HUTBA ILIOMPANDISHA CHAT AMIR FARID HAD AHMED

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 51

  • @HassanChapa-bi4iz
    @HassanChapa-bi4iz 26 днів тому

    Masha Allah umeniweka wazi shekhe wetu Allah atupandishe daraja

  • @MatiMati-gi4zo
    @MatiMati-gi4zo 28 днів тому +3

    Muogope Allah sheikh Faridi hao hawatakuokowa na chochote mbele ya Allah.

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas 28 днів тому +3

    Sheikh farid Ameteleza ,Allah amhifadhi

  • @user-gn2hr4xq3v
    @user-gn2hr4xq3v 28 днів тому +2

    Mmmmh muamba ngoma xiku zote huvutia kwake but yote kwa yote mashekhe wanadhima kubwa kwa Allah

  • @alimau7939
    @alimau7939 29 днів тому +3

    Na ww ukitaka kwenda makka nenda kwa jahazi usiende kwa ndege 😂😂😂😂😂😂

  • @arafataliomar7432
    @arafataliomar7432 25 днів тому

    Leo ndio najua gari sio teknolojia kule skuli ndio mana tukaita tekelakujia😂😂😂

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 26 днів тому

    Nimemuelewa sana

  • @maanoor760
    @maanoor760 19 днів тому

    Turudini kwa Allah na maamrisho yake na yale aliyomtuma MTUME wake Muhammad (SAW). NAE katufikia kikamilf

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 28 днів тому

    Al-hamdu lillaah. Allah (SWT) Akuzidishie kheri Sheikh Farid.

  • @rajababdallah9239
    @rajababdallah9239 26 днів тому +1

    Waislam pia tujifunzeni matumizi sahihi ya mitandao.maana baadhi ya comments hazistahili kabisa kuja mahala kama hapa.inaskitisha sana muislam anaandika kama vile yuko kwenye kijiwe cha wahuni cha wavuta bangi.

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya9002 20 днів тому

    Kumbe balad, mwakusudia ni nchi ! safi sana Mbona sasa mbona yatoke mara nyingine humu humu Tanzania kunawezekena mwezi ukaonekana Na mna ukataa , mkidai mjauona , Kwa mwakusudia kila nchi uwe Na mwandamo wake

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 14 днів тому

    SS nyie mashekh mna mtihani 😢tunambiwa siku ya Arafah ALLAH anashuka mchana SS mchna WA Tanzaniaan au huko Makkah iliko Arafah 😢tumuogope ALLAH Kala Jalal

  • @alidochi2889
    @alidochi2889 28 днів тому

    Shukran

  • @TwahaKahatan-pt9hg
    @TwahaKahatan-pt9hg 28 днів тому

    Siku ni Moja duniani na tarekhe ni Moja na mwezi muandamo duniani ni mmoja tu

  • @SafiaHaji-fo3sl
    @SafiaHaji-fo3sl 27 днів тому

    wacheni mawaidha ya mipasho

  • @nasraissa4873
    @nasraissa4873 28 днів тому

    makka na tz hatuja tofautiasna hata dakika moja

  • @unknown-zz8ih
    @unknown-zz8ih 27 днів тому

    Sheikh mselem ndio sheikh tu zanzibar nzima

  • @TalibMuhsin
    @TalibMuhsin 27 днів тому

    Lazima ufuate muandamo wa mwez nchini kwako watu hem acheni kufata mikumbo na misimamo ya watu binafsi tumeletew kitabu na sunna tufate sio tufate wati na makundi

