роки тому +6

    Baghdad Anamisuri mikubwa sana ya UBONGO kama utakuwa unajua AMEWAHI kuwa challenger sana kwa NIKK na aonyeshe personal mood on it By the way ameonyesha ukubwa sana kwa kuitawala na kurelux kwenye Bedroom remix HESHIMA KWA NIKK

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai5336 4 роки тому +1

    Nikki mbishi nakutambua you are the hottest rapper ryt now bongo hao wengine mambwiga tu

  • @mulisaemmanuel8728
    @mulisaemmanuel8728 4 роки тому +1

    Nooma sana, unju hapa kigali tunakupenda bro keep it up

  • @softcoolupdate5472
    @softcoolupdate5472 3 роки тому

    Nikki mbishi ni sehemu ya manabii wa hiphop bongo na bongo flava kwa ujumla wake

  • @sizakitego4374
    @sizakitego4374 4 роки тому +3

    Dah nimependa sana hii interview kwasababu hapo zamani Baghdad alikua msanii na alikua na bifu na niki mbishi lakini leo amemuhoji vizuri sanaaa

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 3 роки тому

      Mexicana Lacavella

  • @amonijajila1218
    @amonijajila1218 4 роки тому +3

    Respect mabrother unjuu

  • @inocentmbowe4160
    @inocentmbowe4160 4 роки тому +2

    Nikki namkubali sana

  • @allexlunny7795
    @allexlunny7795 4 роки тому +3

    kama nimepauka nipake mafuta au niache kama ulivyo nikuta noma sana mzee wa makavu live

  • @constantinenzigilwa8513
    @constantinenzigilwa8513 4 роки тому

    nakukubali broo nikki B

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 4 роки тому +2

    Unju unajua kuelezea kitu kika eleweka zaidi big up

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 роки тому

      Wanamyima dili wakisema ni mbishi

  • @blaisejongo3925
    @blaisejongo3925 4 роки тому +2

    mbishi noma

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang1288 4 роки тому +2

    B.A.G.H.D.A.D 🔥🔥🔥🔥

  • @alexmdumba7357
    @alexmdumba7357 4 роки тому +1

    nikki amesema kitu makini sana kwenye content. lyricsism

  • @youngmilionare2118
    @youngmilionare2118 2 роки тому

    My brother UNJU 👊 saluty broo

  • @alexmdumba7357
    @alexmdumba7357 4 роки тому

    nikki bhana mambo yake😂😂.
    Anajua sana kwenye midundo mr. unju.

  • @alijuma7401
    @alijuma7401 2 роки тому

    Genius

  • @mickeytv3691
    @mickeytv3691 4 роки тому +2

    Appreciates u bob I wish 1dei nijekuwa presenter with yah in times fm

  • @2nyoorap67
    @2nyoorap67 4 роки тому

    Nakubali unju

  • @nakalikyumile4370
    @nakalikyumile4370 4 роки тому +2

    Nicki mbishi akili kubwa vichwa ka hivi ndo vinatakiwa

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza8198 4 роки тому

    Vita y Bengaz Under ground King 🤴

  • @gideonjulius9782
    @gideonjulius9782 3 роки тому

    Underground Legendary

  • @hassansamata5995
    @hassansamata5995 4 роки тому

    Unjuuu mkali wao

  • @babubomba8563
    @babubomba8563 4 роки тому +4

    Tunaomba mwendelezo wake

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai5336 4 роки тому +1

    Majina kibao sio

  • @marcelin_hd
    @marcelin_hd 4 роки тому +1

    Namkubali uyuu jamaa kawa chana kabisa

  • @shareefkamtande4692
    @shareefkamtande4692 4 роки тому +1

    Nikki mbishi

  • @hajimdosi2331
    @hajimdosi2331 4 роки тому +1

    3:50🤣🤣🤣

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 4 роки тому

    #nikkimbishi

  • @josephdonald6199
    @josephdonald6199 4 роки тому

    Mbishi noma sana..😂😂😂😂😂😂😂

  • @adamsengo3138
    @adamsengo3138 4 роки тому +2

    Yeah na unafki unaoendelea kwenye umoja wa unafki 🤣🤣🤣🤣

  • @scariothagreat
    @scariothagreat 4 роки тому +1

    jamaa ni mtawala sio kiongozi😂😂😂

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza8198 4 роки тому

    Unju Bin UNUK....!!

