MCH.KATEKELA:MALANGO YA KUZIMU NA MANABII WA UONGO WANAVYOSHIRIKIANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 вер 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 317

  • @alensilence8308
    @alensilence8308 7 місяців тому +8

    Mungu azidi kukutumia Mch.Amiel Katekela katika kazi yake. Nimebarikiwa sana na mafundisho yako. Ni Mungu tu AMINA. UBARIKIWE SANA.

  • @liliannyangweso8033
    @liliannyangweso8033 Рік тому +18

    I just love this man of God for speaking the truth this is the third time I'm listening to him my eyes have opened alot,I pray for him and his family for more grace

  • @utawalarecordstudiosnairob5929
    @utawalarecordstudiosnairob5929 4 години тому

    Somo zuri sana mtumishi wa MUNGU. Nabarikiwa sana kwa jina la YESU

  • @EvaEzekiel
    @EvaEzekiel 7 днів тому +1

    Asant sana Mchungaji Mungu akutunze

  • @carolinemkuwele7845
    @carolinemkuwele7845 5 місяців тому +2

    MUNGU akubariki sana Mtumishi wa MUNGU alie hai. Unatufunulia yaliyofichika sirini. Uzid kulindwa kwa DAMU ya YESU KRISTO.

  • @BoscoYajuaMungu
    @BoscoYajuaMungu Місяць тому +2

    Nakukubali sana mtumishi

  • @godlistendiah3563
    @godlistendiah3563 29 днів тому

    Sawa Mtumishi wa MUNGU Ubarikiwe Sana

  • @resaltnekesa9702
    @resaltnekesa9702 Рік тому +17

    From Kenya Bungoma we are blessed. God bless you servant of God

  • @faithe4063
    @faithe4063 11 місяців тому +3

    Niliwai findisha kwamba Roho wa Mungu aiangushi bali inasimamisha,sasa watu wamrudie mwenyezi Mungu waache kukimbilia miujiza hii lugha eti ni ndimi sijewai Amini Mimi Asante Mungu kwa hekima

  • @amigoshamisi126
    @amigoshamisi126 Рік тому +7

    Mungu akulinde kwakazi unayo fanya kwaajili ya kuponye mioyo ya watu. Mungu akupe maisha marefu uzindi kuponye watu wa Mungu kwakusundi lake.

  • @janetndonye7709
    @janetndonye7709 Рік тому +12

    karibu sana kenya mafundisho kama hayo nimuimu sana kwa makanisa yakenya nimembarikiwa sana naumefungua macho yangu asante sana

  • @Josmedard
    @Josmedard Рік тому +2

    Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa " kwanzia Leo , nimepata maarifa , man of MIGHT GOD be blessed alot , preach always like never before

  • @mauriciocristianomardes6295
    @mauriciocristianomardes6295 Рік тому +6

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU. From Mozambique 🇲🇿

  • @abdusheriffsheriff8557
    @abdusheriffsheriff8557 Рік тому +5

    Asante Mungu wetu kwakuokowa mtumishi wako, pia na sisi utusaindie kelikeli🙏🙏

  • @AbeliSaly
    @AbeliSaly 8 місяців тому +1

    Amen nashukulu mchungaji,kuisaidia familia yang kututoa kwenye munyololo wa mizimu ya ukoo iliyotushikilia ,sasa imeshindwa kwa jina la Yesu ,sasa tunaamani familia yote ya wilson

  • @Soni-lt6oi
    @Soni-lt6oi 3 місяці тому +1

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu endelea kutuambia ukweli tuendelee kujuwa ukweli

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 Рік тому +2

    Hallelujah hallelujah hallelujah jina la BWANA lipewe sifa milele na milele AMINA KUBWA hakuna kama MUNGU wambinguni mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Рік тому +3

    Asante Yesu Mungu awabariki wote mliousika kuiandaa semina hii katoka Jina la Yesu Kristo alie hai .Amina.

  • @gilbertndayishimiye7808
    @gilbertndayishimiye7808 Рік тому +19

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu. Ila mafundisho haya kuna vipande vipande vinakatika katika inapungua mwendelezo wa message kamili. Alietengeneza hii vidéo aombe Mungu, shetani asiilie tukaja kukosa ujumbe mzuri.

