Mch.Katekela:TUMIA MAOMBI NA KANUNI HIZI KUVUNJA MIHURI YA KICHAWI•MUHURI WA 7•MBINU ZA KUJINASUA
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- KUHUSU KITABU NA JINSI YA KUKIPATA TAFADHALI WASILIANA NA MCHUNGAJI AMA PROMOVER TV UTAPATA UTARATIBU.
MAGROUP YA MARAFIKI WA MCHUNGAJI KATEKELA BONYEZA LINK KUJOIN:-
-GROUP NO.1 BONYEZA chat.whatsapp....
-GROUP NO.2 BONYEZA chat.whatsapp....
KAMA UNASHINDWA KUJOIN AMA KWA LOLOTE UNAWEZA KUWASILIANA NASI KWA NAMBA HIZI.
-Namba ya Mchungaji Katekela ni +255 756 275 511
-Namba ya promover tv ni +255784074462
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Navunja roho zinazo fatilia maisha yangu katika jina la Yesu.
Shalom Mungu akubariki akutiye nguvu
Ahsante sana 'mchungaji mzalendo'
Barikiwa sana mtumishi wa jehova
Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela! Mimi naomba kwa huruma zake Mungu uje kututembelea hapa Mozambique msumbiji baba🙏🏾
Mungu awabaliki mr. And katekella
Mungu akufunike kwa Mbawa zake mtumishi
Bwana Yesu asifiwe mtumishi mafundisho yako nimeyaelewa yananihusu mimi kabisa
Ubarikiwe mtumishi maana unacho Sema ndio ninachopitia Asante kwa maelekezo wa kusimamia hivi vita
Mchungaji Mungu akuongezee miaka ya kuisji ili tuendelee lucina matunda yako, amen!!
Shuhuda zako zinakuza kiroho Muchungaji. Naomba Mungu wetu atuzidishie watumishi wa namna hii katika mataifa yote, kwani twaelimishwa zaidi. Ubarikiwe na Bwana, akukumbuke katika haja za moyo wako.
Pp
Pp
Pp
Pp
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.Nimesikiliza Mahubiri yako kwa kina.Nimejua kuwa ni hakika Mungu anakutumia ili kuharibu mateso yaliyowekwa kwa watu wa Mungu bila kujifahamu.Mungu akutunze sana,na kuimarisha huduma yako.Watu wafunguliwe katika mikatale ya mwovu shetani.
Ubarikiwe sana mtumishi mtumishi wa Mungu kwa kutupa elimu yakutufungua macho
Amina Asante Mtu wa MUNGU
Bwana Yesu Christo apewe sifa na utukufu nikikusalamia mtumishi wa Mungu Kwa uwezo wa Mungu Baba asifiwe Sana Sana nashukuru Mungu aliyekutoa Kwa Giza ili uje kunifahamisha yale nisiyoyajua barikiwa Sana pamoja na Jamii yako, na naomba Kwa mapenzi ya Mungu Baba mafundisho yako, Kanisa lako lifike pande zote duniani nikikuombea afya njema na, nguvu na mamlaka ya kueneza injili ya Yesu Christo, Nina furaha Nyingi naesaongea Sana Ubarikiwe sana Mary kutoka Kenya Lakini wakati huu niko Saudi Arabia God bless you brother Amieli
Tutapataje vitabu? nakitabu Cha kurudisha msukule kipo?
21
Bwana yesu asifiwe mtumishi was bwana mimi Niko mbeya na napenda sana kujifunza kwako nitapataje vitabu vyako???
Sitamilikiwa na muhuru wa damu katika jina la yesu
Asante sana promover TV kwa kujitolea kwenu kufanikisha kazi ya Mungu.
