ANAPOISHI WASTARA SAJUKI/ AONESHA UFUNDI WA MAPISHI AKIWA JIKONI/ MUME WANGU ALIOA WAKE 9

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 341

  • @nurumasha
    @nurumasha 3 місяці тому +16

    Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 5 днів тому

    Mtangazaji nyuko.vizuri kwa kazi sio legelege anajituma

  • @bintialiali670
    @bintialiali670 3 місяці тому +16

    Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤

  • @user-fb8yx3ml8s
    @user-fb8yx3ml8s 3 місяці тому +4

    Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 3 місяці тому +8

    Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 місяці тому +3

    Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.

  • @BerthaModest
    @BerthaModest 3 місяці тому +23

    Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤

    • @farahali6041
      @farahali6041 3 місяці тому +1

      Kweli anaeshima sanaa

    • @ummishakii8322
      @ummishakii8322 3 місяці тому +2

      Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi

  • @godfreymunishi370
    @godfreymunishi370 Місяць тому

    Wastara ana Story nzuri sema yupo bize sana na shughuli ata hainogi Khaaaa

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 3 місяці тому +5

    Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅

  • @fatmachikambo8780
    @fatmachikambo8780 3 місяці тому +5

    Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂

  • @ReginaMinja-G22
    @ReginaMinja-G22 3 місяці тому +3

    I love wastara❤she super woman

  • @rerisamba
    @rerisamba 3 місяці тому +3

    Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 3 місяці тому

    Wastara
    MashaAllah Allah akubariki
    Kwa Kazi zako

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 3 місяці тому +4

    Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊

  • @miriyamasanja6766
    @miriyamasanja6766 3 місяці тому +1

    Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 3 місяці тому +6

    Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 3 місяці тому

      Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈

    • @samanthalyimo4598
      @samanthalyimo4598 3 місяці тому

      😂😂😂

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 3 місяці тому

      @@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 3 місяці тому +27

    Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 3 місяці тому +1

    Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 3 місяці тому +2

    NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊

  • @mankinemansulikine-2220
    @mankinemansulikine-2220 3 місяці тому +6

    Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅

    • @salmakakozi963
      @salmakakozi963 3 місяці тому

      🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅

  • @mwanaidiomari7941
    @mwanaidiomari7941 3 місяці тому +4

    verry polite women

  • @bahiyaseleman5838
    @bahiyaseleman5838 3 місяці тому +1

    Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 місяці тому +10

    Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha

    • @user-ct2qp6ur9t
      @user-ct2qp6ur9t 3 місяці тому +3

      Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 3 місяці тому +1

      Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂

    • @mannahsalwa8433
      @mannahsalwa8433 3 місяці тому +3

      Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 3 місяці тому

      Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza

    • @Siasia209
      @Siasia209 3 місяці тому

      ​@@user-ct2qp6ur9t nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂

  • @magrethkapinga1811
    @magrethkapinga1811 3 місяці тому +9

    Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli

  • @YoungLovedii
    @YoungLovedii 3 місяці тому +2

    Alie ona box iliochanika anipe likes zangu

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n 3 місяці тому +1

    Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 місяці тому +3

    Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 3 місяці тому +1

    Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢

    • @rosemaryrwabibi5908
      @rosemaryrwabibi5908 3 місяці тому

      Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza

    • @khadijatanzania8040
      @khadijatanzania8040 3 місяці тому

      @@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 5 днів тому

    Nyama mpaka inaungua huyo dada amekaa2 nasimu sijui ni mfanyakazi Yani kasimamatu

