Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MAGUFULI AMVAA KICHERE, AMTAJIA MAKOSA ALIYOFANYA "NITAKUTUMBUA TENA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 чер 2019

КОМЕНТАРІ • 137

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 років тому +20

    WE NEED MAGUFULI IN KENYA JUST FOR A MONTH

  • @greciousnewgeness3170
    @greciousnewgeness3170 5 років тому +12

    This is JPM!! Penda sana rais wangu!!! MUNGU BABA AKUTUNZE MILELE!

  • @gilbertrutayuga4676
    @gilbertrutayuga4676 5 років тому +6

    Jamani watanzania tusome alama za nyakati nchi imebadilika hii. Yatupasa kufanya kazi kwa uadilifu sana.

  • @meritinakashaba968
    @meritinakashaba968 5 років тому +8

    Tanzania sasa ni sehemu ya kuishi kwa mambo anayofanya mh raisi hata wazungu wataomba kuishi tanzania

  • @kwayayakanisawainjilisti-b6794
    @kwayayakanisawainjilisti-b6794 5 років тому +3

    "Waambie Tanzania is a peaceful country, politically stable" ninaikubali hii Kauli, viva Mhe. Magufuli.

  • @leonidamukandala5989
    @leonidamukandala5989 5 років тому +5

    Uongozi ni shughuli ngumu sana waweza kuwa mwadirifu ila unaofanya nao kazi wakawa mabomu yakaja kukulipua

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 років тому +7

    Wow! Jpm hapa umenichekesha . Eti watu wa TRA. Hawakusoma. Tatizo lililopo walizoea serikari zizopita walikuwa hawafwatiliwi . Kila kitu ilikuwa freedom .

  • @billalphilip5776
    @billalphilip5776 5 років тому +4

    Pliz tz tusaidieni na Rais Magufuli atawale kenya 2 weeks onlyy
    Please please tusaidieni😂😂😂

  • @ombennassary7438
    @ombennassary7438 5 років тому +2

    JPM sijui ulikuwaga wapi ungeongoza hii nchi mapema tungekuwa mbali

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 років тому +3

    MR. PRESIDENT DO NOT THINK THAT EVERY EDUCATED PEOPLE ARE CLEVER. LIKE I SAID THEY JUST CREEMING BOOKS. WHAT YOU NEED IS YOUR HEARD AND BRAIN TO WORK (THINK) . SO CHANGE THAT IDEA OF CHOOSING EDUCATED PEOPLE WITHOUT BRAIN.

  • @frankjonas1094
    @frankjonas1094 5 років тому +4

    Duuuuh!Safi sana mheshimiwa nakubali uamzi wako!Mungu akukumbuke

  • @emmanuelayall5029
    @emmanuelayall5029 5 років тому +6

    Man in action not word, JPM kiukwel unastahili kuwa hapo.

  • @alystidesthomas5242
    @alystidesthomas5242 5 років тому +3

    Tunaomba Mh Rais aaangalie sababu ya kupanda kwa ada za m-pesa elfu 5,000 makato 900 inatuumiza sana

    • @lazaromnjeja4572
      @lazaromnjeja4572 5 років тому +1

      Thomas umeongea point watu wanachekelea tumbuaaaa tumbuaa wanajisahau kuwa wanaliwa na mchwa wa mitandao

    • @momadeatibo6729
      @momadeatibo6729 4 роки тому

      kila kitu yeye tu;;;.

  • @mectridasimon6775
    @mectridasimon6775 5 років тому +2

    Ukicheka na nyani utavuna mabua. Nakupenda Sana Dr. JPM piga kazi

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 5 років тому +8

    Ni kweli muheshimiwa hata ukinunua.nyumba .pia wanakulipisha pesa nyingi na wao.pia wanataka pesa lakini ss dawa tushaijua tutawanyoosha tu TRA.na.kupenda rushwa kwenu kiukweli wananchi tumechoka

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 5 років тому +3

    Rais uko smart kila sekta uko sawa.sijawai kuona mtu mwenye kipawa kama uyu baba.haiwezi kutokea tena.Piga kazi babangu.Ongera sana

  • @fahminasser3855
    @fahminasser3855 5 років тому +4

    Sasa jmn hawa wanaoteuliwa na waliopo watafundshwa na jpm mpaka lini yani wamekuwa kama mazezeta pole father JPM una majanga na hawa watu tumbua