Good teaching
mtumishi naitanji maombi na hisi nguvu za giza zinanizingila katika maisha yangu naomba usaindishi kimaombi(iruma kutoka nairobi kiambu)
Yaani nakukubali sana mchungaji mungu akubaliki sana uzidi kuwepo tupate kukombolewa kutoka kuzimu nawashukuru promover mungu awabaliki sana mungu awe nasi
Amina na Amina
Duh Mungu akubariki sana, kuanzia sasa naona mafanikio yangu kuanzia sasa na nitafanya kazi za mikono
Mungu akubariki Promover na Mchungaji Amiel
Amen. Mafundisho poa wengi tumekwamia hapo hapo tu!
Jee mchungaji kama mtu anajikuta anapiga miayo wakati wa maombi ni ishara ya mapepo.hii hali unitatiza sana
@@oellyomondi pastor hicho kitabu Bei gan
Asante mimi Pia nataka kitabu
Mchungaji MUNGU akubariki na akulinde
Asante yesu kwa neema hii hakika sitabaki Kama nilivyo,,, hakika nimekombolewa kwa Damu ya yesu
Barikiwa sana Pastor Amieli . Jacktan Barikiwa sana na Audax Barikiwa sana. Ninawapenda Bure
Amen
Asante sana ubarikiwe
YOU HAVE OPEN MY EYES BE BLESSED
Amina ni kweli
Amina
Amen 🙏🙏 nashukuru mungu Kwa ajili yako umenifundisha Mambo mengi Sana ya kiroho
Ubarikiwe sana,kitabu nawezaje kukipa nikiwa kenya
Amen mtumishi wa Bwana Yesu Kristo napokea baraka
Mungu wa mbinguni akubariki kwa kazi yako Amiel
Mungu akubariki na akulinde kutoka kwa mikono ya adui.
Asante mtumishi Mungu amekufanya kuwa Baraka na daraja la mimi kumpa Yesu Maisha yangu , Ubarikiwe
From Manyara Babati Tanzania.
Amen
Amina kubwa
Mungu akubariki Mch.
Asante kwa mafundisho mazuri juu ya kkuvunja mihuri ya kichawi. Tunakipayaje hicho kitabu
God bless you pastor. You have opened our eyes
Ubarikiwe sana mtumishi wamungu na promover tv
Mtumishi ubarikiwe Sana tunapataje kitabu
Amen nanina shukuru Sana kwa ujumbe muzuri
Amen 🙏🙏🙏 Niko Mombasa uniombe
Amen 🙏 natamani sana 🙏 am watching through Qatar 🇶🇦 doha please help me I need those Books 📚
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo mema hakika mengi nimejifunza toka kwako
AMINAA UBARIKIWE SANAAAAA MTUSHI
Barikiwa sana pastor naomba maelekezo ya kupata kitabu tafadhali
Amina mtumishi wa mungu nakufatilia sana nkiwa hapa saudia
Kazi zenu Nzuri sana, nawapenda sana, shuhuda zimenisaidia sana, Barikiwa mch. Amiel katekela.
Bwana Yesu asifiwe , na Mungu atiye nguvu
AMINA AMINA BARIKIWA Sana Rafiki Yetu
Mungu akubari sana mtumishi. Hakika nimejengeka kiroho sana kupita wewe .Mungu wetu aonaye sirini akujibu kwa wazi. Umekuwa wa baraka sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.Mungu apanue mipaka yako, ukutumie viwango vya juu kadri na mapenzi yake.Amina .
Asante baba Katekela
Shalomu watumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana,Mungu akupe maisha marefu
Barikiwa mno Mtumishi wa Mungu aliye hai.
Mchungaji Wangu Mungu akubariki mnomno nimekuwa nikikufuatilia sana nimekupata sana wew unisubiri injili isiyogoshiwa injili ya Yedu
Unahubiri
Yedu ni nini😢😢
Ameen ubarikiwe na promover TV
Be blessed man of God for good lesson
Ameen Mtumishi,Mungu akubariki Sana
God bless you n lift u 🙏 higher n higher 🙏
Barikiwa Sana mchungaji na mungu azidi kukubariki
Jambo muchungaji munisaidiyeni maombi katika jina la yesu
Baba ninaomba Uyakemee mapepo yote yanayopinga mwongozo huu katoka Kina la Yesu
UBarikiwe
Kinawezaje.kunifkia Kenya na bei gani
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu nikikufutilia napata amani
Nitapataje hichokitabu
Asante sana mtumishi wa mungu ushuhuda huu umenitia nguvu sana mungu akubariki sana nakuombeya maisha marefu
Watumishi Mungu awabariki watu wa bariadi tunavipataje vitabu
Hakika wewe ni rafiki mchungaji.pia wewe ni wa maana sana mbele ya Mungu.
