LIVE: MAOMBI YA UKOMBOZI KWA WOTE WALIOVIKWA VAZI LA AIBU
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Mwanzo 40:23
Lakini huyo mkuu wa wanyweshaji hakumkumbuka Yusufu, alimsahau.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Asante Bwana Yesu naomba upon yani katika magonjwa yote yanayonikabili na pili kufunguliwa katika nguvu ya uchumi na kuondolewa kwa roho ya madeni. Asante Bwana Yesu kwa uponyaji wa nguvu na mitego yote za adui. Amen
Naomba Mungu ukamfungue Mume wangu amelazwa hospital maututi kwa presha Mungu wangu fungua nakataa roho ya mauti
Ninaomba kwajina la yesu kiristo mwana wa Nazareth alie hai baba wa mbingun na mungu wangu Nina omba uniokoe na huu msiba mzito nilio nao nisiaibike usimwache mt anae kutumainia apate aibu bwana wewe unaweza na unajibu kwa wakati Nina Amini Amina🙏🙏
Peke yangu siwezi baba, 😢nisaidie baba, BWANA YESU NISAIDIE kupitia Mtumishi wako , nimechoka madeni yamenitinga nafedheheka😢baba nisaidie nimekukimbilia nakuhitaji baba😭
Ifunike familia yangu kwa damu ya yesu aliokufa msalabani kwa ajili ya Dhambi zetu..
Nisaidie Ee YESU niondolee Roho ya Aibu kwenye masomo yangu
Ehh, Yesu Kristo nakosa nizungumze namna gani, niondolee aibu na fedheha juu yangu na uzao wangu, nikumbuke mimi Naomi katika yote. Sikia kuomba kwangu nashindwa kutamka😢😢😢😢
Kiukweli Mimi.nimechoka na hii roho ya vazi hili la haibu
Mungu mwema naomna Unijalie moyo wa sala nikae nyumbani mwako milele
Yesu kristo naomba unipe mume sahihi kwangu pia nipate na ndoa yabaraka nipe kibari cha ndoa kwa jina la yesu kristo amen
Ee mwenyezi Mungu nakuomba unikumbuke mimi na familia yangu kwenye maisha yangu ,na uturinde dhidi ya maadui waovu 🙏🏿🧎.
Amen 🙏🙏 nifunguliwe kwa mathibau ya ukoo ki family Mama na Baba ata niliko olewa e mungu ni ponye si mangojwa matatizo ya mwile nime choka kila siku vitu tofauti kwenyi mwili we nimechoka usinipite mungu nakuitaji
Asante BWANA YESU naomba MUNGU amfungue Mume wangu ktk majukumu yake ya kulea familia
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu akubariki nimeokoka nampenda yesu haikuwa rahisi na baada kupitia kipindi kigumu ndipo Mungu aliamua kunionyesha maisha ya mme wangu amefungwa katika nguvu za Giza na alinitoa sadaka nikiwa na mimba ya miezi Saba lakini Mungu nimwema aliniponya mpaka Sasa Mimi ni mzima na mwanangu mzima ana miaka tisa Sasa namshukuru Sana Mungu Kwa kuniweka hai mpaka saa naomba unikumbuke kwenye maombi ananizuia kusiliza neno la Mungu wala mahubiri hata maombi Huwa naenda tu ki nguvu namuona Mungu Sana Kwa sababu maisha yangu ni ya maombi Kwa sababu najua Niko vitani ombi langu Kwa Mungu amtoe Giza amlete Kwa yesu naitwa pendo Niko tabora ubarikiwe
Neema yako Bwana Yesu...Mungu wangu ije inisaidie nisikie sauti ya roho mtakatifu...inisaidie kutulia kwenye uwepo wake
Naomba Mungu aokoe familia yangu imujuwe, Mungu anipe haja ya moyo Wangu.
Eeee yesu kristo niondoree aibu yangu pamoja na familia yangu kwa jina la yesu kristo niondoree mateso kwangu niondoree kira mipango ya giza kwa jina la yesu kristo
Hee Mungu wangu katika madhabau ya mtumishi wako, naomba ukombozi kwaajili ya mume wangu David kazana bwana ukatende jambo, akombolewe kupitia madhabau ya mtumishi wako.
Mungu niko apa mbele zako kwa jili ya maitaji yangu. Usi ni pite Leo baba sema Kitu. Amen !
