UJENZI TRENI YA UMEME DSM TEGETA-MWENGE KUANZA, MATAJIRI GSM, MO DEWJI, BAKHRESA WAITAKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 223

  • @nifermurungi5261
    @nifermurungi5261 2 місяці тому +5

    Asante sana kiongozi kwa maelezo mazuri. Ushauri wangu katika swala la ulinzi wa miundombinu kwa ajiri ya vijana wetu (vizazi vijavyo) wafundishwe kulinda nchi yao, zitungwe nyimbo waimbe kila asubuhi ili wajue kwamba ni wajibu wao kutunza mali za nchi yao. Ni lazima kufanya hivyo hasa shule za msingi. MWL Baba wa Taifa alifundisha nyimbo nyingi za kupenda na kulinda nchi yetu.. na zilisaidia.

    • @section8ight174
      @section8ight174 20 днів тому

      Propaganda leg of the government needs to step up and solve this issue, it’s not even difficult!!

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 2 місяці тому +1

    Kwenye utunzaji msipokua wakali tutaharibu sasa hivi, hatujazoea mambo mazuri mpaka tusikie kuna adhabu ndio akili zinakaa sawa

  • @MG-STORE007
    @MG-STORE007 2 місяці тому +1

    mwamba anajibu mpk unahisi tanzania hakuna wizi 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 3 місяці тому +2

    Hongera kwa kazi na maelezo kuntu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 3 місяці тому +3

    Sawa kabisa na nijambo ZURI

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 місяці тому +4

    Idea- Innovation - Action is a way to success .. GO TANZANIA GO.

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 3 місяці тому +1

    Imekaa vizuri sana

  • @hashimpalekar1565
    @hashimpalekar1565 2 місяці тому

    Very constructive ideas

  • @leandryMmassy
    @leandryMmassy Місяць тому

    Big-up sana. Hii hapa mjini lini mkuu?

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 місяці тому +2

    Kwa nini hamuwezi kufika Tanga na Kilimanjaro kwa train?

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 3 місяці тому +1

      Wachaga mutaihujumu kwa ajili ya mabasi yenu😂

    • @section8ight174
      @section8ight174 20 днів тому

      @@abuubilal2646acha upumbavu wewe!

  • @tarimorenatus
    @tarimorenatus 2 місяці тому

    Ni muda pia kufikiria kuwa na treni ya Dar-Tanga(kupitia Saadani), Dar-Arusha na Dar-Mbeya(kupitia mikumi) kwani hizi ni sehemu muhimu sana za utalii na kuongeza kipato kwa nchi pia.

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 3 місяці тому +1

    Happy nimekuelewa

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 2 місяці тому +1

    R.I.P.JPM

  • @GervasLyimo-f7p
    @GervasLyimo-f7p 2 місяці тому

    Kwanini sasa hamruhusu kivuko 'private' Kigamboni???????😬

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 2 місяці тому

    Wapeni na tanesco

  • @RonnieBertin-f7f
    @RonnieBertin-f7f 2 місяці тому +1

    kadogoso mkurugenzi ameongea kiswahili na kama wewe mswahili kama mimi nafikili mmemwelewa

  • @letgodlead7930
    @letgodlead7930 3 місяці тому

    ❤❤❤

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 3 місяці тому

    Msuwahili kweli akiliyake inamtosha mwenyewe wewe pesa ya kipanda cha muhugo huna halafu unasema fulani mjasiria mali

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 3 місяці тому

    JAMANI IFIKE BUNJU

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 3 місяці тому

    Baadhi ya wawekezaji sio wazalendo ni corrupt wanaenda kuliua shirika. Kama watakuwa treni zao hii inanipa picha wanaenda kuchukua sehemu kubwa ya mizigo na treni faida kubwa iko kwenye mizigo Management ya trc kuweni makini sana katika kusamamia kwani wananchi wamewekeza pesa nyingi wanataka matokeo .

