MUONEKANO MPYA SOKO LA KARIAKOO, LINA MADUKA, MGAHAWA, MABENKI NA MIFUMO YA KUZIMA MOTO “UJENZI 93%”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 78

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 2 дні тому +23

    Tuwe wangwana tu, Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @Shadia544
    @Shadia544 2 дні тому +10

    TANZANIA yetu na maendeleo ❤❤❤ amani na pendo ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @MasoudUmeme
    @MasoudUmeme 2 дні тому +7

    Nakupenda Tanzania yangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 дні тому +7

    Mashaallah...Allah ni mwema mno kwetu

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 2 дні тому +18

    Afu kuna mjinga mmoja huko anasema tuandamane 😂😂😂 kweli wale wenzetu njaa ile tusiharibu nchi yetu

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 2 дні тому +3

      Amina 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰

    • @disanatv4485
      @disanatv4485 2 дні тому +5

      Kumbe umeona sisi Na Tanzania yetu, Amani TU NA MUNGU WETU.😂😂😂

    • @TrinaRoman345
      @TrinaRoman345 2 дні тому +4

      @@disanatv4485 Eeh buana ... hakuna taifa ambalo watu wasilipe kodi. tuko huku nje kuna makodi nusu ya mshahara unao upokea ni kulipa bills tofauti tofauti na bado tunakomaa 😅😅

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 2 дні тому +4

      WENYEWE wananikeraga sana😢😢😢😢

    • @zomasamweli
      @zomasamweli 2 дні тому +3

      kweli kabisa tulinde amani ya anchi🇹🇿yetu

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 2 дні тому +8

    Tumpe mauwa yake Rais wetu, Samia. Kazi nzuri sana

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 2 дні тому +9

    Sasa kama hilo soko hadi hapo lilipofikia imetumika bilioni 28 tu,, Afu ndo mwijaku anasema nyumba yake imekula bilioni 1.1 kumbe mwijaku muongo sana anataka sifa kwenye hamna😂😂😂😂

    • @Dipeson700
      @Dipeson700 День тому

      Hapana, serikali Huwa inatumia pesa nyingi sana KUJENGA, yani unaweza Jenga msingi Kwa mifuko 20 ya cement ila serikali inatumia mifuko 60 mpka 100 Kwa msingi, utofauti ni huo

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 2 дні тому +6

    Kikubwa tuitunze AMANI ya 🇹🇿

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 2 дні тому +3

    🥇mama maua yakwako izi ndizo habar watanzania tulizoea sikia

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 дні тому +3

    Mashaallah tabarak

  • @UhaiLegeza
    @UhaiLegeza 3 дні тому +6

    Love it

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly День тому

    Ewala hapo safi Sama.. hilo ndo soko sasa,na benki zipo..tanzania yetu inawakawaka sasa,international levels

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 2 дні тому +2

    Mama mm nakuunga mkono sana kwa maendeleo unayotuletea, Tunakushuru sana

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs 2 дні тому +4

    Kumbe mama haja lala🤝

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 2 дні тому +4

    Mh akifanya vzr basi huongwana ni kumpongeza sio kutafuta mabaya na kufanya fimbo ya kumchapia, kwa mara ya kwanza wa tz wanashuhudia muonekano mpya wa soko la kariakoo tokea Enzi kupata uhuru chini ya uongozi wa baba wa taifa.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 дні тому +5

    Asante sana rais Samia

  • @HashimMbamba
    @HashimMbamba 3 дні тому +6

    Tanzania ni yamaendeleo

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 3 дні тому +4

    Mama samia tano tena🎉🎉

  • @user-vn9yi3dj4q
    @user-vn9yi3dj4q День тому +1

    Namkubali mama samiah suluhu Hassan, muonyeshe Raisi wetu tapeli Ruto awache uwongo na uwizi namna yakuongoza nchi

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 22 години тому

    Serikali inajitahidi Sana kujenga miundombinu Bora, 👏👏👏👏👏
    Tatizo ni uchafu, na matengenezo. Sasa ona hilo soko linavyong'aa ngoja wakianza kulitumia litakavyokuwa.

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 2 дні тому +2

    Safi sana❤🎉

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 2 дні тому +4

    Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-rx9ij5xi1e
    @user-rx9ij5xi1e 2 дні тому +2

    😂😂😂😂 alie. Sikia ukikanyaga nyoka ukionajani unkimbia nyoosha kidole juuu

  • @UhaiLegeza
    @UhaiLegeza 3 дні тому +3

    I am appreciate

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 2 дні тому +2

    Amazing 😍😍😍

  • @ZainaBu-zs6wc
    @ZainaBu-zs6wc 2 дні тому +2

    Mama samia woyeeeeee

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 2 дні тому

    Ongera mama tupige kwa vitendo ivo wala usionge sana🙌🙌

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 дні тому +2

    KIMYA KIMYAAA TUNASONGA NA MAMA..

