Me nimeanza kusikiliza Mawio badala ya kuwasikiliza hawa vijana wa forodhani wawashukuru sana na wawape hongera wamewahamasisha watu wengi kuifatilia mawio hawakua wakiifahamu
Hamjamfaham aliposema wao Ni wa Kwanza Anakusudia Mfumo huu waliokuja nao wao wa Kupitia Mitandao Ya Kijamii matangazo Media platform kwel wao ni wa kwanza.... Ila Ukweli Ndio wao ni wa kwnza kwa mtindo huu waliokuja nao.... Msimseme kama ni uongo
Ahhhh Mtangazaji 😂😂😂 ukitamka tamka vizuri maneno mengine, siyo Zanziba(ri) ni Zanzibar au sema Unguja 😊 Na mambo hayo hayajaanza Leo Forodhani vijana kuchupa (Kachumbe) hapo baharini imeanza zaidi ya miaka 80 sasa…kwa vijana wa zamani…hao ni vijana wadogo wa Mjini.
Uwongo wake ni kitu gani wakti sisi tumeanza kuruka pale miaka ya 86...mpk 90 tukaondoka kwenda nje..na wala hatukufanya km walivofanya wao ..wala hajakosea wao ndio walioleta mfumo huo..wa kurekodi na kueka mitandaoni.. pamoja na kina jamal..wala hajakosea.
Waazilishi kaka zetu ambao walozaliwa 1970 kisha tukafata sisi wa 1988 sie ndo tukaifungua tena mizingani na kilimanangazi kama wanazijua hizo sehemu na wapiga makachu mizingani na kilimanangazi wawoto wa stone town tu ukiwa hueleweki lazima unywishe mafundo ya maji
😂😂😂😂 Interview ya kijinga hamna kazi maswala hayajulikani mwanzo wala mwisho. Jipangeni kwa hizo Interview mjuwe nini cha kuuliza na nini cha kujibu 😂😂😂😂
@@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.
@@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.
@@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.
@@fahmyisco2912 tupo ulaya tunakula Maisha hakuna mwenye wivu makachu si jambo geni kwa mtu yoyote wa mjini asije mtu kusema ye kaanzisha ilhali ilikuepo wivu hatuna na tunajivunia wameifanya iwe world wide known thing .
Oyoooo nikweli welcome to Zanzibar kaanzisha yeye
Me nimeanza kusikiliza Mawio badala ya kuwasikiliza hawa vijana wa forodhani wawashukuru sana na wawape hongera wamewahamasisha watu wengi kuifatilia mawio hawakua wakiifahamu
Hamjamfaham aliposema wao Ni wa Kwanza Anakusudia Mfumo huu waliokuja nao wao wa Kupitia Mitandao Ya Kijamii matangazo Media platform kwel wao ni wa kwanza.... Ila Ukweli Ndio wao ni wa kwnza kwa mtindo huu waliokuja nao.... Msimseme kama ni uongo
Daah bro unasema ukweli kwl brooo huku hatutumii gas hizo
Uyuuuuu ndiooo manaaa anagombanaaa naamauzideee manaaa mchokoziii atarii
Oyoooo kigojooo nakukubali sana😂😂
Noma sana
Ahhhh Mtangazaji 😂😂😂 ukitamka tamka vizuri maneno mengine, siyo Zanziba(ri) ni Zanzibar au sema Unguja 😊 Na mambo hayo hayajaanza Leo Forodhani vijana kuchupa (Kachumbe) hapo baharini imeanza zaidi ya miaka 80 sasa…kwa vijana wa zamani…hao ni vijana wadogo wa Mjini.
Hawa wanaitaji tu management hela pale ipo
Kijogoo hiko ndio ulichokua unatafuta kiki kupitia mau
Oya naomba pesa yangu
Muongo sana uyo kaka
Uwongo wake ni kitu gani wakti sisi tumeanza kuruka pale miaka ya 86...mpk 90 tukaondoka kwenda nje..na wala hatukufanya km walivofanya wao ..wala hajakosea wao ndio walioleta mfumo huo..wa kurekodi na kueka mitandaoni.. pamoja na kina jamal..wala hajakosea.
Vijana wameanza tokea sema kwenye 70 huko…. Kwa Mtangazaji ni mambo mepya kwake .
