MCH.KATEKELA:MALANGO YA KUZIMU NA MANABII WA UONGO WANAVYOSHIRIKIANA
Вставка
- Опубліковано 6 вер 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Mungu azidi kukutumia Mch.Amiel Katekela katika kazi yake. Nimebarikiwa sana na mafundisho yako. Ni Mungu tu AMINA. UBARIKIWE SANA.
I just love this man of God for speaking the truth this is the third time I'm listening to him my eyes have opened alot,I pray for him and his family for more grace
May God bless you for me
@@liliannyangweso8033😢😢😢😢😢😢😊😢😊😢
Somo zuri sana mtumishi wa MUNGU. Nabarikiwa sana kwa jina la YESU
Asant sana Mchungaji Mungu akutunze
MUNGU akubariki sana Mtumishi wa MUNGU alie hai. Unatufunulia yaliyofichika sirini. Uzid kulindwa kwa DAMU ya YESU KRISTO.
Nakukubali sana mtumishi
Sawa Mtumishi wa MUNGU Ubarikiwe Sana
From Kenya Bungoma we are blessed. God bless you servant of God
Niliwai findisha kwamba Roho wa Mungu aiangushi bali inasimamisha,sasa watu wamrudie mwenyezi Mungu waache kukimbilia miujiza hii lugha eti ni ndimi sijewai Amini Mimi Asante Mungu kwa hekima
Mungu akulinde kwakazi unayo fanya kwaajili ya kuponye mioyo ya watu. Mungu akupe maisha marefu uzindi kuponye watu wa Mungu kwakusundi lake.
karibu sana kenya mafundisho kama hayo nimuimu sana kwa makanisa yakenya nimembarikiwa sana naumefungua macho yangu asante sana
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa " kwanzia Leo , nimepata maarifa , man of MIGHT GOD be blessed alot , preach always like never before
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU. From Mozambique 🇲🇿
Asante Mungu wetu kwakuokowa mtumishi wako, pia na sisi utusaindie kelikeli🙏🙏
Amen nashukulu mchungaji,kuisaidia familia yang kututoa kwenye munyololo wa mizimu ya ukoo iliyotushikilia ,sasa imeshindwa kwa jina la Yesu ,sasa tunaamani familia yote ya wilson
Bwana Yesu asifiwe wapendwa Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu endelea kutuambia ukweli tuendelee kujuwa ukweli
Hallelujah hallelujah hallelujah jina la BWANA lipewe sifa milele na milele AMINA KUBWA hakuna kama MUNGU wambinguni mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU
Asante Yesu Mungu awabariki wote mliousika kuiandaa semina hii katoka Jina la Yesu Kristo alie hai .Amina.
Barikiwa Mtumishi wa Mungu. Ila mafundisho haya kuna vipande vipande vinakatika katika inapungua mwendelezo wa message kamili. Alietengeneza hii vidéo aombe Mungu, shetani asiilie tukaja kukosa ujumbe mzuri.
Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana mimi nimebarikiwa sana nikiwa nakuru kenya na naomba MUNGU sana anifungulie jia ya kukupata i have more to you
@@winfredmueni3281 come on ubarikiwe sana
Kwa jina la Yesu Kristo Amen Amen 🙏🙏🙏
Oooh nimebalikiwa Duniani na mbinguni ahsante MWENYEZI MUNGU kwa hii Neema 🙏🙏
Mchungaji ana hubili ukweli kabisa watu tumekuwa wavivu wa kujiombea tume kuwa wavivu tunataka kuombewa tu imani hatuna kabisa Kwakweli umetufunguwa na kutegemea maombi kwa watu wengine MUNGU akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai akubaliki sana
Mbarikiwa sana na yesu sana
chukua vyote niachie Yesu💯
Amen Amen Asante Muchungaji kwa mafundisho mazuri barikiwa sana pamoja nawe Promover TV.
