msifikiri kwa mtazamo hasi angalieni pia hii ni challenge kuwajua hao vioo vya jamii huwa mnawaona wasanii wana magari au majumba lakini Bambo amekubali kuhojiwa sio wanaojionesha kwa majumba ya watu so big up Global tv
Nimependa uhalisia wa Dickson S. Makwaya "Bambo" kwa kujivaa utu wake ndani na nje ya Comedy.Pia nimevutiwa na shemeji yetu mke wa Bambo kwa kumkubali na kumpenda Bambo alivyo kimwonekano na kimaisha,napenda pia anavyomuangalia bro.Bambo hapo wakati akihojiwa na kuzungumza.Yaani lugha yake ya mwili kwa Bambo inaonesha namna anavyoguswa na kumpenda Bambo kivyovyote vile.Ingekuwa ni mdada mwingine hapo wala hata hasingekaa sofa moja na mumewe hata kumuangalia usoni.Hongereni,Mungu aibariki familia yenu.
Hii program ikifanyiwa maboresho ni nzuri sana, ilaa waandaaji hawako serious, mtangazaji nae commedy.... Fanyeni maboresho Global TV... Idea ni nzuri sana
kipindi kina malengo na maudhui mazuri ila nafikir host wa show hii inabd abadilike ajifunze kuuliza vitu kwa style itakaweza kuvutia mtizamaji maana hawa ni kama hawaeleweki au hawajui wanachokitafuta kwa msanii
Duh hii kali!! Bambo anamuuliza mtangazaji we nani ilhali maiki kaikamata yeye mwenyewe halafu yupo nayo ndani?! Hii kweli muvi tena director kabugi!! he he he he he heeeeeee...
yaani kama ni kuboa mtangazaji huyo anaboa yupo resi sana , huo ni uzalilishaji kwa watu wenye ujuzi na elimu zao, badilisheni mtangazaji tafadhali , mbaya sanaaaaaa
i never meet such kind of tv presenter daaaah mwanangu fanya kazi nyingine tuu hii huiwezi unaongea vibaya unahoji maswali ya kijinga yasiyokuwa na hata weledi then haupo creative in probing sijui ulisomea wapi wewe au huoni baadhi ya wenzio wachache Af they way you tune your voice ndio kaazi kweli kweli sauti haina utulivu kabisaa
hiv nin shida!? idea ya kipindi, ni nzuri lakn, mtangazaj anavokipeleka kina kua kinakera!! hakivutii maswali yanayoulizwa na mtangazaji inaashiria kama hii sio taaluma yake au amefoj fani! mathalan akijirekebisha nafkiri huenda kipindi kitakua kizuri""""
msifikiri kwa mtazamo hasi angalieni pia hii ni challenge kuwajua hao vioo vya jamii huwa mnawaona wasanii wana magari au majumba lakini Bambo amekubali kuhojiwa sio wanaojionesha kwa majumba ya watu so big up Global tv
Kisanaa ameshindwa
nomaaaa
Nimependa uhalisia wa Dickson S. Makwaya "Bambo" kwa kujivaa utu wake ndani na nje ya Comedy.Pia nimevutiwa na shemeji yetu mke wa Bambo kwa kumkubali na kumpenda Bambo alivyo kimwonekano na kimaisha,napenda pia anavyomuangalia bro.Bambo hapo wakati akihojiwa na kuzungumza.Yaani lugha yake ya mwili kwa Bambo inaonesha namna anavyoguswa na kumpenda Bambo kivyovyote vile.Ingekuwa ni mdada mwingine hapo wala hata hasingekaa sofa moja na mumewe hata kumuangalia usoni.Hongereni,Mungu aibariki familia yenu.
Saf sana mnyasa mwenzangu japo umejibland km mngoni. Fresh sn Bambo
safi sana bambo hapa nimeipenda coz hutaki kuficha uhalisia wako kama wengi tunavyowaona
Ama kweli sanaa Tanzania haithaminiwi, kweli mtu kama Bambo tangu nimemfahamu, hakutakiwa kuishi maisha haya.
Samson Zablon Sasa we ukitoka aishije acha unafiki
Yanga Omar kabla hujacoment uwe unaelewa statement ya mtu. Kuwa mstaarabu
mda mrefu nillizani ana bonge LA mjengo
Leave your jokes my friend life is everywhere
mtangazaji hajierewi
Hii program ikifanyiwa maboresho ni nzuri sana, ilaa waandaaji hawako serious, mtangazaji nae commedy.... Fanyeni maboresho Global TV... Idea ni nzuri sana
Mtangazaji umetisha sana duuh
yaani kuna vikongwe wa sanaa wako underrated sana... Taasisi ya sanaa ifanye hawa vikongwe wapate heshima na recognition wanayostahili..