  • @Fatma-re2hw
    @Fatma-re2hw 3 місяці тому +1

    Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊

  • @selinathindwa9754
    @selinathindwa9754 3 місяці тому +2

    Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂

  • @abdulschannel7937
    @abdulschannel7937 3 місяці тому

    Wastara ❤❤❤unanipaga raha

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 місяці тому +10

    Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 3 місяці тому +2

    Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati

  • @MwanatumuJumaa-rj4fg
    @MwanatumuJumaa-rj4fg 3 місяці тому

    Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo

  • @user-ug2vb6yw7w
    @user-ug2vb6yw7w 3 місяці тому

    Masikini pole dada yangu nakupenda

  • @SamiaSamia-qc6tz
    @SamiaSamia-qc6tz 3 місяці тому +1

    Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa

  • @AalyahNassor
    @AalyahNassor 3 місяці тому +9

    SAMAHANI JAMANI HUYO DADA ULIYE NAE NI MSAIDIZI AU NI NDUGU YUPO BUSY NA SIMU KAMA NI MSAIDIZI DAH SISTER DUU SIMU NA KAZI WAPI NA WAPI

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 3 місяці тому +1

    2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 3 місяці тому +1

    Mashaallah❤❤❤

  • @user-ed4nr1lx6f
    @user-ed4nr1lx6f 3 місяці тому +3

    Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 3 місяці тому +11

    Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮

  • @racheljohn2216
    @racheljohn2216 3 місяці тому +2

    Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌

  • @chany9950
    @chany9950 3 місяці тому +1

    Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾

  • @AalyahNassor
    @AalyahNassor 3 місяці тому +9

    Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 3 місяці тому +4

    Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 3 місяці тому +1

      Sasa ndio unashabikia

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 3 місяці тому

      @@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 2 місяці тому

      @@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣

  • @hamidajabu3324
    @hamidajabu3324 3 місяці тому +4

    Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅

  • @SamiaSamia-qc6tz
    @SamiaSamia-qc6tz 3 місяці тому

    Jaman sanene nimepamiss 😊😊

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 3 місяці тому +1

    Huyu aliishia la4b ndo maana hachanganyi kizungu kwenye sentes zake anaongea kiswahili na anaeleweka vizuri

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 3 місяці тому +1

      Kwahyo ukichanganya na kizungu unakuwa umesoma?...Kuna watu wanajifunza kiingereza tu lakin hawajafika hata la7 je, ikoje hii...Kiingereza sio kipimo cha Elimu elewa hilo.

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 3 місяці тому +8

    Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤

  • @neemamhelela7771
    @neemamhelela7771 3 місяці тому +3

    ❤❤❤

  • @marrymaganga7210
    @marrymaganga7210 3 місяці тому +2

    Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅

  • @happinessmtalika16
    @happinessmtalika16 3 місяці тому +2

    Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14

  • @user-ib7kn6fs4x
    @user-ib7kn6fs4x 3 місяці тому +4

    Show bizz leyo cyo nzuri ni jikoni tu

    • @IreneGrayson
      @IreneGrayson 3 місяці тому

      😂😂angalia comment yako alafu I translate kwa kiswahili utachekaa😂😂😂

    • @Grtudajunior-cw5zp
      @Grtudajunior-cw5zp 3 місяці тому

      ​@@IreneGraysonweeeee imenibidi

    • @nuruhassan-qu1ff
      @nuruhassan-qu1ff 3 місяці тому

      😅😅

    • @safiasaleh669
      @safiasaleh669 3 місяці тому

      Anajua kupika huyu🎉🎉🎉

  • @user-nr3bf4om8z
    @user-nr3bf4om8z 3 місяці тому +2

    Ni kweli kabisa aliolewa na kaka mmoja hanaitwa juma.. Na niliishi kwao na kaka alikua anaitwa dalueshi..alikua mdogo sana

  • @Leylah-pz5sc
    @Leylah-pz5sc 3 місяці тому

    Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 3 місяці тому +1

    she is very educated and intelligent

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 3 місяці тому

      Very educated? Really? Where did you get that idea?

    • @SikudhaniKulonda-jy1bq
      @SikudhaniKulonda-jy1bq 3 місяці тому

      ​@@Brunn-mh2bqhahahaaaaaah. Mwasutana sio hofwi😂

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t 3 місяці тому +9

    Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar

    • @maureenmgeni
      @maureenmgeni 3 місяці тому +3

      Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..