Eeh bwana niondolee vazi la aibu na fedheha...kwangu na hata uzao wangu walitaka niteseke walitaka niaibike lkny walisahau napendwa na bwanaaa maadui yote yao hayatakuja kunitimiaa najitamkia uhai kwenye maisha yangu bwana niongozeeeee
Yesu..mponye. mwanangu umuokoe Na. Mjaribu. anyopitia shetani ashindwe kwa jina la yesu
Baba tuondolee uharibifu wowote uliojitengeneza kwangu na watoto wangu na mkwe na wajukuu ktk jina la Yesu
Eee mungu naona aibu kuja hata mbele zako maana leo natubu kesho nakosea aky mm najiona ovyo sana mungu wangu nisaidie baba
Ee Yesu niondolee vazi la aibu Mimi na familia yangu. Amen
Nisaidie Mungu nifutie haibu yangu juu ya watoto wangu na katika mausiano yangu na watu wengine nikumbuke Bwana
Ee Mungu naomba unifungue macho ya rohon na masikio karama na kipawa uchimi,wa familia nzima na roho za mizimu na uchawi
Nakuhitaji Mungu kuliko ninavyohitaji vyote,maana ulinena kua tuutafute kwanza ufalme wa wako na vingine vyote tutazidishiwa🤲🤲
Ee Mungu Naomba uiondolee family yangu roho ya vazi la aibu na fedheha na Kila maneno yote mabaya yaliyonenwa juu ya family yangu na ukoo wangu
Ahsante Yesu kwa Ukombozi wako.
Katika Jina la YESU Muujiza wangu ukatimie
Amen , Damu ya Yesu kombowa mimi na kizazi changu tufunikwe kwa kwa damu ya yesu.
Ee mungu naomba unitangulie katika njia zangu ufungue milango yamaisha yangu nanikawe nuru katika family yangu naiman utazidi kuniongoza kwakila Jambo🙏🙏🙏
Eeh mungu Naomba 😢😢ondoa roho ya aibu ndani yangu juzi nimeota Niko uchi jmn hili somo linanihusu 😢😢😢na ninaaamini nimepona kwa jina la yesu adui hana nafasi ndani yangu tena na roho ya aibu haitonipata tena
Nakataa ile roho ya kukosa kazi ajira biashara kwa kijana wangu kev Yesu kamuone umfungue vifungo vyote
Asant mtumishi kwa maombiyako mungu akupe guvu kila siku uzidi kutuombeya naamini kupitia aya maombi ninaimani mungu ata tends🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eee Bwana Yesu niepushe na mitego yote ya adui na vunja maagano na roho ya kucheleweshwa
Nafuta ndiyo zote za kushindwa kwa damu ya Yesu Kristo🙏🙏🖐️naamini imekua
Ee Bwana Mungu nakuomba uniondolee hili vazi la aibu la kila biashara ninayofanya inaisha nakuniacha na kilio,leo Anza nami Bwana
Asante mtumishi wa mungu mwanangu rlory aliota ndoto akiwa uchi wa nyama naomba maombi kwa ajili yake mimi mama yake bwana uitetee familia yangu isiaibike milele
Yesu Nakuomba uanze na mimi niondoleeee hiii aibu ya kutumikishwa na kuhusisha na mambo ya Giza kupitia vya kula vinywaji vya Giza Nisaidie Yesu kwenye hichi kipengele
Ee bwana yesu Najiungamanisha na maombi haya ya UKOMBOZ Katika madhabahu hii.mungu komboa kibali changu Cha uimbaji komboa familia yangu komboa uchumi wangu komboa mafanikio yangu komboa mafanikio yangu komboa elimu ya watoto wangu yusrah na samia.miliamu,Ezekiel,Timotheo, Komboa na uzao wangu kwa damu ya yesu kwa jina la yesu AMENI
Kwa Jina la YESU Alie Hai najifungua kwenye mitego ya adui
Napokea ukomboz Kwa Jina la YESU
Naitwa Anna naomba Mungu anifungue kwenye kila kifungo mimi na uzao na kila vazi la aibu anivue nahitaji uhuru nimtumikie Amina
Ee yehova mungu ulie umba mbingu na dunia nikumbuke nikohapa nakungoja wewe mungu wangu ❤❤
Mungu naomba anikumbuke aikombie ndoa yangu mme wangu kaacha familia amfungus arud
Asante Yesu kwenye kichomi Nina amini kimeondoka kati kajina la Yesu
Huwa nabarkiwa sana na maombi Yako Kwan Huwa yanagusa mahtaj yangu Moja Kwa Moja km nilishakusimulia mapto yangu barkiwa sana pasta
