The Story Book BAHARI na Siri zake za Kutisha / Professor Jamal April azama baharini
Вставка
- Опубліковано 28 жов 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Kweli nime Amini ww ni professor tena ni wa kwanza kutokea Africa Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akupe afya iliyo njema uzidi kutuelimisha Jamal
Tumsapport huyu jamaa yuko vizur, pamoja sana jamal
Katika the storybook ambazo uliwahi kuzifanya hii ni dop! Hongera sana. Jitahidi ujielekeze kwenye huu mwelekeo kwani tunavyo vitu vingi Tanzania watu hawavijui. Hongera sana kwa maudhui, kifupi huchoshi!
Very impressive work
Salumu milanzi unamjua
Mara zote kilicho Bora lazima kisifiwe #ProfessorJamal you did it well nimependa the way ambavyo umepresent content ya story, mbali na ubora wa maudhui lakini pia sauti nzuri yenye ladha ya kumshawishi zaidi mkilizaji nayo umebarikiwa hongera sana
Lakini ambacho ningeomba as you told us mwanzoni kabisa kuwa utasimulia kuhusiana na mizimu ambayo ipo Zanzibar this also must be good I wish siku moja uisimulie
Congratulations to you all wasafi and all who have been included in one way or another to made this for us as your fan we thanks so much and much appriciation and respect to you Guys
Dah inaomba moyo kufanya hivyo kaka. Kweli wewe ni jasari na yote hayo ni kwa sababu yetu ili tujifunze mengi zaidi. Ahsante sana Mungu akubariki
Ur documentaries are incredible professor jamal💜✨✨najivunia kuwa mswahili , this is amazing the world should know of ur work📌
u riskd yo life for , us ur family, and wasafi too MASHALLAH JAMAL
Your the best man gonga like nyingi kwa jamali hapa
Hongera Professor... Am a PADI Scuba Diving Instructor and a girl child mentor...!
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2017 katika visiwa vya bongoyo Dar es salaam tulikuwa tumeenda kwa ajili ya uvuvi wa samaki tukatega nyavu yetu ghafla watu wa boya wakaona kurabu zinazama ndio nikatoka mimi na mwezangu tukaelekea majani Kwa ajili ya kufunga madumu kwenye karabu ghafla tukasikia daiva anavuma tabidi tumwambie nahoza Ndipo hapo daiva wetu akaibuka na kuwambia watu kamuona samaki mkubwa wa ajabu
malizia story
Ndy
Jamal, from kenya here, for real you have talent, big up, bro... gd job, you real inspire people out here ranking you, the top story teller in east Africa....
Tafadhali prof tusimulie kiundan kuhusu maajabu saba ya dunia
#KING professor tupe na ww story book yako ya maisha 1day
Am watching you my brother i like what you doing
Big jamari nakukubari kama simba diamond Big Rambo 🦁🦁❤❤❤❤💎🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kenyan top comedian
Nakurank Jamal amazing talented story taller
Najifunza maisha na safari nzr ya maisha kupitia ww kaka ongera my bro kazi nzr kaka mungu Aku bless
Good work Prof Jamal. kindly Bring us the Story of Daniel. Thank you
Ukatae ukubali haka ka jamaa kana stori Kali Sana ILa Ku mambo uwa kanatupiga live Kabisa
Or in or kazi nzuri
We ni mzug uliyevishwa ngoz ya kiafrikaa... Bigupbrodah
Kama unamkubali professor gonga like hapa
That guy training Jamal is an expert. Kudos to both of them 👏👏
My sweet home
Maeneo gn.. bububu au
Faiza❤
@@awadhally1052 yes
Jamal hongera sana kiukweli The Story book ya mara hii ni ya kipekee sana, umetisha sana Professor, karibu tena Zanzibar.
Umetisha Sana uko daraja la juu Sana huku Africa unapoteza muda ulaya ndio kunakufaa
kwaiyo Africa akukai watu acha kua mtumwa
the guy is training Jamal is a professional diver
Asante sana my brother from another mother
Hauna mpinzani kaka wew ni ziadi ya noma kabisaaa
Daah, unajitaidi Sana kutuelimisha vile Dunia ilivyo pamoja na viunbe vyake..
Dah! Mungu anamaajabu yake.
Endelea kutujuza maana bado tuko kwenye Giza . Nakukubali
Wasafi 4life 💎 Napenda Sana Munavyojituma ila zidisheni Vipiti Kwenye Tv...
Daah umejitahidi bro kutafutiya hii story mungu akupe uwezo zaidi tujuwe mengi zaidi kaka one love
Unajua sana unachokifanya kaka na team wasafi.
Hongera sana mwenyezimungu akupe hitaji la moyo wako Inshallah
Wow ningependa kufika Zanzibar siku moja inshAllah 🙏🏾❤
Nikirudi saudia baada ya miezi miwili come home
Welcome to zanzibar hakuna matata
Karibu zanzibar
Welcome
Good I saw my school Zanzibar diving
Nat Geo should see this.Jamal to the world
I love my Zanzibar
Jamal April nice nakupata nikiwa from 🇧🇮🔥🔥
Woow
I really appreciate boss Jamal
Proffessor Jamal we love u thnks kwa kaz zako nzri
Watcha nikupende mwalimu wewewwww ni mwalimu kweli 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥 nakupenda sana kutoka congo 🇨🇩🇨🇩
Daah Mungu akujarie jamar April na akibariki sana
Nakubal Sana broo upo vizur napenda Sana kuangalia the story book
Creativity one nakukubali sana kaka
Daaaah jamal uko jasiri kuingia chini yamaji na hauna uzowefu ni moyo
Mm najifunz kuogelea ili nikatafut utajir chini ya Bahar
@@aminatanzanya7475 mmmmmmh ok pambana
@@aminatanzanya7475 utajiri gani
@@adilaamani7027 msikilize Jamal vizur ndo utanielew
@@aminatanzanya7475utajiri uko katika hekalu ya mwenyez mngu,wewe wacha bangi
Ur the Best Risk Taker
All is kutupea Effectively
Perfect Education we deserv
Trust me #Prof_JAMAL ur LEGENDARY
No one ever try this before #BLESSED🙏😊
your so amazing and differ I learn many thing to you broh am proud of you nigguh
Professor upo njema san kuliko kawaid ila kuna jambo moja liache kipindi unazungumza..... #mapozi yakizidi san baada ya mamb uraharibu... punguza kujitikisa unapozungumza ...
