MAMA ALIEROGEWA FAMILIA YAKE NA MTOTO WAKE WA KWANZA ANAEMTEGEMEA KUTUPIWA JINI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 549

  • @HawaAthuman-iw3sv
    @HawaAthuman-iw3sv 3 місяці тому +6

    Baba naomba muombee mama yangu na dada yangu na familia yetu Kwa ujumla naomba tafadhari

  • @maryfromence
    @maryfromence 4 місяці тому +2

    Amina mchungaji naomba na mimi nifunguliwe riziki tupate Kazi mimi na mume wangu na watoto wangu wawe na uwezo mkwubwa kimasomo maishani

  • @zenorinamwacha8115
    @zenorinamwacha8115 7 місяців тому +2

    Baba mungu hakutunze wewe ni mtu wa baraka Sana barikiwa namiminatamani hupaka Waka baba sifanikiwi ninavyo Tana sema neno nipokeye na Mimi baba ameeeee 18

  • @fanuelmpakele9764
    @fanuelmpakele9764 18 днів тому +1

    Umesema kweli yakiwakita ndipo wataamin .kiboko ya wachawi soga mbele kusaidia jamii ipone Amina

  • @EvansSeven
    @EvansSeven 27 днів тому

    Watoto Wangu warudi Kwao ,wame kwama Mombasa,warudi Mahali Niko ,waokowe Kwa uchawi Wa kila Aina in Jesus Name Ameen Asante Mungu Kwa Uzima Ulio Nipa

  • @GabrielSabuni
    @GabrielSabuni 4 місяці тому +1

    Nami baba najiungamanisha na madhabahu yako nipone maradhi yanayonisumbua kiuchumi mikono yangu ifunguliwe baraka kwa jina la yesu amen

    • @KornelNyenzi
      @KornelNyenzi 2 місяці тому

      Mwambie Mungu atakuponya n sio nabiii Wala mchungaji acheni kuabud watu nyinyi

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 2 місяці тому +1

    Mungu kupitia mazibau hii nataka nipone uvimbe Sukari na vidonda vya tumbo viishe Nile kila kitu Bila masharti yoyote in name Jesus Amen

    • @bethndunge
      @bethndunge Місяць тому

      Amen

    • @ConsolataFabian
      @ConsolataFabian Місяць тому

      Niombee pasta mgongo nyonga inauma ni muda sasa na uchumi language umeshuka nisaidie kiboko ya wachawi consolata niko moshi

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 22 дні тому

    Kiboko ya wachawi ni nabii wa kweli 100 percent,na neno la Mungu linasema usimuache mchawi aishi,abadanya sawasawa na neno la Mungu

  • @FaustaKipene
    @FaustaKipene 4 місяці тому +1

    Naomba uniombee Mungu anifungulie milango ya baraka juu ya uzazi wangu , nmekua nikipata mimba zinaharibika lakin pia izo zinazoharibika nazipata kwa shida sana, naomba uniombee

  • @RegnaKimaro
    @RegnaKimaro 4 місяці тому

    Amina nabii naomba unifungue na mimi naomba uniambie wewe kiboko ya wachawi damu ikate nimechoka baba na hizi dam mwezi sasa na maisha yangu na familiya yangu ifunguliwe

  • @GiftyMarie
    @GiftyMarie 4 місяці тому +1

    Bwana Yesu asifiwe baba, naomba uniombee niweze kupata kazi na mahusiano yaliyo sahihi, vilevile familia yangu iwe na amani

    • @bethndunge
      @bethndunge Місяць тому

      Amen

    • @bethndunge
      @bethndunge Місяць тому

      Niobee madhibahu ya unganga laaana talaka ulevi magonjwa sungu kisukari high blood pressure alsas neumonia cancer pumu neumonia Kali TB inatutesa nyumbani kwetu iodoke

  • @ColethaMayomba
    @ColethaMayomba 2 місяці тому

    ❤mtume kiboko ya wachawi naomba komboa familia yangu Mme wangu na watoto wangu tupate rehema za Mungu ,,, naomba Mme wangu Ernest afunguliwe riziki kutoka kila chanzo cha mapato yako tufanyie jambo baba

