EXCLUSIVE: UKWELI KUHUSU DARAJA LA MITI LA MILIONI 31 MOROGORO
Вставка
- Опубліковано 31 лип 2021
- Baada ya kusikia huko Morogoro kwenye Kijiji cha Isago, Kata ya Mngeta, Jimbo la Mlimba Wilayani Kilombero daraja la miti limejengwa kwa MILIONI 31 wengi walihamaki na kuhisi kuna upigaji umetokea.
Reporter wako Millard Ayo alifunga safari hadi kijijini Isago, umbali wa kilometa 305 kutoka Morogoro Mjini na kuweka kambi kwa muda kuomba kupewa hesabu ya hiyo fedha milioni 31 imetumikaje, Meneja wa TARURA Kilombero Injinia Robert Magogo na Mbunge wa Jimbo hilo Godwin Kunambi waliketi kueleza yote kupitia AYO TV na millardayo.com
"Kulingana na Gharama ndio maana tumeanza daraja ambao hili sio la kudumu ni la mbao kama tungejenga la chuma ama la Zege gharama ingekuwa ni kubwa kiasi kwamba itabidi tuombe Pesa Serikali Kuu ambayo ingechukua muda sana"- Injinia Robert Magogo
"Daraja hili la Mbao kutoka hapa juu mpaka lilipoishia chini ni kama Mita 6 na kama tungejenga daraja la chuma kwa uzoefu wangu basi gharama kukamilika ni Bilioni 1 na tulishafanya hivyo kwenye mto kiansi na kama la tungejenga la Zege basi lingegharimu kama shilingi Bilioni 3"- Injinia Robert Magogo
"Mbao zilizotumika hapa ni aina ya mkarati sifa zake kwamba upo imara hata kama ukikaa kwenye maji, idadi ya magogo yaliyotumika hapa 121 ambayo yana urefu wa mita 7 kwa unene usiopungua futi moja kwasababu zinatofautiana kuna nyingine ni nene zaidi na nyingine ni nyembamba lakini haipungui zaidi ya futa mita moja , mbao ziko 245 lakini kwa size tofauti"- Injinia Robert Magogo
Ukiona video Millard kaivalia njuga mwenyewe ujuwe ni video yenye umuhinu sana. Heko bro kwa kazi nzuri 👏👏👏
🤣🤣🤣🤣🤣
Kiukweli anajituma sana,Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi
@@m.mmarckus6298 Aaamin
Kabisaa
Hatari Sana
Millard ayo hongera sana 🙌 tunaosoma comments uku tunaskiliza tujuane apa kwa like
Magogo nlifanya naye kazi ni kijana mchapakazi na mwaminifu. Hapo nmepata Mhandisi. Hongera sana Magogo watu hawaamini Ila hapo umefanya kazi nzuri.
Kaka yangu huyo nimchapakazi sana
@@shabanimagogo502 😂😂😂😂
@@shabanimagogo502 Mungu awasimamie!
Kitu pekee nachofunzaga kwa millardayo kwenye mafanikio yake ni discipline tu..goodluck millardayo
Tuliokuja kwajr ya Millard ayo tujuane
ua-cam.com/video/DxNfiRPVLw0/v-deo.html
👆💥💥💥💥💥💥💥👆
Engnea suka kichanja weka nguzo acha janja janja
🔥🔥🔥🔥
Tupo,h habari zake ni uhakika
Tuko wengi
Hongera Hilo daraja ni zuri sana, na gharama ni Sawa Kabisa m31, ni pesa mdogo Sana Kwa kupata mbao hizo
Aliyependa interview kufanyikia juu ya daraja lenyewe, agonge like hapa
Big up Engineer na pia kwa maswali ya Millard umejibu vizuri sana. Hakika bado tuna watendaji kazi waadilifu.
Eng. Magogo unaonesha unazungumza kitu unachokijua, kazi nzuri sana!
Kazi nzuri, du linatisha kwa watembea kwa miguu hususani watoto nawengineo watu hatulingsni, uzio pembeni uwekwe.
