MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE
Вставка
- Опубліковано 20 кві 2022
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE
#Bonatv #Exclusive #BabaLevo - Розваги
Tanzania pole pole ni kweli tabia inatuchelewesha mambo mengi
Bi levo baa! Fundi manyumba kumbe unajulikana had na wazungu😂😂
🗣️🗣️🗣️we mtangazaji we.
Muongeleshe Swahili ivo ivo.
Nimependa kanavyoongea kiswahili, kweli kanajaribu
Baba Levo Mwali wa kuzungu Huyu mbona mrembo hivi.
Nakupenda Sana Rita Frenzel 😍😍nataka niwe kama wewe ipo siku nitaweza
Shikamoo wanaume wa bongo kwa kuomba ela😂😂😂😂
Sex ya wanawake
Noma sana😆😆😆
huyu mzungu anaijua shishi na baba levo na waimbaji na waigizaji tu 😂😂😂
Who doesn't love Baba levo? I love him too.
Mwezi mmoja tu anaongea kiswahili vizuri sana... she is great
No anasema alikuja Tanga myaka ya nyuma, but kwa sasa ndo ana mwezi Tz
Itaum sana🤣🤣🤣
@@fatmasaleh9516 Msenge akati matiti yake yanaonekana ya Mwana Mama kbs, au kashatoaga mimba 😂😂😂😂😂
Mswahili akiongea kizungu kibovu nwamtukana lkn madamu mzungu anaongea kiswahili kibaovu munamsifia
Jamani na nampenda huyo mzungu
Mzungu safi sana kwa kumpenda mwanangu Shilole good
Nimempenda sana, kweli anajitahidi kuongea Kiswahili
Sioendi ving'asit wanaomba sena ela watanitoa roho😂😂😂😂😂😂 ila wanaume wa bongo wamezidi daaah 😀😂😂
🤣🤣🤣🤣
Ati anampenda baba level na nyimbo zake😂😂😂😂
Ongera Ritha.welcome in Africa especially there at Tanzania
Nimecheka kwakweli hapendi vingasti wanaomba hela sana watamtoa roho.mzungu umejua kunichekesha kwakweli
Anaongea kiswahili halafu mwandishi anamuuliza unafahamu neno gani la kiswahili...daah. Anyway, nisicomment zaidi.
🤣😂
Safi sana unajitahidi sana
unafahamu neno gani lakiswahili, 😂
anazungumza kiswahili😊
Anamjua lakini baba Levo huyu. Au atakuwa kapandikizwa make baba Levo na shilole sio Wachache 🤣🤣🤣🤣
nimempenda mno Yuko vizuri
Aaasubutuuu uyo tabu sasa kma namuona 😃
akiaMungu mzungu hapendi ving'asti wanaomba hela lkn yuwampenda blue chawa mwenyewe 🤣🤣
Mwijaku hata lala, Babalevo anapendwa na mzungu. Mwijaku anacho
Hahahahah kwakweli
😀😀😀mwijaku
Hahahahaha umenichekesha san
Hivi kweli babalevoo na jitumbo lake like anajua kucheza ama ni boyaa tuu labda misthari
Mimi kicheko chake tuu🤣🤣🤣
Hahaha uyu mzungu anawasanii wake anaowapenda daaah
i like the guy the way he is direct..umeolewa? uko na mtoto hahahaha
Bro ongea Kiswahili. Kingereza kinakuchenga kiasi. Rita anaelewa Kiswahili
😂😂😂😂😂 apendi vibenten vitamtoa roho
mwandishi unajua sana kuongea nae kulingana na uzito wa kuelewa kiswahili alionao
Baba Revo✨✨✨✨✨
Karibu mafia rita
Spy uyo mzunqu
Ok huyu msanii nilimuona akicheza na watoto yukofiti
Eti vingasti watamtowa roho aaahaa
😁😁😁Eti sipendi ving, sti vinaomba hela
Kiswahili kizur dada mkarim na mchesh sana
Congratulations, karibu Kenya Rita
Babu ongea kiswahili tu we mtangazaji vipi..
Anajuwa kuongea vzr kiswahili big up
😅🤣🤣😂😂😅😅Baba levo bilevobaaaaaaaa wapendwa jamani nihicho kipua chakooo wanao kutukana nawapa poleeeeee
Sipendi vinyasti!!