  • @user-gs3ji9eg3m
    @user-gs3ji9eg3m 7 місяців тому +4

    Tusaidie Nabii wa mungu kiboko ya wachawi naomba maombi kwa mama yangu mzazi anaumwa

  • @HachinaHachina-je5es
    @HachinaHachina-je5es 22 дні тому

    Naomba uniombee mm pamoja na familia yangu watoto wangu wafunguliwe kiuchumi

  • @NeemaChristopha
    @NeemaChristopha Місяць тому

    Amina baba naitwa neema naomba nisaidie familia yangu inasumbulia na magonjwa pia kiuchumii

  • @alicenoah5407
    @alicenoah5407 5 місяців тому

    Naomba Mungu nipate wateja wengi kwenye biashara yangu.Chochote kilichokinyume na mapenzi yako Yesu kishindwe katika jina la Yesu

  • @victoriamathewitungulu754
    @victoriamathewitungulu754 5 місяців тому +1

    Eee Mungu naomba uniombee watoto wangu wapate waume waolewe na wapate waume wenye kipato kizuri Mungu wa kiboko ya wachawi anisaidie

  • @user-ub7or6xw6z
    @user-ub7or6xw6z 2 місяці тому +1

    Naomba mtumishi ukumbuke familia yetu,tumetengwa bila sababu😭bariki dadangu mkubwa na mtoto amechekwa vya kutosha pia jidhirishe kwa walio mwua dadangu Mary baba

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx 2 місяці тому

    Amen baba nabii npo pamoja na wewe nahitaj maombi niongezewe mshahala wangu mwez huu wa sita amen

  • @AngelKifaru
    @AngelKifaru Місяць тому

    Amina baba, naombaukomboe familia yangu, niombee nifunguliwe ktk eneo lauchumi, umuombee mamayangu apone kifua, nipone magonjwayoote,tabili Baba ktk maishayangu

    • @user-wk6gn2oy9w
      @user-wk6gn2oy9w Місяць тому

      Naomba nisaidie nasumbuliwa na madeni ,sina maendelea na family yangu

  • @PastoryLeodeguarid
    @PastoryLeodeguarid 4 місяці тому +2

    Amina baba

  • @LuclaJohn
    @LuclaJohn 2 місяці тому

    Mtumishi❤naitwa lucla niko moshi nateseka sana naishi namtt wangu mmoja wengine wako kwa baba yao napitia magumu sna naomba mao.bi yako

  • @ThomasKasuluzu
    @ThomasKasuluzu 4 місяці тому

    Amna mtumish wa MUNGU Ubalikiwe sna kwa kazi nzuri

  • @GlorySumari-fs2gq
    @GlorySumari-fs2gq 2 місяці тому

    Bwana Yesu asifiwe baba...naomba Mungu anipe kazi na kuinua uchumi wangu

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 6 місяців тому

    Amen najiunganisha na madhabau ya kiboko ya wachawi naomba watu wa giza wote wa giza waliyonifunga naomba Mungu uwarudishie

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx 2 місяці тому

    Bwana yesu asifiwe baba nabii Oman hakuna umbali najiungamanisha na madhabahu hii nipe kibali mara 2 maboss zangu wanipende wasinichukie amen

  • @maasaieastafrica2556
    @maasaieastafrica2556 3 місяці тому

    Amen Amen
    Mtumishi Mungu akubariki Sana,,Toka Arusha nakufuatilia

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 7 місяців тому +1

    Wale wote waliocheza na maisha yangu na watoto wangu, kuturoga na kufunga nyota zetu, leo warudishe kila kitu ,na wao uwarudie wao na tena wawe machizi,na waokote makopo.