Eeeh MUNGU WANGU, GUPITIA aha MAOMBI YA UKOMBOZI, NAKUOMBA UNIKOMBOLEYE MALI ZANGU ZILIZO BEBEWA 🙏🙏 UNIBALIKI TENA NIPATE CAGUTUNZA WA TOTO WANGU. NAKUOMBA NAAMINI UNATENDA AMEN 🇧🇮🇸🇦
Ee bwana ukaonekanesasa katika maisha yangu natamuka kukombolewa sasa kwaadamu yayesu nakombowa uchumi wangu nakombowa maishayangu
Mwenyezi Mungu niondoe kwenye vazi la aibu katika maisha yangu🙏
Eeh Mungu naomba unibariki na fedha kutoka mashariki magharibi kaskazini na kusini ili na mimi niweze kubariki familia yangu na ndugu zangu
Bwana yesu Niko papa,najiunganisha na mazabau iyi,niponye, unifunguwe, vile unafunguwa,
Niko hapa Bwana unikomboe leo Yesu 🙏
Nashukuru Mungu mtumishi.niliskia kichefuchefu ulipokuwa ukiomba
Bwana yesu anikumbuke n nisimame nijae roho mtakatifu pia uchungu unitoka toka kaka yangu amefariki niliumia sana
Mimi jeneroza mungu naomba uniondolee aibu ya kila aina ya kuhaibishwa
Mungu naomb unikumbuke nipate Kaz nipo mbele zako mungu nikumbuke
Mungu uliyemwema nipe macho ya rohoni,,nione nakusikia sauti yako
Eee mungu najiunganisha na maombi haya yanikombowe naomba ukombozi wako mungu
Yese wangu mwambie kwangu nifue vazi la kukatarifa na kuto kukubarika nieshimishe mungu wangu nieshimishe mume wangu na watoto wangu kwa ujumla live vazi aibu na fedhea tenda baba ponya uchumi wetu mungu wangu
Nikumbuke na Mimi bwana,,, jibu hitaji la Moyo wangu,, yehova
Amen Asante yesu kwa kunipa uhai pamoja na familia yng
Tuvue mavazi ya aibu mimi na familia yangu Jehova
Ee Mungu naomba uniondolee vazi la aibu katika familia yetu ,
Baba nashukuru kwa kunivua vazi la aibu mimi na watoto wangu umetupa heshima ktk ndoa mahusiano,ajira,biashara baba tuondolee aibu
Eeeeh Bwana Yesu nanena kufunguliwa kwa wifi yangu ambaye kwa sasa n mwaka wa tano
Mungu naomba uniondolee aibu ya ndoa ,aibu ya mtaji na aibu ya ndoto mbaya
Baba kuhusu ile kesi cma mza nakuachia utende muujiza wako Yesu ushindi ni wangu
Anza Na mimi ,familia yangu,ansante Kwa mafunzo ya Siri za biblia,Niko hapa bwana Niko hapa Nina Imani kwako yesu maana wanaokutegea huwezi waacha
Eee yes kristo niondole fedhea katika maish yangu
Eeeh yesu naomba utende muujiza usiku huu wa leo juunya babaangu alioko hosptal akitaabika 😢mungu tenda kwaajili yake usk huu uwe wa miujiza kwangu😥
Mungu nitumie watenja kwa jina lako mungu usinipite...na ndoa mungu
Naikoneti family ya Salutary Riwa ikapokeuponyaji wamagonjwa yanayo tumwana watu wasioitakia mema family yangu ,mama yangu Devotha aka poke uponyaji wa ugonjwa wa presha inayomsumbua Kila siku . Ameen yupo Moshi Kilimanjaro
Amina ata mm nimeota nimetoka nje uchi kabisa napika mswaki sina abari watu wananiona ila sioni chochote mungu wangu nisaidie baba nipo apa
Eeeh Yesu nakushukuru sana kwaajili ya familia yangu na uzao wangu naomba ulinzi na damu yako takatifu ikawafunike na kuwatetea watoto wangu pamoja na Mume wangu naomba pia ulinzi wa kazi yangu na uchumi wa familia yangu. Amen
Eeh yesu nakuomba unisaidie! Sina mwigine ila wewe 😢usinipite Jehovah
Ee Mungu fungua milango ya baraka neema kibali afya Mimi pamoja na familia yangu nitie nguvu mfalme 😢ili niweze kufanya kazi kwa weledi,ukaondoe Kila mpango wa aduni ulioandaliwa kwenye maisha yangu pamoja na familia yangu,nafuta kwa damu ya yesu Amen
Naomba yesu nitoe kwenye iaibu mm na watoto wangu 1:00:34