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 місяці тому

      Angalia kwa jicho la mbali zaidi! Hawa Hawa viongozi wetu ambao wanachota mabillion serikalini ndiyo haohao wataingia ubia na matajiri waliyotajwa kuendesha biashara ya usafirishaji kupitia SGR, halafu sisi wananchi tuambulie kubebeshwa mzigo wa kulipa madeni ya ujenzi wa mradi huu. Kama serikali imekopa kujenga reli inashindwa nini kuliwezesha TRC kuendesha mradi ukafanya kazi "to the maximum capacity"? Mfano, Bakhressa ndiye msafirishaji mkubwa wa mizigo na ndiye angekuwa mteja mkubwa wa TRC Sasa unapompa njia na kumshundanisha na TRC, TRC tayâri kafubgwa miguu!

    • @eddyrich.3312
      @eddyrich.3312 3 місяці тому

      Ninahofia pia hao matajiri wataanza kwenda kuingia ubia na waleta mizigo huku kwetu ili ikifika iende moja kwa moja kwao kwa hiyo TRC watakosa na watabaki kuangalia tu mizigo ikija na kupitiliza kwa hao wasafirishaji binafsi

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 місяці тому

      @@eddyrich.3312 Huo ni mnyororo mrefu ukifunganishwa na DP WORLD bandarini!

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 3 місяці тому

      Kuna tatizo kubwa sana kufikiria , kukosa uzalendo Na corrupt minds yaani akili zilizokuwa zimejaa rushwa, kwa Nini muwape njia za reli au wahindi Na magachori na muanze kugombea wateja mwisho wa siku hao wahindi waarabu Na magabachori watachukua wateja wote wa mizigo Na TRC ishindwe kujiendesha kwa kukosa wateja wa mizigo tena kwa mambo ya ovyo ovyo ya Tanzania hata wafanyakazi wasio wazalendo wa TRC wanaweza kuwa wanalipwa pesa Na hao magabacholi na kuwapeleka kwenye treni za magabacholi! Huu ni upuuzi Na upumbavu kabisa kufanya huu uamuzi hivi huko serikalini wanaofanya maamuzi ni vichwa maji au wana masilahi yao sidhani kama Rais yeyote makini angekubali huu upumbavu mrefu !

  • @NINAZOHABARINJEMA-cd5ke
    @NINAZOHABARINJEMA-cd5ke 2 місяці тому +11

    Hongereni kwa kazi nzur sana nishauri jambo Fanyeni mpango kuwa na mobile App kwaajili ya wakata tiketi ili kurahisisha utaratibu wa kupata tiketi Asante.

    • @hajimgwami5224
      @hajimgwami5224 2 місяці тому

      mbona zipo ndugu yangu, mapaka tcb wanakatisha tiket, tigo pia

  • @mussamapesa8863
    @mussamapesa8863 3 місяці тому +25

    Hii umekaa vzr sisi tunahitaji huduma sio nani anaindesha wapewe tu safi sana

    • @mwalimumstaafu8529
      @mwalimumstaafu8529 3 місяці тому +1

      Walipewa viwanda vya sukari sasa mnalia. Yetu macho.

    • @salimnjowoka4357
      @salimnjowoka4357 3 місяці тому

      ​@@mwalimumstaafu8529huyu. Atakua mkenya,mwalimu nenda ka andamane,hukutz hupa wezii

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy 3 місяці тому

      Basi wakupe wewe ​@@mwalimumstaafu8529

    • @abdallahshariff6555
      @abdallahshariff6555 2 місяці тому +1

      Nakubaliana na wewe,Serekali yake Kodi,sio biashara,wanao ajiruwa na Serekali watakuwa walaji,Kwa mtu binafsi huwezu kuchezea kazi

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 2 місяці тому

      Wacha waitake tu bora, kwani Matajiri hata kodi hawalipi, kodi zinalipwa na wananchi Masikini tu

  • @moseskessy4806
    @moseskessy4806 2 місяці тому +2

    Sasa Kwa hapa mjini ningeona kama ni Train Bora ziwe under ground Za hapa mjini

  • @polloz77
    @polloz77 2 місяці тому +2

    Muhimu TRC kuwa na askari police wake wenyewe ambao wamehajiriwa na TRC ni police kama police wetu na watakuwa na hadhi kama police wa kawaida kuweza kukamata mtu yeyote hatskaye fanya kosa na kuwakilisha mahakamani
    Pia kuwa na plain police ushauti naona kutatoa mZigo mkubwa wa mapolice wetu ambao wanafanya kazi kubwa kulinda wananchi na mali zao

  • @BlackPanther-xx8dn
    @BlackPanther-xx8dn 3 місяці тому +8

    jamaa anacho ongea Ilikuwa ni vision ya mzee mwinyi ila alipo ingia mkapa Alivuruga sana hii logistic Ya treni akaruhusu malori Ila kama wanairudisha Tena Ni wazo zuri.

