Mashaallah Allah akupe umri mref na afya njema kiukweli nimesisimka upande wa kushoto na kichwa na kutetemeka mdomo km nataka sema asant sn Allah akulipe kila la kher na hata mgongo pia umeniuma Ya Allah 🤲 tujalie nusra waja wako.
Wallahi Sheik Mola akuzidishie nyingi iman na elmu uweze kitu saidia sana na kutukumbusha sisi waislamu na wasio waislamu pia mana Mungu katuumba wote waislamu ila balaa ilio duniani. Japo nilichekewa c kuwa nikijua ila nafatilia sana hili tatizo ni zito mno lkin naimani litakwisha mana hkuna linaloshindikana ktka Quran. Mola akupe nyingi Hisan na akulinde na mahusda🤲🤲🤲🤲🙏
Walikumssalam warhma thu ALLAH WABARAKATUL SHUKRAN JAZAKA ALLAH KHERY MOLA AKULIPE MEMA DUNIAN NA AKHERA NA ATUSAMEHE DHAMBI ZETU AJALIE KISOMO HICH KIWE DAWA KWA WAGOJWA WOTE
Jazakallahu khair sheikh.wa baraka llahu fika wa Ahlika inshaAllah.ruqya hii nimepata mafasi sote zinasoniuma kichwa tumbo .kiuno vitu kutembea mwilini kama kizunguzungu vile.kam miguu yangu kuna vitu vinatembea ganzi.shingo kuuma kichwa upande mmoja.kam vitu kitembe kichwani.na nilipo maliza kusikiliza mashaallah sikutapika ila nilitumia haja kubwa na isio kua kam kawaida yangu mfanano wake.Ahasante saaaaana sheik Allahu akubarik sheikh wetu akunusuru na akuhifadhi kutokana na vyote vyeny madhara miongoni mwa viumbe wake Allahu inshaalhu Amin
Maa shaa Allaah TabakaAllaah Sheikh Othman Allaah akulipe kheri humu duniani na akhera pia...Wallah hiki kisomo kila siku nakisikiliza na kimenisaidia sana Alhamdulillah BarakaAllah fiiyk
Mashallah !!! Allah akujazi kheir Sheikh Othman. Akupe mema na neema na maisha yenye ufanisi. Allah anakupenda, na sote tunakupenda kwa ajli yake. Shukran. Jazakallahu kheir
As saallam Aalaiykum warrhmatullahi wabarakatuh, Barackaallah feeq,sheikh nashukur sana kwa Dua zuri Sana, Na nasaa zuri Sana Allah akulipe Baba Duniani Na k haira Na famillia yako MaashaAllah, mimi binafsi, Na nashukur sana tena sana,
Mashallha nmeiza kuangalia video zako nnwiki sai ila nimegundua matatizo nlinao nuangalia nikiwa saudia wallahi umenizungusha nanipo pikeangu nmejikaza sana
Habari yako ahsante sana hua nafatilia visomo vyako naomba unisaidia mm nakatalia na wanaume na kazini pia watu marafiki wananikataa nakusingizia mambo siyajuwi kwakweli nasikiyavibaya sana kilanitakalofanya sifaulu natamani kuoloa nasiolewi wanaume wananichezea nakuniacha
Am mwana from tz alhamdulillah shekhe hayo yote nimepitia husda na kutupiwa majin ya uchawi na kuota majoka ndio maisha yangu miaka 10 sasa najenga 2017 nyumba sijaezeka mpaka leo ipo pesa nying napata sijui zinakwenda wapi?
Mashaallah Allah akujaalie kheri na akupe umri mrefu uzidi kutusaidia Inshaallah
Mungu ukupe umri mrefu uzidi kutuombea hatuna cha kukulipa ila allah atakulipa mashaalla
YARABB akujalie AFYA na ukuepushe naftana dua ziwe maqbul Allah azipokee na atuponeshe ishallah ikiwa pia ni kwa makosa yetu atusamehe na atuponye
Allhmdullh. Allha. Akuzidishie sana Inshallh. Allha. Akuhifdhi
Mwenyezi MUNGU akuepushe na kila aina ya ubaya
Mashaallah Allah akupe umri mref na afya njema kiukweli nimesisimka upande wa kushoto na kichwa na kutetemeka mdomo km nataka sema asant sn Allah akulipe kila la kher na hata mgongo pia umeniuma Ya Allah 🤲 tujalie nusra waja wako.