    • @tunsumealfredym7896
      @tunsumealfredym7896 3 місяці тому

      Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?

  • @IslamPeto-fd6wr
    @IslamPeto-fd6wr 3 місяці тому

    Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 3 місяці тому

    Mmmh uwongo na kweli 😂😂😂

  • @user-zy8th6ou4f
    @user-zy8th6ou4f 3 місяці тому +1

    Bwagala Turiani kuja madam mtusalimie

  • @user-kt1cf9yp3e
    @user-kt1cf9yp3e 3 місяці тому

    Hapo amedanganya form 4 amesoma lini kwa umri huo?

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 місяці тому +1

    Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana

    • @faizamohamed6993
      @faizamohamed6993 3 місяці тому +3

      Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 3 місяці тому

    owwh i know the bwagala hosp turiani

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 3 місяці тому +5

    Zamani aliwai kusema aliachishwa shule daresay la 6 akaolewa ila leo kasshabalisha😂😂

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 3 місяці тому +1

      amesema waarabu shule haikuwa mbele kwa wasichana ukikua mkubwa kama umeisha la saba au formfour unaolewa tu

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 3 місяці тому

      Ni kweli ehe​@@sabihaibrahim143

  • @HamimuBadyanaJR
    @HamimuBadyanaJR 3 місяці тому +1

    Huyu mshukaji ni mboga au😂

  • @SikudhaniKulonda-jy1bq
    @SikudhaniKulonda-jy1bq 3 місяці тому

    Jmn miaka kumi na nne at umemaliza form four ni kwl hiyo

  • @ashaashaa1959
    @ashaashaa1959 3 місяці тому +4

    Sas ndugu yangu pembeni yuko anachukuwa zake video 😊😅😅😅😅

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 місяці тому +3

    😂😂😂SHANGAHLA wa wastara😂😂😂jmn

  • @christinenere4696
    @christinenere4696 3 місяці тому +1

    Sio kweli uliolewa ukiwa na miaka 18 kuwa mkweli bhana hivi kwanini mnapenda kurudisha umri nyuma au huku soma mpaka form four 4️⃣ uliishia la 6 au 7

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 3 місяці тому

      Huyu nikama aliishia la saba

    • @chimamilion
      @chimamilion 3 місяці тому

      Ushawai skia au kuona akiongea au kuandika english😅

    • @batulialmass8914
      @batulialmass8914 3 місяці тому

      Kasema ameishia lasaba

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 3 місяці тому +1

      Inawezekana mumewe alimsomesha jaman au alisoma q t.

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 3 місяці тому +4

    Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 3 місяці тому +1

      Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 3 місяці тому +1

      😅😅anatak aonekane

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 3 місяці тому

      Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 3 місяці тому +1

      @@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!

    • @AalyahNassor
      @AalyahNassor 3 місяці тому

      Hadi kichefuchefu

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 3 місяці тому +3

    Boxa imetoboka mr shobizz😂😂😂

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 3 місяці тому

      Sijui hajaiyona ila wajifunze kuvaa milegezo mm sipendi hii tabia imemzalilishaa

    • @dayanandama8873
      @dayanandama8873 3 місяці тому

      Camera man kasogeza camera haraka tucone vizur

    • @chany9950
      @chany9950 3 місяці тому

      🤣🤣🤣 mbavu zangu jmn🤣

    • @ttss7716
      @ttss7716 3 місяці тому

      Mbona kawaida bora ni safi 😂😂

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 3 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂nyie imebidi nirudishe nyuma nitizame😅😅😅umbea cwez kuuliza mie

  • @ogdosho93
    @ogdosho93 3 місяці тому +1

    Mzee boxa imetoboka io😀

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 3 місяці тому +3

    Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂

  • @shazmapinky9012
    @shazmapinky9012 3 місяці тому

    Nampenda Sana huyu Dada😍😍😍

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 3 місяці тому +8

    1994 unamaliza 7 ,1996 unaanrza biashara na wakati huohuo ulifika form four , hapohapo uliolewa na miaka 13.duuu.kizunguzungu.