    • @mwalimumstaafu8529
      @mwalimumstaafu8529 2 місяці тому

      @@BlackPanther-xx8dn wapeni mtaona kama shirika la reli litaendelea kuwepo. Suala hili zuri lakini zitungwe sheria za kulinda masilahi ya taifa. Kumbukeni sisi kama wananchi ni wabia, tumewekeza kodi zetu. Ni lazima wabunge wakae na kutafakari kwa kina kabla ya maamuzi hayo. Mungu ibariki Tanganyika.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 2 місяці тому

      ​@@mwalimumstaafu8529watanganyika walirudi ujeruman sijui mwenzetu ni mmoja wao

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 2 місяці тому +2

    Yeah TRC kwa kweli mko vizuri.Hasa huyu kadogosa ana moyo wa maendeleo na ni mzalendo Fulani ana penda Tanzania iwe amazing.Ila wizara ya ujenzi angepewa makonda Kuna kitu kingeonekana katika taifa hasa kusini barabara ya makambako songea na songea mtwara Lindi dar.

  • @Assu89Ma2ly-xt4np
    @Assu89Ma2ly-xt4np 3 місяці тому +6

    Mbona kila kitu kinaanza ilala au kinondon hii mi naona ingeanzia steshen hadi mbagala hadi kisemvule maana ndo sehemu inaongoza kwa watu wengi na changamoto ya usafiri kuliko sehemu zote kati ya dar na pwani

    • @labanhezekiel5627
      @labanhezekiel5627 3 місяці тому +2

      Shidah ya huko hamkawii kuiba nyaya za kpoa, screpa, kuna tren hapo😂 ndo maana mjifunze Kwanza Kwa wenzenu

    • @Assu89Ma2ly-xt4np
      @Assu89Ma2ly-xt4np 2 місяці тому

      Mradi kama huo unakuwa na ulinzi na elimu hutolewa,mkurugenzi hapo kazungumza fiber wire na cable zinakatwa na kuibiwa wakat sgr kwa sasa ipo huko kwa wastaarabu na haijafika bado kwa wenye tabia hizo? Wezi wapo dunian kote kaka!

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu Місяць тому

    Wasafirishaji waacheni barabarani tu.kwaTRC itakula kwenu.kuanzia miundo mbinu mpaka umiliki.

  • @eugenemtaza201
    @eugenemtaza201 3 місяці тому +2

    Pitisheni izo sheria na mziweke sehemu husika ili mtu ajue kwamba aki fanya kinyume kwamba ana enda jela .

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn 3 місяці тому +4

    mngetengeneza pia ya umeme kutoka dar kwenda mbeya ya abiria shirika hilohilo la reli ya kati alafu Tazara ibaki iwe ya kubebea mizigo tu,,

    • @reveliusmuchruza7952
      @reveliusmuchruza7952 2 місяці тому +1

      Yani mambo yako sawa kaka hata sgr ipo ya umeme ya mizigo inatembea kama mwewe mizigo inafika on time sio siku tatu kama ilivyo ya zamani

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 12 днів тому

    Safari za tren ya Zamani hamtangazi kabisaaaaaa.....nini shida...fikra au?

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 3 місяці тому +14

    hii nimeipenda ntanunua kichwa cha treni, very good aproach

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 місяці тому

      Labda cha ubo

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 3 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

    • @PeninsulaHouses
      @PeninsulaHouses 3 місяці тому

      Unavichwa viwili tu na vinakuendeshaa vibay Aya na ikiwa na icho kengine sasa😂

    • @BarakerZeonlist
      @BarakerZeonlist 3 місяці тому

      @@PeninsulaHouses kichwa mchongoko hahaha

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu Місяць тому

    Kama ni hivo nipeni kivuko Cha kamanga feri nijenge daraja na mimi.si mnasema uhuru wa biashara?

