Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

EXCLUSIVE: MMILIKI WA SHULE ZA KAIZEREGE/KEMEBOS, KAISHIA LA 7, KANUNUA SCANIA MARCOPOLO 7

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 бер 2022

КОМЕНТАРІ • 672

  • @gladnessrwegalurila3843
    @gladnessrwegalurila3843 2 роки тому +7

    Dah! Nimeipenda sana hiyo shule.Ina mazingira mazuri, halafu safi kinoma.Big up mkurugenzi wa shule, mkuu wa shule na walimu wote pamoja na wafanyakazi wengine wa shule hiyo.👏👏👏👏

    • @cineplus-tv255
      @cineplus-tv255 2 роки тому

      ua-cam.com/video/3GyDw7shVsA/v-deo.html

  • @josephkisibijr.4261
    @josephkisibijr.4261 2 роки тому +6

    Just love the part of supplementaries😂😂🔥🔥.
    It's a great idea,,,, I think I need a job in KEMEBOS.
    This is not just investment but also a great blessing to the founder of KEMEBOS,,, pure heart,, a man of development,,we need more of him in TANZANIA 🔥🔥.

  • @victoriaishengoma5634
    @victoriaishengoma5634 2 роки тому +11

    Shule Ni nzuri Mwanangu amesoma hapa amepata Div 1.7 F4
    Hongereni sana sana.
    Mambo ya kuboresha:
    -Wekeni muda wa watoto kucheza
    -Wekeni Extra curricular training activities ili Kuibua na kukuza vipawa ; Kama Music, Arts etc
    -Punguzeni kuchapa watoto tumieni positive Discipline. Non Teachers staff wasipige watoto.
    All ni all kazi yenu nzuri sana.

    • @andrewmachage9102
      @andrewmachage9102 2 роки тому +1

      Dah wanapiga hao mdg wang kidg wamuue

    • @christinagideon961
      @christinagideon961 2 роки тому +1

      Mbona kasema hawachapi bila kibali

    • @andrewmachage9102
      @andrewmachage9102 2 роки тому +1

      @@christinagideon961 muongo huyo hyo shule kwnz kuna waganda wengi xn ndo waalimu wa hapo na unawajua vzr wajukuu wa iddi Amin dadaa

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 2 роки тому +4

      Shida inawezekana hopo kuna watoto wa matajiri ndio maana wanaogopa kuchapwa wamezoea kudekezwa, na usipowachapa wanakuwa legelege wacha wanyukwe

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 2 роки тому +1

      @@christinagideon961 hawwzi kusema tunachapa Sana Ila kwa maelezo ya anaetafuta viboko anavipata jibu tosha

  • @kamalaeditha5864
    @kamalaeditha5864 2 роки тому +4

    Hongera Sana mmiliki na walimu kweli kazi yenu ni njema Sana. Mungu awabariki sana. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @silverman6930
    @silverman6930 2 роки тому +7

    Well the school is doing great … but this is the problem of Tanzanian education we all focus on divisions one two or three extra … having general skills will be more important cos the sad part is there is not enough jobs out there at the min unless you can employ yourself… the whole education system needs looking completely

  • @francisshake8016
    @francisshake8016 2 роки тому +6

    This is very impressive for a school director hongera Sana bazuu

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 2 роки тому +17

    Mwamba kaishia std 7 tu. Kaajili watu wenye masters, kama hakuna ulichojifunza apo bas tena

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 2 роки тому +5

    MASHAALLAH MUNGU ambariki sana AMIN AMIN AMIN
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @linamacha7686
    @linamacha7686 2 роки тому +6

    👏👏👏👏Duuuuuuu hongereni sana pamoja na yote kuwa mazuri nimependa sana hilo la kutokuchapa watoto maana walimu wengi wanapiga sana watoto jamani mimi mwakani namleta mwanangu kwa nyeupe kabisaaaaaa

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 роки тому

      Wana chapa mnooo km mtt haelewi.mm ninawatt hpo na nimekuwa na kesi mara nyingi ya kuchapiwa wtt kikatili.baadhi ya waalimu cjui ni mijaluo?

