Hapo pa tina na loveless dada wa kazi nmerudia mara ishirini weee tina jamani wow much love donta tv nmetamani kuendelea kuwatch but ni sawa tu acha niwe mvumilivu 😅❤
Jaman loveness dada angu nakupenda xana naomba na Mimi bas nije ata nifanye kaz na nyie mwambie kelvin bas napenda kuwa kama ww yaan unafanya kaz Kwa ufasaha Mungu akutangulie jaman ila naomba unijibu ❤❤❤❤❤
Tutakusamehe kabsa kwa kutucheleweshea ni vile tu hii ina dakika nyingi hilo usijali na nibora maoni kuhusu movie kuliko anaeomba like kwavile tu amekuwa wa kwanza ku angalia movie
Muvi zakeliv ziko bomba Sana kwa sababu Kwanza maneno take tuu mafumbo yake yani kweli Zina fundisha San keliv kaniiiii daitar hongera San Kelvin kwazi zuri pamoja na wote mnao shirikiyan pongezi kwenu mungu awabariki San mzidi kutowa muvi nzuri zaidii❤😢
AYA JAMANI TUSAMEHENI KWA KUCHELEWESHA ATUKUPENDA ILA NI KWASABABU ZILIZO NJE YA UWEZO WETU ❤️🙏
It's okay our lovely Brother ❤❤❤
Ila muwahishe jmn
Msiwaze
Jmn jmn wooow! Nimeanza kusubiri toka saa 6 hatimaye nimeipata ahsanteni nawapenda piah❤
Usjl Kaka Kelvin ila msichelewe sana😢
First to comment watching from Kenya 🇰🇪Leo mtaninyima likes tena
Wa kwanza donta family Genz 👊 team strong hoyeeeeeeeeee wapi wale wanaotegea kwa hii 🇸🇦🇰🇪🥰🥰🥰🥰🥰🥰💕💕💕💕💕💕💕💕nawapenda
❤❤❤
❤❤❤❤@@hidayamanda-gk7nf
Okay
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉
Anaemkubali kelvin agonge like 123 apa 🇲🇿
Poa kakangu ❤❤❤❤❤
Poa nachukuru
Poa nachukuru
Poa nachukuru
Assume @@MwisaLusasa
Watazamaji wa kelvin na loveness like apa napenda sana movie za brother kelvin❤🎉🎉🎉🎉
We also love your comedy's nice job vevo❤❤❤
Fake account huyu sio clam vevo😅😅😅
👍👍👍
❤❤ naipenda movie zake kabisa
Na sisi pia ❤❤❤❤
Mimi wangapi😂😂😂sapoti yako kwa Kelvin, tatizo lenu ma fans comment zanu sio kuhusu movie yetu, ipo vizuri Kama na wewe unakubali gonga like 👍👍🇲🇼🙏
Wanaomkubaliii kelvin khan gonga likeee hapa kama zoteee tunainjoiiiii na movieee😂😂😂😂😂😂
Asante 😁🙌
Pw@@Dontatv255
❤@@Dontatv255
@@Dontatv255 hii tunaomba utuwaishie kuitoa ni nzuri hatari
Namkubal kelvn sanaaa hongera sana kaka kev
Nani anae mpenda loveness atie like hapa
Kelvin naomb no zko
Mimi hapa huyo aliyeletwa hawezi kuorewa na Kevi
🙌🙌
@@MwajumaMwinyi-qj1mxinshaallah 🙏 atume no yooo
Mi nawapenda move zenu zinamafunzo
Mm leo wakwanza kutoka Uganda nipen like jaman much love ❤️❤️❤️❤️❤️🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
Na mimi leo nimewai maajabu ila sihitaji like good job ❤
😁🙌🙌
👏👏👏😂😂😂
Watu tuliko toka burundi 🇧🇮🇧🇮 mumependa Kevin munip like
Izoo
@@Dontatv255❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤marm@@Dontatv255
Mm nimependa
Woooowww tuko 🇧🇮🇹🇿🇨🇩
Mama candy hamfundishi candy anatufunza wengi tu hongera Mama yetu❤❤
🙌🙌🔥
Safi sana loveness unatufunza
Donta Familly big up saaan,mambo ye9 ni motomoto tunawapend saan tukiwa Buja ❤❤❤❤❤
Nimechelewa likini nawafatiria sana lakini kutowa like duu
Ila huyu mama Kelvin kiukweli tumpe maua🌹anajua kuigiza... Tulio mkubali mama Kelvin gonga like
🙌🙌
Aya jaman tumpe mau🌺🌺 yake
mm namkubali sana
🎉🎉🎉🎉🎉
Anajua tena anajua tena mama kelvin yuko sawa🎉🎉🎉
Mmh Kelvin usimkubali Tina kwasababu ya alivyovaa tu mimi sijapenda😂
😂😂😂😂
Kelvin mesali zake napenda sankusikiliza kwa Makin maan Ina fundisha San jaman piya najifuza mengi kupitiya kwenu ❤❤❤❤❤❤
Hapo pa tina na loveless dada wa kazi nmerudia mara ishirini weee tina jamani wow much love donta tv nmetamani kuendelea kuwatch but ni sawa tu acha niwe mvumilivu 😅❤
Nimewahi leo jaman naomba like hata 5 tu ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakupa kakake like zako 👍👍👍👍👍👍👍
Move ya kelvin na luvnes ❤mm kamashabik yenu time strong from kenya 🇰🇪nawapenda sana uwa inanibamba
Asante sana
Nani anapenda liveness vyenye nipe to like
❤nakubali hpa 😊
Nko hapa
😅😊😊
Kila m2 anaomba like mmmh
Sema na me kama naomba like zenu iv
Jamani candy unanikosha unaigiza vizuri sana 🤭 confidence yako sauti yako unigawieee. ..... Love u❤❤❤❤❤
Ak pia mm jamani
@@MaryMmm233-yh3hf ananikosha sana 😝
Daaaaah mapenzi yana nguvu jaman!