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. 2 місяці тому +2

    nguvu ingewekwa kivukoni to kigamboni ingependeza zaid mana watu wanateseka sana pale feri.

    • @section8ight174
      @section8ight174 20 днів тому

      They can concentrate on both issues at the same time?!

  • @petermrikaria6063
    @petermrikaria6063 Місяць тому

    Hiyo open access kwa nini isifanyike kwenye mwendo kasi na vivuko?? Shida iko wapi?

  • @utopolo543
    @utopolo543 3 місяці тому +14

    Kumbe unaweza panda EMU train kwa 50k tsh kwenda Dodoma. Hio ni reasonable... Kuna 31k kuna 50k kuna 70k kuna laki sasa sijui watu wanalalamika nini.

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 3 місяці тому +1

      Unaona ni hela za madafu eti

    • @nashirkamugisha9425
      @nashirkamugisha9425 3 місяці тому

      Basi tunapanda shabiby 50000

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 3 місяці тому +1

      Ilmradi tu waongee

    • @salimnjowoka4357
      @salimnjowoka4357 3 місяці тому +1

      Acha tuone,kuongea si utendaji,hiindoTz bwana

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 3 місяці тому +5

      Duniani kote usafiri wa treni ni bei nafuu na lengo ni kuwasaidia wananchi kwa kuwa imejengwa kwa kodi za wananchi hivyo naul inapaswa kuwa chini,,,Toa kamasi kichwani humo uweke akili.

  • @DawoodDawood-e8p
    @DawoodDawood-e8p 3 місяці тому +4

    Kwa nini isifike Bagamoyo wajitahidi ifike huko saadani

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 3 місяці тому +5

    usikoma kwenye classifided document ya marekani... mojaya changamoto ya tanzania ni issue ya usafirishaji kwenye nchi za wenzetu wanaotuzunguka

    • @raymondjude6088
      @raymondjude6088 3 місяці тому

      True

    • @nathanielmboje1479
      @nathanielmboje1479 2 місяці тому

      Tunaweza kuwekeza nchi jirani kuziunga na TZ kama Rwanda, Butundi , Uganda, DRC, Zambia, Malawi, Zim na Angols

    • @nathanielmboje1479
      @nathanielmboje1479 2 місяці тому

      I mean Burundi na Angola pia

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 3 місяці тому +10

    Kati ya hao uliowataja MATAJIRI ni wawili TU; MO na Bharesa,...HUYU GSM Bado ni mjasiriamali TU.

    • @salimnjowoka4357
      @salimnjowoka4357 3 місяці тому

      😂😂😂 yanga ume wa acha hapa. ungeza. sauti

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 3 місяці тому +1

      Lakini ndo humpati sasa

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 3 місяці тому

      Mo Mali za nyumbani

    • @paulokateme7615
      @paulokateme7615 3 місяці тому +2

      Milembe bado nafasi zipo.

    • @mwalimumstaafu8529
      @mwalimumstaafu8529 3 місяці тому +3

      Hahaha. Mo ameshindwa kuendesha viwanda vya chai na wakulima wanalia na soko. Mwekezaji makini ni Bakhresa.

  • @AziziMsuya
    @AziziMsuya 3 місяці тому +1

    Hii imekaa poa sana. Wenye uwezo wapewe tu

  • @safariweekends
    @safariweekends 3 місяці тому +9

    Dar - Sadaani - Dar - Mikumi - Ruaha - Selous - Dar

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 3 місяці тому +18

    big up utaifa ni kitu muhimu kliko uchawa

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 місяці тому +1

    Sheria zote zinatakiwa zibadilishwe zimepitwa na wakati.

  • @Fumbaakida
    @Fumbaakida 2 місяці тому

    Hifadhi ya reli ya kutokea Pugu Hadi Tanganyika Packers kiwandani Kawe ilikuwa kwa ajili ya mifugo ulikuwa mpa ngo wa serikali ya Mwalimu JEE mna mpango Gani mbadala kwa ajili ya maendeleo ya usafirishaji abiria katika Jiji?

