MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 кві 2022
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE
    #Bonatv #Exclusive #BabaLevo
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 193

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 2 роки тому +13

    Tanzania pole pole ni kweli tabia inatuchelewesha mambo mengi

  • @oslaboy8303
    @oslaboy8303 2 роки тому +9

    Bi levo baa! Fundi manyumba kumbe unajulikana had na wazungu😂😂

  • @jumaradhcompany3792
    @jumaradhcompany3792 2 роки тому +6

    🗣️🗣️🗣️we mtangazaji we.
    Muongeleshe Swahili ivo ivo.

  • @ferouzrakeem6532
    @ferouzrakeem6532 2 роки тому +9

    Nimependa kanavyoongea kiswahili, kweli kanajaribu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому +6

    Baba Levo Mwali wa kuzungu Huyu mbona mrembo hivi.

  • @leoniemlilapi1429
    @leoniemlilapi1429 2 роки тому +3

    Nakupenda Sana Rita Frenzel 😍😍nataka niwe kama wewe ipo siku nitaweza

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 роки тому +9

    Shikamoo wanaume wa bongo kwa kuomba ela😂😂😂😂

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 2 роки тому +4

    huyu mzungu anaijua shishi na baba levo na waimbaji na waigizaji tu 😂😂😂

  • @aby21111
    @aby21111 2 роки тому +8

    Who doesn't love Baba levo? I love him too.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 роки тому +18

    Mwezi mmoja tu anaongea kiswahili vizuri sana... she is great

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys 2 роки тому +1

      No anasema alikuja Tanga myaka ya nyuma, but kwa sasa ndo ana mwezi Tz

    • @fatmasaleh9516
      @fatmasaleh9516 2 роки тому

      Itaum sana🤣🤣🤣

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys 2 роки тому

      @@fatmasaleh9516 Msenge akati matiti yake yanaonekana ya Mwana Mama kbs, au kashatoaga mimba 😂😂😂😂😂

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 роки тому +3

    Mswahili akiongea kizungu kibovu nwamtukana lkn madamu mzungu anaongea kiswahili kibaovu munamsifia

  • @brightonsospeter5100
    @brightonsospeter5100 2 роки тому +5

    Jamani na nampenda huyo mzungu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому +3

    Mzungu safi sana kwa kumpenda mwanangu Shilole good

  • @Filmz639
    @Filmz639 2 роки тому +9

    Nimempenda sana, kweli anajitahidi kuongea Kiswahili

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 2 роки тому +8

    Sioendi ving'asit wanaomba sena ela watanitoa roho😂😂😂😂😂😂 ila wanaume wa bongo wamezidi daaah 😀😂😂

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 2 роки тому +8

    Ati anampenda baba level na nyimbo zake😂😂😂😂

  • @abdoulkarimmabulu1416
    @abdoulkarimmabulu1416 2 роки тому +3

    Ongera Ritha.welcome in Africa especially there at Tanzania

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 роки тому +7

    Nimecheka kwakweli hapendi vingasti wanaomba hela sana watamtoa roho.mzungu umejua kunichekesha kwakweli

  • @amanijm746
    @amanijm746 2 роки тому +3

    Anaongea kiswahili halafu mwandishi anamuuliza unafahamu neno gani la kiswahili...daah. Anyway, nisicomment zaidi.

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 2 роки тому +2

    Safi sana unajitahidi sana

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin7374 2 роки тому

    unafahamu neno gani lakiswahili, 😂
    anazungumza kiswahili😊

  • @kephatz2814
    @kephatz2814 2 роки тому +2

    Anamjua lakini baba Levo huyu. Au atakuwa kapandikizwa make baba Levo na shilole sio Wachache 🤣🤣🤣🤣

  • @meddydoubledi1675
    @meddydoubledi1675 2 роки тому +3

    nimempenda mno Yuko vizuri

  • @lovecutetz9668
    @lovecutetz9668 2 роки тому +2

    Aaasubutuuu uyo tabu sasa kma namuona 😃

  • @musakaphu4581
    @musakaphu4581 2 роки тому +2

    akiaMungu mzungu hapendi ving'asti wanaomba hela lkn yuwampenda blue chawa mwenyewe 🤣🤣

  • @oyay2821
    @oyay2821 2 роки тому +5

    Mwijaku hata lala, Babalevo anapendwa na mzungu. Mwijaku anacho

  • @lovvy854
    @lovvy854 2 роки тому

    Hivi kweli babalevoo na jitumbo lake like anajua kucheza ama ni boyaa tuu labda misthari

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 2 роки тому +2

    Mimi kicheko chake tuu🤣🤣🤣

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 2 роки тому +2

    Hahaha uyu mzungu anawasanii wake anaowapenda daaah

  • @lawrencekabila8997
    @lawrencekabila8997 2 роки тому +1

    i like the guy the way he is direct..umeolewa? uko na mtoto hahahaha

  • @paulmukhwana5181
    @paulmukhwana5181 2 роки тому

    Bro ongea Kiswahili. Kingereza kinakuchenga kiasi. Rita anaelewa Kiswahili

  • @d1w4n1dmoko9
    @d1w4n1dmoko9 2 роки тому

    😂😂😂😂😂 apendi vibenten vitamtoa roho

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 2 роки тому +3

    mwandishi unajua sana kuongea nae kulingana na uzito wa kuelewa kiswahili alionao

