Usipende ku mraum mtu siku zimetofautiana naye ni binadamu kama ww kuna siku mbaya na njema so usiwe mwepesi ku jaji en unayetukana jeulize ww umefika wap mpaka asaivi yupo kwake uyo .... Ata kama mnasema sijui kaongwa ni vyakeee.... Uki panik nawe nenda kaongwe uwoni kama ni rahisi rahisi think like a man
dada naomba unitafute mi ni yule debora niliemlea paula naomba unitafute facebook andka debora mwenda utanikumbukatu nimetoka huko elfu mbili na kumi nimewamisi dada yangu naomba unitafute.
Mtangazaj pole Sana haa mtu anahojiwa anazarau fyuuu aisee ningeondoka aisee Maan Sim ndio kanuna leo au shenzi typ. Mkiwa na intarv muwe nawek ushirikiano unajisikiya keki au udongo tu
Chefu unaringa kama hunyii mjinga we mapozi ya nn mavitu yenyewe ya kuhongwa tu kubaya kwake ka roho yake ilivyo mbaya yanii una mdharau MTU kiasi hicho
wengi niliosoma comment zenu mnasema kajala anadharau ila kama ukimuangalia vema si dharau ....kajala ana aibu sana..ila kiukwel kajala mm nampenda sana. na katika wasanii wenye moyo saf naye yupo
Nilitaka kusema kama +dream latifa ila nikajiongeza may be ndo style kaamua kuwa tofauti. Maana angeshoboka mngesema kiki inatafutwa kufuta ya hv karibuni.wabongo buana
Dream Latifah yaan anaongea lakini kama she doesn't want to... anaongea kama hataki anaongeleshwa anajiskiaaaa kujibu anajifikiria mara ajifanye hajaskia
Vile nampenda kajara afu nimegundua hakupenda kuhojiwa mana walimwengu wanamsakama balaa acha Paula ajilingie hataki mahojiano asije akaulizwa mamb ya harmo mara Paula & vany jikwepeshe mamy
Ilaa ww mtangazaji unauvumilivuu duuuuh !!!! M2 Yuko bize bado tu unamdadisi🤣
ivyo vitu kuna watu hawana Nguo wala viatu bora ugawe kuliko kujaza panya ndani kama umependa like ACH poz kajl kam hutakuf ivi
Ndio mamae zake anajishauwa
Nakuwambia makorokoro kibao mh wala
🥰🥰💃🤣🤣🤣
mashaa Allah nipazuri ume barikiwa dada mshukuru mola kwa hilo
Hongela kwako pazuri unajitahidi sana, ila umeniboa sana jinsi unavyojiskia umekera sana, kuanzia Leo nimekushusha thamani.
Achen matusi we bb mbona unakuwa boya acha ajisikie mdada anajikubari
☺️☺️☺️☺️🤭
Usipende ku mraum mtu siku zimetofautiana naye ni binadamu kama ww kuna siku mbaya na njema so usiwe mwepesi ku jaji en unayetukana jeulize ww umefika wap mpaka asaivi yupo kwake uyo .... Ata kama mnasema sijui kaongwa ni vyakeee.... Uki panik nawe nenda kaongwe uwoni kama ni rahisi rahisi think like a man
Ndio maana hatununui filam zenu yani unahojiwa unalinga au unajiona mzuri sana kama huendi chooni unaboa my sister
kajala amepika hatua nzir hongera Dada angu mungu aendelee kukuinua
cjapenda hana good cooperation
This rich beautiful lady Kajala is so down to earth and shy. Be blessed zaidi. Love from Kenya.
True
mashaa allah nyumba nzuri sana😍
Amina Adalai
dada naomba unitafute mi ni yule debora niliemlea paula naomba unitafute facebook andka debora mwenda utanikumbukatu nimetoka huko elfu mbili na kumi nimewamisi dada yangu naomba unitafute.
mashaa allah nyumba nzuri hongera kajala😍
Amina Adalai
nymba yke au kasulumu
Hongera yake wengine hawana
Nyumba nzuri sana
Kama hukuwa tayari kuhojiwa hatua ya mwanzo, baadae ndo kaonesha ushirikiano
Acha ulimbukeni Ww, Tabia gani unasemeshwa Ww unaendelea kuchat!..