  • @Mklindi5624
    @Mklindi5624 2 місяці тому +1

    SGR haijaja ku replace model nyingine za transport.Hichi ni kichwa hakika

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 3 місяці тому +4

    Je tiketi zitakuwa za campuni yao au ya TCR kama huku Ulaya campuni binafsi tiketi zinakuwa za Serikali kama TCR hukuti tiketi za campuni binafsi sehemu ya kukata ni moja

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw 3 місяці тому +1

      sio ulaya yote, italy kuna tren ya binafsi inaitwa Italo na wana ticket zao na operation zao haziingiliani na tren za serikali

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 3 місяці тому

      Nchi sio zote toronto marekani sio kama usemavyp nchi ipi hap sasa iran au wapi

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu Місяць тому

    Hapo ndipo mnakwenda kuuwa TRC.mazara yake hamtayaona leo.ila ngoje baada ya miaka mitano.

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu Місяць тому

    Kama ni hivo nipeni kivuko Cha kamanga feri nijenge daraja na mimi.si mnasema uhuru wa biashara?

    • @section8ight174
      @section8ight174 20 днів тому

      Nenda kaombe kibali serikalini, unaongea hapa mtandaoni na hewa ka bwege 😂

  • @deogratiusprosper4796
    @deogratiusprosper4796 3 місяці тому +3

    Hyo ya majaribio yenyewe bdo hata hamjamaliza na kujua changamoto zake mwakimbilia tegeta-mwenge

    • @huyu1993
      @huyu1993 3 місяці тому +3

      Mbona hamna jema kila kitu kinachofanyika mnakosoa? Au upinzani unapungua nguvu?

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 3 місяці тому

      Akili minyoo inatokeana mnyoonumejinyonga viipi kwenye ibongo unacomment

  • @idrissamohamed1100
    @idrissamohamed1100 3 місяці тому +2

    Ifike hadi Bagamoyo

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 місяці тому +1

    Hata toronto the same railways nyingi zina open access

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 3 місяці тому +2

    Wapi Askofu Gwajima? Hajajitokeza?

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 2 місяці тому

    Hiyo tegeta posta mpaka airport itapita wapi jaman mwendokasi umemaliza Barabara au ndo tutabomoa nyumba na magorofa ya mjini

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 3 місяці тому +10

    Very clear explanations

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid 2 місяці тому

    @masanjakadogosa kuhusu sgr mamaeja wa vituo walivyokabidhiwa ndivyo vinatakiwa viwe hvyo muda wote

  • @abrahamagapith4664
    @abrahamagapith4664 2 місяці тому

    Magufuli alilionglelea ili nakumbuka ilikuwa ni vikindu mjini Bagamoyo mjini na Kibaha mjini

  • @deokibona2835
    @deokibona2835 3 місяці тому

    Uswahili umetuzidi sana sie. Watu wanahujumu miundombinu ya reli, wewe unasema tutaendelea kumassage kidogo!!! Chukulieni hao wahalifu hatua kali iwe fundisho kwa wengine.

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 3 місяці тому +7

    Wazo zuri sana hongereni

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel3400 3 місяці тому +1

    The guy is smart and muandishi anahoji dumb Questions

  • @DM_15
    @DM_15 3 місяці тому +6

    Safi sana wapewe binafsi waendeshe shughuli zao wenyewe sisi tupige mishe town

  • @super815
    @super815 3 місяці тому +2

    Kadogosa kajitahidi sana hajaleta tamaa mpaka mradi umekamilika

    • @reveliusmuchruza7952
      @reveliusmuchruza7952 2 місяці тому

      Ogopa nkoi kukamata fulsa lazima muimbe

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 2 місяці тому

      Wewe hujui kitu, kama hujui uliza. Huyu jamaa ameiba sana tena sana kwenye hui mradi hata kwenye kuagiza tu mabehewa wamepiga sana pesa

    • @section8ight174
      @section8ight174 20 днів тому

      @@reveliusmuchruza7952*Fursa!

