Kifungo cha Manara Kuisha ni Ngumu | Vita ya Karia na Manara Yafikia Pabaya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Kifungo cha Manara Kuisha ni Ngumu | Vita ya Karia na Manara Yafikia Pabaya

КОМЕНТАРІ • 485

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 9 місяців тому +13

    😂😂😂 bongo wivu Sana et alifungiwa miaka 7 ila bongo Rahaa Sana ila karia una roho mbya Sana tena ya chuki za wazi😂😂 lkn tutaishi tu

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 9 місяців тому +13

    Fungien miaka Mia bt hamwez fungia liziki yake

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 9 місяців тому +12

    Kwaiyo mtu mwenye mchango hatakiwi kuadhibiwa

  • @user-fe2zi9py1j
    @user-fe2zi9py1j 9 місяців тому +5

    Haji haelewekiiiiiiiiiii full.

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 9 місяців тому +6

    Mo nimemuelewa vizuri karia hujamaa kichwa sana asee

  • @edwinrwabinyas7335
    @edwinrwabinyas7335 9 місяців тому +7

    Ili jamaa ni linafiki sana, Mzee icho ni cheo tu, kumbuka kuna maisha baada cheo hicho

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 9 місяців тому

      Wewe tulia unadhani Karia anaamua yeye peke yake.

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 9 місяців тому

      Taratibu lazima zifuatwe Haji bado hajaanza kutumikia adhabu.

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 9 місяців тому +7

    Chuki za karia ni mbaya sana maana uyo kwa kuwa ni Simba na kupigwa kwenye timu yake ya mang

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 9 місяців тому +4

    Huyu awe voted out!

  • @MohamedKongoroka
    @MohamedKongoroka 3 місяці тому +1

    Karia we ni mnafiki tu na unachuki na manara acha roho mbaya kwa kiuwezo wa kipesa humfikiii embu acha ubaya na manara Mungu atakuhumu vby sana we subiri tu

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 місяці тому

      Kweli kabisa lina roho mbaya sanaa hilo jamaaaa. au lina asili ya Somalia nini.

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Місяць тому

    😂😂😂 Tena msimfungulue jeuli sana Bado anaongea tu Wala hajafungiwa huyo

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 9 місяців тому +11

    safisana shabiki Wetu karia,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤, muongezi miaka mingine

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 9 місяців тому

      Laana itaendelea kuwasaga mtafukuzana hadi mashabiki,🤣🤣🤣🤣🤣

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 9 місяців тому

      Laana itaendelea kuwasaga mtafukuzana hadi mashabiki,🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ahz6907
      @ahz6907 9 місяців тому

      Apigwe mitano tena😂

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 9 місяців тому +2

    Haji ni zee la kukera na ni kama maji usipokunywa utaoga😂😂😂😂

  • @ThomasJulius-rj8rq
    @ThomasJulius-rj8rq 3 місяці тому

    Fara wew karia

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 9 місяців тому +7

    Niambie profesa aliyefanya makubwa kwenye Nchi hii na yumo ndani Kwa kifungo!
    Na usimtaje Mungu Karia wewe ni mnafiki tu! Na Mungu atakunyoosha sana na timu lako bovu.

    • @mbwizax87
      @mbwizax87 9 місяців тому

      Lipumba kashafungwa sana, was always in and out of prison

    • @DM_15
      @DM_15 9 місяців тому

      Watu wana muoneahuruma manaratuu lkni yulekiroporopo mbona akina maiko wambura, kitumbo, rais aliemtangulia karia nawengine wengi akiwemo kiongozi wayanga manji na imani Madagascar wakowapi sasa why manara kwani ni mungu wampira watz. Itabidi tusime albadiri sasa ili huyo manara afe ksbisa , kwasababu yeye ndio chsnzo chahuu ushabiki wakutamkiana maneno yqhovyo . Zamani hatukuwa nautani wakuitana makoro sijui gongowazi utopolo. Yeye ndootqtizo kutoleanalugha zahovyo

    • @contempo_builders
      @contempo_builders 9 місяців тому

      ​@@mbwizax87 Kafanya nini kwenye nchi?

