Yaan binti unakataa kuolewa halaf nje unazini, binti unahiari ubebe mimba nje kulko kuolewa tunakosea sana sisi mabinti😢😢😢😢wanaume washenz kwel kwel mm ndo mana sina imani nao wallah
Huyu dada aliyeigiza kama Amina anajua sana na Kuna movie ingine ameenda kama Shadia duu nampenda sana ila namhurumia yeye wanaume anaowapenda wanakujaga kumuumiza tu mwishoni,,
Haya mambo ya tokea kweli kabisa, watoto wakike wanasubuliwa sana katika ujana ,unakata kheri unafata sharii, wapo wengi Duniani wengine umalizikia kufa kwa kutoa mimba.mitihani kweli.
Stori nzuri mashallah😊lakini kuna makosa mengi yamejitokeza mfano, stori imejikita katika mwez Wa ramadhan na kisha muhisika mwingine miezi ya kujifungua imekaribia na kijana Rashid alimchumbia amina ndani ya mwezi❤huohuo.. Kuweni makini msiigize kimazoea ili muonekane Ndio maana soko la sanaa linapolomoka yote kwa sababu yenu mnaojiona mnajua kuigiza mkijitizama kwenye vioo na kumbe hamna kitu😂
Sawa lkn Jambo la kukataa kuolewa Kisha ukazini Hilo ndo lnaenda na wakati!!??? Tujitahd kufanya maamuzi yetu kwa ajiri ya Allah tuache tuyapendayo kwaajiri ya Allah na na tufanye mambo kwa ajiri ya allah Ila makosa yapo kufanya Toba ndo muhm
Masha Allah hizi ndio mishozo inayo takia kwenye Jamie nimeipenda Sana imenifundisha mengi
Kweli tui la kwanz la pili maji...mashallah tabarak Allah ❤..funzo zuri sna ..Mungu awajalie nyote mlioshirik ktik hii filamu ❤..nawapend bure nyote..
Mwanakulitaka mwanakulitafuta
Yaan binti unakataa kuolewa halaf nje unazini, binti unahiari ubebe mimba nje kulko kuolewa tunakosea sana sisi mabinti😢😢😢😢wanaume washenz kwel kwel mm ndo mana sina imani nao wallah
mashAallah,so nice another part please
Nimejifunza nimependa fundisho zuri mashaallah 🎉
Broo Kama mtu akutak jikatae
Huyu dada aliyeigiza kama Amina anajua sana na Kuna movie ingine ameenda kama Shadia duu nampenda sana ila namhurumia yeye wanaume anaowapenda wanakujaga kumuumiza tu mwishoni,,
Mambo
Movie ya shadia ata mm nimeipenda mnooooh
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah movie nzur san nimeipend❤❤💥
Shadia &Amina umezicheza mnooooh
Mashallah may God bless you but dunia yafunza has
Movie nzuri ❤❤❤from Kenya 😊
Mashaallah movie nzr Ina mafunzo
Haya mambo ya tokea kweli kabisa, watoto wakike wanasubuliwa sana katika ujana ,unakata kheri unafata sharii, wapo wengi Duniani wengine umalizikia kufa kwa kutoa mimba.mitihani kweli.
Mungu atulindie watoto wetu Ameen
Mafundisho mazuru sana asanteni Sana Kwa kazi njema ❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👏
Masha Allah inamafunzo mazur♥️♥️🙏
Video nzuri ❤nimeipenda
Stori nzuri mashallah😊lakini kuna makosa mengi yamejitokeza mfano, stori imejikita katika mwez Wa ramadhan na kisha muhisika mwingine miezi ya kujifungua imekaribia na kijana Rashid alimchumbia amina ndani ya mwezi❤huohuo..
Kuweni makini msiigize kimazoea ili muonekane Ndio maana soko la sanaa linapolomoka yote kwa sababu yenu mnaojiona mnajua kuigiza mkijitizama kwenye vioo na kumbe hamna kitu😂
unawachamba au unaelekeza
MashaAIIa h hizin diomishozo inayotakwenye jami enimeipe nda sana imenifundishamengi
Nimejifunza kitu asante saana baba Amina👏🏿
MashaAllah move zuri kwa wtoto waki lsilamu ❤❤❤❤❤❤❤
..na wa kikritu😢
Ana kazi nzuri sana dada 🎉tumpe mauwa yake❤❤💯🥀
Baba Aminah MashaAllaah mtu an dini yake na laiti wazee wetu wangelifuwa hivi ingelikuwa ni khery
Wengine 2 wengine wana dining zao
Hii movie ya kiutu uzima big up
kwa kweli naipenda tena na mi penda sijui uyu ni mtoto wa wapi siyo mtoto wa uyu baba apana kwa sababu hana masikyo
Mashaallaah nakupenda sana we dada
Duuuuuuuh kweli imenifunza leo
Ikufunze 2 hahaha
Maasha Allah
Mm namfagilia sana mzee msisili
❤❤❤❤
Woow it has a very good moral values
Histtoria nzuri na ina mafundisho mazuri
Good movie
Huuu sijui ni uislam wa aina gani jaman
Kwa nn
Waoooooh amaizing, that is what we need
Mtihan mkubw saan
Mimi nataka kumujuwa huyo mzee mabuya
good movie
Nzuri Sana❤❤❤❤❤
Duh yalio mkuta Aminatujiazali na wasicha na wengine tulio baki
❤❤❤❤❤
Asie sikia la mkuu! Uvunjika guu
Duuuu ! Mtihani
Wewe mwezangu amina choz huna jitahid ukilia tuoneshe machoz
Mama amina kafana na mama ana wa jua kali
LOOK EVERYTHING IS GONE WRONG 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢
Mungu awakuze na awalinde watunzi wahii filam
Okay mini natoka mayanja milo
Mashaalah❤💖
❤
Ongela San baba
❤❤❤❤
Hi
Mbona Amina baba
😂😂😂😂mwali anamambo ya kinini😂😂😂emu lundia apoooo
Huyu mzee anajua kuekti kweli kweli apewe soda nitalipa
Hapanikweli Ina Bamba sanatu,
Mov ya maadili ya kujifunza
Baba Amina moto kuoteambali😂
Next
Shukurani kwanasah nzuri tu kiukweli nimejifunza kitu
Umejifuza nn kwenye mchezo huu
😂😂 kimemuramba amina
❤
Huyu mama shida haoni kama mtoto anakosa kila saa msameh
Mhh
Mhm ila yombo sio kwa vituko ivo😂😂😂😂
Ivi watu wamekosa mafunzo kwenye gur,an hata huuu mchezo ndio wenye mafuzo kweli
Nataka kupata namba ya huyo aliyeigiza kama mtoto wa mabuya
Ili?
Shulman bab wengine waige hili
Mambo ya kumlazimu binti kuolewa na mtu ambae hampendi yalipitwa na wakati
Sawa lkn Jambo la kukataa kuolewa Kisha ukazini Hilo ndo lnaenda na wakati!!??? Tujitahd kufanya maamuzi yetu kwa ajiri ya Allah tuache tuyapendayo kwaajiri ya Allah na na tufanye mambo kwa ajiri ya allah Ila makosa yapo kufanya Toba ndo muhm
❤
I❤ the movie 😂
Sio kwa jocho hilo
Sitaki natak msisiri bwan
Tui lakwanza lapili maji
ptp
Asalaam alaykum Binti Naomba namb zako