  • @geofreymbogolela5258
    @geofreymbogolela5258 5 років тому +4

    Heshima kubwa kwa mheshimiwa Rais chapa kazi

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 4 роки тому

    Kwako Mh.Magufuli
    Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya -
    Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___
    1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea.
    2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani.
    Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ?
    Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani?
    3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ?
    4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ?
    Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi?
    5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .?
    kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi.
    Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao?
    Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu.
    6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi?
    7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini?
    8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ?
    9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu?
    10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ?
    Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi.
    11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.?
    Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani?
    12 Mheshimiwa Laisi. Eti kama tunaitaji kuanzisha Kiwanda Tuanzie na CHELEHANI ngapi ?
    Suali la mwisho Muheshimiwa
    13. Wanasema Ulitembea na shemegi yako. Je ! Ulizaa nae ?
    Au ulikuwa ukipita pita juu juu tu?
    KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO.
    BWANA YESU ASIFIWE !
    CCM OYEEE !!

  • @goodluckndambo4065
    @goodluckndambo4065 5 років тому +4

    Raisi wanaotumbuliwa wasishike tena nyazifa wapowengi mtahani wanao tafuta ajira

  • @afidhusultan4967
    @afidhusultan4967 5 років тому +2

    Mweshimiwa nakubali kazi unayopiga ni ya ukweli heee Mubarak rais wetu na pia mbarik mkuu wa mkoo wetu bwana Paul makonda pia ibarik tanzania

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 5 років тому +2

    Amen Amen. Pole Mzee wetu. Mungu akusaidie . Amen.

  • @twahibayasini7373
    @twahibayasini7373 5 років тому +7

    Hongera sana rais wangu mungu akuongeze miakamingi sana yakuongoza nchihii miaka yote mpaka munguakupende zaidi

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 4 місяці тому

    Wangapi mmeangalia hii baada ya report ya CAG ya 2023/2024

  • @cecy3831
    @cecy3831 5 років тому +6

    He's actually sensible, and stands for truth and the benefit of every citizen! I love my president.

  • @oscarkasalile1339
    @oscarkasalile1339 4 роки тому +1

    Mzee hao Tra wanakuhujumu

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 5 років тому +1

    Dah asee Hongera JPM

  • @paulsimon5838
    @paulsimon5838 5 років тому +2

    Magufuri ulitakiwa uongoze zaidi ya miaka20

  • @leonidamukandala5989
    @leonidamukandala5989 5 років тому +2

    Dawa ya wapenda vya dezo ni ndogo tu kujua majina yao na uzuri ni kuwa wafanyakazi wa serikali wanavaa vitambulisho na vina majina

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 років тому +6

    Watumbue baba.msema kweli mpenzi wa mungu

  • @zakayocomplex5126
    @zakayocomplex5126 5 років тому +8

    Mzee baba mm naomba tu unaibu waziri huo Moto mm ndo nauweza

  • @salminiyussuf989
    @salminiyussuf989 5 років тому +7

    😄"Chai moto, kombe la bati, jua kali, pekupeku. Unaambiwa kunywa!!!"
    😊"kwikwiikwiiiii.Bongo ile sio ya leo bhana!!!"
    👴"Zama za kubembelezana na kulindana-lindana RIP"

    • @evaristmandilindi6147
      @evaristmandilindi6147 5 років тому

      Nimecheka sana

    • @badrudinrashidi7825
      @badrudinrashidi7825 5 років тому

      Wale wa Chadema in blood muwe mnatoa hisia zenu. Mm huyu Raisi nampenda sana. Ati kuna mtu anajiita raisi wa Mbeya. Jamani!!! Watanzania wana vituko!!!

    • @reubenmajambo1270
      @reubenmajambo1270 5 років тому

      @@badrudinrashidi7825 😀😀😀

  • @jastinmatoz7570
    @jastinmatoz7570 5 років тому +2

    Mh vipi kuhusu wastafu haki zao hadi wanakufa hawajapata tumbua na hawa wanakwama WAP?!