    • @jamesobedy3940
      @jamesobedy3940 2 роки тому

      @@rosemarysulle9288 😳😳😳😳

    • @emes602
      @emes602 2 роки тому

      @@rosemarysulle9288 watoto wako hawaelewi?

  • @verdianrweyemamu6367
    @verdianrweyemamu6367 2 роки тому +1

    Kazi nzuri Sana kaizilege na kemebos, Pia Asante Sana Millard Ayo kwa makala hii nimejifunza mengi🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @frankbangimoto3462
    @frankbangimoto3462 2 роки тому +4

    Hongereni sana mkuu. Ni mfano wa kuigwa na wawekezaji wengine.

  • @brayanjames9953
    @brayanjames9953 2 роки тому +10

    Yani feza ni wasenge tu kwa kaizilege mahana ada ya feza ni kubwa zaidi ya m10 kwa mwaka na ya kaizilege ni ndogo sana m3.5 lakini ina kuwa ya kwanza kitaifa duuuu

  • @nestoemanuel1768
    @nestoemanuel1768 2 роки тому +5

    Brother millard Ayo tunashukuru kwa habari mzuri💥💥

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 2 роки тому +3

    Amazing man.....i do booking for my son in next 3years to come

  • @robertkimaryo7178
    @robertkimaryo7178 2 роки тому +3

    Safi sana, kweli hakuna mtoto mjinga. Muhimu ni Malezi tu! Shukrani sana Ayo TV, hii interview ina kiwango cha Hali ya juu.👌

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 2 роки тому

      Hii makubaliana nayo nimewahi.kuwa na mtoto WA wifi yangu alifiwa na mama akabaki na wa kambo alipata zero nikakaa naye akamaliza na 2 form 6

  • @clintonkhan4961
    @clintonkhan4961 2 роки тому +2

    Niko Kenya ila natamani Sana mwanangu asomee hiyo shule. Hongera Sana Mzee mkurugenzi💪💪💪.

  • @geophreymlewa3863
    @geophreymlewa3863 2 роки тому +1

    Aiseeee inashawishi , inavutia, inakufanya ufikirie juu ya haya kazi nzuri kaka hongeraa sanaaa hizi shule big up sanaaaaaaaaaa kwa mmiliki na walimu wa ujumla

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 2 роки тому +3

    Kuna cha kujifunza hapa... hongeraa sana Mkurugenzi na team yako.

  • @victormajariwa8484
    @victormajariwa8484 2 роки тому +6

    Nime fanya kazi apo namkubali sana mkurugenzi ukiwa na shida anaga kinyongo anakupa zaid ata ya mshala wako

  • @lylyanaloyce2858
    @lylyanaloyce2858 2 роки тому +2

    Yaan amna mbinu nyingne za ufaulishaji zaidi computation kwa wanafunzi wenyewe na fimbo juu .I really love that school ndo imenifanya nisimame hapa nilipo

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 роки тому +4

    Wawooooo....Mashaalah. Serikali njooni mjifunzee hapa

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 2 роки тому +8

    Millardayo:Kun walimu wenye masters hapa?
    Mwalim mkuu: Ndiyo ikiwemo na mimi mwenyewe tunao walimu 9 wenye masters😆😆😆😆😆😆😆😆😆💪💪💪

    • @gilbertkasikila5294
      @gilbertkasikila5294 2 роки тому +1

      😂😂😂 noma sana. Watu wengi wanadhani ualimu ni kazi ya waliofeli kumbe ni tofauti sana

  • @jovinathasavoie8018
    @jovinathasavoie8018 2 роки тому +1

    Wow that is a good strategy.,hii shule haipo mbali na nyumbani, nafurahi kuona hizo mbinu nyingine zipo kama za huku nje.Asante millard Ayo,iam your big fun.greetings toka USA.