    • @bahiyaseleman5838
      @bahiyaseleman5838 3 місяці тому +1

      Hajui kujieleeza kabisaa yaan mtihani sana

    • @batulialmass8914
      @batulialmass8914 3 місяці тому +1

      Zamani watu walikuwa hawjali secondary

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 3 місяці тому

      Yani balaa 😂😂😂

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 3 місяці тому

      ​@@batulialmass8914 kivipi sasa wakati amesema amemaliza form 4 ?

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 3 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂Kuwa mpole hao ndo wasanii wetu

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 місяці тому +1

    Dada anarekodi tu😅😅

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 3 місяці тому

      😅😅😅😅😅boss kapata

  • @yasminemohamed4377
    @yasminemohamed4377 3 місяці тому +24

    Kama ameolewa na miaka 14 hiyo form four kamaliza na miaka mingap? Au me ndo sijaelewa

    • @KautharRamadhan-xv3gf
      @KautharRamadhan-xv3gf 3 місяці тому +1

      Ila kweli na mm nimejiuliza hvhv

    • @yasminemohamed4377
      @yasminemohamed4377 3 місяці тому

      Tumepigwa na kitu kizito hhhhhhh​@@KautharRamadhan-xv3gf

    • @joslinchuwa1298
      @joslinchuwa1298 3 місяці тому +2

      Na mimi nilitaka kuuliza hilo mmmh wasanii waongo

    • @evelynsalila
      @evelynsalila 3 місяці тому

      ​@@joslinchuwa1298hata yeye ni mwanadamu jamani labda ulimi umeteleza

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 3 місяці тому +2

      Huyu kaishia la7 eti fom4 halafu kazaa ana miaka14🤣🤣🤣🤣🤣

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 3 місяці тому

    NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.

  • @NusraHozza-qp8yy
    @NusraHozza-qp8yy 3 місяці тому +1

    Mtoto chiriku uyo Hadi Kero

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 місяці тому

    Dada amekazana kurekodi eti asije vitu vinaungua😂😂

  • @dayanahancygao
    @dayanahancygao Місяць тому

    Hivi kwanini mnaendaga kwa wasanii usiku

  • @shufaa8921
    @shufaa8921 3 місяці тому

    Mboa huyo kaka kainama nikaona box kama ime toboka😂

    • @anawiliam-eb4kb
      @anawiliam-eb4kb 3 місяці тому

      Ata mimi kama nimeona😮😮😮😮😅😅

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 3 місяці тому +1

    Sema wtoto wakiarabu hawazehekiharakaharaka

  • @mjsaidkeya
    @mjsaidkeya 3 місяці тому +4

    Siwezi kosa hii

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 3 місяці тому +3

    Dah huyo dada anabowa mda wote na sim kama hataki kufanya kazi kwanini yupo jikoni mda wa kaz ni wa kaz sim tupa huko😮

    • @naah884
      @naah884 3 місяці тому

      Yaan kaonyesha ushamba wa hali ya juu sasa chakureko hapo ni nn 😂

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 3 місяці тому +1

      Hii ndio tabia ya wafanyakazi walivo sio wote Lkn asilimia kubwa tabia hii wanayo mpk anaunguza

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 3 місяці тому

      ​@@naah884😅atapost status 😊😅

    • @SikudhaniKulonda-jy1bq
      @SikudhaniKulonda-jy1bq 3 місяці тому

      Waiz wa waume tu mm nadeal na houseboy bn​@@user-dx6dm6lh1i

  • @lightnesstippe9006
    @lightnesstippe9006 3 місяці тому +2

    Nimepata mshtuko nilichokiona daka ya 7:58 🙈🙈🙈🙈

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Місяць тому

    Njaa huna wastara wapendaa kujiliza tu

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 3 місяці тому +1

    Wastaraa❤❤❤❤❤

  • @catherinenenula7450
    @catherinenenula7450 3 місяці тому +1

    Salehe ata ajanawa ye anabugia tu😂😂😂kweli anapenda kula

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 3 місяці тому

      Ndio vyo arivyo sio Mara yake yakwanza mbona ndomaana wanamsemaga mtandaoni kuwa anapenda Kura kwa ma staa