Ameen mtumish ubarikiwe na bwana
Amen hv umeshamkutanisha na Askofu Gwajima nataman Sana hiyo siku
Hata mimi niliwahi kulifikiria hilo
Mungu akubarik saana na kukulinda mch Amiel kwa mafundisho mazur
YESU Akuinue Mtumishi wa MUNGU
Hii ni kwel kweli tunaihitaji ufunuo nakuelewa kuwa Yesu Kristo ndio mwana wa Mungu
Asante mtumishi kwa kunifungua mm nilikua mtumiaji mzuri wa hayo mafuta Asante Yesu kwa kuniokoa🙏🏾
ubalikiwe.mtumishi.endelea.kufunguawatu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye juu ninayaelewa sana mafundisho yako
Barikiwa mtumishi KATEKELA. Umenifumbua Sana katika shuhuda zako
mungu akubariki mchungaji maubiri yako yanibariki sana mungu akupe nguvu yakutangaza injili
Mungu akubaliki sana mtu wa Mungu huo ndio ukweli nabalikiwa sana ukweli usemwe tu kuliko kuwa sikiliza matapeli wa injili
Ubarikiwe Sana mtumishi was Mungu
MUNGU hakubariki mtumishi wa MUNGU kwa mafundisho Niko Kenya trainsmara
Amen Amen Mafundisho Yako inanibariki sana God bless you.
More grace and Protection of God man of God.
Hebu igiza kilicho sahihi ili tupambanue kunena kwa shetani na kwa Roho wa Mungu! Shetani hupenda kuiga ndivo ninavoelewa mimi so utajua kwa Neno la maarifa kuwa hii siyo!
Ukinenewa uliza kwa jina la yesu utajua kama ndie au sie the bble says kwa jina la yesu kila goti litapigwa mm nliwahi muona ndege kazin kwangu anantabasamia nkamwambia njoo kwangu kwa jina la yesu akakimbia mbio NA kutoka hapo
Asante kwa neno limenifungua mungu nisamehe na unirehem bwana yesu jaman Kama kwa manabii naenda sana
Ridia samahani mpe Bwana Yesu hadhi yake kwa kutumia herufi kubwa.. Bwana Yesu. Kuhusu hawa manabii feki, Endelea kupokea Neno sahihi kwa Watumishi sahihi. Taka sana Uongozi wa Roho Mtakatifu. Jifunze sana kuhusu 1Wakorintho 12: 8-10.. Karama za Roho Mtakatifu.. zaidi zile 3 za Mafunuo ( Kupambanua roho, Neno la Maarifa na Neno la Hekima)....Kanisa la Kweli litake sana karama hizi ....ili tuwezeshwe kuzitambua hizo roho..1Yohana 4:1....Mathayo 24: 11, 24 nk... Barikiwa...
Amen mtumishi nmebarikiwa Kwa mafundisho haya🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Nimepokea mtumishi Mungu akubariki kwa ushuhuda wako
Amen mchungaji ubarikiwe sana
Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri ya Mungu tunawapata vema kabisa
barikiwa sana mtumishi Yesu akutunze
😭😭😭 uwiii MUNGU wetu tuna kuomba utusaidie tusiikose mbingu sisi pamoja na familia zeetu MUNGU WETU TUSADIE wanao kuzimu nimbaya saana yani wewe mchungaji wewe kwenda kuzimu nimpango wa MUNGU ili akurudishe kwetu ili uje uuambie ulimwengu hali ilivyo kuzimu.
Amen namuelewaga sana huyu mtumishi
Amina mtumishi wa mungu
Asante sana mtumish wa mungu amiel hakika mungu akulinde sana sana
Ubarikiwe mnoo,DAMU ya YESU ikufunike.
Mchungaji tafadhali tafuta nafasi utuambie chanjo ya Corona ina nini na baada ya kuchanjwa madhara yake pliz but tunaamini Mungu atatuosha hizo dawa tulichanjwa kutoka kwa miili yetu ktk jina la Yesu Kristo.
Mtumishi MUNGU hakubariki kwa mafundisho
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏❤
Asante kwa Bwana wetu Yesu kristo
Mungu Jehovah ANISAIDIE nikauone Ufalme wake
Yesu akuinue zaidi mch
Amen nimebarikiwa sna
God is pless you my paster
Mtumishi wa mungu ningependa utembee àta pande cha meru ubiri neno la mungu uko ukomboe mwoyo ya watu uko plz
Meru ipi ya Tanzania au Kenya?/
@@UsafiMichael-mc8ktkenya
Amen amen 🙏🙏🙏
Mungu akutie nguvu zaidi
Barikiwa sana mtumishi mungu azidi kukutunza .Nimebarikiwa sana natamani masomo yako yote nizidi kukua kiimani
Unahubiri.vizuri ila jinsi no nilivo kusikiliza.na.kukufatilia sana naomba.kanisa walilompokea katekela wamuombe kwaza mungu awathibitishie. Kama mtumishi kweli kuna mambo nayaona.kwa katekela hayako sawa
Ww omba uje utidhibitishie dada mana una uwezo pia dont you see satan is talking inside of you sumaku ina attract sumaku ukiona kitu kibaya ndan ya mtu n ubaya wako ulio ndani ndio unaona. Jesus says pepo hawez kutoa pepo
Unaona nini? Wewe umeokoka au ni mlokole au wewe ni nani?