  • @abburakkaan5694
    @abburakkaan5694 4 роки тому

    Mimi ingekua sio magufuli nisingeichakua CCM maisha yangu yote na kizazi changu ila mimi jana NK mbishi c chagui CCM namchagua MAGUFULI

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 4 роки тому +1

    Kweli unafiki halafu mie mwenyewe sifagilii Mambo ya hivyo

  • @barakamtesigwa3097
    @barakamtesigwa3097 4 роки тому +8

    Na madder kila intaview sio tu the bar tender rafudhi tam mpaka wanauliza umekaa pemba

    • @nelsonmasolwa8343
      @nelsonmasolwa8343 4 роки тому

      nawaambia mi ni born herehere jembe zaiid ya john pia dear niko strong sina fear

  • @dekamotionpictures2132
    @dekamotionpictures2132 4 роки тому

    👍

  • @emmanuelsilungu446
    @emmanuelsilungu446 4 роки тому +1

    Haka kajipu haka balaa

  • @joshymalinyo6057
    @joshymalinyo6057 4 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂mambo ya unafiki Sio

  • @mr25d99
    @mr25d99 4 роки тому +3

    Huyu jamaa ni kwel jina liko mahali kwake yani ni M’bishi wa ukwel

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 роки тому +1

      Ni mbishi na mkweli ndio maana mafans wanampenda

  • @hajimdosi2331
    @hajimdosi2331 4 роки тому

    18:9 😂😂😂😂

  • @amanimakovya2228
    @amanimakovya2228 4 роки тому

    Dr unju

  • @msatijunior6304
    @msatijunior6304 4 роки тому

    Apo ndipo nimeamin usemi wa Kaligraphy John kuwa wana Hip-hop wa Bongo awawezi kuwa intonation coz wanajiimboa wenyew ukianzia Lugha tungo zao Hip-hop inamisingi lkn kwa Tanzania tutbaki na jina la hip-hop akuna Really Hip-hop

    • @johncavishe353
      @johncavishe353 4 роки тому

      We wako watu kama chindo man anachana atar ww ufatlii game vzri

  • @marianamacha3452
    @marianamacha3452 4 роки тому +1

    😆😆😆 na we umo kwenye lile group? Unaogopa utaitwa mnafki😃😃😃

  • @thomasmathias7237
    @thomasmathias7237 4 роки тому

    Baba Malcolm X, Zohani, Bobani,

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 4 роки тому +8

    Bangdad una akili saaana! Una maswali yenye logic sana

  • @yassinijuma4708
    @yassinijuma4708 4 роки тому

    Unju wewe nizaidi yanoma me nawaona hawa madogo wanaoruka ruka tu man

  • @great__sheik6391
    @great__sheik6391 4 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 роки тому +1

    Unju unasema humuoni Nay ktk level z u MC wakat yy anatengeneza hela na humkaribii..

    • @napster2558
      @napster2558 4 роки тому +3

      Ishu n u MC si ela

    • @hellyally4395
      @hellyally4395 4 роки тому +2

      hela gani anatengeneza ww

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 4 роки тому +1

      Kumamake ao ma MC wanaishi kwa u MC? Au wanakula u MC? Au wanatafuta shows na connections ili wakaoneshe u MC? C wanatafta hela na nd wanaendesha maisha yao kwa music, na nd mana Madee aliamua kujitowa ktk rap coz it is not profitable..Afande, Sugu, Profesa n.k. wameamuwa kuingia ktk casa why? Hkuna mwenye shda ya u MC bro keep it in mind... Ney anafanya commercial ana hela na maisha yake ao wanaopenda kuitwa ma MC au wagumu ata vibanda hawana..

    • @scariothagreat
      @scariothagreat 4 роки тому +1

      @@abdulmohd6880 tulia ww huelew chochote

    • @mussangonya6179
      @mussangonya6179 4 роки тому +1

      Mbish ndio best uyo ney boya

  • @helmanfabian4427
    @helmanfabian4427 4 роки тому +1

    Unju punguza kuchonga

  • @danieldeogratus1683
    @danieldeogratus1683 4 роки тому +4

    18:10 nimeshtuka sana na nikajiuliza media zetu zinafanya kazi ya kupromote lugha yetu vizuri kabisa sasa huyo jamaa sijaelewa anaongea lugha Gani.

  • @mickeytv3691
    @mickeytv3691 4 роки тому +2

    Nk nakukubal sana ila k2moja unazngua sometimes

  • @gasperallute23
    @gasperallute23 4 роки тому +2

    Bin Upupu

  • @hushbtz3310
    @hushbtz3310 4 роки тому

    Wanaharakati wote Gusa link ua-cam.com/video/6dhYJpLCkew/v-deo.html Kusikia michano

  • @chaulee20c58
    @chaulee20c58 4 роки тому +1

    ua-cam.com/video/mw8sfeIgq44/v-deo.html
    tazama maajabu ya acha lizame remix nandy ft harmonize

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 4 роки тому +1

    Sitaki kuwa nyota nataka kuwa mwezi

  • @mtumweusy4652
    @mtumweusy4652 4 роки тому

    Nikki mbishi kawa Nikki michambo,
    Bora Nikki wa pili maana Nikki wa kwanza Hana mchongo,