Kwa walevi inabidi watambae
Huyu jamaaa yuko vizuri saaana,wanao mkandia hawajawahi ishi morogoro hususani ukanda huoo ambao drj limejengwa tuongee ss tulio wahi kuishi uko..mhandisi uko vizuri mnoooo
Millard ayo, uko juu. Hivi ndivyo waandishi inabidi wawe. Kutoa sintofahamu kimahesabu na kisayansi kwa kuongea na wahusika wenyewe.
Hongera Millard Ayo kwa kufika nyumbani kwetu.
Shida kubwa ya huko ni kutokuwa na barabara ya kufumu licha ya kuwa tunazalisha mnoo chakula
Millard wewe ni noma
Engineer nilikuelewa toka Sikh ya kwanza.uko vizuri sana
Huyu jamaa Ana details asee...big up sana
Big up Millard na team nzima..Kwa kufika apo
Nizuri sana wangeweka uzio pembeni kwa usalama wa raia
Ningeelewa sangapi bila ayo tv moja watu niliyokuwa napinga sana huu ujenzi na gharama zake saiv nimepata somo 👏🙏
Yani mirlad ayo mpo vizuri sana mnastahili pongezi yani kama ungekuta unaweza like kila mara ninge like hata mara laki moja 👏👏👏
Wengi Wenu Hamjui Bei Ya Mbao.
magogo kaweka magogo 🇺🇸
@Millard ungeenda na futi kupima huo urefu na upana. 😀
Anyway...tunashukuru kwa jitihada zako👏👏
Hongera sana Millard Ayo kwa utedaji wako mzur wa kazi yako hakika mungu akuinue daima Mile Mile one love brother
I think this should be one of the tourist attractions in Tanzania.. Big up kwa mhandisi na team Ayo Kwa video hii yenye awareness kwa wote ambao hatukufahamu haya yote..
Ml 31 ni nyingi sana sment za ml 5 nondo ml 5 mafundi ml10 mbao ml 5
Iyo 11 itasev vitu vidogo vidogo -tunaibiwa sana watz mungu atulinde
@@subzeronyundopower kwa upande wangu nimewaelewa sana. Mbao tu ambazo zinaoza kwenye maji, ni ghali sana.. Me naona hata hiyo mil. 31 bado haitoshi.. So ni swala tu la kuelewa.. Unajua ukiwa huku nje, huwezi elewa what's going on, just go and try ndo utaelewa.
estimation iko sawa kabisa
Apo kwl akil umetyumik kutmia mbao ambao haiyoz yn lithadumu milele na milele...pnge walio tengeneza hilo drj la mbao.masha Allah
Nimemuona Mamba pale Majini nimesisimka na Nimeogopa Sana congratulations Millard Ayo 🙌🙌
Big up bro, thank you for the update
Tunataka watu Kama ninyi mnafanya kazi nzuri tungekua na wabunge wa hivi nchi ingekaa sawa hii
Hongera sana Engineer.
Gharama hiyo ni sahihi kabisa
😳😳😳😳😳😳 anaeamini kwamba hilo daraja siyo rafiki kwa kupitisha magari bila kizuwizi weka like hapa tujuwane mana siyo kwa kumchungulia izilaeli kwa kioo we daraja bai 🙋🙋🙋🙋🙋🚶🚶🚶🚶🚶
Wangapi tunamkubali MillardAyo. Twende pa1 kwa like nyingi HAPA
Usipoelewa utaona ni uwongo, ila kwa uchambuzi huo hands up
Daraja la mbao, Lori linapita la ton7 bila shida! Sasa unaebisha jiulize material ya mbao zenye uwezo wa kupitisha ton7 bila kudondoka sio mchezo
Isago kwet
Miaka 60 ya uhuru kwa daraja hili ni vichekesho sana hii inaonyesha ni jainsi gani Africa na Tanzania pamejaa ufisadi
Saluti kwako ndy maana ktk watangazaji wa Tz ww ni no 1 huna mpinzani Millard Ayo
Mm nafanya kazi kiwada mbao mbao zina bei Sana
Miladi Ayo yuko vzr hiii channel haijawahi kuniangusha,,,kwa taarifa za kweli zinapatikana hapa
Iyo daraja kwa kijijini iko safi kabisa
Milliard ayo nimpambanaji sanaaa Mwenyez mungu akuzidsmishie sana na saha🖖
Upo?