  • @cracemwenda
    @cracemwenda Місяць тому

    Ww kalia unaroho mbaya haijifichi ila tambua Dunia ni duara

  • @user-sm3zb3ee1t
    @user-sm3zb3ee1t 9 місяців тому +2

    He couldn’t hide it anymore
    The hate he showed kama vile hatakufa yani

  • @khadijahussein5298
    @khadijahussein5298 9 місяців тому +1

    Safi sana karia👍

  • @ttss7716
    @ttss7716 9 місяців тому +4

    Sasa asishabikie yanga una roho mbaya😢

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 9 місяців тому

      Hata nashangaa ana chuki binafsi tu

  • @eliyamichael7310
    @eliyamichael7310 9 місяців тому +1

    Hili jinga sana

  • @joycekaishozi1177
    @joycekaishozi1177 9 місяців тому +4

    "hata nilipomfungia pia dk 0:12"😂😅

  • @RithaaDotto-xg9sr
    @RithaaDotto-xg9sr 9 місяців тому +4

    Chukii binafsi hizo bnaa!! Rais! Karia

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 9 місяців тому +12

    huyu jamaa tatizo anashindwa kuficha chuki zake akiulizwa kuhusu haji

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 9 місяців тому

      Jamal Malinzi nae alikuwa anachuki na Haji ?? alimfungia miaka 7 nae vile vile alikuwa anachuki ?? acheni ushabiki wenu wa kisenge km mnawatetea waliofungiwa wateteeni wote Kitumbo,wambura,shaffih dauda n.k siyo mnaleta vicoment vyenu vya kichoko choko apa

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 9 місяців тому

      Watanzania hizi issue zenu za kupindisha sheria kutokana na umaarufu wa mtu ndio maana hamuendelei tuwe straight.Karia anauliza swali nzuri why Haji kwann wasiwe hao wengine wanahabari mnacheka kwa dharau mnashindwa kujenga hoja.wanahabari ndo mnaharibu sana soka letu.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 місяці тому

      Choko sanaa huyuu

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 місяці тому

      Lina chuki sanaa hilo chuki

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 9 місяців тому +2

    Doh, tatizo la karia ana hasira sana, ukimuhoji ni mwepesi kupanic...kiongozi hapaswi kuwa hivyo....Kwani mtu akifungiwa usemaji hawezi kuwa mshabiki au kutoa maoni mitandaoni kama mshabiki..!

  • @dennissix8732
    @dennissix8732 9 місяців тому +11

    Nukuu kauli,
    "Hata nilivyomfungia"
    Ina maana TFF sio taasisi tena na hata hayo maamuzi ya kamati ya nidhamu ni maelekezo toka kwa Karia..

  • @AgustinoJoseph-jq7or
    @AgustinoJoseph-jq7or 9 місяців тому

    Unarohoo mbayaa kmaa sura yakoo

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 9 місяців тому +18

    Huyu anajiona Mungu mtu

    • @shadyahamad3724
      @shadyahamad3724 9 місяців тому +2

      Hakuna lisilo na mwisho walokuepo wangapi na leo wako wapi ha hilo litapita

    • @SalimAbdallah-tg1yo
      @SalimAbdallah-tg1yo 9 місяців тому

      Nikulize swali tu karia anaingia madarakan akakuta haji kafungiwa miaka 7 akawambia kamati huyu haji anarufaa yake mbona amuiskilizi kuskizwa haji katoka baada ya hapo kasahau ubinadamu enda mfokea rais wa tff mbele ya adhara mbele ya waheshimiwa wabunge wakuu wa mikoa nk bado mwasema kaonewa na upande wa kutumikia adhabu kweli haji hatumikii adhabu mpaka leo anajiusisha na yanga hakuna mtu asojua kwaio akitaka adhabu ishe akalipe faini anze kutumikia adhabu

    • @sonicaghendewa9886
      @sonicaghendewa9886 9 місяців тому

      ,lijinga

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 9 місяців тому

      Miaka 2 ndo ishakwisha...tafuta jingine rahisi😂😂😂

    • @SalimAbdallah-tg1yo
      @SalimAbdallah-tg1yo 9 місяців тому

      @@mamboshepea8888 hujamuelewa rais haji hajatumikia hukumu yake bado

  • @yustochitema-iq8zo
    @yustochitema-iq8zo 9 місяців тому

    Pole sana ndugu yangu Haji Manara...kwa hiki kinachoonekana hapa na maelezo ya Rais wa tff endelea tu na majukumu mengine riziki popote bro.

