Waislam pia tujifunzeni matumizi sahihi ya mitandao.maana baadhi ya comments hazistahili kabisa kuja mahala kama hapa.inaskitisha sana muislam anaandika kama vile yuko kwenye kijiwe cha wahuni cha wavuta bangi.
Kumbe balad, mwakusudia ni nchi ! safi sana Mbona sasa mbona yatoke mara nyingine humu humu Tanzania kunawezekena mwezi ukaonekana Na mna ukataa , mkidai mjauona , Kwa mwakusudia kila nchi uwe Na mwandamo wake
SS nyie mashekh mna mtihani 😢tunambiwa siku ya Arafah ALLAH anashuka mchana SS mchna WA Tanzaniaan au huko Makkah iliko Arafah 😢tumuogope ALLAH Kala Jalal
Lazima ufuate muandamo wa mwez nchini kwako watu hem acheni kufata mikumbo na misimamo ya watu binafsi tumeletew kitabu na sunna tufate sio tufate wati na makundi
Kwanzia Leo sitak kundi lolote katika din sitaki uamsho wala salaf wala answar wala Shia wala kadiria wa ibadh kumbe haya makund yananziswa kwa masilah binafs nakumbuka nilipokua uamsho tulikula kiapo kwamba hatutorid nyuma katika kuidai zanzibar lakin Leo hii hawa viongoz wa uamsho ndo wa mwanzo kujipendekeza serekalin duu hatar sitak kundi lolote la kidin
Kila mtu afuate msimamo wake, hakuna haja ya kutoatoa MANENO. Mkiwa mnataka kulitengeneza jambo kaeni mashekhe mtatue ili watu wawe kitu kimoja Ama kutoa maneno tu haisaidii.
Mwerevu ni wewe ambaye hata ukiuona mwezi hapo kwako Tanzania wasaudi hawatakufata wala hawatakuamini zaidi ya wewe kujipendekeza kwao kwa kufata mwezi waliouona wao.
Imepandisha chati kwa lipi? Kwanza hilo ni la khitlafu kwa wanavyuoni. Wapo masheikh wakubwa tena wengine wakisufi kama aliekuwa mufti wa Misri wamesema arafa ni ile siku mahujaji wanasimama kule Makka katika viwanja vya arafa.
Masha Allah umeniweka wazi shekhe wetu Allah atupandishe daraja
Muogope Allah sheikh Faridi hao hawatakuokowa na chochote mbele ya Allah.
Sheikh farid Ameteleza ,Allah amhifadhi
njo mbuyuni utwambie kateleza wapi
Mmmmh muamba ngoma xiku zote huvutia kwake but yote kwa yote mashekhe wanadhima kubwa kwa Allah
Na ww ukitaka kwenda makka nenda kwa jahazi usiende kwa ndege 😂😂😂😂😂😂
Leo ndio najua gari sio teknolojia kule skuli ndio mana tukaita tekelakujia😂😂😂
Nimemuelewa sana
Turudini kwa Allah na maamrisho yake na yale aliyomtuma MTUME wake Muhammad (SAW). NAE katufikia kikamilf
Al-hamdu lillaah. Allah (SWT) Akuzidishie kheri Sheikh Farid.
Waislam pia tujifunzeni matumizi sahihi ya mitandao.maana baadhi ya comments hazistahili kabisa kuja mahala kama hapa.inaskitisha sana muislam anaandika kama vile yuko kwenye kijiwe cha wahuni cha wavuta bangi.
Kumbe balad, mwakusudia ni nchi ! safi sana Mbona sasa mbona yatoke mara nyingine humu humu Tanzania kunawezekena mwezi ukaonekana Na mna ukataa , mkidai mjauona , Kwa mwakusudia kila nchi uwe Na mwandamo wake
SS nyie mashekh mna mtihani 😢tunambiwa siku ya Arafah ALLAH anashuka mchana SS mchna WA Tanzaniaan au huko Makkah iliko Arafah 😢tumuogope ALLAH Kala Jalal
Shukran
Siku ni Moja duniani na tarekhe ni Moja na mwezi muandamo duniani ni mmoja tu
Kasome tena
wacheni mawaidha ya mipasho
makka na tz hatuja tofautiasna hata dakika moja
Sheikh mselem ndio sheikh tu zanzibar nzima
Na Muhammad bachu anajitahid
Lazima ufuate muandamo wa mwez nchini kwako watu hem acheni kufata mikumbo na misimamo ya watu binafsi tumeletew kitabu na sunna tufate sio tufate wati na makundi
Shukran amiri farid hadi, Allah amuhifadhi
samahan shekh kwn tofauti ya muda wa saudia na tanzania ni upi? mbn hatukuelewi
Ameunga juudi sheikh
Hahaha unaminyana katika batwir
Kwanzia Leo sitak kundi lolote katika din sitaki uamsho wala salaf wala answar wala Shia wala kadiria wa ibadh kumbe haya makund yananziswa kwa masilah binafs nakumbuka nilipokua uamsho tulikula kiapo kwamba hatutorid nyuma katika kuidai zanzibar lakin Leo hii hawa viongoz wa uamsho ndo wa mwanzo kujipendekeza serekalin duu hatar sitak kundi lolote la kidin
Fuata makundi tu ww
Kwani Nabii akiongea na watu aongea na Kabila Fulani. La! Huongea na waumini wote duniani, hivi unaungana na watu kuwagawa Waumini.
Huyu anamfurahisha Rais mwinyi ila moyoni mwake anajua TU kwamba arafa inafungamana na hijja
Farid uislamu huujui, wewe yako ni siasa na kupinga serikali
UNAUJUA WEWE NA BABA YAKO...!
❤❤😂😂😂😂
Kabula hujaenda jele hukusema hivyo.umetoka jela na msimamo wa demokrasia kipigo kimekubadikia msimamo
Jela sio mchezo leo heshima ipo duuuuu Hataree
Hata mitume waliendaa
Mawahabi wataelewa tuuu
MIAKA YOTE WANASEMA HAYO HAYO TU
IMEMPANDISHA CHATI GANI SASA? MAANA HANA JIPYA LOLOTE ALILOKUJA NALO!!
huyu zamani alikuwa answar
Huyo sufi tangia zamani
Faridi mpotevu tu
Kila mtu afuate msimamo wake, hakuna haja ya kutoatoa MANENO.
Mkiwa mnataka kulitengeneza jambo kaeni mashekhe mtatue ili watu wawe kitu kimoja Ama kutoa maneno tu haisaidii.
Hii khutuba kama imempandisha basi imempandisha daraja Kwa watawala ,lakini mbele ya ALLAH imemteremsha daraja tena la chini
Usimsemee Allah Subhanahu.wataala
إن الذين يفترون على الله الكذب لا يفلحون
Hapo ndipo tulipofikishwa leo tunagaiwa kwa mambo ya ikhtilafu tumeacha mambo ya msingi ktk dini
Mjinga tu huyu miongoni mwa wajinga
Mwerevu ni wewe ambaye hata ukiuona mwezi hapo kwako Tanzania wasaudi hawatakufata wala hawatakuamini zaidi ya wewe kujipendekeza kwao kwa kufata mwezi waliouona wao.
Mjinga wewe n ubwegeo
Imepandisha chati kwa lipi? Kwanza hilo ni la khitlafu kwa wanavyuoni. Wapo masheikh wakubwa tena wengine wakisufi kama aliekuwa mufti wa Misri wamesema arafa ni ile siku mahujaji wanasimama kule Makka katika viwanja vya arafa.