    • @winfredmueni3281
      @winfredmueni3281 Рік тому +1

      Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana mimi nimebarikiwa sana nikiwa nakuru kenya na naomba MUNGU sana anifungulie jia ya kukupata i have more to you

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Рік тому

      @@winfredmueni3281 come on ubarikiwe sana

  • @jacklinegatwiri635
    @jacklinegatwiri635 9 місяців тому +2

    Kwa jina la Yesu Kristo Amen Amen 🙏🙏🙏

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 7 місяців тому +1

    Oooh nimebalikiwa Duniani na mbinguni ahsante MWENYEZI MUNGU kwa hii Neema 🙏🙏

  • @nominetjacob8137
    @nominetjacob8137 Рік тому +2

    Mchungaji ana hubili ukweli kabisa watu tumekuwa wavivu wa kujiombea tume kuwa wavivu tunataka kuombewa tu imani hatuna kabisa Kwakweli umetufunguwa na kutegemea maombi kwa watu wengine MUNGU akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai akubaliki sana

  • @kinjiwe5828
    @kinjiwe5828 Рік тому +4

    chukua vyote niachie Yesu💯

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 11 місяців тому +1

    Amen Amen Asante Muchungaji kwa mafundisho mazuri barikiwa sana pamoja nawe Promover TV.

  • @HalimaPaskal
    @HalimaPaskal 29 днів тому

    Ameen mtumish ubarikiwe na bwana

  • @annahalex8453
    @annahalex8453 Рік тому +4

    Amen hv umeshamkutanisha na Askofu Gwajima nataman Sana hiyo siku

    • @Shalom2018
      @Shalom2018 Рік тому +1

      Hata mimi niliwahi kulifikiria hilo

  • @kimalimorice4125
    @kimalimorice4125 5 місяців тому +1

    Mungu akubarik saana na kukulinda mch Amiel kwa mafundisho mazur

  • @godlistendiah3563
    @godlistendiah3563 Місяць тому

    YESU Akuinue Mtumishi wa MUNGU

  • @udahkafonogo-cp1fc
    @udahkafonogo-cp1fc Рік тому +3

    Hii ni kwel kweli tunaihitaji ufunuo nakuelewa kuwa Yesu Kristo ndio mwana wa Mungu

  • @jojosky337
    @jojosky337 Рік тому +1

    Asante mtumishi kwa kunifungua mm nilikua mtumiaji mzuri wa hayo mafuta Asante Yesu kwa kuniokoa🙏🏾

  • @user-xd8is8ct7j
    @user-xd8is8ct7j 10 місяців тому +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye juu ninayaelewa sana mafundisho yako

  • @simonliwawa864
    @simonliwawa864 Рік тому +5

    Barikiwa mtumishi KATEKELA. Umenifumbua Sana katika shuhuda zako

  • @user-mm7pi6dz9m
    @user-mm7pi6dz9m 10 місяців тому +1

    mungu akubariki mchungaji maubiri yako yanibariki sana mungu akupe nguvu yakutangaza injili

  • @valelianonyato-gx5bq
    @valelianonyato-gx5bq 10 місяців тому +1

    Mungu akubaliki sana mtu wa Mungu huo ndio ukweli nabalikiwa sana ukweli usemwe tu kuliko kuwa sikiliza matapeli wa injili

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 3 місяці тому +1

    Ubarikiwe Sana mtumishi was Mungu

  • @MarymoitaMarynaitawang-yl4dk
    @MarymoitaMarynaitawang-yl4dk 11 місяців тому +2

    MUNGU hakubariki mtumishi wa MUNGU kwa mafundisho Niko Kenya trainsmara

  • @jacymueni1671
    @jacymueni1671 Рік тому +1

    Amen Amen Mafundisho Yako inanibariki sana God bless you.

  • @mathewlemegila7645
    @mathewlemegila7645 9 місяців тому +1

    More grace and Protection of God man of God.