  • @albertmullah2377
    @albertmullah2377 9 місяців тому +1

    Mumfundishe kazi huyo dada, hajielewi

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 9 місяців тому

    Hili zee bwege sana

  • @benayasamson1270
    @benayasamson1270 9 місяців тому +13

    Haji mtu wa watu wew ngoj tyu utoke kweny hicho kiti

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Місяць тому

    Ww kalia nakuita mala3: unacho kifanya Siyo mpaka Kwa mungu akimpendezi" Afu kwanza we kalia wajikuta nani kabisa ww

  • @user-pi9kp7mj1m
    @user-pi9kp7mj1m 9 місяців тому +13

    Karia mnafiki sana

  • @user-wi5wj2yh5m
    @user-wi5wj2yh5m 8 місяців тому

    Huyu nikiongozi asie jua mpira na mungu ata mhukumu anawafungia sana watu kujihusisha na mpira kama eye ndie aliye wafanya waupende mpira mungu anakuona

  • @Swaumu-b2m
    @Swaumu-b2m 2 місяці тому

    Mbwa uyo rais

  • @faisaloaljabry6400
    @faisaloaljabry6400 9 місяців тому +1

    Kazi nzuri zipi? Matusi !!

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 9 місяців тому +6

    Safi kalia Nidhamu iwepo

  • @samweljoseph1454
    @samweljoseph1454 9 місяців тому +2

    Mnamuona haji anahaki sio

  • @nashonmwinuka1758
    @nashonmwinuka1758 9 місяців тому +2

    Watu wanaroho mbaya sana

  • @FATUMABACARCADANGE
    @FATUMABACARCADANGE Місяць тому

    kwaiyo.unamfungulia au umfungulii acha kujikombakomba ww kenge

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 9 місяців тому +10

    Ata ukimskikiza unaona anachuki pinafsi mpaka mtangazaji amekuelewa kuwa haj unasema hana akili ila mwenye kujisifia huwa kila siku ndo mjinga. Na hayo yote subiri mtayapata akisha toka madarakani kwa sababu hao hao wasaidizi wake anataja ndo wat1tupa ukweli.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 9 місяців тому +1

      Sanaaaa anachuki sana mpumbavu huyu

  • @user-fh7gu7eb2d
    @user-fh7gu7eb2d 2 місяці тому

    huna dini ungemsamehe mungu anakuona,na una mkono mtahukumiwa kwa mungu ,unamtaja mungu unachuki na watu huna pepo hapo

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 9 місяців тому +4

    Huyu dada anaongea kitu hjuh

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 2 місяці тому

    Ukweli mtupu haji ni choko sana..wandishi nae wanafki sana

  • @Heismasai
    @Heismasai 9 місяців тому +3

    Huyu Dada ajielewi!!

    • @kingungeii6520
      @kingungeii6520 9 місяців тому +1

      Sijamfurahia kabisa hajielewi kabisa kakosa kujua mipaka ya kazi yake, yeye anatetea kitu asicho kijua hapo kaniacha hoi

    • @Heismasai
      @Heismasai 9 місяців тому

      Miyemko ya kike inamtesa 😅😅

    • @chosen1.
      @chosen1. 9 місяців тому

      We huoni Raisi ana matatizo ya ki akili?

    • @kingungeii6520
      @kingungeii6520 9 місяців тому

      ​@@chosen1.Tusaidie kujua dalili alizo onesha kuwa ana matatizo ya akili, kumbuka Manara hajawaji hata siku moja kuwa mtiifu kwenye mamlaka yoyote. Rejea ugomvi wake na EX-CEO wa Simba Sports Club