  • @azizamvungi6409
    @azizamvungi6409 2 роки тому +5

    kusoma sio ishu ishu maisha kwakweli unaweza ukasoma na usiwe na plani kwakweli nimejifunza kitu..hapa

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 роки тому +10

    Mfumo wa elimu Tanzania ulitakiwa wote ufumuliwe na usukwe upya , mitihani na elimu ya Tanzania haijengi
    na kuchochea udadisi na ufikiriaji yakinifu. Ni mfumo wa kukalili ili kufauli mtihani ndio maana nchi haizalishi wanasayansi wengi na wabunifu na wagunduzi

    • @lovenessandrew9121
      @lovenessandrew9121 2 роки тому +3

      Yaani ni maumivu ya mawazo yangu kila siku....huu ni mfumo wa kikoloni ambao walifanyia kazi wakajua kabisa kuwa Africa itaendelea kuwa tegemezi,mfumo ambao tumeurithi toka Kwa wazungu viongozi hawajawahi kuwaza kubadirisha mfumo huu ambao bado unaendelea kufunga ufahamu wa akili zetu..... Hii serikali yetu Bwana

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +3

      @@lovenessandrew9121 Kiukweli hilo nalo ni janga kwa Taifa.

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 2 роки тому +1

      Halafu mtu anasoma anafaulu vizuri mwisho wa siku anaanza kutafuta kuajiajiliwa!!

    • @lovenessandrew9121
      @lovenessandrew9121 2 роки тому

      @@sweetbertrwiza5982 ndo uwaze hapo sasa,mtaji anautoa wapi na kasomeshwa Kwa kuungaunga na wazazi wake,wameuza pombe mpaka akili zimeingia ganzi,wakiamini kuwa mtoto atakuja kupata kazi apunguze umaskini nyumbani...... Haya maisha sio jaman tutaishia kuteseka kwakweli

  • @mussachief1024
    @mussachief1024 2 роки тому +5

    Na matokeo ya form 6 bado mmeshikilia nafas ya kwanza kitaifa hongeren sana

  • @naomistanslaus2111
    @naomistanslaus2111 2 роки тому +4

    Hongera sana mzee Kaizirege
    Wagila mayo

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 2 роки тому +2

    Hongera Sana shule ya Kaizirege, kweli kazi inafanyika

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 2 роки тому +2

    Dah! Amegusa moyo wangu.
    Keep it up mwamba

  • @user-sn9ip6qr3l
    @user-sn9ip6qr3l 6 місяців тому +2

    Hahahaha😂😂😂hata mie tuu ningekaza butiii aisee nan asiependa zawad nchii hiii anyooshe mkono nimwoneee nimeipenda sana

  • @halfankallah7173
    @halfankallah7173 2 роки тому +4

    Hapo Kwenye suala la Ada nmewakubaliiiii Huwa inatuaribu Sana kisaikolojiaaa kweny suala la kudaiwa

  • @JoshuaShoo
    @JoshuaShoo 4 місяці тому +3

    MUNGU AKUBARIKI

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu3822 2 роки тому +2

    Ila hii chanel naipenda sana Millardy ayo Mungu akubariki Sana,ipo siku nitawaita mje muone mafunzo nilojifunza kwenu, maana nanijenga mno

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 2 роки тому +3

    Muonekano wa shule, usafi yani baba huyu Big Salut 🤠🤠🤠

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 роки тому +3

    Mtu mwema sana ni tajiri wa asili ana mbwembwe na huyo mwanalimu mkuu ni mtu poa sana pahala hapo lazima pawe na bless

  • @efraimobadia4944
    @efraimobadia4944 2 роки тому +5

    Mungu ambariki huyo mwekezaji

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 2 роки тому +3

    Amazing protols, kama juli ughaibuni 👏👏👏👏👏

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 2 роки тому +6

    Huyu mzee ajengewe sanamu

  • @iffahbahet1499
    @iffahbahet1499 2 роки тому +4

    Mkuu wa shule anafafanua vizuri Sana Hadi raha

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 2 роки тому +5

    Milion tatu😳🤔 mi nilifikiria itakuwa labda mamilion kum na kuendelea uko 🙆‍♀️ aise wapo vizur sana mungu ampe umri mrefu uyu baba

    • @margarethlushiku9063
      @margarethlushiku9063 2 роки тому +2

      Hongera sana mkuu wa shule kwa uongozi wako bora akiwemo mwenye shule.Naomba namba ya simu.