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 роки тому +4

    Baba Revo✨✨✨✨✨

  • @geja8708
    @geja8708 2 роки тому

    Karibu mafia rita

  • @faridhasan4398
    @faridhasan4398 2 роки тому +3

    Spy uyo mzunqu

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 роки тому

    Ok huyu msanii nilimuona akicheza na watoto yukofiti

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 2 роки тому +1

    Eti vingasti watamtowa roho aaahaa

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 2 роки тому +1

    😁😁😁Eti sipendi ving, sti vinaomba hela

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 2 роки тому +2

    Kiswahili kizur dada mkarim na mchesh sana

  • @Damar1987
    @Damar1987 2 роки тому

    Congratulations, karibu Kenya Rita

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 2 роки тому +1

    Babu ongea kiswahili tu we mtangazaji vipi..

  • @cottamanywele1396
    @cottamanywele1396 2 роки тому +2

    Anajuwa kuongea vzr kiswahili big up

  • @ngabchris683
    @ngabchris683 2 роки тому +1

    😅🤣🤣😂😂😅😅Baba levo bilevobaaaaaaaa wapendwa jamani nihicho kipua chakooo wanao kutukana nawapa poleeeeee

  • @htx1873
    @htx1873 2 роки тому +3

    Sipendi vinyasti!!

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 2 роки тому +2

    Mzungu

  • @jamesobedy3687
    @jamesobedy3687 2 роки тому

    itauma uwi wee mbona ulizaliwa 🤪🤪🤪🤪🤪

  • @sumailiramazhani7121
    @sumailiramazhani7121 2 роки тому

    Baba Levo ananyimbo zakupendwa nayeye😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shaniashani7026
    @shaniashani7026 2 роки тому

    Madini yetu yanaenda hivi hivi jamani🤣🤣🤣wanakuja kujitongozesha kumbe wana inshu zao🤣🤣👌🏼ila tunaona sifa eti tunapendwa wapiii🤣🤣🤣

  • @isayakazimoto4826
    @isayakazimoto4826 2 роки тому +3

    huy sio mzungu, hadi ving'ast anawajua😃😃😃

  • @dismasdastan5493
    @dismasdastan5493 2 роки тому +1

    Bona TV naomba number ya huyo dada wa kizungu yuko poa sana

  • @mussamc641
    @mussamc641 2 роки тому +2

    Yy kaondka kalfonia kaja tz kutafuta maisha .. tutaona mengi mwaka huu

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 2 роки тому

    Chawa,noma unapendwa jiko hilo🤣🤣🤣

  • @buddahmakucha6848
    @buddahmakucha6848 2 роки тому

    😂😂😂 itaumaa sanaa

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 2 роки тому

    Afanye kazi na Mr bigi bigi

  • @fatmaamir380
    @fatmaamir380 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti baba levo anajua kuimba

  • @brightonsospeter5100
    @brightonsospeter5100 2 роки тому +1

    Nipeni namba yake ya cm

  • @rehemamajaliwa
    @rehemamajaliwa 2 роки тому

    Watakutoa roho kweli😀😀😀😀

  • @alphoncevicenti1289
    @alphoncevicenti1289 Рік тому

    kanyoa kapenfeza kweli yani

  • @mosatawi393
    @mosatawi393 2 роки тому

    Lita amesemaukweli, kuzaaaa siomchezo, 😁 😁 😁

  • @babalao910
    @babalao910 2 роки тому +5

    Ukiwa mzungu Hata kama unaokota makopo, ukija Africa lazima usujudiwe.

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 2 роки тому

      Umesema kweli tunawathamini sana hawa viumbe.

    • @user-bi9pn1pm8z
      @user-bi9pn1pm8z 2 роки тому

      Kawaida akija huku bado ni Tajiri kuliko uko kwabo

  • @Msemaukwelikweli
    @Msemaukwelikweli 2 роки тому

    Huyu Mjamaa ni kutongoza anatongoza ki siri siri

  • @absonbobby3257
    @absonbobby3257 2 роки тому

    Hapendi ving'asti wanaomba hela watamtoa roho Mzungu huyu ni balaaa tupu😂🤣🤣

  • @astonymathews6136
    @astonymathews6136 2 роки тому

    🏃‍♂️😂😂😂😂 wabongo nomaAaa

  • @shahashaha6269
    @shahashaha6269 2 роки тому +2

    Ving'asti mtamtoa roho dada wa watu pesa waombe ving'asti aibu naona Mimi 😂😂😂

  • @tonywambua9505
    @tonywambua9505 2 роки тому

    Camera man weka light sioni vizuri

  • @saidabwanakheri7432
    @saidabwanakheri7432 2 роки тому

    Watangazaji WA Tz bwana. Sasa maswali gani MTU unaongea nae Kiswahili halafu unamuuliza kama anajua Kiswahili.