Mzungu
itauma uwi wee mbona ulizaliwa 🤪🤪🤪🤪🤪
Baba Levo ananyimbo zakupendwa nayeye😂😂😂😂😂😂😂😂
Madini yetu yanaenda hivi hivi jamani🤣🤣🤣wanakuja kujitongozesha kumbe wana inshu zao🤣🤣👌🏼ila tunaona sifa eti tunapendwa wapiii🤣🤣🤣
huy sio mzungu, hadi ving'ast anawajua😃😃😃
🤣🤣🤣🤣
Bona TV naomba number ya huyo dada wa kizungu yuko poa sana
Yy kaondka kalfonia kaja tz kutafuta maisha .. tutaona mengi mwaka huu
😂😂
Chawa,noma unapendwa jiko hilo🤣🤣🤣
😂😂😂 itaumaa sanaa
Afanye kazi na Mr bigi bigi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti baba levo anajua kuimba
Nipeni namba yake ya cm
Watakutoa roho kweli😀😀😀😀
kanyoa kapenfeza kweli yani
Lita amesemaukweli, kuzaaaa siomchezo, 😁 😁 😁
Ukiwa mzungu Hata kama unaokota makopo, ukija Africa lazima usujudiwe.
Umesema kweli tunawathamini sana hawa viumbe.
Kawaida akija huku bado ni Tajiri kuliko uko kwabo
Huyu Mjamaa ni kutongoza anatongoza ki siri siri
Hapendi ving'asti wanaomba hela watamtoa roho Mzungu huyu ni balaaa tupu😂🤣🤣
🏃♂️😂😂😂😂 wabongo nomaAaa
Ving'asti mtamtoa roho dada wa watu pesa waombe ving'asti aibu naona Mimi 😂😂😂
😀😀😀😀
Camera man weka light sioni vizuri
Watangazaji WA Tz bwana. Sasa maswali gani MTU unaongea nae Kiswahili halafu unamuuliza kama anajua Kiswahili.
Heheheheh..... difference between California n Arusha?
Hahah eti itauma🤣🤣
Asa ww kingereza cha nn natuko tz. ...acheni izo wabongo
Mmmh hakuna mzungu hapa
What is the diff between Callifonia and Tz. 🤣
Makandee hahahahahah wee mzunguu jaman
Kusema ukweli hizo sifa baba levo hana hata moja.
Rita njoo kwangu, sitakutoa roho mimi nitakuonga
Kweli iyo nimzungu
hapo ka baba levo anajua kuimba na kucheza,, umetudanganya
Kwahyo ulitaka aongee maoni yako hivi watu uwaga mkoje
Katupiga🤣🤣🤣🤣
Nyinyi mnahoji mzungu njaa, unapendaje vyakula vyote ivyo
Huyu ni hatari
Kanajua kiswahili
Acount yake you tube amesema inaitwaje?
Mtangazaji anaongea kiswahili kama mzungu 😂😂😂 ila hayo maswahili ulio uliza kwa kuzungu umesoma
Khaaaaa huyu mzaramo uyu😂😂😂😂🙌
Nice
Ndugu mwandishi muda wote unatukumbusha jina!!😎
Angalia watanzania Tulivyo na akili Mbovu Diamond Alivyo kosea tu Kusema kwamba I'm 31st watu walimcheka wakamuona hajaelimika ila mzungu wetu Anavyo koses kutamka maneno watu wanaona kawadia kwasbabu sio lugha yake. Aisee
Hio ni ndugu umegonga ndipo from 🇰🇪
uyo alikimbia vita ya Ukraine na Russia
Mzungu yuko poa nanimzuri sana
Good
Tabu mtigita umependwa
Hahaha wanaume wa dar wanapenda kuomba hela hawana aibu
Yaani aibu
Mtangazaji anaongea kiswahili Cha kizungu mweeeee😆😆😆😆
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unafahamu neno lipi La kiswahili wakati anaongea kiswahili aisee? Mtangazaji hapo mmmm
Saleh hapo itauma sana nahc ultaman kumwambia haiumi ww tuliaaa😂😂😂😂🤣
😹😹😹
Uyu wa mzungu wa mbagala
Mwandishi achaushambaa,,navingeleza wakati mzungu anataka kiswahilii
huon mzungu anachanganya
Kibua huyo
Watu wakiona mzungu wanajua anamihela wanaomba hela 😅😅😅😂😂😂😂😂😂 mtoto wa kiume nguvu ya kuomba hela mwanamke unaitoa wapi?
🤣🤣
Wanaume wa sasa hawana haya hata kidogo
Yani wanaomba hela wanaume sanaaa tu mimi mwenyewe nimeshaombwa kiukweli
@@suzanamwangingo2995 Msiwape wanatudhalilisha sana
Kwani kuombana ni kosa?
mtangazaji msaidie maneno mengine
Unampenda baba levo ww