MAMA MWENYE HIRIZI YA KICHAWI KIBOKO AITEKETEZA MADHABAONI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 125

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Місяць тому

    Tuko pamoja Daddy Mungu akubariki unaifanya kazi ya Mungu kwa uhakika,wanakuonea wivu Mungu awaaibishe kwa jina la Yeeeeeeeeeesu

  • @MilindiZahinda
    @MilindiZahinda 2 місяці тому

    Ubariwe sana baba, na wenyi kukuogeleya vibaya washidwe kwajina la Yesu kristo

  • @ChristineChea-bv7uy
    @ChristineChea-bv7uy 3 місяці тому +2

    Jameni wachawi mtakoma mchunganji mungu akubariki🙏

  • @LatifaSelemani-ft8of
    @LatifaSelemani-ft8of 4 місяці тому +6

    NAITWA LATIFA PASTA KIBOKO YA WACHAWI NIPO TANGA NAKUJA HAPO KANISANI MWEZI WA 6 MUNGU WA HAPO ANIPONYE NIPATE MIMBA NA MUME WANGU AACHE UMARAYA ANIPENDE SN MM MKEWE.KWA JINA LA YESU.AMEEEN.

    • @bushbabytz
      @bushbabytz 4 місяці тому

      utaenda ukiwa tayari umeshika mimba

  • @GeorgeFungo-t3d
    @GeorgeFungo-t3d Місяць тому

    MUNGU anakutumia wewe tunaomba utufungue katika familia yangu

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Місяць тому

    Nakupenda sanaa Daddy

  • @AgustinoMpondo
    @AgustinoMpondo 2 місяці тому

    Mtumishi nakupenda sana lazima nije niko dodoma

  • @JonhMboya
    @JonhMboya 2 місяці тому

    Naitwa Grace Wa Arusha Nabii Apigwe Huyo Mama Na Watu Wote Wanaoniroga Mimi na Familia Yangu

  • @GraceEmil-w4w
    @GraceEmil-w4w 2 місяці тому

    Mwenyezi Mungu azidi kukubariki Nabii kiboko ya wachawi
    Nabii malizia wachawi wote. wanaotesa wenzao

  • @magekimei4676
    @magekimei4676 Місяць тому

    Baba nabii naomba unifungue na familia yangu

  • @tumainimpangala.pendezasan2911
    @tumainimpangala.pendezasan2911 4 місяці тому

    Nabiii nakuafatilia sana MUNGU akuinue zaidi uokoe watu ,naomba nisaidie familia yangu nakuomba sana tamka neno juu yangu

  • @AyanJafar-vy4hi
    @AyanJafar-vy4hi 3 місяці тому

    Baba naomba unisaidie na uniponyexhe baba naumwa vidonda vya tumba na kooni kuna uma sana baba naomb uniombee pia baba naomba unisaidie nipate mume bora na utupatie ridhiki

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb 8 місяців тому

    Pastor baba angu anakifafa mwaka huu anae mloga naomba mngu afe amen

  • @marrykimaro9792
    @marrykimaro9792 8 місяців тому +1

    Baba naomba unionyeshe watesi wangu Mimi na familia yangu.Mimi Simbo Kimaro

  • @user-my9iu6gb9k
    @user-my9iu6gb9k 7 місяців тому

    pasta naomba uniangali namimi maisha ninayoishi sjui kama nikusudi LA mungu ameni