  • @jamalmohamed3400
    @jamalmohamed3400 2 роки тому

    Heheheheh..... difference between California n Arusha?

  • @theresiagreyson9606
    @theresiagreyson9606 2 роки тому

    Hahah eti itauma🤣🤣

  • @dorcasemmanuel223
    @dorcasemmanuel223 2 роки тому

    Asa ww kingereza cha nn natuko tz. ...acheni izo wabongo

  • @bozbun3994
    @bozbun3994 2 роки тому

    Mmmh hakuna mzungu hapa

  • @frankkikambako9281
    @frankkikambako9281 2 роки тому +2

    What is the diff between Callifonia and Tz. 🤣

  • @dulummi1095
    @dulummi1095 2 роки тому

    Makandee hahahahahah wee mzunguu jaman

  • @amiduchiller8562
    @amiduchiller8562 2 роки тому

    Kusema ukweli hizo sifa baba levo hana hata moja.

  • @chumizola1847
    @chumizola1847 2 роки тому

    Rita njoo kwangu, sitakutoa roho mimi nitakuonga

  • @tatumussa651
    @tatumussa651 2 роки тому

    Kweli iyo nimzungu

  • @Dantaata
    @Dantaata 2 роки тому +4

    hapo ka baba levo anajua kuimba na kucheza,, umetudanganya

  • @yogwemwakulola4093
    @yogwemwakulola4093 2 роки тому

    Nyinyi mnahoji mzungu njaa, unapendaje vyakula vyote ivyo

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 2 роки тому +1

    Huyu ni hatari

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 2 роки тому +1

    Kanajua kiswahili

  • @davidjohson8195
    @davidjohson8195 2 роки тому +1

    Acount yake you tube amesema inaitwaje?

  • @twitchjeffjerry1483
    @twitchjeffjerry1483 2 роки тому +1

    Mtangazaji anaongea kiswahili kama mzungu 😂😂😂 ila hayo maswahili ulio uliza kwa kuzungu umesoma

  • @habibamahmoud3904
    @habibamahmoud3904 2 роки тому +2

    Khaaaaa huyu mzaramo uyu😂😂😂😂🙌

  • @waromaclassicvideoz764
    @waromaclassicvideoz764 2 роки тому

    Nice

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 2 роки тому +2

    Ndugu mwandishi muda wote unatukumbusha jina!!😎

  • @soccersouls7822
    @soccersouls7822 2 роки тому +3

    Angalia watanzania Tulivyo na akili Mbovu Diamond Alivyo kosea tu Kusema kwamba I'm 31st watu walimcheka wakamuona hajaelimika ila mzungu wetu Anavyo koses kutamka maneno watu wanaona kawadia kwasbabu sio lugha yake. Aisee

  • @john.jonijoo8808
    @john.jonijoo8808 2 роки тому

    uyo alikimbia vita ya Ukraine na Russia

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 роки тому

    Mzungu yuko poa nanimzuri sana

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 2 роки тому

    Good

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 роки тому

    Tabu mtigita umependwa

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 роки тому +1

    Hahaha wanaume wa dar wanapenda kuomba hela hawana aibu

  • @newahomwashiuya8858
    @newahomwashiuya8858 2 роки тому +2

    Mtangazaji anaongea kiswahili Cha kizungu mweeeee😆😆😆😆

  • @yohanakananika3586
    @yohanakananika3586 2 роки тому

    Unafahamu neno lipi La kiswahili wakati anaongea kiswahili aisee? Mtangazaji hapo mmmm

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 2 роки тому +1

    Saleh hapo itauma sana nahc ultaman kumwambia haiumi ww tuliaaa😂😂😂😂🤣

  • @jacksonlukaka4117
    @jacksonlukaka4117 2 роки тому

    Uyu wa mzungu wa mbagala

  • @meshajoni5662
    @meshajoni5662 2 роки тому +1

    Mwandishi achaushambaa,,navingeleza wakati mzungu anataka kiswahilii

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому

      huon mzungu anachanganya

  • @venancerichard920
    @venancerichard920 2 роки тому

    Kibua huyo

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 роки тому +6

    Watu wakiona mzungu wanajua anamihela wanaomba hela 😅😅😅😂😂😂😂😂😂 mtoto wa kiume nguvu ya kuomba hela mwanamke unaitoa wapi?

    • @hijamwinyi3233
      @hijamwinyi3233 2 роки тому

      🤣🤣

    • @qatr3475
      @qatr3475 2 роки тому +2

      Wanaume wa sasa hawana haya hata kidogo

    • @suzanamwangingo2995
      @suzanamwangingo2995 2 роки тому

      Yani wanaomba hela wanaume sanaaa tu mimi mwenyewe nimeshaombwa kiukweli

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 роки тому

      @@suzanamwangingo2995 Msiwape wanatudhalilisha sana

    • @benardmapuga8370
      @benardmapuga8370 2 роки тому

      Kwani kuombana ni kosa?

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 роки тому

    mtangazaji msaidie maneno mengine

  • @samiabashili9858
    @samiabashili9858 2 роки тому

    Unampenda baba levo ww