@@disanatv4485 Eeh buana ... hakuna taifa ambalo watu wasilipe kodi. tuko huku nje kuna makodi nusu ya mshahara unao upokea ni kulipa bills tofauti tofauti na bado tunakomaa 😅😅
Sasa kama hilo soko hadi hapo lilipofikia imetumika bilioni 28 tu,, Afu ndo mwijaku anasema nyumba yake imekula bilioni 1.1 kumbe mwijaku muongo sana anataka sifa kwenye hamna😂😂😂😂
Hapana, serikali Huwa inatumia pesa nyingi sana KUJENGA, yani unaweza Jenga msingi Kwa mifuko 20 ya cement ila serikali inatumia mifuko 60 mpka 100 Kwa msingi, utofauti ni huo
Mh akifanya vzr basi huongwana ni kumpongeza sio kutafuta mabaya na kufanya fimbo ya kumchapia, kwa mara ya kwanza wa tz wanashuhudia muonekano mpya wa soko la kariakoo tokea Enzi kupata uhuru chini ya uongozi wa baba wa taifa.
Serikali inajitahidi Sana kujenga miundombinu Bora, 👏👏👏👏👏 Tatizo ni uchafu, na matengenezo. Sasa ona hilo soko linavyong'aa ngoja wakianza kulitumia litakavyokuwa.
HONGERA SANA KWA KAZI NZURI.OMBI KWA MKUU WA MKOA MIMI NAITWA AGNES ALFONCE NI MMAMA MLEMAVU LAKINI NINAUTAALAM KIDOGO WA AFYA.NAOMBA NAFASI YA FREM NA MKOPO KIDOGO KUFUNGUA DUKA LA DAWA BARIDI.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA MAMA SAMIA
Mwongooo sana wee mtangazaji.walikuwa hawalipi kodi ya aina yeyote,wacha kudanganya,na mpaka leo hii hawalipi hata sh.moja ya kodi za serikali,mwongoooo sanaa
Tuwe wangwana tu, Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
TANZANIA yetu na maendeleo ❤❤❤ amani na pendo ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nakupenda Tanzania yangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah...Allah ni mwema mno kwetu
Afu kuna mjinga mmoja huko anasema tuandamane 😂😂😂 kweli wale wenzetu njaa ile tusiharibu nchi yetu
Amina 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰
Kumbe umeona sisi Na Tanzania yetu, Amani TU NA MUNGU WETU.😂😂😂
@@disanatv4485 Eeh buana ... hakuna taifa ambalo watu wasilipe kodi. tuko huku nje kuna makodi nusu ya mshahara unao upokea ni kulipa bills tofauti tofauti na bado tunakomaa 😅😅
WENYEWE wananikeraga sana😢😢😢😢
kweli kabisa tulinde amani ya anchi🇹🇿yetu
Tumpe mauwa yake Rais wetu, Samia. Kazi nzuri sana
Sasa kama hilo soko hadi hapo lilipofikia imetumika bilioni 28 tu,, Afu ndo mwijaku anasema nyumba yake imekula bilioni 1.1 kumbe mwijaku muongo sana anataka sifa kwenye hamna😂😂😂😂
Hapana, serikali Huwa inatumia pesa nyingi sana KUJENGA, yani unaweza Jenga msingi Kwa mifuko 20 ya cement ila serikali inatumia mifuko 60 mpka 100 Kwa msingi, utofauti ni huo
Kikubwa tuitunze AMANI ya 🇹🇿
🥇mama maua yakwako izi ndizo habar watanzania tulizoea sikia
Mashaallah tabarak
Love it
Ewala hapo safi Sama.. hilo ndo soko sasa,na benki zipo..tanzania yetu inawakawaka sasa,international levels
Mama mm nakuunga mkono sana kwa maendeleo unayotuletea, Tunakushuru sana
Kumbe mama haja lala🤝
Mh akifanya vzr basi huongwana ni kumpongeza sio kutafuta mabaya na kufanya fimbo ya kumchapia, kwa mara ya kwanza wa tz wanashuhudia muonekano mpya wa soko la kariakoo tokea Enzi kupata uhuru chini ya uongozi wa baba wa taifa.