  • @usamaahmed2624
    @usamaahmed2624 2 місяці тому

    Umeme bado uko monopolized aichieni private sector pia kama Kuna wa tanzania wawekeze.. Na pia tuachane na fikra za kutumia mafuta tena.. Dunia imeshahama tuwe na fikra za kutumia green energy ⚡ pls pls mheshimiwa pls

    • @section8ight174
      @section8ight174 20 днів тому

      Lol bado kabisa haijapitwa! China na Marekani are the BIGGEST coal & oil consumers!

  • @AbubakarMkoggas
    @AbubakarMkoggas 2 місяці тому

    Hiyo ya kuruhusu watu binafsi kushirikiana nao hiyo Bomba kabisa.

  • @omarseif1920
    @omarseif1920 3 місяці тому +2

    Nimekufahamu kiongozi

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 2 місяці тому

    Mngewaambia sasa kua mnaweka fensi mliwaoji af amkuwaweka waz

  • @RonnieBertin-f7f
    @RonnieBertin-f7f 2 місяці тому +2

    hii ni vizuri sana private hakuna wizi

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 місяці тому

      Usijidanganye😂

  • @hussein8200
    @hussein8200 2 місяці тому

    Safi sana kwa kile kinachofanywa na serikali yetu pendwa!

  • @JimmyWilliam-mf4of
    @JimmyWilliam-mf4of 3 місяці тому +8

    Ushauri wangu hii tren nimepanda kuna seheem wasimamiz wa hii tren wamekosea wameweka pis mbovu kwel piss kari zote ziko kwenye ndege tunaomba tuletewe piss kar kwenye tren hii ya mwendo kasi😮😮

  • @UhaiLegeza
    @UhaiLegeza 3 місяці тому

    Text interview weka matangazo ya TRC nyuma yako

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 3 місяці тому +2

    Mkurudenzi tena

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 2 місяці тому

    Bhakresa the man who can drive business crazy he knows very well how business should be done

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 місяці тому +10

    Mo dewji msimpe ni mshenzi sana

    • @carmp3
      @carmp3 3 місяці тому +2

      Hahaha kafanya nn

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 3 місяці тому +4

      Ushenzi wa Mo Dewji ni upii?? Eleza acha chuki Binafsi. Wakupe wewe kwa Weledi na uwezo upi ulionao??

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 3 місяці тому +2

      wampe mama yako

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +2

      NANI ATAKUSIKILIZA FALA WEWE

  • @DismasMaturine
    @DismasMaturine 3 місяці тому +5

    Mother safi Sana, utadhani tuko ulaya

    • @salimnjowoka4357
      @salimnjowoka4357 3 місяці тому

      maongezi si UTENDANDAJI nipo keko nawa angalia,

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 3 місяці тому +3

      Kazi za Magufuli, siyo ROYAL TOUR HII

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +2

      ​@@mimiraia2531BASI NGOJA AFUFUKE AJE AJENGE 😂😂😂

  • @erickpeter7190
    @erickpeter7190 3 місяці тому

    Maan halis ya mkurugez mkuu.umeeleza vizur san

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 3 місяці тому +2

    Sina shaka na Bahresa na GSM ila Mo msimuamini kamwe huyo Mo ngonjera nyingi sana.

    • @richardbegga6679
      @richardbegga6679 3 місяці тому +1

      MO ndo Mwenye pesa Nyingi kuwashinda Wote Sasa na Biashara unangalia faida Sio Sifa

  • @Brother_kuku
    @Brother_kuku 2 місяці тому +1

    Mzee upo clear sana. Safi

  • @hakarim786
    @hakarim786 2 місяці тому

    When is TRC planning goods movement?

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 3 місяці тому

    Mwenge tegeta mnajenga mwendo kasi alafu hiyo ya umeme inakuwaje

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 3 місяці тому +1

      Ili uchague mwenyewe unataka usafiri gani

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 3 місяці тому +1

    safii I bei powaa kabisaa

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 3 місяці тому

    Nafikiri kwenye swala la elimu liongezwe kuhusi transpass... even me nlikuwa sijui na ningekamatwa napita ningehisi naonewa

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 місяці тому

      "transpass"? Ndiyo kufanyaje? Tupe ufafanuzi, ni kosa gani kwa sheria ipi? Au ni "trespassing"?