  • @waziriwaziri115
    @waziriwaziri115 3 місяці тому

    Huyo dada anakela sana yeye anasema hajui Nini Sasa unauliuliza kaa kimya

  • @khadijahussein5298
    @khadijahussein5298 9 місяців тому

    Kweni uyo mtu anamaajabu gn mpaka mnang ang ania mchezaji au kocha😂😂😂

  • @ahmadally5554
    @ahmadally5554 Місяць тому

    Hawa yanga niwajinga sana mbona hawa wengine walio fungiwa hawawatetei kwan uyo manara ninani katika inchihii

  • @erastocyprian3555
    @erastocyprian3555 9 місяців тому

    Huyo ana visasi vya kisomari,

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 9 місяців тому +1

    Acha ushabiki ww mdada kuna taratibu na sheria ikishakuwa taratibu kuna miongozo acha mazoea ya kishabiki

  • @SaidSalim-bg1hh
    @SaidSalim-bg1hh 9 місяців тому

    Ww pia humuogop ww mnafiki tu kwenye socere let

  • @AgustinoJoseph-jq7or
    @AgustinoJoseph-jq7or 9 місяців тому

    Kariaa unarohoo mbayaa ww

  • @drmohammed-di4nt
    @drmohammed-di4nt 9 місяців тому

    Acha roho mbaya

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 9 місяців тому

    Safi kaliaa umepigajee hapooo

  • @immortaljoe
    @immortaljoe 9 місяців тому +9

    Hana lolote huyo kaamua kumkalisha kimya manara tuu maana hakupenda atoke simba 😂😂😂

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 9 місяців тому +1

    Kalia mjinga ti

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 9 місяців тому +2

    Huyu mzee anaonekana anaroho mbaya sanaaa

  • @oyay2821
    @oyay2821 9 місяців тому +1

    Haji hawamuwezi, sasa ndio ana nawiri zaidi.

  • @RichardMbise-gs9kx
    @RichardMbise-gs9kx 9 місяців тому

    Afungiwe kabsa

  • @chaotalent_tz
    @chaotalent_tz 9 місяців тому

    Uyu ni ovyoo

  • @user-od5mj4rw7n
    @user-od5mj4rw7n 9 місяців тому +2

    Raisi wa TFF wakati hata hujui kupiga danadana toka waachie kazi watu wa mpira

  • @user-xn1en3jo1m
    @user-xn1en3jo1m 9 місяців тому

    We mama embu kausha kama haujui chochote et me naogpa kusema chochote why unaulza maswali 😂😂😂

  • @SoudiAsila
    @SoudiAsila 3 місяці тому

    Roho Mbaya t ww km Mwazo ulisem ww ndio ulienda muombea mbon hili umeshundw ww una kiroho na manara

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 9 місяців тому

    Roho mbaya

  • @MeldaAlfred
    @MeldaAlfred Місяць тому

    Anna to mbaya

  • @JamiliJuma
    @JamiliJuma 2 місяці тому

    Bado hata hapo bado ww unaonyeshaubabe hata kwa waandishi

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 7 місяців тому

    Chuki ipo wazi kabisa dhidi ya Haji...

  • @nasramohd9924
    @nasramohd9924 9 місяців тому +4

    Ipo siku utajibu hoja kw mungu kama aliomba razi kw nini mshindwe kumsamehe wew unajifanya mungu mtu ila kuna kifo shehe wangu tubu zambi zako kazi nisehem ya mtihni uo ni mtihn kwko

    • @gabrielsanga5313
      @gabrielsanga5313 9 місяців тому +1

      ukifanya kosa mahakama ikiamua kukufunga maisha unataka kusema ukiomba msamaha inakuacchia huru?

    • @user-wg9jy7xq6z
      @user-wg9jy7xq6z 9 місяців тому

      Uyo hajui mcheza picha chafu wa nn

    • @raymondshuma7421
      @raymondshuma7421 9 місяців тому +1

      Mh kwel elimu muhimu, ukiomba msamaha kutokan na kosa kisheria ndo unaachwa huru duh 🙌🙌🙌

  • @emillwakatare7192
    @emillwakatare7192 9 місяців тому +4

    Mavazi tu ya raisi napata majibu.. #freehajimanara#kwataifalijalo

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Місяць тому

    Wewe Kama nibinadamu na unautu kwanini usimsamee kwani kumfungia unarahagani

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 Місяць тому

    Ila manara bingwa mpaka sasa

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 9 місяців тому +1

    Manara alikuwa anamkera sana Karia kwa kuisema Simba na Coastal Union. Hawezi akamfungulia kabisa ni zaidi ya Adui