  • @HellenAlber
    @HellenAlber 6 місяців тому

    Baba naomba watesi wangu wote wateketee kwa moto 🔥🔥🔥🔥

  • @jennifernyongesa2713
    @jennifernyongesa2713 3 місяці тому

    Amen amen amen amen amen
    Wako hapa Chwele Bungoma

  • @user-vh5km8qt1b
    @user-vh5km8qt1b 8 місяців тому

    Ameen naomb Mungu anifungue ktk ndoa yngu na maisha yngu

  • @mercymusembei5575
    @mercymusembei5575 3 місяці тому

    Kazi zuri man of God pray for my family pls

  • @NyiranezaWarda-bk1yn
    @NyiranezaWarda-bk1yn 4 місяці тому

    Papa courage Boss mutoto Amen amen God bless you 🥰🥰🥰💯🙏🙏🙏

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Місяць тому

    True true Dad

  • @josephinepeter4551
    @josephinepeter4551 3 місяці тому

    Nambari ya simu tunataka pia sisi tupone, from Kenya

  • @olivierbisimwachirimwami
    @olivierbisimwachirimwami 6 місяців тому

    Mungu abariki kazi yako Baba

  • @user-bl8wk9hj9i
    @user-bl8wk9hj9i 7 місяців тому

    Baba mungu akuongezee miaka nami uje unisaidie maana nateseka

  • @mathazyunga839
    @mathazyunga839 6 місяців тому

    Mungu akuinue masihi wa Bwana

  • @KornelNyenzi
    @KornelNyenzi 3 місяці тому

    Kuja kwake yesu alikuja kutukomboa na kutupa nafas ya kutubu tukoseapo apata shida kuona mtumishi w Mungu unasema utaua mchawi badala ya kumfanyisha Sara y Toba n kumrjesha ngomen mw Mungu n sio kuhukum wewe huna hakiny kuhukum bali Mungu pekeee ndugu zangu upofu usitufanye tumkoseee Mungu wetu wala shida zetu , matatuzo yetu , umaskinj wetu usitufanye tuvifanye ibda hakika tutapoteza wengi, naomba turudi katik njia iliyo y kweli tumtafute Mungu aliyehai n sio miungu ya ashera wala.dagon Wala baali

  • @HawaSiame
    @HawaSiame 4 місяці тому

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa hawa natoka mireran naomba unisaidie nipate kaz na mme wangu apate madini ndani ya mwezi huu na nipate ujauzito wa mtoto wa kike ndani ya mwezi huu

    • @HawaSiame
      @HawaSiame 4 місяці тому

      Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa hawa natoka mireran naomba unisaidie kuniombea nipate kaz na mme wangu apate madini ndani ya mwezi huu na nipate ujauzito wa mtoto wa kike ndani ya mwezi huu asante

  • @FaridaMasawe-ym7ni
    @FaridaMasawe-ym7ni 6 місяців тому

    Kibongo wa wachawi nisaidie naumwa sana mimi farida

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 місяців тому

    I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nuruelymboya6994
    @nuruelymboya6994 5 місяців тому

    Ndugu yangu kaja katapeliwa laki 2. Nenda jifungie mochwari ya amana au muhimbili umfufue japo mmoja

  • @JosephatMartin
    @JosephatMartin 3 місяці тому

    Nabii nitabilii namm

  • @DoraNasinyari
    @DoraNasinyari 2 місяці тому

    Natamani nifike kwa kiboko ya wachawi aky

  • @KornelNyenzi
    @KornelNyenzi 3 місяці тому

    Mtafuteni Mungu wa kweli Wana wa Israel walipoitafuta miungu mingne walifanywa kuw watumwa n wakashindw vita lakin pia wakauliw n maadau , ndugu zangun unamwamin Mungu au Iman yenu ipo kw nabiii maombi yenu mnasema nabiii yote Mungu n mwenye wivu sofa n utukufu n w yeye pekee aliye juuu geukeni mtangulizen Mungu w ibrahmu na Mungu w yakobo yeye anajibu , kiyama kinakarbia s punde yote haya Mungu alishasema watafanya miujiza kupitia jina langu n watatoa pepo kw jina langu n wataita Bean Bwana lakin jueni kuw SI wote watokao kwang wengi watakuw wapinga kristo TU

  • @InnocentShoje
    @InnocentShoje 3 місяці тому

    Naomba unitabilie maisha yangu

  • @user-cg7hs8ko1s
    @user-cg7hs8ko1s 4 місяці тому

    Naintwa monica nakataa umasikini

  • @EstherPatrick-ec4nm
    @EstherPatrick-ec4nm 2 місяці тому

    Tunakusubiri na morogoro tunakupenda

  • @RahmaMohamed-rn5gq
    @RahmaMohamed-rn5gq 5 місяців тому

    Mungu yupo upande wako

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 8 місяців тому +1

    Yani unajua kabisa kaja na hiriz ya mchongooo mmjupanga kuwatapeli

  • @3leggedbird222
    @3leggedbird222 8 місяців тому

    Baba nimedhulumiwa haki yangu ya kufanya kazi nje ya nchi niombee baba wakionidhulumu nao wapokonywe kila walicho nacho

    • @user-zs7br9wq2y
      @user-zs7br9wq2y 8 місяців тому

      Niombee nabii nipate kazi nilie isimamia miaka miwili nabii afu anakuja kupewa mwingine ambae haja sotea kabisa naitwa nuhu kikoti naomba nisaidie anipigie sim mda wowote

  • @ReginaTheonest
    @ReginaTheonest 8 місяців тому

    Mtu anayekataa kuhusu uchawi hayajamkuta Nabii naomba unitabilie Mimi na familia yangu.

