Kisa Cha Mpemba - Latest Bongo Swahili Movie | African Movie

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • #24hrslatestswahilibongomovies #africanmovies #latestbongomovies
    Aforevo Title:Kisa Cha Mpemba

КОМЕНТАРІ • 77

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 Рік тому +3

    ❤masha llah mke mdogo mzri na tena anajistiri vzri

  • @1czay
    @1czay Рік тому +3

    Ila mke mkubwa ana gubu mno😂😂😂 to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @CharlesNyanda-z4f
    @CharlesNyanda-z4f Рік тому +1

    Hogereni mlipangilia vizuri sana anafaa sana kwa kuelimisha jamii

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 Рік тому +1

    Kwa kweli iko vizuri ubaya upo kufananiza kisa cha mpemba mpemba gani huyo anaye pelekeshwa

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому

    Mashallah mola awabariki nimependa sana igizo

  • @RGMHJT
    @RGMHJT Рік тому

    Jaman mm nilikuwaga siangaliag bngo move lkn hapa mmeniweza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @asyasuleiman2097
    @asyasuleiman2097 Рік тому

    Mutabaki na mateso waswahili kwa kukataa sheria za Mungu,wake ni wanne,waacheni waume waoe wastiri wenzenu

  • @priscilladama8686
    @priscilladama8686 Рік тому

    Bb mkubwa 😂😂😂😂😂maneno ka chiriku😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @doreenmsafari2945
    @doreenmsafari2945 Рік тому

    Movie nimeipenda sana mke mkubwa walai kaniacha hoi❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf Рік тому +1

    Inshallah tunaomba part 2film nzuri sana.

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Рік тому

    Michezo ya kitanga hiyo,mnaeza iko vizuri ❤.

  • @Hemeddymeddy
    @Hemeddymeddy Рік тому

    Hapo ndo nnapompendea Siyawezi ❤❤

  • @ShekhIddi
    @ShekhIddi Рік тому

    Mke mkubwa safi san

  • @antoniamushi8532
    @antoniamushi8532 Рік тому

    ❤🎉muwe mnatoa taarifa mnapo owa

  • @HusnaMgunda
    @HusnaMgunda Рік тому +1

    Good job

    • @swahilihub7630
      @swahilihub7630  11 місяців тому

      "Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
      ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html

  • @geturude-ce7tn
    @geturude-ce7tn Рік тому

    😂😂😂😂😂ni siyawesi huwa nampenda sn

  • @MariamuAnifa
    @MariamuAnifa 10 місяців тому +2

    Wifi nae mnafki

  • @EsemaNikye-xp3kj
    @EsemaNikye-xp3kj Рік тому +1

    Aposawa mwana mk ana dekezwa

  • @bushzerahamusic4762
    @bushzerahamusic4762 11 місяців тому

    Nazkubali kazi zenu

    • @swahilihub7630
      @swahilihub7630  11 місяців тому

      "Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
      ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html

    • @SHARIFASEKA
      @SHARIFASEKA 9 місяців тому

      ​@@swahilihub7630good job

  • @LawrenceOnyoni
    @LawrenceOnyoni Місяць тому

    Mafinzo kwa wake wetu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому

    Hapo mwanamke hasidi umekoseya dada

  • @حسنا-ض3ز
    @حسنا-ض3ز Рік тому

    Good job ❤❤❤❤❤❤😂

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 Рік тому

    Nzuri ila mwanaume ako na makosa, hakuna mwanamke ambaye anaweza kuchekea hili lililofanyika hapa

  • @aishahaisha3909
    @aishahaisha3909 Рік тому

    Nzur sana

  • @geturude-ce7tn
    @geturude-ce7tn Рік тому

    Huyu ndiyo siyawesi am❤❤❤

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 Рік тому

    Usisingizie kua huna faida ya kuolewa na mtu mweupe si umetafuta mbegu uzae mtoto mzuri

  • @mamahidaya9566
    @mamahidaya9566 Рік тому

    Ila mashemeji wanafiki jamanii yan anajua kila kitu lakn n kama hajui lolote😂😂😂

  • @ShekhIddi
    @ShekhIddi Рік тому

    Ndo mkome wake wadogo mjifundishe kabla hamjaingia kwenye ndoa muwachunguze wanaume kwanza

  • @Ronaldo78943
    @Ronaldo78943 Рік тому

    Mwanaume anamakosa saana

  • @AhmadMuhammad-l2k
    @AhmadMuhammad-l2k Рік тому

    Ukweli wanawake asili yao niwivu
    Na wivu ndio upendo.bila wivu no lav.
    Ila mwanamke mwenye kelele anakinaisha san.maan mapnz niutuliv wa moyo na akili kutulia.
    Ila mke mdogo anavutia san .
    Kama mim ningehama hata hiyo nyumba namuachia 2 kwani nin ban

  • @Adhanatwaibu
    @Adhanatwaibu Рік тому

    Mh hatar sana

  • @Hamisi-yo4ld
    @Hamisi-yo4ld 6 місяців тому

    Boss

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 Рік тому +1

    Hii familia ya mke mdogo iko na makosa japo mume hakuwaambia kama yupo na mke tayari,anefaa kukasirika ni mke mkubwa,uke wenza kazi😅😅

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Рік тому

      Asikasirike vp si w’ke wote wanaopenda kuolewa mke wa 2,3,4. Au unadhani ww kila mtu anapenda mashaka??? W’ke wenyewe wa sasa wengi washirikina na w’me ndio kabisa hawajitambui.