  • @danielgwilenza4209
    @danielgwilenza4209 5 років тому +1

    Sawa baba tunakupata vizuri mzee wetu Magu

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h 9 місяців тому

    Magufuri msema kweli .kukusanya kodiiiii

  • @abuudharishahidy3074
    @abuudharishahidy3074 5 років тому

    Nna wasi wasi nao hao unaowateuwa mh rais
    Tatizo ni wao na wizara zao
    Wanyonge bado wanalia lkn
    kwa Mungu watajibu, hatutoweza kumsukuma mtu sisi milioni 50
    watanzania apenye kwenye tundu ya sindano mbele ya Mungu.bora wafukuze na uteuwe wanyonge ili nawe uje upate mwisho mwema, wasije kukukosesha pepo. kwani mtaulizwa🎁🎁🙏

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 років тому +3

    Kweli ni MUNGU ni mwema kweli tena ni mwesa wa kila kitu na hakuna mwingine badala yake HALLELUJAH

  • @BakarIdi-qc8yf
    @BakarIdi-qc8yf 6 днів тому

    Pumzika kwa aman jpm

  • @borndorminant2701
    @borndorminant2701 5 років тому +2

    Mnyonge mnyongeni... haki yake....

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander3641 5 років тому +1

    NICE SPEECH.

  • @peterluoga458
    @peterluoga458 5 років тому

    Hongera mh rais mungu akuzidishie uzima na afya njema

  • @immanuelinvocavith1498
    @immanuelinvocavith1498 5 років тому

    Tutamlaumu huyu mze kwamba ni mkali lakini watanzania walijisahau sana watu wanawabambikia watu madeni makubwa watu wanashindwa kufanya biashara mnamlaumu mze baba piga kazi Mungu atakulinda

  • @katokabuhaya859
    @katokabuhaya859 5 років тому

    Tulichezewa mno rais wetu mungu akutangulie akupe afya njema

  • @nestor384
    @nestor384 5 років тому

    Mhe. rais Magufuli akimaliza muda wake sijui tutapata wapi mwingine mwenye spirit kama yake.
    Mungu wa mbinguni tuongoze.

    • @pirminmatumizi5464
      @pirminmatumizi5464 5 років тому

      Hapo ndipo Watz mtatambua kuwa pilipili siyo mboga. Changamoto siyo aina ya Rais bali ukosefu wa Mfumo wa kudumu na imara wa kusimamia mifumo mbalimbali Nchini.

  • @nestorymbossa7061
    @nestorymbossa7061 5 років тому

    Hongera mh rais wangu sasa nitaanza kuipenda Airtel baada ya kuichukia miaka yote iliyopita.

  • @mogelachengula3501
    @mogelachengula3501 5 років тому

    Mjomba magu naomba uwe baba wa taifa wa pill Tanzania ss masikini tunakuelewa sana

  • @venahsithole6463
    @venahsithole6463 5 років тому

    Kujengea wananchi nyumba nzuri zakuishi ni kodi

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 років тому

    Kweli kabisa baba nchi ni kodi. Mimi naishi us iwe hoter mfanyakazi anayetumika kutandika vitanda lazima check yake ikatwe kodi migahawa lazima ulipe kodi .

  • @jumamkanjima2670
    @jumamkanjima2670 5 років тому +1

    Mjomba mmi japo c mwanachama wa chama chochote ila ni 1 mpenda mageuzi ya kweri ili kwa hiri mjomba 2po pa1. Ila2 mjomba labda nikupe nikupe neno hao viongozi wa t.r.a hata wabunge wengiwao ndani ya bunge akiwemo spika ndugai hao ndo wanaokuhujumu ili mwakani wamuweke mwizi wa nnchi anaeweza kuibanao

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 5 років тому +1

    Dah kuongoza nchi n kaz

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 років тому +1

    WHAT WE DO AT SCHOOL WE JUST CREEM THE BOOKS , AND THAT EVERYBODY CAN DO IT . WHAT WE WANT IS ACTION.

  • @sulymanothman7122
    @sulymanothman7122 5 років тому +1

    Watumbue baba wamezidi sn hawa

  • @patrobamaingumtwale6019
    @patrobamaingumtwale6019 5 років тому

    Pengine wanahisi hujawapa Uhuru huo walio wengi hawafanyi kazi kwa weledi wa taaluma zao ila wanaogopa huku wakisubiria kusukumwa

  • @emmanueldundo6046
    @emmanueldundo6046 5 років тому +3

    Formula ya mungu 😂😂😂

  • @majosamalundi4016
    @majosamalundi4016 5 років тому +4

    Katika siku ambazo nimekusikiliza mweshimiwa laisi leo umeongea ukweli mtupu

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 5 років тому

      Hakuongea ukweli leo tu, kama ulikuwa hujui bac nikwamba anaongea ukweli siku zote...