na alivokuwa kapotea nlikuw sina aman kabs bora karud
Nimefika naombeni mnikumbuke kwa like vipenzi
Wakwanza leoooooo jamani ila watu wahumu ndani hawatanipa hata lake moja😢
Msitusahau kwenye destiny to love you.. tumeimiss❤
Mimi Leo ndo wakwanza naomba like jamani
🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉@@directorbrax
Usijali kakangu izoapo 👍👍👍👍👍👍❤❤❤❤
Leo nishawahi jaman from 254 🇰🇪donta tv nawakubali sna npeni likes na mimi
Jina langu ni kennedy💕🇧🇮🇧🇮 Nawapenda sana wakina kelvin ila ninacho kiomba sana maomba jinsi gani nazipata muvi hiyi yote
Ila kiukweli love unaweza sana kipenzi 🎉🎉
thanks dear
Mapenzi ya kuchanguliwa muchumba yalipitwa na wakati yooooo 😂😂 Kelvin kataaa
Kabisa ya lisha pitwa nawa kati❤😂😂😂😂😂
Wanaopenda video zake kelvin gongalike hapo❤❤❤
I'm very interested watching this movie From Kenya 🇰🇪 currently Qatar nice ❤❤
Kelvin khan nawakubali sana pia mnaweza ila kuna story nzur sana naisi mtaipenda sana ni true story
Sawa
I'm only waiting for the second part, I really like your TV, donta Tv sasa nime upata sasa I Love you Kelvin ❤
I already finished second part even third part I thought it would drag a lot I really want to watch it
Wakwanza nipeni like 5 Tu 😅😅😅
Km sitaki jeee
@@HamzaAli-g3q sio vizuri
Achauongo😧😧😧
@@laddyfaida kivipi
Wakwanza leo from saudi arabia nawakubal team kelvin
lakini mnachelewa sana 🎉🎉🎉ila kazi nzuri sanaa napenda❤❤❤❤
Story makers wanajua sana❤❤❤
Wa pili kutoka DRCONGO 🇨🇩🙌 tuna penda sana movie za Tanzania 🇹🇿 mnajua saaaana ❤❤
Wambiwa kimya kina mshindo ❤mashallah mko vizury sana nawakubali sana zaud yamaelezo kususa kelvn move zako nazipenda bro❤❤❤kutoka kenya
Kazi zuri sana Kevin 🎉🎉❤❤. Lak kwako
Ongereni sana kwakazi nzr vipenz nawapata Adidja kutoka Burund🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kama unaikubal gong like
Wakwanza from congo🇨🇩
Waah,,kazi safi sana i say...naomba msicheleweshe tena jamani.....loveness ,,tina na wengine ,,big up my guys....
Brother kelvin upo vzr Ata kwa maisha ya kawaida upoo Ivo au
Hongera sana brother kelvin nakupenda sana❤❤
Kelvin tunaomba muedelezo ❤❤❤❤ ninzuri saan ckuweni 🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuli sana wakaka na madada jalibuni kuwahisha kazi nzenu nawapenda sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubali moves zake sana
Dah wanangu adi raha jamani me naomba tuiombe kikoz iki mungu abarik wenzetu watuendelee kutupa raha zaid
Tunawapenda sana I'm from 🇧🇮♥️♥️🌹🌹🌹
Duuuh ushauri wa mama kelvin kwa binti yake ni funzo kwa wengi❤ nimependa sana love from🇧🇮🇧🇮
Woooow jamn uyo loveness bn ndo mwanamke🤗🤗
Wakwanza leoo
Loveness jmn ningekua na nafas kidogo tu ningekua wallah💕💕♥️♥️♥️
Nzr sanaaa jmn msicheleweshee tenaa
Congratulation.nawafuatilia sana.keep it up.team kelvin khan
Loveness nkupend pamoja n Kelvin ❤❤❤
❤
Hongeren wote mupo vizur na kazi❤❤❤❤
We love❤ u brother napenda kazi yako ni nzuri
Asante sana
Jamani love ni mzuri kupita maelezo ebu jamani naombeni like zangu jamani ❤
Kudos Kelvin but kuchelewesha kunaboo na kukatisha tamaa 🇰🇪
Kelvin🎉🎉🎉uko vizuri Sana...unatu fundisha Sana sisi Wana wake...tusio jitambuwa🌹🌹🌹🙏🙏🙏
Vizuri sana lakini msiwe mnakaa kutuletea thamthilia hii huwa inaniburudisha sana tafadhali naomba sana mue mkiileta kwa haraka Asante sana
Huyu Mzee hazeeki walai mungu azidi kumpa maisha marefu❤❤
😂😂😂😂😂😂😂ww😊
❤❤ finally nimefika..... waiting for more.... Nairobi , Kenya....nko ndani..... Wapi like za kenya jamani....