  • @MichaelKuboja-ix9bi
    @MichaelKuboja-ix9bi 4 місяці тому

    Mungu akuinue

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 8 місяців тому

    Amen amen Amen amen

  • @MichaelKuboja-ix9bi
    @MichaelKuboja-ix9bi 4 місяці тому

    Mungu akutunze

  • @marrykimaro9792
    @marrykimaro9792 7 місяців тому +2

    Mpumbavu yoyote anayemkataa huyu Nabii Ni mchawi amini usiaminiLkn hawamwezi kwa jina la Yesu Kristo

    • @Judith-m5k
      @Judith-m5k 3 місяці тому

      Dada unq no zake??? Nna shida nae nipo mkoani. Nimechukua hiyo hapo juu haipokelew

  • @siamrema-yo4bk
    @siamrema-yo4bk 8 місяців тому

    Mungu akusamehe maana hayajakufika

  • @AbelMrina
    @AbelMrina 3 місяці тому

    Nabiii kimbiza wanga hao wanatutesa

  • @HawaSiame
    @HawaSiame 4 місяці тому

    Baba naomba nisaidie mimi na familia yangu tunapitia hali duni japo ni watafutaji

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 8 місяців тому +1

    Ukiona mbwa anamkataa nabii ujue ni lichawi,linaona huruma kwa wachawi wenxake.Hili linalotetea life.

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 3 місяці тому

    Koboko y a wachawi Niko Arusha nikomboe baba

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 місяців тому

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏

  • @NyiranezaWarda-bk1yn
    @NyiranezaWarda-bk1yn 4 місяці тому

    Amen amen amen 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏

  • @GodfreyNgonyani
    @GodfreyNgonyani 4 місяці тому

    mungu akupe malsha malefu san bab

  • @Joy-g5j
    @Joy-g5j 6 місяців тому

    Baba nakuomba utusaidiye tunateswa na wachawi hatuna mafanyikiyo tunangaika sana

  • @JosephatMartin
    @JosephatMartin 3 місяці тому

    Nabii naitwa Agness nitabilie

  • @furahamwamkonga9783
    @furahamwamkonga9783 7 місяців тому

    Amena

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 місяців тому

    Amen Amen papa

  • @RosenaBenedict
    @RosenaBenedict 8 місяців тому +2

    Endelea kupoteza wachawi nabii

  • @michaelsoka8321
    @michaelsoka8321 8 місяців тому

    Amen

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 місяців тому

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AnnamarySeth
    @AnnamarySeth 2 місяці тому

    Piga wote Baba.

  • @user-yg7dy8ls9e
    @user-yg7dy8ls9e 7 місяців тому

    😅nabii Elia njoo huku ujionee wanVocop nakupest

  • @renaldegidi
    @renaldegidi 4 місяці тому

    Nisaidi na mimi

  • @merabushukia4352
    @merabushukia4352 4 місяці тому

    Mtumishi naomba uniombee kazi yangu iwe na mafanikio na wateja wengi

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 місяців тому

    Wachawi wafe katika maisha yangu Kwa jina la YESU kristo amen

  • @EsterbernardoVumo-kn2xv
    @EsterbernardoVumo-kn2xv 8 місяців тому

    Msamehe Hataridia Tena

  • @Joy-g5j
    @Joy-g5j 6 місяців тому

    Kaka yangu amekua tajiri ila kwasasa nakula nitabu

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 місяців тому

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ruthkosgei3786
    @ruthkosgei3786 8 місяців тому

    Aki pasta niombe kweli Sina mume watu wananijeka pls natoka Kenya Nairobi

  • @user-ts3gz3qh4x
    @user-ts3gz3qh4x 3 місяці тому

    Nabii kata uchawi kwenye familia na hao wanaotumwa kwako wateketee kwa Jina la Yesu.

  • @user-vx4ss6uo9x
    @user-vx4ss6uo9x 4 місяці тому

    Kiboko ya wachawi nisahidiye bba nina mwaka kumi na Sita si jazaha nisahidiye bba nahangahika sana ni sahidiye

  • @JacklineFulgensi
    @JacklineFulgensi 7 місяців тому

    Jamanii nabii naomba nisaidie,Mara nyingi naota najifungua mtoto,Nina changamoto nyingi,huwa sidumu na mwanamme,hili kanisa liko wapi jamani nije

  • @user-xx8nz6dy6p
    @user-xx8nz6dy6p 6 місяців тому

    🙏🙏🙏🙌🙌

  • @kizadorcas3321
    @kizadorcas3321 7 місяців тому

    Uyu Baba nikiboko kweli

  • @MkubwaMgamba
    @MkubwaMgamba 3 місяці тому

    Yaan ni moto

  • @user-yn3xu3nm4t
    @user-yn3xu3nm4t 8 місяців тому

    Msamehe wewe ni mtumishi wa mungu hatarudia tena

    • @user-lb7lg9ke2b
      @user-lb7lg9ke2b 8 місяців тому

      Angemuua je angesamehewa na nani mwacha afe amezi uchawi akufe Kule Asante baba wanatutesa sana hao