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu9421 День тому

    Love it... tzzz we are proud of you mama Samia

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 2 дні тому

    Jengo nzuri ira sie watanzania soko tutalichafuliwa tatizo mazingira choo hakitamani

  • @shufwaaofficialtv1306
    @shufwaaofficialtv1306 3 дні тому +1

    Well

  • @mathiasdaud7842
    @mathiasdaud7842 3 дні тому +3

    Upatikanaji wa chumba sas

  • @Dipeson700
    @Dipeson700 День тому

    Best job,ila sasa mteja kupanda mpka juu 😢

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 3 дні тому +1

    Ufisadi kwenye ugawaji wa ivo visehemu vya biashara angalieni sana hata soko la stend ya JPM

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 2 дні тому +1

    Naweza kupotea hapo sio kwa uzuri huo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 2 дні тому

    Lilipo Waka tu moto, nilijua tu kuwa Watakuwa na mpango kulijenga upya au kukalabati.ila kuwatoa hivihivi isingewezekana,

  • @kalingaasukile8730
    @kalingaasukile8730 2 дні тому

    Kazi nzuri ya Samia hii

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 дні тому +1

    Mtaa wa kongo unaingiza kila siku kodi Milioni kumi na moja na hapo zinginezimeingia mifukoni na hapo kadi itazidi

  • @catherinesekumbo8347
    @catherinesekumbo8347 День тому

    Jamani tuzingatie sasa Usafi jengo hilo zuri ila tukishindwa kuwa wastara u tutaliharibu.

  • @rich-lr8tq
    @rich-lr8tq 2 години тому

    hili lilichomwa makususdi ili likarabatiwe maana tofauti na hivyo ingekuwa ngum sana

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 2 дні тому

    HONGERA SANA KWA KAZI NZURI.OMBI KWA MKUU WA MKOA MIMI NAITWA AGNES ALFONCE NI MMAMA MLEMAVU LAKINI NINAUTAALAM KIDOGO WA AFYA.NAOMBA NAFASI YA FREM NA MKOPO KIDOGO KUFUNGUA DUKA LA DAWA BARIDI.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA MAMA SAMIA

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 День тому

    Wawe wasafi basi wafnya biashara....maana pamejengwa vizur Sana ila usafi muhim

  • @omante194
    @omante194 2 дні тому

    🎉🎉🎉🎉

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 3 дні тому +1

    Lini linafunguliwa

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 2 дні тому

    Lipo Zuri sana, tumepiga hatua kitaifa kwakweli

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 3 дні тому +1

    Sasa mbona hamjalionesha lote

  • @meeksson3589
    @meeksson3589 2 дні тому

    Wekeni escalator acheni uswahili

  • @meflorlionel7497
    @meflorlionel7497 20 годин тому

    Hapo kwenye gorofa 8 umetupiga

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 2 дні тому +1

    ,👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Sahlomon-jp4jr
    @Sahlomon-jp4jr 2 дні тому

    Walinda legacy wana hasiraaaa!

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 2 дні тому

    Mwongooo sana wee mtangazaji.walikuwa hawalipi kodi ya aina yeyote,wacha kudanganya,na mpaka leo hii hawalipi hata sh.moja ya kodi za serikali,mwongoooo sanaa

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 2 дні тому

      Wewe unalipa sh. Ngapi?

    • @mufaddalmoawalla8522
      @mufaddalmoawalla8522 2 дні тому

      @@omarybakunda2554 nalipa kodi zote za serekali ,labda nawewe mi mwizi wa kulipa kodi ndo maana imekuwasha

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 День тому

    Usafi sasa

  • @NassorMohammed-oy7bc
    @NassorMohammed-oy7bc 2 дні тому

    Hili na kwerekwe lipi kubwa

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 2 дні тому

    Mngewaambia tu wafanyabiashara kama mnataka kulirekebisha soko sio kwa kuwachomea moto bidhaa zao

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 дні тому

    Huko juu kuko wazi wale wenye kujirusha kwenye magorofa sitakuwa rahisi kwao😢

  • @odenmasebo9777
    @odenmasebo9777 2 дні тому

    walichoma ili wajenge

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 дні тому

    Lkn kodo zetu ndo zimejenga sio serikari

    • @user-ji7sy2wi7b
      @user-ji7sy2wi7b 2 дні тому +2

      Acha kukaza fuvu, hujui kama serkali ikiwa mbaya unaweza ukalipa Kodi na serkali hiyo isijenge. Kwa hiyo shukuru serkali

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 2 дні тому +2

      Ulichangia shingapi wewe binafsi?

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 2 дні тому

    Litakua soko la mabos tupu

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 2 дні тому +2

      Lakini kwa idadi ya vizimba na namna kariakoo inavyoendeshwa na biashara, huoni watafaidika wauzaji?