Mungu akubariki na kukutia nguvu🙏
Amen!! Ni kweli wanaondolewa utayari wa kumtafuta Mungu wa kweli
MUNGU akubariki
Keep the fire burning.. God is good. Stay blessed always in the name of Jesus Christ of Nazareth... Amen Amen Amen Amen
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu
Asnte mtumishi wa mungu nimejifunza mengi mnooo barikiwa sanaaa
MUNGU awabariki watumishi wa BWANA na ashukuliwe kwa kuwatoa kuzim
Amen and Amen
Toka njkupate kwenye YUTUBE NIMEJIFUNZA MENGI, ulipokuja Sombetini PALE nolitamani MNOOO kukuona lkn shetani akanipotezea nisiwe kanisani, na wakati ule uljkuwa unachechemea mguu . POLE sana huenda ukaja ars nikabahatika.
Jamani rahabu sombetin prayer church kwa mchungaji Romana,ulikuwa arusha duh shetani akakuzuia
Be blessed
Amen
Amen amen mungu akulinde na famille yako azidi kukupanguvu .
Munguu wafungue masikio ya rohoni roho ya kawaida itoke kwa jina la yesu atupe moyo ulio pondeka
MUNGU akubariki sana mtumishi nimekuelewa
Uwe juu
Nashukuru mwenyezi Mungu Kwa mtumishi wake ,nimepata ufunuo na kubarikiwa.Sifa na utukufu simurudie yesu
THANKS
Amina
Amen amen nimembarikiwa Sana naioneno la yesu
Bwana Yesu asifiwe. Huduma nzuri lakini naomba Mch. Katekela aache kuapa na tafadhali warushaji video inakatika katika. Mambo mengine hatuyapati Mungu awabariki.
Ameeeen
Mungu ameamua kuinua vijana . na mhubiri casian paschal nae Anafungua wengi
Sana
Kabisa
Dativa joachim naweza pata namba yako please
@@gosbertmuta5421 naomba unisaidie kitu
@@gosbertmuta5421 naweza pata maeasiliano ya Mchungaji Casian ?
Natamani ungepiga zaidi injili na kufundisha watu zaidi kuongozwa na Roho Mtakatifu na Roho ya kupambanua.
Roho yy ndio anakufunulia yesu hufunzwi jesus says huyo roho msaidiz wangu atawafunulieni mm ndani yenu
Hallelujah!!
I’m being so blessed by these teachings. Please continue uploading.
Okay back to listening to the preaching. I understand Swahili. But speaking is a problem.
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu katekela niombee
Barikiwa sana
Amina baba
Amen sana ninaamin nimefuta kilakitu
Napenda nipate namba ya mtumishi katekela,naomba Promover Tv
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu from Riyadh Saudia
Tuko wengi
Shetani hufikiri anawachukua wafuasi wake na kuwaonyesha fahari zote pasipokujua kuwa Mungu alimuumba mtu kwa sura na mfano wake.
Nasikiliza Leo 3.3.2023 nikiwa mkoa wa pwani wilaya ya kibaha kata ya kongowe mtaa wa bamba.Mungu wa miungu nisaidie nimalize mwendo salama
Watu wavideo mtusaidie kuhubiri vizuri injili , maana inakatikakatika Mambo mengne yanapita juu.
❤
Nimefungukasana nakanisani kwetu mchugaji wetuana tumia mafuta huku geita butundwe ninaomba mungu atuletee watumishi wa me amee.
Hello, my apologies,
But it seems like the video skips some parts. I’m wondering why?
Okay back to watching the video.
Sorry about that, it was the internet problems during the streaming
@@PromovertvTz oh noted!
Hallelujah
Mmmmh eeee namutaka BWANA MUNGU NA NGUVU ZAKE YEEE
Good work