Binti Yangu - A Swahili Movie

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ •

  • @mpagikhatib3684
    @mpagikhatib3684 Рік тому +14

    Masha Allah hizi ndio mishozo inayo takia kwenye Jamie nimeipenda Sana imenifundisha mengi

  • @MeswalehShaban-mg5kk
    @MeswalehShaban-mg5kk Рік тому +9

    Kweli tui la kwanz la pili maji...mashallah tabarak Allah ❤..funzo zuri sna ..Mungu awajalie nyote mlioshirik ktik hii filamu ❤..nawapend bure nyote..

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Рік тому +8

    Yaan binti unakataa kuolewa halaf nje unazini, binti unahiari ubebe mimba nje kulko kuolewa tunakosea sana sisi mabinti😢😢😢😢wanaume washenz kwel kwel mm ndo mana sina imani nao wallah

  • @BintiRashid-z1j
    @BintiRashid-z1j 22 дні тому

    mashAallah,so nice another part please

  • @sumayyahally3199
    @sumayyahally3199 Рік тому +4

    Nimejifunza nimependa fundisho zuri mashaallah 🎉

    • @EpimackChami
      @EpimackChami 11 місяців тому

      Broo Kama mtu akutak jikatae

  • @andrew0502
    @andrew0502 Рік тому +10

    Huyu dada aliyeigiza kama Amina anajua sana na Kuna movie ingine ameenda kama Shadia duu nampenda sana ila namhurumia yeye wanaume anaowapenda wanakujaga kumuumiza tu mwishoni,,

    • @Dama-sd4qk
      @Dama-sd4qk 8 місяців тому

      Mambo

    • @salumuramadhani3460
      @salumuramadhani3460 5 місяців тому

      Movie ya shadia ata mm nimeipenda mnooooh

    • @HdYusuph
      @HdYusuph 4 місяці тому

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @maryd1538
    @maryd1538 Рік тому +2

    Mashallah movie nzur san nimeipend❤❤💥

  • @salumuramadhani3460
    @salumuramadhani3460 5 місяців тому +1

    Shadia &Amina umezicheza mnooooh

  • @ZainabuSalim-vn5gp
    @ZainabuSalim-vn5gp Рік тому +3

    Mashallah may God bless you but dunia yafunza has

  • @appsplay4324
    @appsplay4324 Рік тому +5

    Movie nzuri ❤❤❤from Kenya 😊

  • @ShaimalBakar
    @ShaimalBakar Рік тому +1

    Mashaallah movie nzr Ina mafunzo

  • @shabanmaulana8594
    @shabanmaulana8594 Рік тому +6

    Haya mambo ya tokea kweli kabisa, watoto wakike wanasubuliwa sana katika ujana ,unakata kheri unafata sharii, wapo wengi Duniani wengine umalizikia kufa kwa kutoa mimba.mitihani kweli.

  • @mwanamisikadongo8596
    @mwanamisikadongo8596 Рік тому

    Mafundisho mazuru sana asanteni Sana Kwa kazi njema ❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👏

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti Рік тому +1

    Masha Allah inamafunzo mazur♥️♥️🙏

  • @lydiahayieta5611
    @lydiahayieta5611 Рік тому +2

    Video nzuri ❤nimeipenda

  • @user-fearless7kulth0um
    @user-fearless7kulth0um Рік тому +2

    Stori nzuri mashallah😊lakini kuna makosa mengi yamejitokeza mfano, stori imejikita katika mwez Wa ramadhan na kisha muhisika mwingine miezi ya kujifungua imekaribia na kijana Rashid alimchumbia amina ndani ya mwezi❤huohuo..
    Kuweni makini msiigize kimazoea ili muonekane Ndio maana soko la sanaa linapolomoka yote kwa sababu yenu mnaojiona mnajua kuigiza mkijitizama kwenye vioo na kumbe hamna kitu😂

  • @Dama-sd4qk
    @Dama-sd4qk 8 місяців тому

    MashaAIIa h hizin diomishozo inayotakwenye jami enimeipe nda sana imenifundishamengi

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 10 місяців тому

    Nimejifunza kitu asante saana baba Amina👏🏿

  • @mariamkassimu5040
    @mariamkassimu5040 Рік тому +3

    MashaAllah move zuri kwa wtoto waki lsilamu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @SeleMsami-ws5ch
    @SeleMsami-ws5ch 7 місяців тому

    Ana kazi nzuri sana dada 🎉tumpe mauwa yake❤❤💯🥀

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Рік тому +3

    Baba Aminah MashaAllaah mtu an dini yake na laiti wazee wetu wangelifuwa hivi ingelikuwa ni khery

  • @maddybongo
    @maddybongo 2 місяці тому

    Hii movie ya kiutu uzima big up

  • @RichardMavungu-y5p
    @RichardMavungu-y5p 9 місяців тому +1

    kwa kweli naipenda tena na mi penda sijui uyu ni mtoto wa wapi siyo mtoto wa uyu baba apana kwa sababu hana masikyo