  • @jasmineomary4325
    @jasmineomary4325 5 місяців тому +10

    Mnaosema kiboko ya wachawi muongo matatizo hayajawapata lakini Mimi nimeshashuhudia na ninaamini ipo siku na Mimi nitatabiliwa

    • @bethndunge
      @bethndunge Місяць тому

      Amen

    • @bethndunge
      @bethndunge Місяць тому

      Amen

    • @Evenusikiobya-jg2vk
      @Evenusikiobya-jg2vk Місяць тому

      Mimi na mke wangu tunatizo la kifamilia mke wangu anabeba mimba zinapotea Ila atujajua ilo tatizo linatokea wap Sasa mtumisha namba hutusaidie hutuambie maana tumeangaika sana

    • @berthakalori195
      @berthakalori195 Місяць тому

      ​@@Evenusikiobya-jg2vkamin

    • @berthakalori195
      @berthakalori195 Місяць тому

      Namm mchungaji niombee nipokee uponyaji nabaraka katika familia tangu emeee

  • @NeemaGladsoni
    @NeemaGladsoni 5 місяців тому +1

    Ee mungu naombavuwafungue wanangu wapate ajila za kudumu ktk jina la yesu ,ameeen

  • @user-st3uf6ew9u
    @user-st3uf6ew9u 4 місяці тому

    Amina familia yangu imefungwa kiuchumi Kuanzia watoto hadi baba na mama mji wote ni kilio hakuna wa kuolewa Wala kuoa tusaidie familia inaangamia mchungaji Dominic kiboko ya wachawi🙏🙏🙏

  • @carolinanigangwa
    @carolinanigangwa 4 місяці тому

    Najiungamanisha na kiboko ya wachawi Mungu anifungulie maisha yangu nakula kitu changu kiliichopoteanakiludikuanzia sasa kwa kina la yesu

  • @MajumaKingu
    @MajumaKingu 3 місяці тому +2

    Baba naomba ukombozi kwenye family yangu😊

  • @brayanjames9168
    @brayanjames9168 3 місяці тому +2

    Mtumishi Wa Mungu ubarikiwe naomba uniombee kila mwaka napitia changamoto nispo ibiwa bx nadhurumiwa au kfkuzwa Kaz nikipata pesa sijuw inaenda wap nisaidie baba

  • @user-gu5ek3zj8s
    @user-gu5ek3zj8s 5 місяців тому

    Eeh Mungu na mm naomba umsaidie Mume wangu apone vidonda vya tumbo vilivyomsumbua kwa kipind kirefu ametumia dawa bila mafanikio kupitia ibada hii naomba aponywe amina

  • @allykasimu3103
    @allykasimu3103 3 місяці тому

    za sahiz paster mchungaji. samahani mchungaji hukunyumbani kwetu tuna shida nyingi na ni yamda mrefu wazazi wangu wanateseka kimaisha Kwa miaka nyingi Hadi mziz moja Alisha tutoka na Hadi Leo hii mama yangu yupo kwenya mateso yakusunbuliwa na homa zisizoisha. tunaomba msàada wako baba. amina.

  • @fattygeja-bv8zk
    @fattygeja-bv8zk 3 місяці тому

    Asante pastor kwa kutusaidia.Naomba tabili juu yangu baba

  • @FredjuniorMsyali
    @FredjuniorMsyali 7 місяців тому +1

    Amen

  • @StanslausKangole
    @StanslausKangole Місяць тому

    Namimi kwa imani najiungamanisha na madhabahu hii naomba uombee family yangu muombee make Wang anaumwa anaesumbuliwa na magonjwa yasiyojulikana kahalibu ujauzito naomba sana mchungaji utusaidie tunahangaika sana kwaimani kupitia maombi yako tunaamini atapona

  • @LydiaMutalemwa
    @LydiaMutalemwa 3 місяці тому

    I received

  • @pillymmbaga7702
    @pillymmbaga7702 4 місяці тому

    Bwana yesu asifiwe baba naomba unipatie mume bora niweze kufunganae ndoa napia uniombe mimi nafamiliya yangu

  • @JJMATURE
    @JJMATURE 4 місяці тому

    Tupo pomoja sana kuongalia mathabau naomba uniombee mungu anipe baraka alizo zipanga katika maisha yangu ili kutimiza also nituma niombee kwa mungu kiboko ya wachawi