  • @maendeleoleo2594
    @maendeleoleo2594 9 місяців тому

    Wambura kafungiws maisha katulia kwanini Haji manara😅😅

  • @fotunatusiMsongole
    @fotunatusiMsongole 3 місяці тому

    Mwanasimba huyuu,

  • @eisryhamad5662
    @eisryhamad5662 9 місяців тому

    Huyo dada mtangazaji hata hajielewi maskini, hajui anauliza kitu gani...

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 9 місяців тому

    Kulalamika ndo nn umetumwa na haji.unatetea haji haji.umepewa mfano wengine wamefungiwa maisha lakin bado uelewi

  • @masoudmtonda5291
    @masoudmtonda5291 9 місяців тому +1

    Zile media zilizoendelea huwa zinaweka waandishi mahususi kwenye mahojiano mahususi kama haya. Huyu ni rais shirikisho letu inakuaje mnamuweka mwandishi ambae hajui hata sheria za mpira au TFF?
    Hata kama mnataka kufanya utetezi kwa mtu fulani sio sawa hata kidogo kuleta mabishano kama mko kijiweni bana.
    Ndio karia anawezakuwa anakosea ila kwa namna mahojiano mlivyoyafanya hakika mmeniangusha sana.
    Yawezakuwa mnatumika ila tumikeni kwa kutumia maarifa. Clouds nikubwa sana msifanye tuamini mmefika mwisho wa ubunifu

  • @user-br7dv8xn5c
    @user-br7dv8xn5c Місяць тому

    Kwakuwa wewe ndiyo mwenyekiti ugomfi ni wako na yeye haki basi msamehe

  • @victorphilipo
    @victorphilipo Місяць тому

    Acha roho mbaya ungekuwa wewe uwe unajiuliza kwa Nini usijibu acha ushamba haji yuko juuu kuliko wewe huna rorote

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo Місяць тому

    uyu mzee ni bunju yani anaushabiki tena wazi kabisa

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 9 місяців тому +3

    U as a Muslim u have to forgive,,cheo ni Cha mda tu,,acha chuki binafsi na watu wa mpira

  • @Boaz22
    @Boaz22 9 місяців тому

    Karia anaroho mbaya sana

  • @nicksonkinyaga3638
    @nicksonkinyaga3638 9 місяців тому +1

    kària hii nchii sio yako kumbuka hilooo

  • @ramadhanbigirimana2617
    @ramadhanbigirimana2617 9 місяців тому

    Huyo Karia anaroho mbaya, mumchunguze labda sio mtanzania halisi labda nimugeni roho mbaya sana nachuki kwa Manara

  • @evancemwanasenga8200
    @evancemwanasenga8200 9 місяців тому

    Haya nilipomfungia

  • @georgewarioba9769
    @georgewarioba9769 9 місяців тому +13

    Huyu hakuna anachokifanya katika mpira wetu na anachokiangalia ni uchaguzi ujao na kupiga pesa! Na kwa majibu hayo anaonekana ana chuki binafsi huyo.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 9 місяців тому

      Agombei Tena katiba ya tff hairusu labda abadilishe katiba

    • @festovenas502
      @festovenas502 9 місяців тому

      Kwan manara kaadhir nini kwenye mpila kisa kukaa kimya

    • @cadiaonesmo9660
      @cadiaonesmo9660 9 місяців тому

      Fanya wewe

  • @Marjeby
    @Marjeby 9 місяців тому +4

    Haji ana matatizo ya akili tangu kazaliwa mie namjua tumezaliwa mtaa mmoja na amenizidi miaka mnne tu almost makuzi yetu tumekuwa pamoja Haji hayupo sawa atawasumbua sana

    • @jumakibasame3210
      @jumakibasame3210 9 місяців тому +1

      Wewe pia huna akili toka tumboni Kwa mamako

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 9 місяців тому +1

      ​@@jumakibasame3210Umemaliza kbs pumbavu boya uyo yeye anajiona yuko sawa sio?