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 Рік тому +2

    Hebu igiza kilicho sahihi ili tupambanue kunena kwa shetani na kwa Roho wa Mungu! Shetani hupenda kuiga ndivo ninavoelewa mimi so utajua kwa Neno la maarifa kuwa hii siyo!

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l Рік тому

      Ukinenewa uliza kwa jina la yesu utajua kama ndie au sie the bble says kwa jina la yesu kila goti litapigwa mm nliwahi muona ndege kazin kwangu anantabasamia nkamwambia njoo kwangu kwa jina la yesu akakimbia mbio NA kutoka hapo

  • @ridiajofrey8276
    @ridiajofrey8276 Рік тому +1

    Asante kwa neno limenifungua mungu nisamehe na unirehem bwana yesu jaman Kama kwa manabii naenda sana

    • @mackfasonmoshi4629
      @mackfasonmoshi4629 Рік тому

      Ridia samahani mpe Bwana Yesu hadhi yake kwa kutumia herufi kubwa.. Bwana Yesu. Kuhusu hawa manabii feki, Endelea kupokea Neno sahihi kwa Watumishi sahihi. Taka sana Uongozi wa Roho Mtakatifu. Jifunze sana kuhusu 1Wakorintho 12: 8-10.. Karama za Roho Mtakatifu.. zaidi zile 3 za Mafunuo ( Kupambanua roho, Neno la Maarifa na Neno la Hekima)....Kanisa la Kweli litake sana karama hizi ....ili tuwezeshwe kuzitambua hizo roho..1Yohana 4:1....Mathayo 24: 11, 24 nk... Barikiwa...

  • @suzanmichael
    @suzanmichael 4 місяці тому

    Amen mtumishi nmebarikiwa Kwa mafundisho haya🙏🙏🙏

  • @RoseKalinga
    @RoseKalinga Місяць тому +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @user-lr6ef5co9t
    @user-lr6ef5co9t 9 місяців тому +1

    Nimepokea mtumishi Mungu akubariki kwa ushuhuda wako

  • @JofreyDamson-nm6ec
    @JofreyDamson-nm6ec 4 місяці тому +1

    Amen mchungaji ubarikiwe sana

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 Рік тому +2

    Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri ya Mungu tunawapata vema kabisa

  • @barakaclement7754
    @barakaclement7754 6 місяців тому +1

    barikiwa sana mtumishi Yesu akutunze

  • @yesuanikumbukejanuary8363
    @yesuanikumbukejanuary8363 Рік тому +2

    😭😭😭 uwiii MUNGU wetu tuna kuomba utusaidie tusiikose mbingu sisi pamoja na familia zeetu MUNGU WETU TUSADIE wanao kuzimu nimbaya saana yani wewe mchungaji wewe kwenda kuzimu nimpango wa MUNGU ili akurudishe kwetu ili uje uuambie ulimwengu hali ilivyo kuzimu.

  • @LilianBerthesa-gc8bf
    @LilianBerthesa-gc8bf 2 місяці тому +1

    Amen namuelewaga sana huyu mtumishi

  • @subiramtitu6621
    @subiramtitu6621 2 місяці тому +1

    Amina mtumishi wa mungu

  • @BahatiKinyamagoha
    @BahatiKinyamagoha 10 місяців тому

    Asante sana mtumish wa mungu amiel hakika mungu akulinde sana sana

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 Рік тому +1

    Ubarikiwe mnoo,DAMU ya YESU ikufunike.

  • @julietnelima3253
    @julietnelima3253 Рік тому +3

    Mchungaji tafadhali tafuta nafasi utuambie chanjo ya Corona ina nini na baada ya kuchanjwa madhara yake pliz but tunaamini Mungu atatuosha hizo dawa tulichanjwa kutoka kwa miili yetu ktk jina la Yesu Kristo.