Mtangazaj pole Sana haa mtu anahojiwa anazarau fyuuu aisee ningeondoka aisee Maan Sim ndio kanuna leo au shenzi typ. Mkiwa na intarv muwe nawek ushirikiano unajisikiya keki au udongo tu
kajala am from.tanga dia naweza kukufyndisha mapishi mengiiiiiii ur.most welcome
hongera nyumba nzr na safi.Umejua kupangilia vitu hasa rangi
Anamaringo utafkiri hanyagi
Hongera zake nimepapenda pako vizuri sana.
kumbe anajeur sana.huyu komo kajala maana mtu anaongea.nae hata habr hana.anachezea sm tu.tabia mbya
jamani walimwengu acheni husda mbon mmemwandama mtt wa mwenzenu sio tabia nzuri kajala nakupenda sana dada angi
ninakupenda ila umeonesha huna nidham unajiskia
Mhhhh jaman sio kwa kujisikia huko
mtangazaji sikuelewi
Kama ni nyumba yako hongera kama umepanga shoga jitahidi ulipe kodi kwa wakati la sivyo yakakutokea puani hayo mashauzi siku ukishindwa kulipa kodi
Haha kweli amekuboa
😂😂😂Shida ya watanzania wenzetu, mnachukia maendeleo yawenzenu
Ni nyumbani kwake wapendwa
@@urueuudududu5760 Ni kweri nyumba yakwake
mashauzi classic! inabore
Nigupatiyr ushauri kuwa NA hakiri usiwe munyuma yakukoti njo ushauri wangu🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Congratulations mama Paula,watu hukutusi but umejitahidi big up from kenya
hongera my hata room ya Paula nice room
hapo umeharibu kajala,jifunze kwa wengine
Kajala unajisikia sana,mtanganzaji anaongea na wewe una muda ndio nini?
kajal acha zarau we iyo sm yako au umeazim www
Aki ya mungu..mbna wajishauwa ivyo mpaka kisunzi mmmmhh
Chefu unaringa kama hunyii mjinga we mapozi ya nn mavitu yenyewe ya kuhongwa tu kubaya kwake ka roho yake ilivyo mbaya yanii una mdharau MTU kiasi hicho
Unaonaje ukituonyesha nawewe ulivohongwa mpz km n rahisi kiasi hicho???
hongera sana kajala kwa kupiga hatua.
mtu mwenyew mbona MADHARAU IVO?!!!! kaaa atak vile
respect zero aisee inakuaje una hojiwa ila kidole kipo kwenye simu tu...
Hongera.pazuri sana
hongera mmy
woww nyumba yake nzuri
kajara nakupend bure💗💗💗💗na mung azidi kukusimamia
Love u Sanaa kajala umejitahid sanaaa mama
Duuu hizo dharau au nyumba sio yake nini? Lakin sishangai sana maana mwanamke huwa hakui akili za kitoto kabisa mpaka anatafuna huku akihojiwa?
Hongera mma P .nakupenda sana uko mpole
Kajala umenikera mno wewe dada yaani unahojiwa alafu unajiskia kama huendi kaburini onasasa mtangazaji anapata anaona aibu hadi anatangaza vitu zako badala wewe ndio uonyeshe mashabiki,, naona kama hapo sio kwako bumbavu wewe GONGENI LIKE HAPA
Hongera sana kajala uwa nakupenda sanaaaaan
Watu hutukana watu wenye uwezo wao..I love you Kajala ur simple lady
We unayesema anaringa kuwa na kwako pazuri kama apo na ww uringe mwenzio kajitahid hla Kwa sababu ya wivu mtesema anaringa nyooooooooo
Kabis
Kumbe huyu kajala ndo anaringa hiv jaman du! Anajiharibu mtoto mzur hatakiw kuringa jaman
Hongera Sana kajara umejitaidi . kwako pazuri Sana.
Kuringa ni tabia ya mwanamke, mbaya kuwadharau wengine na kujiona bora kuliko wengine, hongera kajala
Mazingira ni mazuri sn Hongera Kajala Masanja
hongera my umejitahidi
hongera sana kajara uko vizuli
Beuthfull house Dada..Nakupendea natural hair
NILIANGALIA KITAMBO ILANIMERUDI TENA VILE AMESHIKANA NA HARMONIZE KAJALA ANAPENDA HATABILA MA WIGI AU KUSONGWA🇨🇿
Jamani na mupendag kajala from burundi❤❤❤👌
Linajiona sana linaojiwa lipo bze na cm
Kwhy unaona kwamba ukimjib mtangazaji vizur bila dharau uhaiutatoka au masifa yasiyo kuwa na maana
ongera sana rakini sio vizuli kuongea unavo jisikia
Daaaaaaah....umejaliwa
Mbn mtangazaji kama ana mafua jamani
Jamani namupendag kajala💕💕👌🇧🇮🇧🇮
mtangazaj mwenyewe sasa!! bora Yule bro asiye badilishaga shati!!😂😂😂
Hahahahaha atar sana bora yule bro asie badilisha shat
😄😄😄
Shukran hzo vpppp mtu unamuuliza anajibu kama atak
Amejitaidi Sanaa Kuna wengine wanaume wazima adi wanazeeka Awana vitu vya thamani Kama ivyo
Ongera sana
ama kweli kwenye delvokingdom kanumba hakukosea kupatia zlee sine
#DADA KAJALA UMETISHAAA🙌🙌🙌
Heshima na tabia nzuri muhimu sana
wengine wanatembea bila viatu ww unaonesha viatu vya kumwaga hiyo sio stara ata mbele za mungu gawawia wenzio
wengi niliosoma comment zenu mnasema kajala anadharau ila kama ukimuangalia vema si dharau ....kajala ana aibu sana..ila kiukwel kajala mm nampenda sana. na katika wasanii wenye moyo saf naye yupo
Nilitaka kusema kama +dream latifa ila nikajiongeza may be ndo style kaamua kuwa tofauti. Maana angeshoboka mngesema kiki inatafutwa kufuta ya hv karibuni.wabongo buana
SinyamaziTV ONLINE out
kweli nahisi ndo alivo watu wako tofauti bwana Hawawez kulingana hta ww unaemtukanabunatabia yako kwaufup nimepapenda kwake
Dada ana maisha mazuri Mungu amuweke
kajala maringo muachie tausi daah mpaka unaboa
Anajisikia sana sijapenda
mbona anaongea kama kalazimishwa?