    • @BarakerZeonlist
      @BarakerZeonlist 3 місяці тому

      @@sylvestercameo6263 ni kupita juu ya reli. hiyo treni inakimbia speed sana inaweza sababisha ajali ndio maana wanakataza

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 3 місяці тому +2

    Yanaongea yanakunywa maji,kumbe hamna kitu.Train yenyewe inaonekana kupitwa na wakati.Siti ya watu watatu nani.apande(Ushamba) Watching wamevqmia kila kona wameleta mabasi ya kisasa.

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si 3 місяці тому +3

      Kweli unapata shidaa! Uko wapi unauguahivyo ,?moyo unawaka ! Nyoyo za kishetani ,inaonekana hata mama yako unamwonea wivu kuolewa na kazee

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 3 місяці тому +2

      Mbwa wewe kwenu Kenya mnayo kama hii mjinga wewe

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 3 місяці тому +1

      We jamaa una roho mbaya sana siajabu wewe ni mchawi au ukizeeka utakuwa mchawi😮

  • @innocentrichard2945
    @innocentrichard2945 3 місяці тому +3

    For the first time ameongea kitu nkamwelewa uyuu mzee

  • @timothmatiku6115
    @timothmatiku6115 3 місяці тому +2

    Mbona sioni mwekezaji mwaafrica au uwekezaji ni rangi? Aliyeweka hizo picha ana inferiority complex, japo hajijui. Sera zetu lazima ziseme kwa kutumia bajeti ya nchi tutawawezesha WAAFRIKA au watu weusi kuwa wawekezaji. Na sio kuishia kusema mwekezaji ni mtu mwenye mtaji. Wakimkosa Tanzania watamtafuta Europe.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 місяці тому +1

      Kwani baharesa yeye si mzawa, sema hujaona mkristo tu, kwani nyie si wafanya biashara, subirini nafasi za ajira serikalini mpeane wenyewe kwa wenyewe. Waislamu wacheni wajitume kwenye hizo sekta binafsi watapata neema na baraka huko huko mnakolazimisha wawepo. Tena mkiwaona wanaingia kwenye uwekezaji mseme mbona hakuna mtu mweusi.

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 3 місяці тому +3

      Huna akili....

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 3 місяці тому +2

      ​@@Sheba4651we nawe huna akili..... kichwa yako ndo imeona udini, yeye ameona rangi usilazimishe udini. Hao waisilamu weusi mbona hamna sasa

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 місяці тому

      ​@@Sheba4651Majibu yako ndiyo yanadhihirisha "inferiority complex" ambayo mwenzetu kaitolea maoni. Haya mawazo ya udini ni ya kijinga, ni ushamba na upumbvu"! Hivi wanaofanya kazi maofisini wanaajiriwa kwa sifa ya Imani yao ya dini au sifa za kitaaluma na ujuzi wa kazi husika? Kwa hiyo wanaobarikiwa katika kazi zao ni wafanyabiashara waislamu tu tena wenye asili ya kiasia? Mawazo ya kipumbavu sana!

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 3 місяці тому +2

      ​@@rebbywealth9869Kuna aliyokatazwa?. Sheria imetengenezwa ili kuruhusu, wewe ulijaribu ukanyimwa?, au sio mweusi?

  • @mattyhappy1581
    @mattyhappy1581 2 місяці тому

    Tumeshindwa kuiendesha

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 місяці тому +4

    Hatutaki Wahindi matapeli waliua Treni yetu ya Dar Kigoma

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 місяці тому +2

      Dah hizi chuki za propaganda mpaka lini jamani? Ile ya Tanga na ile ya kusini aliyeua nani?! Tuwe wa kweli!!