  • @MarymoitaMarynaitawang-yl4dk
    @MarymoitaMarynaitawang-yl4dk 11 місяців тому +1

    Mtumishi MUNGU hakubariki kwa mafundisho

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Рік тому +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏❤

  • @jimmymwashambwa7364
    @jimmymwashambwa7364 4 місяці тому

    Asante kwa Bwana wetu Yesu kristo

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar1603 6 місяців тому +1

    Mungu Jehovah ANISAIDIE nikauone Ufalme wake

  • @judithminja770
    @judithminja770 Рік тому +2

    Yesu akuinue zaidi mch

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 Рік тому +2

    Amen nimebarikiwa sna

  • @user-zu1os9yo1z
    @user-zu1os9yo1z 10 місяців тому +1

    God is pless you my paster

  • @stellahkathure-px9cf
    @stellahkathure-px9cf Рік тому +2

    Mtumishi wa mungu ningependa utembee àta pande cha meru ubiri neno la mungu uko ukomboe mwoyo ya watu uko plz

  • @estherchacha7112
    @estherchacha7112 Рік тому +3

    Amen amen 🙏🙏🙏

  • @Matilda-rp4uy
    @Matilda-rp4uy 3 місяці тому +1

    Mungu akutie nguvu zaidi

  • @user-wq3vw6rr7t
    @user-wq3vw6rr7t Рік тому

    Barikiwa sana mtumishi mungu azidi kukutunza .Nimebarikiwa sana natamani masomo yako yote nizidi kukua kiimani

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 Рік тому +2

    Unahubiri.vizuri ila jinsi no nilivo kusikiliza.na.kukufatilia sana naomba.kanisa walilompokea katekela wamuombe kwaza mungu awathibitishie. Kama mtumishi kweli kuna mambo nayaona.kwa katekela hayako sawa

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l Рік тому +1

      Ww omba uje utidhibitishie dada mana una uwezo pia dont you see satan is talking inside of you sumaku ina attract sumaku ukiona kitu kibaya ndan ya mtu n ubaya wako ulio ndani ndio unaona. Jesus says pepo hawez kutoa pepo

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Рік тому

      Unaona nini? Wewe umeokoka au ni mlokole au wewe ni nani?

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 Рік тому +2

    Mungu akubariki na kukutia nguvu🙏

  • @lianaelgomezulu2259
    @lianaelgomezulu2259 Рік тому

    Amen!! Ni kweli wanaondolewa utayari wa kumtafuta Mungu wa kweli

  • @annamulenda6652
    @annamulenda6652 Рік тому +2

    Keep the fire burning.. God is good. Stay blessed always in the name of Jesus Christ of Nazareth... Amen Amen Amen Amen

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Рік тому +1

    Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu

  • @user-up8rt6tu4i
    @user-up8rt6tu4i Рік тому

    Asnte mtumishi wa mungu nimejifunza mengi mnooo barikiwa sanaaa

  • @user-fg2df7pw7j
    @user-fg2df7pw7j 10 місяців тому +1

    MUNGU awabariki watumishi wa BWANA na ashukuliwe kwa kuwatoa kuzim

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Рік тому +1

    Amen and Amen

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Рік тому +5

    Toka njkupate kwenye YUTUBE NIMEJIFUNZA MENGI, ulipokuja Sombetini PALE nolitamani MNOOO kukuona lkn shetani akanipotezea nisiwe kanisani, na wakati ule uljkuwa unachechemea mguu . POLE sana huenda ukaja ars nikabahatika.

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Рік тому

      Jamani rahabu sombetin prayer church kwa mchungaji Romana,ulikuwa arusha duh shetani akakuzuia

  • @user-tz4ue4hm9f
    @user-tz4ue4hm9f 6 місяців тому +1

    Be blessed

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 Рік тому +2

    Amen

  • @TuliyaKalunga9
    @TuliyaKalunga9 Рік тому

    Amen amen mungu akulinde na famille yako azidi kukupanguvu .

