MBARAWA : ZAIDI YA ABIRIA 40 ELFU HADI SASA WAMETUMIA TRENI YA SGR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • KARIBU TUKUHUDUMIE

КОМЕНТАРІ • 31

  • @JombaTUncleT
    @JombaTUncleT 2 місяці тому +1

    Fursa kubwa hii. Kuishi Moro kufanya kazi Dar. Hali ya Hewa Moro ni poa na hakuna foreni. Hongera TRC, #Jomba_T👍😎🇹🇿

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 3 місяці тому +8

    Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 місяці тому

      Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?

    • @HASASON
      @HASASON 3 місяці тому

      Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?

  • @KondeAbdallah
    @KondeAbdallah Місяць тому

    Kwa kweli nimeipende electric SGR ya Tanzania imeshinda hata yetu ya Kenya hongereni watanzania Kwa kuweka SGR ya umeme mume fanya Jambo katika East Africa yetu big up mama Samia suluhu Hassan Kwa kuendeleza Huu mradi wa SGR ulioanzishwa Na marehemu jonh pombe magufuli...

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 3 місяці тому +4

    Moro kuzuri mazingira mazuri

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 місяці тому +6

    Hizi sit bila cover st tutalaumiana

  • @babajay3445
    @babajay3445 3 місяці тому +4

    Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 місяці тому +3

    Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!

  • @joshuachimwejo5892
    @joshuachimwejo5892 3 місяці тому +1

    TRC tafadhali sana, nawaomba washaurini TARURA/TANROAD/MANISPAA YA MOROGORO waweke lami kipande cha barabara ya kutoka Station hadi barabara kuu ya Morogoro-Dodoma(Kihonda kwa Chambo). Kipande hicho kina vumbi kali sana.
    Mtu anatoka kwenye treni akiwa msafi, kufika kwa Chambo hatamaniki, huo sio ustaarabu tunaoutaka watanzania kwasasa.

  • @sporttz15
    @sporttz15 3 місяці тому +7

    kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine

    • @akidamakida6092
      @akidamakida6092 3 місяці тому

      Just imagine.. I really dont understand!!

    • @HASASON
      @HASASON 3 місяці тому

      Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 3 місяці тому

      Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 3 місяці тому +2

    Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu

  • @DeogratiasMadaraka-b9v
    @DeogratiasMadaraka-b9v 3 місяці тому +1

    Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ShabaiSadick
    @ShabaiSadick 3 місяці тому +1

    Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?

  • @babajay3445
    @babajay3445 3 місяці тому +1

    Safi sana

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 3 місяці тому +1

    Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika

  • @amirisaid6341
    @amirisaid6341 3 місяці тому +2

    Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?

    • @Ambagaye
      @Ambagaye 3 місяці тому +1

      Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii

    • @amirisaid6341
      @amirisaid6341 3 місяці тому

      @@Ambagaye 👍

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 3 місяці тому +1

    ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 3 місяці тому +6

    Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 3 місяці тому

      Pole 😅

    • @lifeonearth94
      @lifeonearth94 3 місяці тому +1

      Magu alikuwa na maono sana

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 3 місяці тому +1

      Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 3 місяці тому +1

    Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 3 місяці тому

    Soon tutasikia kapewa mwekezaji