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 3 місяці тому +2

      Hawa ni watanzania wahindi unamaanisha nini

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +1

      MAJITU YA KIGOMA MNA ROHO CHAFU SANA NYIE

  • @andrewbigambo6721
    @andrewbigambo6721 2 місяці тому

    Jp

  • @Yayouselim
    @Yayouselim 3 місяці тому +1

    Mwendo kasi zimekuwa mbovu maintenance wameshindwa na hizi cjui itakuweje

  • @Chrishenryson-beats
    @Chrishenryson-beats 3 місяці тому

    Pelekeni mikoani kama kaskazin na kwingine. Tanzania sio dar tu

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 3 місяці тому +2

      Dar ndo inaongoza kwa mapato ndo maana wanaijali zaidi

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 3 місяці тому

      Tulieni kwanza nyie watu wa shamba mambo yanaanzia mjini huku

    • @section8ight174
      @section8ight174 20 днів тому

      @@abuubilal2646😂tuliza ubaguzi kijana!

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 3 місяці тому

    Mchongoko utaanza pia?

  • @kelvinvanremmy263
    @kelvinvanremmy263 3 місяці тому +1

    Tajiri nipo 😂

  • @jerrybenson1321
    @jerrybenson1321 Місяць тому

    Mzee upo vizuri

  • @Shehafa
    @Shehafa 3 місяці тому +1

    Huyu huyu wa bilion wa 20 za simba 😅😅😅😅

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 3 місяці тому +1

    Mnaanzaga hiv hiv lakin baadae utasikia kapewa mtu toka nje

    • @huyu1993
      @huyu1993 3 місяці тому +2

      Kwani vibaya kama wa ndani hawana uwezo jee tufanyeje ? Kama wapo watu wanaweza kuwekeza kwanini tusiwape acheni ubinafsi nyinyi watu

  • @tashwakotaii3632
    @tashwakotaii3632 2 місяці тому

    Good idea

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td 3 місяці тому +1

    wazo zuri.

  • @chollozanton
    @chollozanton 2 місяці тому

    Safi sana

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 місяці тому +2

    lakini magufuli alipoanza SGR alitunwa sana alionekana mawazo yake mabovu2 ila sasa ivi Ndio watu wanajua kwamba tulipga teke fuko rapesa

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 3 місяці тому +1

      Hakuna kumtaja maghufuri hata angekosa yeye angetokea kiongozi mungine angejega tu mana sasa kila kitu yeye wengine hawana akili mbona kaviacha havijajengwa mama kamalizia vyote mboni yupo kimiya hacheni hizo

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 3 місяці тому +1

      Magufuli alikuta mipango yote ya kujenga SGR imekamilika na hata wakandarasi wa kujenga walishapatikana. SGR halikuwa wazo la JPM peke yake

    • @uwembatvonline
      @uwembatvonline 3 місяці тому +1

      SGR Wazo lilianza na Kikwete, Magufuli kaanza, mama kamalizia so hua ni mchakato wa muda

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 3 місяці тому +2

      @@uwembatvonline umenena ukweli mtupu 👏👏

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 3 місяці тому

      @@selemanisalum7685acha upumbavu miradi mingi maraisi hawajafanya jamaa kaonyesha uthubutu wa mambo mengi sana bwawa la nyerere wameliimba tangu nyerere akiwa hai kaja kujenga yeye alafu unasema asitajwe mbon kama una lana sele

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 місяці тому +2

    Kwa hiyo ni mantiki gani kuwaachia hao wahindi na magabacholi kuleta treni zao za mizigo hamuani mtaanza kugombea wateja Na nyie mtakosa wateja, Tanzania 🇹🇿 inakufa kwa watu serikalini kukosa uzalendo na wako corrupt !

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +1

      WEKEZA NA WEWE KAMA UNA HELA HUJAKATAZWA.

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 3 місяці тому

      @@salimmalaka256 uzalendo kwanza sio nchi hii ya wahindi Na magabacholi ingekuwa enzi za mzalendo Magufuli asingekubali usenge huu mna rais Samia mpumbavu Na sio mzalendo ndio maana kuna mipango kama hii ya kisenge

  • @sule17942
    @sule17942 2 місяці тому

    imagine angekuwepo magufuli train hizi sasahivi zingekuwa kama daladala tanzania , umeme kama wote

  • @stanleymadata8767
    @stanleymadata8767 3 місяці тому

    mtupatie pia mabeewa yalio matupu kakusimama na bei ziwe chini ya 6000 watanzania wanatumia sana na pia isisimame mda wote hiitembee umeme upo