Amina mtu wamungu NAMI natamsni kufunguliwa nisaidie j jkuomba😊
Barikiwa sana Mtumishi.
Amen Amen
Wow thanks very much man of God for sure l have leaned something may God bless you🙏🙏
Asante sana Mtumishi wa Mungu Mch Katekela kwa kuzifunua sili hizi za kuzimu nimesaidiwa sana na ushuhuda huu na Mungu akubaliki sana. Pia ningeomba ikiwezekana ututumie number yako ya what’s up ili tuwasiliane kwa uraisi, Mungu awe pamoja na wewe milele.
Asnt mch leo nimepata namba yako,, barikiwa sn mtumishi wa Mungu,, uje na mkoa wa SIMIYU jmn tunahitaji huduma yako tupone🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi, napata wapi hicho kitabu? Ni sh. ngapi?
Thank you and be blessed
Mtumish mimi ni muha wa kigoma kasuru kijiji cha songa mbele. Ila baba alihamia dar mwa ka 2000, tukahaia dar es salaam tuko watt watano mm ni wa nne unayosema nakuelewa sana na mengi sana nataman tuzungumze unisaidie maarifa na maombi naitaji sana msaada ili Yesu anikomboe mimi na familia yangu na ndoa yangu. Plz plz plz plz
God bless
God bless you man of God amen
Asante sana mtumish wa Mungu kwa mafundisho is a mazuri, Mungu akubariki na kukutunza.
Ukokitabu kina patikana wap
Iyo kitabu itafika kenya 🇰🇪
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu🙌🙏sasa ivyo vitabu tutavipata aje??
Barikiwa mtumishi. Naomba kujua vitabu nitavipata wapi? Kwa Dar
Ningependa kupata vitabu niko nairobi kenya
👏
barikiwa sana.. nitumie number ya nairobi nikanunue kitabu
Ww ni mtu WA maana sana
God bless you Pastor
Ubarikiwe mwana wa YESU wakati wote. YESU. Akutunze. Akulinde Mimi. Niko KILIMANJARO. Ni mtumishi karibu Sana
Amina sana, je? Haya maombi yanatakiwa kufanyika Kwa mda gani au siku ngapi?.
Ndugu napenda ujue kwamba Imani ni mtu mwenyewe waebarnia 11:6. Soma sasa
Ubarikiwe mchungaji, hizi vitabu vimefika kenya?
Ameeen
Yani hayo nimepitia
Bwana Yesu asifiwe. Mchungaji Katekela. Swali langu ni hili: Nina ndugu yangu ambaye mme wake ni mchimba migodi sasa siku mmoja mume wake, alileta mganga nyumbani bila ya mke kujua. Na baada ya mmewe kumtambulisha mganga. Yule mganga akatoa maagizo ya kwamba mke avue nguo zote, na baada ya kuwa hivyo bila nguo mbele ya huyu mganga na mumewe, wakamwambia avae nguo. Ila hawakumjulisha chochote wala maana ya ili tukio. Ningeomba ufafanuzi juu ya hili Mtumishi Katekela.
Umenifundisha Siri nyingi sana za wachawi
Namba yako tafadhali
Jambo.nina.itaji.mucungaji.unisayidiye.kwama.ombi.yakijijuwa.wakati.wama.ombi.maramingi.najikuta.nigisimama.kati.kama.ombo.najikuta.vita.ina.inuka.mungu.anitiye.nguvu.asante.sana.kwamusada.tapata
Utakuwa malawi sehemu gami