  • @consolatarwabuganda7187
    @consolatarwabuganda7187 2 роки тому +4

    Yusto nimempenda sana, mwenyezi mungu amlinde😭😭

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Місяць тому +1

    Namjua vizuri alikua dereva gari yake alikua anaendesha gari kwende lzimbya

  • @jeskakahangwa4692
    @jeskakahangwa4692 4 місяці тому +2

    Mnafanya vizuri sana ila naomba uwekeze pia iwe university ndo habari nzuri na siyo vyuo vya kati

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 2 роки тому +3

    Mwalimu huyu yuko vzr big sana teacher

  • @maroasamson6219
    @maroasamson6219 2 роки тому +5

    Nimependa mazingira rafiki yenye madhari na miundombinu ya kutia hamasa ya kusoma, hongera kaisare

  • @deegrotv3215
    @deegrotv3215 2 роки тому +7

    Imenichallange kiakili bigup kwa kipindi cha leo..

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому +7

    Ukiwa na ela peleka mtoto akasome haijalishi ata fika wapi daah hiyo shule hatar

  • @winstonmutafungwa8895
    @winstonmutafungwa8895 2 роки тому +2

    THE BEST STRATEGY FOR A SUCCESSFUL SCHOOL!! PROUD TO KNOW THERE'S A TANZANIAN DOING AN AMAZING JOB IN CHAMPIONING A NO.1 SCHOOL IN TZ

  • @khamixilotwa5665
    @khamixilotwa5665 2 роки тому +5

    Serikali nayenyewe ijitahidi maana wanafunzi wa shule za serikali majanga tu.

  • @evancerwamugata1064
    @evancerwamugata1064 2 роки тому +5

    Our school 🔥🔥@class of 2019

  • @eliezerhokororo1749
    @eliezerhokororo1749 2 роки тому +4

    Hongera kwa mwl mkuu, anajua kujieleza kwakweli na kueleweka. Ila rafudhi yake sasa

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 2 роки тому +3

    UBaarikiwe sana Mzee Kaizerege. Hongera sana

  • @hajimusa9810
    @hajimusa9810 2 роки тому +3

    Aisee hongereni sana Mungu awabariki sana na huu uwe mfano kwa shule zingine

  • @DennisDidas
    @DennisDidas 2 роки тому +6

    Mwenye Shule amefanya jambo kubwa sana ila kuna jambo moja mmiliki huyo wa shule alichoshindwa, Ameshindwa kuzalisha matoleo ambayo yatafanana na yeye au kuwa zaidi yake. Matoleo anayotoa kwa sasa ni watu wanaofaulu mtihani, waajiriwa watakaojificha chini ya kivuli cha Ajira za Serikali au kivuli cha watu wanaofanana na mwajiri huyo ila sio watu watakaofikia kiwango cha mmiliki huyo au kuwa zaidi yake na kuleta mabadiliko kwenye jamii iliyowazunguka kama alivyofanya mmiliki huyo.

    • @chachanixon702
      @chachanixon702 2 роки тому

      Just another way of looking at it(quite allowed). But the word 'ameshindwa' has been misplaced
      /Misused here.

  • @henryruta995
    @henryruta995 2 роки тому +5

    Mtembelee na mmiliki wa chuo cha Mbalizi polytechnic (mbeya) aliishia darasa la nne.

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 2 роки тому +8

    Kaizirege wagira mayo. Shule hii iwe ni mfano wa kuigwa Tanzania.Wizara iamie pale ijifunze.

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +1

      Kwakweli brother

    • @kalumbugideon4159
      @kalumbugideon4159 2 роки тому +1

      Serikali iliisha enda pale kwa Siku 7 za Kazi ukiondoa Siku za mapumziko,pia wamepeleka wabobezi wa usimamizi wa mitihani Taifa mara kadhaa.

  • @mastajabudekula4828
    @mastajabudekula4828 2 роки тому +3

    If you had a best school this is the one.best of the best

  • @Sppah697
    @Sppah697 2 роки тому +6

    Ana akili zakuzaliwa na siyo za darasani! Hiyo ni very mportant!

  • @Omushonga
    @Omushonga 2 роки тому +7

    Nshomile njooni hapa. Huyu mzee anatuinua Abahaya.

