Masha Allah balikiwa Sanaa mpendwa wetu NAKUPENDA kwaajil ya Allah ,,,,,,,,mungu akupe umri mrefu na muish Kwa upendo na furaha Amin yaraby ♥️♥️♥️💖♥️🇹🇿
Big up bro.naweza sema maisha uliyopitia Mungu huwenda alikupitisha huko ili uwe kma ulivyo.kwamaana usingepita huko, huwenda ucngekuw ulivyo.Hongera sana kka
Ongera sana madebe osmani lidai. wadau wako hawajuwi kabila lako ila mimi nawajibu ili nijuwe kuwa wewe ni mmwera wa lindi wilaya ya ruangwa kata ya mnacho nandagala. Mimi ni mdau namba 1 wa madebe lidai. naitwa issu bajaji wa mnarani mtwara. Big up Benjamin kizota chikongwe wa nandagala ruangwa
Uko sahii hasa ukizungumzia maswala ya wanawake, ninge pata huongozi Tz ningefundisha wanandoa ili idumu ili wawezwe kudumisha ndoa zao na kulea watoto kwa haki za mzingi kwa baba na mama
Kongole Sana Bw.Madebe Kwa kazi yako nzuri inanigusa mimi binafsi kama mpenda lugha ya kiswahili
Aisee pole sana hakika niliyajua haya kuwa kuna kitu juuyako ndio mana hata move zako zina fundisha
Mtangazaji huyu anajua kazi yake. Hongera sana.
Pole san madebe ALLAH awarahemu wote njia mmoja
Masha Allah balikiwa Sanaa mpendwa wetu NAKUPENDA kwaajil ya Allah ,,,,,,,,mungu akupe umri mrefu na muish Kwa upendo na furaha Amin yaraby ♥️♥️♥️💖♥️🇹🇿
👍
Eee
Nawafata kutoka Congo Drc npenda Sana #_Mbengo_TV Sana kabisa piya mm mshabiki Wa Na bihi Mswahili
KWANZA POLE SANA MH; ILA MANENO YAKO UNAYOYATUMIA KWENYE SANAA YANA MAANA KUBWA KWENYE UHALISIA WA MAISHA: YOU'RE THE BEST.
All the way from Rwanda ! Kazi ndema mziwanda!!
Naomba unikutanushe na madebe
kumbe iyo muvi ya msungo nimatokeo yakweli yamaisha ya msani wetu Lidai. aaaah pole sana.
kwenye muvizote napendaga sana msungo. pole bro Lidai
Pole sana brother Allah akufanyie wepes Inshaallah 🎉🎉🎉
Heee pole 🎣 Sanaa mpendwa wangu ndio njia yetu sote sisi niwa Allah na kwake tutarejea hakika
Allah akupe Subra na nguvu Kaka.Mm huwa napenda movie zako sana,zinanipa ushujaa maishani.👉 From Kenya
Mov zako zur sana na zinafundixha kwa kias kikubwa sana mungu akulinde sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hongera sana nabii mswahili.Umetisha.
Pole sana ndugu kupoteza wazazi wote wawili tena kwa siku moja hayo ni maumivu makubwa sana
Hatar xana
pole san ndugu yangu madebe
Pole sana ridai
Following from Beirut Lebanon ❤
Tunampenda sanaa Madebe💓💓🏪
Pole sana madebe lidai kwa kufiwa na wazizi wawili kwa siku m'moja
Namkubali Sana madebe lidai (nabii mswahili)
Pole madebe napenda kazi yako
Nakubali sana madebe
Peter pongezi❤
Oohoooo pole sana madebe
Safi sana madebe lidai plz turudishie shilingi series
Ongera sana Mr Madebe mimi nitaishi kama baba yako maana yaliyo mkuta baba yako Ni sawa kabisa na yangu
Pole Sana ndugu kwa kuapoteza wazazi wako wote wawili
Hewala shujaa. Nakutambua Sana KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole nabii mswahili kwa kufiwa na wazazi wako cku moja
Big up bro.naweza sema maisha uliyopitia Mungu huwenda alikupitisha huko ili uwe kma ulivyo.kwamaana usingepita huko, huwenda ucngekuw ulivyo.Hongera sana kka
Upo sawa mziwanda
Daaaah baba ang pole san
😢😢😢pole sana kaka madebe kwa kuwapoteza wazazi aisee
Mtangazaji unajua big up
Ongera sana madebe osmani lidai. wadau wako hawajuwi kabila lako ila mimi nawajibu ili nijuwe kuwa wewe ni mmwera wa lindi wilaya ya ruangwa kata ya mnacho nandagala. Mimi ni mdau namba 1 wa madebe lidai. naitwa issu bajaji wa mnarani mtwara. Big up Benjamin kizota chikongwe wa nandagala ruangwa