  • @ZawiyaAdamu
    @ZawiyaAdamu 8 місяців тому

    Mashaallaah nakupenda sana we dada

  • @MariaFilibert-wf3om
    @MariaFilibert-wf3om Рік тому +3

    Duuuuuuuh kweli imenifunza leo

  • @JayJay-po3xt
    @JayJay-po3xt Рік тому +1

    Maasha Allah

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ Рік тому +1

    Mm namfagilia sana mzee msisili

  • @sadakashushu5747
    @sadakashushu5747 11 місяців тому +1

    ❤❤❤❤

  • @GriffinNgala
    @GriffinNgala Рік тому +2

    Woow it has a very good moral values

  • @ZainabAbdallah-i8c
    @ZainabAbdallah-i8c Рік тому

    Histtoria nzuri na ina mafundisho mazuri

  • @EricPonda-t6j
    @EricPonda-t6j Рік тому +1

    Good movie

  • @nassiryahya
    @nassiryahya Рік тому +3

    Huuu sijui ni uislam wa aina gani jaman

  • @ManirambonaElie-wf1eg
    @ManirambonaElie-wf1eg Рік тому +4

    Mimi nataka kumujuwa huyo mzee mabuya

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Рік тому +3

    good movie

  • @MwantumAyubu
    @MwantumAyubu 11 місяців тому

    Nzuri Sana❤❤❤❤❤

  • @WardaYusuph-hz5yl
    @WardaYusuph-hz5yl Рік тому +2

    Duh yalio mkuta Aminatujiazali na wasicha na wengine tulio baki

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 11 місяців тому +1

    Asie sikia la mkuu! Uvunjika guu

  • @alimohd3788
    @alimohd3788 Рік тому

    Duuuu ! Mtihani

  • @Nasra-t7k
    @Nasra-t7k 6 місяців тому

    Wewe mwezangu amina choz huna jitahid ukilia tuoneshe machoz

  • @NaifinMohamed
    @NaifinMohamed Рік тому +2

    Mama amina kafana na mama ana wa jua kali

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e Рік тому +3

    LOOK EVERYTHING IS GONE WRONG 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @OmaryAthumani-ii3kc
    @OmaryAthumani-ii3kc 4 місяці тому

    Mungu awakuze na awalinde watunzi wahii filam

  • @DorcasNasimiyu-z2i
    @DorcasNasimiyu-z2i 5 місяців тому

    Okay mini natoka mayanja milo

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Рік тому

    Mashaalah❤💖

  • @RajuwMirzakhan
    @RajuwMirzakhan Місяць тому

  • @محمد-ب6ط1غ
    @محمد-ب6ط1غ Рік тому

    Ongela San baba

  • @HalimaHalima-rw5os
    @HalimaHalima-rw5os Рік тому +2

    ❤❤❤❤

  • @aminatosha4631
    @aminatosha4631 Рік тому

    Mbona Amina baba

  • @DorkasVisent
    @DorkasVisent 6 місяців тому

    😂😂😂😂mwali anamambo ya kinini😂😂😂emu lundia apoooo

  • @ZainabAbdallah-i8c
    @ZainabAbdallah-i8c Рік тому

    Huyu mzee anajua kuekti kweli kweli apewe soda nitalipa

  • @AnnaMwamini-s5r
    @AnnaMwamini-s5r Рік тому

    Hapanikweli Ina Bamba sanatu,

  • @shaharhashim2529
    @shaharhashim2529 9 місяців тому

    Mov ya maadili ya kujifunza

  • @AnnaMwamini-s5r
    @AnnaMwamini-s5r Рік тому

    Baba Amina moto kuoteambali😂

  • @bintyusuf5
    @bintyusuf5 Рік тому

    Next

  • @aishaadamu6881
    @aishaadamu6881 Рік тому

    Shukurani kwanasah nzuri tu kiukweli nimejifunza kitu

    • @alimohd3788
      @alimohd3788 Рік тому

      Umejifuza nn kwenye mchezo huu

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Рік тому +1

    😂😂 kimemuramba amina

  • @LilyJackson-d8s
    @LilyJackson-d8s Рік тому +1

  • @hafsanizeyimana8178
    @hafsanizeyimana8178 Рік тому

    Huyu mama shida haoni kama mtoto anakosa kila saa msameh

  • @alimohd3788
    @alimohd3788 Рік тому +1

    Mhh

  • @TumainiMoggah-ge5zt
    @TumainiMoggah-ge5zt Рік тому

    Mhm ila yombo sio kwa vituko ivo😂😂😂😂

  • @nassiryahya
    @nassiryahya Рік тому +1

    Ivi watu wamekosa mafunzo kwenye gur,an hata huuu mchezo ndio wenye mafuzo kweli

  • @ManirambonaElie-wf1eg
    @ManirambonaElie-wf1eg Рік тому +1

    Nataka kupata namba ya huyo aliyeigiza kama mtoto wa mabuya

  • @محمد-ب6ط1غ
    @محمد-ب6ط1غ Рік тому

    Shulman bab wengine waige hili

  • @mishymadamspeaker1256
    @mishymadamspeaker1256 Рік тому +1

    Mambo ya kumlazimu binti kuolewa na mtu ambae hampendi yalipitwa na wakati

    • @aminamloka7545
      @aminamloka7545 5 місяців тому

      Sawa lkn Jambo la kukataa kuolewa Kisha ukazini Hilo ndo lnaenda na wakati!!??? Tujitahd kufanya maamuzi yetu kwa ajiri ya Allah tuache tuyapendayo kwaajiri ya Allah na na tufanye mambo kwa ajiri ya allah Ila makosa yapo kufanya Toba ndo muhm

    • @omanyaladismas3882
      @omanyaladismas3882 3 місяці тому

    • @omanyaladismas3882
      @omanyaladismas3882 3 місяці тому

      I❤ the movie 😂

  • @frankmasala8002
    @frankmasala8002 6 місяців тому

    Sio kwa jocho hilo

  • @frankmasala8002
    @frankmasala8002 6 місяців тому

    Sitaki natak msisiri bwan

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc Рік тому

    Tui lakwanza lapili maji

  • @chingaa918
    @chingaa918 Рік тому

    ptp