    • @rafiuiliyasa2416
      @rafiuiliyasa2416 5 років тому

      Majosa Malundi k

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 5 років тому

    Sema Raisi Wetu Hao Wanaonunua Mazao Shambani Wajitaidi Kupandisha Bei Kwa Wakulima Mana Kama Kodi Zinatolewa Hau Kupunguza Wakulima Wapewe Bei Nzuri

  • @samwelshilungu4370
    @samwelshilungu4370 5 років тому

    Ukiwatoa uwafirisi. Maana wameshafisadi tayari. Sasa unatumbua na kuwaacha wale maisha.

  • @tithomwamengo6571
    @tithomwamengo6571 3 роки тому

    Kwamaamuz tu nakukubali

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 5 років тому +1

    Speed 180 magufuli

  • @nyandamisana3630
    @nyandamisana3630 5 років тому +2

    Haiwezekani mtu mwenye dhambi aende mbinguni et kisa watu wengi wamemuombea, matendo yake ndio yatamuweka mahari anapotaka

  • @abdallahmwanyende66
    @abdallahmwanyende66 5 років тому +1

    Tamaa,,, greedy will take us all to hell fire 🔥,,, tatizo lao tamaa tu roho hazija ridhika

  • @aammede
    @aammede 5 років тому +7

    Rais awaombe radhi messengers wote..kazi yao ni ya ajabu! 😂😂😂

    • @nestor384
      @nestor384 5 років тому

      Ukiilinganisha na ya umeneja wa forodha ndani ya tra kweli umessenger ni kazi ya ajabu

  • @izzataman6219
    @izzataman6219 5 років тому +1

    Nicca got two side 🤔🤔

  • @khalidali1130
    @khalidali1130 5 років тому

    Mzee tumekukubali wazi wamezoea kutunyanyasa wanadhan nafas wameumbiwa wao hao ndio wanawafanya watu waish km tupo ukimbizn nchi mwetu dah hatar

  • @sofialinus2944
    @sofialinus2944 5 років тому +1

    Something is better than nothing 🙄🙄🙄 👏 👏

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 років тому

    Maigizo tu haya ,yani anasifia kupandisha kodi huku anaponda malalamiko ni mengi

  • @atikombogolo2356
    @atikombogolo2356 5 років тому

    KICHERE AMESHINDWA CHUKUA KODI KWA BISHOP KAKOBE😉😉😉😎😎😎

  • @olivercloud5597
    @olivercloud5597 5 років тому +2

    Sasa rais unatuhambia kodi kodi kodi, ila atuhoni kodi yetu inafanya nini? Barabara atuna kabisaaaaa. Dar kwenyewe barabara akuna. Kodi kodi kodi.

    • @kiyabonjemu9885
      @kiyabonjemu9885 5 років тому

      Huna busara

    • @davidchesco52
      @davidchesco52 5 років тому

      Mzee Wabusara kumbe huon eeh yanayofanyika bac watoto wako ama ndugu zako wataona

    • @bettymassanja881
      @bettymassanja881 5 років тому

      Barabara za Dar ni mahandaki utadhani hatulipi kodi mbalimbali!

  • @victustemba
    @victustemba 5 років тому +1

    Chumaa

  • @musanoha1135
    @musanoha1135 5 років тому +1

    Wahivyo hatakwetu wapo ngongona dodoma

  • @ibraeliya7760
    @ibraeliya7760 5 років тому +1

    Usicheke na mtu, we kaza tu one day tutaona matunda yake

  • @Mr_Ben255
    @Mr_Ben255 5 років тому +1

    Sawa baba magu

  • @mariamabdull4134
    @mariamabdull4134 5 років тому

    Safisana mh. Rais waeleze ukweli

  • @williamsesthony4951
    @williamsesthony4951 5 років тому +1

    Tumbua Tunduma

  • @ablysonco8850
    @ablysonco8850 5 років тому

    Its true...Something is better than Nothing...