nawe ni mpambanaji pia
Munira
Aaaah iko njema,mbao nazjuwa ghalama ziko juu,31Mil ni ndogo sana
Ahsante Millardayo kwakutujuza zaidi
Mwanasiasa mwana siasa tu, Mzee magogo kaelezea vizuri sana ila njomba sasa😂😂😂
Siwez bisha huyu jamaaa yupo sahihi kabisaa kwanza pexa ni ndogo
Kazi nzuri
Asante Mungu tumepata wakumtuma,,Sasa ivi kitu atukielewi tunamtuma Millard Ayo big up bro
Hongera mh. Mbunge
Hongera sana Mkandarasi kazi nzuri sana.
Ukweli mmejitahidi sana kubana matumizi. Mil 31 ni ndogo sama ukilinganisha na kazi iliyofanyika.
Ni kwel
Kabisa kabisa
nimejirizisha na maneno ya engineer👏👏👏 pesa makaratasi hasara roho 31 mln imeenda sahihi kabisa
Kumbe kuna mengi yaliyokuwa hayajulikani 👏👏👏🙌🙌
Ubarikiwe mheshimiwa mbunge
Ayo nakukubali mpaka umeifungia safari we saruti hongera Kwa kazi Yako kaka nikienda otongowa nitafika isago
kazi nzuri bro Millard
Sawa sawa
Kazi kubwa kote ... Big up Millard ayo
Mbona kazi ni kubwa zaidi kuliko ata hela yenyewe.
Hongera Sana bwana mubuge mungu akulinde pia bila kusahau ichinia walie pamban kujenga daraja bila kuliwa na mamba kaka miladi ayoo hongerasan kwa kutupa habari kila pembe ya dunia
Hapo katika Kijiji Cha Ngeta napafahamu sana nimeshaenda kununua mchele ukivuka mbele unaingia Kambi ya JKT Chita unaenda Mlimba kwenye Mradi wa kufua umeme wa Kihansi.
Morogoro ni kubwa sana inapaswa kugawanywa mara 2 ili kuwepo na Mkoa wa Morogoro na Mkoa wa Kilombero.
Vipi kuhusu kilosa wewe? Ushahidi unao kweli
Moro ni kubwa inawapa shida watawala. Igawanywe tu
Niujenzi mzuri ila bado ni hatari kwa watembea kwa miguu walitakiwa waweke nguzo pembeni watu huwa wanajikwaa anaweza kudondoka , hasa hofu yangu kwa watoto nazani mnawaona hapo wanaweza kuwa wanakimbizana hapo wamalizie kuwaka ukuta wambao pembeni ili mtu anavyotembea awe comfortable 🙏
Injinia shikamooo, alafu hongera sana kazi kubwa sana kwa gharama nafuu sana, wanao ongea waache waongee, maana yaonesha walikimbia umande wakati ww unaenda shule utatumia nguvu kubwa sana hadi wakuelewe, milad ayo big up
Ongereni sana
hongera kazi nzuri sana
Millard ayo hongera sana mbunge wetu mtarajiwa 2025
Insha Allah
Tunamuombea
Jimbo gani
Millard Ayo hanaga kazi mbovu ajawahi Kula MB zangu bule.like zangu kwa wale walio kuja kushuhudia mamba walio lipwa mafao yao
Hiyo Pesa Ni Sawa Tu,,Ujenzi sio Michezo..
Hongera 🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️
Hongereni sana, Kazi Nzuri, pesa ndogo
Hii gharama ni ya kawaida sana. Nadhani gharama hii ingeweza kuzidi. Hawa watendaji ni waaminifu sana.
Tuchangie tozo ya miamala ili wajengewe la zege au chuma
Niwapongeze kwa kubana Matumizi .