  • @priscamchomvu4021
    @priscamchomvu4021 6 місяців тому

    This is too big God be with you Dad and one day I shall come kucheza sebene napenda sn na hyo ndy ibada yangu mbl za Mungu wa mbng n nchi

  • @EmelineJudicaMalya
    @EmelineJudicaMalya 2 місяці тому

    Emeline malya naomba uniombee mimi na familia yangu kwa ujumla tumeyumba na magonjwa yanatuandama sana mtumishi

  • @JaneMinde
    @JaneMinde 2 місяці тому

    Mungu amitoe kwenye maden nimiliki na kutawala katika jina la yesu naomba watoto wangu wafunguliwe kwenye masomo hawaelew darasani hevenlith Ebenezer Ezekiel wafunguliwe

  • @user-vy8ym2mg5k
    @user-vy8ym2mg5k 3 місяці тому

    Naomba mwenye Ako kinyume na mafanikio yangu kuhusu masomo ya watoto wangu apate moto wa yesu.natumai ushindi.

  • @Carrolinyohana
    @Carrolinyohana 2 місяці тому

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu tunasikiliza mahubiri yakoo mtumishi karibuu arusha jamanii maana tunakupigia simuu haijii karibu arusha sanaa tunakupendaaa babaa.

  • @user-wf6qt5ev9e
    @user-wf6qt5ev9e 7 місяців тому +2

    Kwa majina naitwa Mariam stephano mwenyezi mngu naomba anifanyie wepesi nipate mchumba na uchumi wngu ufunguke

  • @EvansSeven
    @EvansSeven 27 днів тому

    Aliye Niroga Afe ,Na mi nipate KAZI nzuri Kwa Dami ya Yesu

  • @FlendinaUlomi-xo6mg
    @FlendinaUlomi-xo6mg 3 місяці тому

    Shalom baba. Naomba Mungu wa kiboko wa wachawi anifungue nigunge ndoa . Mume wangu arejeshewe pesa zake... Na familia yangu isimame na huduma ya kanisa letu inasuasua

    • @SilviaLovenss
      @SilviaLovenss 3 місяці тому

      Nabii naomba mwanaune wangu naeishi nae arudishe upendo kwangu aachan na wanawake wanje naaniudumie

  • @user-np4qt7mx1g
    @user-np4qt7mx1g 6 місяців тому

    Baba naomba uwaombeee watoto wangu naona hii shida ya huyu Mama na watoto wangu inafanana nisaidie mtumishi wa Mungu

  • @NeemaGladsoni
    @NeemaGladsoni 5 місяців тому

    Ee mungu utakapowagusa watoto haw naomba uguse na wanangubkatika jina la yesu. ,Ameeen

  • @user-wg2jw4yh8e
    @user-wg2jw4yh8e 7 місяців тому +1

    Bab naomb muombee mam yangu awenamafaniko pia bos wak awez kuongezea mshahal aweze kupat lakinne baba maana hali ya uchumi ya apa nyumbani dah kwa kwel anajuw mungu t mwenyew pia mungu pastor naomb umuongoz mdog wang uwez kumjalia awez kufahuru vyem masom yak ya apa awal na huko mbelen ya sekondar mbaka afik chuu kikuu uko pia tuwez kuwek umem apa nyumb pia kipato cha uchumi kiwez kuinuk kwa asilimia mia kabisa kwayesu yote yana wezekan ameeeh baba tusaidie hii familia tuna hali mbay kwel pastor amina

  • @lamekaguta3724
    @lamekaguta3724 7 місяців тому +1

    I receive it in Jesus name Amen

    • @TuliMussa
      @TuliMussa 7 місяців тому

      Eee yohava nisaidie mm mtu
      Tumishi nisaidie mm juu ya watoto wangu nipo tunduma mkoa wa songwe nisaidie Sina amani juu ya watoto wangu