    • @mubasosi7932
      @mubasosi7932 3 роки тому

      Samahan jaman mwenye namba ya mheshimiwa raisi anipe tafadhali nateseka sana jaman

  • @barnabaschuwa7820
    @barnabaschuwa7820 5 років тому +1

    Mng akupe miakaa km yoteee

  • @mwajumamachalila2928
    @mwajumamachalila2928 5 років тому

    Mzee nakuelewa ujue

  • @faustinejoseph362
    @faustinejoseph362 5 років тому +1

    tumbua wajingajinga wote wanao jinufaisha wenyew nchi c mama zao ni yawatanzania wote penda sana rais wngu

  • @hanifawaliya7976
    @hanifawaliya7976 5 років тому

    Walegezee kidogo mkuu. Duuu 180 naona

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 років тому +1

    Huu mwaka wa mafisad watanyooka tuu

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 років тому

    Wambie baba nadhani watakuelewa tu

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 5 років тому

    Mzee kwani vipi! hutaki tena yale makusanyo ya kuvunja record 1.3 trillion? Au sasa unataka turudi kule kwa 0.8 trillion?

  • @salumumsike8175
    @salumumsike8175 5 років тому

    Unafanya vnzr baba

  • @evaristmandilindi6147
    @evaristmandilindi6147 5 років тому +2

    Bonge la presida

  • @musanoha1135
    @musanoha1135 5 років тому

    Uko vizul baba endelea vnyohinyo

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 5 років тому

    Usahau pia unakinyongo!!!!! Kwanini sheria muweke ya mtu kukadiria??? Upuuuzi!!! Utawabadilisha sana!! Kamishina hawexi kuwepo kila mahala!!!! Utapigwa sana!!! Mfumo!!! Maneno manenooooo!!

  • @ernestsinje9532
    @ernestsinje9532 5 років тому

    kodi kubwa mnoo

  • @asiaokeay1654
    @asiaokeay1654 5 років тому

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @freddokuckelmann8502
    @freddokuckelmann8502 5 років тому +1

    Haha, Mbinguni huendi kwa sala. Mungu ndiye anayeamua kutokana na matendo yako.

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 5 років тому

    Zilipendwa enzi za kupiga dili mh jpm tumbua hao

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 5 років тому +1

    Ninatamani, sana rais wangu, utawale miaka yoteeeee, uliyopewa na munguu

    • @haroubhamoud8701
      @haroubhamoud8701 5 років тому

      Hawa watendaji wangekuwa na akili robo tu za muheshimiwa Rais basi nisingekuwa na haja ya kuzeeka mapema.

    • @pascalsauwa4914
      @pascalsauwa4914 5 років тому

      Nilimwamini sana Rais wetu ila kwa haya! Rais analalamika kama Mimi na we we du! sijui kama tutafika. Shida ya malengo binafsi au yakufikirika? Stglas, Rail ya kisasa kwa hela zetu! wakati bajeti iko wazi, ukweli tuambiwe tuu, mbona tunalipishwa kwa namna inayotuumiza hivi? Rais analalamika pengine kuliko walipa kodi! Serikali inabidi kujitafakari

  • @justinezablon6699
    @justinezablon6699 5 років тому

    mmmh asijal tutamsukuma ataingia tyuu mbingunii😅😅😅😅😅

  • @laumasefi66
    @laumasefi66 5 років тому +1

    Rais tumepata

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 5 років тому

      Nyanda Misana ukitenda mema watu wanaweza kukuombea kumbuka yule mtu kwenye biblia aliombewa na watu kwa Yesu kwa sababu tu aliwajengea hekalu na Yesu akamsikiliza

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 років тому +2

    Safi mkuu mi nakuekewaga sana tangu zamani sana tena za kaleeee

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 років тому

    Kweli ni MUNGU ni mwema kweli tena ni mwesa wa kila kitu na hakuna mwingine badala yake HALLELUJAH

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 років тому

    Wambie baba nadhani watakuelewa tu

    • @abdallahmohamed2669
      @abdallahmohamed2669 5 років тому

      Watu tulio wengi tunashindwa kuelewa kwamba maofisa wengi maofisini wanafanya kazi kwa woga mno. Hawako huru ktk kutekeleza majukumu yao.
      Wengi hujiuliza nikifanya maamuzi haya je yatamridhisha bwana mkubwa?!?!

    • @lucasmkui9333
      @lucasmkui9333 5 років тому

      SAFISANA, TENAWATOE MOJAKWAMOJA WAKALIME, TUNAKUOMBEA RAIS WETU UDUMU TENA UWE RAIS WAKUDUMU

  • @Mr_Ben255
    @Mr_Ben255 5 років тому

    Sawa baba magu