Much respect broo ur next level
Kwel Kabsaaa,,, aweke pozi hzooo akiwaa anahadisia story na sio akiwaa anaongea kawaida
Jamal I love it....make sure unaweka yenye inaweza kujidownload ndio tuwatch baadaye
Napenda ubunifu wa kazi yako jamal very good.
Amen umerudi salama,mungu atukuzwe nakukubali sana mwanangu
WE jama una juwa sana aisé 🔥🔥🔥🔥
Jamari mstafa wewe ni kichwa zaidi ya kichwa hongera kwa kipaji
Love you jamal
Thanks Jamal for your historic story, am glad you tell it well... I love it👍
Nenda na kisiwan mafia ukaitangaze kwa vitu vya kitali ila bg up brooo💖💜💞💓
Brother wee ni hatari sanaa big up sanaa
hongera kazi zuri Sana 💙💙💙💙🇰🇪🇰🇪💛💚
Upo vizuri professor
Hongera saana professor. Tuna kufata toka Uganda
Jamal u so genius😂😂kweli unaependa kazi yako😘😘...ua mum must be so proud of u!...the way i was holding my breath😂😂😂ungedhani mimi ndio nmeingia kwa maji...good job mkuu
Na ushaambiwa ku hold breath is one very big mistake 😅
Julliet mambo
Julliet mambo
Kateshian safi sana😘
@@rayyanjulliet4694 nkajua umehold breath mpak Leo kumb bado upo hai
Yaan wewe Jamal mungu atakulipa kwa ubunifu huo 🙏🙏🙏
Hongera kwa kweli umishinda majaribu ....binafsi siwez na sitajaribu lbda iwe ni lzm ila mwenyewe Sina hina ndoto
Baarakallahu fiika
Maana nimeinjoy mno.
it`s so good task allah blesses you
Ahsant Sana kwa ubunifu wenu tunapata vitu vinavyo vutia na vya tofauti Sana
It's great work keep up we are still with us 5 out of 5. I get you from Burundi
Jamal we ni mkali sana yan....ivo tu
Tamu story🔥🔥🔥
Wasafi 4life♥️🔥😘
Wasafi mko juu sana kwanin hampewi tuzo
Bro jamari salute for this.
wasafi ni kubwa kwa sababu ina watu wanaosubutu kufanya mambo
Hongera Sana professor April
Nice experience professor, nimejifunza sana ila ungejali kama ungeandika contacts za hao jamaa ... ningeshukuru sana
Asalam aleykum mashAllah Allah akuzidishie ujasiri natamani ningekua n uwezo nami pia ningefika huko kujionea Ufalme Wa ALLAH
Genius professor jamal
MashaAllah
U do your resarch
well
really appreciated kwa kazi nzuri brother Jamal , keep moving
Napenda hii thestorybook and msimuliz anafanya part yake mashallah
Congratulations to Jamel😊
Itoshe kusema tumebarikiwa wapigaji na wadangaji Lkn huyu tulie barikiwa ni professor haswa congratulations all the best
Ma sha Allah Baba ,Maman,Mtoto wote umesahau mke wako
U are the professional speaker who I do like coz u do explain all that people never know that is why I really like to listen to u
Have enjoyed it! Good job
Tanzania imebarikiwa, Zanzibar, Mt Kilimanjaro, victoria, Ngorongoro... nyinyi bado mpo usingizini.... your country is the tourist capital of the world....
Wonderful experience never seen before,, dunia ina mengi sana ambayo hatuyajui... Ila yote ya yote ni utukufu wa Mwenyezi Mungu. Ni uumbaji wa kipekee sana,, huwa nashangaa sana wazungu na wanasayansi wanajikita na mambo ya nje ya dunia wakati mambo tuliyo nayo tuu hapa hapa duniani hatujayamaliza
Yaani Leo story Book imekuwa dop 👏💪👍
Ebwana wee wanne kucommet like zidondoke kwa jamar
Professor Jamal nimeshinda kweli hata hao ma Ptofessor wakweli hawajafanya utafiti kama huo nakupa medani ya Gold 🏅🏅🏅
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kaz mzur jamal respect
Jamal April professor... Good Job bro
watch from karani kenya,,,,,,,,good work proff jamal
Pole sana kwa kazi ngumu
Hapo ndipo utajakubali uchawi wa mzungu kwa maana ukishavaa hayo mavazi ya Diving hata uwende deep kiasi gani wanyama na viumbe utakavyokutana navyo huko chini vinakuona kama mwenzao vile yann
am really pleased to hear several stories & documentaries from you prof April,, may God be with ue for more good en better works
Very Nice
Jamal salute to you