Wallahi Sheik Mola akuzidishie nyingi iman na elmu uweze kitu saidia sana na kutukumbusha sisi waislamu na wasio waislamu pia mana Mungu katuumba wote waislamu ila balaa ilio duniani. Japo nilichekewa c kuwa nikijua ila nafatilia sana hili tatizo ni zito mno lkin naimani litakwisha mana hkuna linaloshindikana ktka Quran. Mola akupe nyingi Hisan na akulinde na mahusda🤲🤲🤲🤲🙏
Allah awape shifaa wagonjwa wetu
Mwenyezi mungu akupe kheri katika safari yako akhera akupatie nuru katika kaburi lako tunashukuru kwa kutupa maneno mazuri
Walikumssalam warhma thu ALLAH WABARAKATUL SHUKRAN JAZAKA ALLAH KHERY MOLA AKULIPE MEMA DUNIAN NA AKHERA NA ATUSAMEHE DHAMBI ZETU AJALIE KISOMO HICH KIWE DAWA KWA WAGOJWA WOTE
Shukran sana , Kwa tufundisha kisomo kilicho Bora.Allah akulipe badala
Shukuranii Mungu akubarkii, akuajalie kila la kheri
Shukran shehe nimesikiliza vizuri Allahmdulillah
Nakuombea dua shehe wetu Allah akuhidi
Jazakallahu khair sheikh.wa baraka llahu fika wa Ahlika inshaAllah.ruqya hii nimepata mafasi sote zinasoniuma kichwa tumbo .kiuno vitu kutembea mwilini kama kizunguzungu vile.kam miguu yangu kuna vitu vinatembea ganzi.shingo kuuma kichwa upande mmoja.kam vitu kitembe kichwani.na nilipo maliza kusikiliza mashaallah sikutapika ila nilitumia haja kubwa na isio kua kam kawaida yangu mfanano wake.Ahasante saaaaana sheik Allahu akubarik sheikh wetu akunusuru na akuhifadhi kutokana na vyote vyeny madhara miongoni mwa viumbe wake Allahu inshaalhu Amin
Kisomo kizuri saaana .MashaAllah !
Mungu akupe kila la kheri
Inshaalah Allah akulinde na maadui akupe afya naakuhifadhi hapa duniani na akhera naalah akuzidishie ulipotuelimisha shukrani sana
Allah akufanyieni wepesi na yeye ndie was kutegemea amin
Allah aku jaliye akuzidichiye kher atukinge sisi wote
mashaallah sheikh punguzeni bei watu wengi tunufaike na ilmu zenu
Maa shaa Allaah TabakaAllaah Sheikh Othman Allaah akulipe kheri humu duniani na akhera pia...Wallah hiki kisomo kila siku nakisikiliza na kimenisaidia sana Alhamdulillah BarakaAllah fiiyk
Dede Mohammed Wa’alaykum Ssalaam warahmatullah wabarakatuh audio yake sina me huwa nasikiliza humu humu
Ok shukran
Aahalla h akuifath sheh
Mashallah mola akupe maisha yenye mafanikio y dunia n akhera
ALLAH AKUZIDISHIE
mashaa allah mashaa allah wacha nisambaze wengi wafaidike in shaa allah
Mashallah !!! Allah akujazi kheir Sheikh Othman. Akupe mema na neema na maisha yenye ufanisi. Allah anakupenda, na sote tunakupenda kwa ajli yake. Shukran. Jazakallahu kheir
Mashaallah Alla akulipe heri inshaallah akupe umri wenye heri nawe inshaallah
Allah akulipe khier wala dunia na akhera
MashaAllah, jaza zako kwa ALLAH sheikh. Mwenye ezi Mungu akujaalie maisha marefu uzidi kutusaidia. Ameen
Maashallah she othmani michael unasaut mzuri san
Mashaallah mola akuzidishie elmu akupe umre mrefu utupe faida
Sheikh Mungu akujaalie mashallah
Mash Allah my brother thanks you so much for help me
MàshaaAllha Allah akujalie
Maashaallah Allah akujaze
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubariki
Asante sana mungu akubariki daima 🙏
As saallam Aalaiykum warrhmatullahi wabarakatuh, Barackaallah feeq,sheikh nashukur sana kwa Dua zuri Sana, Na nasaa zuri Sana Allah akulipe Baba Duniani Na k haira Na famillia yako MaashaAllah, mimi binafsi, Na nashukur sana tena sana,
Ma shaa Allah Allah akupe maisha marefu na afya njema
Mungu akipenda kher lnshaAllah Ameen
MashaAllah...Allah ajaalie kabuli kutokana na Ruqiya hii...Na Allah akujaalie kheri
Alla akulipe eri ww wenye heri
Mm nisikia eri kwamahisha jangu nimeteseka Sana brartha ukonafahida katika ulimwengu mashallah mungu akusidisie
Mashallha nmeiza kuangalia video zako nnwiki sai ila nimegundua matatizo nlinao nuangalia nikiwa saudia wallahi umenizungusha nanipo pikeangu nmejikaza sana
In sha Allah mungu akupe jaza yako.