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому +5

    Work hard as a slave and ...you will live like king.

  • @lulusimba7526
    @lulusimba7526 2 роки тому +1

    Kuna cha kujifunza hapa hongera sana mkurugenzi pamoja na team yako

  • @josephjila957
    @josephjila957 2 роки тому +4

    Hii shule usisimuliwe binafsi nimefurahi sana Sana

  • @KakaDanny
    @KakaDanny 2 роки тому +3

    Hongeresa sana kwa mmiliki na wafanyakazi. ILA CCTV vyumbani SIO sawa. Wangeweka kuzunguka mabweni na wangeona nani kaingia na kutoka saa ngapi. SIO ndani ya mabweni !

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 роки тому +3

      Siyo sawa kwann?kama kuna watoto wanatabia mbaya si watawaharibu wengine?tena afunge mpk vyooni

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 роки тому +1

      Hiyo shule ni nr sana ila wtt wetu watabasti vichwaa jmn.wanasoma hao ni hatari.

    • @KakaDanny
      @KakaDanny 2 роки тому

      @@rosemarysulle9288Siyo utaratibu.
      Kuna mipaka ya usiri ( "Privacy") na ndio maana ya kuwa na mlezi ( Matron mfano ) kufuatilia watoto kwa karibu na siyo Kazi ya CCTV !

    • @chiefchacha2992
      @chiefchacha2992 2 роки тому +2

      Waweke tu had choon coz kuna matukio mengi sana ya uchomaji wa shule

    • @geofray0132
      @geofray0132 2 роки тому +1

      Yaaani kuna mijitu inajifanyaga inajua kuliko mwanzilishi

  • @yuliahenry3383
    @yuliahenry3383 2 роки тому

    Shule Ina mazingira mazuri ya usomaji . Hiki ni kigezo Cha kwanza. Conducive environment. Kudos 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 роки тому +4

    Twaba shobokelwa❤️❤️❤️

  • @user-pe3vc9wk3t
    @user-pe3vc9wk3t 10 місяців тому +2

    Big up kwa wahaya🙌

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 2 роки тому +2

    Safi sana Kaizirege, kwenye viboko na ada nimeelewa sana

  • @faysasalax5551
    @faysasalax5551 2 роки тому +3

    Hongera kwa mmiliki wa shule mungu azikumuongoza

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 2 роки тому +3

    Shule nzuri sana hiyo, hongereni

  • @masagabulemela3228
    @masagabulemela3228 2 роки тому +7

    Hivi nyie mnawajua WAHIGHER😂😂🙌🏻🙌🏻

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 2 роки тому +2

    Daaaah...... nimeipenda sana hii shule aisee

  • @madamgtv73
    @madamgtv73 2 роки тому +4

    Daah kwakweli hata zawadi zinashawishi kusoma na kufundisha vizur

  • @Igauf3
    @Igauf3 2 роки тому +5

    Privacy is a bit sketchy with cameras in the dormitory. How do they monitor that data?

    • @skdestiny6227
      @skdestiny6227 2 роки тому +1

      I also graduated from this school😂😂in the dormitory is a mess😂coz everything is exposed infact we were used to being naked and free infront of cameras😂infact that headteacher and the Owner also visit the camera rooms 😂 I mean there's nothing we could do

  • @enjoomaliya1399
    @enjoomaliya1399 2 роки тому +6

    Wahaya oyeeee

  • @jeromekabogo9456
    @jeromekabogo9456 2 роки тому +1

    Hayoo ni mkulugenzi mwenye utu wa kipekee mungu amlinde palikiwa babaa

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 2 роки тому +3

    KWA KWELI NI SMART SMART SANA🤝🤝🤝

  • @bellerlynx6122
    @bellerlynx6122 2 роки тому +3

    Appreciate Kemebos

  • @warren-zs6vv
    @warren-zs6vv 2 роки тому +6

    Wahaya shikamoo ...eti tuna mabasi tena ni scania na ni g7

  • @azaiyayassin1627
    @azaiyayassin1627 2 роки тому +3

    Millard ni kweli kabisaa Amna mda wa michezo kabsaa

  • @SaumaBakari-ld2dy
    @SaumaBakari-ld2dy Місяць тому +1

    Naomba ratiba ya Ada na fom

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 роки тому +5

    Wahaya oyeeeeeeee

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 2 роки тому +7

    Millard ipo siku Utanihoji hapo kwako 😁😁😁😁ngoja nipambane kwanza nikae sawa kidogo

  • @felickfelix8600
    @felickfelix8600 2 роки тому +3

    Hii ya ada! Dah! Imenigusa

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 2 роки тому +3

    Aisee kwa Wafanyakazi ameweza Safi Sana.