  • @HeriethHenry
    @HeriethHenry Місяць тому

    Amina mtumishi naomba niombee familia yangu baba

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 2 місяці тому

    Nakupenda mtumishi ISHI Maisha mengi in name Jesus

  • @MariaSaqware-lt6ps
    @MariaSaqware-lt6ps 5 місяців тому

    Napokea uzima kwa madhabau hii katika jina la yesu Ameen

  • @sophiaphilemon4924
    @sophiaphilemon4924 3 місяці тому

    Mtumishi wa Mungu naomba uniombee plesha Ina nitesa baba. Mungu akubariki sana 🙏

  • @user-qj9zg3ed6q
    @user-qj9zg3ed6q 6 місяців тому

    Baba shalom peace naitwa jesca kutk musoma mara baba naomba unisaidie familia yangu inasumuliwa nawachaw mzimu naroho za mauti pia biashara yang aieleweki mtaji unazid kukatika baba nisaidie

  • @ChristinaLyimo-ni5cd
    @ChristinaLyimo-ni5cd 5 місяців тому +1

    Unavyowatendea hawa na me ukanitembelee baba❤❤❤❤

  • @StevenOkama-b5c
    @StevenOkama-b5c Місяць тому

    Baba naomba uiombee familia yangu ndg zangu wotee na ndoa yangu

  • @SifaMwashite-dg3bl
    @SifaMwashite-dg3bl 7 місяців тому +1

    Eee mungu nataka mume wangu samwel kakinjwa nataka aachane nawanawake wengine anisikiliza mimi mkeo tu anipende Sana kwa Jina la yesu kristo

  • @user-sq4bi7my6w
    @user-sq4bi7my6w 5 місяців тому +1

    Nafatiliwa na nguvu za kichawi Mimi na mume wangu na watt wangu naomba msaada wako baba uikomboe familia yangu

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema8631 Місяць тому

    AISEE NABII , WE NI MOTO WA KUOTEA MBALI , MAANA KAMA NI WACHAWI , UNAWAADABISHA BALABALA , AISEE NAMIMI NATAMANI NIWE KIBOKO YA WACHAWI PART 2 , NAPENDA NIWE NA KARAMA KAMA YAKO , MAANA NINA HASIRA SANA NA WACHAWI.
    BARIKIWA SANA PASTOR DOMINICK , YESU KRISTO AKUTUNZE SANAAAA

  • @damianikimotuosiula2888
    @damianikimotuosiula2888 4 місяці тому

    Baba naomba unisaidie kumuombea mumewangu yupo jirani na familia yake maisha yangu ni magumu sana

  • @MichaelMwambene
    @MichaelMwambene 2 місяці тому

    Amena

  • @HildaMarcus
    @HildaMarcus 2 місяці тому

    Amina baba naomba uiombee famila yangu inateswa na mizimu na uchawi

  • @PastoryLeodeguarid
    @PastoryLeodeguarid 4 місяці тому

    Amina baba niombee nipate mtaji wa biashara

  • @EpiphaniaMallya
    @EpiphaniaMallya 7 місяців тому

    Amén. Akufie mbali kwa jina la Yesuuu

  • @MajumaKingu
    @MajumaKingu 3 місяці тому

    Baba najiunganisha. Na madhabahu yako baba naomba uniombee miguu ninaniuma na magoti baba nakufatilia sana baba

  • @sifasolangekaboyi4124
    @sifasolangekaboyi4124 18 днів тому

    Amen amen

  • @LucyKimambo
    @LucyKimambo Місяць тому

    Naomba kiboko wawa chawinikombolee ndoa yangu pamoja na familia yangu 9:15

  • @user-tq4rw1tr8x
    @user-tq4rw1tr8x Місяць тому

    Nabii naomba nisadie mm niko moshi jina febronia faustini nisaiye nabii asante❤ 4:01

  • @UmaziMuweye-sq1jw
    @UmaziMuweye-sq1jw 4 місяці тому

    Amen Amen Amen

  • @NeemaGladsoni
    @NeemaGladsoni 5 місяців тому

    Maaadui zangu wanaowafatilia wNangu kinyume wote wafe kwa moto ,ameeen

  • @Bahatienock-ug9ug
    @Bahatienock-ug9ug 6 місяців тому

    najiungamanisha na mazabahu ya kiboko ya wachawi kira arie husika kuharibu maisha yangu na maisha ya familia yangu afe kwa jina ra yesu