Habari yako ahsante sana hua nafatilia visomo vyako naomba unisaidia mm nakatalia na wanaume na kazini pia watu marafiki wananikataa nakusingizia mambo siyajuwi kwakweli nasikiyavibaya sana kilanitakalofanya sifaulu natamani kuoloa nasiolewi wanaume wananichezea nakuniacha
Nashkuru kupitia dua hii nimepiga miayo sana machozizi mengi sana yanatoka
Shukran sheikh mungu akubariki
Asalam alaikum Allah akupe nguvu.utu lete ruqya yKutoa mm agonjwa
Ma shallah Allah akubliki agupe maisha marefu
Mashaallah Allah akulipe shekh zaid
Mash Allah
Allah akuzidishie khery inshaallah Allah mwema.
Assalamu Alieykum vp hali yko napenda kisomo chako
Nashukuru jini mahaba leo ajatkea jini mahaba kunikaba anataka kujamiana nashukuruniombee nipate Mume sahihi
Shukran
Mim nikisikiaaaza dua zako mwili wangu huwa mzito san sijuii kwa nnn
امين يارب العالمين
اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
Shukran sheikh
Am mwana from tz alhamdulillah shekhe hayo yote nimepitia husda na kutupiwa majin ya uchawi na kuota majoka ndio maisha yangu miaka 10 sasa najenga 2017 nyumba sijaezeka mpaka leo ipo pesa nying napata sijui zinakwenda wapi?
Asalamualykm.mwenyezimgu
Akuzidishie.umri
سبحانه الله ماشاء الله تبارك الرحمن
Allah barik
ماشاء الله
Shekhe ume sema mume akushike kichwa hujui jiniclikujualo halikuli likakwishaa
Mashallah
Mi nimesinzia tu katikat yakisomo mpka mwisho
Waalekum musalam warahmatullahi wabarakatu
mashaallah
Mashaallh mungu akulipe kila la kher namba namba yako shekh
MashaAllah
Barakallahu fiki, lakini mbona unasinzia shekhe
MashaaAllah
Kaswida
Masha Allah nipo Omani Shekhe namatatz ya tumbo kuumaa Sana
Ma shaa Allah
Asallam alaiykum mm niko na mtoto yuwauwa yupumua haraka haraka sijuwi sida ni nini
Tutumie kwa Audio
Sheikh hatukupati kwenye whatssap sisi tuliokuwa mbali na tanzania
Mashaallah
Masha Allah
Ni bb. Bn kk n nnkbbbnnbn8
Assalam Aleykum Sheikh ..Naomba number yako uweke ewani ...Sheikh
السلام علیکم
Mash Allah tabarakallahu
8
Na kama unakazi ukasema nikimaliza nikoge ndipo nkaswali na ukakosa kuswali kwa wakati vp inafaaa
Pia kuswali kama juuwa lishahomoza umemka sa 3 ukaema acha nilipe inafaaa
Mashallaah mungu akubariki pamoja na kizazi chako
As.allayum kuswali nnje ya wakati kwa dharura ino kubalika kama kulala alfajiri mara chache unaipata, mara nyingi unaswali nnje ya wakati vp ????
Khadija. Gere please. Nitumiye hico kisomo ca RUQIA. Odio. Kwa terephon yangu darling+466198446
Shukran
Mashallah
Ma sha allah
MashaAllah
Mashaallah
Masha Allah
Mashallah
Masha Allah
Mashaallah
Mashallah
Mashaallah Allah akupe mwisho mwema
Masha Allah
Masha Allah