I hate it.
Dream Latifah yaan anaongea lakini kama she doesn't want to... anaongea kama hataki anaongeleshwa anajiskiaaaa kujibu anajifikiria mara ajifanye hajaskia
Neema Mushi ninge kuwa me ndo namhoji wallah ninge ondoka
Hafsat Sadallah yaan anatabia mbaya me sijapenda kabisaaa anavyojiskiaa
Dream Latifah mi mwenyew naona hivo
Dream Latifah ni anaringa adi anaboa tu
Mmmmh aseee mt akiwa hajisikii tafadhal watangazaj msiwe mnaulizaa bwaana
pooz kibaaaaao nyumba yenyewe ya kawaida tuu haina ata packing yakutosha
Zeyfaa Farzey mmmmmmh
Ila kweli
Ndiyo kajaliwa na Mungu
Angekuwa na pesa angetunyanyasa sana hali hiyo anafanana tu na mmi😂😂😂
nimeipenda kwa kweli
kapatikana kweli lazma ajfanye yuko bize na cm kumbe anaona haya hajajmecup
Ww sio mecup ni make up mxuewww😂😂😂
Ama kweli maskini akipata...hulia mbwata duh!!
Mungu wangu nyumba nzuri kweli kweli
Nivizuri kua Na maisha yk mazuri nakupa big up
mmmh me mwenyew kaniboa
Aibu kwa walio dhania kuwa kuachana na harmonize ndio mwisho wke mwaibike 😹😹😹😹😹
Hhii. Video INA miaka
Kajenga nyumba kabla
tabia mbaya unahojiwa afu uko busy na cm
dharau
Mshamba tuu
Labda hajapenda walivyoenda kwake
Vile nampenda kajara afu nimegundua hakupenda kuhojiwa mana walimwengu wanamsakama balaa acha Paula ajilingie hataki mahojiano asije akaulizwa mamb ya harmo mara Paula & vany jikwepeshe mamy
Mungu azidi kuwaongoza ❤️❤️❤️❤️❤️
Uyo kajala naon ajapend kuojiwa
honger mamy uko vzr
Kajala hujaonyesha ushirikiano sio poa..,mtangazaji hongera Mana sio kwa pozi iloo la dada k
Kajala ni mwizi anaibia watu mtandaoni eti kajala masanja tens akome njinga huyo
pazuriii hongera
Mashaallah
My favorite movie star
yaan uyo mtangazaj ana moyo,mi cwez ongea namtu ambaye anaonyesha wazi anajifoc jibu maswali
Goodness Brown yaani anamoyo jamani
Goodness Brown nkwel yan kma ajapenda iv ngekuwa mm kitambo nngesepa
Goodness Brown kwa kweli
kwakwel umejitahid SNA dada yang mung akujalie uzidishiwe
kajala hajuagi kiringa mm nampendaaaaa
kashtukizwa bila make up Ndo mana kajinunisha ..
kajala apendagi make up
Kwel alaf alikua ajavaa brazia ndo maana anatupa mgongo 2
Hapendag make up
Amepanga vizuri
Mashaallah kajala nakupenda
Kalala nampenda ni mdada mkmya alf syo muongeaji ndy mana unafanikiwa
Sa c mtaji kabisa
Hahahaaaaaa.... Alikua anaishigi chumba kimoja huyo sinza.😂😂😂 Amshukuru konde.... Hamo kafanya mambo ndo anaanza kujionyesha Duh!...
Wewe fala kweli....Hii video ya zamani sanaaaaaaaa....Kajala before Konde.Punguza kuropoka
Anaishi wapi huyu