  • @Martinisamweli
    @Martinisamweli Рік тому

    Munguu wafungue masikio ya rohoni roho ya kawaida itoke kwa jina la yesu atupe moyo ulio pondeka

  • @JacklinePoyongo-xe7io
    @JacklinePoyongo-xe7io 6 місяців тому

    MUNGU akubariki sana mtumishi nimekuelewa

  • @RhianShauri-h8r
    @RhianShauri-h8r 7 днів тому +1

    Uwe juu

  • @marynimmo2399
    @marynimmo2399 Рік тому +1

    Nashukuru mwenyezi Mungu Kwa mtumishi wake ,nimepata ufunuo na kubarikiwa.Sifa na utukufu simurudie yesu

  • @pablovicpabloski7929
    @pablovicpabloski7929 6 місяців тому +1

    THANKS

  • @PhabianLuoga-yd1hl
    @PhabianLuoga-yd1hl 2 місяці тому +1

    Amina

  • @alice4720
    @alice4720 Рік тому +2

    Amen amen nimembarikiwa Sana naioneno la yesu

  • @annareginald7120
    @annareginald7120 Рік тому +1

    Bwana Yesu asifiwe. Huduma nzuri lakini naomba Mch. Katekela aache kuapa na tafadhali warushaji video inakatika katika. Mambo mengine hatuyapati Mungu awabariki.

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 Рік тому +3

    Ameeeen

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Рік тому +16

    Mungu ameamua kuinua vijana . na mhubiri casian paschal nae Anafungua wengi

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 Рік тому +3

    Natamani ungepiga zaidi injili na kufundisha watu zaidi kuongozwa na Roho Mtakatifu na Roho ya kupambanua.

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l Рік тому

      Roho yy ndio anakufunulia yesu hufunzwi jesus says huyo roho msaidiz wangu atawafunulieni mm ndani yenu

  • @RoshaniLifeStyle
    @RoshaniLifeStyle Рік тому +6

    Hallelujah!!
    I’m being so blessed by these teachings. Please continue uploading.
    Okay back to listening to the preaching. I understand Swahili. But speaking is a problem.

    • @AzAz-sy6zp
      @AzAz-sy6zp Рік тому

      Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu katekela niombee

  • @StephenKitina-f5m
    @StephenKitina-f5m 2 місяці тому +1

    Barikiwa sana

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo8864 11 місяців тому +1

    Amina baba

  • @asta.tanotdoor7
    @asta.tanotdoor7 Рік тому +1

    Amen sana ninaamin nimefuta kilakitu

  • @beauteservice
    @beauteservice Рік тому

    Napenda nipate namba ya mtumishi katekela,naomba Promover Tv

  • @sarahndungu2023
    @sarahndungu2023 Рік тому +4

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu from Riyadh Saudia

    • @julietnelima3253
      @julietnelima3253 Рік тому

      Tuko wengi

    • @festusnyamhanga1315
      @festusnyamhanga1315 Рік тому +1

      Shetani hufikiri anawachukua wafuasi wake na kuwaonyesha fahari zote pasipokujua kuwa Mungu alimuumba mtu kwa sura na mfano wake.

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Рік тому +2

    Nasikiliza Leo 3.3.2023 nikiwa mkoa wa pwani wilaya ya kibaha kata ya kongowe mtaa wa bamba.Mungu wa miungu nisaidie nimalize mwendo salama

  • @mtumehosana7081
    @mtumehosana7081 Рік тому +4

    Watu wavideo mtusaidie kuhubiri vizuri injili , maana inakatikakatika Mambo mengne yanapita juu.

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila3413 4 місяці тому +1

  • @maliammussa
    @maliammussa Рік тому +1

    Nimefungukasana nakanisani kwetu mchugaji wetuana tumia mafuta huku geita butundwe ninaomba mungu atuletee watumishi wa me amee.

  • @RoshaniLifeStyle
    @RoshaniLifeStyle Рік тому +2

    Hello, my apologies,
    But it seems like the video skips some parts. I’m wondering why?
    Okay back to watching the video.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Рік тому +1

      Sorry about that, it was the internet problems during the streaming

    • @RoshaniLifeStyle
      @RoshaniLifeStyle Рік тому

      @@PromovertvTz oh noted!

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 5 місяців тому

    Hallelujah

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 6 місяців тому +2

    Mmmmh eeee namutaka BWANA MUNGU NA NGUVU ZAKE YEEE

  • @user-li7vn7cd3m
    @user-li7vn7cd3m Рік тому

    Good work