    • @SalimhchialaAtilio-qj5cs
      @SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 місяці тому

      😅😅

  • @user-hk3yy8zv9t
    @user-hk3yy8zv9t 3 місяці тому +2

    Kaja Dar ..yuko shule ya msingi 94 ..96..97 kaingia kwenye biashara ya dhahabu ..mmmh nyie ..au m mahesabu yangu sijamuelewa..

    • @KhadijaDija-ir2hq
      @KhadijaDija-ir2hq 3 місяці тому

      Yasio kuhusu yasikusumbue

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 місяці тому

      Na kweli 😅😅😅​@@KhadijaDija-ir2hq

    • @charlesgafau778
      @charlesgafau778 2 місяці тому

      Kwani unaaona kuna editing hapo punguza ujuaji au umetumwa😂😂😂 fatuma wewe

  • @chimamilion
    @chimamilion 3 місяці тому +2

    Sema uyu mtangazaji mbona kilakipind yeye nimda wakula shida ipo wap🙄nauyo dda wakaz kz yke nn et mfyuui

    • @AalyahNassor
      @AalyahNassor 3 місяці тому

      😅😅😅😅

    • @AalyahNassor
      @AalyahNassor 3 місяці тому

      Huyo Dada wa kazi yupo bussy na simu hadi kichefuchefu

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 3 місяці тому +1

    😂😂😂 Yaan salekh mbea,,,et hakuungui

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 3 місяці тому

    Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume

  • @Bquality
    @Bquality 3 місяці тому

    kina kimtu kinaboa kina pitapita mpaka nmeacha kuangalia mana sikaelew au kaleft nn kwenye group la masela

    • @cleopatrajustine
      @cleopatrajustine 3 місяці тому +1

      Anatumia nguvu sana kuonekana kwenye video.... nimechoka ule muda amerudi na chenji eti anachukua wallet aweke chenji kwenye wallet halafu anachukua kigoda anakaa😂😂😂😂😂😂... na huyo dada hiyo video anarekodi ya nini??? 🤣🤣🤣. big up Saleh and I missed this.

  • @MamyHamso
    @MamyHamso 3 місяці тому

    Nani kaona boxer ya salleh imetoboka😂😂😂😂😂😂😂

    • @pendombinga3584
      @pendombinga3584 3 місяці тому

      Nimechaka sn jmn nchi ngumu hii mchawi bando leo salehe kapatikana😂😂

  • @wardaomar4828
    @wardaomar4828 3 місяці тому +1

    hyu Dada yko bizze na cm mpka ameunguza anasingizia kaambiwa asije😂😂

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 3 місяці тому

    Kwani nmeona pekeangu au mi nna kiherehere😂

    • @Mzuri_002
      @Mzuri_002 3 місяці тому

      Najua unachomaanisha😂😂

    • @user-xh7xf2ki3r
      @user-xh7xf2ki3r 3 місяці тому

      😂😂😂 umbea nao kazi

  • @Byokecandyrange
    @Byokecandyrange 3 місяці тому

    Ila kihusu kula uko vzur

  • @nancyfantasia1945
    @nancyfantasia1945 3 місяці тому +4

    Sa kwann ukoroge huo mchanganyiko wako kwa kidole 🤮🤮🤮🤮

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 місяці тому +2

      Unakula wewe au yeye

    • @nancyfantasia1945
      @nancyfantasia1945 3 місяці тому

      @@aishaarusha894 umeulizwa ww yy au shobo tu

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 місяці тому

      @@nancyfantasia1945 KOMA

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 місяці тому

      @@nancyfantasia1945 shobo ni wewe unayochunguza ya wezio mxiew