    • @user-fe8gq8dy1g
      @user-fe8gq8dy1g 9 місяців тому +1

      Ulimpima hospital ukathibitisha kuwa ana matatizo ya afya ya akili au unaropoka tu?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 місяців тому +1

      BASI NGOJEENI AVUWE NGUO NDIO MTAJUWA KUWA NI CHIZI FRESH 😂😂😂😂😂😂

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 9 місяців тому +1

      @@user-fe8gq8dy1g Boya tu uyo achana nae hajielewi hakuna aliemzima katika ulimwengu huu

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 9 місяців тому +3

    Karia kichwa kibovu

  • @mussamohd4414
    @mussamohd4414 Місяць тому

    Huyu jamaa anyonesha wazi kama anachuki na haji hafai kuwaraisi lbdaraisi wakuku

  • @waziriwaziri115
    @waziriwaziri115 3 місяці тому

    Hukumu ya haji haijaanza kabisa siku yoyote akinyamaza ndiyo inaanza kutumika miaka miwili

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 9 місяців тому

    Una roho mbaya saana we jamaa

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 9 місяців тому +1

    Huyu anachuki na Haji si kweli kabisa

  • @JumaMawazo-fh7vo
    @JumaMawazo-fh7vo 3 місяці тому

    uyu mjinga yani waandishi wote team manara alaf bdo anashkilia wkt yeye ndo chiz

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 3 місяці тому

    Viongozi wa serikali wanamjuwa huyo wanasubili kipindi cha uchaguzi ndio bay bay huyo msomali hatumtaki anachuki za sio za kitanzania wenyewe tunasameheana

  • @MultiKelvin1994
    @MultiKelvin1994 9 місяців тому

    Ulimsaidia alivyokuwa kolo mwenzio... Kahamia kwa mabingwa umeonesha rangi zako za kweli.... 😂😂😂

  • @abisaimwakalukwa7959
    @abisaimwakalukwa7959 9 місяців тому

    Karia acha unafki ulishawai onja jera ww ni mshabiki wa Simba unachuki na haji ww unaniogopa mungu ww ulaisi ni wa muda tu utabaki kenge tu.

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 9 місяців тому +6

    kamati hiyo ilikuwa yakipuuzi sana,,kwamaana tuliona wote mkitoleana maneno,na ata kutaka kupigana,sasa iweje akaliwe kikao mtu mmoja,,ata ww ulikosa heshima na adabu kama raisi huwezi taka pigana na mtu unae muongoza,,nawe ulipaswa uadabishwe na kamati ya maadili,ikiwa ni pamoja na kuachia kiti cha uraisi wa TFF

    • @bonifacemwakifwamba1760
      @bonifacemwakifwamba1760 9 місяців тому +1

      Mpumbavu huyu Hana akili na Na rais mama Samia haoni uonevu huu ,,,msomali mmoja kakimbia vita kwao anakuja kinyanyasa watanzani kwenye ardhi Yao huu niupuuzi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 місяців тому +1

      ​@@bonifacemwakifwamba1760HATA MJALUWO OBAMA AMERICA SIO KWAO NA KAWA RAISI WACHA UKABILA NA UBAGUZI WASOMALI NI WA AFRICA WENZETU WEWE.

    • @michaeljohn9070
      @michaeljohn9070 9 місяців тому

      @@bonifacemwakifwamba1760 ndomana ni mbinafsi sanaa,,hana asili ya kwetu kumbe

  • @GasperKitomary
    @GasperKitomary 2 місяці тому

    Wewe karia ACHA uchonga utakufa Aya ni maisha

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 9 місяців тому

    kwani huyu anamaliza lini muda wake

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 9 місяців тому

    Jamaa ana roho mbaya kama ngozi ya Futi
    Kama anapewa Uraisi wa Nchi
    Wapinzani wote ndani.
    Maana hakuna mtu anasemwa vibaya kama Raisi wa nchi.
    Siku azigandi atakuja kujua baadae thulma haidumu.

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Місяць тому

    Ipo siku Atakuwa huru riziki ya mtu ipo kwa mungu kalia itakuwa ni shetan bas tufungie wote ngoja yukufanye ndondocha ndo utajua tekuchoka tutakuachia simba yako