  • @omarsal3266
    @omarsal3266 2 роки тому +1

    Kwanza Hongera ya dhati kwa wote mmiliki, wafanya kazi, walimu pamoja na wazazi. Where rules and regulations are implemented and followed by the rulers themselves, but naturally the whole framework will systematically be prosperous , because an organized action plan does not lead to failure.

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 роки тому +4

    Ndio ukisikia kusoma ni kuelimika tuu na vyeti lkn siyo mafanikio ila mafanikio hayajalishi kiwango cha elimu wala vyeti

  • @jamuhurisalumu3514
    @jamuhurisalumu3514 2 роки тому +1

    Hongora sana kaizilege shule iyo nimeikubari sana Mungu akubariki sana

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 роки тому +6

    Sasa camera bwenini wanafunzi wakivaa inakuwaje

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 2 роки тому +11

    Mkuu wa shule anaongea kiswahili cha kihaya

    • @anethbayona831
      @anethbayona831 2 роки тому

      Nilitaka niseme hvyo hata mimi

    • @jackobgalish5742
      @jackobgalish5742 2 роки тому +3

      Divizheni WANU😅

    • @DavidMMKing
      @DavidMMKing 2 роки тому +3

      Wewe kama ni mtoto nitakuelewa lakini kama ni mkubwa basi ni kubwa jinga maana komenti yako ya kijinga.

    • @asumaathuman6094
      @asumaathuman6094 2 роки тому

      Mchanga ataongea chakichaga...msukuma ataongea
      kiswahil ataongea kiswahil chakisukuma....sasa wewe unaongea nni???

    • @jackobgalish5742
      @jackobgalish5742 2 роки тому

      @@asumaathuman6094 kweli

  • @mgcs2076
    @mgcs2076 2 роки тому +3

    Perfect

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 2 роки тому +1

    Mungu akubariki sana sana ... Nimefurahi mno

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 2 роки тому +8

    Mifano kama hii ndio ntunayo ihitaji elimu sikitu mhimu ni akili

  • @colemanhenry5019
    @colemanhenry5019 2 роки тому +3

    Mungu awabaliki walimu

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 роки тому +1

    Woow safi saana nimependa shule yenyewe 🇶🇦🇹🇿

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 2 роки тому +6

    Duuuhhh..!! Nimependa life style ya Boss kwa wafanyakazi wake

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 2 роки тому +2

    Manshalah manshalah manshalah mungu azid kuipa sifa shule hiyo

  • @jumachacha3903
    @jumachacha3903 2 роки тому +3

    Naomba mmiliki wa akubali nimlete mwanangu amsemeshe ila mimi nina hali ya chini siwezi kumudu gharama.

  • @brunodemarx9198
    @brunodemarx9198 2 роки тому +4

    Very smart

  • @jessalaisaac.a2599
    @jessalaisaac.a2599 2 роки тому +1

    Mh!!! Cyo kweli...
    Ile Alo Sema ayo ni kweli
    Yaan ukiwa kipanga kaizirege u go kemebos na ndo ilivyo...

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 роки тому +4

    Nilikuwa najua kumiliki shule lazima uwe umesoma chuo kikuu 🙂🙂🙂🙂

    • @ramsdenjames9782
      @ramsdenjames9782 2 роки тому +2

      Yeyote anaweza miliki ila msimamizi kwa taaluma lazima awe kasoma na vigezo kielimu ww mmiliki utabakia kua mmiliki

    • @jamesobedy3940
      @jamesobedy3940 2 роки тому

      @@ramsdenjames9782 kumbe