    • @ShekhIddi
      @ShekhIddi Рік тому

      Hilo nalo neno

  • @batalingayachristopher-ry5lv
    @batalingayachristopher-ry5lv Рік тому +1

    Sauti ipo😂wewe ndio sim lako bovu

  • @khajumkhamis7910
    @khajumkhamis7910 8 місяців тому

    Mke wa pili wa babu Ali ni mke na anastahiki kuwa mke coz Kila sifa na sababu anayo ya kuwa mke

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 Рік тому

    Huyu jamaa ni mpuuzi anaongeza mke halafu hajiamini hawezi ku handle hawa madem anaendeshwa tu mpuuzi anatutia aibu wanaume wa shoka

  • @hannan2793
    @hannan2793 Рік тому +1

    Nimerudi....wekeni mike vya nguo part zengine hatuskiiii plsss

  • @badalichauchau6983
    @badalichauchau6983 Рік тому

    Mpemba noma

  • @MariamuAnifa
    @MariamuAnifa 10 місяців тому

    Safi bi mkubwa

  • @Hemeddymeddy
    @Hemeddymeddy Рік тому

    Tuwekane sawa sio sheria wane but ni ruksa 4 ni ruksa muislam kuoa 4 na atimize masharti km aya inavoeleza

  • @fgg8794
    @fgg8794 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂 balaaa

  • @hannan2793
    @hannan2793 Рік тому +1

    C mke mkubwa Ana qubu ni mume ndio Ana makosa angemwambia nina mke wapili ajue ataishije....kosa mpemba.makaka mkiowa mseme ni hatari mwaeza kufanya mtu auwe😮

  • @Tumu-zr2ez
    @Tumu-zr2ez Рік тому

    Uko sawa

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому

    Wifi penda cheupe kama kaka fisadi weee

  • @JumaChapalama-pi1nj
    @JumaChapalama-pi1nj 11 місяців тому

    wake wakubwa tatizo mazowea

  • @rehemapeter9430
    @rehemapeter9430 Рік тому

    Ukwer ni mzur kuliko kupendelea kuficha mwambie tu ukwer

  • @KhatibSalehKhatib
    @KhatibSalehKhatib Рік тому

    Mpembaa jamani ndio Tania zao

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому

    Mke mdogo mpole ila mume unamakosa piya

  • @TatuHandu
    @TatuHandu Рік тому

    Kwakweli Wana ume muwe wakweli

  • @RoziDocta-cq6bb
    @RoziDocta-cq6bb Рік тому

    Watu weupe mna nuksi kwanza kwanini

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому

    Wifi unaliya kama kaka pumbavu

  • @NaimaHamad-u9v
    @NaimaHamad-u9v Рік тому

    Huyo jamaa bazazikwelikweliwrhuuuuu!!!!!!

  • @JoyceSebastian-h8v
    @JoyceSebastian-h8v Рік тому +1

    • @swahilihub7630
      @swahilihub7630  11 місяців тому

      "Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
      ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 Рік тому

    Fala huyu

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Рік тому

    good movie

  • @JannatKuraishi
    @JannatKuraishi Рік тому

    Maskini babu ally pole mwaya ila wanaume mkioa semeni ukweli kwa wenzenu 🤔

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Рік тому

    Mke mkubwa ana maneno manyaufu sana kwa kutumia neno baradhuli kila wakati kumwambia mumewe na wakati anamtaka na anasema haachwi mtu sio vizuri kutumia neno (Baradhuli)

  • @MichaelLawei-nc6th
    @MichaelLawei-nc6th Рік тому +1

    Mke mdogo ni mzul achanana nahuyo mkubwa anakawenge

  • @bonysulemani
    @bonysulemani Рік тому

    Sauti ni tatizo tubadilike zingatia location

  • @SalumAli-dg6cs
    @SalumAli-dg6cs Рік тому

    Sauti aiko saw

  • @bonysulemani
    @bonysulemani Рік тому

    Move za kibongo bwana kilasiku nikukoseya tuu tutabadilika lini?

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 Рік тому

    Ssa ulikua wataka ufiche mpaka lini,sheria ni wake wanne

  • @Ronaldo78943
    @Ronaldo78943 Рік тому

    ❤😢😮😅

  • @JannatKuraishi
    @JannatKuraishi Рік тому

    Mke mkubwa mshari eti fizi zote sinatoka jasho🤔

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx Рік тому +1

    Njia ya mwongo ni fupi

  • @zainabdadu2667
    @zainabdadu2667 Рік тому

    😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤

  • @Najmah27
    @Najmah27 11 місяців тому

    😂😂❤😢😮😮😮😂😂😂😂😂

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Рік тому

    M’ke mtu mzima yatima???