"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html
Ukweli wanawake asili yao niwivu Na wivu ndio upendo.bila wivu no lav. Ila mwanamke mwenye kelele anakinaisha san.maan mapnz niutuliv wa moyo na akili kutulia. Ila mke mdogo anavutia san . Kama mim ningehama hata hiyo nyumba namuachia 2 kwani nin ban
Asikasirike vp si w’ke wote wanaopenda kuolewa mke wa 2,3,4. Au unadhani ww kila mtu anapenda mashaka??? W’ke wenyewe wa sasa wengi washirikina na w’me ndio kabisa hawajitambui.
C mke mkubwa Ana qubu ni mume ndio Ana makosa angemwambia nina mke wapili ajue ataishije....kosa mpemba.makaka mkiowa mseme ni hatari mwaeza kufanya mtu auwe😮
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html
Mke mkubwa ana maneno manyaufu sana kwa kutumia neno baradhuli kila wakati kumwambia mumewe na wakati anamtaka na anasema haachwi mtu sio vizuri kutumia neno (Baradhuli)
❤masha llah mke mdogo mzri na tena anajistiri vzri
Ila mke mkubwa ana gubu mno😂😂😂 to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hogereni mlipangilia vizuri sana anafaa sana kwa kuelimisha jamii
Kwa kweli iko vizuri ubaya upo kufananiza kisa cha mpemba mpemba gani huyo anaye pelekeshwa
Mashallah mola awabariki nimependa sana igizo
Jaman mm nilikuwaga siangaliag bngo move lkn hapa mmeniweza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mutabaki na mateso waswahili kwa kukataa sheria za Mungu,wake ni wanne,waacheni waume waoe wastiri wenzenu
Bb mkubwa 😂😂😂😂😂maneno ka chiriku😂😂😂😂❤❤❤❤
Movie nimeipenda sana mke mkubwa walai kaniacha hoi❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Inshallah tunaomba part 2film nzuri sana.
Michezo ya kitanga hiyo,mnaeza iko vizuri ❤.
Hapo ndo nnapompendea Siyawezi ❤❤
Mke mkubwa safi san
❤🎉muwe mnatoa taarifa mnapo owa
Good job
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html
😂😂😂😂😂ni siyawesi huwa nampenda sn
Wifi nae mnafki
Aposawa mwana mk ana dekezwa
Nazkubali kazi zenu
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html
@@swahilihub7630good job
Mafinzo kwa wake wetu
Hapo mwanamke hasidi umekoseya dada
Alekosea ni mume
Good job ❤❤❤❤❤❤😂
Nzuri ila mwanaume ako na makosa, hakuna mwanamke ambaye anaweza kuchekea hili lililofanyika hapa
Nzur sana
Huyu ndiyo siyawesi am❤❤❤
Usisingizie kua huna faida ya kuolewa na mtu mweupe si umetafuta mbegu uzae mtoto mzuri
Ila mashemeji wanafiki jamanii yan anajua kila kitu lakn n kama hajui lolote😂😂😂
Ndo mkome wake wadogo mjifundishe kabla hamjaingia kwenye ndoa muwachunguze wanaume kwanza
Mwanaume anamakosa saana
Ukweli wanawake asili yao niwivu
Na wivu ndio upendo.bila wivu no lav.
Ila mwanamke mwenye kelele anakinaisha san.maan mapnz niutuliv wa moyo na akili kutulia.
Ila mke mdogo anavutia san .
Kama mim ningehama hata hiyo nyumba namuachia 2 kwani nin ban
Mh hatar sana
Boss
Hii familia ya mke mdogo iko na makosa japo mume hakuwaambia kama yupo na mke tayari,anefaa kukasirika ni mke mkubwa,uke wenza kazi😅😅
Asikasirike vp si w’ke wote wanaopenda kuolewa mke wa 2,3,4. Au unadhani ww kila mtu anapenda mashaka??? W’ke wenyewe wa sasa wengi washirikina na w’me ndio kabisa hawajitambui.
Hilo nalo neno
Sauti ipo😂wewe ndio sim lako bovu
Mke wa pili wa babu Ali ni mke na anastahiki kuwa mke coz Kila sifa na sababu anayo ya kuwa mke
Huyu jamaa ni mpuuzi anaongeza mke halafu hajiamini hawezi ku handle hawa madem anaendeshwa tu mpuuzi anatutia aibu wanaume wa shoka
Nimerudi....wekeni mike vya nguo part zengine hatuskiiii plsss
Mpemba noma
Safi bi mkubwa
Tuwekane sawa sio sheria wane but ni ruksa 4 ni ruksa muislam kuoa 4 na atimize masharti km aya inavoeleza
😂😂😂😂😂😂😂 balaaa
C mke mkubwa Ana qubu ni mume ndio Ana makosa angemwambia nina mke wapili ajue ataishije....kosa mpemba.makaka mkiowa mseme ni hatari mwaeza kufanya mtu auwe😮
Uko sawa
Wifi penda cheupe kama kaka fisadi weee
wake wakubwa tatizo mazowea
Ukwer ni mzur kuliko kupendelea kuficha mwambie tu ukwer
Mpembaa jamani ndio Tania zao
Mke mdogo mpole ila mume unamakosa piya
Kwakweli Wana ume muwe wakweli
Watu weupe mna nuksi kwanza kwanini
😂 vizuri .
Wifi unaliya kama kaka pumbavu
Huyo jamaa bazazikwelikweliwrhuuuuu!!!!!!
❤
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia
ua-cam.com/video/ngmfpktktPg/v-deo.html
Fala huyu
good movie
Maskini babu ally pole mwaya ila wanaume mkioa semeni ukweli kwa wenzenu 🤔
Mke mkubwa ana maneno manyaufu sana kwa kutumia neno baradhuli kila wakati kumwambia mumewe na wakati anamtaka na anasema haachwi mtu sio vizuri kutumia neno (Baradhuli)
Mke mdogo ni mzul achanana nahuyo mkubwa anakawenge
Mkubwa ndo mzuri mtu chake
Sauti ni tatizo tubadilike zingatia location
Sauti aiko saw
Move za kibongo bwana kilasiku nikukoseya tuu tutabadilika lini?
Ssa ulikua wataka ufiche mpaka lini,sheria ni wake wanne
❤😢😮😅
Mke mkubwa mshari eti fizi zote sinatoka jasho🤔
Njia ya mwongo ni fupi
😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤
😂😂❤😢😮😮😮😂😂😂😂😂
M’ke mtu mzima yatima???