Naombea kuondoa aibu yoyote iliyotengenezwa kwenye mahusiano ya cosy na oly Baba ondoa aibu isiweke matukio yote yasiwe na aibu Yesu kasimame utufunike kwa Damu yako
Mungu nisaidie katika jaribu nayopitia
Yesu mfufuka niondolee aibu niliyotengenezewa yakutokuwa napesa😢
anza nasi Bwana tuondolee aibu na fedheha kila eneo la maisha yetu usitupite
Yesu niondolee aibu ya kutokuwa na nyumba nyumbani kwetu Moshi mama alifariki baba akaondoka nyumbani kwenda kuishi na mwanamke mwingine tufunguliye nataka ya kujenga katika eneo la nyumbani kwetu tuwezeshe bwana amen
Ninaomba Mungu anibariki kiushumi anipekibali kwenye kazi yangu na kunipandisha mushahara kwenye kazi tena Ninaitaji Mungu wa bwana yesu Kristo amuponye baba yangu figo Na moyo kwa jina la yesu Kristo wanazareti amen amen amen amen amen amen amen
Na jikonekiti na maombi ya nayoendelea muda huu mungu akayaguse maishangu akanifungue na vifungo vyote vya Giza nilivyotupiwa na kufungiwa na ninao wajua na niso wajua Yesu niguse Leo na unifungue Mimi na watoto wangu Raymond na Rayfred,mungu usimamena watoto wangu huko waliko wanikumbuke na kurudi kwangu tena ,ni mm Anthony Robert Riwa.Ameen
Naamini katika Jina la Yesu kupitia maombi ya hizi siku Tatu familia yangu imepata amani kati ya wazazi pamoja na watoto na kutemganizwa na nguvu za Giza.Kaka yangu mdogo amepokea kutii na kuzifuata njia zinazofaa Kwa Jina la YESU KRISTO🙏🙏🙏
Pastor niombee miguu inaniuma sana na inafura
Naomba kupitia kina LA Yesu aliyehai nikombolee nimekuwa nikihangaika katikakazi Kila nilipata kazi sidumunayo
Nimevikwa vazi la aibu mutumishi wa mungu mtoto wangu ka kiume anamkataa mke wake mwanangu wa kike akamkataa mume wake
Bwana nisongeshe kiwango kingine nifungulie njia tena tenda wema juu yamaisha yangutena una sababu yamimi kuwa hapa tena nitendee Ee Bwana
Tenda miujiza bwana juu ya shingo yangu inaniuma nimekuja kwako bwana mimi mwanao naomba uniponye na unisamehe makosa nyangu yote ntakase kuanjia sasa nkochini yasalaba wako Yesu ni hurumie ee Mungu nahitaji uponyaji wako naamini umeyasikia maombi yangu napokea uzima tokakwako Yesu amen 🙏🙏
MUNGU anisaidie nahitaji nipate ndoa sahihi mume mwema wa maisha yangu MUNGU anipe kibali cha ndoa Amen
Katika Jina la Yesu, nakataa roho ya magonjwa, kifua Cha ghafla ,nyayo zangu na zikombolewe popote nilipokanyaga, bacteria walipotokea na wanyamaze Sasa, Hali ya baridi kwenye miguu yangu, uchumi wangu ulipo fichwa naufichua Kwa Jina la Yesu kristo 🤲🤲🙏
Ahst kwa ibada hii,, Mungu kasimame mwenyewe
Eeebaba nakuja mbele zako unisamehe makosa yangu niondoe mangaiko kwenye mausiano yangu kuhusu uyu mwanaume kama alishikwa na kahaba mwingine muondoe na nimpate yuko wapi j mludishe na uniondoe vazi la haibu nisaidie sana
Ee bwana naomba niondole vazi la aibu na fedheha juu yangu na mume wangu nawatoto wangu na wazazi wangu
naomba mungu anisaidie nipate mtaji
Achilia Damu yako Yesu ikanene mema kwa engagement na kuitakasa hiyo siku ktk jina la Yesu
Mungu atusaidie jamani
Anzana mm bwana uniponye mkono wangu bwana unaoniuma bwana unipefaraja ktk magumu ninayopitia bwana na Yesu usikie kilimo changu baba,ni Anthony Robert Riwa. Ameen
Niondolee hii aibu yehova,, niolewe mwaka huu usipite
Ninazuia zawadi zozote zitakazoletwa kwa ajili ya kutengeneza aibu kwenye sherehe za wanangu hazitafanukiwa ktk jina la Yesu Amen
kwa jina la Yesu naamini nimekombolea kutoka kwenye magonjwa yote na magereza nilizofungiwa.Amen
Mungu nisaidie fungua milango yangu