Uyuuu naaeee Kamaaaa mauzindee tuuuu dizainiii kamaaa wanagombeaa wanaumeee
Waazilishi kaka zetu ambao walozaliwa 1970 kisha tukafata sisi wa 1988 sie ndo tukaifungua tena mizingani na kilimanangazi kama wanazijua hizo sehemu na wapiga makachu mizingani na kilimanangazi wawoto wa stone town tu ukiwa hueleweki lazima unywishe mafundo ya maji
Waanzilishi ndio cc wao hao wamekuja tu Stone Town ndio wa kwanza kuanza huo mchezo
Forodhani dying zimeanza kabla ya nyinyi hamjazaliwa
Na’am…. Asante sasa imekuwa Uhuni mtupu hapo Forodhani.
Cc tumeanza kupiga makachu kabla hamja zaliwa
Nendeni mkajitangaze kama nyinyi ndo waanzilishi
Hujaelewa kiswahil ndo mana ukambiwa uskilize mpka uelewe watu wanapiga makachu tokea miaka y80 uko ila wao kuruka kwa matangazo wameamzisha wao
Yupo Canada kaka
Kijogo mauzinde kaku busti kwei
Nimegundua kun chuk nawiv ndan yak nilifkir mamb hay yacc wanawak 2 kumb mpk wanaume daahhhh
hamn chuki kwa wanaume bali wanaume tuna chanana live ukumaindi pow tu
😂😂😂😂 Interview ya kijinga hamna kazi maswala hayajulikani mwanzo wala mwisho. Jipangeni kwa hizo Interview mjuwe nini cha kuuliza na nini cha kujibu 😂😂😂😂
Muongo huyo jamaa kwa sababu walioanzisha pale ni kima Yes Jamaal
Kijogoo, umesema Mau yuko wapi?
Uyo jama ni muongo bwana pale muanzilishi na aliyetangaza haswa iyo kuruka katika dunia ...ni yes jamani ...uyo muhamedi ni kiruka ruka njia tu😅😅
kuruka apo foro ni enz na enz toka vjna wazaman sema kunzsha iyo kuruka kwa matangazo wamefanya wao lkn makachu apo ndio asl
Hakika, makachu yapo kabla huyo muandishi na huyo muulizwaji hawajazaliwa
@@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.
@@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.
@@mohdkhatib223Ni kitu cha asili hapo Unguja ilikuwa jioni mpaka Magharibi, kwa wasoijuwa Unguja ndio wanaona mambo mepya lakini ni zamani sana ila kulikuwa hakuna kuruka na hizo picha kama sasa hivi.
Mgeni Akida wa habari za mawio
Kijogoo mau ushampata mara ngapi??
Makachi yalikua yanapigwa Toka mwanzo
Namshangaa sana sie utotoni tumeruka sana sa sjaelewa anaposema wameanzisha watu wa tano
Lakini mlifahamika kama Hawa au😅😅😅😅@@fahadfaraj6474
Sw nyie mlopga mwnzo makachu mpo wp saiv au mmefnya nn acheni wivu wasaport wenzenu kwa wnachokfanya coz ŵalichokibuni ni ktu kikubwa sna
@@fahmyisco2912 tupo ulaya tunakula Maisha hakuna mwenye wivu makachu si jambo geni kwa mtu yoyote wa mjini asije mtu kusema ye kaanzisha ilhali ilikuepo wivu hatuna na tunajivunia wameifanya iwe world wide known thing .
@@fahadfaraj6474nyie mlikua mkiruka makachu tu
Wao wameanzisha mfumo wa kibiashara ndivyo ilivyo maanishwa apo
Hamjaelewa Kilicho ongelewa na Muhammad kijogooo wao ndio walio leta mfumo wa kukaribisha wageni sio km wao nd wa mwanzo mue waelewa
Hatumtambui uyo
Huyu naye shoga
Kibunda around
Ilo eneo mimi tokea mdg mwaka 2000 nlikuwa najirusha
Basi wenzako wameanza 1960 hapo……
😂😂😂
Interview ovyo ,Tatizo shule
Kweli 😮 Malezi na Elimu ni kitu muhimu sana.
We foro ipo kitambo
Miaka 100 labda sasa wenyewe watu Wa Unguja ndio wanoijuwa😀
Una siri gani za mauzide
Interview ya kijinga
😂😂😂😂burundi iyo vepe 😂😂😂nasubiri majibu ya mau tu apa 😂😂
Nipo apa
😂😂😂kwa ham