    • @geofreymkwelele3588
      @geofreymkwelele3588 8 місяців тому

      Acha wafe maana wanatutesa sana

  • @shaurikibwiru8588
    @shaurikibwiru8588 8 місяців тому +1

    Huuu ni usaniii madhabahuni wanawatengeneza watu siyokweli

    • @user-lb7lg9ke2b
      @user-lb7lg9ke2b 8 місяців тому

      Pole ukuje siku moja fanya kama unavyoendaga kutembea Kwa waganga zako uje yakukute ndiyo utajua anapangwa mtu ama huyu pastor don't test aisee pana Mungu kweli kweli ndg yng

  • @jasmineomary4325
    @jasmineomary4325 5 місяців тому

    Baba naomba namimi siku nikija uguswe unitabirie napita changamoto

  • @LatifaSelemani-ft8of
    @LatifaSelemani-ft8of 4 місяці тому

    MUNGU WA KIBOKO.YA WACHAWI NIFUNGUE TUMBO LANGU NIPATE WATT PACHA WAWILI KWA JINA LA YESU AMINA .NAITWA KWEGE AU LATIFA

  • @HamisMzungu-q9t
    @HamisMzungu-q9t 2 місяці тому

    Pambana kaka wafeke wote wachawi hawo

  • @jasmineomary4325
    @jasmineomary4325 5 місяців тому

    Mi nakuamini

  • @AbigaelJohn-lf7ws
    @AbigaelJohn-lf7ws 3 місяці тому

    Tabiri nabii

  • @MichaelKuboja-ix9bi
    @MichaelKuboja-ix9bi 4 місяці тому

    Mungu ni m u 5:09

  • @EvelineWilsonimwaisemba
    @EvelineWilsonimwaisemba 3 місяці тому

    Je pasta unatoa muujiza kutibu mgonjwa akiwa mbali?mam yang anatatizo la akil Toka 2006 naomba msada nipo ruangwa Rindi

  • @allynganyagwa344
    @allynganyagwa344 6 місяців тому

    Mbaya zaidi anachukua pesa za Watu, Kwa makubaliano ya kuponywa Kwa maombezi
    Hakuna lolote mazingaombwe na uongo mtupu

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 8 місяців тому

    Serikali ifanye kazi yake sasa

  • @BoniphacGasper
    @BoniphacGasper 3 місяці тому

    nabii naomb nipate mpez

  • @aminarama711
    @aminarama711 8 місяців тому

    Nisaidie Mimi baba agu mwaka wa tatu nahatjui yuko wapi please nihurumie to Mimi

  • @user-ju4uo5kx3j
    @user-ju4uo5kx3j 8 місяців тому

    ❤❤❤❤❤

  • @HappyChicken-to4vy
    @HappyChicken-to4vy 5 місяців тому

    Amen amen😂

  • @HawaOman
    @HawaOman День тому

    Lazima niende huko huko

  • @ruthkosgei3786
    @ruthkosgei3786 8 місяців тому

    Aki pasta 2024usiniabishe niombe baba ipate mume watu wanani tukana

  • @RehemaMganga-jk6jx
    @RehemaMganga-jk6jx 5 місяців тому

    Nabii naomba unitabiliye naitwa rehema mganga

  • @SaimoniHesroni
    @SaimoniHesroni 4 місяці тому

    Nakataa kifo kwajina layesu naitwa saimoni jeremia

  • @fatumamichael5664
    @fatumamichael5664 7 місяців тому

    Safe tu

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 8 місяців тому +1

    Michawi bhana! Inatakiwa iinguwe ife yote Kwa jina la Yesu michawi yote duniani ikuuufeee.

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l 5 місяців тому

    Kiboko ndiyo huyo bana mungu akuwongezee maisha

  • @MeshakShedrack
    @MeshakShedrack 4 місяці тому

    Kiboko ya wachawi niombee nipone magonjwa wachawi wafe

  • @olivierbisimwachirimwami
    @olivierbisimwachirimwami 6 місяців тому

    Niyumia namba yako Baba

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 3 місяці тому

    Ameen

  • @user-ft7wl4uu5t
    @user-ft7wl4uu5t 8 місяців тому

    wachawi wasibaki wamenitesa sana mpaka uchumi umeyumba