Asante
Kelvin funga macho wa zazi wako Wana shikanashikana wewe unataba samu tuu😂😂😂ila changamka Bana mimi nakupenda Bure nkiwa Kenya 🇰🇪 ❤🎉
Much love from 🇧🇮🇧🇮🇱🇷🇱🇷🇱🇷
I like season conditions klvn and your group nice 👍 👌 much love from kenya 🇰🇪 ❤ 😀 😂😂
Punguzeni stori za sehemu moja 😢😢
Mnaboa sanaa kuongea kwingi location moja badilisheni mfumo wa uwasilishaji wenuu
Wameboa wazee mh😢😢 mda kbao wanaongea
Wanataka muelewe
@@fatumahashimmcheni9610 oky
From Burund 🇧🇮 I Love You So Much ❤❤❤ And Much Respect Guys Nawapenda Bure Team Kelvin 😊😊❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kazi zuri
Kazi nzuri sana Mr. Kelvin💞💞
Halafu hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes,,,,,,,!!!!!
😅😅😅
Ahaaaa umeona eheeee
Woow mnaweza MUNGU awape MAARIFA ZAIDI ❤
Anayeunga Kelvin mkono kama mimi weka like
Poa kk donta ila unafanza watu wanaendelea na mafunzo kupitia movie zako❤❤❤
Love na Kelvin wanaendana sanaaaah, nitapenda sku moja kwny hii movie wawe na mapenz ya kwl,
Asante
Hakuna watu wanao kera kama waomba like
🙌
Hata Mimi wananiuzi kabisa
Umeonae😂😂😂
Sanaa wanaboa 😂😂😂
Jaamn so sweet Kwa hizi actor kati ya Kelvin na actress wake Lavness
Kaka nakufata toka drc iyi filamu ni zuri sana unajuwa kwa kweli na weza kukwita kanumba wapili sasa filamu inanza kawiya kaka
Anaye mkubari love agonge like hapa
🙌
Kazi nzuri❤❤❤
Team loveness ❤
Nyie humu nitagawa namba mim mana kila mtu wakwanza yeye 😅😅😅
😁😁😁
Jaman loveness dada angu nakupenda xana naomba na Mimi bas nije ata nifanye kaz na nyie mwambie kelvin bas napenda kuwa kama ww yaan unafanya kaz Kwa ufasaha Mungu akutangulie jaman ila naomba unijibu ❤❤❤❤❤
Kazi nzuri kelvin,, hongera sana🎉🎉🎉
Una imba vizuri saana ❤❤❤ much love ftom Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Asante sana
Tutakusamehe kabsa kwa kutucheleweshea ni vile tu hii ina dakika nyingi hilo usijali na nibora maoni kuhusu movie kuliko anaeomba like kwavile tu amekuwa wa kwanza ku angalia movie
Kelvin naomba siku moja nikuonw live unatufinza vyema sana wapu pongezi yangu watanzania
Hivi mnaombanga like za kazi gan badala mjifunze kitu mnakazana tu kuomba like
Aaaah umenichekesha iv kwel uwa wanalipwa
@@AidatAmadi wanaboa, utathani hao ndo wameigiza
Muvi zakeliv ziko bomba Sana kwa sababu Kwanza maneno take tuu mafumbo yake yani kweli Zina fundisha San keliv kaniiiii daitar hongera San Kelvin kwazi zuri pamoja na wote mnao shirikiyan pongezi kwenu mungu awabariki San mzidi kutowa muvi nzuri zaidii❤😢
Team Kelvin big up 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Kazi nzuri
Nimependa movie z Kelvin zikona mafunzo Zaidi y mafunzo mungu akubariki💗tunakupenda kutoka kenya
Yaani Tina unachapa crush wa kelvin surely 😂
Hongera sana mama Kelvin kwa kufunza binti yako vizuri malezi bora
Wakwaza kutoka kenya nipeeni likes zagu
𝗠𝗶𝗺𝗶 𝗻𝗱𝗶𝗼 𝘄𝗮 𝗸𝘄𝗮𝗻𝘇𝗮😂
Nawapenda sana kweli nipo nanyi adimwisho
Kevi usikubali muoe love nimempenda.
Sawaa 😁