Iko vizuri sana hiyo
Nimeipenda familia ya Bambo. You can see love.
Mtangazaji miyeyusho sana hayuko makini na kazi yake
binafsi nimempenda sana mke wake
mungu awabaliki bambo na family yako nimeipenda sana life style yako
Mtangazaji hujui aise
Nampenda sn Bambo na vichekesho vyake
duuuu na hiyo nyumba nje ukiona utasikitika lakini ndani Safi sana
kbsaaaa yani
Khadija Wendo Mwachirenje ,maana zingine nje pazuri,ndani pabaya
mwende
Fresh
Aise bamboo nakupendaga bure aise uko vizur amazing
Mtangazaji hafai kabisa kiukweli Global kwa hii mmechemsha
Dah!! Bambo yaani uswahilini
nice sana...kwa kipindi
kipindi kina malengo na maudhui mazuri ila nafikir host wa show hii inabd abadilike ajifunze kuuliza vitu kwa style itakaweza kuvutia mtizamaji maana hawa ni kama hawaeleweki au hawajui wanachokitafuta kwa msanii
Kipindi kizuri ila hakina host
mtoto laptop hata kwenye Vita unakimbia nae hahahahaaaaa 😂😂 nimekuelewa bamboo......!
Duh hii kali!! Bambo anamuuliza mtangazaji we nani ilhali maiki kaikamata yeye mwenyewe halafu yupo nayo ndani?! Hii kweli muvi tena director kabugi!! he he he he he heeeeeee...
Mmmm jaman kweli Ndo kwake kweli?
familia nzuri sana! supa star kama Bambo mkazi hayaendani jamani..
Ndio my
Mtangazaji sijui anaongeaje duh fani zinalazimishwa
Mtangazaji anakata stimu sana. Analazimisha staili ya uongeaji ambayo haiwezi na anajikuta hawezi kutamka maneno. Aachane na hiyo kazi
Bamboo mchekeshaji any time dakika moja ya kwanza nimecheka sana
Mtangaaji so fani yake
Kweli
Kumamaee iyo maiki ya global tv bambo alikua nayondni alf mtngzaji Kalime
Global TV ni brand kubwa nchini na inaheshimika. Lakini kwa aina hii ya utangazaji na uendeshaji vipindi ni mambo ya aibu. Hakuna mtangazaji hapo!
Kpnd kipo vzur,, msikate tamaa
Global chagueeni vijana wenyeee CV nzuri
Nimekipenda hiki kipindi sana tu big up Global
Daaah jamaa hajui mpka anakwaza
Very nice
daah dogo kwenye gitaa uko vizuri. hongera.
grobal TV hapo hamna mtangazaji kama itawezekana kuna mtangazaji mmoja yupo kwenye mbeya yetu TV nazani yule mkimuweka hapo atafaa sana
mtangazaji unaweza sana sema ongeza ubunifu bro
kazi ipo
Naicheki nikiwa Lusaka-Zambia, nipo nacheka ndugu yangu
Good
Jaman mtangazaji mmh
hii sitabia mzuri bora muwapigie cm
yaani kama ni kuboa mtangazaji huyo anaboa yupo resi sana , huo ni uzalilishaji kwa watu wenye ujuzi na elimu zao, badilisheni mtangazaji tafadhali , mbaya sanaaaaaa
Mtangazaji kanichefua sana ana kipaji unauliza mpk choon
Mtangazaji Kalewa Balaa
Yaan huyu mtangazaji Hana mvutooo Hata.. Yaani sijui maharage ya wapi huyu.. Global sikilizeni maoni ya wapenzi wenu
son thadei Anaboa kinyama huyoo mtangazajiii
true
true
true
Hana Kitu Kabisa hujui kupangilia maneno&maswali
+Japhet Thomson yes
son thadei kabisa hajui kazi yake!!" mtangazaji anaboa sana.