Huyu Dem anamaswal yametulia,,,,
pole Sanaa kwakupoteza wazazi ,pia ongera Sanaa kwakazi zako dhuri,
nautakapoitaji kuongeza mke wa4 iyo nafac naomba Mimi hili tuweze kutimiza amri yamaandiko,sitaki kuwa mke wa3 zingatiya ilo👆
Pole sana kaka madebe kwa msiba wa wazazi wako
MkemiaAaaaaaa,,,unaulizia maswali 10 Kwa wakati Hadi madebe anashindwa swali la kujibu ni lipi
Mungu akusidishie usima na ujasiri
Daah! Akika brother nakupa pole sn akika, kuzika wazazi wako kwa siku moj
Mungu akujalie uzima na afya madebe
Mashallah Mashallah Tunakupenda sana
Madebe emb Okoka, ndio k2 nlichokiona umekosa, Mpe Yesu Maisha
Jamaa anakuaga na maneno magumu Namkubal sana Madebe
Pia anatufundisha sana anatuelimisha sana kama tamthilia ya matusi ilikuwa poa sana
Mashallaah kk Allaah akuzidishie inshallaah
Hongera sana kwenye kazi zako
Hum pole sana wangu
Nakupenda Bure mimi uwiiiiiiiiii
Huyu mtangazaji yupo super
Hongera sana kwa mjengo.madebe
Masha Allah. Nafurahi kukusikia .
mtangazaji mashuhuri sana
Madebe Lidaiiii fundiiii
Oyeeeeee tupo hapa timu Lind😂😂😂
Mtangazaji uko powa sana 👏👏👏👏👏
Ludovick apa pande zasongwe Tanzania pamoja sana
Yani wewe dada nakupenda bure 💞💞😍😘
Nyumba sasa mnayoonyesha ju kuwa ndo yakwake! Hata kama angeuza movie miaka 100! Hawezi kuijenga! Mwacheni mauongo!
Mwenye mke mmoja ana matendo ya kikristo.
😆😆😆😆
No research, No right to speak
Maashallah!
Kama sio mtaalamu wa dini bora tu ukae kimya
pole sana bro
Mashallah
Pôle Sana dungu yangu madebe
Uko sahii hasa ukizungumzia maswala ya wanawake, ninge pata huongozi Tz ningefundisha wanandoa ili idumu ili wawezwe kudumisha ndoa zao na kulea watoto kwa haki za mzingi kwa baba na mama
Madebe napenda sana kutoukubali usasa kwa hapo nakuunga mkono mi mwenyewe usasa naona unatuharibu
Dar respect mwanangu lidai nakuku bari sana na pole sana
Love you Madebe muhenga
Hakika kubwa madebe
Terrific
Hongera madebe sana
Namkubali sn uyu kaka alafu wakwetu lindi
Muziwanda napenda sauti lako Nyoro kwangu
Pole Sana kuzika wazazi wote kwa siku moja
safi kabisa naskiliza bengo tv
Namkubal brother yani anajua sna
K mziwanda unajuwa sn mwanamke mwenzangu ❤️
Timu yataifa ya Tanzania benini
Mtangazaji huna ishu hujui kazi yako.
Tuonyeshe ww ulipomuoji mtu Kisha ukafanya vizuri avyooooooo
Wivu mbaya
Makame ali Mussa mbona ulimsikiliza sasa
Pole sana jembe kuna stor makin inakufaa sana
Masha Allah
Hongela sana
uyo madebe alivyo tulia hapo kama sio yeye alie kua ana mtesa chanuo😮
Nakukubari sana madebe
Madebe Always on top
Ila nyinyi watangazaji mpo wa shenzi sn kweli. Mbona atujahona nyumba ya madebe afu mnaandika kwamba mahisha alisi ya madebe na maali anapo hishi
Nakubal broo
Pole Sana ndugu yangu madebe
Nakuelewa sana mdg wangu Madebe Lidai
Nabii mswahil
Upo juu sana
hongeera sana nabii mswahili
Kwa maelezo hayo nimeona kumbe movie ya nabii mswahili inahusu maisha yako halis
Uyu jamaa ni jembe🔥🔥🔥🔥namkubali
Nakubali sana kazi zako madebe
Hawa bdo ilikuwa wanapendana bdo ila mungu kawapenda zaidi
Pole cnà
Hongera
Hv hayo magar na majumba mnayoeditig na kuweka mnadhan ni matako???
NAKUPENDA WW DADA K MZIWANDA NUNATANGAZA VZR
Muvi za madebe km mawaiza ya nyundo matusi matupu madebe skuizi unamatusi sana