  • @nassorali5143
    @nassorali5143 28 днів тому +3

    Shukran amiri farid hadi, Allah amuhifadhi

  • @linusfrancis9293
    @linusfrancis9293 29 днів тому

    samahan shekh kwn tofauti ya muda wa saudia na tanzania ni upi? mbn hatukuelewi

  • @chudashaibu3367
    @chudashaibu3367 28 днів тому

    Ameunga juudi sheikh

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev 28 днів тому

    Hahaha unaminyana katika batwir

  • @LautaroIshak
    @LautaroIshak 28 днів тому +1

    Kwanzia Leo sitak kundi lolote katika din sitaki uamsho wala salaf wala answar wala Shia wala kadiria wa ibadh kumbe haya makund yananziswa kwa masilah binafs nakumbuka nilipokua uamsho tulikula kiapo kwamba hatutorid nyuma katika kuidai zanzibar lakin Leo hii hawa viongoz wa uamsho ndo wa mwanzo kujipendekeza serekalin duu hatar sitak kundi lolote la kidin

  • @TwahaKahatan-pt9hg
    @TwahaKahatan-pt9hg 28 днів тому

    Kwani Nabii akiongea na watu aongea na Kabila Fulani. La! Huongea na waumini wote duniani, hivi unaungana na watu kuwagawa Waumini.

  • @mohammadswaleh6900
    @mohammadswaleh6900 28 днів тому

    Huyu anamfurahisha Rais mwinyi ila moyoni mwake anajua TU kwamba arafa inafungamana na hijja

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 28 днів тому +1

    Farid uislamu huujui, wewe yako ni siasa na kupinga serikali

  • @drmahwa8166
    @drmahwa8166 28 днів тому +1

    Kabula hujaenda jele hukusema hivyo.umetoka jela na msimamo wa demokrasia kipigo kimekubadikia msimamo

  • @minaziparasu9074
    @minaziparasu9074 27 днів тому

    Mawahabi wataelewa tuuu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 28 днів тому

    MIAKA YOTE WANASEMA HAYO HAYO TU

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 28 днів тому

    IMEMPANDISHA CHATI GANI SASA? MAANA HANA JIPYA LOLOTE ALILOKUJA NALO!!

  • @nasraissa4873
    @nasraissa4873 28 днів тому

    huyu zamani alikuwa answar

  • @user-hh5ew8wb7d
    @user-hh5ew8wb7d 28 днів тому

    Faridi mpotevu tu

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 28 днів тому +2

    Kila mtu afuate msimamo wake, hakuna haja ya kutoatoa MANENO.
    Mkiwa mnataka kulitengeneza jambo kaeni mashekhe mtatue ili watu wawe kitu kimoja Ama kutoa maneno tu haisaidii.

  • @user-ju1iq1pu3i
    @user-ju1iq1pu3i 28 днів тому +1

    Hii khutuba kama imempandisha basi imempandisha daraja Kwa watawala ,lakini mbele ya ALLAH imemteremsha daraja tena la chini

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 27 днів тому +1

      Usimsemee Allah Subhanahu.wataala
      إن الذين يفترون على الله الكذب لا يفلحون

  • @alimau7939
    @alimau7939 29 днів тому

    Hapo ndipo tulipofikishwa leo tunagaiwa kwa mambo ya ikhtilafu tumeacha mambo ya msingi ktk dini

  • @user-hh5ew8wb7d
    @user-hh5ew8wb7d 28 днів тому

    Mjinga tu huyu miongoni mwa wajinga

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 28 днів тому

      Mwerevu ni wewe ambaye hata ukiuona mwezi hapo kwako Tanzania wasaudi hawatakufata wala hawatakuamini zaidi ya wewe kujipendekeza kwao kwa kufata mwezi waliouona wao.

    • @AleiHadji-js3ed
      @AleiHadji-js3ed 25 днів тому

      Mjinga wewe n ubwegeo

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 28 днів тому

    Imepandisha chati kwa lipi? Kwanza hilo ni la khitlafu kwa wanavyuoni. Wapo masheikh wakubwa tena wengine wakisufi kama aliekuwa mufti wa Misri wamesema arafa ni ile siku mahujaji wanasimama kule Makka katika viwanja vya arafa.