Son na ww upo
Familia Ina Furaha Kupita maelezo... Maisha mazuri yanayomfanya awe na amani... Hana maisha ya kujilinganisha
kha jamani mwanamke mzuri ajabu asili hakuna mkorojo mashalah hao watoto wako walivyo wazuri watulivu hadi raha
wasanii wetu wana hali ngumu sana, halafu mtangazaji inabd urudi shule kipind kina kasoro kibao cjui editor wako hazioni ama vp
amujui
Uswahilini
Ha ha ha ha ha
Nimeipenda sana
duh kwa umaarufu wote wa bambo ckutegemea angekaa such place unaju he is a big cimedian jaman c
Nice, kipindi kizur
Mtangazaji mzinguaji hujui kabisa yaan ka hujapita shule
Hiki kipindi kinzuri km kikipata good mtangazaji Yule dada Alikuwa hovyo Huyu nA hovyo inaboa Jamani
safi jamani kajitahidi kuwa na kanyumba kuliko dudu baya
hahahahahhhhh uyu kaka ataniuaa ..sio kwa maisha haya
Jmn Bambo miaka yote hyo maisha yko hvoi😮😮😮
Bambo nakupenda sana
yaaanii uyu mtangazaji sio
Kizuri sana hich kipind msikiache 😂😂😂😂😂😂😂jaman rahaa tuuuuupuuu
i never meet such kind of tv presenter daaaah mwanangu fanya kazi nyingine tuu hii huiwezi unaongea vibaya unahoji maswali ya kijinga yasiyokuwa na hata weledi then haupo creative in probing sijui ulisomea wapi wewe au huoni baadhi ya wenzio wachache Af they way you tune your voice ndio kaazi kweli kweli sauti haina utulivu kabisaa
noma hii ishu ilipangwa kabla
du maisha gani hayo ya msanii jamani
fani imevamiwa... Uandishi wa habari siku hizi umekuwa kama hewa... maswali mabovu.... sauti mbovu.... kila kitu kibovu...
hiyo ni komedi jamani, kwani ni lazima udisi kila kitu, hapo angeuliza maswali ya msingi ungepata raha gn?
Samson Magiri kweli khaa wameniboa
Muta Kabaka hich kipindi ni kichakipumbavu san. mambo gan kwenda kwa wat usiku? alf hamn la maan. alf uyo mtangazaj aboa kwel
Yaan kipindi hakina maana yeyote afu mtangazaji tooo bad
yani kama mwizi hyu jamaa interview ziroo kabxa fuck u much
Bamboo fanya mazowezi kitambi noma kwa kibamiya
Kizuri Sana'a kinaonnyesha je unajali? Umaarufu was wengne hana pa kulala..kinasaidia watu wawe makinii na dunia wajali
Hatali sana
mnaongelea mapenzi mbele ya Mtoto shenz
Mtangazaji kalewa mhhh
lakini pamoja na hivo asingeonekana na mic yenu akijishikia na ilikuwa inategemewa mnashtukizia
uyu mtangazaji yupo unga kwerii kazii hii aiwezi
Kipindi sio kibaya ila huyo mtangazaji Mumpe sector nyingine kabaka fani
Hahahah
global tabia mbay saan mkome
Rosemary Benjamin hii
Hivi mnavyo sema hajuwi kutangaza je nyie mngeweza au maneno tu achen ujinga
Mtangazaji hovyo ana wenge sana
Presenter nenda shule.....waigizaji mnaziki sana asee
Nyie mwamwehu mnamaliza mh shenzi mnatuona sisi mamwehu sana ..... MTU anagongewa na mike kashika shenzi
Mnafeli
hiv nin shida!? idea ya kipindi, ni nzuri lakn, mtangazaj anavokipeleka kina kua kinakera!! hakivutii maswali yanayoulizwa na mtangazaji inaashiria kama hii sio taaluma yake au amefoj fani! mathalan akijirekebisha nafkiri huenda kipindi kitakua kizuri""""
Mtangazaj una sauti mbovuu sana hauna sifa za kua mtangazaj
Dah!bambo amejitahdi kujbu ila jamaa saut mbovu ajui anachoulza hivi global tv ndo nn hiki
Mtangazaji uyu mmm anamakogo sana yaani mmmm adi anaboa
Global TV huyu mtangazaji anawaharibia brand
Kaziii zinawenyeewe utangazajii unawenyeweeee
mke wa bambo mzuriiii
Hatari haivutii
Kiping iko bomba IRA mtanga zaj sio
unajua Hawa si wabunifu,eti anagonga mlango alafu anafungua anauliza ww Nani huku akiwa ameshika microphone ya global.
Aron Mushi hahahaaaaaaaaa
Aron Mushi Yaani Kama vichaa.. Kwanza mtangazaji Hana mvutooo Hata
Cjakipenda hiki kipindi
Aron Mushi !!!Kabisaaaa yani wanatiakinyaaaa
Aron Mushi 😂😂😂😂😂😂😂
Mwenyeji ana mic, mgeni mwandishi hana mic,,
hahaaa Jama nampenda sana
MashAllah watoto warembo
Mbona mmetulia hivyo
Okay
mmmnh jmn uck sio pouwa
Unakigugumizi wew hufai kuwa
nimefurah pale bambo aliposema kwamba:we vp ntakupiga na jiwe
hahahahaha
mtangazaji zero