  • @mollyrutenge7933
    @mollyrutenge7933 Місяць тому

    Amina kubwa

  • @ZarikaHaji
    @ZarikaHaji 2 місяці тому

    Naomba baba utuombe umasikini kwenye familia ndugu hatupatani tuuguwa ugonjwa mmoja wazazi wakefu kwa magonjwa

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 3 місяці тому

    Nabii barikiwa sana kwa kuwasaidia watu wake Mungu

  • @AffectionateBirdNest-du7oi
    @AffectionateBirdNest-du7oi Місяць тому

    Amina bb

  • @noelapierre1605
    @noelapierre1605 6 місяців тому +1

    Amena mtumishi wamungu

  • @user-lv7bo5gb4x
    @user-lv7bo5gb4x Місяць тому

    Pastor Asante Kwa kazi nzuri ila sie hapa tunapoish sijui sio pazuri kwanza usiku ndoto za ajabu ajabu saana usingizi sio mzuri tunaomba utusaidie

  • @JoeryRobert
    @JoeryRobert 3 місяці тому

    Amina baba tupo pamoja tusaidie

  • @Big6-nf1xz
    @Big6-nf1xz 3 місяці тому

    Amina mchungaj

  • @MichaelMwambene
    @MichaelMwambene 2 місяці тому

    Amena mungu wangu ninaomba uniponye muwasho mwili wote unaniwasha

  • @AnestaNziguje
    @AnestaNziguje Місяць тому

    Nabii nai
    Twa anesta niko arush maisha yangu yandowa siyaerewi

  • @MonicaNsaro
    @MonicaNsaro 3 місяці тому +1

    Mtumishi Mungu akutunze

  • @user-md6gx4ox4l
    @user-md6gx4ox4l 4 місяці тому

    Baba naomba nisaidie uniombee nina hali mbaya mtumishi wa Mungu, nimefungwa kimaisha nisaidie baba pastor Amina

  • @josephinearonkyogo1604
    @josephinearonkyogo1604 Місяць тому

    Mungu anisaide siku nije na familiar yangu changamoto wtt chuo ndoa biasharaa kifupi Sina amani na nafanikiwa Kwa tabu sana nafanya. kazi Santa ila sifanikiwi kama navyofanyakazi

  • @SifaBushashire
    @SifaBushashire 5 місяців тому

    Ameeeeeeen 🇨🇩🇨🇩mungu kumbuka familiale yangu..

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx 2 місяці тому

    Amen amen amen

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 22 дні тому

    I love Nabil wa Mungu kiboko ya wachawi

  • @fridahkwamboka6905
    @fridahkwamboka6905 2 місяці тому

    Amen amen glory be God 🙏🙏

  • @NeemaGladsoni
    @NeemaGladsoni 5 місяців тому

    Ee mungu kama kuna watu ni ndugu zangu au ndugu wa wanangu ambao wamewafunga wanangu atakapokufa ana na hao adui zangu wafe kwa jina la yesu meen

  • @lusajoully
    @lusajoully 3 місяці тому

    Amina mtumishi

  • @MariamHussein-rt8dz
    @MariamHussein-rt8dz 29 днів тому

    Amina

  • @emmanuelmashigwa3372
    @emmanuelmashigwa3372 3 місяці тому

    Mtumishi naitwa hakiel Emmanuel Sisi familia yetu tumelogwa sana Yan riski Hakuna kabsa Yan nataman uchum wangu ufunguke niweze kuja ulipo

  • @EvelinaMkenge-of5iq
    @EvelinaMkenge-of5iq 2 місяці тому

    Komboa family yangu baba tunateseka sana

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx 2 місяці тому

    Amen baba nabii

  • @violetswai5369
    @violetswai5369 5 місяців тому

    Uhusiano wangu na familia urejee kuwa na upsndo biashara kazi na elimu za watoto wangu zirejeshwe ndoa yangu naza watoto wangu