Asante sana rais Samia
Tanzania ni yamaendeleo
Mama samia tano tena🎉🎉
Namkubali mama samiah suluhu Hassan, muonyeshe Raisi wetu tapeli Ruto awache uwongo na uwizi namna yakuongoza nchi
Serikali inajitahidi Sana kujenga miundombinu Bora, 👏👏👏👏👏
Tatizo ni uchafu, na matengenezo. Sasa ona hilo soko linavyong'aa ngoja wakianza kulitumia litakavyokuwa.
Safi sana❤🎉
Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😂😂😂😂 alie. Sikia ukikanyaga nyoka ukionajani unkimbia nyoosha kidole juuu
I am appreciate
Amazing 😍😍😍
Mama samia woyeeeeee
Ongera mama tupige kwa vitendo ivo wala usionge sana🙌🙌
KIMYA KIMYAAA TUNASONGA NA MAMA..
Love it... tzzz we are proud of you mama Samia
Jengo nzuri ira sie watanzania soko tutalichafuliwa tatizo mazingira choo hakitamani
Well
Upatikanaji wa chumba sas
Best job,ila sasa mteja kupanda mpka juu 😢
Ufisadi kwenye ugawaji wa ivo visehemu vya biashara angalieni sana hata soko la stend ya JPM
Naweza kupotea hapo sio kwa uzuri huo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Bora ww mi ntapotea mazima😂😂
Lilipo Waka tu moto, nilijua tu kuwa Watakuwa na mpango kulijenga upya au kukalabati.ila kuwatoa hivihivi isingewezekana,
Kazi nzuri ya Samia hii
Mtaa wa kongo unaingiza kila siku kodi Milioni kumi na moja na hapo zinginezimeingia mifukoni na hapo kadi itazidi
Jamani tuzingatie sasa Usafi jengo hilo zuri ila tukishindwa kuwa wastara u tutaliharibu.
hili lilichomwa makususdi ili likarabatiwe maana tofauti na hivyo ingekuwa ngum sana
HONGERA SANA KWA KAZI NZURI.OMBI KWA MKUU WA MKOA MIMI NAITWA AGNES ALFONCE NI MMAMA MLEMAVU LAKINI NINAUTAALAM KIDOGO WA AFYA.NAOMBA NAFASI YA FREM NA MKOPO KIDOGO KUFUNGUA DUKA LA DAWA BARIDI.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA MAMA SAMIA
Wawe wasafi basi wafnya biashara....maana pamejengwa vizur Sana ila usafi muhim
🎉🎉🎉🎉
Lini linafunguliwa
Lipo Zuri sana, tumepiga hatua kitaifa kwakweli
Sasa mbona hamjalionesha lote
Wekeni escalator acheni uswahili
Hapo kwenye gorofa 8 umetupiga
,👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Walinda legacy wana hasiraaaa!
Mwongooo sana wee mtangazaji.walikuwa hawalipi kodi ya aina yeyote,wacha kudanganya,na mpaka leo hii hawalipi hata sh.moja ya kodi za serikali,mwongoooo sanaa
Wewe unalipa sh. Ngapi?
@@omarybakunda2554 nalipa kodi zote za serekali ,labda nawewe mi mwizi wa kulipa kodi ndo maana imekuwasha
Usafi sasa
Hili na kwerekwe lipi kubwa
Mngewaambia tu wafanyabiashara kama mnataka kulirekebisha soko sio kwa kuwachomea moto bidhaa zao
Acha roho mbaya
Huko juu kuko wazi wale wenye kujirusha kwenye magorofa sitakuwa rahisi kwao😢
😂😂😂😂wamerahsishiwa
Acha wajirushe
walichoma ili wajenge
Lkn kodo zetu ndo zimejenga sio serikari
Acha kukaza fuvu, hujui kama serkali ikiwa mbaya unaweza ukalipa Kodi na serkali hiyo isijenge. Kwa hiyo shukuru serkali
Ulichangia shingapi wewe binafsi?
Litakua soko la mabos tupu
Lakini kwa idadi ya vizimba na namna kariakoo inavyoendeshwa na biashara, huoni watafaidika wauzaji?