Saf sana millad kwa kutujuza uko vzur
P1 sana bro ayo, nakubali sana unavyo watafuta hawa watu hua unatutoa maswali mengj tulio kua tunajiuliza
Haijalishi kama pesa imetumika kisahihi au hapana..Daraja la ambao is a joke..no bora angeitisha harambee tuchangie but it's a shame kwasasa kuweka mbao.. liko kama la kwa bibi yangu huko igwachanya miaka hiyo
Changia tozo za miamala
Manshallah nimeipenda sna hii interview maana niliiyona hii Mada fb na nikashare ila mguzo lilikuwa nyingi sna kwa wanajamii👍 wengi wao hamjui bei ya mbao mngetuliza kidg tunaojenga vibanda vyetu uko bongo 🇹🇿sio poa unaishia kukuna kichwa tu
Hongerani sana wote💪🏼👌🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Hatutakusahau Magu! RIP🙏🙏
Kwa nn
Yote heli Tumshukuru Mungu kuepusha misiba .Amen
Daaah Kaz nzur kak nakuelew San 🙏🙏
Nzur
Eng.na Mh.Mbunge Hongereni Sana.
Safi Millard Ayo hiki.ndicho.nilicho kuwa nataka👍
Hongera ayo tv kwakweli uahitaji tuzo
pembeni wangeweka miti kuzuia inaogopesha hasa wanaotumia miguu lakini hongereni kazi nzuri
Hongera sana Kunambi, ndio wanasiasa tunaowataka
Safi
Kwakua ni haki ya kilamtu kuongea, sawa tu ninachokifaham hapo hakuna hata laki moja ya hakiba ilosalia magogo hayo ghali
nimeuzunika sana nilipo sikia milion 31 kiukweli ingekuwa ni mimi nilijenga ningelipisha milion 98 hiyo ndie garama sahihi kwayo job
Kazi nzurir lkn hamkuweka magogo kuzuia pembeni kwa usalama zaidi
Tumwachie Mungu aisee
M31 tsh kwa Kivuko hiki mbn ni ndogo sana au kwa kuwa tu watu wengi tz sio mafundi
Big up kwa Injinia huyo ila tu htr moja kuwa halijazibwa pembeni jpo kajieleza kuwa kuna ssb za kufanya hvyo
Hao wanaojiita mabos na kumuwekea mashaka mshkj huyo hawana walijualo
Huyu Bado yupo kazini kweli, mbona nikipiga hesabu hazifiki 31m
Ila bro millard wewe ni inspiration kubwa. Ubunifu na juhudi zako vinanipa hamasa zaidi. Naona unapush hadi discovery saiv duh
Kazi nzur kuokoa maisha ya watu
Hivi mmeingea kwa undani ila najiuliza Kama serikali miti yote iko chini ya serikali, Kama serikali ina magari yakuweza kusafirisha magogo hivyo gharama zingine hazina mashiko. Na watu wa kijijini wako tayari kujitolea kabisa, hapo Kuna ufujaji wa hela za umma.
yupo sawa mti wenyewe dawa unauzwa milioni moja hilo daraja lina mita 40 na linapitisha tan 10
Tujadili hili daraja msimu aa mvua, tuseme kwa sasa tuacha daraja lihudumie
Mlango mmoja wa mninga sh. Laki 4 kabati la nguo la mninga ni zaidi ya milioni moja na na kuendelea.ilo dalaja ni halali kabisa
Kwa hiyo wametumia millioni 31 kujenga daraja la muda? Huyu engineer alisomea wapi? Hii kweli Tanzania ya leo inasikitisha sana. Huyu engineer siyo mtanzania. Hizi BOQ ni za ajabu sana! Hii kweli ni teke linalokujia. Hawa wenzetu hawafanyi research zaidi, kila kitu wao wanachukulia kwa kulinganisha na ufanyaji kwa uzoefu!
Mbona hawajaweka hata uzio pembeni kwa ajili ya watembea kwa miguu, watoto hasa. Naona hatari tupu hapo
Uko mzee kwa siku znawezapita gari 5 tuu
Daraja liwe la kitalii maana hayo madaraja utayaoona kwenye movies za kivita kati ya wamarekani na wavetinam
Hongereni sana mmeweza kuliko watu kuliwa na mamba
Big up Millard ✍️
Viongozi wengi wanajua kuropoka bila research ili mladi tu aonekane kwenye tv na raisi kuwa anafanya kazi, ukitaka kujua Anza ujenzi faundation tu inakunyea